Nay Wa Mitego Ft Rich Mavoko - Sio Wewe
HTML-код
- Опубликовано: 13 ноя 2023
- Sio Wewe Is Banger Hit Song
Produced : S2kizzy
Mixing & Mastering : Themixingkiller
Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2023 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #Siowewe #Richmavoko - Видеоклипы
Mimi wa kwanza 🎉🎉🎉🎉💪
Ni mimi
True boy ❤❤❤❤❤
😂😂😂🎉
kwahyo
Ngoma moto,,🔥
Kama na wewe hujawahi acha ku comment hits mpya za Nay gonga like tuishi humo!
Mm ndo like ya 77 na Mimi nipeni like zangu🤣
Kaka utabaki kuwa raisi wetu wa kitaa tupe burudani🎉
Sema tunakaa Kimmy sana bila kuambiana kumbe Mr nay x mavoko sio wewe sijamanishaa nipe like hapa zote
Mbona siwaoni washabiki wa ney kama upo like hapa
Naitwa Marco classic Ni msanii was ki kipya Kama unamkubali Rich mavoko gonga like kisha ukoment 🎉🎉🎉🎉
Oyaeeee nyimbo zauyu Kaka haziozagi ausityoooo🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Ungemuweka na darasa hapo hilo nibonge la song💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
WAKENYA TUU WAPI TUSHANGILIE HILI BONGE NAY MOTO❤❤❤❤❤❤
leo ndio mara ya kwanza kuskia#NAY WA MITEGO akiskika kwenye mdundo wa s2kizzy 🔥🔥🔥sanaaaa🇰🇪
Wale wa geto wenzangu wanaokubali hela imeadimika gonga like twendezetu.
This now coming to be a hit song in both east Africa and Africa at large...kama unamkubali Nay na Mavoko wachia like yako hapa 🇰🇪🇰🇪
Kenya south coast tujuane wapi tunatoka
Wachane kaka dunia tunapita
Hiyo mistari inayokuja kama vile naiona yani goma lenyewe linaitwa #siyo wewe# weka like yako hapa kama unamkubali mr nay,,,,,, kutoka kenya🇰🇪✔,tanzania🇹🇿✔,uganda🇺🇬✔
Mavoko wetu kakutana Ney layisi wakita💪💪💪💪👑👑👑👑
Kakaaa mkubwaaaa nay n mavoko Sema nawakubali sanaaa straight from Kenya mtwapa
Nafrahi kumsikia #bilioneakid #mavoko gonga like km umependa
Ukikurupuka huwezi elewaa ''marefa ni wao kushinda lazima "❤
Sio wewe 🔥🔥🔥💯💯💯💪
Mlevi anywe Nini 🤣🤣💥🔥💯moto sana apoteze Hela sio Mikumbu
Oyaaa ney makini mnoo utulivu miñgiii🎉
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🔥🔥🔥bana baba yag anajua na yupo na mesiiiiiiiii
Wimbo mzuri midondoko ya darasa 🎉kwa mbali
TU QUE ESTAS LEYENDO ESTO VAS HACER EXITOSO YO CREO EN TI❤🙏
Tulio tamani kumuona mavoko analud kama zaman tujuane
Ooooooh Rich mavoko kwali tumeku miss sana myaka 5 tume kumiss😢🇭🇲
Mimi ni ambassador wa Nay hapa kigali🇷🇼🎉
nakubali ipo juu tu sana. nakubali
Nomaaaaa fire 🔥🔥 hii truck itauwa hit zote mjini east Africa wajipange........
Ww ni mwanamziki pekee kwenye nchi yenye wasanii wengi 🤍
Rais on amapiano.💪💪💪. Bt Mavoko ameuza sauti tu hajaimba. Much respect from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Best song mimi ndo wa kwanza likes Me tatizo sio wewe tatizo sio mimi
Show kali it very amazing nay wamitego🔥🔥🔥
Respect kwa raisi wa mazese msemaj wa jamiii one love bro kazi endeleee Twanga vichwa vyao ❤.......✌
Makamanda wawili kwa dunia moja ... KALI AISEE ❤❤❤❤ FROM KENYA 🇰🇪 WAPI LIKES ZANGU
Uñyma mwingi ney wamtegooo😍🌍
Mavoko umetuzingua Bado cjamuona Mavoko Yuule Nnaemjua Mimi....
Kuna Nay mmoja tu Tanzania.
Kuna Msanii mmoja tu Tanzania 😊
Huyu ni Nay WA Kenya tu kulingana
Mavoko kk karibu tena
Richi uwiiiiiii my blood washa bado tuko pamoja 🎉
Best Rap tanzania yote!tunaisubili kwaamu❤❤❤
Hicho kiherehere kitakuponza 🤸🕺🕺goma la December
Nimeielewa hiii kakaaaa ney pa1 sana . Wanazima moto kwa mate afumoto umekolea. Mi nimaji usipo ninywa utadekia ❤❤❤❤❤ love ney wamitego
Ngoma kali sanaaa🤞💯
Le roi de rap nay en collaboration avec rich mavoko j'adore vraiment 🇨🇩🇨🇩
Moto sanaaa💥💥🎵
Depuis Bamako 🇲🇱🇲🇱🇲🇱
Mavoko kanyimwa bana. Sio fresh hivyo 😢but ❤
Tunao kubali combination ya nay na mavoko tujuane apa
Wadau wapi like ya rich mavoko 🎉
Wa pili naomba like zangu n'a Miye
Richiiii is back and rocking, likes jameni to king of vocals rich mavoko👑👍though ameimba sehemu kidogo, miss his voice
Balaa sijui Nani mkali maana wote Ni wanyaam Sana
This is amazing seeing my two best artists doing a Collab....I'm sure hii ndo funga Mwaka💥💯
Wooozzzaaa 254 🇰🇪 tumelipokea vyema🎉
SIO WEWE 🎉🎉🎉🎉
Thanks for bringing Mavoko back to industry
imekaa vizuri sana wawili Kwa mfumo
Goma Kali Sanaa aiseeee punguza mwendo Kuna kazi mbele
Iziii ndio nyimboo raisii wa kitaaa
Nazijua shida na ndio maana sina roho mbaya❤❤❤
Congratulations congratulations!! Hio nane raisi wa kitaa nimekupea
Vzr sana kumurudisha mavoko kwenye gemu nameipenda
Siku moja nay utakuwa raisi wa Tanzania kura yangu unayo tayari
Rich mavoko ni mda mrefu sana ulikimya mno najivunia kuskia ladha ya mziki wako bhana❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kazi nzuri
ungempe nafas kubwa mavoko wimbo ungekuwa mkali zaidi
Nakubali Kaka
My favorite artist your number 1 dude 🤴👑 niko nsikiliza kwenye gari la boss naona kama langu vile tatizo ni ugumu wa maisha
Tuko Ndani Kutoka 254 KENYA !
NAY nitakukubali mpaka kufa so talented man
Cjaelewaa sasa mavoko ndo kamalizaa apo au vp... Daah 😢😢
Haaaaa yaani aise Bala hiyo noma 😅😅😢😂❤
Nimeipata hiyo big up sana mwamba
🎉Mr Nay wamitego noma sana
Goma kubwa sana lisipoenda sijui nivipi ila nnahakika lazima lihit
raisi u kill it love from Rwanda 🇷🇼
Kosowa serekali ya kagame nawewe kama ni ambassador
Bwana bwana wee ngoma kali saaana 🔥🔥🔥✊🙌🇶🇦
Ukiendekeza vya bure utashika bombaaa
Mwamba katika ubora Wake 🎉🎉🎉🎉
Ongera wajuwaji mimi kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩
Nay ft Mavoko ni moto 🔥🔥🔥
Jamani kazaneni kumshika mdogo wenu Rich mavoko mkono wenda atarudi katika nafasi yake yaapo awali
Mavoko kweli mda mrefu sana bro
..samaki hafunzwi kuogelea💯💯...Rais wa kitaa🔥🔥🔥
Billionaire Kid💯🔥🔥🔥
From Kenya 🇰🇪 Mr Nay huwa nakuwa nimemrank to my top artists
Big up nay good job..... Shabiki wako toka kenya
Bora kumsikiliza uyu jamaa maana anasema ukweli sana❤
Naweka bendera ya nchi yangu 🇲🇿
Vitu vitamu vimekutana mr ney, love u, rich 🎉🎉🎉
Namba trending on RUclips,but truly uko vizuri Neyboy hii Ngoma umeimba wewe mavoko yake chorus amefunika kweli kweli respect
Nakubali sana true Boy,free nation💪
Asante Sana kwa goma Kali ney ft rich
True boy mavoko ni mzur pia
Ney Ukifa huoziiiiiiii🎉
Kama na ww haujasikia alipoimba richmavoko gonga like apa
Wakwanza ata haijaanzaa
Kazi nzuri bro hnaga mbovo raisiiiii!
Riche mavoko tuna mu itaji sana!!!❤❤❤❤❤
Nakubal goma la.kuruka ndebe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Raisi si ni wewe wa kitaa🎉🎉🎉🎉