Nay Wa Mitego - Rais Wa Kitaa (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 29 авг 2021
- Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2021 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #RaisiWaKitaa Видеоклипы
Hii ndio tafsiri sahihi ya MSANII NI KIOO CHA JAMII.Naam Naam Salute kwa Ney.
Exactly
Magodolo tumeloweshaaaa
@@sportnewsTz yule anajua mwenyewe anavyo viimba na watu wake
Big up sana bro nikuelewa
sisi wakenya tunasema huu wimbo ni wa east africa, wimbo umebeba East Africa 🔥🔥🔥
Kwanza hii Kenya
yan sisi kwanzia magufuli amekufa daaah tunaumia mnoo
Ayise wew nimusani bora achana nawanao sifia wizi
Safiiiiii
Kweli
Wimbo huu hujawalenga watanzania pekee bali ni waafrika wengi wanaoumizwa na waafrika wenzao. Asante sana Mr. Nay kwa kuwasemea wanyonge wa barani Afrika kwa ujumla. Much love from Kigali, Rwanda.
The state of most African 'democracies' summarized. Mr Nay good work giving us music of value. Kudos from 🇰🇪
ok
Nay, nakukubali sana kwa nyimbo zako nzuri za kuelimisha jamii na serikali kwa ujumla wake. Mungu aendelee kukusimamia ili uzidi kufichua yaliyojificha.
Ney hapingiki wasemee rais wakitaa nakuku Bali kinyamayan
Huu ni wimbo bora wa Hip Hop kwa Mwaka 2021. To the top kabisa. Aliesimama mbele yetu sio mbunge ni msanii! Na umeitendea haki sanaa. Huu sasa ndio ukomavu wa sanaa. Plss naombeni Like zangu kama zote kwa mara ya kwanza
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ruclips.net/video/_vGu4l1MoMw/видео.html
True
Twende Number 1
Niko hpa rais wtu wa kitaa kwa ilo usijali mbona utafika mda sio mlefu mwambaaa
No 1 now ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Ushafika moja mzee rais wetu
Tozonia kwel
Tushafika tayari
Asante sana ney wa mitego kwa kutuongerea wananchi mungu akupe ujasili zaidi wa kufichua maovu asante broo hakuna rais kama mgufuli tutamkumbuka daima,,,
No. 1 on trending for Music 🔥. Halafu ni ujumbe wa kujitoa muhanga maana wengine ni makunguru waoga tu. Sana Mr Ney.🇹🇿✌️
🔥🔥🔥🔥wimbo wa mwaka🔥🔥🔥
Ndio nyimbo tunazozihitaji kipindi,nyimbo za kutusemea..well done Mr Ney
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ruclips.net/video/_vGu4l1MoMw/видео.html
Kweli nay anaongea ukwel at mm nitakubali niwe mwnafunzi wake kimzk nitafanya Kama yy
Kwakweli uhu ndio Uzalendo MUNGU akutunze Mr ney
Tanzania tunahitaji watu watakaozungumza bila uoga kama Nay! Respect kwakuwasimamia wanyonge huu ndio UZALENDO WA KWELI.
Km gwajima pia
Na roma pia
Na huo ndio usanii sahihi
Kwa huu ukwel
Ww ndo msanii bora
Amna Mzalendo apo, Nay anatest mitambo, alijaribu huu upuuzi kwa Magu, akageuka kuimba gospel, maan haikua commercial,
Uhuru ukipitiliza haya yanajitokeza, ningekua na mamlaka Ungeshikwa kimya kimya, ungefirwa, ungelala yoo
Tafuta content fikisha katika jamii Wachana na uchochezi, mziki wako bado unahitaji nguvu kufikia watu wengi,
UVUNGU HAUNA SHURUTI
Safi sana goma kali sana limebeba ujumbe mzuri na mzito hujawahi kukosea kbs Ney 💪👊
Dahh Wanangu nimechelewa Sana kuangalia wimbo mkali Kama huu nipeni lake japo 10 TU za true boy
Kwa mbaaali namuona Hamza akitabasamu Asante mr. nay
Respect sana *RAISI WA KITAA NAY* Ukweli utabaki kiukweli uchumi unapanda kwao sio kwetu wananchi... Bonge moja la ngoma 💪✊🏻✊🏻✊🏻
Semasema Nay wamitego bigp sana mkuu. Wewe kweli ni Rais wa kitaa .
Tangu wimbo unaanza mpaka unaisha sijaona aliyevaa chupi humo👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻
Hahaha true kbs
Respect bro Ney umetisha sana nimekuwa narudia rudia kusikiliza huu wimbo hii ni zaidi ya Mara 100 narudia kusikiliza na bado hata sichoki nataman uwe trending hata zaidi ya mwezi Ney umetisha.
from Burundi, this guy is a giant musician 💪💪,let push him together my fellow 🇹🇿
Kama mpaka Burundi wanamuelewa Nay wewe nani ubishe
Nakubali Sana ichi kigongo, noma sana
Maneno mazuri, sisi, wanyonge
Ngoma kali sana
Wasanii wote wangekua wanatoa nyimbo zenye akili kama hizi hakika hizi mambo safi, Big up Mr Ney🔥🔥🔥
Kenyans we should listen to this, our situation now, 🇰🇪
The true boy in the building, no fear no favour.
This is revolution 🔥...we need more artists like naywamitego...if you like this thumb up👍
Yeah✌️
Sure
Walete mzee 💪💪
ruclips.net/video/-H0szcRIjyE/видео.html brother k kujinyonga
ruclips.net/video/-H0szcRIjyE/видео.html brother k kujinyonga
Kenya we need someone who can speak on our behalf like this
Kenyan they already the so called King kaka have had the song Wajinga nyinyi☠☠
How about Julian exponential
Mnae mbona Meja🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
soon number one wow!!!
You already have Ruto
UGANDA AGREES WITH NAY 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Tusemehe nay nakupenda sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nipeni like za nay
Dah hii ngoma nimeirudia kuisikiliza zaidi ya mara mia,shukran sana broh kwa kupaza sauti,tuko nyuma yako 🔥🔥🙌🏽
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ruclips.net/video/_vGu4l1MoMw/видео.html
Yaani ametisha
Mambo ni moto
Ney ngoma hii ina unyama sanaa, big up , that's such kind of art we are looking for the current generation.
Heshima kwako laic wa kitaa washa Moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔨💉
Nakukubali sana
Washamoto brooo upo vzr sana zaidi ya sanaaa😭😭😭😭😭dah💪💪💪💪💪
Ni dakikaa tatu katumiaa lakinii ujumbee 🔥🔥🔥🔥 👊
I getting to like Mr.Nay,keep up with this.....its a problem we are facing as Africans! its all over in Africa
Uzao wa binadamu aina ya Ney wamitego unatoweka katika uso wa dunia kwa 99% kila iitwapo leo, kulinganisha na wale waliopooza... Hawakemei wala kukosoa wao wap tu. Mungu akutunze Kaka Ney
Labda na Hamza ndio wanaendana Big up kwao
👍👍👍👍👍
Kama unamkubali nay wa mitego gonga like hapa
Iko pia sana hii nyimbo ina direct ujumbe nadhan wamesikia wao na imewachoma hii ndani ya #2021💥💥💥@Mr nay
Toute l'Afrique devait écouter cette ce rap, Respect Nay Wamitego d'avoir été du coté de ton peuple
Thank you Ney this is an East African song . We love you
This is revolutionary music! Timeless music! Freedom music! Thank you for this... Much love from Kenya
Aisee!! Mpk machoz, Sina chakusema, nitakukumbuka katika Sala zangu. Mungu akufiche kwenye mbawa zake
Hongera sana Ney Nakukubali sana.....hizi ndiyo nyimbo siyo Konde kila wimbo majigambo
More fire ney wa mitego big up. Bro
The type of music that should be number 1 on trending
Exactly🥂
It's number number on trending
nay wa mitego n mmoja tu tz🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
""wambie hao rais wa kitaa tunakuamini go go go ney"😭
Corona Kumbe ipo
Dahhh safi sana nay na Roma mpo vizuri bado roma naye tunamskilizia naye ni balaa nyngnee
tumekamilisha ulichotuomba ney 1m tayari 🙏🙏🙏
Nimeisikiliza hii ngoma Mara 4 ney kaka umeuwa na kipaji unacho, je utakuwa salama maana nchi yetu aipendi mtu mkweli, lakini Allah akupe nguvu na Imani zaidi amiin🙏❤️❤️❤️
Jamn 😭😭😭😭
Tutapata wapi wasanii wenye kuingolea jamii kama nay?
Like 50 kwa ajili yke jamn.
Roma kakimbia nchi
Yaani Mungu ambariki
Mr Nay himself is the opposition leader in Tz without second thought.❤❤❤❤
Ujumbe upo deep axeee kasimama kwaajl ya watanzania wte truxt me
Who else watching frequently and never get tired of this 🔥🔥🔥 song ?!
ruclips.net/video/-H0szcRIjyE/видео.html brother k kujinyonga
✌🏿
Hii ndo maana ya msanii lazima uangalie kinacho umiza na kukikemea.
I appreciate you bro big song on time
Nakubali Ney kazi nzuri wachane ukweli💪💪💪💪
Kwakweli huyu mama cjui anapendwa nawatu gani. Namchukia sana. Ney Mungu akupe ulinzi mkali wasikufanye chochote kibaya kwakusema ukweli. Nakupenda sana
Bado watajifanya hawasikii.... ngoma kali brother Ney. Mafisadi watatuua mwaka huu... sirikali ya walaji.
Aliewadanganya mkamuuwa magufuli ndie kawateketeza huyo mwanamke anatumikishwa nawazungu
Washa sikiaa nasaivi watatia adbu 2025
This song is on another level keep up Rais WA kitaa
Akili kubwa na Mungu wa haki atakua nawe daima Nay wa mitego.
Huyu ndo Nay True boy mwenyewe. Na amerundi sasa. 😷🥶🥶🍾💥💥💥💥💯💯💣💣💣💣💣. Tumeupata ujumbe
Shikamoo Tozonia😀
Wasanii Wote Wangeitumia Sanaa Kuitetea Jamii Badala ya Kumuimbia Paula wa Kajala, Basi Dunia Ingefika Mbali Sana!
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ruclips.net/video/_vGu4l1MoMw/видео.html
😂😂😂
Umeua blaza
🤣🤣🤣🤣
wasaniii wote wangekuwa kama ww tusingenyanyaswa....bigup ney
THE REAL LIVING LEGEND OF REALITY MUSIC IN TANZANIA! WHICH ITS REAL MUSIC TO THE SOUL AND REALITY WE LIVE IN.
Nimekubali mzee baba tusemee tu hakuna namna
Umetisha bro, ngoma imetulia kinoma.....
Big up #SAUTI YA KITAA
Bro it's reality 100%%% your the real king of music
This is voice of Africa 🌍 not only Tanzania. "Mwaka huu watatuuwa"
Massage sent big up brooo
Ww ndy Raisi wetu wanyonge respect Ney, umegusa sehem zt kwny hii nyimbo yk 🔥🔥
Salute kazi zako ni safi real hiphop Kenya love!!!!!!!
Another Bobi wine
Thanks bro respect Nay wa mitego
Duuu hii ngoma kali sana ni zaidi mageuzi hii ndio sanaaa sasa sio kila siku mapenzi tuu kila mmoja anasikiliza safi sana bro ney
Safari na muziki......Road to revolution✊✊✊ Amkeni vijana!
Huu jamaa nomaaa nakubali
"MTANIKUMBUKA KWA MAZURI"😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nay wewe ni Next Level Brother. Hii ndio maana ya Msanii kuisemea Jamii. Big up.
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ruclips.net/video/_vGu4l1MoMw/видео.html
@@b9media144 big up brooh
Kweli kabsa
Sawa ngoja tuone
Kimeumana
Am not a Tanzanian but i feel your pain Nay. My favourite
Tuifate 1.1M chapu wazeeee
Daah huyu mwamba namkubal uwoga hana kabisa salute baba nimeirudia Mara zote ngoma yangu ya week nzima hii.
Tungepata watano2 kama ney nahisii tungefikaa sehem flani respect to you broo
Activists Real One.
TRUE BOY JUU
Na ku appreciate sana nay wamitego
I would have said more but this song speaks for me and for the rest of the voiceless people in Tanzania. Kudos to you
Nakubal sana kaka🙏🙏🙏🙏
True this man is real
Ngoma iko sawa anatetea wanyonge kweli bravooo bro
Sema ney wamezidi huu niutaper
Mwanzo nipew like zang km zote rais wa kitaaa
Nimekubal sana kaka hii nyimbo naisikiliza kila wakat yaan dah kaka pongez kwako kakuijua thaman ya chozi letu 🙏🙏🙏🙏
Rais wakitaa umesema wamepunguza tonzo kidogo 😀😀😀😀
Finally,the great musician has spoken.He is not a coward.Much respect to the street president representing street people
Nay wa mitego ur the best singer ever, you speak the truth, you speak on behalf of all voiceless Tanzanians, big up Nay
Hongera kwa ujumbe nzuri sana
Sir Nay ndio wa kuigwa Africa 💪
Hii ndio nyimbo kali toka afariki Legendary Magufuri we miss you our true Leader angalau hii nyimbo itatufariji
Huku covid Gwajima boy pale Too True boy
Zero brain eti Legendary Magufuli huyo ni Magu Fool haya yote yanayotokea TZ ni sababu ya huyo Shetani Magu Fool.
Basata: “Yule Nay tushamzima”...
Nay: “Hold my glass”...🔥🔥🔥🔥
Nguli ruclips.net/video/jIKtN6WUSe8/видео.html💥💥
👍🔥
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ruclips.net/video/_vGu4l1MoMw/видео.html
basata ni moja ya vibaraka waserekali No wonder my brother hata hii wanaweza kuweka hila
Ce vrai la démocratie
Tunataka ngoma zije zingine Kali Kama hii Mr true boy.
You will go down in history Kama msanii aliyetetea wananchi kwa njia ya muziki .. Don't give up
Unajua adi umepitiliza brother Excellent sana
Yaaan Ni wimbo mzuri,nampenda Sana Ney
Ukweli nei Yuko Vizuri san bigap brother songs mbele mungu huko pamoja nawe inshallah mwenyezi mungu utujalie mwisho mwema
We ndo nayMitego mwenye mitego
This showcases you are a role model and leader in our organization. ...✊✊✊
🔥🔥🔥🔥 uzuri wako uogopagi mkuu
umeona
Sana mdg e2
Wewe c Unafanya Hip Hop ya uoga ngoja awaonyeshe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakubri
Ni kwel kabixa
There's just certain songs that just hit different...and this is one of them. 🤝💯💯💯
free natio🤟🤟🤟 tujuanee....
Nilikuwa natamani hii nyimbo isiishe...Aendelee tu kuimba....#Big Up Big Bro🔥🔥
Kama unasikia saut ya Belle 9 gonga like🔥
ur the best ney mama @samia suluhu our president hear our voice we ar suffering mama..
Ata Kenya tunasema Katiba Mpya ni sasa na Corona ipo!!Kenyans are happy!
Hii ndio usanii in bora utusemee maaana kina ba mdogo wanampotosha
Katiba kwenu nyumbani fala kabisa
Nyinyi ni hypocrites wa handshake kwendeni maisha ningumu uku kitaa
Wee boyaa kweli Kenya hatuitaji katiba
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ruclips.net/video/_vGu4l1MoMw/видео.html
#SIO UTAn 👊✊ Emanuel ebariki
Nay is the best artist of His time. Message sent and delivered to the targeted audience.
Saut moja kwa ajili ya mamilion ya watu big up zimewafkia 💪💪💪
True boy
Duh hqtqr
Tumpeleke namba moja on trending for music
Nakubaliiii endelea mwenetu
Big up kwa Nay wa mitego