Nay wa Mitego - Alisema (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2018
- FREE NATION RECORDS proudly presents ALISEMA by Nay Wa Mitego.
Audio Produced by - Mr LG, Love Touch,Aniwy lee
Video shot in Tanzania by director - DEO ABEL
ENJOY.... - Видеоклипы
Kenya hatuwezi pata bingwa kama huyu.
Much love from +254🇰🇪🇰🇪
Likes za WAKENYA ndani ya nyumba plz.
👇👇
kuwa mpinzani sio kupinga kila kitu 👏👏👏👏 like zenu Tafadhali hii ya mwisho naapa siombi tena
This Song does not only talk to Tz, But Africa, I can relate to everything in 254
Real bro
True😥
it true bro
Very true
👍👍👍👍👍👍
The only msanii who is not pregnant but keeps on delivering everytime...salute from 254 kenya
Dah Ney big up sana Naamini Wimbo huu Utawafunza weng siyo kila cku nyimbo za Mapenzi,Waliyoipenda hii ngoma washushe like zao hapa
Safi
hatari sana kaka
John malechela au John Magufuli
Interesting track
mbona mim MBNA kila nikicoment spati like jaman nioneen huruma na mim!😁😁 Mr nay hii ngoma Kali kinoma ka shishi chili ya shishi nanhh!
Ney we nimkweli endelea kuwachana mungu atakulipa
Noma sanaaa babulai
😂😂😂😂😂😂
Kiukweli vijana yatupasa kutoegemea sehemu moja panapositahiri kusema hapana lazima tuseme na kwenye kusema ndio yatupasa sisi vijana ndio tunaotazamiwa huko nbeleni .asanteni Watanzania na wana wa Africa.
Obby Joseph 😹😹😹😹
Wimbo naupenda sana huu💚💚❤️❤️ ujumbe mzuri sana.
Napendekeza huu wimbo uwe "wimbo bora wa mwaka"
~song of the year~
San
kwamara ya kwanza Brother Umetuliza akili nakutuletea Ngoma kweli sisi Patriots
Nandi
Kiuhalisia umeweza kuonyesha namna ambavyo sanaa inaweza kutoa elimu kwa wananchi hasa vijana ambao wengi wamekua na woga wa kutoa maoni yao kutokana na kutokuwa na uelewa wa haki zao pia. Big up Nay. Likes za kutosha kwa wanaosimama kama alivyoagiza Nyerere!
CHARLES KOMBE tatizo watu wasiojulikana ....😏😏😏 n.a. sehemu isijulikana🙂🙂 inafanya watu kukaa🤐🤐🤐
CHARLES KOMBE kwel
Ww mwana siasa halisi unaweza kaka yani ngoma zakoko zote ziko juu ila wanaonekana haooo wenye nyimbo za kipuuzi 💪💪💪💪💪komaa jembe hawakuwezi
Chombo chakwelii
❤
Baba you are the true voice to the citizens of African, not only Tanzania. Much love brother ❤
True Boy 699 Huu ndo muziki wa Kiume unaokutofautisha na wengine, Big Up Nay True man
Ni 699 ao ni 966 ??
mmmmmmm alisema Nyerere kama ume elewa gonga like twende Sawa
Pamoja san bro kazi nzur san
Mbona wacheka vp?
Kiboko
Atariiyongoma
Say xn true nay
Duh Mimi mgeni kumbe na huku kuna kugongeana like !! Nacheka kihutu na Mimi sitoandika Tena ila #Alisema
What a great song to listen to. A great inspiration for the African youth to stand up for their rights and keep the government in check.
Am from KENYA BUT AM IN LOVE WITH NAYS SONG ITS EMOTIONS IS SUCH A UNIQUE ONE I SALUTE THIS IT TALKS ABOUT THE REAL LIFE ..Nay good job
Daaaaah, nani kasikirza Mara ya pili Mara tatu kama mimi
Yaani nmeielewa zaidi big up brother
Oyooooo
Lewis Wanyama daaah mi Mara Tatu na taendeleaaa
Johnson kla time naichek ikopoà mno
Lewis Wanyama kama Mara tano hv nmeirudia rudia
Cyo poa ikopoà mno
Ney hatari sanaaaaaaaa kweli ndio yule tunaye kujua
Ujumbe halisi💯....
Wimbo mwema...
Nay mziki bora.....
Msinielewe vibaya jamani. Jamii nzima ya Afrika ya Mashariki ipo siku tutakumbuka palikuwa na mwanaharakati aliyeitwa Nay Wa Mitego. Hatumshabikii sasa lakini akishaondoka ndo tutaanza kumposti kila mahali. Mungu akulinde Nay, mob Love from KENYA.
Hii ngoma imeBALANCE kinoma noma.. umesimama pande zote mbili.. Big thumbs up 👍👍👍 Mr Nay
ngoma kali sana, umesimama katikati kusema ukwel (alisema nyerere)🔥kama umeikubar ngoma hii ngoga like twende sawa,,,,,thumbs up👍
Wakenya pitieni hapa... Africa mashariki tuna njaa ya uongozi mwema, maendeleo yasiyo umiza wananchi
Tanzania wanamziki kama huyu ni wachache sana hata hawazidi watatu GOD BLESS US
Iko sawa Hii ngoma kama ungekuwa unatoa ngoma kama hizi ingekuwa poa
Kwa hapa sisemi tena aisee,mungu ndo anajua lawama zote kwa John
John malichala
Kitu iko wazi sana,hizi ndo ngoma inatakiwa tusikilize
+Mikael Charles hapan so malichala John alcohol
A revolutionary kind of a song , listening it non_stop as my country Kenya is nearing its election period.🇰🇪
Thanks Ney for this piece
_2021
Umoja wa kusoma koment Tanzania,kukota,kama nawe upo gonga like yako hapa
UKKT
John Bruno wa
Kama unamkubali #NAY THE THE TRUE BOY BC gonga like ya nguvuuuuu.
Jackson Platnumz IPO good
Kama nawew hujaona comment inayosema ngoma hii mbaya gonga like
I really appreciate Mr true boy this song is a lasting tz and African as a all
I love his song. I don't know what it means but it's a great jam
The first one to watch this kama uko na mr nay weka like yako hapa twende nalo
Naamini nay amekuja kivingine Sana basi kama unapenda mpee like ka haupendi pita tu...
Ney hapa nakupa bigup mkubwa wimbo nimeuelewa sanaaa yan
Kama umeuelewa wimbo like tujuane
Tisha Sana mpe neno muafrica ney umeionaje mwanangu hii ngoma? Like apo
Nay wamitego hebu fanya Remix na ROMA itakua kubwa zaidi ya hapa aisee.. Kama una support ifanywe rmx like hapa Nay atapita kuisoma hii na kufanyia kazi.
Bongo Updates itakuwa ni bonge la ngoma
na rostam hasaa, na yeye akafanye rmx ya rostam iliyopita nimesahau jina..
umesema kweli asee
Kwel asee ingekuwa poa
👮👮itakuwa bonge la ngoma asee
mungu akupe nguvu coz umebaki wewe tu mtetezi wetu kama unaniunga mkono gonga like mbaka imfikie Mr ney
Ney wa Mitego kweli wewe Ni mbunifu, huyu wimbo umeupangilia kikamilifu, hongera sana Ney, upo vema.
For sure this song makes me crazy when am listening to it...but it focus on our daily life business..keep it up my nay wa mitego..
Mwanañgu kaa kimya...., Nimekuelewa Mr ney
Daah huu wimbo umenigusa sana, choz kwa Aqwelina..
Ramadhani Nyamranga more than pain
Vp
Br music is the mission good preaching n massage sent unafaaaah uuuh wimbo unamoto
Hats ukifa leo @ney wa mitego, dunia tayar imepokea ulichowaambia pia ni funzo ❤❤❤❤
kweli ww ni true boy.hii ngoma kali sana, kweli lawama zote kwa john
Vijana wamepewa madaraka wanatukana wazee,, like kama umeikubali
Wasani wengine wajifunzekutoka kwako mana mapenzi wanayo yahimba hayanaga mjuwaji na hayanaga mwisho wala mapya nimda wakuhamka
From congo
Walio kopeshwa pesa naho wote kwa John congratulations my president magufuli 👏👏
Nampendaga sana ney cz haongeagi uongo kama umeelewa alisema nyerere like apo
Nkbl San nay
Sjawahi shiriki siasa hata Mara moja lakin huu wimbo ni mzur
Day! Poa Poa
Hatare blood Ney ludi tena Hombolo ukiamshe tuanze mchakamchaka
Kaka yangu kabadirika kabisa .. akuna mwegine kama Mungu
Gonga like apa kama una mkumbali jesu and god
Lve from 254
Kweli hii ngoma inasikitisha kiukweli
Good music man!! Good message, listening from 254🇰🇪🇰🇪
I do listen to Nay songs every morning.
Akizingua tuna mchana 😀😀😀oya gong like apa mzee
Bonge la ngoma yan
MTU una dislike nyimbo hii kama unamaisha mazuri kumbe kama mm tu.....hemu tujuane tuloambiwa mchakamchaka na nyerere #ALISEMA
💪💪
Ngoma Hatariii imebalance koteeeeee Hongera my brother Nay keep it up 🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Salute braza! hizo ndizo ngoma, NGOMA KALI SANA _ GOD BE WITH U!!!!!!!
Sasa nimeanza kukuelewa,,,, hakika ni nyimbo nzur ya kuhamasisha vijana na kaz,,,, big up
woyoooooooo kumekucha nay umeuwa nyimbo kali balaaa umetisha mzee baba
Hii ngoma inatuhusu sana hapa 254..hongera kwa ujumbee huu Nay👏👏👏👏👏
Spread that message also in kenya that is truth if you starnd for the truth you will always starnd alone may God be with you 🎉🎉🎉
Nzri sana ukihisikiliza kwa makin na kutafakari ujumbe uliopo ndani ya ngoma hii Big up Ney💪💪
Daaah Sikutegemea ney wa mtego kama Ungeachia ngoma Qlait
Nay amekubalika mpaka Kigali, Rwanda Lines zake zinajulikana ghetto kwa ghetto....nipe like kama unataka Nay aje kupiga shoo Kigali siku moja.
nice work bro bariki that what we want keep it up
Mmmmmmh!! #966/ Mr.ney upo vizur San.. Asantee!! Mtaan tumekusikia. BiG APU kwako ..kama umeielewa hii song kama Mimi gonga like yako
hongera
Huwa si comment lakn kwa ngoma hili lazma nioneshe hisia zangu......hongera mkubwa Ney wa mitego
Guda sana
i realy love this song salute my brother ...God bless you hope to see you inshallah,,,
Great message to all Africans
Cjawah kukupnga Ney najua huwa hubahatsh kwng mm hii ndio ngoma yng bora yafunga mwaka kutka kwko Ney
Mr Nay Hapa Umenena Aiseee Bonge La Ngoma Iko Moto Sana Nimeirudia mara Mia.🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Good boy
254 naweka mhuri. Alichosema Mwalimu Nyerere ndiyo msingi wa maisha. Tusiwe wazambe waafrika. Big up Nay....Umetega mawagazo ya wengi
Daah hii ngoma nmeifungulia apa naona baba mwenye nyumba kanisamehe kodi ya nyumba ya nwezi huu.....bonge moja la ngoma ....umetisha br..🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dhahhhhhh kaka kweli kabis au
Mr nay haukoseagi baba #966 kama unaikubalia song hii #ALISEMA GONGA LIKE HUKU UME PLAY
nice mzee baba @wamitego
K
kiboko
Team dully hii inaitwa mvua ya mawe mamae
@@marystellanyambi1567 imekunyeshea dadeq
Kama umeangalia hii video zaidi ya mala 10 gonga like hapa 🔥🔥🔥
dayana Mushi nimeikubali sana higoma da kiboko
Goodsonq
Ney on fire
Lawama zote kwa John
VP kamahii Itakuwa pow
Alisema ni ngoma kali from my favorite artist Mr nay (wamazese)....nataka kuifanya national anthem 254
Broz Nay hapa unasema mungu yupo ... that's the way to go msanii
Hii nimeikubalii umenena point kama zoteeee gonga like twende sawaaa
Hata akisema wao ni wao sisemi nikatumiwa watu wasio julikana
huyu ndooo nay tunae mjua sio wa amsha popo kama ngoma ni kali gonga like
wambie hata sijasikia vibaya
Hey
Ngoma kal sn
Jonh Zur
azura
@@tzafricatv6562
Kwa inst kingtiger
Mapenda io bidii vijana at a Kenya wafaa kuchangamka azn kucheza kiwao,,,salute tu rais Wa kitaa
Good song Mr Ney... umewaambia ukweli waduwanzi. Ujumbe umewafikia... walivyo masakala watataka kuifungia hata hii
Real hip hop
Real history
Respect broo nay wa mitego
Viva Pac123 big up ney
#966 ngoma imekaa, kumbe huwa unajtambua mzee.. Nakukbali knyaaaamaa..👏👏👏👏
safi sana mesej nzuri kweli sio kama wale wabana pua vichwa vyao vimejaa mashairi ya mapenzi tuuuuuuuu hawana wanachoweza kuimba zaidi ya mapenzi
Daaaah Mzee mwenzangu umetisha sana real hip hop good song nakuombea mungu aku bless na akulinde usijekamatwa tena mkee
** Kuwa mpinzania sio kupinga kila kitu lengo ni moja kuijenga nchi yetu daah hapa bro umeimba la maana**
Young killer Msodoki 👍
CHAMA LA WASOMA COMMENT RUclips (CHAWACOYU)
Justine Joseph Hahaha umejuaje Na mm Nipo
mwendooo uleeeee
Like hapa nyingi kama umemuelewa kama Mimi
The true boy
Daaaaah!!!! Hadi mwili wote ukasisimkaa.. nay hili bonge la track so educative
wangap tunaiyangaliy alisema gong like 💪👍🔥🔥tujuan 2019
Kutoka +257, Burundi Ney wa Mitego umetishaa
Kama na wewe umeipenda gonga like basi!
Ney leo umeimba kiutu uzima 100%
Ngoma Kali saana the true boy on the building hiii umenikamataaaa
uwwiiiiiiii we ney wewe!!!! ngoma kali kama pilipili imekamata sana hongera ney
Kwa Mara Nyingine
umerudi vizuri 😍😍😘😘
kama umeielewa Hii Ngoma like twende sawa
Ney ney mzee baba
This is so fantastic song
my best hip-hop songs this year Alisema na parapanda
Yani nay wewe jmn hasijui niseme nini jmn nyimbo zako uwa Zina nitoa machozi ila allah akulinde kwa kuitete Tanzania na afrika nzima naju meseji inawafikia wausika mwenye mungu akunusuru na mabaya yanayo kukumba
mama ananikubucha watoto bado wana suma kakimia usije ukakamatu tena. sawa mama iy ni ya muisho nawapa siongei tena . kama unakubari ney biga like
issa mbaluco mbaluco wewe ni mtanzania?
Dume biga balike kama boteee....hahaha huyu siyo wa nchii hii, burundi mojaa
Br br br br br amini kituulichokiachia nipendwa gonga like Kama umeielewa hi ngoma
This guy ney is a bundle of talent
I love this song from South Africa nakubalii ney
100% no weakness on this song. nakupa hongera zote