Nay Wa Mitego - Mamlaka(Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 12 окт 2023
- The Song Produced By Chiby Beats
Video By Director Zizy
DOP By Mganda & Kheri
Script By Frank Kibonge
Graphic By Huzz
Location By Pilato
Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2023 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #Mamlaka - Видеоклипы
Jaman sijawahi kupata like ata 5 kwa raisi wetu wa kitaa Leo nipe ata like 10😢😢😢😢😢😢😢😢
Nmekupata like ila sijui mnaziuzaga wapi
@@Mr.lovebite😅😅😅
Nimekutumia LIKE usiongee sana bc😂😂😂😂😂😂
@@aishafrancis7714😅
Kubabako
Kama umerudia kuangalia zaidi ya mara 3 gonga like tuondoke 🔥🔥🔥
Me nmeiyacha ijurie kwenye bufa...😅😅😅
Mara ya pili ivi na maliza. Maneno ya ku elewa ni mengi ndani
Kijana mungu azid kukuinua
Hunaga baya Broo ktu 🔥🔥🔥
From 🇧🇮 namkubali sana huyu mwamba maana naimani kuna siku moja patakuwa mabadiliko kupitia huu Rais wa Kita kama ilivyo kuwa south sisi huku kwetu msanii imala kama Nay arikuwa anaitwa mkombozi ila arichochezwa paka akachana nayo 😢😢
Huyu ni mwana sanaa achana na makenge wengine ila kama unamkubali jamaa weka like Kwangu please ni ukweli mtupu
Jamani sijawai kupata like Ata 3 kwa Rais wetu wa kitaa leo nipate hata 7😢😢😢😢😢😢
Jamaa anafikria sana aisee,hebu weka like nyingi kama unamkubali huyu mwamba#NAY THE TRUE BOY❤
😂😂 mamlaka🙏
😮😅
Rais wa kitaa chukua maua yako🎉🎉
Mungu akuidishie pumzi uzid kutuamsha na kutukumbusha🙏🙏
Tupia ❤️👍 Kwa rais wetu,,
Congrats to him💪💪
Am from Burundi ,nampenda Nay nampenda mwana Hip hop kutoka Tz maana mashahiri Yao mazito sana.big up rais wa kitaa sauti ya watu.nipeeni like zenu tukisonga mbele💪💪💪
Watu wa Burundi 🇧🇮🇧🇮 tujuane
@@davidcreative1756 👌👌👌
Nimechelewa kuona na kusikiliza huu wimbo, yaan ndio na usikiliza Leo lakin.. umenibariki sana
This dude knows how to be a peaceful activist....lyrics on top
100%
Unajua
Raisi wa wanyonge bro nyimbo nzuli sana natamani ningekuwa mkubwa kwenye nchii hii ningekufanyia makubwa sanaa mziki wako unelimisha sanaaaa bro saluti kwako sitochoka kukusaport
Sijawah comment katika ngoma za ney...ila hiii imeenda, big up bro Ney umebeba dua za wengi...voice of the voiceless 💪
Nay wamitego awe basata na basata wakitoboa ney kafa 😂😂😂😂 like Kwangu umeikubali hiyo kauli
Hii kaipatia sana icho kipande kiwekwe pale mwenge😂
Nakukubalisana brother ! Kiukweli wewe ni RAÏS wa KITAA.mungu azidi kukulinda mimi naishi norway ila hakuna msani wowote hule namkubali kukuzi wewe NEY WAMITEGO.wewe ni moto 🔥🔥
Vipi kazi uko ndugu tukumbukane sijuagi kuchagua ataenifaa sijamjua
@@bainolatino3412 mbona nghafula Sana 😅😅🙌
@@bainolatino3412kazi ukaishi kwa nani? Na ule nini kabla haujapata hiyo kazi? Au unafikir watu kule ni km wasukuma
Huyu jamaaa anaakili kama zangu
Ngoma nimeikubali ❤❤❤❤❤
Walimu wenzangu dondosha likes kama zote hapa. ❤
Mnatumiwa sana na ccm
Ase kama umeelewa kitu hapo raisi wa kitaa ni🔥🔥anaumiza sana Akili ,, au tumpigie kura jamani 🎉🎉
Raisi wetu wa kitaa❤🎉 WE hujawai kutuangusha hata Siku moja!! All You need IS a day oneday😢😢. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮.
Naomba likes zeunuuu hapaa
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮nagomba 😂😂😂
Gonga like tunaopambana kuipeleka trend no 1💥
Sijawahi kuona wimbo una ujumbe mzito hivi, ujumbe kamili uliosukwa, ubunifu mwingine on another level Nay,hapa hata Roma mkatoliki ametii,🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako bro
Ningekuwa rais part 2 part alipga #kalajeremiah
Nay wa Mitego Umetisha sana Mwamba na Mtetezi wa Wanyonge.
Much love from kenya 🇰🇪
Kaka achatu aimbe neyi wamitengo nikama rais magufuri
Nimeona like 99 nikasema why not me 100 😅 wish all the best
Raisi waki taa na chunga wimbo na homu ni mototo wa Congo toka.goma✌☝❤
Raisi wa Kitaa😂😂😂👑🔥big up BABA YANGA...@254
This is a second song that makes me listen repeatedly to you,I wish all African leaders could reason the way you do.Nipeni likes za huyu rais wa Afrika nikiwa Kenya.
An enlightened spirit never goes dark. Keep up the spirit man. 🇹🇿
Saf ney
🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Ukisikia msanii anaeimba nyimbo za kuelimisha na kufundisha Nay wa Mitego wa kwanza❤
Ney nimwalimu wapili
❤❤❤Wanaokuchukia wote niwachawi2 kwer ww ni raisi wa kitaa naikiwezekana tukupe kula Napenda kusema akili mingi sanaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Great piece of art...
Tanzania tunakukubalili, God protect you always. Much love bro 🇹🇿
Dope beat,maneno ya uchungu.hamna matusi,hamna wanawak kua uchi na kucheza uchi.msg sent kwa viongozi km woote wa Africa.
Naombeni like za true boy... Message deliverer 💪💪
Elpresidenti..wewe ni zaidi ya wanyama pori
Nakupenda sana ney we ninoma sana kaka napenda ur songs mungu akubari upate huru Tanzanian najuwa una teteya Tanzania yetu iwe na amani tuna mukumbuka rais wetu mangufuli 😢😢 don't give up brother fight for ur chi yako
Mdogo wangu hujawahi niangusha kamwe!!!....good music with deep message in it.
Daaaa what a song 🔥 nomaa sana ney wa mitegoo much love from Scotland and nawapa salaam ndugu zangu watanzania hiyoo ikawape faraja wahanga wa vita ya Israeli, na,, Palestina #weka like yako hapa
Sisi wapenzi wa haki, mara nyingi society ahitupendage ata kidogo... maana ni watu wenye misimamo mikubwa sana....
kaka mitego napenda sana uimbaji wako napenda umuongelee mbarikiwa mwakipesile mungu akubalik
I feel the pain this dude is addressing in this Banger. Your the best Mr Nay.
From Kenya with respect.
Tanzania Marais ni wawili.Rais Magufuli na Rais wa Kitaa
We jamaa ujengewe sanamu lako ikulu💯💯💪💪🙏
Mi kila nikiimiss ngoma nakuja humu kula tuuh bando Mr.Nay unatusema sana jamanii 😢🎉
Siku wapinzani wakishika dollar (nay) atakuwa msanii mkubwa barani African naamini ipo siku❤
Alafu apo utasikia eti wimbo ni wa uchochezi ufungiwe Nay akamatwe. Yani hii nchi basi tu. Big up bro nakumbuka kwenye wimbo wa "Sauti ya watu" ulisema wasanii mpo wengi ila hakuna anayesema Kama wewe. Nazikubali sana harakati zako Kaka. Twende sambamba ipo siku watakuelewa tu❤❤
Viongoz wetu nyoko Sana
C tunamuelew man toka way back. Mwamba tunamuelewa. Km ngoma alishilikishwa na yakuza mobb aliuwa sana kudadeki zake. Km huijui kaitafute hyo ngoma
@@JaymbwanziOg😂😂😂
nafrai kuonaa ngoma ya mr free nation no.2 trenging ,,tupush ngoma zake.
Tz chukueni akothee mtupee huyuu nay the true boy
From a proud neighbor🇰🇪
C'mon tz mmebarikiwa Bana 🔥👏🤩
😢😢😢 Aki ya Mungu naapa hapo kwenye umeme hata mimi ningepewa mamlaka hawa viongozi uchwaro wangenitambua wangeishi Kwa mateso sana wasinge pewa hata tone la umeme wanatutesa sana hawa makuma
mimi ni mkenya na naweza sema hakuna kama NAY huku kwetu...kazi safi mkuu. ukiwa rais wa TZ ninahamia huku alafu roma awe naibu wako✌✌✌✌✌✌
Wimbo uongezwe kwenye beti za wimbo wa Taifa
🔥🔥🔥🔥💖💖🇰🇪🇰🇪 Kenya ishakubali! Aminia
Ikifungiwa hii nairoga basata
Kama tupo pamoja gonga like hapa
Huyu ndio msaniii sio msaniii unaogopa kufikisha ujumbe kwawana nchii Kuna Mana gani ya kua msanii? Kama unamkubali Mr ney gonga like tujuane
Better ameacha kufanyia kazi 👿😈👹 thanks 🙏 mungu
Najikuta machozi yananitoka😭😭🇹🇿 any way naombeni like zangu nifute machozi nitulie.
Huyu aritakiwa awe raisi waichi sio wakitaa nampenda Sana kinyama🎉
My mentor always ❤❤from Kenya 🇰🇪
wimbo wako mzuri kaka ila mungu akulinde na akutie nguvu nimependa ccm wawe chadema, chadema wawe ccm ila pia hakuna mtu mkubwa tanzania na duniani kwa ujumla kama mwalimu japokuwa wanalipwa mishahara kidogo kiukweli nakubaliana na wewe hakuna maisha bila siasa wanatulazimisha kuwa wazalendo mbunge wa darasa la saba anapanga dactari alipwe mshahara kiasi gani ndo tanzania yetu hiyo nymbo za ney ni zaidi ya nyimbo hasa zinazohusu harakati. by robbyn
Ngoma inatafakatisha ubongoo vemaaaa ney 🎉
You can clearly feel the pain of this dude through the splendid lyrics.
In a nutshell, Nay Wa Mitego tries to conspicuously show that privilege is invisible to those who have it - And in that breadth, our leaders know nothing about our struggles.
Pure class of ACTIVISM from Nay Wa Mitego! Following closely from +254🇰🇪.
God grant this dude a chance much love from Kenya 🇰🇪 Mr Nay
waalimu tumekumbukwaaa ..
Nipeni like za raisi wa kitaa
Ningekuwa rais wa nchiii hiii ninge kupa uwaziri mku ili nikuandae uje kuwa laisi wabadae mr ney wamitego
I love this guy hakuna mwingine kama nay Sam from kenya....
Together we can 🤝💪 this is love❤🎉from mozambique 🇲🇿🇲🇿
Iwe Iwe the message imehit hard kwa Jirani 🇰🇪.
Unyama sana mzee wangu
Strong man forever 💪
Respectful ideologies ❤💪from Garissa Kenya
Hakili yake iko juu sana
😢😢 asante kwayimbo nzuri ige wezekana rahisi Félix 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩afate nyimbo île
Much love from Ethiopia Rais WA kitaa wanakutambua ipo siku Moja uwaogoze WA Tanzania keep moving I salute Brother 👏
😊😊😊
Bro nyimbo zako hazielimishe tu Tanzania ila nasi apa kongo 🇨🇩 inatupaitiya akili nakujuwa gisi ya kuomba haki yetu kwa biongozi❤
Huuu jamaa kiukweli ni genious wa kuwaza uhalisia na uwiano wa maisha naomba mamlaka msikilize ifanyie kazi haya maono yake asipuuzwe.
Me co mpenz wa miziki ila huyu mkaka napenda kuckia nyimbo zake mana zinamaana sana
Moja kali from +255, we always love the creativity, one love +254🇰🇪🇰🇪
In this Era where every song is about "Nifinyie kwa ndani,katikati patamu,nazamisha mpaka ndani,ikisimama rukia"
Tukipata kitu kama hichi ni faraja toshaa.....
Asante Nay...
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂namkubali sana Nay
bigap san broo🎉🎉
Dah!! Naomba Mungu azidi kukulinda siku moja uje kuwa rais wa nchi labda utakuwa mtatetezi wa wanyonge
Gombea urais kaka kura yangu ipo❤
The true boy in the building...big up...🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tuna kubali
Respect Kwa Nay Kam Unamkubal Rais Wa Kitaa Weka Likes Hapa Jamaniii
Rais! Kenya! Embu🌎 Wapi!
Free nation nay pongezi sana hapo ndipo
Nay again, as amazing as usual , good work 👍🏼👏🏽👍🏼👏🏽👍🏼👏🏽yes maua yote ya ikulu ya Dar na Dodoma ni yako!!! 🌿💐🍀🌹 🪴🌺 🌿🌸 🍀🌷rais wa mioyo ya wapenda haki
Habari za wote. Recently I started to learn swahili, because I am very interested in Swahili language and culture, and I selected this guy and another called Darassa, to keep going along the way in this exciting adventure. Learning with their music will be so funny and enjoyable. Safari bado ndefu, lakini nitavuka jangwani.
Huyu ndio msanii kwakweli daaa Yana anautendea haki hasa usanii
🎉🎉🎉 raisi wa kitaa
nay on just his own level❤, no one comes even closer to him.
Kaka nakukubali sana kwa kazi zako ..nyimbo zako ziko Safi sana ukweli brother napenda San nyimbo zako..
Much love home boy Harakati tumezaliwa nazo... One day yes
Nakupenda sana nay
Nay is always right to correct the Nation. Love from 🇰🇪 always. All I need is one day to come true. As a true boy.
Much Respect, watu wakinyamaza mawe yatapiga kelele. Kazi iendelee kaka, big up
Oe Unatisha Nay 💯👊👊🔥🔥💯🙏
Aiseee nimerudia mara nne kuangalia,ni huzuni na kilio,ulichoimba ni ukweli mtupu iwapo ikatokea tukabilishana hali zetu za maisha,sitakaa kuona mbunge au waziri akisema Vijana wajiajiri,au vijana wavivu au Maisha ni marahisi vijana hawataki kazi.Hongera sna Ney wa Mitego
True boy hatohoka kusema ukweli💯(⚖️)
Yaani kila mustari kwenye wimbo..funzo tosha..respect my guy!!!!
Basata tunarudia kuangalia na kusikiliza tupate kosa na tumelipata Mgonjwa bila Mganga ww umeandika mgongwa bila Mganaga ndo nini sasa umepotosha Ney, , najua kama umerudia kuangalia hilo kosa la kiuandishi gonga like hii comment plz
Ujumbe wa kweli jaa na kazi hvie ndani mishara midogo mahitaji rukuki
Kutoka 🇧🇮tunakukubali raisiii wa kitaa msema ukweli mpenzi wa Mungu☝️😪
Master piece 🙌
I'm a good fan of mr Nay. Mziki wenye ujumbe mzito sana.
Bonge la nyimb❤
Daaaaaah bonge moja la nyimbo ujumbe mzito wenye ukweli