Nay Wa Mitego - Mamlaka(Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2023
  • The Song Produced By Chiby Beats
    Video By Director Zizy
    DOP By Mganda & Kheri
    Script By Frank Kibonge
    Graphic By Huzz
    Location By Pilato
    Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
    Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
    Audiomack:audiomack.com/naywamitego
    Apple Music: / nay-wa-mitego
    Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
    RUclips: / @naywamiteg
    Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
    Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
    Instagram: / naytrueboytz
    Facebook: / naywamitego
    Twitter: / naythetrueboy
    ©2023 Free Nation.All rights reserved.
    #NayWamitego #Mamlaka
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 2,2 тыс.

  • @Jofuboy
    @Jofuboy 7 месяцев назад +1566

    Jaman sijawahi kupata like ata 5 kwa raisi wetu wa kitaa Leo nipe ata like 10😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @Mr.lovebite
      @Mr.lovebite 7 месяцев назад +45

      Nmekupata like ila sijui mnaziuzaga wapi

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 7 месяцев назад +12

      ​@@Mr.lovebite😅😅😅

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 7 месяцев назад +12

      Nimekutumia LIKE usiongee sana bc😂😂😂😂😂😂

    • @Officialldjiza
      @Officialldjiza 7 месяцев назад

      ​@@aishafrancis7714😅

    • @Max-ml3uk
      @Max-ml3uk 7 месяцев назад +10

      Kubabako

  • @mambolivie07
    @mambolivie07 7 месяцев назад +344

    Kama umerudia kuangalia zaidi ya mara 3 gonga like tuondoke 🔥🔥🔥

    • @neutraltv9393
      @neutraltv9393 7 месяцев назад +2

      Me nmeiyacha ijurie kwenye bufa...😅😅😅

    • @sartielbatakilwa6694
      @sartielbatakilwa6694 7 месяцев назад +2

      Mara ya pili ivi na maliza. Maneno ya ku elewa ni mengi ndani

    • @ChrisKise-rl7ht
      @ChrisKise-rl7ht 7 месяцев назад +2

      Kijana mungu azid kukuinua

    • @salekimweusi2598
      @salekimweusi2598 7 месяцев назад +2

      Hunaga baya Broo ktu 🔥🔥🔥

    • @BushashaSwitch
      @BushashaSwitch 7 месяцев назад +1

      From 🇧🇮 namkubali sana huyu mwamba maana naimani kuna siku moja patakuwa mabadiliko kupitia huu Rais wa Kita kama ilivyo kuwa south sisi huku kwetu msanii imala kama Nay arikuwa anaitwa mkombozi ila arichochezwa paka akachana nayo 😢😢

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 7 месяцев назад +27

    Huyu ni mwana sanaa achana na makenge wengine ila kama unamkubali jamaa weka like Kwangu please ni ukweli mtupu

  • @harrydinouser3080
    @harrydinouser3080 7 месяцев назад +33

    Jamani sijawai kupata like Ata 3 kwa Rais wetu wa kitaa leo nipate hata 7😢😢😢😢😢😢

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 7 месяцев назад +163

    Jamaa anafikria sana aisee,hebu weka like nyingi kama unamkubali huyu mwamba#NAY THE TRUE BOY❤

  • @InnocentAmani
    @InnocentAmani Месяц назад +3

    Rais wa kitaa chukua maua yako🎉🎉
    Mungu akuidishie pumzi uzid kutuamsha na kutukumbusha🙏🙏
    Tupia ❤️👍 Kwa rais wetu,,

  • @IDDiomedeIrin-ml8pv
    @IDDiomedeIrin-ml8pv 7 месяцев назад +53

    Am from Burundi ,nampenda Nay nampenda mwana Hip hop kutoka Tz maana mashahiri Yao mazito sana.big up rais wa kitaa sauti ya watu.nipeeni like zenu tukisonga mbele💪💪💪

  • @josephkwai1819
    @josephkwai1819 15 часов назад

    Nimechelewa kuona na kusikiliza huu wimbo, yaan ndio na usikiliza Leo lakin.. umenibariki sana

  • @raindoro5201
    @raindoro5201 7 месяцев назад +301

    This dude knows how to be a peaceful activist....lyrics on top

  • @erickflenk2777
    @erickflenk2777 7 месяцев назад +83

    Raisi wa wanyonge bro nyimbo nzuli sana natamani ningekuwa mkubwa kwenye nchii hii ningekufanyia makubwa sanaa mziki wako unelimisha sanaaaa bro saluti kwako sitochoka kukusaport

  • @williamernest7131
    @williamernest7131 7 месяцев назад +11

    Sijawah comment katika ngoma za ney...ila hiii imeenda, big up bro Ney umebeba dua za wengi...voice of the voiceless 💪

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 7 месяцев назад +4

    Nay wamitego awe basata na basata wakitoboa ney kafa 😂😂😂😂 like Kwangu umeikubali hiyo kauli

  • @pacifiquemuzo7446
    @pacifiquemuzo7446 7 месяцев назад +171

    Nakukubalisana brother ! Kiukweli wewe ni RAÏS wa KITAA.mungu azidi kukulinda mimi naishi norway ila hakuna msani wowote hule namkubali kukuzi wewe NEY WAMITEGO.wewe ni moto 🔥🔥

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 7 месяцев назад +1

      Vipi kazi uko ndugu tukumbukane sijuagi kuchagua ataenifaa sijamjua

    • @festovenas502
      @festovenas502 7 месяцев назад

      @@bainolatino3412 mbona nghafula Sana 😅😅🙌

    • @belak999
      @belak999 7 месяцев назад

      ​@@bainolatino3412kazi ukaishi kwa nani? Na ule nini kabla haujapata hiyo kazi? Au unafikir watu kule ni km wasukuma

  • @alfonsimwalongo942
    @alfonsimwalongo942 7 месяцев назад +30

    Huyu jamaaa anaakili kama zangu
    Ngoma nimeikubali ❤❤❤❤❤

  • @officialmrmakuya978
    @officialmrmakuya978 7 месяцев назад +80

    Walimu wenzangu dondosha likes kama zote hapa. ❤

  • @crzoneMusic
    @crzoneMusic 3 месяца назад +1

    Ase kama umeelewa kitu hapo raisi wa kitaa ni🔥🔥anaumiza sana Akili ,, au tumpigie kura jamani 🎉🎉

  • @felixgakiza2358
    @felixgakiza2358 7 месяцев назад +87

    Raisi wetu wa kitaa❤🎉 WE hujawai kutuangusha hata Siku moja!! All You need IS a day oneday😢😢. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮.
    Naomba likes zeunuuu hapaa

    • @BushashaSwitch
      @BushashaSwitch 7 месяцев назад

      🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮nagomba 😂😂😂

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 7 месяцев назад +15

    Gonga like tunaopambana kuipeleka trend no 1💥

  • @JtvKenya
    @JtvKenya 7 месяцев назад +31

    Sijawahi kuona wimbo una ujumbe mzito hivi, ujumbe kamili uliosukwa, ubunifu mwingine on another level Nay,hapa hata Roma mkatoliki ametii,🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako bro

    • @stevdwin8014
      @stevdwin8014 3 месяца назад +1

      Ningekuwa rais part 2 part alipga #kalajeremiah

  • @salimrajab3984
    @salimrajab3984 6 месяцев назад +3

    Nay wa Mitego Umetisha sana Mwamba na Mtetezi wa Wanyonge.

  • @JtanyMedia
    @JtanyMedia 7 месяцев назад +147

    Much love from kenya 🇰🇪

    • @JuliusKajuti
      @JuliusKajuti 7 месяцев назад +2

      Kaka achatu aimbe neyi wamitengo nikama rais magufuri

    • @dullahmadoxxx6583
      @dullahmadoxxx6583 7 месяцев назад +1

      Nimeona like 99 nikasema why not me 100 😅 wish all the best

  • @user-ze2eq9hn4t
    @user-ze2eq9hn4t 7 месяцев назад +69

    Raisi waki taa na chunga wimbo na homu ni mototo wa Congo toka.goma✌☝❤

  • @rabbijay3315
    @rabbijay3315 7 месяцев назад +3

    Raisi wa Kitaa😂😂😂👑🔥big up BABA YANGA...@254

  • @shakilayusuf7802
    @shakilayusuf7802 7 месяцев назад +12

    This is a second song that makes me listen repeatedly to you,I wish all African leaders could reason the way you do.Nipeni likes za huyu rais wa Afrika nikiwa Kenya.

  • @user-ei8mz8ck9q
    @user-ei8mz8ck9q 7 месяцев назад +169

    An enlightened spirit never goes dark. Keep up the spirit man. 🇹🇿

  • @happysanga5136
    @happysanga5136 7 месяцев назад +38

    🔥🔥🔥🔥🇹🇿
    Ukisikia msanii anaeimba nyimbo za kuelimisha na kufundisha Nay wa Mitego wa kwanza❤

    • @JuliusKajuti
      @JuliusKajuti 7 месяцев назад +2

      Ney nimwalimu wapili

  • @user-tk4ec9fj4u
    @user-tk4ec9fj4u 7 месяцев назад +5

    ❤❤❤Wanaokuchukia wote niwachawi2 kwer ww ni raisi wa kitaa naikiwezekana tukupe kula Napenda kusema akili mingi sanaa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @becasimson2306
    @becasimson2306 7 месяцев назад +32

    Great piece of art...
    Tanzania tunakukubalili, God protect you always. Much love bro 🇹🇿

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df 7 месяцев назад +70

    Dope beat,maneno ya uchungu.hamna matusi,hamna wanawak kua uchi na kucheza uchi.msg sent kwa viongozi km woote wa Africa.

  • @ademean
    @ademean 7 месяцев назад +6

    Naombeni like za true boy... Message deliverer 💪💪

  • @ibrahim-ky3bx
    @ibrahim-ky3bx 7 месяцев назад +1

    Elpresidenti..wewe ni zaidi ya wanyama pori

  • @nellybyamungu498
    @nellybyamungu498 7 месяцев назад +7

    Nakupenda sana ney we ninoma sana kaka napenda ur songs mungu akubari upate huru Tanzanian najuwa una teteya Tanzania yetu iwe na amani tuna mukumbuka rais wetu mangufuli 😢😢 don't give up brother fight for ur chi yako

  • @mumeommyz8455
    @mumeommyz8455 5 месяцев назад +3

    Mdogo wangu hujawahi niangusha kamwe!!!....good music with deep message in it.

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 7 месяцев назад +3

    Daaaa what a song 🔥 nomaa sana ney wa mitegoo much love from Scotland and nawapa salaam ndugu zangu watanzania hiyoo ikawape faraja wahanga wa vita ya Israeli, na,, Palestina #weka like yako hapa

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 3 месяца назад +2

    Sisi wapenzi wa haki, mara nyingi society ahitupendage ata kidogo... maana ni watu wenye misimamo mikubwa sana....

  • @AyubuFumbi
    @AyubuFumbi 7 месяцев назад +1

    kaka mitego napenda sana uimbaji wako napenda umuongelee mbarikiwa mwakipesile mungu akubalik

  • @lesleetangai627
    @lesleetangai627 7 месяцев назад +116

    I feel the pain this dude is addressing in this Banger. Your the best Mr Nay.

  • @benardmbithi6341
    @benardmbithi6341 7 месяцев назад +19

    From Kenya with respect.
    Tanzania Marais ni wawili.Rais Magufuli na Rais wa Kitaa

  • @kanokiadejy8291
    @kanokiadejy8291 7 месяцев назад +1

    We jamaa ujengewe sanamu lako ikulu💯💯💪💪🙏

  • @mambolivie07
    @mambolivie07 7 месяцев назад +2

    Mi kila nikiimiss ngoma nakuja humu kula tuuh bando Mr.Nay unatusema sana jamanii 😢🎉

  • @shedrackhussein2558
    @shedrackhussein2558 7 месяцев назад +12

    Siku wapinzani wakishika dollar (nay) atakuwa msanii mkubwa barani African naamini ipo siku❤

  • @sogonemasagimarcus3982
    @sogonemasagimarcus3982 7 месяцев назад +75

    Alafu apo utasikia eti wimbo ni wa uchochezi ufungiwe Nay akamatwe. Yani hii nchi basi tu. Big up bro nakumbuka kwenye wimbo wa "Sauti ya watu" ulisema wasanii mpo wengi ila hakuna anayesema Kama wewe. Nazikubali sana harakati zako Kaka. Twende sambamba ipo siku watakuelewa tu❤❤

    • @juzafodas
      @juzafodas 7 месяцев назад +4

      Viongoz wetu nyoko Sana

    • @JaymbwanziOg
      @JaymbwanziOg 7 месяцев назад +1

      C tunamuelew man toka way back. Mwamba tunamuelewa. Km ngoma alishilikishwa na yakuza mobb aliuwa sana kudadeki zake. Km huijui kaitafute hyo ngoma

    • @allankashoro2077
      @allankashoro2077 7 месяцев назад

      ​@@JaymbwanziOg😂😂😂

  • @paschalplatinums7195
    @paschalplatinums7195 7 месяцев назад +1

    nafrai kuonaa ngoma ya mr free nation no.2 trenging ,,tupush ngoma zake.

  • @amiabledemarco1441
    @amiabledemarco1441 7 месяцев назад +1

    Tz chukueni akothee mtupee huyuu nay the true boy

  • @amusavibrian2228
    @amusavibrian2228 7 месяцев назад +10

    From a proud neighbor🇰🇪
    C'mon tz mmebarikiwa Bana 🔥👏🤩

  • @Ben_Mullah
    @Ben_Mullah 7 месяцев назад +14

    😢😢😢 Aki ya Mungu naapa hapo kwenye umeme hata mimi ningepewa mamlaka hawa viongozi uchwaro wangenitambua wangeishi Kwa mateso sana wasinge pewa hata tone la umeme wanatutesa sana hawa makuma

  • @micahmunoko3782
    @micahmunoko3782 7 месяцев назад +2

    mimi ni mkenya na naweza sema hakuna kama NAY huku kwetu...kazi safi mkuu. ukiwa rais wa TZ ninahamia huku alafu roma awe naibu wako✌✌✌✌✌✌

  • @financemanager1711
    @financemanager1711 7 месяцев назад +1

    Wimbo uongezwe kwenye beti za wimbo wa Taifa

  • @WALELOBEATS
    @WALELOBEATS 7 месяцев назад +25

    🔥🔥🔥🔥💖💖🇰🇪🇰🇪 Kenya ishakubali! Aminia

  • @khajisokoni3790
    @khajisokoni3790 4 месяца назад +3

    Ikifungiwa hii nairoga basata
    Kama tupo pamoja gonga like hapa

  • @ngonde255
    @ngonde255 7 месяцев назад +2

    Huyu ndio msaniii sio msaniii unaogopa kufikisha ujumbe kwawana nchii Kuna Mana gani ya kua msanii? Kama unamkubali Mr ney gonga like tujuane

  • @sherletmoses9033
    @sherletmoses9033 7 месяцев назад +1

    Better ameacha kufanyia kazi 👿😈👹 thanks 🙏 mungu

  • @Mnengatv
    @Mnengatv 7 месяцев назад +5

    Najikuta machozi yananitoka😭😭🇹🇿 any way naombeni like zangu nifute machozi nitulie.

    • @PASCKALMARSELI
      @PASCKALMARSELI Месяц назад

      Huyu aritakiwa awe raisi waichi sio wakitaa nampenda Sana kinyama🎉

  • @teteboy2110
    @teteboy2110 7 месяцев назад +40

    My mentor always ❤❤from Kenya 🇰🇪

  • @user-cd4uv2vr8x
    @user-cd4uv2vr8x 7 месяцев назад +2

    wimbo wako mzuri kaka ila mungu akulinde na akutie nguvu nimependa ccm wawe chadema, chadema wawe ccm ila pia hakuna mtu mkubwa tanzania na duniani kwa ujumla kama mwalimu japokuwa wanalipwa mishahara kidogo kiukweli nakubaliana na wewe hakuna maisha bila siasa wanatulazimisha kuwa wazalendo mbunge wa darasa la saba anapanga dactari alipwe mshahara kiasi gani ndo tanzania yetu hiyo nymbo za ney ni zaidi ya nyimbo hasa zinazohusu harakati. by robbyn

  • @ayubukaduma1017
    @ayubukaduma1017 7 месяцев назад +1

    Ngoma inatafakatisha ubongoo vemaaaa ney 🎉

  • @gkmhakiki6798
    @gkmhakiki6798 7 месяцев назад +57

    You can clearly feel the pain of this dude through the splendid lyrics.
    In a nutshell, Nay Wa Mitego tries to conspicuously show that privilege is invisible to those who have it - And in that breadth, our leaders know nothing about our struggles.
    Pure class of ACTIVISM from Nay Wa Mitego! Following closely from +254🇰🇪.

  • @franklinannangerald2796
    @franklinannangerald2796 7 месяцев назад +32

    God grant this dude a chance much love from Kenya 🇰🇪 Mr Nay

  • @amedeuslyimo2315
    @amedeuslyimo2315 7 месяцев назад +2

    waalimu tumekumbukwaaa ..
    Nipeni like za raisi wa kitaa

  • @NANGATV123
    @NANGATV123 2 месяца назад

    Ningekuwa rais wa nchiii hiii ninge kupa uwaziri mku ili nikuandae uje kuwa laisi wabadae mr ney wamitego

  • @samuelmuoki3320
    @samuelmuoki3320 7 месяцев назад +19

    I love this guy hakuna mwingine kama nay Sam from kenya....

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 7 месяцев назад +48

    Together we can 🤝💪 this is love❤🎉from mozambique 🇲🇿🇲🇿

  • @davekhalifa1625
    @davekhalifa1625 7 месяцев назад +1

    Iwe Iwe the message imehit hard kwa Jirani 🇰🇪.

  • @user-nk6zw7fz1v
    @user-nk6zw7fz1v 7 месяцев назад +1

    Unyama sana mzee wangu

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 7 месяцев назад +31

    Strong man forever 💪

  • @kefaluminas286
    @kefaluminas286 7 месяцев назад +38

    Respectful ideologies ❤💪from Garissa Kenya

  • @bestworldlinkgroup9094
    @bestworldlinkgroup9094 13 дней назад

    Hakili yake iko juu sana

  • @MoiseMishenyimateranya
    @MoiseMishenyimateranya 4 месяца назад

    😢😢 asante kwayimbo nzuri ige wezekana rahisi Félix 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩afate nyimbo île

  • @hassanboru
    @hassanboru 7 месяцев назад +11

    Much love from Ethiopia Rais WA kitaa wanakutambua ipo siku Moja uwaogoze WA Tanzania keep moving I salute Brother 👏

  • @ParfaitKalolo
    @ParfaitKalolo 7 месяцев назад +3

    Bro nyimbo zako hazielimishe tu Tanzania ila nasi apa kongo 🇨🇩 inatupaitiya akili nakujuwa gisi ya kuomba haki yetu kwa biongozi❤

  • @michaelnyauko6049
    @michaelnyauko6049 7 месяцев назад +2

    Huuu jamaa kiukweli ni genious wa kuwaza uhalisia na uwiano wa maisha naomba mamlaka msikilize ifanyie kazi haya maono yake asipuuzwe.

  • @two_ti2ramlan993
    @two_ti2ramlan993 7 месяцев назад +1

    Me co mpenz wa miziki ila huyu mkaka napenda kuckia nyimbo zake mana zinamaana sana

  • @kzidrickboyk6162
    @kzidrickboyk6162 7 месяцев назад +6

    Moja kali from +255, we always love the creativity, one love +254🇰🇪🇰🇪

  • @Ezepesa
    @Ezepesa 7 месяцев назад +23

    In this Era where every song is about "Nifinyie kwa ndani,katikati patamu,nazamisha mpaka ndani,ikisimama rukia"
    Tukipata kitu kama hichi ni faraja toshaa.....
    Asante Nay...

  • @JustinaGodfrey
    @JustinaGodfrey 7 месяцев назад

    Dah!! Naomba Mungu azidi kukulinda siku moja uje kuwa rais wa nchi labda utakuwa mtatetezi wa wanyonge

  • @user-qz1vn6rr5c
    @user-qz1vn6rr5c 7 месяцев назад +1

    Gombea urais kaka kura yangu ipo❤

  • @jumaraha
    @jumaraha 7 месяцев назад +20

    The true boy in the building...big up...🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tuna kubali

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 7 месяцев назад +5

    Respect Kwa Nay Kam Unamkubal Rais Wa Kitaa Weka Likes Hapa Jamaniii

  • @objctvvicky2726
    @objctvvicky2726 7 месяцев назад +1

    Rais! Kenya! Embu🌎 Wapi!

  • @henrymwangi4494
    @henrymwangi4494 7 месяцев назад +1

    Free nation nay pongezi sana hapo ndipo

  • @malaikahansen
    @malaikahansen 7 месяцев назад +5

    Nay again, as amazing as usual , good work 👍🏼👏🏽👍🏼👏🏽👍🏼👏🏽yes maua yote ya ikulu ya Dar na Dodoma ni yako!!! 🌿💐🍀🌹 🪴🌺 🌿🌸 🍀🌷rais wa mioyo ya wapenda haki

  • @weeder31
    @weeder31 6 месяцев назад +5

    Habari za wote. Recently I started to learn swahili, because I am very interested in Swahili language and culture, and I selected this guy and another called Darassa, to keep going along the way in this exciting adventure. Learning with their music will be so funny and enjoyable. Safari bado ndefu, lakini nitavuka jangwani.

  • @user-cb5wf7ig9l
    @user-cb5wf7ig9l 2 месяца назад

    Huyu ndio msanii kwakweli daaa Yana anautendea haki hasa usanii

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 7 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉 raisi wa kitaa

  • @jnrfilgud254
    @jnrfilgud254 7 месяцев назад +27

    nay on just his own level❤, no one comes even closer to him.

  • @emmanuelgeorge-id2lt
    @emmanuelgeorge-id2lt 7 месяцев назад +4

    Kaka nakukubali sana kwa kazi zako ..nyimbo zako ziko Safi sana ukweli brother napenda San nyimbo zako..

  • @williamshingwenda577
    @williamshingwenda577 4 месяца назад +1

    Much love home boy Harakati tumezaliwa nazo... One day yes

  • @musicAfrika-kz1ri
    @musicAfrika-kz1ri 7 месяцев назад +1

    Nakupenda sana nay

  • @dogoflower2380
    @dogoflower2380 7 месяцев назад +19

    Nay is always right to correct the Nation. Love from 🇰🇪 always. All I need is one day to come true. As a true boy.

  • @NoelaMasswe-cq9ri
    @NoelaMasswe-cq9ri 7 месяцев назад +6

    Much Respect, watu wakinyamaza mawe yatapiga kelele. Kazi iendelee kaka, big up

  • @VjTally47
    @VjTally47 7 месяцев назад +1

    Oe Unatisha Nay 💯👊👊🔥🔥💯🙏

  • @dismashaule1631
    @dismashaule1631 7 месяцев назад

    Aiseee nimerudia mara nne kuangalia,ni huzuni na kilio,ulichoimba ni ukweli mtupu iwapo ikatokea tukabilishana hali zetu za maisha,sitakaa kuona mbunge au waziri akisema Vijana wajiajiri,au vijana wavivu au Maisha ni marahisi vijana hawataki kazi.Hongera sna Ney wa Mitego

  • @user-er7oe6de3j
    @user-er7oe6de3j 7 месяцев назад +11

    True boy hatohoka kusema ukweli💯(⚖️)

  • @bethan1wanyonyi392
    @bethan1wanyonyi392 7 месяцев назад +9

    Yaani kila mustari kwenye wimbo..funzo tosha..respect my guy!!!!

    • @DanielMhamaka-el1do
      @DanielMhamaka-el1do 7 месяцев назад

      Basata tunarudia kuangalia na kusikiliza tupate kosa na tumelipata Mgonjwa bila Mganga ww umeandika mgongwa bila Mganaga ndo nini sasa umepotosha Ney, , najua kama umerudia kuangalia hilo kosa la kiuandishi gonga like hii comment plz

  • @ndinzeissa4778
    @ndinzeissa4778 4 месяца назад

    Ujumbe wa kweli jaa na kazi hvie ndani mishara midogo mahitaji rukuki

  • @billyirankunda8320
    @billyirankunda8320 6 месяцев назад

    Kutoka 🇧🇮tunakukubali raisiii wa kitaa msema ukweli mpenzi wa Mungu☝️😪

  • @ananiajohn3906
    @ananiajohn3906 7 месяцев назад +35

    Master piece 🙌

  • @sirmsjira8114
    @sirmsjira8114 7 месяцев назад +3

    I'm a good fan of mr Nay. Mziki wenye ujumbe mzito sana.

  • @RoderickManda
    @RoderickManda 3 месяца назад +1

    Bonge la nyimb❤

  • @Geoffreystanley-tk2tj
    @Geoffreystanley-tk2tj 7 месяцев назад

    Daaaaaah bonge moja la nyimbo ujumbe mzito wenye ukweli