Mpaka Home: Nay Wa Mitego Aibukiwa Studio Usiku Mnene, Icheki Studio Yake
HTML-код
- Опубликовано: 27 июн 2017
- Emaanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', ni msanii wa muziki wa kizazi kipya mwenye mashabiki lukuki, staili yake ya kuimba mashairi makali imempatia umaarufu mkubwa. Mpaka Home ya Global TV Online, imemtilia maguu mpaka studio kwake, Free Nation, Sinza jijini Dar es Salaam.
Kwa kawaida Mpaka Home hufanyika nyumbani lakini kutokana na kumkosa nyumbani kwa muda mrefu, Mpaka Home iliamua kumuibukia Nay wa Mitego usiku wa manane na kumkuta ofisini kwake iliyoko Sinza Jijini Dar.
Jambo ambalo watu wengi hawalijui, ni kwamba kumbe jamaa amewekeza vya kutosha ambapo amekodi nyumba nzima maeneo ya Sinza ambapo ndani yake, kuna ofisi yake na pia kuna studio ambayo imetoa ajira kwa vijana kadhaa.
Katika video hii, Nay wa Mitego anafunguka mambo mengi, ikiwa ni pamoja na ishu ya prodyuza wake, Mr Tee kumkimbia ambapo sasa anaye prodyuza mwingine, Osam.
Msikilize mwenyewe...
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 - Развлечения
Nay wa mitego.....nampenda sana anatulia kwenye interview.....
Nipo muheza big up ney wamitego/ipo siku nikishika mkwanja tutafanya ngoma pamoja songesha mwana
huyu mtangazaji poa sana dah nimemenda...ana interview skills and very unique thats so brilliant of you sir!!
wa Tanzania acheni roho mbaya, huyo mtangazaj yupo vizur tu, lakn mlivyo na roho mbaya mna mnanga, sio vizuri, Bryton Fanya kazi achana na maneno ya watu
good bongo fleva naona sasa inaanza kupiga hatua wasanii wengine waige mfono wa kuinvest namna hii pia inatoa ajira kwa wengine kama alivyofanya ney. kiukweli n hatua kubwa tuache majungu mnaoponda tuwe tunasapport vitu kama hiv n vzr sana n zamu sasa bongo movie waige na comedian. sanaa inalipa
Na kukubali kabisa Nay, kuheshimisha inchi na sanaa, your loved one all the way from Congo🇨🇩
Rais wa kitaa.
Baba cartyz lodwar Kenya inakupokea vizuri sana
nakupongeza sana mtangazaji maana uko makini na kazi yako afu unamoyo sana big up
Kimsingi manager yupo sahihi kabisa,,,,,Nazani mtangazaji hana Ethics za Utangazaji na Uandishi kwa ujumla,,,,flow ya utangazaji mbovu kiukweli
Timotheo Lupembe kweli kabisa
mshamba Sana Huyo
Ney true boy ...tribal salute
poa endelea hivo hivo mr ney hongera
Sema mzee umejipanga studio ya kinyamwez sana kumbe una watu weng unaowasapoti big up sana broo mtu mbaya kwenye show watu wanaumizana kaz kaz💪💪💪
Napenda sana mnachofanya coz mnajua big up osam & free nation
Nakukubali Ney kazi zako nazipenda sana
Saf sana kaka nakubal kaz zako
mwanaume kuremba sauti kilamara aaaah haileti picha nzuri
Nakukubali Sana brother ney wa mitego
Keep going 🙏🤩🤩
Ney big up sana mweshimiwa
amazing true boy
Nice boy nakukubl sn ney
Yan mwanangu kati ya mashabiki wanao kukuba sana wa kwanza mimi, bgup mwaangu.
saf sana
utangazaji kazi Jamn Stak niwe bora Niuze maandazi
Luck of professional
penda xan my bro #nay wa mitego
Nimeipenda sana dogo mtangazaji upo vizur
Nakubali sana nazi za True Boy.obrigado
kumbe ney msitaalabu hivyo ongeleni sana
Yaap Mr Nay
Kumbe nay mstarab mpaka bc
Wamitego kumbe ps ivyo jamani kumbe tajaribu kumtafuta nifanye naye kz
Ney nakukubali sana unajua mzk nataka kuja hapo studio
Ney KIONGOZI Hongera sana.
napenda sana pale aliposhilikiana na Best Nasso kwenye wimbo wa Herena, unaimba vizuri
studio Kali nzuri
Napenda sana ney unavyo ongea
Big up my brother I have my young brother I want to bring him for you b coz he has dream with music plzz can you train him in order to have college student for music one day
Hahahhh nmechekaa manager alivotaka kuzima camera kashtuka km kavamiwa #kushtukizwa hakuwai kumuacha MTU salamaaa
😂😂😂
Mshz
Meneja
I luv ur music Nay
Duuuuuuuhi nay kwer the true boy nakkbali saaaaaana broooo
saf sana brother
Vzr sana Mr ney
nakubali sana ney
Nice
Sasa uyo manager ana kazi gani
Ndo maana nakupendaga sana Ney
i like Ney...hez good very good..his demeanor and the way he relates to his subordinates its just awesome..keep up Ney wa mitego all the way from Moshi my brother!
Sioni shida ney kwenye nyimbo yako uko wap mungu watu wapo wanavtu wanafanya vichafu sana kweli wapo wanasagana wanajiuza yan mambo mengi sana duniani yuko pamoja nami aisee
@@mrishomtegetwa1787 sijakupata tafadhali naomba eleza tena kama hutojali
Huwa na muamini Ney sana
Hongera sana ney wa mitego
great Mr Nay
Mtanfazaji uko vizuri
hello nay wa mitego
Man
ndio mana bashite wanakuogopa mzee wa pale kati! hahaha big up bro
wangekuwa shilawadu ya kina soudy brown na kwisa mzee mkavu huyo manager wala asingeleta ujuaji wa kutaka kuzima kamera , big up jamaa ame improve kwenye utangazaji tofauti na alivyoendaga kumuhoji bambo.
david mihambo cbbjcj
david mihambo shilawadu huwa wanafanya appointment
so vizur ucku kugonga mlango wa watu
dah ney peace sana Mzee baba
Poleni daa mnachangamoto
Naomba connection na Free nation studio
tuko pamoja @naywa mitego
Namkubari kinoma sana Ney wamitego 😘😘
Big up nay
bgp sana Mr ney wamitego ukovizuri
Nikonk San braz studio ikovizur
Jaman kuuliza siujing Misist tiitach kaach studio konk
Natamani sana kuwa na studio
KUmbe Wana Mic Mioja Jamani
Nay mbona umepotea sana broo
mtangazaji zirooo kabisaa
jamani muelewe hao huwa wamepanga mkitaka kuamini angalieni ile ya bamboo MTU kagongewa anafungua anafoka na mic ya glo mkononi
Fredrick Itala mm pia naona hivyo huwa wapepanga watskuja usiku!kukaripiana ni kujifanya tu hawa!
Kweri atamimi niiliona ilo upo makini sana
Saf sana mzee baba
safi
Noma sannnn
Top
Mr nay de great
😂😂😂😝😝ucku huo vipee wapi Calvin shayo bn anatangaza poa nawe true boya ucku wote ujalala😝😝
ahahahahhah
ummy Issa 😂😂😂😂😂😂😂but kipindi kizuri sana dear . karibuni kwenye chanel yangu pia kucheki maisha ya mtanzania ujerumani 😍
ummy Issa ummi acha mbwembwe
Poa mitego
ummy Issa 😀
Kaz Kaz
nimeipenda😂😂😂😂
nakukuba bro
SHUKRANI BROTHER
mtangazaji chenga sanaa ufai toka
hv vyote vimepangwaa nyambafuu hakuna cha kustukizaa hapa
Live blood
yaaah mtangazi amebaka fani hafai kutangaza anakigugumizi mmno bwana
Mkidharau ushaur haitakuwa sawa mtangazaji hajui kuhoji wala hana kipaji cha utangazaji
kuowaa hilo swal mtangazaji analipatiaaaa saanaaaaa
Hili likaka halijui kuhoj kaz bdo haijui
mmetixhaaaa
VP broo unaweza kunisaidia kupata no ya ney wamitego
Aujui kutangaza wala kipaji auna brow
Nzur kabis
❤
Nakubal boy N
Waoooooo
Mtangazaji mshamba kinyama
Sana baba 966#
Huyo mwandishi hajui taratibu kabisaa
Ofisi yamtu lazi
Ma ieshimiwe
Ney nakuelewa sana.
Manager kashushuka😂😂😂😂😂
big up true boy,,saaana kaka
Usengeee
pongezi NEY napenda wapenda kuongea ukweli kwa mziki wako wacha watu walaumu ila ati the end of the day you produce hits
Hiyo wamepanga tu ila siukweli interview yakutungwa tu kwawanao fahamu
salud. xana
Mtangazaji ana mawenge kinoma