MPINA AZUA MAPYA YA MAKONDA "KUMNG'OA RAIS MADARAKANI, WANAFANYA UHAINI/ WANGESHATUMBULIWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 апр 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 94

  • @oam14l
    @oam14l 13 дней назад +10

    Huyu siku zote ni msema ukweli na anayosema ni kuntu.

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 11 дней назад +3

    Big up Kiongozi
    You're very right

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 13 дней назад +7

    Huyu mbunge ni hazina ya nchi.yaani ni bonge la mbunge.Mungu amlinde sana mbunge huyu.

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 13 дней назад +2

      TUSUBIRI kama mpina atarudia ubunge 2025

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 13 дней назад +1

      @@salummohamed2689 Tuombe Mungu arudi na atarudi inshalla

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 12 дней назад

      @@MathewNathan-yb2bz Unawajua hawa? Tujuzane kama nasi tutakuwepo!

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 13 дней назад +4

    Mungu Bariki makonda

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 2 дня назад

    Mpina baba mzalendo Mungu abariki

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 13 дней назад +3

    Yaani ni hekima, utadhani katika sayari nyingine kabisa.

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 12 дней назад +3

    Naona kama mpina uko sahihi

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 дня назад

    Kweli kabisa

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 13 дней назад +5

    Akili kubwa sana mungu akulinde sana mpina

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 13 дней назад +1

    Usalama wa taifa wanafany kazi gan...Na wao inabid wajitathmin kitengo chao...haiwezekan taarifa mnazipat hazishughulikiw au hamtambui majukum yenu na hil lingempa kujua haxwa nan msalit amtoe ktk uongoz akagombee uk atakapo pata,

  • @gwakisamwandalima344
    @gwakisamwandalima344 13 дней назад +5

    Duh siwezi sema chochote mwanasheria wangu yupo nje ya nchi kikazi😢

  • @maxlesijila6598
    @maxlesijila6598 12 дней назад +1

    Na Mh. Mpina angesikilizwa maoni yake mbalimbali anayotoa kila mara ni mawazo ya Msaada sana kwa Nchi iwe Wizi Hujuma,nk

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 2 дня назад

    Kweli watu wakanda ya ziwa ni wazalendo Nyerere Magu naww ni hatari mnatisha Kwa Uzalendo

  • @SimonKasanzu
    @SimonKasanzu 8 дней назад

    Kweli mpina uko sawa kabisa, wewe ni hazina ya nchi

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 2 дня назад

    Tatizo watu kama ww nitunu Toka Kwa Mungu

  • @user-tm3jl4yx9f
    @user-tm3jl4yx9f 13 дней назад +1

    Mhmh

  • @user-km6bg1jw2d
    @user-km6bg1jw2d 9 дней назад

    Mungu nimwema

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 13 дней назад +1

    Mnatutia taharuki ivi inakuaje wafutwe hawafai mama futa hao sio hao weka wengine wamelewa madaraka

  • @LameckOSadiq
    @LameckOSadiq 6 дней назад

    Mtamuelewa Mpina ila kwa kuchelewa sana

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 13 дней назад +2

    Zambi zao zimeanza kuwarudia washitakiae hao ni wachonganishi charamila na makonda nimachawa na nimalimbukeni waadaraka awafai kuwa viongozi wapige chini

    • @cloudngoko.2679
      @cloudngoko.2679 10 дней назад

      Unawajua chawa wewe? Jitathimini kwa maneno yako

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 2 дня назад

    Kama tulivomkimbuka Magu

  • @CYPRIANMACHIBULA
    @CYPRIANMACHIBULA 10 дней назад

    HILI WAKULISEMEA LABDA MANGULA, MSEKWA ,AU DR BASHIRU

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 6 дней назад

    Hawatajani labda ni kulindana kuogopana au kuheshimiana!

  • @MsafiriKadege
    @MsafiriKadege 13 дней назад +3

    Makonda na chalamila wakamatwee kwa makosa yao na kama kweli wahusika wakamatwee tatizo la hii nchi ndo hilo kubebana bena tu maana viongozi wengi hakuna wanachojua wapo kama vipofu au viziwi tumieni elemu yenu vizuri kama kina mpina jamani kaka mungu akulindeee sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 5 дней назад

    Mpina oyeeeeee

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 13 дней назад +2

    Kuhusu makonda hakuna shaka mh gdbresi Lema alisha msaidia mfuateni Lema atawaambia alisha wataja kwa majina yao muulizeni yeye anaweza kuwa na ushahidi na mahali walipo mtukana.

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala9760 10 дней назад

    Mpina nskuona tuu utakuja kua raisi

  • @nurunewz103
    @nurunewz103 13 дней назад +1

    Tumekuelewa mkuu.

  • @jamesmarumbo6820
    @jamesmarumbo6820 11 дней назад

    Sipendi ccm ila luhaga namkubali sana achukue fomu ya urais 2030

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 10 дней назад

    Sema ukweli maana ccm wanangoja mbaka chadema waje wawasemee ndo waanze kustuka Kuna Cha kuchukulia hatua

  • @RafaelNelson-ye3jk
    @RafaelNelson-ye3jk 9 дней назад

    Tatizo lanchi yetu, ukiwa muongea ukweli sana unachukiwa na serikali, ninachojua Makonda hawezi kuongea kitukisichokuwapo,

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 13 дней назад +1

    Mpina criticize of makonda and chalamila this are not politician one thing second mpiana you will face vary difficulty stuetuetion under ccm leadership pasonol trying to put ccm on track number two ccm keep vary difficulty to savings ln compartioon of tanzanian politics with opposition let ccm use police force is weekeness of beginning of get leader with responsibility and capacity of leadership we only select leader who is good creatisise opposition that is not way of getting leader opposition has got so many thing weekiness open on rooling part to critisize what need on ccm is to see leader at the beginning if is vice president what is capacity at the beginning if is depety minister capacity interview pasonol deply his capacity let Tanzania interview him get to know his capacity fear ahed of leadership on they put national into difficulty position loan crush among ccm themselves within the rooling part Antilles desply on pablic ccm crush all this because is her problem point every single day gavment official wich let her undermine his capacity of her leadership and been undermine with so many ccm group within ccm itself leadership wich crush her leadership rong is thouse who advise her because the are there for they own lntrest not national lntrest and ccm leadership

  • @user-yl4wq7hb5c
    @user-yl4wq7hb5c 5 дней назад

    Mmmmmmm aiseeee tumekwisha😮

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 13 дней назад +2

    Mpina wewe huoni kwenye mitandao wanavyomtukana mheshimiwa Rais

    • @petermwacha9909
      @petermwacha9909 13 дней назад

      Walitunaje hao kwenye vyote vya habari?

  • @maxmaphie6097
    @maxmaphie6097 13 дней назад

    Yani ni kama vile ni Kweli alafu wakati huohuo kama vile sio Kweli

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 13 дней назад +1

    Toka kule

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 13 дней назад +2

    Acheni taarifa za uongo za kupika kwa kuwataja Viongozi wetu mitandaoni ili kuuza "HABARI"Hebu wekeni taarifa zinazohusu maendeleo na changamoto zake kiuchumi

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 13 дней назад +2

      Taarifa za uongo kivipi

    • @abednego3876
      @abednego3876 13 дней назад +1

      Pumbavi wee

    • @abednego3876
      @abednego3876 13 дней назад

      Ww ni mbwa

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 13 дней назад

      Kitaelweka wa Tanganyika Tatizo shule lkn huko mbele kitaelweka,

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 13 дней назад +2

      We unasema hbr za kupika kama hujaenda shule nyamaza,hpn bungeni c pa mchezo,et za hbr za kupika

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 13 дней назад

    Mhuu yajayo yanafurahisha

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 12 дней назад

    Mmh😢

  • @user-lg1ji8hi3d
    @user-lg1ji8hi3d 12 дней назад

    Kwan rais nani

  • @bestkilimanjarohike
    @bestkilimanjarohike 11 дней назад

    Fanyeni kazi hizo ni kesi zenu tunataka maendeleo inawezekana unaongea ukweli lakini lakini huu Kuna kamati za maadili sisi huku tunataka mtekeleze tulichowqchagulia basi ,malizaneni huko kazi iendelee msimchoshe mama na mitandao. BAKI NA SAMIA

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 13 дней назад

    RIP mpina

  • @AllyKajogoo-mi6cb
    @AllyKajogoo-mi6cb 10 дней назад

    We mwenyewe ubunge wako ni wakimagumashi ,,,,
    a.k,a,.wa kishindo,,,!!!

  • @MwanaishaMtavassy
    @MwanaishaMtavassy 13 дней назад

    Mpina tulia hayo mambo serikali haiwezi kukalia kimya tunakanuni inasema MNONG'ONO NDIO CHANZO CHA HABARI watu wa usalama wanajua, so ulipoanzia huo mnong'ono ndipo uchunguzi utakapoishia

  • @thomasluhanga6439
    @thomasluhanga6439 9 дней назад

    Kwanini mawaziri wote mpaka waziri mkuu, msijiuzulu kama mnachafuliwa, kwani bila nyinyi hii Tanzania haita kuwepo. Shida hamjitambui thamani yenu, au Kuna maslai binafsi kwenu mawaziri wote. Ningekuwa Mimi waziri mkuu ninge shauli kujiuzulu na Baraza langu lote.mpaka makonda ataje na aoneshe ushahidi, lasivyo achukuliwe hatua za kisheria ndio tubaki.

  • @johnjoel5012
    @johnjoel5012 10 дней назад

    Wewe hacha kujipendekeza sio kila jambo lijibiwe hata kunyamaza ni jibu.

  • @maxlesijila6598
    @maxlesijila6598 12 дней назад

    mmh!! Kumbe nae Mh. Chalamila aliwahi kusema hivyo ? Na Mh. Makonda nae kalirudia mmmh!! Kuna tatizo basi

  • @EmmanuelMsangi-kb3vv
    @EmmanuelMsangi-kb3vv 11 дней назад +1

    Ckua nakufuatilia ila kuanzia sasa nitafanya ivyo madini matupu uliyoyasema

    • @christianmwashala9760
      @christianmwashala9760 10 дней назад

      Mbn umechelewa sanaaa yaan uyu jamaa n noma mm kila bunge likikaa lazma niangalie hotuba zake ni nzur

  • @user-ex8jm1wg6q
    @user-ex8jm1wg6q 8 дней назад

    Mii mpitaji tuuu Sina neno

  • @abednego3876
    @abednego3876 13 дней назад

    Kwanini wasiwataje hao wahusika au mnawaogopa😅.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 12 дней назад

    Mpina acha uongoooo😢

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 13 дней назад

    Wewe ndio wale wale.subori tychukue nchi

  • @user-ry4kx9hg7o
    @user-ry4kx9hg7o 13 дней назад

    Mizimu inawarudia Sasa,na bado.

  • @gililwise
    @gililwise 13 дней назад

    kikokotoo mbona mnakaa kimya

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 10 дней назад

    Muacheni makonda wangu

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 12 дней назад

    Mambo mengime bwana ni yamzahamzaha unaendelea

  • @JumaKavanga
    @JumaKavanga 13 дней назад

    Mala mukapandisha code kampeni mukaona hatuwaungi tukihoji ...............................

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 10 дней назад

    Ule muda umefika nyinyi kwa nyinyi

  • @peterkibiriti5601
    @peterkibiriti5601 10 дней назад

    Mama ataongoza mpaka 2030,kawekwa na Allah, siyo mtu yeyote,mnjidanganya tu

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 13 дней назад +4

    Mbunge huyu ,huko kwenye Jimbo lake , uchaguzi wa mwaka huu,mrudisheni kwenye ,Binge lijalo ni kichwa huyu jamaa

  • @stevenkomanya1442
    @stevenkomanya1442 12 дней назад

    Huna sera bro.. Namalizia masomo yangu nakuja kukutoa hapo ulipo labda uniue kudadek.. nakuzidi mbali mno.. Zero Sera..

    • @philipowyinjones9645
      @philipowyinjones9645 11 дней назад

      Huwez ukamuelewa Mpk uwe na Akili Timamu.Kwa Andaz Kama wewe nikaz sana

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 13 дней назад +1

    Wewe ndio inabidi ukamatwe Kwa uchochez jeshi la police huyu achunguzwe anaongea kichochez

  • @abdallahabdu8194
    @abdallahabdu8194 13 дней назад

    wewe unawaingiza king mwenziwe

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 13 дней назад +1

    Jamaaaani shukuuuuruuunii nchi yenuuu ipoooo Amaaaniii Aangalieeenii wenzeeeenuuu wanavyoo tesekaaaaa semeeniii Alhamdulillaah…….nakuwaooombeeeni Amaaanii weeeenzenuuu mupatee kufanikiwaaaaaa….zaiddddy.

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 12 дней назад +1

    Alafu anakuja waziri, anakuja kwa munkari kuoongelea Rambo mareeeefu, mara failed state, awajibike asiyapuuze.
    He must be responsible for, we need see him acting n taking action.
    Walitajwa mawaziri nae ni waziri ajitakase kwanza ndo ajibu.
    Amani ya nchi ni muhimu.

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 13 дней назад +1

    Toka zako mpiba

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 13 дней назад +1

    Kwa hiyo mpina unapinga ama 😂😂😂

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 13 дней назад +5

    Mpina uko sahihi,

  • @user-ez7lk3it5s
    @user-ez7lk3it5s 10 дней назад

    Sasa.jiurize.angekuwa.masikini.usarama.wataifa.au.poris.angerikuwa.kasha.bebwa.ndo.ujue.tunaishi.kwakubaguana.

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 13 дней назад

    Tanzania ya sasa sio ya zamani ukweli ni mjubwa sana

  • @user-og4ox5jb4v
    @user-og4ox5jb4v 13 дней назад

    Ila NI sawa Mungu hajapanga mwanamke achukue madaraka makubwa mwanaume ndiye alitawala bustani ya eden

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 13 дней назад

    Tungekuwa na Wabunge yaani 10.kama.huyu Mpina.wallah serekali.ingeheshimu Raia na siyo Raia kuiogopa serekali

  • @dickngimba4333
    @dickngimba4333 13 дней назад +1

    mzee baba kwani kulikoni

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 12 дней назад +1

    Kiwanda Cha kutengemeza matairi ya gari kiko wapi sasa viongozi wetu kuweni imara muache unafiki nyie ni watu wakubwa sasa mambo munayofanya ni tofauti umri wenu