Usalama wa taifa wanafany kazi gan...Na wao inabid wajitathmin kitengo chao...haiwezekan taarifa mnazipat hazishughulikiw au hamtambui majukum yenu na hil lingempa kujua haxwa nan msalit amtoe ktk uongoz akagombee uk atakapo pata,
Zambi zao zimeanza kuwarudia washitakiae hao ni wachonganishi charamila na makonda nimachawa na nimalimbukeni waadaraka awafai kuwa viongozi wapige chini
Makonda na chalamila wakamatwee kwa makosa yao na kama kweli wahusika wakamatwee tatizo la hii nchi ndo hilo kubebana bena tu maana viongozi wengi hakuna wanachojua wapo kama vipofu au viziwi tumieni elemu yenu vizuri kama kina mpina jamani kaka mungu akulindeee sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kuhusu makonda hakuna shaka mh gdbresi Lema alisha msaidia mfuateni Lema atawaambia alisha wataja kwa majina yao muulizeni yeye anaweza kuwa na ushahidi na mahali walipo mtukana.
Mpina criticize of makonda and chalamila this are not politician one thing second mpiana you will face vary difficulty stuetuetion under ccm leadership pasonol trying to put ccm on track number two ccm keep vary difficulty to savings ln compartioon of tanzanian politics with opposition let ccm use police force is weekeness of beginning of get leader with responsibility and capacity of leadership we only select leader who is good creatisise opposition that is not way of getting leader opposition has got so many thing weekiness open on rooling part to critisize what need on ccm is to see leader at the beginning if is vice president what is capacity at the beginning if is depety minister capacity interview pasonol deply his capacity let Tanzania interview him get to know his capacity fear ahed of leadership on they put national into difficulty position loan crush among ccm themselves within the rooling part Antilles desply on pablic ccm crush all this because is her problem point every single day gavment official wich let her undermine his capacity of her leadership and been undermine with so many ccm group within ccm itself leadership wich crush her leadership rong is thouse who advise her because the are there for they own lntrest not national lntrest and ccm leadership
Acheni taarifa za uongo za kupika kwa kuwataja Viongozi wetu mitandaoni ili kuuza "HABARI"Hebu wekeni taarifa zinazohusu maendeleo na changamoto zake kiuchumi
Fanyeni kazi hizo ni kesi zenu tunataka maendeleo inawezekana unaongea ukweli lakini lakini huu Kuna kamati za maadili sisi huku tunataka mtekeleze tulichowqchagulia basi ,malizaneni huko kazi iendelee msimchoshe mama na mitandao. BAKI NA SAMIA
Mpina tulia hayo mambo serikali haiwezi kukalia kimya tunakanuni inasema MNONG'ONO NDIO CHANZO CHA HABARI watu wa usalama wanajua, so ulipoanzia huo mnong'ono ndipo uchunguzi utakapoishia
Kwanini mawaziri wote mpaka waziri mkuu, msijiuzulu kama mnachafuliwa, kwani bila nyinyi hii Tanzania haita kuwepo. Shida hamjitambui thamani yenu, au Kuna maslai binafsi kwenu mawaziri wote. Ningekuwa Mimi waziri mkuu ninge shauli kujiuzulu na Baraza langu lote.mpaka makonda ataje na aoneshe ushahidi, lasivyo achukuliwe hatua za kisheria ndio tubaki.
Alafu anakuja waziri, anakuja kwa munkari kuoongelea Rambo mareeeefu, mara failed state, awajibike asiyapuuze. He must be responsible for, we need see him acting n taking action. Walitajwa mawaziri nae ni waziri ajitakase kwanza ndo ajibu. Amani ya nchi ni muhimu.
Kiwanda Cha kutengemeza matairi ya gari kiko wapi sasa viongozi wetu kuweni imara muache unafiki nyie ni watu wakubwa sasa mambo munayofanya ni tofauti umri wenu
Huyu siku zote ni msema ukweli na anayosema ni kuntu.
Big up Kiongozi
You're very right
Huyu mbunge ni hazina ya nchi.yaani ni bonge la mbunge.Mungu amlinde sana mbunge huyu.
TUSUBIRI kama mpina atarudia ubunge 2025
@@salummohamed2689 Tuombe Mungu arudi na atarudi inshalla
@@MathewNathan-yb2bz Unawajua hawa? Tujuzane kama nasi tutakuwepo!
Mungu Bariki makonda
Mpina baba mzalendo Mungu abariki
Yaani ni hekima, utadhani katika sayari nyingine kabisa.
Naona kama mpina uko sahihi
Kweli kabisa
Akili kubwa sana mungu akulinde sana mpina
Usalama wa taifa wanafany kazi gan...Na wao inabid wajitathmin kitengo chao...haiwezekan taarifa mnazipat hazishughulikiw au hamtambui majukum yenu na hil lingempa kujua haxwa nan msalit amtoe ktk uongoz akagombee uk atakapo pata,
Duh siwezi sema chochote mwanasheria wangu yupo nje ya nchi kikazi😢
Na Mh. Mpina angesikilizwa maoni yake mbalimbali anayotoa kila mara ni mawazo ya Msaada sana kwa Nchi iwe Wizi Hujuma,nk
Kweli watu wakanda ya ziwa ni wazalendo Nyerere Magu naww ni hatari mnatisha Kwa Uzalendo
Kweli mpina uko sawa kabisa, wewe ni hazina ya nchi
Tatizo watu kama ww nitunu Toka Kwa Mungu
Mhmh
Mungu nimwema
Mnatutia taharuki ivi inakuaje wafutwe hawafai mama futa hao sio hao weka wengine wamelewa madaraka
Mtamuelewa Mpina ila kwa kuchelewa sana
Zambi zao zimeanza kuwarudia washitakiae hao ni wachonganishi charamila na makonda nimachawa na nimalimbukeni waadaraka awafai kuwa viongozi wapige chini
Unawajua chawa wewe? Jitathimini kwa maneno yako
Kama tulivomkimbuka Magu
HILI WAKULISEMEA LABDA MANGULA, MSEKWA ,AU DR BASHIRU
Hawatajani labda ni kulindana kuogopana au kuheshimiana!
Makonda na chalamila wakamatwee kwa makosa yao na kama kweli wahusika wakamatwee tatizo la hii nchi ndo hilo kubebana bena tu maana viongozi wengi hakuna wanachojua wapo kama vipofu au viziwi tumieni elemu yenu vizuri kama kina mpina jamani kaka mungu akulindeee sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mpina oyeeeeee
Kuhusu makonda hakuna shaka mh gdbresi Lema alisha msaidia mfuateni Lema atawaambia alisha wataja kwa majina yao muulizeni yeye anaweza kuwa na ushahidi na mahali walipo mtukana.
Mpina nskuona tuu utakuja kua raisi
Tumekuelewa mkuu.
Sipendi ccm ila luhaga namkubali sana achukue fomu ya urais 2030
Sema ukweli maana ccm wanangoja mbaka chadema waje wawasemee ndo waanze kustuka Kuna Cha kuchukulia hatua
Tatizo lanchi yetu, ukiwa muongea ukweli sana unachukiwa na serikali, ninachojua Makonda hawezi kuongea kitukisichokuwapo,
Mpina criticize of makonda and chalamila this are not politician one thing second mpiana you will face vary difficulty stuetuetion under ccm leadership pasonol trying to put ccm on track number two ccm keep vary difficulty to savings ln compartioon of tanzanian politics with opposition let ccm use police force is weekeness of beginning of get leader with responsibility and capacity of leadership we only select leader who is good creatisise opposition that is not way of getting leader opposition has got so many thing weekiness open on rooling part to critisize what need on ccm is to see leader at the beginning if is vice president what is capacity at the beginning if is depety minister capacity interview pasonol deply his capacity let Tanzania interview him get to know his capacity fear ahed of leadership on they put national into difficulty position loan crush among ccm themselves within the rooling part Antilles desply on pablic ccm crush all this because is her problem point every single day gavment official wich let her undermine his capacity of her leadership and been undermine with so many ccm group within ccm itself leadership wich crush her leadership rong is thouse who advise her because the are there for they own lntrest not national lntrest and ccm leadership
Mmmmmmm aiseeee tumekwisha😮
Mpina wewe huoni kwenye mitandao wanavyomtukana mheshimiwa Rais
Walitunaje hao kwenye vyote vya habari?
Yani ni kama vile ni Kweli alafu wakati huohuo kama vile sio Kweli
Toka kule
Acheni taarifa za uongo za kupika kwa kuwataja Viongozi wetu mitandaoni ili kuuza "HABARI"Hebu wekeni taarifa zinazohusu maendeleo na changamoto zake kiuchumi
Taarifa za uongo kivipi
Pumbavi wee
Ww ni mbwa
Kitaelweka wa Tanganyika Tatizo shule lkn huko mbele kitaelweka,
We unasema hbr za kupika kama hujaenda shule nyamaza,hpn bungeni c pa mchezo,et za hbr za kupika
Mhuu yajayo yanafurahisha
Mmh😢
Kwan rais nani
Fanyeni kazi hizo ni kesi zenu tunataka maendeleo inawezekana unaongea ukweli lakini lakini huu Kuna kamati za maadili sisi huku tunataka mtekeleze tulichowqchagulia basi ,malizaneni huko kazi iendelee msimchoshe mama na mitandao. BAKI NA SAMIA
RIP mpina
We mwenyewe ubunge wako ni wakimagumashi ,,,,
a.k,a,.wa kishindo,,,!!!
Mpina tulia hayo mambo serikali haiwezi kukalia kimya tunakanuni inasema MNONG'ONO NDIO CHANZO CHA HABARI watu wa usalama wanajua, so ulipoanzia huo mnong'ono ndipo uchunguzi utakapoishia
Kwanini mawaziri wote mpaka waziri mkuu, msijiuzulu kama mnachafuliwa, kwani bila nyinyi hii Tanzania haita kuwepo. Shida hamjitambui thamani yenu, au Kuna maslai binafsi kwenu mawaziri wote. Ningekuwa Mimi waziri mkuu ninge shauli kujiuzulu na Baraza langu lote.mpaka makonda ataje na aoneshe ushahidi, lasivyo achukuliwe hatua za kisheria ndio tubaki.
Wewe hacha kujipendekeza sio kila jambo lijibiwe hata kunyamaza ni jibu.
mmh!! Kumbe nae Mh. Chalamila aliwahi kusema hivyo ? Na Mh. Makonda nae kalirudia mmmh!! Kuna tatizo basi
Ckua nakufuatilia ila kuanzia sasa nitafanya ivyo madini matupu uliyoyasema
Mbn umechelewa sanaaa yaan uyu jamaa n noma mm kila bunge likikaa lazma niangalie hotuba zake ni nzur
Mii mpitaji tuuu Sina neno
Kwanini wasiwataje hao wahusika au mnawaogopa😅.
Mpina acha uongoooo😢
Wewe ndio wale wale.subori tychukue nchi
Mizimu inawarudia Sasa,na bado.
kikokotoo mbona mnakaa kimya
Muacheni makonda wangu
Mambo mengime bwana ni yamzahamzaha unaendelea
Mala mukapandisha code kampeni mukaona hatuwaungi tukihoji ...............................
Ule muda umefika nyinyi kwa nyinyi
Mama ataongoza mpaka 2030,kawekwa na Allah, siyo mtu yeyote,mnjidanganya tu
Allah ndio Nini?
Mbunge huyu ,huko kwenye Jimbo lake , uchaguzi wa mwaka huu,mrudisheni kwenye ,Binge lijalo ni kichwa huyu jamaa
Huna sera bro.. Namalizia masomo yangu nakuja kukutoa hapo ulipo labda uniue kudadek.. nakuzidi mbali mno.. Zero Sera..
Huwez ukamuelewa Mpk uwe na Akili Timamu.Kwa Andaz Kama wewe nikaz sana
Wewe ndio inabidi ukamatwe Kwa uchochez jeshi la police huyu achunguzwe anaongea kichochez
Acha ujinga ww
Anamchochea nani?kufanya kosa gani?
wewe unawaingiza king mwenziwe
Jamaaaani shukuuuuruuunii nchi yenuuu ipoooo Amaaaniii Aangalieeenii wenzeeeenuuu wanavyoo tesekaaaaa semeeniii Alhamdulillaah…….nakuwaooombeeeni Amaaanii weeeenzenuuu mupatee kufanikiwaaaaaa….zaiddddy.
Alafu anakuja waziri, anakuja kwa munkari kuoongelea Rambo mareeeefu, mara failed state, awajibike asiyapuuze.
He must be responsible for, we need see him acting n taking action.
Walitajwa mawaziri nae ni waziri ajitakase kwanza ndo ajibu.
Amani ya nchi ni muhimu.
Toka zako mpiba
Kwa hiyo mpina unapinga ama 😂😂😂
Mpina uko sahihi,
Sasa.jiurize.angekuwa.masikini.usarama.wataifa.au.poris.angerikuwa.kasha.bebwa.ndo.ujue.tunaishi.kwakubaguana.
Tanzania ya sasa sio ya zamani ukweli ni mjubwa sana
Ila NI sawa Mungu hajapanga mwanamke achukue madaraka makubwa mwanaume ndiye alitawala bustani ya eden
Tungekuwa na Wabunge yaani 10.kama.huyu Mpina.wallah serekali.ingeheshimu Raia na siyo Raia kuiogopa serekali
mzee baba kwani kulikoni
Kiwanda Cha kutengemeza matairi ya gari kiko wapi sasa viongozi wetu kuweni imara muache unafiki nyie ni watu wakubwa sasa mambo munayofanya ni tofauti umri wenu