Holy Trinity Studio - Yanipasa Kumshukuru Mungu ( Official Music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 644

  • @charlesmuvunga5633
    @charlesmuvunga5633 2 года назад +19

    Asanteni jamani kwa huu wimbo mzuri. Halafu, mmejiremba kimila na pia mmetumia vyombo vya muziki wa kimila, ishara kwamba injili imeingia vizuri katika mila. Hongereni.

  • @diplodecentre6876
    @diplodecentre6876 4 года назад +8

    Kweli tushukuru mungu # Mnagusa sana likes zangu pokeeni# Viva viva wakristo wenzangu

  • @angelynmkwawi4253
    @angelynmkwawi4253 4 года назад +6

    Ipo raha kubwa sana katika uimbaji mbarikiwe sana,kwa wimbo huu umenifanya nikumbuke kwaya yangu ya mt.Augustino k/ ndege Dodoma

  • @candymarandu2230
    @candymarandu2230 Год назад +7

    Nayakabidhi na maisha yangu yawe mikononi mwake

  • @maisorylucas4113
    @maisorylucas4113 4 года назад +10

    Najivunia kuwa mkatoliki

  • @DjTijay254
    @DjTijay254 4 года назад +5

    Kweli yatupasa kumshukuru mungu kila wakati....Amina. Sauti nzuri. Barikiweni

  • @benethkatembwe1721
    @benethkatembwe1721 4 года назад +4

    Ongereni kwa kazi nzuri ya uinjirishaj kuimba ni kusali mara mbili

  • @antonynganga4186
    @antonynganga4186 4 года назад +6

    Jamani wana Yuda Thadei hongereni...wimbo mtamu sana,lo!Sina hata la kuongeza,sichoki kuusikiza wimbo huu..wooooh,B Blessed Guys..frm Dubai,UAE.

    • @lugembevoice
      @lugembevoice 4 года назад

      yaani wamenikamata nkajua mimi tu kumbe hata wewe duh hakika huu ni wito wao Mtakatifu Tuiombee miito mitakatifu. Ekaristi Takatifu Chemchemi ya uzima wetu

    • @Msemwa
      @Msemwa 4 года назад

      ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html Karibu kusikiliza Mziki Mtakatifu. Ukipendezwa tafadhari Subscribe🙏🏽

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh 6 месяцев назад +2

    Yaani utamaduni umeimarishwa katika huu wimbo. Am happy to be an African women where culture is practically done. Hugs from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 10 месяцев назад +3

    Tumshukuru Mungu kwa kila jambo❤amen 🙏 🎉🎉🎉

  • @julianamanimo7850
    @julianamanimo7850 4 года назад +6

    Safi safi waimbaji,mambo si ndio haya bhn,ubunifu tu,hongeren,Mungu asiwaangushe hata kidogo katika masomo yenu

  • @labikongwa9744
    @labikongwa9744 4 года назад +5

    Mungu asimame nanyi siku zote

  • @kyla7008
    @kyla7008 3 года назад +7

    aliyecheza kinanda apewe likes jameni!! tamu sanaah

  • @fuck_IMF_alot
    @fuck_IMF_alot 3 года назад +6

    Mimi kama mwimbaji namshukuru Mungu kwa sauti nzuri aliyonipa. Nitamsifu milele. Je wewe?

    • @josephzammit8483
      @josephzammit8483 3 года назад

      Swahili? Well said! I’m publishing a weekly RUclips video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you..

  • @perpetuahmungai5988
    @perpetuahmungai5988 4 года назад +2

    Great song. Congratulations Mt. Yuda Thedei, kweli nayakabidhi maisha yangu yako mikononi mwake. Holy Trinity thank you so much, huu wimbo it's on point. Yaani mmejua kuleta wimbo wa kututia motisha hasa wakati huu tunapopitia majaribu ya ugonjwa wa Covid-19. Mungu na azidi kuwabariki Sana, and be safe.

  • @hildawekesa7257
    @hildawekesa7257 4 года назад +4

    Magnificent, divine and adorable. Kweli Mungu kanifanya jinsi nilivyo... Hallelujah lazima nimshukuru yeye

  • @user-xo6hs5mp9k
    @user-xo6hs5mp9k 11 месяцев назад +3

    asante saana jaman kweli yatupasa sana kumshuru mungu

  • @annmogaka2564
    @annmogaka2564 4 года назад +7

    Always proud to a Catholic amen n amen

  • @angelanikalenga4757
    @angelanikalenga4757 4 года назад +4

    Uliye tunga wimbo uu ubarikiwe kwakipaji chako nauzidi kutufuraisha. Kila wakati mubarikiwe wapedwa

  • @zephaniamosses9442
    @zephaniamosses9442 4 года назад +6

    Nyimbo nzuri sana

  • @mgetatungaraza9440
    @mgetatungaraza9440 4 года назад +4

    Amen, bwana awabarik nyimbo nzuri,,

    • @Msemwa
      @Msemwa 4 года назад

      ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html Karibu kusikiliza Mziki Mtakatifu. Ukipendezwa tafadhari Subscribe🙏🏽

  • @newkilinge470
    @newkilinge470 4 года назад +3

    Mwenyezi Mungu awabariki sana wote mlioshiriki kufanikisha wimbo huu mzuri 'Hakika yatupasa kushukuru kwake yeye alietuumba na kutufanya hivi tulivo...Amen.

    • @eglenkadenyeka6358
      @eglenkadenyeka6358 4 года назад

      Very touching song.i love en enjoy the it.God bless you all.

  • @kalolimsofe750
    @kalolimsofe750 4 года назад +5

    Nzuri sana

  • @danielekisinza537
    @danielekisinza537 4 года назад +4

    Kazi ni nzuri na Juhudi ilikuwa kubwa sana. Hakika kila ukiona vyaelea vimeundwa.

  • @user-jx1ul6ly2h
    @user-jx1ul6ly2h 10 месяцев назад +4

    Wimbo mzuri mnoo❤

  • @luwagagodfrey5140
    @luwagagodfrey5140 3 года назад +3

    Am from Uganda and am catholic. I listen to this song at least 4 times a day though I don't swahili. I love the true African this song displays

    • @lilianlilly9404
      @lilianlilly9404 2 года назад +1

      It's a thanksgiving song to God for all the gifts of life in pain and happiness in all situations thanks and praise to God

  • @jamesnkinda6447
    @jamesnkinda6447 2 года назад +6

    mungu ni mwema siku zote milele🙏🙏🙏🙏

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj Год назад +3

    Safi sana kwa huduma nzuri. One of the best catholic choir songs.

  • @peterkoileken4495
    @peterkoileken4495 4 года назад +2

    kweli ni lazima nimsifu Mungu,wimbo,dansi na mavazi yanapendeza,Mungu amefurahia sana,nice song indeed #fromnarokkenya

  • @michaelrimisho
    @michaelrimisho 4 года назад +3

    Nimempenda mpiga marimba....yupo vizur amefanya vyema

  • @kwayabikiramariamamawashau2448
    @kwayabikiramariamamawashau2448 4 года назад +3

    Hakika yatupasa kumshukuru Mungu kwa kila jambo..... Ni mwema mnoooo

  • @andrebaragunzwa188
    @andrebaragunzwa188 4 года назад +3

    YEZU AHIMBAZWE. MURAKENUYE N AKA KARIRIMBO
    MERCI BEAUCOUP , COURAGE

  • @betyanyas8780
    @betyanyas8780 3 года назад +3

    Hakika yanipasa kumshukuru Mungu wangu kila wakati maana amenifanyia mambo mengi maisha I mwangu, 🙏

  • @deorathaponsian6800
    @deorathaponsian6800 4 года назад +5

    Nimeupenda mzuri sana

  • @sixtusmayebwa5128
    @sixtusmayebwa5128 4 года назад +2

    Naupenda Sana huu wimbo Mungu awabariki zaidi katika Utume wenu Watumishi Wake.

  • @winniemunisi1754
    @winniemunisi1754 Год назад +2

    Wimbo mzuri sana . Hongeni sana kwa kuimba vzr. Nimebarikiwa kwanwimbo huu. Mungu awabariki muendeleze kipaji chenu

  • @mollyupdates5925
    @mollyupdates5925 4 года назад +3

    AMEN yanipasa kweli kumshukuru MUNGU .

  • @lauranganga2687
    @lauranganga2687 4 года назад +12

    This song touches a special part of my heart that lights up my catholic faith BE BLESSED.Did I mention that you Tanzanias sing very well .LOVE FROM Kenya

    • @Msemwa
      @Msemwa 4 года назад

      ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html Karibu kusikiliza Mziki Mtakatifu. Ukipendezwa tafadhari Subscribe🙏🏽

  • @jackmarcko8968
    @jackmarcko8968 4 года назад +2

    Yatupasa kumshukuru mungu kila wakati mbarikiwe sana

  • @aaronhalliwel6920
    @aaronhalliwel6920 2 года назад +2

    Wimbo huu ni mzuri sana
    Tumebarikiwa kuusikiliza,,wow..
    Nazo sauti ni nyororo,,, iya!!!

  • @sylviakadeha3261
    @sylviakadeha3261 4 года назад +2

    Mnanibariki sana..hongereni kwa kumtumikia Mungu kwa ujana wenu..mbarikiwe sana.🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @lilianmueni5664
    @lilianmueni5664 4 года назад +4

    Congrants guys good work
    True I shall praise him until my last breathe

  • @Highlyblessed4
    @Highlyblessed4 4 года назад +4

    This is what i love i am going to Tanzania and live in the village for 1 month

  • @michaelrimisho
    @michaelrimisho 4 года назад +2

    Waoooooo mziki mtamu sana, umenibariki sanaaa hongereni, MAKUBURI WAJAO

  • @francisleonard2208
    @francisleonard2208 4 года назад +2

    Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya uinjilishaji

  • @agathaphoteen7398
    @agathaphoteen7398 Год назад +2

    Nibaeikiwe kupitia huu wimbo .Mungu Ni mwema Sana cna budi kumshukuru

  • @LuluMwinami
    @LuluMwinami Месяц назад +2

    Safi sana

  • @tabumasumbuko7213
    @tabumasumbuko7213 4 года назад +2

    Hongereni sana MUNGU Baba awalinde katika huduma hii

  • @happymwinuka4454
    @happymwinuka4454 4 года назад +3

    Mbarikiwe sana wapendwa. Mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu.

  • @nicodemuslohay8065
    @nicodemuslohay8065 4 года назад +1

    Hakika wimbo huu unanibariki vyema!
    Respect Yuda Thadei & HT

  • @jerrykihanza7796
    @jerrykihanza7796 4 года назад +3

    Ila nashauri kwaya inaporudia wimbo ihtahd kufanya vzr zaid ya walio rekod mwanzo

  • @josephmurithi8908
    @josephmurithi8908 11 месяцев назад +2

    Kweli Tumshukuru..hongereni ,nawapenda sana

  • @archangels2437
    @archangels2437 4 года назад +4

    Nice song. Congratulations, It has becoming my favourites song I can't stay without listening it every time. Well organized ñ sweet voices....keep it up

  • @omwantechronicles5041
    @omwantechronicles5041 4 года назад +3

    Mungu azijaalie sauti zenu zinanigo

  • @maureenmbagaya2644
    @maureenmbagaya2644 4 года назад +3

    It's a very nice and encouraging song. Mungu awazidishie neema

  • @mariajacklinemethod7403
    @mariajacklinemethod7403 4 года назад +1

    Hongera sana kwa wimbo mzuri nimeurudia mara nyingi sana bila kuchoka una siku lakini mmeutoa kwa umakini zaidi barikiwa sana kwa kuntukuza Mungu kwa kuimba

  • @lourahandrew7073
    @lourahandrew7073 Год назад +3

    Lazima nimsifu yeye katk roho na kwelii

  • @annemukongolo
    @annemukongolo Год назад +2

    The instrumentals and the culture for me...receive love all the way from Kenya

  • @bettykaduma1260
    @bettykaduma1260 3 года назад +1

    Hakika nayakabidhi maisha yangu mikononi mwake ni wimbo uliojaa baraka tele asanteni sana vijana wetu

  • @archangels2437
    @archangels2437 4 года назад +2

    Hongera sana kwa wahasibu wenzangu mmefanya vizuri.... karibuni MWECAU KWETU

  • @nasrjuma2360
    @nasrjuma2360 4 года назад +3

    Barikiwa vijana.. mkumbuke Mungu siku za ujana wako..

    • @sundayssmile2128
      @sundayssmile2128 4 года назад

      Karibu kutazama wimbo mwingine mzuri kutoka Kwaya Ya Alois Gonzaga-Kigamboni; usisahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html

  • @gasparpaul2594
    @gasparpaul2594 4 года назад +4

    Kazi nzuri mno🔥🔥🔥 #Bravo HT hadi waimbaji🤝

  • @balbinahsylvester8037
    @balbinahsylvester8037 4 года назад +2

    Wapi wale saut ya pili,hongereni wana kwaya

  • @wivinemakasi815
    @wivinemakasi815 3 года назад +4

    Ka nipa uhai na nguvu ,amina

  • @materdeimusema9939
    @materdeimusema9939 3 года назад +1

    asante sana kwa wimbo ya kumusifu mungu hiyo iko kama kumbusho kwawana damu .ni mimi wanu rafiki materdei musema hapa RDC mugini ya Lubumbashi

  • @sasatv1484
    @sasatv1484 4 года назад +2

    Kazi nzuri Sana , kila sauti inasikika kwa nafasi yake

  • @rosemarymathias4938
    @rosemarymathias4938 4 года назад +3

    Asante Mungu wangu kwa mengi, nitazidi kukusifu milele.

  • @doriskerubo5017
    @doriskerubo5017 2 года назад +1

    Wow!!! This is very very beautiful song, Mungu hawabariki na muendelee hivyo hivyo 👍👍

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 4 года назад +2

    Waoooooo nzuri sana nikitaka cd au DVD nimeupenda sana sauti zote zipo vizr sauti ya pili waooooo

  • @magdalenamsuka4602
    @magdalenamsuka4602 4 года назад +2

    Hongereni sana.ni wimbo mzuri sanaaaa

  • @antonynganga4186
    @antonynganga4186 4 года назад +4

    Amazing.. amazing... amazing... ntakuja Tanzania niwaone live..hahahaa,cute guys..sweeeet voices, B Blessed,Dubai, UAE.

    • @antonynganga4186
      @antonynganga4186 4 года назад

      Asante.

    • @furahaally3091
      @furahaally3091 4 года назад

      Mungu awabariki kwa wimbo mzuriiiii unailiwaza npo Congo lakini kama npo Tanzania barikiwa sana mama kweli nayakabidhi maisha yangu yawe mikononi mwake

  • @justusaganyilatvonline1417
    @justusaganyilatvonline1417 4 года назад +2

    Sauti hizi jaman 😊daah🙌🙌 waimbaji wote mbarikiwe na mjikaze mfike mbinguni

  • @mtegayuster9574
    @mtegayuster9574 4 года назад +2

    Waoo .good song keep it up all the time. Stay blessed

  • @jackngare1894
    @jackngare1894 3 года назад +4

    Beautiful voices.... The maasai culture display is awesome

  • @nimubonaclaver9621
    @nimubonaclaver9621 4 года назад +3

    iyo kwawa nayipenda sana

  • @zawadishiga1123
    @zawadishiga1123 4 года назад +2

    Naupenda huu wimbo...mbarikiwe sanaaa

  • @tonnytonito1536
    @tonnytonito1536 4 года назад +4

    Kazi safi twaipokeaa kutoka marekani

  • @marysrevocatus1413
    @marysrevocatus1413 2 года назад +2

    Wimbo wenu umenibariki sana,barikiweni

  • @sekibibibatume7401
    @sekibibibatume7401 3 года назад +2

    anyway l live in USA but l like my Africa god bless Africa more and more yesssssss

  • @atuitingumbi3517
    @atuitingumbi3517 4 года назад +3

    Safi mungu awabariki sana

  • @kendice2724
    @kendice2724 3 года назад +4

    Nayakabithi na maisha yangu, yawe mikononi mwake. #shaka

  • @onesmoswai7350
    @onesmoswai7350 4 года назад +4

    Mbarikiwe

  • @judithphilipo7437
    @judithphilipo7437 4 года назад +3

    Mungu awabariki sanaa kwa utume mzuri 🙏🙏🙏

  • @sasatv1484
    @sasatv1484 4 года назад +2

    Best of the best song, sichoki kuusikiliza

  • @seciliambedule2781
    @seciliambedule2781 3 года назад +2

    Wimbo mzuri sana wa shukrani. Mmeutendea hali

  • @theoseverinenyavili8141
    @theoseverinenyavili8141 4 года назад +4

    Hiv hapa ndo mbinguni rahaaaaa saaaaaanaaaa

  • @abinanyanchama9561
    @abinanyanchama9561 4 года назад +2

    Wimbo mtamu kweli napenda sana

  • @MCOAST-
    @MCOAST- Год назад +1

    Waimbaji wazuri wimbo mtamu saaaaaaaana
    Niko na ombi kwenu

  • @rahabfaustinah3509
    @rahabfaustinah3509 4 года назад +3

    Nice song...blesses my soul

  • @sophysulley1431
    @sophysulley1431 4 года назад +1

    God bless you, nmebarikiwa na mwimbo wenu santen San, nakvutiwa na uimbaji

  • @sarahwinnie7011
    @sarahwinnie7011 2 года назад +2

    The song is a blessing to me and my family.... Good work and Gods blessings upon you

  • @enockkiptanui2548
    @enockkiptanui2548 2 года назад +1

    Wimbo nzuri sanaa ya kumtukuza mungu. Hongera holy Trinity studio Kwa kueneza injili hivi. Mungu awaongoze Kila wakati

  • @annastaziachille2204
    @annastaziachille2204 4 года назад +3

    Nimebarikiwa sana

  • @ceciliansemiwe8188
    @ceciliansemiwe8188 2 года назад +2

    I am blessed with song. Mungu awabariki sana 🙏🙏

  • @basilkitime8197
    @basilkitime8197 4 года назад +2

    Hongereni sana Mungu baba awatunze

  • @MkomboziIbrahim
    @MkomboziIbrahim 11 месяцев назад +2

    Jaman mungu ni mwema mmependeza

  • @chinasaokwumike1266
    @chinasaokwumike1266 2 года назад +3

    Love you all ... Proudly Catholic... pls interprete the song for me..
    Thanks.....

  • @rahelfeleshi5368
    @rahelfeleshi5368 3 года назад +4

    Ni vyema kumshukuru muumba

  • @ceciliamaganga8101
    @ceciliamaganga8101 2 года назад +2

    Nimebarikiwa sana na huu wimbo 2022.
    Hongereni sana kwa utumishi wenu mbarikiwe

  • @judithkissi6527
    @judithkissi6527 4 года назад +2

    Mungu awabariki kwa kuimba vizuri