Holy Trinity Studio - Nikushukuruje Bwana ( Official Music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • SONG LYRICS
    SWAHILI & ENGLISH
    Nikushukuruje Bwana
    How should I thank you Lord?
    Ee Mungu wangu nakushukuru
    Oh my God, I thank you
    umenitendea mema mengi Bwana
    You have been so good to me, Lord
    asante asante
    thank you
    Mungu wangu nashukuru
    My God, I thank you
    Ee Mungu wangu nakushukuru
    Oh my God, I thank you
    umenitendea ukarimu Bwana
    you have been generous to me, Lord
    asante asante
    Thank you
    Mungu wangu nashukuru
    My God, I thank you.
    Mungu wangu, Bwana wangu, ninakushukuru sana
    Oh Lord, my God, I thank you enormously
    kwa upendo na wema wako Bwana
    for your love and kindness, Lord
    sijui mimi nikushukuruje Bwana
    I wonder how amply I should thank you Lord
    kadiri ya wingi wa ukarimu wako Bwana
    for the greatness of your generosity, Lord
    Mungu wangu, Bwana wangu, ninakushukuru sana
    Oh Lord, my God, I thank you enormously
    kwa upendo na wema wako Bwana
    for your love and kindness, Lord
    sijui mimi nikushukuruje Bwana
    I wonder how amply I should thank you Lord
    kadiri ya wingi wa fadhili zako Bwana
    for the greatness of your kindness, Lord!
    1. Bwana Mungu wangu, Mungu wa Abraham
    Lord my God, God of Abraham
    uliyegawanyisha bahari ya Shamu, wana wa Israeli wakavuka salama
    He who divided the Red Sea, made the Israelites cross safely
    umedhihirisha wema wako kwangu Bwana
    you have revealed your goodness unto me, oh Lord!
    2. Unaninyeshea mvua ya Baraka
    You keep me showered with blessings
    na kuniangazia nuru ya uso wako
    and shine upon me the light of your countenance
    umenizungushia nyimbo za ushindi
    you have surrounded me with songs of victory
    wema wako kwangu hauna kipimo Bwana
    your goodness to me is infinite, oh Lord!
    3. Umenijalia familia bora
    You have blessed me with a great family
    ilojaa upendo na moyo wa Imani
    full of love and a heart of faith
    umenizawadia na marafiki wema
    you have gifted me good friends
    wanishikao mkono kwa upendo Bwana
    who lovingly hold my hand, oh Lord!
    4. Siku zote Bwana unanilinda vema
    Lord, you always protect me well
    chini ya mbawa zako Bwana niko salama
    In the shadow of your wings oh Lord, I take refuge
    nikukoseapo Bwana wanisamehe
    whenever I sin against you Lord, you have been merciful to forgive me
    na kunirejesha kwako kwa upole Bwana
    and restore me to your good paths tenderly, oh Lord!

Комментарии •

  • @yohanaemanuel4747
    @yohanaemanuel4747 2 года назад +5

    Nimeipenda saana hiyo kwaya

  • @tylookwambosh985
    @tylookwambosh985 4 года назад +9

    Sauti nzuri hizo Mungu awabariki

  • @jacintastacy9823
    @jacintastacy9823 2 года назад +80

    Kama umewatch zaidi ya mara tano pita na like 🥰what a wonderful and nice song

  • @helenawilliam9832
    @helenawilliam9832 4 года назад +9

    Pokea shukurani zangu bwana pia, kazi nzuri ni kazi ya ukombozi

  • @manase_fast_courier
    @manase_fast_courier Год назад +3

    watoto wa msoka wanaona aibu😜......wimbo mzuri sana asee

  • @Benedict-s1s
    @Benedict-s1s Месяц назад +3

    Kama umevuka mwaka wa 2024 ukiskiza wimbo huu mtamu like hii post🎉

  • @gladyswambui5973
    @gladyswambui5973 7 дней назад +1

    I can't get enough of this song❤

  • @stellacosmas1958
    @stellacosmas1958 Месяц назад +20

    Tunaofunga mwaka 2024 na wimbo huu naomba likes zenu🙏🏾🙌🏾🙌🏾

  • @RyneNicholas
    @RyneNicholas Год назад +24

    Mm nimewatch Zaid ya mara 20 naomben like zenu

  • @fransiskokameguzi2480
    @fransiskokameguzi2480 3 года назад +3

    Hii nzuri Sana😍😍🤩😀🎅🧞

  • @dativateti4572
    @dativateti4572 2 года назад +4

    Wimbo umejaa baraka nyingi. Naomba nota zake tafadhali

  • @festojrtz9620
    @festojrtz9620 4 года назад +11

    Nyimbo Nzuri Saana HOLY TRINITY Hamjawahi kutoa kitu Kibaya Hongereni Saana. Mbarikiwe Saana

  • @vellamoraa2410
    @vellamoraa2410 Месяц назад +7

    Wale tunawatch 2025-1-1 weka likes ...

  • @ErickOkothbr
    @ErickOkothbr 23 дня назад +2

    Am happy because of God, whether in trials or temptation.
    .. I just rejoice and put all my trust in Him Like Job😇😇😇😇☺️☺️☺️

  • @afraziakapongwa5350
    @afraziakapongwa5350 2 года назад +8

    Hakika huu wimbo tokea nimeufaham kila ninavo amka asubuh naamka nawo Mungu awajalie nyote mlio shiriki katika wimbo huu awajalie wema na baraka na awaoneshe njia pasipo na njia katika utume wenu, najivunia kuwa mkatoriki jaman

  • @stellamahende3954
    @stellamahende3954 2 года назад +3

    Amina mwenyez mungu aendelee kuwapigania kataika utume wenu hakika wimbo huuu unafairi sana ukuu wa mungu mubarikiwe sana kwa uinjilishaji🙏🙏

  • @FridaNyongesa-t6n
    @FridaNyongesa-t6n Год назад +2

    What do you always do with your friends,,,big challenge,,, God bless you for the good choir,,big up msoka's friends

  • @lameckd7995
    @lameckd7995 4 года назад +5

    Hongeren xna.kwa wimbo mzuri wapendwa wainjilishi wa.mungu

  • @melkiadeskalisto8918
    @melkiadeskalisto8918 4 года назад +8

    Paul Msoka MUNGU Ana onesha makubwa sana ndani yako

  • @georgekabelwa8962
    @georgekabelwa8962 4 года назад +7

    Hakika huu ndio muziki mtakatifu,utunzi bora kabisa

  • @DivineNyaanga-kv9rb
    @DivineNyaanga-kv9rb Год назад +3

    Yaani wimbo safi asante Mwenyezi Mungu wow amen🙏🙏

  • @Promo_iPhox
    @Promo_iPhox 4 года назад +9

    Mziki Safi Kabisa Mungu Awabariki

  • @shaneryndunguru6070
    @shaneryndunguru6070 4 года назад +11

    Mungu Awabariki sana kwaya nzuri nimeipenda

  • @elielepetit8107
    @elielepetit8107 4 года назад +3

    ayiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!nigushukuruje bwana!!!!!

  • @japhetpetro9598
    @japhetpetro9598 4 года назад +45

    Safii RC Ni Dini Bora Duniani.

  • @leopoldwilliam2128
    @leopoldwilliam2128 4 года назад +4

    Kazi nzuri sana

  • @salomesalome7298
    @salomesalome7298 4 года назад +5

    Hakika Najivunia kuwa mkatoriki .asant sana wanakwaya kwa kazi nzuriiiiiiiiiiiiiiiiimnoooooooooooo .

  • @godfreymajoa4100
    @godfreymajoa4100 4 года назад +2

    Asanten kwa ujumbe wimbo mzuri mungu awabariki

  • @noelbabuya
    @noelbabuya 4 года назад +7

    Iko safi uimbaji wenye mvuto

  • @lucresiapeter1385
    @lucresiapeter1385 4 года назад +6

    Video nzuri sana hongereni umetamani wimbo usiishe naangalia tuuuuu

    • @tatukivugo5333
      @tatukivugo5333 4 года назад +1

      Asante Mungu kwa wema wako.Mungu awabariki sana Msoka familia na Kikundi kilichoandaa no faraja sana.Mungu awabariki sana.

    • @msokasgallery8323
      @msokasgallery8323 4 года назад +1

      Amina. Nawe ubarikiwe sana Lucresia

  • @irenemaliwa4379
    @irenemaliwa4379 4 года назад +6

    Mungu wa mbinguni azidi kuwatumia kipekee muzidi kuieneza injil ya Bwana nabarikiwa Sana na huu wimbo

  • @crediuskyando6906
    @crediuskyando6906 4 года назад +5

    Hongereni kwa kazi nzuri na ujumbe mzuri

  • @beatusmushi8781
    @beatusmushi8781 Месяц назад

    Mwimbo mzuri sana, umenipambia Mwaka Mpya wangu leo

  • @majaliwasuleiman1885
    @majaliwasuleiman1885 4 года назад +6

    Aiaseeee nzuri kweli
    Hongereni sana

  • @benjaminmichel7451
    @benjaminmichel7451 4 года назад +7

    Aisee hii nyimbo ni 🔥 🔥,
    Dah aisee naona Kama nilichelewa kuusikia huu wimbo

  • @rosetarimo2076
    @rosetarimo2076 4 года назад +6

    Wahoo...sijui nikushukuruje Bwana kwa wingi wa fadhila zako..mbarikiwe sana Msoka's friend

  • @lucykiria6454
    @lucykiria6454 4 года назад +11

    Sichoki kuutazama huu wimbo..Mungu azidi kuwabariki

  • @rogatusrogatus9931
    @rogatusrogatus9931 4 года назад +4

    Kristu, hongereni mnoo kwa kazi nzuri

  • @LudvicNgugi-kx5xb
    @LudvicNgugi-kx5xb Год назад +1

    Mungu awazidishie nguvu na upendo yakumtumikia. Ahsante Kwa sauti na nyimbo nzuri.

  • @markmurithi3960
    @markmurithi3960 8 месяцев назад +4

    Nasherehekea siku ya kuzaliwa kwangu...nakushukuru sana Mungu wangu kwa Yale umenitendea ❤❤

  • @SerahSyombua-rh8yw
    @SerahSyombua-rh8yw Год назад +1

    Nice song.

  • @nikolausnalisis7074
    @nikolausnalisis7074 4 года назад +2

    Mungu awbaliki wimbo mzuli sana

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 года назад +8

    Ongereni sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @cosmasfesto5519
    @cosmasfesto5519 4 года назад +5

    Hongereni sana kwa wimbo mzuri

  • @machoziasa6936
    @machoziasa6936 4 года назад +4

    Hongereni san bwan yu pamoja nanyi

    • @saimonshija6152
      @saimonshija6152 4 года назад

      Kalihiyo, Mungu azid kubariki kazizako by Mr simando

  • @ShimboPastory
    @ShimboPastory 2 года назад

    Wimbo mzuri sana. Hongereni sana.

  • @godkingtz1364
    @godkingtz1364 4 года назад +2

    Anasaut nzur Mungu ambariki sana ,wimbo mzur sana💞

  • @ConstantineWilbroadWilbroad
    @ConstantineWilbroadWilbroad 3 месяца назад

    Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri kwa kwakweli ujumbe wake ni mzuri sana

  • @EvaTango-ug7se
    @EvaTango-ug7se 3 месяца назад

    Very nice song mbarikiwe jamn na mwenyezi Mungu ❤️

  • @alexinahmogunde5276
    @alexinahmogunde5276 4 года назад +2

    MUNGU awabariki nakuwa linda Amen

  • @elizabethqumunga1328
    @elizabethqumunga1328 4 года назад +5

    Mungu awabariki kwa nyimbo nzuriiii wenye ujumbe mzito ndani yake

  • @dovelinkcyber3957
    @dovelinkcyber3957 4 года назад +5

    Wimbo safi sana na una maneno yakutia moyo, kwa kweli yale Mungu ametutendea ni mengi, sijui nimshukuruje Bwana kwa kadiri ya fadhili zake

  • @respiciuscornery9202
    @respiciuscornery9202 4 года назад +9

    Huu wimbo nautaza mara tano kwakutwa. Hakika unaujumbe mzuri barikiwa

  • @ioseph7230
    @ioseph7230 2 года назад +2

    congradulations guys good job....mungu wangu sijui nikushukureje....thanks God

  • @despinamdende9810
    @despinamdende9810 4 года назад +15

    Hongereni sana.waimbaji.
    hongera sana mwalimu POUL MSOKA.
    HONGEREN SANA HT 👍👍

    • @msokasgallery8323
      @msokasgallery8323 4 года назад +2

      Hongera sana na wewe Despina. Mungu azidi kuinuliwa kupitia kipaji chako

    • @despinamdende9810
      @despinamdende9810 4 года назад +2

      Amina

    • @KarugabaWilson
      @KarugabaWilson 4 года назад +1

      @@despinamdende9810 waiting for your videos on your cannel

  • @stephanokihanga8359
    @stephanokihanga8359 3 месяца назад

    Hongera Kwa wimbo mazuri nabarikiwa sana nao

  • @paulkavengih1536
    @paulkavengih1536 3 года назад +3

    My always favourite song naipenda sana

  • @golingoibenzi2142
    @golingoibenzi2142 4 года назад +3

    Hongerq sana ,wimbo.mzuri mbalikiwe zaidi

  • @davidkobero6977
    @davidkobero6977 4 года назад +1

    safi sanaaaaaaa

  • @spiderbasswilliam1111
    @spiderbasswilliam1111 Год назад +1

    Bravo.....sauti nyororo ❤❤❤kweli kweli

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas5922 4 года назад +4

    Safi sana.

  • @modesternorbert9728
    @modesternorbert9728 4 года назад +4

    Wimbo mzuri sana asanteni mbarikiwe Mungu azidi kuwatia nguvu

  • @berthamwalu8689
    @berthamwalu8689 4 года назад +4

    Yaan huu wimbo jaman sichoki kuusikiliza!! Barikiwenu sana

  • @yosephersambala8299
    @yosephersambala8299 4 года назад +5

    Oh haleluya Asifiwe Mungu aliye juu

  • @dagrasgwahila2042
    @dagrasgwahila2042 4 года назад +4

    Sauti ya pili ni hatari. Mungu azidi kutukuzwa

  • @justinantui1521
    @justinantui1521 3 года назад +1

    Nimefarijika sana na nyimbo nzuri

  • @MoureenMagret
    @MoureenMagret 4 месяца назад +2

    Hongera sana nyimbo nimaombi x2 mimi ni mwana kwaya lakini sina uwez wakumba penye niko hakuna kanizani kwa hivyio niokoe na nyibo naburudika❤

  • @neemajohn754
    @neemajohn754 4 года назад

    Mbarikiwe wana kwaya.Najivunia ninyi

  • @augustinemaingu
    @augustinemaingu 4 года назад +5

    Abarikiwa sana Msoka kwa utunzi bora

  • @michaelsunday8259
    @michaelsunday8259 2 года назад +1

    Nice One!! TUMSIFU YESU KRISTO

  • @ellypoul2952
    @ellypoul2952 3 года назад

    Hongereni jamani waimbaji nimebarikiwa sana na huu wimbo mungu awabariki

  • @pierremrema6676
    @pierremrema6676 2 года назад +1

    Huu wimbo mzuri sana una ujumbe mzuri sana hongereni sana wanakwaya kwa utume

  • @JulianaCelestine-o1f
    @JulianaCelestine-o1f 10 месяцев назад

    Barikiweni sana. Mwenyezi Mungu anasikia masifu yenu. Sijakosea kuwa mkatoliki

  • @maureenmowakimani
    @maureenmowakimani 4 года назад +5

    Namshukuru bwana hata zaidi wimbo huu kweli ni wa faraja

  • @VitusHaule
    @VitusHaule 5 месяцев назад

    hongeri kaz nzur nimeipenda saanaaaa!!!🥰😍

  • @StudioiRisPro
    @StudioiRisPro 4 года назад +8

    Nzuri iyo Brothers

  • @piusjeremia687
    @piusjeremia687 4 года назад +7

    Wimbo mzuri sana pongezi nyingi kwa aliyetunga pia wanakwaya ✌✌

  • @benitokizamuri8435
    @benitokizamuri8435 4 года назад +4

    Hongeren nyote mlioshiriki katika wimbo huu hakika nimzuri

  • @frankchibago3206
    @frankchibago3206 4 года назад +7

    Mungu wangu ni kushukuruje Mana wewe ni mwema kila waKati,kila wakati wewe ni mwema

  • @dominicmatata1813
    @dominicmatata1813 4 года назад +7

    Tuzidi kumshukuru Mungu. Asanteni sana.

  • @annadua9083
    @annadua9083 9 месяцев назад

    ❤❤🙏Mbarikiwe sana Kwa wimbo mtamu kuliko wali nyama😂😂

  • @eunicebwire9993
    @eunicebwire9993 2 месяца назад

    Naomba neema yako ee Bwana Mungu wa majeshi.

  • @dorotheaMarseli
    @dorotheaMarseli 5 месяцев назад

    Naipenda sana hii nyimbo Mungu awabaliki

  • @SaloniusDavid
    @SaloniusDavid Год назад +1

    NAMSHUKURU MUNGU KWA WIMBO MZURI, ASANTE SANA MARAFIKI WA PAUL MSOKA. HUYU NI MWALIMU WANGU WA KISWAHILI, NAKUKUMBUKA SANA MWALIMU. MUNGU AKUTUNZE!

  • @marcogululi4595
    @marcogululi4595 4 года назад +1

    Safi

  • @protassabato6630
    @protassabato6630 4 года назад +4

    Ushauri. Muwe mnaweka Mawasiliano ya kwaya husika au kikundi husika.

  • @agneskerengo8375
    @agneskerengo8375 7 месяцев назад +1

    So smart , and amazing songs sweet voice 👍💪💞

  • @apendayetweve8441
    @apendayetweve8441 2 года назад

    Nitakushukuru kwa ukarimu wako🙏🏻🙏🏻

  • @agnesskimario8857
    @agnesskimario8857 Год назад +1

    Mungu ni mwema sana.Hongera sana Mtunzi mwenyezi Mungu Akujalie Afya njema

  • @nicolausclemence7008
    @nicolausclemence7008 4 года назад +16

    Sauti, mpangilio, miitiko,vyombo, mixture yake ni kiwango Cha juu Sana, Baraka za Bwana ziwe pamoja nanyi. Tunamtukuza Kristo

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 3 года назад +1

    Wimbo wangu asubuhi ,mchana ,na usiku naupenda sanaa

  • @priscajema9914
    @priscajema9914 2 года назад +1

    Nyimbo nzur Sana nafarijika Sana 🙏

  • @kattopeter7280
    @kattopeter7280 3 года назад

    Hongereni wateule kwa utume, kazi nzuri sana

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 Год назад +1

    Mungu awabariki sauti nzuri yaani baraka nyingi kwenu

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 3 года назад +1

    Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina

  • @Edina_msele
    @Edina_msele 6 месяцев назад

    Mbarikiwe Sana wimbo mzuri sana

  • @MATILDAJOSEPH-mx1yx
    @MATILDAJOSEPH-mx1yx 8 месяцев назад

    Wah kwanza huonmpangilio wa sauti imependeza kweli

  • @christinakilegu2483
    @christinakilegu2483 3 года назад

    Mungu azidi kuwabariki wapenzi

  • @venerandafredrick6531
    @venerandafredrick6531 2 года назад +4

    Wimbo huu nimeusikia tr 3/10/2022 nikiwa kwenye Costa tunaenda kumzika Bibi yangu Mwanza hakika ulinifariji ikabidi nitafute

  • @MartinaBaynet
    @MartinaBaynet 5 месяцев назад

    Wimbo mzuri umenibariki sana❤❤