hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉
Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele. Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤
Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤
Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.
Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.
TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.
Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!
Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏
Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana
Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki
Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana
Jamani wimbo mzuri sana, umegusa maisha halisi ya Baba Askofu lkn na hata maisha yet ki ujumla, hunger mtunzi. Kinanda safi sana. Nimexikiliza mara nyingi sana. Mungu awabariki sana sana!
Kadri ninavyousikiliza mwili unasisimka❤
Mungu ambariki mtunzi na kwaya hii bila kumsahau Baba Askofu Kilaini
hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉
Proud to be a Catholic Bernard Mukasa Mungu azidi kukulinda kazi yako ni njema
Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele.
Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤
Pole sana. Astarehe kwa amani
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo
Pole sana dear, Mungu ampokee katika utukufu wake mbinguni ❤
6:11 ❤😢😢
Benard Mkasa kazi unayoifanya ya uinjilishaji malipo yako mikononi mwa Mungu, hakika Mungu akubariki na uzao wako. Wimbo una maudhui mazito sana.
Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤
WE,,,,Kiswahili
Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume..
Niseme nini ee Bwana?🤲
...Proud of being catholic ...wimbo mzuri sana kwakweli jaman, be blessed ...ila nataman sku moja nikutane na mukasa nipige nae hata picha tu
Bernad Mukasa na kapotive nzima mnafanya kazi nzuri ya utume Mungu awabaliki sana wimbo mzuri I a'm proud to be roman Catholic ☺️☺️
Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.
Wow! Sauti zimepangwa zikapangikwa.Mungu awape afya nzuli mzidi tena na tena
HAKIKA BENARD MUKASA... Kipaji mungu kampa...n tunu ya kanisa katolik... Hongereni wana kwaya.. Hongera ake kwa miaka 50 ya upadre
Asante sana kwa wimbo huu mm niliuimba nilipotoka ulinzi wa amani kongo mt mikael kawe
Mungu akupe amani ipitayo amani
Nakumbuka sana Ile siku na gwanda zenu
🔥🔥
Barikiwa Nassoro
Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.
Hàkika wimbo huu unatuongoza hata sisi kumwambia Mungu asante. At 58, I really appreciate the unrestricted love from My good God.
Nice to hear from you niseme Nini bwana thank you may God bless u mniombee pia Mimi Niko chuo Cha mziki arusha
Aksante waimbaji.Nimebariki kupitia hii nyimbo. Bwana awabariki.
Kwakweli niseme nini, Mungu wangu sina cha kusema bali Mungu wangu nakushukuru kwa ukarimu wote ulio nitendea. Na Barikiwa sana na huu wimbo 🙏
Asante ubarikiwe umeniokoa Sana jaman mungu amfikishe mbali zaid my dear friend neema umesharudi
Hakika tuseme nini kwa mungu mapito nimengi lakini anatuvusha tunashukuru Sana 🙏🙏🙏🙏😢
Nawapa vyema wanyumbani nikiwa kenya jirani yangu kalaudi w kyelima nakuona
Hakika am proud to be catholic,,ujumbe mzur kwe
Hongereni sanaa Wanakwaya kutoka Bukoba
Ahsant mungu mapito mengi sana umenilinda na kunisaidia
Napenda Baba wimbo huu umemjaa hkika umeibeba safari yke ya wito
Smart song,inanipa nguvu hasa hapa Mandera mpakani mwa Somalia
Hatunabudi kusema asante mungu kila wakati
Hongera Sana mtunzi wawimbo huo naupenda sana
TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.
Hongera Sana kwa wimbo mzuri wajina wangu
Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!
Asanteni Sana wanakwaya kwa utume wenu. IAM proud to be a Catholic
Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏
Kazi nzuri mwalimu mkasa pongezi wote na baba askofu kwa wimbo huu bora
So proudly to be CATHOLIC
Safi sana mungu awalinde zaidi mzidi kutuinjirisha Kwa nyimbo nzuri kama huu
Nyimbo inabariki na kusisimua mbarikiwe wainjilist wote muendee kutupatia nyimbo nzur zaidi
Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana
Asante sana kwa wimbo nzuri, niseme Nini
The bit hits differently ❤️It both touches the heart 🎉
Safi sana mbarikiwe wimbo Mzuri sana .
Hzi nyimbo hatuwez zipata kupitia boomplay music
Proud to be a Catholic! Nice song Mungu awabariki sana
Really
Nahuyu mzee kwa unyenyekevu wa kukubali ajimwage hivi mbele na wanakwaya ni muujiza. Nitaomba wimbo huu ùwe maalumu kwa waimbaji wetu na wtu woke
Asante sana kwa wimbo nzuri sana hongera sana
Ahsante Baba Askofu Kilaini kwa umahiri wako
Mi maneno yameniishia ila mukasa we mwamba sana nataka sana nikuone kwa macho yangu we king bless you boy and you family much respect brother mukasa
Asante sana kwa wimbo wenye mguso ndani ya moyo asante sana
The bishop! wow! he must be in charge of liturgy. The song itself, wah, for real, asante mungu nakushukuru!
Hongereni sana Wana Mt. Don Bosco Kwa kazi nxurii😍😍😍Mungu awabariki sana.🙏🙏🙏
Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki
Nimependezewa nawimbo naommba notazake
Mungu awabariki sana KMK kwa kutuinjilisha
Ahsant San jaman nakupenda San hii nyimbo
My daily song!! The Bishop is amazing I tell you!!
Nimeguswa Sana na huu wimbo kulinga na mapito niliyopitia
Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri,Mungu aendelee kukubariki Benard Mukasa kwa kazi nzuri
Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana
Nicely done! Asante ndugu Mkasa. Hongera Bab Askofu Kilaini!
Mukasa mukasa mukasa nimekuita mara 3 hakika mbinguni malaika wanakusubiri ukaongoze waimbaji
Jaman imenibarik Sana mungu aendelee kuwalinda nakuwabariki waimbaji Hawa..
Wimbo mzuri Sana. Hongereni👏👏👏👏👏
Baba Askofu ubarikiwe Sana. Ujaliwe utume mwema baba
Get addiction to this song najipata nikiimba zaidi ya mara 10 kwa siku mbarikiweni sana kwa kazi nzuri👏👏👏
The song elevates me every time I listen to it. This is God given straight from heaven. God bless you all.
Asanteni mbarikiwe wimbo mzuri sana
Nisemee ninj.ewe.bwanaaa❤🎉
Daima nitaiishia imani KATOLIKI milele na milele
hongereni sana jaman kwa kumuimbia Askofu wetu vizuri sana
8:47 9:48 9:48 ahsnteni mbarikiwe sana watu wa mungu mwimbo mzuri sna na mungu awape nguvu aman na baraka za kumtumikia yeye daima
Amina wimbo huu umenibariki sans mpaka nimetokwa na machozi ya furaha
Namba niandike Barua rasmi kwa Idara ya Katekes utunukiwe cheti cha Doctor of catholic miusic
Kweri kabisa Niseme Nini ni wimbo mzuri OYee Askof KILAHINi kwa kuimba wimbo huu mzuri Mbarikiwe sana wahimbaji kwa nyimbo nzuri.
Nimeneemeka na baraka kusikiliza wimbo huu
Jamani wimbo mzuri sana, umegusa maisha halisi ya Baba Askofu lkn na hata maisha yet ki ujumla, hunger mtunzi. Kinanda safi sana. Nimexikiliza mara nyingi sana. Mungu awabariki sana sana!
I love this song to the moon and back 💕 ❤️ 💛 💖 💓
Nafarijika Sana nikisikia wimbo huu
❤❤ Wimbo Mzuri sana Hongera kwa waimbaji
Amen ninavyojisikia sijui nifanyeje. Atukuzwe baba.
Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa chuoni tukiwa ktk mashindano ya kwaya 16
Askofu kilaini,man of the match,
Kiufupi hongereni sana waimbaji ,mmeimba vizuri sana
Hello i am watching from USA nawapenda wote 💕
Am addicted to this song. Huyo pianist...ni another level
Your bishop is having a blast, well done
good staff. God bless you guys
Hongereni Sana wanna bukoba furaha kw a kweli nawatakia uinjilishaji na utume mwema was kwaya
SO WONDERFUL BE BLERSSED ALL
Nimeguswa sana na mapito ninayo pitia
Hakika ni wimbo mzuri mno
Hakika wimbo uko vizuri sana hongereni kwa kuutendea haki.organist ni fire mko vizuri
Wimbo ulinoga sana. Hongera Mbwana Mukasa na Mpiga Kinanda
Asante wimbo nimzuri sana naunainjilisha vizuri kabisa mtumishi
Nyimbo nzuri sema kuna sehemu wameingiza maneno yao
Kapotive you are the best. Nawakubari sana na sio mimi tu bali watu wengi
Nzuri sana imenibariki
Mungu awabariki sana na asanteni kwa wimbo mzuri
Kweli huwa nabarikiwa sana nawimbo huo mahalum wa jubile ya baba kilaini
Roho yangu imefurahishwa na uimbaji wenyu zaidi, nyimbo tamu na zenye uinjilishaji mkubwa. Proud to be catholic
Mungu awabariki sana Kwa wimbo huu.
Wimbo huu tumeubariki uwe wa Taifa wa Katoliki😅🙏
Hongera Baba kwa utume mwema
Askofu anayefikika kabisa.
Hakika Mungu ni mwema kila wakati yatupasa kushukuru bila kuchoka.
Wimbo umebeba ujumbe mzito sana
My family fevorite song👍👍