Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba Parish

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 269

  • @jeremiahjahulula7868
    @jeremiahjahulula7868 11 месяцев назад +10

    Kadri ninavyousikiliza mwili unasisimka❤
    Mungu ambariki mtunzi na kwaya hii bila kumsahau Baba Askofu Kilaini

  • @bestamsumange9289
    @bestamsumange9289 10 месяцев назад +12

    hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 10 месяцев назад +10

    Proud to be a Catholic Bernard Mukasa Mungu azidi kukulinda kazi yako ni njema

  • @manyorifrancis8348
    @manyorifrancis8348 Год назад +20

    Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele.
    Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤

    • @josephlango5591
      @josephlango5591 Год назад

      Pole sana. Astarehe kwa amani
      Tumshukuru Mungu kwa kila jambo

    • @aurorabenedicto3197
      @aurorabenedicto3197 Год назад

      Pole sana dear, Mungu ampokee katika utukufu wake mbinguni ❤

    • @user-ex5yk2oz5o
      @user-ex5yk2oz5o 8 месяцев назад

      6:11 ❤😢😢

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Год назад +17

    Benard Mkasa kazi unayoifanya ya uinjilishaji malipo yako mikononi mwa Mungu, hakika Mungu akubariki na uzao wako. Wimbo una maudhui mazito sana.

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 9 месяцев назад +5

    Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤

    • @alexngovi
      @alexngovi 4 месяца назад

      WE,,,,Kiswahili

  • @devidkingu2439
    @devidkingu2439 2 года назад +10

    Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume..
    Niseme nini ee Bwana?🤲

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 9 месяцев назад +8

    ...Proud of being catholic ...wimbo mzuri sana kwakweli jaman, be blessed ...ila nataman sku moja nikutane na mukasa nipige nae hata picha tu

  • @evancefesto
    @evancefesto 2 месяца назад +2

    Bernad Mukasa na kapotive nzima mnafanya kazi nzuri ya utume Mungu awabaliki sana wimbo mzuri I a'm proud to be roman Catholic ☺️☺️

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 10 месяцев назад +4

    Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.

  • @paulmutoro2687
    @paulmutoro2687 10 месяцев назад +4

    Wow! Sauti zimepangwa zikapangikwa.Mungu awape afya nzuli mzidi tena na tena

  • @frankmhoja2460
    @frankmhoja2460 2 месяца назад +2

    HAKIKA BENARD MUKASA... Kipaji mungu kampa...n tunu ya kanisa katolik... Hongereni wana kwaya.. Hongera ake kwa miaka 50 ya upadre

  • @nassorotryphonenassoro2542
    @nassorotryphonenassoro2542 Год назад +28

    Asante sana kwa wimbo huu mm niliuimba nilipotoka ulinzi wa amani kongo mt mikael kawe

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Год назад +8

    Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.

  • @furahajames4085
    @furahajames4085 11 месяцев назад +6

    Hàkika wimbo huu unatuongoza hata sisi kumwambia Mungu asante. At 58, I really appreciate the unrestricted love from My good God.

  • @kirighawilberd6351
    @kirighawilberd6351 2 года назад +9

    Nice to hear from you niseme Nini bwana thank you may God bless u mniombee pia Mimi Niko chuo Cha mziki arusha

  • @mariemeni5939
    @mariemeni5939 4 месяца назад +3

    Aksante waimbaji.Nimebariki kupitia hii nyimbo. Bwana awabariki.

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 2 месяца назад +1

    Kwakweli niseme nini, Mungu wangu sina cha kusema bali Mungu wangu nakushukuru kwa ukarimu wote ulio nitendea. Na Barikiwa sana na huu wimbo 🙏

  • @AvelineKiria-np9mn
    @AvelineKiria-np9mn Год назад +2

    Asante ubarikiwe umeniokoa Sana jaman mungu amfikishe mbali zaid my dear friend neema umesharudi

  • @JoyceMkeka
    @JoyceMkeka 3 месяца назад +2

    Hakika tuseme nini kwa mungu mapito nimengi lakini anatuvusha tunashukuru Sana 🙏🙏🙏🙏😢

  • @gracefeldinandi838
    @gracefeldinandi838 Год назад +5

    Nawapa vyema wanyumbani nikiwa kenya jirani yangu kalaudi w kyelima nakuona

  • @michaelmwembezi5998
    @michaelmwembezi5998 Год назад +4

    Hakika am proud to be catholic,,ujumbe mzur kwe

  • @marylyimo6519
    @marylyimo6519 Год назад +3

    Hongereni sanaa Wanakwaya kutoka Bukoba

  • @RuesFedrick
    @RuesFedrick 3 дня назад +1

    Ahsant mungu mapito mengi sana umenilinda na kunisaidia

  • @victorishengoma5724
    @victorishengoma5724 Год назад +4

    Napenda Baba wimbo huu umemjaa hkika umeibeba safari yke ya wito

  • @petrobenson2932
    @petrobenson2932 9 месяцев назад +2

    Smart song,inanipa nguvu hasa hapa Mandera mpakani mwa Somalia

  • @JASSONEVARISTER-sz2bi
    @JASSONEVARISTER-sz2bi 4 месяца назад +2

    Hatunabudi kusema asante mungu kila wakati

  • @ATANASCHOBARIKO
    @ATANASCHOBARIKO 5 месяцев назад +1

    Hongera Sana mtunzi wawimbo huo naupenda sana

  • @theresiapatrick7860
    @theresiapatrick7860 2 месяца назад +4

    TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.

  • @benmbwilinge2816
    @benmbwilinge2816 Год назад +5

    Hongera Sana kwa wimbo mzuri wajina wangu

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Год назад +5

    Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!

  • @josephelias7364
    @josephelias7364 2 года назад +15

    Asanteni Sana wanakwaya kwa utume wenu. IAM proud to be a Catholic

  • @josephinekessy1994
    @josephinekessy1994 2 года назад +8

    Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏

  • @jamesnyamwaya1841
    @jamesnyamwaya1841 10 месяцев назад +2

    Kazi nzuri mwalimu mkasa pongezi wote na baba askofu kwa wimbo huu bora

  • @ConsolathaUpendo-po5tf
    @ConsolathaUpendo-po5tf Год назад +7

    So proudly to be CATHOLIC

  • @user-ge4gy6ly5l
    @user-ge4gy6ly5l Год назад +3

    Safi sana mungu awalinde zaidi mzidi kutuinjirisha Kwa nyimbo nzuri kama huu

  • @glorypeter1194
    @glorypeter1194 Год назад +3

    Nyimbo inabariki na kusisimua mbarikiwe wainjilist wote muendee kutupatia nyimbo nzur zaidi

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk Год назад +1

    Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana

  • @user-ix8qr4bn9z
    @user-ix8qr4bn9z 5 месяцев назад +1

    Asante sana kwa wimbo nzuri, niseme Nini

  • @user-vj5mo1xf6r
    @user-vj5mo1xf6r Месяц назад +2

    The bit hits differently ❤️It both touches the heart 🎉

  • @alphoncerutumo1644
    @alphoncerutumo1644 5 месяцев назад +1

    Safi sana mbarikiwe wimbo Mzuri sana .

  • @oliversangawe-cn2jj
    @oliversangawe-cn2jj Год назад +5

    Hzi nyimbo hatuwez zipata kupitia boomplay music

  • @marytairo4981
    @marytairo4981 10 месяцев назад +7

    Proud to be a Catholic! Nice song Mungu awabariki sana

  • @BetraminoJulius
    @BetraminoJulius 3 месяца назад +1

    Nahuyu mzee kwa unyenyekevu wa kukubali ajimwage hivi mbele na wanakwaya ni muujiza. Nitaomba wimbo huu ùwe maalumu kwa waimbaji wetu na wtu woke

  • @user-ix8qr4bn9z
    @user-ix8qr4bn9z 6 месяцев назад +1

    Asante sana kwa wimbo nzuri sana hongera sana

  • @prospervedasto4366
    @prospervedasto4366 8 месяцев назад +1

    Ahsante Baba Askofu Kilaini kwa umahiri wako

  • @SanyagiKulwa
    @SanyagiKulwa 12 дней назад

    Mi maneno yameniishia ila mukasa we mwamba sana nataka sana nikuone kwa macho yangu we king bless you boy and you family much respect brother mukasa

  • @user-dt2tc2gb4l
    @user-dt2tc2gb4l 6 месяцев назад +1

    Asante sana kwa wimbo wenye mguso ndani ya moyo asante sana

  • @ceciliaotwane3906
    @ceciliaotwane3906 Год назад +10

    The bishop! wow! he must be in charge of liturgy. The song itself, wah, for real, asante mungu nakushukuru!

  • @joycengolly547
    @joycengolly547 2 года назад +7

    Hongereni sana Wana Mt. Don Bosco Kwa kazi nxurii😍😍😍Mungu awabariki sana.🙏🙏🙏

  • @jenifadaniel7752
    @jenifadaniel7752 Год назад +4

    Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki

    • @eliudi
      @eliudi 9 месяцев назад

      Nimependezewa nawimbo naommba notazake

  • @paulinalusazi3560
    @paulinalusazi3560 Месяц назад +1

    Mungu awabariki sana KMK kwa kutuinjilisha

  • @user-wy7md3kg7q
    @user-wy7md3kg7q 7 месяцев назад +1

    Ahsant San jaman nakupenda San hii nyimbo

  • @jsifuna
    @jsifuna 10 месяцев назад +12

    My daily song!! The Bishop is amazing I tell you!!

  • @GaudenciaKija-ji9qs
    @GaudenciaKija-ji9qs Год назад +3

    Nimeguswa Sana na huu wimbo kulinga na mapito niliyopitia

    • @KAPOTIVE
      @KAPOTIVE  Год назад

      Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @renatusjoachim8876
    @renatusjoachim8876 2 года назад +8

    Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri,Mungu aendelee kukubariki Benard Mukasa kwa kazi nzuri

  • @claudekalimbirirontabaza7467
    @claudekalimbirirontabaza7467 10 месяцев назад +4

    Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana

  • @pondapapa8371
    @pondapapa8371 Год назад +4

    Nicely done! Asante ndugu Mkasa. Hongera Bab Askofu Kilaini!

  • @geofreynyakana
    @geofreynyakana 10 месяцев назад +1

    Mukasa mukasa mukasa nimekuita mara 3 hakika mbinguni malaika wanakusubiri ukaongoze waimbaji

  • @EudosiaTango-pu7jg
    @EudosiaTango-pu7jg Год назад +2

    Jaman imenibarik Sana mungu aendelee kuwalinda nakuwabariki waimbaji Hawa..

  • @paskaziayaheze962
    @paskaziayaheze962 2 года назад +6

    Wimbo mzuri Sana. Hongereni👏👏👏👏👏

  • @fatumamaiga8496
    @fatumamaiga8496 Год назад +2

    Baba Askofu ubarikiwe Sana. Ujaliwe utume mwema baba

  • @carolnderi5004
    @carolnderi5004 Год назад +2

    Get addiction to this song najipata nikiimba zaidi ya mara 10 kwa siku mbarikiweni sana kwa kazi nzuri👏👏👏

  • @user-lq2be9sb7q
    @user-lq2be9sb7q 10 месяцев назад +5

    The song elevates me every time I listen to it. This is God given straight from heaven. God bless you all.

  • @velonicacharles-6124
    @velonicacharles-6124 3 месяца назад +1

    Asanteni mbarikiwe wimbo mzuri sana

  • @mosesokeyo2824
    @mosesokeyo2824 Месяц назад +1

    Nisemee ninj.ewe.bwanaaa❤🎉

  • @geofreynyakana
    @geofreynyakana 10 месяцев назад +1

    Daima nitaiishia imani KATOLIKI milele na milele

  • @marthauisso5803
    @marthauisso5803 Год назад +2

    hongereni sana jaman kwa kumuimbia Askofu wetu vizuri sana

  • @ranveelkamsanga745
    @ranveelkamsanga745 7 месяцев назад +1

    8:47 9:48 9:48 ahsnteni mbarikiwe sana watu wa mungu mwimbo mzuri sna na mungu awape nguvu aman na baraka za kumtumikia yeye daima

  • @user-pb3db2rl7d
    @user-pb3db2rl7d 10 месяцев назад +1

    Amina wimbo huu umenibariki sans mpaka nimetokwa na machozi ya furaha

  • @BetraminoJulius
    @BetraminoJulius 3 месяца назад +1

    Namba niandike Barua rasmi kwa Idara ya Katekes utunukiwe cheti cha Doctor of catholic miusic

  • @dorothymbuere5832
    @dorothymbuere5832 Год назад +2

    Kweri kabisa Niseme Nini ni wimbo mzuri OYee Askof KILAHINi kwa kuimba wimbo huu mzuri Mbarikiwe sana wahimbaji kwa nyimbo nzuri.

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 Месяц назад +1

    Nimeneemeka na baraka kusikiliza wimbo huu

  • @modesternyamizi6408
    @modesternyamizi6408 Год назад +2

    Jamani wimbo mzuri sana, umegusa maisha halisi ya Baba Askofu lkn na hata maisha yet ki ujumla, hunger mtunzi. Kinanda safi sana. Nimexikiliza mara nyingi sana. Mungu awabariki sana sana!

  • @gracewamaitha7382
    @gracewamaitha7382 9 месяцев назад +1

    I love this song to the moon and back 💕 ❤️ 💛 💖 💓

  • @user-qn7ug6pz6p
    @user-qn7ug6pz6p 6 месяцев назад +1

    Nafarijika Sana nikisikia wimbo huu

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788 10 дней назад

    ❤❤ Wimbo Mzuri sana Hongera kwa waimbaji

  • @geraldkishenyi5786
    @geraldkishenyi5786 2 года назад +2

    Amen ninavyojisikia sijui nifanyeje. Atukuzwe baba.

  • @BahatiAdam-lo6xx
    @BahatiAdam-lo6xx 6 месяцев назад +1

    Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa chuoni tukiwa ktk mashindano ya kwaya 16

  • @alphoncempiti9505
    @alphoncempiti9505 Год назад +1

    Askofu kilaini,man of the match,
    Kiufupi hongereni sana waimbaji ,mmeimba vizuri sana

  • @tempochoir
    @tempochoir 6 месяцев назад +1

    Hello i am watching from USA nawapenda wote 💕

  • @winfrednkatha6159
    @winfrednkatha6159 Год назад +5

    Am addicted to this song. Huyo pianist...ni another level

  • @sarahambajo2873
    @sarahambajo2873 Год назад +15

    Your bishop is having a blast, well done

  • @candymarandu2230
    @candymarandu2230 Год назад +1

    Hongereni Sana wanna bukoba furaha kw a kweli nawatakia uinjilishaji na utume mwema was kwaya

  • @annamushi7758
    @annamushi7758 Год назад +3

    SO WONDERFUL BE BLERSSED ALL

  • @okrasamson4137
    @okrasamson4137 3 месяца назад +1

    Nimeguswa sana na mapito ninayo pitia

  • @jeromemushaijaki6354
    @jeromemushaijaki6354 Год назад +2

    Hakika ni wimbo mzuri mno

  • @user-yv1lw2sn4i
    @user-yv1lw2sn4i Год назад +1

    Hakika wimbo uko vizuri sana hongereni kwa kuutendea haki.organist ni fire mko vizuri

  • @atiliombungu9218
    @atiliombungu9218 2 года назад +4

    Wimbo ulinoga sana. Hongera Mbwana Mukasa na Mpiga Kinanda

    • @josephmhando8757
      @josephmhando8757 Год назад

      Asante wimbo nimzuri sana naunainjilisha vizuri kabisa mtumishi

  • @johnmwakipongo3536
    @johnmwakipongo3536 24 дня назад

    Nyimbo nzuri sema kuna sehemu wameingiza maneno yao

  • @georgekazaula3123
    @georgekazaula3123 3 месяца назад

    Kapotive you are the best. Nawakubari sana na sio mimi tu bali watu wengi

  • @kapandajohn91
    @kapandajohn91 2 года назад +4

    Nzuri sana imenibariki

  • @orestpaul4273
    @orestpaul4273 Год назад +2

    Mungu awabariki sana na asanteni kwa wimbo mzuri

  • @sadiguillaumesadi7345
    @sadiguillaumesadi7345 Год назад +1

    Kweli huwa nabarikiwa sana nawimbo huo mahalum wa jubile ya baba kilaini

  • @henrykimani1664
    @henrykimani1664 11 месяцев назад +3

    Roho yangu imefurahishwa na uimbaji wenyu zaidi, nyimbo tamu na zenye uinjilishaji mkubwa. Proud to be catholic

  • @beatricemichael6376
    @beatricemichael6376 Месяц назад

    Mungu awabariki sana Kwa wimbo huu.

  • @JoyceMlwale
    @JoyceMlwale 2 дня назад

    Wimbo huu tumeubariki uwe wa Taifa wa Katoliki😅🙏

  • @mariankanga8035
    @mariankanga8035 2 года назад +2

    Hongera Baba kwa utume mwema

  • @eustadiusfidelis3895
    @eustadiusfidelis3895 Год назад +2

    Askofu anayefikika kabisa.

    • @ibrahimmeresho797
      @ibrahimmeresho797 Год назад

      Hakika Mungu ni mwema kila wakati yatupasa kushukuru bila kuchoka.
      Wimbo umebeba ujumbe mzito sana

  • @davidomuya1779
    @davidomuya1779 Год назад +1

    My family fevorite song👍👍