MOYO WANGU-Kwaya ya Bikira Maria mama wa Mungu -BMM-Yombo Vituka-DSM (Official Gospel Video HD)-tp

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 апр 2019
  • Wimbo huu ni moja ya nyimbo zilizopo katika Tolea la TANO la Kwaya ya Bikira Maria mama wa Mungu -BMM-Yombo Vituka-DSM.
    Toleo hili la 5 ni toleo maalumu lenye mkusanyiko wa nyimbo za Kwaresma/maombolezo/toba.
    Composer & Organist: Steven Limila
    Audio: Salvatorian Catholic Studio
    Video: Tanganyika productions
    Video imeongozwa na Dir. Laurent Ludovick, Paschal Kabonge & Fortune Shimanyi.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 1 тыс.

  • @silvastudiopro
    @silvastudiopro 4 года назад +148

    Please wenye wanaitazama nyuma yangu niwekee like...

  • @furahinimtunguja2668
    @furahinimtunguja2668 4 года назад +54

    Mimi sio mkatoliki lakini napenda nyimbo zao sana mbarikiwe

  • @jennifermlingi4632
    @jennifermlingi4632 4 года назад +153

    Jamani wakatoliki mpo?
    Najivunia kuwa mkatoliki
    Asanteni sana kwaya mbarikiwe

  • @fredma21x
    @fredma21x 2 года назад +57

    Very touching and spiritual song...Mungu awabarikini washiriki wote na kila mmoja anayeutazama wimbo huu.

  • @sombimalujo
    @sombimalujo 8 месяцев назад +11

    i proudly my Catholic faith! Good song may Lord Jesus Bless all

  • @enviolathamagesa9644
    @enviolathamagesa9644 4 года назад +72

    I was borne Catholic,and will die Catholic...I love my Catholic..

  • @anthonymaina7100
    @anthonymaina7100 4 года назад +12

    Wimbo huu wanifariji kweli. Jamani sichoki kuusikiliza kamwe. Mungu fungua sikio lako usikie Sauti ya kilio changu na ufungue macho yako uone kilio changu. Ujumbe mzito kweliiiii kwetu sisi tulio safarini. I love those minor keys.....very moving and emotional.. Mungu nimetenda maovu mengi nisamehe...usiangalie udhaifu wangu...zaburi 51.... Naomba Kama meneno ya wimbo huu jameni

  • @getrudatarimo3414
    @getrudatarimo3414 5 лет назад +161

    Hongereni wimbo mzuri sana,umetulia. Ndo raha ya kuwa mkatoliki.

    • @alexsumuni3596
      @alexsumuni3596 4 года назад +4

      Umeonaeee

    • @rubenmjujulu9367
      @rubenmjujulu9367 4 года назад +3

      Nimefalijika Sana kwa wimbo huu hongereni Sana wanakwaya hawa

    • @monicakalongaronga6369
      @monicakalongaronga6369 4 года назад +3

      Hongeren sana katoriki naipenda

    • @nyotaben6497
      @nyotaben6497 4 года назад +2

      Nabarikiwa sana nyimbo hii

    • @wemahamaro1021
      @wemahamaro1021 4 года назад +4

      Yaan we km ni mkatoliki alafu hautafakar vitu vizuri km iv ni bora ukaacha ukristo wako

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 4 месяца назад +7

    mungu wa bariki wakatoliki wote duniani haswa wa Tanzania, Dar es salaam... Amina🙏

    • @mamat2953
      @mamat2953 10 дней назад

      Amen, akubariki na wewe.

  • @dominicekamais3021
    @dominicekamais3021 8 месяцев назад +8

    RIP Steve...forever we will remember you...your composition was just an encouraging piece that inspires alot

  • @glorymyega5611
    @glorymyega5611 4 года назад +82

    Pumzika kwa Amani kaka Steve hakika Mungu akupe taji la ushindi kwa hili na uwe mwimbaji bora hata mbinguni

    • @mussakiziwanda7228
      @mussakiziwanda7228 3 года назад +1

      Hakika nifundisho tosha kabisa

    • @lisaliz7704
      @lisaliz7704 3 месяца назад

      Mtunzi wa huu wimbo Bado angali yupo,na kama Ako,Mungu na azidi kukubariki zaidi na zaidi

  • @kevinwekesa1556
    @kevinwekesa1556 4 года назад +23

    Ndo maana najivunia kuwa mkatoliki. Wimbo mzuri sana wa kufariji. Mwenyezi Mungu ailaze roho yako mwalimu Steve Limila mahali pema peponi.

  • @margaretkings1743
    @margaretkings1743 5 лет назад +6

    Naamini wewe Bwana ndiwe uwezaye kuniondolea haya maumivu ya moyo wangu,
    Nakuomba wewe Bwana,tazama mateso yangu usiutazame udhaifu wa Moyo Wangu

  • @neemadaud535
    @neemadaud535 3 года назад +5

    Hngera sana wimbo uchoki kusikiliza

  • @felisterfrancis2377
    @felisterfrancis2377 4 года назад +7

    Hakika huu wimbo unanibariki kila iitwapo leo!!Endelea kustarehe kwa amani mwl Limila

  • @paulokiruwa9879
    @paulokiruwa9879 Год назад +4

    Wimbo huu nausikiliza leo January 22 2023

  • @NundaAmani
    @NundaAmani 7 месяцев назад +3

    Asante sana ndugu kwakutupa moyo sisi wakatoliki nami naifurahia sana kwaya yetu wanavyomsifu Mungu kwawimbo wao wanyakati zakwarezma nanyakatizavilio.

  • @calvinsilayo2052
    @calvinsilayo2052 4 года назад +11

    Huu wimbo n mzuri san coz kila niamkapo n lzm niusikilize pia nawap pole wote kwa kuondokew n mwalimu wa kwaya hii.

  • @josephlango5591
    @josephlango5591 4 года назад +104

    Mwl Limila, Mungu mwenye huruma isiyo na kikomo, aitizame kazi hii nzuri, na akufutie madeni ya madhaifu yako yote, na akustahilishe tuzo kuu ya uzima wa milele
    Amina

    • @georgechugulu7075
      @georgechugulu7075 4 года назад +1

      Joseph Lang'o Ameen

    • @JacksonKembe2014
      @JacksonKembe2014 4 года назад +4

      Hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Mungu aipokee roho yake mahali pale panapostahili. Ameeen

    • @jamesjamesh.5822
      @jamesjamesh.5822 4 года назад

      AMINA

    • @mamadenis3521
      @mamadenis3521 4 года назад

      JAY'S STUDIOS Kwa kweli Mungu mwenyehuruma ampe pumziko la milele,

    • @glorynorbeth6273
      @glorynorbeth6273 4 года назад +1

      Kwa kweli Mungu amsamehe madhambi yake

  • @juliethclemence7594
    @juliethclemence7594 4 года назад +5

    Huu wimbo unanikumbusha kujiandaa kila wakati ili niitwapo na baba wa mbinguni niwe tayari. Naamini mtunzi huyo alifuniliwa vitu fulani kwenye huu utunzi wake hakika unanibariki.

  • @mercymuranga4861
    @mercymuranga4861 4 года назад +90

    Am not a Catholic but am blessed by this song Gob bless the singers

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Год назад +12

    A song by one of greatest and respected Catholic music Composer in Tanzania. RIP Steven Limila

  • @imakulatakifaru8510
    @imakulatakifaru8510 5 лет назад +52

    Nafurahi nikiona vijana wanamuimbia mungu wakaka wazuri wadada wazuri wanatenga muda wa mazoezi ya kwaya me ni nani nishindwe

    • @abdulimaduila2190
      @abdulimaduila2190 3 года назад +1

      Dar kila nikitazama wimbo huu manenoyake na uyo mtoto ananiliza naipenda

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962 4 года назад +6

    Huu wimbo nautazama kila mala ila sichoki Mungu waongezee ufundi wazidi kutuletea vitu vizuri kama hivi.

  • @benedictjachi1989
    @benedictjachi1989 4 года назад +24

    Pumzika kwa amani ndugu,ukumbusho umetuachia......

    • @jkass757
      @jkass757 3 года назад

      Hakika alitunga na waloimba waliutendea haki kabisa

  • @trichakimani2251
    @trichakimani2251 Год назад +2

    Na amini wewe bwana ndiye unaweza kuniondolea mateso haya. Bwana wangu sikia sauti yangu, 2samehe makosa yetu 2ongoze

  • @mercykishil9236
    @mercykishil9236 3 года назад +10

    I love Catholic songs though am a Presbyterian.

  • @priscasilayo8096
    @priscasilayo8096 4 года назад +5

    Mmmmefanya kitu cha tofaut sana nawaombeen mfike mbali nakumwimbia bwana

  • @vicentkebula6670
    @vicentkebula6670 5 лет назад +36

    Ahsante Mungu kwa kunipa nafasi ya kusikiliza wimbo huu. Najihisi kufarijika kiitikio kinanitia nguvu ya kukua kiroho. KRISTO TUMAINI LETU

  • @marylulanga6438
    @marylulanga6438 5 лет назад +5

    Nimeungalia zaidi ya mara tano saut tamu maneno yametamkwa vzr sololist ananikosha nasikia machoz yanajaa Mungu awainue kwa viwango vingine from lebanon

  • @rotildismassawe1475
    @rotildismassawe1475 4 года назад +10

    Pole sana BMM na Kanisa kwa Ujumla kwa kuondokewa na Mwl Steven Limila, mtunzi wa wimbo huu. Kaka Limila, ulikua unatuaga katika huu utunzi. Tangulia ukituombea

    • @suzanchalres2843
      @suzanchalres2843 4 года назад

      hongereni kwa sauti nzuri mungu awabariki name mzidi kuwa name moyo huo huo

  • @jixxyjussy4721
    @jixxyjussy4721 Год назад +4

    Mungu awabariki sanaaaaa, naitumia hii nyimbo kwenye vitu vingi sanaaaaa

  • @shideashidea5570
    @shideashidea5570 4 года назад +19

    Mwenyezi akupe pumziko la milele Amina mtunzi na mwalimu wa wimbo huu tutakukumbuka daima

  • @samuelmuia9907
    @samuelmuia9907 2 месяца назад +1

    I really don't know what driven the composer of the song to giving out such a powerful message...have been listening to the song normally until I listened when in spirit and the song is just a blessing 🙏🙏

  • @annabalohho7765
    @annabalohho7765 4 года назад +6

    raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie Steve apumzike kwa amani Amina

  • @monicaphilipo9274
    @monicaphilipo9274 4 года назад +4

    Najisikia jamani na furaha kwa kusikiliza nyimbo ya dini yangu jamani hongera kwa Nazi nzuri mungu awabariki

  • @mykheymutua
    @mykheymutua 4 года назад +84

    Listening from Nairobi, its an amazing composition!!!! Steve Limila, may your soul rest in eternal peace.

  • @JohnObiero96
    @JohnObiero96 2 месяца назад +1

    wimbo unaoleta tumaini kwa wasio na tumaini.Tubarikiwe sisi sote🙏🙏🙏🙏

  • @matridasalim6614
    @matridasalim6614 4 года назад +18

    R.I.P we will meet you next life! We love you but Jesus love you too much!!!

    • @ephrosinaligwa578
      @ephrosinaligwa578 4 года назад +1

      Nimebarikiwa sana na huu wimbo Mungu awabariki waimbaji Mungu mpokee katika ufalme wako kaka Steven limila apumzike kwa amina

  • @florencenyatichi9328
    @florencenyatichi9328 3 года назад +4

    Amazing song. From Kenya apumzike kwa Amani Steve Limila. Raha ya kuwa mkatoliki

  • @paulineooko6929
    @paulineooko6929 2 года назад +47

    tear of joy, tears of comfort when listening, this song is a Prayer that many of us can resonate with, this life we face tribulations but in the end, it will be joy when we embrace Jesus in Glory Forever!! It's 2022 now, May this song Heal Souls and Lead us closer to God always!

    • @milkaadongo7466
      @milkaadongo7466 2 года назад +5

      God answer the prayers of your heart this year and forever

    • @petromtakati2975
      @petromtakati2975 2 года назад

      Amen
      Many blessings and prosperity follow to us all
      Amen

    • @vincentmaseya5660
      @vincentmaseya5660 Год назад +1

      what does the song talk about I loved from the Day I first listened it

    • @yummy9937
      @yummy9937 Год назад

      Amen. May this be my prayer too

    • @patrickkiumi4292
      @patrickkiumi4292 Год назад

      Z

  • @martinmsendo9591
    @martinmsendo9591 Месяц назад

    Ni UTUKUFU juu ya UTUKUFU, hongereni sana. Natamani siku moja niwasikilize live, mbarikiwe sana.

  • @martinodhiambo1639
    @martinodhiambo1639 11 дней назад

    Nikiona Steve 😭😭😭 pumzika kwa amani. Endelea kuimba na malaika binguni.

  • @pamelambayawanjala4206
    @pamelambayawanjala4206 Год назад +24

    Cant get enough of this song, tears flowing freely....I feel blessed all the time.

  • @belindananjala8844
    @belindananjala8844 5 лет назад +12

    Woooooooow,wimbo mtamu Sana,nikiusikiza naona Roho mtakatifu akishuka.Hongereni Sana muliohusika . God bless your voices 🙏🙏🙏 praise God forever

  • @thaddeousgeorge7852
    @thaddeousgeorge7852 Год назад +1

    Naamini wewe bwana ndiwe uwezaye kuniondolea haya maumivu ya moyo wangu...usiutazame udhaifu wa moyo wangu...wimbo wa sala...unagusa kwelikweli....

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 7 дней назад

    Barikiweni sana nyimbo nzuri sana inahudhunisha nainatia moyo

  • @annabenedict7597
    @annabenedict7597 4 года назад +7

    Tunaomba faraja yako katika hili Mungu wetu,peke yetu hatuwezi.Roho ya marehemu kaka steven Limila ipate rehema kwa Mungu,ipumzike kwa amani ,amina.

  • @angiegathoni1620
    @angiegathoni1620 4 года назад +46

    This song always leads me to praying the rosary.

  • @cookingideastrizah7638n
    @cookingideastrizah7638n Год назад +1

    Kwa kweli huu wimbo hunibariki sana

  • @maureendaniel5535
    @maureendaniel5535 4 года назад +7

    Pumziko la milele umjalie ee Bwana. Malaika wa Mungu wakupokee mbinguni na uendelee na kazi hii nzuri

  • @admiraseverin15
    @admiraseverin15 5 лет назад +3

    Jamani mmenibariki sanaaa kwa uu wimbo sins zawadi yakuwapa nawaombea Sana'a Mungu awabariki,

  • @bernadomolo5161
    @bernadomolo5161 4 года назад +3

    Mwalimu Steve...... Umetutangulia nyuma yako twaja.... tutaimba sote mbinguni...... pumzika kwa amani

  • @neemalyakurwa9844
    @neemalyakurwa9844 3 года назад +2

    Lakini wewe Bwana ndiwe uwezaye kuniondolea haya maumivu ya Moyo wangu 🙏🙏Mbarikiwe snaaa wanakwaya kwa nyimbo nzurii snaah siwezii choka kuusikiliza jmn wimbo unanifariji jmn 🥰🥰🙏🙏

  • @mafundishoyakikatoliki894
    @mafundishoyakikatoliki894 4 года назад +2

    Naweza kupata nafasi ya KUJIUNGA na kwaya hii nipo Dar es salaam sinza

  • @mzeedeokessy4539
    @mzeedeokessy4539 4 года назад +7

    I proud to be rc. Wimbo unanibariki sana, napata faraja hata pale ninapopitia majaribu

  • @yasintamakongoro9458
    @yasintamakongoro9458 3 года назад +2

    Pumzikeni kwa amani dada zangu Eunice na pendo

    • @frankmsimbe5447
      @frankmsimbe5447 2 месяца назад

      Eunice na Pendo hapa ni Yupi na yupi

  • @hildamkucha2593
    @hildamkucha2593 3 года назад +1

    Bwana ww ndiwe uwezae kuniondolea haya daaah yaani hiinyimbo kwajinsi inavyonifariji hua sichoki kuisikiliza kabisa nyimbo imetulia tuliiii dah!yaan machozi yananitoka mungu awabariki watumishi wabwana mungu awasaidie naazidi kuwapa uwezo kila uchao yaani siosiri iinyimbo nitamu kuliko kitu kingine chochote wewe mwenzangu ulie ligundua hilo tukutane kwenye koment

  • @user-bt3wt6nt4z
    @user-bt3wt6nt4z 3 месяца назад

    Aisee najivunia kuwa mkatori sababu inautamu wakeeee❤❤❤❤❤❤

  • @GabrielHellena
    @GabrielHellena Год назад +13

    I never tire listening to this song. Any time anywhere. It is the hope in us as Christians that we have a Father and we shall go back to him and rejoice in eternity. This song is a blessing in the sense it diffuses the fear of death. In Christ we win over the powers of "Ibilisi". Kwaya ya Bikira Maria..mubarikiwe sana na sana na zaidi

  • @mariawangari2670
    @mariawangari2670 4 года назад +42

    I love this song its my always my morning glory, Atukuzwe baba mwana na roho mtakatifu Amen

  • @zithayotham5439
    @zithayotham5439 4 года назад +1

    Mbarikiwe sana Kwaya hii

  • @machahellen7100
    @machahellen7100 3 года назад +2

    Wimbo umenigusa sana Bwana niongoze nitende yaliyo mema daima na usikie sauti yangu

  • @lilianmachera
    @lilianmachera 4 года назад +11

    Pumziko la Milele Umpe Eeh Bwana, Steven Limila (Composer & Organist) Malaika wa Mungu wakupokee Mbinguni, umeacha kazi nzuri sana na tutakuenzi kwa hili.

    • @deogratiusmatogoro2257
      @deogratiusmatogoro2257 4 года назад +3

      Rip mwl Limila tutakukumbka milele Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako na mwisho ufike kwake mbinguni Amina

  • @benedictbaruti3408
    @benedictbaruti3408 2 года назад +1

    Hakika wimbo huu unatia simanzi kubwa na majonzi eee MUNGU wangu!!!

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 4 года назад +2

    Katika matesohaya,na katika dhiki hizi nitakuwanawe mwokozi wa moyowangu🙏❤❤❤naamini wewe bwana utatuponya na huu ugonjwa wa Corona virus wewe ndiwe musaada wawanyonge.

  • @maimapepa1557
    @maimapepa1557 5 лет назад +11

    Nice song though I can't hear the language but Catholic is Catholic

  • @bestinazakaria4173
    @bestinazakaria4173 5 лет назад +3

    Aiseee nmeutafuta huu wimbo mpaka nmeupata naskiaje raha kusikiliza nahisi mwili wote unasisimka kila nikiusikiliza daaah

  • @dorahndabona6394
    @dorahndabona6394 4 года назад +2

    Sichok kuusikiliza huu wimbo nimzuri sana mungu awabariki

  • @veronicamusyoka7637
    @veronicamusyoka7637 Год назад +1

    Wimbo mtamu jamani unabariki mioyo ya wengi mungu na awabariki

  • @levenasmsimbe5585
    @levenasmsimbe5585 4 года назад +5

    Pumzika kwa Amani mtuzi Steven Limila malaika wa mungu wakupokee katika makao yako ya milele, na poleni wanakwaya wote wa yombo vituka

  • @johnienjora1562
    @johnienjora1562 4 года назад +14

    Rest in Peace Limila. May the Good God grant your soul eternal peace. Forever your compositions will remain with us forever in our memories. Very touching song and proud to be a Catholic. RIP

  • @HAWAJOHN-ph6ex
    @HAWAJOHN-ph6ex 21 день назад

    Wimbo huu unanikumbusha mbal xn jaman achen t maisha hay kwel tunapit binadamu

  • @solothom3576
    @solothom3576 2 года назад

    Hakika uu wimbo hautachuuja kamwee mmeimba kwa hsia kali na wenye ujumbe na mavaz ya heshima pamoja na uchezaj wa heshima yaan mmecheza kwa akil

  • @kanini_thechosenone949
    @kanini_thechosenone949 Год назад +3

    I can never get enough of hii wimbo.💯🥰Asante yesu. Ni tamu sana🥰

  • @karimijessica8244
    @karimijessica8244 4 года назад +51

    Proud to be a Catholic...

  • @imaculatadominic7005
    @imaculatadominic7005 4 года назад +2

    nafarijika sana naposikiliza wimbo huu najivunia kuwa mkatorik daima

  • @ombenisalewa3412
    @ombenisalewa3412 Месяц назад

    Wimbo unavuta hisia sana mbarikiwe jamani🙏🙏

  • @geraldfelician1951
    @geraldfelician1951 5 лет назад +4

    Kazi nzuri wapendwa hakika mmeniinjirisha na kunifariji. Mungu awatie nguvu mzidi kumtumikia. Amina.

  • @sweetberthacharles6960
    @sweetberthacharles6960 3 года назад +3

    Leo tumeanza kwarezima ya mwaka 2021 wimbo huu unaujumbe mzuri unanitafakarisha na kunisogeza karibu na Mungu🙏

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 4 года назад +2

    Sasa nakuita bwana njoo himahima kwangu jicholangu linakutazama bwanawangu(bwanawangu🙏)❤❤🇧🇮+🇹🇿

  • @MariamMadai
    @MariamMadai 9 месяцев назад +2

    Proud to be catholic ❤

  • @leonorakwena5441
    @leonorakwena5441 3 года назад +10

    Am blessed by this beautiful song...lots of love from Kenya 🇰🇪

  • @dominiclidoro2845
    @dominiclidoro2845 2 года назад +17

    One of the greatest pieces I have ever come across in catholic music. My first time listening to it and I just can't get enough. God bless

  • @esterpantaleo246
    @esterpantaleo246 3 года назад +1

    Asanten na hongereni kwa wimbo mzur , jamn nikiuimba nahic nipo Mungu mahala nilipo na kila ntakachosema ananisikia, mmhhhh! Siyo uzuri huo Mungu awabariki

  • @tuvigilwesanga8515
    @tuvigilwesanga8515 Год назад

    Najivunia kuwa mkatoliki, wimbo wangu Bora niupendao

  • @beatricemanono1602
    @beatricemanono1602 Год назад +13

    Nice song en am proud to be a catholic may God bless this choir in order for them to continue praising his name through nice songs like this 🙏🙏🙏🙏

  • @alinetshapenda5412
    @alinetshapenda5412 5 месяцев назад +1

    this song always consoles my heart 😢

  • @mariammichael9773
    @mariammichael9773 4 года назад +1

    Mungu akulaze mahala pema peponi amina.... Daima tutazidi kukumbuka milele yote..

  • @chrissjr4086
    @chrissjr4086 5 лет назад +6

    Nyimbo nzuri saaan BMM Vituka...more blessings kwenu

  • @chrisnya1155
    @chrisnya1155 4 года назад +22

    My top favorite song. Naiskiza more than 5 times a day. continue with the good work and may God continue blessing you all

  • @georginasabas2739
    @georginasabas2739 3 дня назад

    ❤😊🎉 nice song katoliki ❤❤❤❤ and 🎉🎉🎉😊

  • @janethsabas6181
    @janethsabas6181 4 года назад +1

    Ndugu zangu wimbo huu utufanye cc kam wakricto wakatoliki tumrudie Mungu wetu ili mw8xho wa mambo yote tufike mbinguni kwake
    Hongera SNA mwalimu limila ufike mbinguni mapema .Amina

  • @teyeeutropia3099
    @teyeeutropia3099 5 лет назад +17

    Waooh, mmeimba vzr sana, proud to be a Catholic

  • @iyvonaconstantine8862
    @iyvonaconstantine8862 4 года назад +6

    Dah Huu lazima kila siku niusikilize, Polen sana wapendwa, R.I.P sir

  • @alfredopondo8933
    @alfredopondo8933 4 года назад +1

    Hongera sana

  • @maxmillianrweikiza4425
    @maxmillianrweikiza4425 4 года назад +1

    Ni wimbo uliojaa Baraka tele Faraja na Uchaji mpya wa Kiroho. Sichoki kuungalia wala kuusikiliza. Hongereni sana Waimbaji kwa Injili hii 👏🏼

  • @martinighandai2098
    @martinighandai2098 5 лет назад +3

    Ase wimbo mzuri sana Roman tuko juu good voice nyimbo imepangwa ikakubali

  • @terrymartha9151
    @terrymartha9151 2 года назад +7

    This sing is so sweet so powerful. I dedicate it to my dear friend who just lost her husband. Glory be to God 🙏🙏

  • @RuesFedrick
    @RuesFedrick 5 дней назад

    Nyimbo tamu inagusa sana moyo wangu😭😭😭😭