MOYO WANGU-Kwaya ya Bikira Maria mama wa Mungu -BMM-Yombo Vituka-DSM (Official Gospel Video HD)-tp
HTML-код
- Опубликовано: 5 апр 2019
- Wimbo huu ni moja ya nyimbo zilizopo katika Tolea la TANO la Kwaya ya Bikira Maria mama wa Mungu -BMM-Yombo Vituka-DSM.
Toleo hili la 5 ni toleo maalumu lenye mkusanyiko wa nyimbo za Kwaresma/maombolezo/toba.
Composer & Organist: Steven Limila
Audio: Salvatorian Catholic Studio
Video: Tanganyika productions
Video imeongozwa na Dir. Laurent Ludovick, Paschal Kabonge & Fortune Shimanyi. Видеоклипы
Please wenye wanaitazama nyuma yangu niwekee like...
Sweet song kabisa
Wimbo mzr sana,Mungu ampokee mtunz mbngun afurah pamoja na Malaika
Nitumie
😍😍😍😍😍
niko hapa
Mimi sio mkatoliki lakini napenda nyimbo zao sana mbarikiwe
❤
Jamani wakatoliki mpo?
Najivunia kuwa mkatoliki
Asanteni sana kwaya mbarikiwe
Jennifer Mlingi tupo kabisa, wimbo mzuri sana.
Tupo habari yakwako jamani
Jennifer Mlingi aayaa
Aminaaaa
@@deboratagalile409 amen
Very touching and spiritual song...Mungu awabarikini washiriki wote na kila mmoja anayeutazama wimbo huu.
Very inspiring song,can't stop watching the video.
Amen
Nawepia
i proudly my Catholic faith! Good song may Lord Jesus Bless all
I was borne Catholic,and will die Catholic...I love my Catholic..
Wimbo huu wanifariji kweli. Jamani sichoki kuusikiliza kamwe. Mungu fungua sikio lako usikie Sauti ya kilio changu na ufungue macho yako uone kilio changu. Ujumbe mzito kweliiiii kwetu sisi tulio safarini. I love those minor keys.....very moving and emotional.. Mungu nimetenda maovu mengi nisamehe...usiangalie udhaifu wangu...zaburi 51.... Naomba Kama meneno ya wimbo huu jameni
Nasikia Aman Sana ninaposikiliza hii kwaya
Hongereni wimbo mzuri sana,umetulia. Ndo raha ya kuwa mkatoliki.
Umeonaeee
Nimefalijika Sana kwa wimbo huu hongereni Sana wanakwaya hawa
Hongeren sana katoriki naipenda
Nabarikiwa sana nyimbo hii
Yaan we km ni mkatoliki alafu hautafakar vitu vizuri km iv ni bora ukaacha ukristo wako
mungu wa bariki wakatoliki wote duniani haswa wa Tanzania, Dar es salaam... Amina🙏
Amen, akubariki na wewe.
RIP Steve...forever we will remember you...your composition was just an encouraging piece that inspires alot
Pumzika kwa Amani kaka Steve hakika Mungu akupe taji la ushindi kwa hili na uwe mwimbaji bora hata mbinguni
Hakika nifundisho tosha kabisa
Mtunzi wa huu wimbo Bado angali yupo,na kama Ako,Mungu na azidi kukubariki zaidi na zaidi
Ndo maana najivunia kuwa mkatoliki. Wimbo mzuri sana wa kufariji. Mwenyezi Mungu ailaze roho yako mwalimu Steve Limila mahali pema peponi.
Naamini wewe Bwana ndiwe uwezaye kuniondolea haya maumivu ya moyo wangu,
Nakuomba wewe Bwana,tazama mateso yangu usiutazame udhaifu wa Moyo Wangu
Endelea jamani
Hngera sana wimbo uchoki kusikiliza
Hakika huu wimbo unanibariki kila iitwapo leo!!Endelea kustarehe kwa amani mwl Limila
Wimbo huu nausikiliza leo January 22 2023
Asante sana ndugu kwakutupa moyo sisi wakatoliki nami naifurahia sana kwaya yetu wanavyomsifu Mungu kwawimbo wao wanyakati zakwarezma nanyakatizavilio.
Huu wimbo n mzuri san coz kila niamkapo n lzm niusikilize pia nawap pole wote kwa kuondokew n mwalimu wa kwaya hii.
Mwl Limila, Mungu mwenye huruma isiyo na kikomo, aitizame kazi hii nzuri, na akufutie madeni ya madhaifu yako yote, na akustahilishe tuzo kuu ya uzima wa milele
Amina
Joseph Lang'o Ameen
Hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Mungu aipokee roho yake mahali pale panapostahili. Ameeen
AMINA
JAY'S STUDIOS Kwa kweli Mungu mwenyehuruma ampe pumziko la milele,
Kwa kweli Mungu amsamehe madhambi yake
Huu wimbo unanikumbusha kujiandaa kila wakati ili niitwapo na baba wa mbinguni niwe tayari. Naamini mtunzi huyo alifuniliwa vitu fulani kwenye huu utunzi wake hakika unanibariki.
Am not a Catholic but am blessed by this song Gob bless the singers
Ooooj Thaks, where you are?
Ppppm
Wherever you are , whoever you are, we love you,simply cauz you are one of us united with Christ
A song by one of greatest and respected Catholic music Composer in Tanzania. RIP Steven Limila
Nafurahi nikiona vijana wanamuimbia mungu wakaka wazuri wadada wazuri wanatenga muda wa mazoezi ya kwaya me ni nani nishindwe
Dar kila nikitazama wimbo huu manenoyake na uyo mtoto ananiliza naipenda
Huu wimbo nautazama kila mala ila sichoki Mungu waongezee ufundi wazidi kutuletea vitu vizuri kama hivi.
pumzika kwa Amani shujaa wa Imani Katoliki
Pumzika kwa amani ndugu,ukumbusho umetuachia......
Hakika alitunga na waloimba waliutendea haki kabisa
Na amini wewe bwana ndiye unaweza kuniondolea mateso haya. Bwana wangu sikia sauti yangu, 2samehe makosa yetu 2ongoze
I love Catholic songs though am a Presbyterian.
Mmmmefanya kitu cha tofaut sana nawaombeen mfike mbali nakumwimbia bwana
Hongereni sana tunabarikiwa mnooo
Ahsante Mungu kwa kunipa nafasi ya kusikiliza wimbo huu. Najihisi kufarijika kiitikio kinanitia nguvu ya kukua kiroho. KRISTO TUMAINI LETU
the phone specifications. ×.,
Nimeungalia zaidi ya mara tano saut tamu maneno yametamkwa vzr sololist ananikosha nasikia machoz yanajaa Mungu awainue kwa viwango vingine from lebanon
Amen
Amina
Pole sana BMM na Kanisa kwa Ujumla kwa kuondokewa na Mwl Steven Limila, mtunzi wa wimbo huu. Kaka Limila, ulikua unatuaga katika huu utunzi. Tangulia ukituombea
hongereni kwa sauti nzuri mungu awabariki name mzidi kuwa name moyo huo huo
Mungu awabariki sanaaaaa, naitumia hii nyimbo kwenye vitu vingi sanaaaaa
Hakika
Wanifariji Sana huu wimbo
Mwenyezi akupe pumziko la milele Amina mtunzi na mwalimu wa wimbo huu tutakukumbuka daima
Hakika nikama alijua lililokua mbele yake eeeh MUNGU umpokee mbinguni
Love much this song ....🙏🙏🙏🙏🙏
I really don't know what driven the composer of the song to giving out such a powerful message...have been listening to the song normally until I listened when in spirit and the song is just a blessing 🙏🙏
raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie Steve apumzike kwa amani Amina
Najisikia jamani na furaha kwa kusikiliza nyimbo ya dini yangu jamani hongera kwa Nazi nzuri mungu awabariki
Listening from Nairobi, its an amazing composition!!!! Steve Limila, may your soul rest in eternal peace.
Amen
Rip Steve lamila
Amina
@@perpetua6676 l
wimbo unaoleta tumaini kwa wasio na tumaini.Tubarikiwe sisi sote🙏🙏🙏🙏
R.I.P we will meet you next life! We love you but Jesus love you too much!!!
Nimebarikiwa sana na huu wimbo Mungu awabariki waimbaji Mungu mpokee katika ufalme wako kaka Steven limila apumzike kwa amina
Amazing song. From Kenya apumzike kwa Amani Steve Limila. Raha ya kuwa mkatoliki
tear of joy, tears of comfort when listening, this song is a Prayer that many of us can resonate with, this life we face tribulations but in the end, it will be joy when we embrace Jesus in Glory Forever!! It's 2022 now, May this song Heal Souls and Lead us closer to God always!
God answer the prayers of your heart this year and forever
Amen
Many blessings and prosperity follow to us all
Amen
what does the song talk about I loved from the Day I first listened it
Amen. May this be my prayer too
Z
Ni UTUKUFU juu ya UTUKUFU, hongereni sana. Natamani siku moja niwasikilize live, mbarikiwe sana.
Nikiona Steve 😭😭😭 pumzika kwa amani. Endelea kuimba na malaika binguni.
Cant get enough of this song, tears flowing freely....I feel blessed all the time.
Wimbo pendwaaa wa roho yangu
Woooooooow,wimbo mtamu Sana,nikiusikiza naona Roho mtakatifu akishuka.Hongereni Sana muliohusika . God bless your voices 🙏🙏🙏 praise God forever
Asante
Naamini wewe bwana ndiwe uwezaye kuniondolea haya maumivu ya moyo wangu...usiutazame udhaifu wa moyo wangu...wimbo wa sala...unagusa kwelikweli....
Barikiweni sana nyimbo nzuri sana inahudhunisha nainatia moyo
Tunaomba faraja yako katika hili Mungu wetu,peke yetu hatuwezi.Roho ya marehemu kaka steven Limila ipate rehema kwa Mungu,ipumzike kwa amani ,amina.
This song always leads me to praying the rosary.
Kwa kweli huu wimbo hunibariki sana
Pumziko la milele umjalie ee Bwana. Malaika wa Mungu wakupokee mbinguni na uendelee na kazi hii nzuri
Jamani mmenibariki sanaaa kwa uu wimbo sins zawadi yakuwapa nawaombea Sana'a Mungu awabariki,
Mwalimu Steve...... Umetutangulia nyuma yako twaja.... tutaimba sote mbinguni...... pumzika kwa amani
Lakini wewe Bwana ndiwe uwezaye kuniondolea haya maumivu ya Moyo wangu 🙏🙏Mbarikiwe snaaa wanakwaya kwa nyimbo nzurii snaah siwezii choka kuusikiliza jmn wimbo unanifariji jmn 🥰🥰🙏🙏
Naweza kupata nafasi ya KUJIUNGA na kwaya hii nipo Dar es salaam sinza
Ndio unaweza
I proud to be rc. Wimbo unanibariki sana, napata faraja hata pale ninapopitia majaribu
Pumzikeni kwa amani dada zangu Eunice na pendo
Eunice na Pendo hapa ni Yupi na yupi
Bwana ww ndiwe uwezae kuniondolea haya daaah yaani hiinyimbo kwajinsi inavyonifariji hua sichoki kuisikiliza kabisa nyimbo imetulia tuliiii dah!yaan machozi yananitoka mungu awabariki watumishi wabwana mungu awasaidie naazidi kuwapa uwezo kila uchao yaani siosiri iinyimbo nitamu kuliko kitu kingine chochote wewe mwenzangu ulie ligundua hilo tukutane kwenye koment
Aisee najivunia kuwa mkatori sababu inautamu wakeeee❤❤❤❤❤❤
I never tire listening to this song. Any time anywhere. It is the hope in us as Christians that we have a Father and we shall go back to him and rejoice in eternity. This song is a blessing in the sense it diffuses the fear of death. In Christ we win over the powers of "Ibilisi". Kwaya ya Bikira Maria..mubarikiwe sana na sana na zaidi
I love this song its my always my morning glory, Atukuzwe baba mwana na roho mtakatifu Amen
Amina 🙏
Unfortunate the composer has passed away...
,Amina
@@bonifacereginald9990 may his soul rest in eternal peace
Amen kipenzi
Mbarikiwe sana Kwaya hii
Wimbo umenigusa sana Bwana niongoze nitende yaliyo mema daima na usikie sauti yangu
Pumziko la Milele Umpe Eeh Bwana, Steven Limila (Composer & Organist) Malaika wa Mungu wakupokee Mbinguni, umeacha kazi nzuri sana na tutakuenzi kwa hili.
Rip mwl Limila tutakukumbka milele Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako na mwisho ufike kwake mbinguni Amina
Hakika wimbo huu unatia simanzi kubwa na majonzi eee MUNGU wangu!!!
Katika matesohaya,na katika dhiki hizi nitakuwanawe mwokozi wa moyowangu🙏❤❤❤naamini wewe bwana utatuponya na huu ugonjwa wa Corona virus wewe ndiwe musaada wawanyonge.
Nice song though I can't hear the language but Catholic is Catholic
Aiseee nmeutafuta huu wimbo mpaka nmeupata naskiaje raha kusikiliza nahisi mwili wote unasisimka kila nikiusikiliza daaah
Sichok kuusikiliza huu wimbo nimzuri sana mungu awabariki
Wimbo mtamu jamani unabariki mioyo ya wengi mungu na awabariki
Pumzika kwa Amani mtuzi Steven Limila malaika wa mungu wakupokee katika makao yako ya milele, na poleni wanakwaya wote wa yombo vituka
kweli huu wimbo umetulia sana
Rest in Peace Limila. May the Good God grant your soul eternal peace. Forever your compositions will remain with us forever in our memories. Very touching song and proud to be a Catholic. RIP
Wimbo huu unanikumbusha mbal xn jaman achen t maisha hay kwel tunapit binadamu
Hakika uu wimbo hautachuuja kamwee mmeimba kwa hsia kali na wenye ujumbe na mavaz ya heshima pamoja na uchezaj wa heshima yaan mmecheza kwa akil
I can never get enough of hii wimbo.💯🥰Asante yesu. Ni tamu sana🥰
Proud to be a Catholic...
nafarijika sana naposikiliza wimbo huu najivunia kuwa mkatorik daima
Wimbo unavuta hisia sana mbarikiwe jamani🙏🙏
Kazi nzuri wapendwa hakika mmeniinjirisha na kunifariji. Mungu awatie nguvu mzidi kumtumikia. Amina.
Leo tumeanza kwarezima ya mwaka 2021 wimbo huu unaujumbe mzuri unanitafakarisha na kunisogeza karibu na Mungu🙏
Sasa nakuita bwana njoo himahima kwangu jicholangu linakutazama bwanawangu(bwanawangu🙏)❤❤🇧🇮+🇹🇿
Proud to be catholic ❤
Am blessed by this beautiful song...lots of love from Kenya 🇰🇪
One of the greatest pieces I have ever come across in catholic music. My first time listening to it and I just can't get enough. God bless
Asanten na hongereni kwa wimbo mzur , jamn nikiuimba nahic nipo Mungu mahala nilipo na kila ntakachosema ananisikia, mmhhhh! Siyo uzuri huo Mungu awabariki
Najivunia kuwa mkatoliki, wimbo wangu Bora niupendao
Nice song en am proud to be a catholic may God bless this choir in order for them to continue praising his name through nice songs like this 🙏🙏🙏🙏
this song always consoles my heart 😢
Mungu akulaze mahala pema peponi amina.... Daima tutazidi kukumbuka milele yote..
Nyimbo nzuri saaan BMM Vituka...more blessings kwenu
My top favorite song. Naiskiza more than 5 times a day. continue with the good work and may God continue blessing you all
Its my best too
❤😊🎉 nice song katoliki ❤❤❤❤ and 🎉🎉🎉😊
Ndugu zangu wimbo huu utufanye cc kam wakricto wakatoliki tumrudie Mungu wetu ili mw8xho wa mambo yote tufike mbinguni kwake
Hongera SNA mwalimu limila ufike mbinguni mapema .Amina
Waooh, mmeimba vzr sana, proud to be a Catholic
Dah Huu lazima kila siku niusikilize, Polen sana wapendwa, R.I.P sir
Hongera sana
Ni wimbo uliojaa Baraka tele Faraja na Uchaji mpya wa Kiroho. Sichoki kuungalia wala kuusikiliza. Hongereni sana Waimbaji kwa Injili hii 👏🏼
Ase wimbo mzuri sana Roman tuko juu good voice nyimbo imepangwa ikakubali
This sing is so sweet so powerful. I dedicate it to my dear friend who just lost her husband. Glory be to God 🙏🙏
Nyimbo tamu inagusa sana moyo wangu😭😭😭😭