MSAADA U KATIKA BWANA | D. Nkoko | (official video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Kwaya ya Mt John Paul II Mbeya inawaalika wote tutafakari pamoja tukitafakari matendo makuu ya Mungu, yeye tu ndiye msaada wetu wa nguvu
Wimbo: Msaada katika Bwana
Waimbaji: John Paul II Mbeya Choir (JMC)
Production Audio & Video: RAJO Production
#rajoproduction #johnpaulmbeyachoir #nigusebwana
Hakika kama umependa nyimbo hii shusha comment kama zote hapa chini🎉🎉👏👏👏👏
Nimejifunza kitu, wimbo ukiwa mzuri haina haja ya kubadilishabadilisha location wala mavazi katika wimbo. Wimbo huu hauhitaji location kama walivobuni waimbaji hawa hongereni sana. Nkoko natafuta namba yake anitengeneze wimbo.
Umeona ee, yaani huu mziki unafariji sana, alafu umepambwa na utulivu wa mavazi pia
Naombeni nota zake jamanj nipelekee kwaya yetu.
Uyu nimwimbo unao nisaindiya sana katika shinda ,nakila Mara napewa msaada kupitiya mwimbo uyu🙏 que Dieu vous bénisse ❤
Familia yangu, tuendelee kumtumainia Mungu msaada wetu u kwake peke yake@johnpauliimbeya choir #JMC
Amina, Barikiwa @Dr Bongole
Dr Bongole hongera pia kwa utunzi wako you have a great talent keep up the spirit i love and always follow your content
@@JohnPaulIIMbeyachoir
Kwa nyimbo hziiWakunitenganisha na ukatoliki sijapata kuona
Watunzi wote mungu awabariki na muishi marefu❤❤
Amina🙏🙏
Beautiful choreography🥰! Kazi safi sana👏👏👏🎉🎉
Rajo Productions! 🙌🙌🙌🙌
Barikiwa sana madam @Anastacia 🙏
Barikiwa sana madam @Anastacia 🙏
Mungu akutie nguvu sister Anastacia nakupenda sana sister kwa utume wako🙏🙏🙏💖
Ray Ufunguo kama kawaida 💪💪💪💪💞💞💞💞love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nawapenda sana hongereni sana❤❤❤
kesho ipo tu tena kutakucha tu🥳🥳🥳,,,shukrani kwa wimbo huu wa kufariji na kutia moyo wakati pilka pilka
This is my favorite 2023 song that I heard so far..congrats mungu awabariki...nimeskiza huu wimbo back to back
Ubarikiwe pia kelvin
Fact
Fact ❤❤
❤❤Ndiye Mungu msaada wetu
Kaz nzr,niwatakie uinjlishaji mwema
Kazi nzuri Sana
Shukuran kwa Mungu
Shukurani kwa mtunzi
Shukurani kwa director
Shukuran kwa editor
Shukurani kwa wainjilishaji(kwaya)
Shukurani kwa washiliki Na wasikilizaji
Msaada u katika Bwana aliyezifanya mbingu Na nchi
MUNGU NA ATUBARIKI.
Kesho ipo tu kutakuchz tena,,,wimbo wq moyo hasa
Wimbo mtamu na sauti tamu Sana 🥳🥳🥰🥰 hongereni kwa kuinjilisha vyema
Asante sana @Mumo, Barikiwa 🙏
Hongereni sana wanambeya mungu awajaze NGUVU
❤❤ Namshukuru MUNGU ❤❤ MUNGU awe nanyi
God is the only Refuge I know,
I'm sooooo pooor,tht whenever I need anything, anything, even the tiniest, I have to ask the Lord, I have to pray for it.
Wow!!! What an energetic and cheerful performance!!
The costumes, perfect👌👌👌
The choreography, impressive 🤩🤩
Hongereni sana!
Dah,nawapenda bule❤❤
mungu awabaliki kwa wimbo wa mama maria 🎉🎉
Mungu azidi kuwa baliki sana kazi nzuli 🙏🙏
Msaada u katika Bwana watoka kwake alizifanya mbingu na nchi. Mbarikiwe daima kwa uinjilishaji huu
Wimbo huu hakika naupenda ajabu... Hauchoshi masikio Wala macha kuutazama.. heko sana dear friends... Baraka kwa wingi..
Wimbo mzuri sanaaa ❤❤🎉
Sauti tamu Hongereni,be blessed
Holy family media take this opportunity to Congratulate you guys.May God bless our dear brother and sisters. Well done maneno matamu sana .
Asante Kaka yangu deo nkoko Kwa utunzi .
Am from your page, and you have such a song IPO Tu. I had to listen both of them only to note its two songs with same tunes. Even almost the same voices in both songs. Heko kwa D. Nkoko
siçhoki kuusikiza huu wimbo kila kunapokucha. mzidi kubarikiwa
from kenya 🇰🇪
Msaada wetu u katika Bwana hakika ndiye aliye zifanya Mbingu na nchi na Jina lake litukuzwe
Nyimbo tamu sana inabariki 🙏mbarikiwe waimbaji
My Love for this song.
Tunawapenda wote
Amina, Mungu awatunze mzidi katika utume wenu ❤❤❤
Mungu wetu ni mwema Hakika yeye ndiye msaada wetu ktk kila jambo limpendezaye,Beautiful song
Well performed. Niliisikia jana na nimesikiza zaidi ya mara kumi sasa. Very refined voices. Mbarikiwe sana.
Rajo you are a good man.
You have a clean soul
You will go to heaven
nice song , encouraging, God bless you all, Amen
Watching Gloria in the middle of ther year ❤🎉
The song that bless me more than Billions of Blessings 🎉🎉🎉❤❤
naombeni lyrics za wimbo huu mtamu sana 🙏🙏🙏 Listening from Missouri Usa
Amen Luke 1:37 in God All things are possible 🙏🙏
Tunajuwa kweri hayo nimaguma lakini wa Israel 🇮🇱 warivuka ngambo msada ukatika bwana ❤❤❤❤watching USA 🇺🇸 from burundi 🇧🇮 .
Wimbo mzuri
Ujumbe mzuri katika wimbo mtamu. Shukrani ndugu zetu wa Tz kwa nyimbo zenu nzuri. The song is just wonderful, the message, the rhythm, harmony and the video too
Nimewapenda gafra
Hii Kali sana wapendwa mmeupiga mwingi saana...hongereni kwa kazi nzuri ya uinjishaji....nawapenda sana..
Tunashukuru kwa upendo wako Peter, karibu sana, tunakupenda pia
Salute kwenu kazi nzuli sana 👏👏👏
Hongereni sana
Wimbo mtamu na sauti tamu Sana 🥳🥳🥰🥰 hongereni kwa kuinjilisha vyema👏👏
Asante sana @ Lucy
Nyimbo zenyu tamu mno,karibuni nchini kenya.
Napenda hii wimbo from Kenya,,,,,mubarikiwe sana kwa wimbo mzuri
Ninawaenzi si haba kwa kujitolea kwenu na tumbuizo zenu zisizo na mfano. Hongereeni aisee na Mungu awazidishie neema
Amina, Tunashukuru sana kwa Kuendelea kufiatilia Nyimbo zetu Ndugu🙏🙏🙏
Hongereni wanakwaya wa ST Paul mbeya 11 kwa wimbo wenu mzuri sana msaada wetu ukatika kwa bwana. Mungu aedelee na kuwalida na kuwambariki na msikose chochote mnaomba and bless you with your family's AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
No word can explain how perfect this is ...am in love with this awesome work💕💓💓
Hongeren kwa utume wimbo una ujumbe mzur san
Nashukuru kuwa mkatoliki
Mavazi ya heshima sauti zimetulia maneno yanasikika kinanda kimetulia yaani najivunia kwaya za katoliki hii inanifanya machozi ya furaha yatoke mmeweza mmeweza tena Mungu awe nanyi
Hongereni sana kwa uinjilishaji
Hakika ningumu kuwaelezea yanakosekana maneno jazilizi juu yenu Mungu asimame nanyi daima your my favourite role model RC Choir
Amina, Ubarikiwe sana Paschal
Saf kazi nzur
Rajo is best production in Africa. Nkoko huachi kutunga nyimbo ndefu but matamu😍😍😍😍
Mungu awabariki mno awape maono zaidi
St John Paul II never disappoints... hii nayo nimeieka kwa repeat mode hadi majirani wameshinda kuniuliza hiyo ni kwaya gani... hakika hii kwaya ilibarikiwa na waimbaji wenye vipaji... karibuni hapa 🇰🇪 jamani... beautiful choir
thanks
Asante sana Dan, Endelea kubarikiwa na tuombe uzima tuweze fika huko🙏
Mbarikiwe sana
Jaman mnaimba ninyiii😘
Woow hongereni sana wimbo huu ni mzuri Sana na mafundisho yake ni mazuri sana Naupenda sana Mungu awabariki sana🙏🙏🙏
Wow, what an inspiration, i love you guys, my our almighty God bless the work of your hands.🥰🥰.
The message, the choreography...on point, msaada u katika Bwana
Eeeeeeish😃now I cannnnot wait!
Hongereni sana Mungu awabariki sana na karibuni kenya
Wimbo mzur sanaaa Mungu awabariki sanaaaa wanakwayaaaa wenzangu
Hongera sana wana JMC mko poa sana tangu mwanzo, toka enzi za wana wa mlipk wa sifa nawapenda sana.
hongera mr. Nkoko
Injili isonge mbele. Hongereni sana kwa wimbo mzuri. Msaada wa U katika Bwana.
Asante sana, Barikiwa sana @Edson
Keep singing for the almighty God and preach his Goodness and love to the world
I have watched more than 10 tymz I say...so mnaimba poa..nyimbo tamu kweli..your dress code..safi kabisa...kindly ntapata wapi lyrics?.I have searched but in vain
Aisee mbarikiwe sana
Sooooo nice❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongereni kwa wimbo mzuri huo
Asante sana baba yetu Mlezi, Barikiwa sana🙏
Oh this song is just touching my soul, someone help me with the words please
Sweet melody, vocals 😋keep the 🔥 burning
Fundi kweli❤❤❤
wimbo Mzuri sana huu nabarikiwa nao sana .kuna siku nimesikiliza nikajikuta nimezama katika tafakari nikiwa barabarani hadi nikapata ajali badaye nikagundua kumbe umenipotezea umakin, mbarikiwe sana
Pole sana kaka Hezron, Mungu ni mwema upo salama, endelea kubarikiwa🙏
Hongeren nyote mliofanikisha Kaz hii kwel ña yaubora wa nyota ya juu
There are two version of this song another from Sam magima and family but both are beautiful songs kutakucha tena
Wimbo mzuri sana.... Hakuna gumu kwa MUNGU.
My favourite song
The song Wonderful hongerenii Sana I love this next time invite me for a shot of another song
Thank you Caroline,
Next time if possible
sure?
Amen, msaada wetu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi.
Beautiful beautiful beautiful 😍😍
hongereni kwa wimbo mzu wenye mashair matamu
Asante sana @herieth
My all time best choir 🥰🥰🥰
Mbarikiwe sana wimbo ni mtaaamu never seen before.
Asante sana Charls
This is just beautiful 😍 God bless u
Amen🙏
Very nice song
Какая замечательная песня. большое спасибо хору. мой привет из москвы.❤❤❤❤❤❤🎉 asante
MUNGU awabariki kwa sauti muruwa🙏🙏
Asante Ubarikiwe pia🙏
Wimbo mzuri jamn tunaenjoy
Asante sana, Endelea kubarikiwa @pius
Aisee mnakosha siyo poa kabisa..keep up the good work..i feel the presence of God through listerning to this 🎵 🥰
Naomba nota za wimbo huu tafadhali. Niko Nairobi
aarrgh, this chorus! Nimeucheza sijui mara ngapi sasa! I am really blessed by this song.
Amazing ❤
Hii kwaya haijawaahi kuniangusha. Viva JMC viva asante sana Mwl Nkoko.