Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
MKATOLIKI (Official video) - Kwaya ya Mt. Secilia Makuburi
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2024
- Karibu kutazama wimbo maalum wenye kuelezea tunu za imani thabiti ya Kanisa Katoliki uitwao MKATOLIKI kutoka kwaya ya Mt. Secilia Makuburi. Najivunia kuzaliwa na kubatizwa ndani ya KANISA, MOJA, TAKATIFU, KATOLIKI LA MITUME lililoenea ulimwenguni kote. Ewe mkatoliki JIVUNIE IMANI YAKO.
#gospelmusic #catholicchurch #choir #music #newmusic #gospel #worshipmusic #vatican #tanzania #love #catholicism
WIMBO: MKATOLIKI.
WAIMBAJI: MT. SECILIA - MAKUBURI.
MTUNZI: EMIL SHAYO.
ORGANIST: A. J. MYONGA.
AUDIO: GLS PRO.
VIDEO: MDETE TM.
SUBSCRIBE, SHARE, LIKE AND COMMENT
Sina shaka nitathibutu kusema huu utakuwa wimbo bora wa Kwaya Mwaka 2024 ukanda wa Afrika mashariki na Kati
Kabisaaaa
Kaka hili goma ni balaaa na nusu ....au basi Wacha nikapige kayamba
Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri vionjo tofauti ujumbe wa kijasiri.
Mama anaeonekana kuanzia dak 1 sek 7 kaupiga mwingi hapo.
MUNGU ATUTIE NGUVU WANAUKWAKATA WOTE NA WOTE DUNIANI
Tayari majirani wanajifunza jinsi ya kuleta shindano 😂
Tafadhali nota yake itapatikana vipi
Wale wamefika huku kutoka TikTok gather here😂😂😂Amazing Work Makuburi God bless
✋
Lovely song my favorite choir
Naomba huu wimbo uwe wimbo wa Taifa la Katoliki ❤❤❤najisikia raha kusikiliza
Tulinde Imani yetu, Mimi Mkatoliki Damu kutoka Mombasa kongowea 🇰🇪🇰🇪
Am proudly catholic from Mombasa Kenya, wimbo mtamu wa kulienzi kanisa.. Mbarikiwe wanakwaya na mtunzi wa Wimbo Kwa jumla
Nimependa wazo la kurekodi eneo ambalo wamisionari wa kwanza walileta kanisa kama ujumbe wa wimbo unavyosema... Hongereni
Ni kati ya Dini ambayo wanajiamini sanah... Kwasababu wanajua wapo kwenye mchongo wa uhakika wa kwenda mbinguni.... Wakatoliki safiiiii ..... Wimbo ni mzuri ... Najivunia kuwa Mkatoliki....
Tunajivunia sotee
It is one, Holy, Catholic and Apostolic. And we are Universal. #DaimaMkatoliki
Nice song...... watching 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Daaaah HV kunamtu anamawazo yakuhama ukatoliki nakuenda kutapatapa kwingine. Mungu tuimarishe wakatoliki wotee🎉❤🎉🎉
NINAWEZA NIKAWA MTU NILIEUSIKILIZA MARA NYINGI ZAIDI MPAKA SASA
Uongo, Mimi ndio nimesikiliza sana mpaka Leo na narudi jioni na kesho na milele. Najivunia kuwa mkatoliki ❤
Deserves to be a Catholic anthem...a song for diminishing faithfuls to listen. I can't just stop listening to it since the first day it was out. God bless you all for this angelic song❤❤❤❤
Aliyeletwa na ticktock hadi huku
Kumbe tuko wengi,, my faith my pride
😅😅
Nawashukuru sana nyote Kwa matashi mema....tumuombe Mungu atujaalie afya na uhai....tuipende Imani yetu, tujivunie Imani yetu
HELLO MEMBERS OF ST SECILIA CHOIR , thank you , thank you very much for giving us this song .
To many of us OUR CATHOLIC FAITH , is OUR FIRST IDENTITY .
We feel BLESSED to so and are very proud of it .
May OUR LORD bless you always .
Najivunia ukatoliki wangu mpka kufa kwangu ❤❤
Mungu naomba unisaidie niilinde Imani yangu kuwa mkatoliki ninajivunia sana hasa pale ninapompokea Yesu wa Ekaristi . Mungu naomba uwarudishe wale wote wanaokimbiakimbia hawajui zawadi iliyoko katika kanisa katoliki. Hongereni sana wana kwaya Mungu awabariki sanaaaaa 🎉
Catholic daima ndani ya Damu♥♥♥
Catholic you are the best friend for me 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💕💕💕💕❤️
An amazing song. Proud to be a Catholic
Proud to be catholic
Wimbo mzuri adi nasisimka 🎉🎉🫡🫡
TikTok imenileta huku.. Najivunia kuwa Mkatoliki❤
Congratulations 🎉 yaani this is super beautiful! Very proud to be a Catholic! This is a beautiful song🎵 lovely voices. Greetings from USA!🎉 I listen to you daily.
Aseeeeeee huu Wimbo ni bonge la wimbo yaani sichoki kuusikiliza aseeeeee mimi MKATOLIKI huu ni wimbo bora 2024
Amina wajina ukatoliki ni raha tupuuuu
Am proudy catholic......,barikiwa mtunzi,... walimu na waimbaji kazi nzurii
Mungu tusaidie tulinde imani yetu ❤❤
Najivua ukatoliki ❤mimi ni mkatoliki na nitaishi ukatokeki maishani wangu ,,,,ukatoleki ndio msingi wa imani
hakika
Hakika napaswa kujivunia ka Iman yangu na kusimama imara kuitetea mbarikiwe Mt sesilia🙏🙏🙏
Merci Seigneur Dieu pour ces moments forts de chants de louanges. Quelle magnifique choristes Amen
Wowow ni nzuri mnoooo Aloyce sio kwa tabasam hilo’ hakika najivunia kuwa mkatoliki
Kanisa ni Moja Na Takatifu,,,, acha nijivunie kuwa Mkatoliki
Hongereni sana Mt. Secilia Makuburi, kwa kweli mmenikosha sana.
Hakika ni wimbo Bora wa Mwaka 2024.🌹🌹🌹najivunia sana ukatoliki wangu,Mungu nisaidie niweze ilinda imani yangu!
Hongera sana Shayo kwa utunzi mxuri wa wimbo huu mtamu
A nice worship song. Indeed daima najivunia kuwa mkatoliki.
Kazi safii 🎉 can't have enough of the replays. Kanisa ni moja.
Jamani niseme nini sasa.. proudly catholic
Sijui nimerudi mara ya ngapi kuutazama na kuusikiliza wimbo huu ❤nimeupenda sana. Mimi mkatoliki
Mimi pia nimecheza nikirudia sana loveky❤
Asanteni sana Mt. Secilia Makuburi, mmeliheshimisha kanisa kwa huu utunzi. Mmeanzisha mwendo na kuonesha njia. Big up sana
Nimesikiliza wimbo huu tena na tena. HONGERENI SAANA NDUGU ZANGU.
Nimebatizwa kwenye kanisa Moja. Najivunia kuwa Mkristo Mkatoliki.
❤❤❤❤
🔥🔥
hakika
❤❤
Wow! sweet voices❤️❤️niliusikia ikabidi nicram nisearch na keshaupata nafurahi utunzi wenu mwema.BARIKIWENI
mimi mkatoliki daima asante kwa kutukubusha haya, very well composed reminding us of our faith in the catholic regim. May God bless this team and the composer as well. Nimezaliwa mimi mkatoliki.
na directar apewe mauwa kwa kwendan na mazingiraa hekalu limejibu na limendan na wimbo amina sana🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana, Ujumbe wa kijasiri
Mama anaeonekana dak1sek 7 kaupiga mwingi mno.
MUNGU ATUTIE NGUVU WANAUKWAKATA NA WOTE DUNIANI.
Najivunia kuwa mkatoriki❤️❤️❤️
mimi mkatholiki kweli najivunia sana sana utunzi mzuri sana hongereni wana cecilia
Daaah jamani niseme nin bwana nitamke neno gani kinywani kwa huu wimbo mmetisha sanaaaa hongereni mnoooooooo🙏🙏
Wimbo mtamu saana. Najivunia kuwa mkatoliki.
Cette grande joie, me pousse à pleurer, très fière de ma foi, très fière d'être catholique
From TABORA,
Da Melania nakuona, nimewamiss sana! Wimbo sichoki kuuzililiza masikioni mwangu! Hakika mmevunja rekodi miss you Dears!
Nikiusikiliza najikuta natembea kifua mbele l'm proud to be a Catholic bwana
Kongole, wimbo Tami, Mungu awazidishie neema zaje
Kila siku nauskiliza zaidi ya moja❤❤mtunzi wa wimbo wanakwaya wote kwa ujumla, Mungu awabariki sana, wimbo unagusa mpaka basi❤❤❤
Aliyetunga huu wimbo 🙌🙌🌹🌹
Mmeupiga mwingi africa yote, hongereni sana. Mungu awabariki tena.
Wakatoliki oyee ❤❤❤ Mungu alilinde kanisa katoliki ulimwenguni mwote
mkatoliki daima...
Hiyo chorus ikishaanza kucheza kwa akili haitoki.. hiyo soprano inanipea goosebumps
Wow! proudly catholic button>>>> awesome piece
Mimi nlzaliwa mkariki baadae nlihama lakini nilkuj kugundua nlkosea nkarudii chapuuuuu katoriki kwangu
Najivunia kiukweli nyimbo nzur sana
Mwaaaaaa!!!!!!!!kwa waimbaji wote Mungu awabariki muishikilie lmani nakuwa imara katika dini yetu Takatifu Katoliki ya Mitume.Yes!!! ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂🎉🎉🎉🎉
Yaani wimbo mtamu sana
This man at 2:38 - 2:42 this passion,love and energy for the church!!! You have touched me to the nerves!
Pongezi nyingi kwenu👏👏🎉
Naiman papa Ana he a huu wimbo huko Vatican cty
Wimbo Wa Ukweli Kanisa Moja Tu Katoliki Amizing
Najivunia mm mkatoli sihami ngo npo mpaka yesu mwenyewe aje.. napenda kanisani langu sana Catholic asante mungu kwaku kutachia kanisa ❤
Une chanson qui fortifie ma foi, un grand merci à la chorale, je vous aime !
Hongereni sana Mungu awabariki Kwa kazi nzuri hahika najivunia kuwa mkatolik❤❤❤
Wakuu Wangu sana na wanaThomas member. Kz nzr vijana mmeupiga mwingi. Mungu azidi kutusimamia na kutuingoza tufanye zaidi ya hapa. Wimbo mazuri sana nimeikubali kwel kweli
Proud to be a Catholic...
Najivunia kiwa mkatoliki kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume .Mungu Asante sana. Yesu nifuche kwenye madonda yako ili shetani asinidhuru maana najua anaumia sana tena ana kisasi na mimi lakini najua Yesu na Maria wako uoande wangu chini ya ukinzi salama wa my guardian angel. Asante Mungu tena na tena
Hongera sana kwa wimbo mzuri sana
Dar,naupenda sana huu wimbo ,unamsukumo mkubwa ndani ya roho yangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wimbo mzuri unasema uhalisia wa mkatoliki.Nami najivunia milele yoteee ukatoliki wng
Kazi safi sana wangwana ❤
Guys you are doing it differently than the other again. I am enjoying it from uganda. 🇺🇬.
Much love happy to be a chorister
Asanteni sana kuniletea wimbo huu nimebarikiwa Sana .ujumbe Mzuri Pia Mmeimba vizuri sana Mungu awabariki sana.👏👏👏
Hii Chorus nahamia Catholic leo leo 😊😊😊❤❤
Kazi nzuri sana kwaya ya mt Cecilia mungu awabariki muendeleze utume wenu wa uinjilishaji kwa njia ya nyimbo.hongereni sana
This song Awwww🥰💥💥💥 hongereni sana
🎉🎉🎉🎉 I see Eng. Dr Mabulla appreciate my father❤❤❤❤❤
Nyie watu, kwa kweli huu wimbo kwa siku nauona kwa mara 10...
Mungu Awabariki sana kwa kazi hii.....mimi Mkatoliki....
Hakika nasimama imara kwa nguvu za roho mtakatifu kuilinda imani yangu.mimi mkatoleki daima. Kibao safi sana hongera st Cecilia kwa kutumbusha imani yetu hakika sisi wakatoleki ni kanisa moja.
Beautiful song. Sung with all the enthusiasm. Well done brothers and sisters . 🎉🎉🎉🎉. Proud to be a Catholic.
Hi wimbo si ige kua national anthem 😊😊😊😊❤❤❤❤😂😂😂
Nimeurudia mpaka basi, wimbo mzuri sanaaaa❤❤
Father mungu amuongoze sana homilia zake n safi sana mungu amtangulie Ana penda sana viwawa... Father big up tu pamoja sana magomeni on fire
Congrats Secilia & Emily for memorable song &composition. May God elevate u to the next level.
Proud to be a Catholic
Sichoki kuusikiliza. Nataka hata nilie. You did it good people. Haki unafaa kuwa wimbo wa Taifa la wakatoliki
Msingi wa imani yetu..nimezaliwa kwenye moja
Mmeupiga mwingi cesilia makuburi..ndo.msingi wetu
Hongereni wimbo mzuri sana🎉🎉
Kutoka parokia ya maria konsolata morogoro wimbo huu unanibariki sana na vijana wetu wakiuimba Kwenye misa ni shangwe sana
Najivunia sana kuwa mkatoliki na namwomba mungu baba anitie imani thabiti ilinimtukuze yeye milele yote
I’m proud to be catholic ❤
Jaman sijawahi juta kuwa mkatolik yaaan Nina Raha Kila cku ❤❤❤❤😊😊😊😊😊
Najivunia Mkatoliki 📌
❤ raha iliyoje kuwa mkatoliki..hakika asante Mungu
Najivunia kuwa mkristo mkatoliki, mbarikiwe sana kazi nzuriiii 🙏🙏🙏