TEMBEA NAMI (Official Video) - KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE - MAKUBURI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- STUDIO iRIS PRO
“Hakika wema na fadhili za Bwana zitanifuata siku zote za maisha yangu, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele."
WIMBO: TEMBEA NAMI
WAIMBAJI: KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE
PAROKIA: MAKUBURI - DAR ES SALAAM
VIDEO BY: STUDIO iRIS PRO
AUDIO BY: HOLY TRINITY STUDIOS
KINANDA: A. J. MYONGA & FRIDOLINUS MUSHOBOZI
Jamni naumwa sana niliumia kiuno nipo kitandn wiki ya pili nimekata ata tamaa ya kurud shule lakin nilipsikia huu wimbo nikapata nguvu mpya kabisa na ujasiri mbarikiwe na bwana jmn
Pole sana Mkristu . Mungu na akuponye 🙌🙏🙏
Pole sana Na Mungu awe nawe katika Mapito yako.
Keep faith and trust in the Lord. You will be healed 🙏🙏
Mungu akuponye hakuna kinachoshindikana kwake
Omba kwa Imani. Mungu yupo. Hashindwi jambo na hamtupi mtu
Bonge la nyimboo😄😍😍 mbarikiwe saaana pamoja na hii studio video mmeitendea haki👏🙌. Lakini bado najiuliza🤔🤔 hivi zile dislike ni kwamba wimbo mbaya, video mbaya au mtu bac tu maana wimbo huo umetulia lkn bado nakuta dislike😂😂😂
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Nina imani mungu anatembea nami,,,kazi nzuri❤
nimeiskiliza tangu saa 4 asubuhi had wakati huu na naitaendelea kuiskiliza tu. Inanibariki sana Hongereni sana kwa kazi nzuri
😂😂😂😂😂
@@anataliangalowoka3906 to
@anataliangalowoka3906 to
P@@anataliangalowoka3906
@@anataliangalowoka3906hiyo Haina mpizani,mnajiamini .mmetia fola .
Hakika nawajivunia M/Heri Anwarite
Kazi nzuri upeo, hongera iRis , pongezi mwl Muyonga..
Mungu atukuzwe
Kak napenda fani yako san en napend san jinc ulivo kwa Neema yamungu akuzidishie kipaji
Zakaria naomba namba yako ya mpesa nifanye jambo
Really also love you as you are a legend in the makuburi family.Great fan from Christ the King parish in kangemi ( Kenya) remember to visit us whenever you come to Kenya
Aseeeee huu wimbo unaeza enda ombea mkopo mkomboz Benki ni mtamu saaaaaana guys congrats
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Kweli kabisa 💯
😂😂😂😂😂😂😂
Kazi nzuri
Motooo sana Hii
Kali kuliko kali
Mungu awalinde na awatangulie kwenye utume wenu
Hongereni sana mzidi kumtegemea mungu ktk maisha yenu ya kila siku.
Hongera kwenu wana Anuarite kwakazi nzuri Mungu awaongoze muendelee kumtumikia kwanjia ya kuimba katika roho na kwel nawapenda nani nawakimbuka sana
Napenda sana huu wimbo nikiusikiliza naona kama shida zote za hapa duniani zimeisha Mungu awabariki sana
Nyimbo nzirii mnooo inanibariki sanaaa
Sichoki kuutazama kila nikiwa na mb zangu za jero
Mungu Akuzidishie
Hongeni kwakweli na mungu awabariki sana
Kazi nzuriii iris pro
Barikiwa sana wanakwaya naipenda hiyo nyimbo
Mungu awatunze
Wimbo konki
Yatoshaaaaaaa,,, nguvu ya mazungumzo duuuuuh
Mbarikiwe kwaujumbe mzuri
Zakaria du mko vizuri congrats all
I was waiting for this ongeeren San Iris Pro Studio mtabaki kuwa juuuu kichupa kikali ndg zng Zab 150 :6
Hongeren saana kwaya yangu ya zaman kwa kaz nzur sana hiyo
Safi sana wimbo mzuri sana
Mbarikkwee sana
Hongereni Sana kwa uinjilishaji bora
Hii kwa ya Mwenye Heri Anuarite huwa napata faraj sana na furaha co kwa sauti hzo jaman duuuu .Mungu awatunze
Amen, Mungu ni mwema
Hongereni sana nyimbo nzuri sana inanibariki mnoo nitajiunga nanyi siku moja tuimbe sote.
Hongeleni Kwa kazi ya mungu
Hakika Mungu atukuzwe.Hizo sauti zimepangiliwa sawasawa,video ipo safi,utunzi mzuri sana.Hongereni nyote.
Mwenye heri Anuarite choir! Hongera kwa kazi nzuri iliyokwenda shulee!!! Mungu azidi kuonekana zaidi!
Hakika nikiwa na wewe nipo salama . MWENYEZI MUNGU awabariki .Sana.
Safiii
Aisee! Wimbo umejaa upako. MUNGU azidi kuwapa mafunuo muendee kutuinjilisha Kwa nyimbo nzuri kama hii. MUNGU awabariki sana
Asante, karibu
Mungu awabariki good song
Munanijenga roho mungu awariki
Nafarijika saana popote hata nikiwa kazini, njiani na popote nikiwa nasikiliza hii Nyimbo na mm pia ni mwimbaji Kwaya ya Mt, Bakita Kigango cha Kamuli jimbo Katoliki Kayangu. Barikiwa saaan.
Endelea kubarikiwa Mtumishi AMEN
Safi sana.Mungu awabariki
Hakika kila mwenye pumzi na amsifu Mungu -Zaburi 150:6..
Hongereni sana wanakwanya wote, walimu wote bila kuwasahau IRIS kwa production nzuri hakika Mungu awabariki sana.
Mwl. Muyonga big up sana.
Wimbo huu Umenibariki sana!!, Napata Amani sana kila niusikilizapo, Barikiweni sana Watunzi na Waimbaji wote. Mungu ni Mwema! Kweli Hatokuacha ukimtumainia🙏
Kubwa sana hii! Kongole nyingi kwenu MwenyeHeri Anuarite Kwaya😍😍😍😍
Hongera kwako mdogo wangu,naona viwango vyako vya juu hapa.
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
HONGERA SANA NAWE KWA KIBAO KITAMU KAMA KAWAIDA YAKO HUJAWAHI KUACHA KUWATAFAKARISHA WATU KWA NYIMBO ZAKO.
Hongeleni xan kwa utume
waooo
Hongeren Sana nyimbo nmeipenda
Wandugu asanteni kwa nyimbo nzuri sana na tumebarikiqa sana, Ila ndugu zangu twendeni na wakati pia angalieni namna ya kuweka nyimbo zetu kwenye platforms za kimataifa mfano iTunes, Tidal or Spotify vyote vyawezekana na ndio njia nyingine ya kuongeza kipato.. natarajia kuwaona huko soon 🙏🙏
Hakika Tunafanya namna
Litakuwa jambo jema sana na la Baraka sana. Pia itasaidia Kwaya zetu na wahusika wote kupata vipato kupitia muziki huu wa Mungu
Mungu ni mwema sana, naomba nikumbushie tuu
Tukiwq na Mungu hakuna anae weza tuzingua kazi nzur sana
Love the voices ,strong ,Bwana tembea nami
A J Myonga 👏, kwaya ya mwenye heri anuarite 🔥kazi nzury mbalikiwe🙏
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Shukulani sana🙏🙏🙏🙏🙏 nawapenda sana
Pole Sana mungu atakuponya
Nabarikiwa sana na wimbo huu
Kazi nzuri sanaaa
Hongera kwa mrunzi na wanakwaya wa Mwenyeheri Anuarite kwa kututafakarisha vyemaaa
👏👏👏👏👏💕
Kazi nzuri mno,hongereni kwa utume. Mungu awabariki washiriki wote🙏
Tumshukuru Mungu.
Iris 👏👏👏
Nmefarijika sana
Mungu azidi kuwapa nguvu ya kumtumikia yye na kuinjilisha neno lake
Tunashukuru sana
Jmaniiiiiiii kwa utamu huu mpaka na sahau kama kuna kufa hongereni sana jamaniii naludia mara kurudia lakin haikoi
Hongela sana ninabaliliw
Woooow....So amazing!! Kitu konki sana hii. Nimewaelewa Anuarite, nimewaelewa Studio iRis Pro. Big up sana
Tunashukuru sana
Tunashukuru sana
Nawakubali sana Anuarite kazi nzuri comrade Myonga
Superb
Muziki Mtakatifu 🔥🎤
Hongereni Sana kwa wimbo mzuri umenibark kwa kweli mungu awabariki Sana kwa kazi nzuri
Maneno mazuri kabisa hakika mnafaa kumtukuza mungu kwa njia ya uimbaji mmependeza nyimbo zenu hazichoshi kusikiliz mungu awabarki nyote
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
@@sundayssmile2128 nyimbo iko poa mno mungu azid kuwa tililishia baraka na neema yk
@@agnesgervas8070 Amina
@@sundayssmile2128 amina pai
Mbarikiwe kwa kazi nzuri.
Hongera sana sana
Mbarikiwe hivi ndivyo mlivyokuwa mnatakiwa fanya.kwa kipindi kilefu mmekuwa mkishoot but kazi hazionekani
Hongereni sana Mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu
Nyimbo inanifariji Sana ninapoisikiliza
Saaaf sana
Mbarikiwe sana wana anwarite
Kazi nzuri Sana hii barikiwa Sana kaka Myonga A. J
Wimbo huu ni mzuri sana
Wooh hongereni kwaya ya Mt Anuarite wimbo mzuri
hongeraaa kwenuu.. Mungu awabariki
Mungu awabariki sana nimebarikiwa sna
Nimebarikiwa sana
Mungu azidi kuwabariki katika huduma hii ya kuhubiri neno lake kupitia nyimbo takatifu mnazohimba. Amina.
Huu wimbo naupenda sana kuanzia nilipousikiliza kwa mara ya kwanza Hadi Leo na nitaendelea kuupenda
Nawapenda.mnoooo
kazi nzuri🙏🙏
Hongera kwa mtunzi,waimbaji ila kwa hii Video My Brother Gerald umeua sana kwa Script moja Kali na shots zilizoenda shule
Waoooooo.... amazing bonge la wimbo hongereeni sana Nimewamc sanaaaaaaaa
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Mungu abariki sana.
Wimbo mtamu unakufanya usahau kama kuna changamoto ktk Maisha!! Mbarikiwe mnooo wana Anuarite pia pongezi kwa mtunzi Mr Myonga
Jamani mtunzi ninani
Hakika Mungu ni mwema sanaaa
Karibuni mtuunge mkono
Nice melodies good product
Hongereni sana
Kazi nzuri sana hii🔥🔥🔥
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Safi sana. Wimbo mzuri, waimbaji mmeutendea haki.
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Asante sana Sana Mungu Akubariki
@@sundayssmile2128 very very nice song god bless you
Hakika tumwimbie Bwana katika roho na kweli!!
Mungu azidi kuwatumia kufikisha injili yake kwa watu. Mbarikiwe sana nyote (mtunzi, producers, organists, and all who made this work to be seen)
Wimbo mzuri sana unaniongezea imani yangu ktk dunia hii ya dhiki,shida tabu ewee tusaidie
Hakika kasongi kametulia
Hakika Mungu nimwema cz viewers wanavyopanda kwa masaa 22. 1.6KVIWERS
God almighty thank you for the inspiration of this song. You are always with me. Strengthen my faith in case of discouragement. With you I am safe from all challenges. Praise be your name.🎉 🎉 4:00 4:01 4:08 .🎉🎉
Big up, Big up! A. J. MYONGA, Composer na Organist usiyevuma Ila Umooo!! Well done Mhadzave!
Hahahaha!! Dada Suzanna!!! Mungu ni mwema!!
Waooooh...hakika mbarikiwe mnooooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Umenikuka kabisa🌹🌹🌹🌹🌹
Wimbo mzuri sanaa
Big up san mbarikiwe
I love everything in this video. Well done. Audio arrangement standard. Congratulations sound engineers.
Hakika hili ni wimbo WA faraja kweli
Ahsante sana. Nashukuru kwa ufafanuzi mzuri. Ubarikiwe sana.
Mbarikiwe sana wandugu ❤
MMEIMBA vzr
Audio studio gani
Video studio gani
OGANIST nanii
Audio Holy Trinity Studios
Video Studio iRis Pro
Organist:AJ Myonga na Fridolinus Mushobozi
Kweli mungu naomba tembea nami
Asante sana Mungu kwa usalama unaonijalia Kila mapito yangu ninakutumainia Sana Mungu wangu
Nikiwa nawe baba nko salama