Mt. Kizito Makuburi - Hamkujua? (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 29 апр 2023
- Ukombozi wa Mwanadamu ulitabiriwa na manabii tangu kale. Iliandikwa mwana wa Adamu atakamatwa, atateswa, atakufa, na siku ya tatu atafufuka katika wafu.
Maandiko hayo yote yalikuja kutimizwa, ingawa mwanadamu bado alisahau yote, na mwisho akawa akishangaa kila linalotokea kana kwamba hakujua kwamba maandiko yanatimia.
KMK Makuburi wanatuletea wimbo wa kukumbuka safari ya Ukombozi wa Mwanadamu, aliyoipitia Bwana wetu Yesu Kristo, na wanatukumbusha kwamba Ilikuwa ni katika kutimiza maandiko.
WIMBO: HAMKUJUA?
MTUNZI : HENDRY KIMARIO
WAIMBAJI : KMK MAKUBURI
AUDIO BY : HOLY TRINITY STUDIOS
VIDEO BY : DIVINE STUDIOS & KMK DIGITAL PRO
SCRIPT WRITER : HENDRY KIMARIO
DIRECTED BY :HENDRY KIMARIO
SUBTITLES BY: DICKSON NYAMWIHULA
MUSIC SCORES & LYRICS : www.kmkmakuburi.co.tz/pdf/Ham...
Usisahau kusubscribe, like na kucomment.
You can support evangelism through
⭐MPESA TZ : +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐VODACOM LIPA NAMBA : 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
#HamkujuaniMwamba?
#kmkmakuburi
#pasaka
#kmk35thannivessary
CONTACT US
PHONE: +255742000089
INSTAGRAM: KMKMAKUBURI
FACEBOOK: KMKMAKUBURI
TWITTER: KMKMAKUBURI
TIKTOK: KMKMAKUBURI
WEBSITE: kmkmakuburi.co.tz Видеоклипы
Na siku nyingine msitucheleweshee vitu vikali hivi 😂big up brothers and sisters
baaana izi vitu kali zifuatane
Baana waambie vitu vikali mapema ndio best❤
❤
😂😂😂 mpk tunajiskia uchungu na kuumwa wanavyochelewesha
Banaa
Wooow,Mungu wabariki ndugu zangu wa catholic from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kiukweli this is my favourite song of the year, hongereni sana mmeupiga mwingi ntakuwa natamani kuuskiliza kutwa nzima.❤❤
These people sing like they will never sing again😅😅😅😅....Much appreciations brothers and sisters, I always love hearing from Makuburi choir
They sure do sing like will never sing again
pongezi za dhati kwa mtunzi hendry kimario na director hendry kimario pamoja na waimbaji mnaweza sana sana sana sana huu ni wimbo unaobariki wengi ,,,,hongereni sana kwa kazi nzuri yenye ujumbe mzuri ndani yake ambao mmetuletea kwa namna nzuri ya uimbaji wenye sauti nzuri na mpangilio mzuri sana sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu mzidi kutenda makubwa zaidi.
NI MZIMA NI MZIMA ALLELUJA. HONGERENI WANAKWAYA WA KMK., 🙏🙏🙏
Hamkujua kama tuliutaka sana huu Wimbo siku ya pasaka yenyewe 😂 all in all hongereni sana kmk
Banaa 😂
Kudos to the person who was in charge of the videography....Nice job
Bonge la nyimbo kama umeupenda shusha comment zako hapa chini usipite hivi hivi jaman🎉🎉🎉
Mbalikiwe sana wimbo mzuri voko km Malaika, mtu unajua uko paradiso, wanaume Mungu awazidishie baraka nyingi Nashukuru sana. Moyo unafurahi sana
Hongereni sana KMK mmeupiga mwingi sana,pasaka imenoga sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻😊
Wana MT KIZITO HONGERA KUTOKA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃💃💃👏👏👏👏👏👏
Hongereni sana mt kizito makuburi, hamjawahi kukosea, ni roho mtakatifu ndiye anayewaongoza. Mbarikiwe kwa uimbaji mzuri
Chonjo sana hongera 👏👏
Mko vzr kazi nimeikubali,siku nyingne mtuleteee msitucheleweshee kazi nzuri Kama hiyo,utupiwe mapema,ili tuwahi kubarikiwa
Nakosa maneno!!!!! Asante kwa Mungu kwa wimbo huu. Asante Ndugu zetu wanamakuburi kutuletea somo lingine!
Hongereni sana, wimbo mzuri hatuchoki kuwasikiliza....
🇰🇪 Kenya twawapenda kweli tena na sana.... 🙏🙏🙏
Wioooowwww Mbarikiwe mnooooo kazi nzur8 wapendwa
Pongezi kwenu waimbaji kwa kutuinjilisha kwa njia ya wimbo, barikiweni saaaana
Saffi kabisaa kazi nzur 🙏😅
jana nimeitazama hii nyimbo tumaini television hakika mtunzi anahitaji tuzo ya dhahabu, hongereni pia wana kwaya , mmeupiga mwingi
KMK hamjawahi kuniangusha, hongereni Sana Wana wa Mungu, endeleeni kumtukuza aliyejuu
Hakika ni mzima ila mbona mmetucheleweshea hili baragumu 🥰🥰
Hmjawahi kuniangush KMK soon nakuja kujiunga!!!
Nakubali sana
Litle Angel amezunguka vizur na gauni lake santeee kwa tafakari nzuri.*#Hakika Ni mzima
Mungu wa mbingu azidi kuwabariki mpo vizuri
Bwana wape nguvu na hekima 🎉
Tanzanian's never disappoint when it comes to GOD. Your songs inabariki regardless of denominations. mubarikiwe mkitubariki na sis
Hizi Ngoma na bezi .Yan mpangilio wa sauti😊😊❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊,. I LOVE JESUS
Imendeza sana yaaani sifa na utukufu ni kwamungu.💔💔
Hamjawahi toa kitu chepesi siku zote. Mtazidi kuwa juu kwa ubora. Atukuzwe sana Mungu aliyewapa karama hiyo.
Pongezi kwa menejimenti yenu, walimu na wanakwaya kwa ujumla. Tunatakatifuzwa kwa kazi zenu BORA.
Kongole za dhati kwaya ya Mtakatifu kizito Makuburi. Wimbo huu waniliwaza na kunikolezea imani nikiwa Vilimani Mbagara,gatuzi la Kakamega nchini Kenya kwenye Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa -Mautuma Jimbo Katoliki Kakamega.
Hewallah!!
Nobody is talking about that babygirl 🥰much love from kenya❤❤❤
Wimbo mzuri sana
Hongera san mt kizito makubur kwa wimbo mzuri Siku zote naangalia kaz zenu
Utunzi murua kanisa hongereeni Kwa uinjilishaji mtamu. Mzidi kumtumikia muumba Kwa utunzi vitamu kila wakati.
Kazi safi
HAMKUJUA..TUMEJUA SASA.
AMEFUFUKA KWELI. THE VOICES FOR ME...VERY EXOTIC
WOW KUJENI KENYA MKO MELODY POA SANA
Hongereni Sana, Mungu wa mbinguni awabariki ktk utume wenu
Asanteni Makuburi, Mungu azidi kuwabariki kwa kadri mnavyomtukuza
i am actually embarrassed that i have been listening to your songs over the years without subscribing to your channel... but trust me, you have my views
I love that song very much . Your voices angle like.
Hongeren KMK Kwa uinjilishaj mzuriii
Nawakilisha wakenya❤❤❤❤ wimbo mtamu kweli
Safi mmeutendea haki huo utunzi, na pia pongezi kwa utunzi wenye historia ya kifo na ufufuko.
Hongereni kwa utume.
Wow❤ Lit😍😍
Kama kawaida they never ruins their long-standing history 🔥. MUNGU Azidi kutenda maajabu kupitia Ninyi. Eng. Mushobozi at least kapata Mrithi. MUNGU ni Mwema
Good mpo vzr sana kmk mungu awabariki
A blessed morning ❤.
🎉🎉🎉 kazi nzuri kwakila aliyeshiriki
GOAT
Hongereni Sana,hamjawahi kosea ,big up mtunzi,utukufu kwa Mungu juu
😂😂😂😂😂 nzuri sana
Hongereni sana kazi ni nzuri mno
Hongereni sana watumishi wake Bwana
Hongereni...I like your songs....they always have a message and much blessings,.👏👏
Waooooo good performance hongereni sana Kwaya na studio pia kazi bora sana
KMK barikiweni sana kwa nyimbo zenu nzuri
MKM, nisubirini naja ,from kenya!.
hatukujua kibao kingine kinakuja kama hiki. my all time favorite choir. unique composition and style. you guys are great
❤️❤️ mna moto saana hongereni
KMK Makuburi is the best Catholic Choir of All Time. Keep going..We love y'all
A very nice song💕💕. However, I can't get enough of the "hallelujah" section. It should have been repeated at least twice.
Bravo bravo oo hongereni sana wanakwaya wimbo mzuri
Alleluia Kristu amefufuka
Alleluia alleluia alleluia Amen
Am blessed 🙏🙏🙏happy to be a Roman Catholic! Big up to our bros & sizs from Tz...happy from🇰🇪🇰🇪
Kongolee🎉
asante kwa ujumbe mzuri
Ongereni wanakwanya
Ivi hamkujua Kama tunawapenda San.
Nyimbo nzuri sana
Imependeza🎉🎉🎉🎉I thought tuko heaven ❤
Hongereni sana. Nice song
Hongera kazi safi 👍🎉🎉mbarikiwe 🙏
Hongereni nazipenda nyimbo zenu zinafariji
❤❤❤❤❤
Nzuri. Sauti na maneno vinasikika vyema.
My Lent season blessed with these amazing songs from St. Kizito
Nawapenda sana nyie jamani hongereni sana
Nice song welldone
Mungu atatusamehe kwa upendo wake mwenyewe. Natutubu dhambi zetu jameni !!!
Kazi safi🎉
Jamani kila mara mwapakua ulio moto zaidi daaah 🔥🔥🔥🔥 nawapendeni sana.
Kitu kizuri🎉❤
this song is on another level bana
the intro,,,,,the sounds manzeee
Wow! Bwana amefufuka ni mzima alleluia, hongereni sana wana KMK kwa kazi nzuri wimbo mtamu huyo ❤❤❤
be blessed and may contue with the same spirit as you continue praising the living lord
Yaaan hua nashida kutulia nikisikia huu wimbo nahis nipo mbingun yaan kwakwel kuimba nikaha silihii niyawachache
Tumebarikiwa sana na wimbo huu wa Ufufuko wa Bwana wetu yesu Kristo
Great job
Sauti nzuri za kumtoa nyoka pangoni.Hongereni wanakizito makuburi 👏👏👏
Pongezi kwenu kmk hakika mmejitahidi mmeimba vizuri,bigup kwa composer hakika katunga vizuri
Hongereni Sana , kazi Safi .
From kenya 🇰🇪 ❤❤ I love the song. Keep up
Eeeeeeeeish...you guys never disappoint 😊😊😊hongereni sanaa
Hakika Mungu atukuzwe
Mbarikiwe🎉🎉