Bernard Mukasa - Niseme Nini (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Bernard Mukasa - Niseme Nini

Комментарии • 358

  • @eriminashayo1341
    @eriminashayo1341 3 года назад +16

    Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏

  • @salomekamendi2458
    @salomekamendi2458 Год назад +10

    Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏

  • @berychrys2678
    @berychrys2678 3 года назад +14

    Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭

  • @divinajoseph2760
    @divinajoseph2760 3 года назад +6

    Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri

  • @gabrielnyambu8287
    @gabrielnyambu8287 5 месяцев назад +2

    Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba

  • @saraboniphace7670
    @saraboniphace7670 2 года назад +2

    Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 5 месяцев назад +2

    Bernado Mukasa kaka.

  • @avitbuchwa2353
    @avitbuchwa2353 2 года назад +1

    I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!

  • @JohnmaryBirungi
    @JohnmaryBirungi 4 месяца назад +1

    Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu

  • @anthonykimanthi2551
    @anthonykimanthi2551 2 года назад +2

    katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya

  • @mariamlote2183
    @mariamlote2183 Год назад

    Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako

  • @agripinaapolinary1362
    @agripinaapolinary1362 10 месяцев назад

    Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana

  • @remigiusjuvenary3099
    @remigiusjuvenary3099 2 года назад +4

    One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama

  • @leahburchard3738
    @leahburchard3738 2 года назад

    Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji

  • @valentinewamboi4490
    @valentinewamboi4490 3 года назад +2

    So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you

  • @katommbusa4559
    @katommbusa4559 6 лет назад +17

    Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa

    • @sarahsangija2913
      @sarahsangija2913 6 лет назад

      Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima

  • @lucasmaro4172
    @lucasmaro4172 2 года назад +2

    Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.

  • @lutigardkomba1215
    @lutigardkomba1215 2 года назад

    Nikutukuze vipi Mungu wangu

  • @jamespetro6773
    @jamespetro6773 2 года назад

    Mungu awarki kwa ujumbe mzuri

  • @clementmarandu2712
    @clementmarandu2712 2 года назад +1

    Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele

  • @user-tn2pg6xe2y
    @user-tn2pg6xe2y Год назад

    Mungu azidi kuwapa nguvu

  • @bensonotieno7901
    @bensonotieno7901 4 года назад +1

    uu wimbo unanibariki sana

  • @stevembuhilo2956
    @stevembuhilo2956 5 месяцев назад +1

    Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz

  • @linahmadawe2823
    @linahmadawe2823 4 года назад +2

    Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,

  • @raymondmushi3310
    @raymondmushi3310 4 года назад +2

    Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia

  • @gertrudekopiyo
    @gertrudekopiyo Год назад +2

    Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you

  • @user-dg7vf1mx4m
    @user-dg7vf1mx4m 7 месяцев назад

    sauti tamu sana ,,,so blessing

  • @munlagloryzingwe6487
    @munlagloryzingwe6487 Год назад +1

    Event I don't understand this song but I really love it

  • @kamanzielias3585
    @kamanzielias3585 Год назад

    Mungu akutunze Ben tunajivunia sana

  • @gustavkunkuta6733
    @gustavkunkuta6733 3 года назад +1

    Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.

  • @awardngailo5233
    @awardngailo5233 4 года назад +1

    Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel

  • @njugunawjulius4412
    @njugunawjulius4412 3 года назад

    Baraka kila niuskiapo...

  • @levinamukandara6970
    @levinamukandara6970 2 года назад +7

    How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up

  • @stacykibutu365
    @stacykibutu365 4 года назад +1

    Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli

  • @bahatimungundomteteziwetum4360
    @bahatimungundomteteziwetum4360 4 года назад +2

    Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!

  • @totimusmodest8241
    @totimusmodest8241 2 года назад +2

    Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana

  • @beatricejames7207
    @beatricejames7207 Год назад

    Mungu azidi kuwainua

  • @josephinekieti4683
    @josephinekieti4683 2 года назад +13

    I can't get enough of this song, I keep on replaying it.

  • @skoraskora8093
    @skoraskora8093 2 года назад

    Hongereni sana kwa utume huo

  • @Spirit.23
    @Spirit.23 4 года назад +2

    Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele

  • @muendoandrew
    @muendoandrew 6 месяцев назад

    I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..

  • @user-sz3kz2wf5n
    @user-sz3kz2wf5n 5 месяцев назад +1

    Ubarikiwe San

  • @kathanjeable
    @kathanjeable 3 года назад

    tumebarikiwa hapa kamurima catholic church

  • @upendoinaction4724
    @upendoinaction4724 4 года назад +2

    Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!

    • @josephirungu4011
      @josephirungu4011 3 года назад

      Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini

  • @orollahcharlse6488
    @orollahcharlse6488 4 года назад +12

    Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa

  • @sarahchiliko1060
    @sarahchiliko1060 3 года назад +2

    I love you my Roman Catholic gospel

  • @GastonCanuty-tx6pp
    @GastonCanuty-tx6pp 2 месяца назад

    Wimbo mzur sana

  • @robertmahucha5715
    @robertmahucha5715 4 года назад +1

    magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru

  • @achiecaren2908
    @achiecaren2908 Год назад +1

    Good job, sweet voice blessed family.

  • @priscamsomba4224
    @priscamsomba4224 2 года назад

    Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu

  • @schophimamandago9141
    @schophimamandago9141 4 года назад

    Amen hakuna Zaid ya axant

  • @stephenshio588
    @stephenshio588 5 лет назад +3

    Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki

  • @kamukamasylvia9640
    @kamukamasylvia9640 5 лет назад +7

    It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed

  • @user-uw7nv9gj9q
    @user-uw7nv9gj9q 6 месяцев назад

    Ata mimi kunakitu nimekumbuka

  • @elizabethtreshory7776
    @elizabethtreshory7776 4 года назад +1

    Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima

  • @ignasjosephmwinuka3666
    @ignasjosephmwinuka3666 2 года назад

    Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako

  • @johnedmundmachota7582
    @johnedmundmachota7582 5 лет назад +6

    Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti248 2 года назад

    Hongereni sana👏

  • @hellenmnubi2851
    @hellenmnubi2851 3 года назад +1

    Hakika nafarijika Sana na huu

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 2 года назад

    Amina nimebarikia

  • @agustinotadeo8554
    @agustinotadeo8554 4 года назад +1

    Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru

  • @angelinakemuma2748
    @angelinakemuma2748 5 лет назад +15

    We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better

  • @dorischuwa3641
    @dorischuwa3641 2 года назад +1

    Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏

  • @josephinekieti4683
    @josephinekieti4683 2 года назад +3

    This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.

  • @alfredphantaleo4529
    @alfredphantaleo4529 3 года назад

    Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu

  • @devothawambura1079
    @devothawambura1079 Год назад

    Mel ulipokuwa unatunga huu wimbo ulikuwa wapi

  • @godefridamunyaga4605
    @godefridamunyaga4605 4 года назад +1

    Ninabarikiwa Sana na nyimbo zenu haswa huu Niseme Nini. Asanteni Sana ndugu yangu na wifi yangu. Mbarikiwe Sana.

  • @bonifacejohanes895
    @bonifacejohanes895 2 года назад

    Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea

  • @leonardmwankemwa7223
    @leonardmwankemwa7223 4 года назад +1

    you are role models of most of us

  • @veroniquemango1114
    @veroniquemango1114 5 месяцев назад

    Nakushukuru mungu

  • @user-te1mo4hq4s
    @user-te1mo4hq4s 10 месяцев назад

    Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin5969 5 лет назад

    Katikati ya safari maji yale yakamwagika chini lakin kwa wema wako ukayazoa yakajaaa upya.....

  • @mgenileonora9717
    @mgenileonora9717 2 года назад

    Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru

  • @raymondlaurent9403
    @raymondlaurent9403 2 года назад

    Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..

  • @josephatmwema561
    @josephatmwema561 2 месяца назад

    Naupenda sana

  • @marianabachilula8756
    @marianabachilula8756 Год назад

    Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!

  • @angiemambo6192
    @angiemambo6192 4 года назад +3

    Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.

  • @Spirit.23
    @Spirit.23 3 года назад +10

    I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance

  • @zawadiagape9762
    @zawadiagape9762 4 года назад +1

    Nisimulie VIP Mimi 🙏

  • @Jonathan95311
    @Jonathan95311 6 лет назад +3

    Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!

  • @leznadotomthon2543
    @leznadotomthon2543 Год назад

    Nawapenda hii familia naomba MUNGU FAMILIA YANGU IWEZE KUBADIRIKA IWEZE KURUDII KAMA HII FAMILIAAA

  • @meypaulin6138
    @meypaulin6138 3 года назад

    Mbarikiwe Sana nawapenda Sana nyimbo zenu uwa zinanibariki Sana

  • @jeanpierrendayishimiye9454
    @jeanpierrendayishimiye9454 4 года назад +4

    This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.

  • @fidesrwemera3710
    @fidesrwemera3710 3 года назад

    Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima

  • @NeemaKiria-wz5gh
    @NeemaKiria-wz5gh 3 месяца назад

    Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤

  • @josephinebiringanine7113
    @josephinebiringanine7113 4 года назад +1

    Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰

  • @dominicmwanzia9919
    @dominicmwanzia9919 5 лет назад +4

    Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana

  • @thomshumbusho5446
    @thomshumbusho5446 5 лет назад +1

    Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.

    • @bridgitmutuku4140
      @bridgitmutuku4140 3 года назад

      Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana

  • @paskalinasalia8041
    @paskalinasalia8041 3 года назад

    Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏

  • @magongojmuyanda9946
    @magongojmuyanda9946 3 года назад

    HAKIKA UJUMBE MNAO TOA KATIKA JAMII DUH!! YAANI NI MZURI HADI NASHINDWA NISEME NINI MIMI JAMANIII

  • @destinbiringanine1637
    @destinbiringanine1637 2 года назад +1

    Good bless you bro and the whole family ❤️

  • @chrisn3748
    @chrisn3748 4 года назад +1

    Nashukuru kwa wema wake!

  • @gladysjebiwot6562
    @gladysjebiwot6562 5 лет назад +5

    Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you

  • @gracegada3135
    @gracegada3135 5 лет назад +1

    Hongera Mkuu kwa kazi nzuri

  • @maryemmanuel3356
    @maryemmanuel3356 5 лет назад +1

    Watu wawili kama kwaya nzima mmnnh mungu awabariki sana unanifaliji sana ASA wakati wamatatizo hingera mkasa

  • @patrickkambale777
    @patrickkambale777 5 лет назад +6

    Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000

  • @liliangor5130
    @liliangor5130 Год назад

    favourite song! Hongera

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin5969 5 лет назад

    Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako

  • @elgyeneemmanuel1236
    @elgyeneemmanuel1236 5 лет назад +6

    this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya6287 Год назад

    Nyimbo inanibariki Sana hiii barikiwa Sana mtumishi wa Mungu