Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏
Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭
Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri
Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba
Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde
I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!
Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa
Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia
I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..
Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako
Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu
Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea
I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance
Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏
Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏
Pole Sana ndugu
Usiyasahau kamwe hayo mateso na usiwaamini kamwe..ila wapende.
Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭
Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri
Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba
Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde
Bernado Mukasa kaka.
I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!
Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu
katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya
Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako
Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana
One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama
Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji
So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you
Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa
Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima
Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.
Nikutukuze vipi Mungu wangu
Mungu awarki kwa ujumbe mzuri
Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele
Mungu azidi kuwapa nguvu
uu wimbo unanibariki sana
Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz
Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,
Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia
Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you
sauti tamu sana ,,,so blessing
Event I don't understand this song but I really love it
Mungu akutunze Ben tunajivunia sana
Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.
Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel
Baraka kila niuskiapo...
How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up
Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli
Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!
Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana
Be blessed Mr& Mrs Mukasa,you are highly appreciated
Mungu azidi kuwainua
I can't get enough of this song, I keep on replaying it.
Hongereni sana kwa utume huo
Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele
I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..
Ubarikiwe San
tumebarikiwa hapa kamurima catholic church
Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!
Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini
Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa
I love you my Roman Catholic gospel
Wimbo mzur sana
magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru
Good job, sweet voice blessed family.
Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu
Amen hakuna Zaid ya axant
Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki
It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed
Ata mimi kunakitu nimekumbuka
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima
Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako
Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha
Hongereni sana👏
Hakika nafarijika Sana na huu
Amina nimebarikia
Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru
We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better
Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏
This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.
Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu
Mel ulipokuwa unatunga huu wimbo ulikuwa wapi
Ninabarikiwa Sana na nyimbo zenu haswa huu Niseme Nini. Asanteni Sana ndugu yangu na wifi yangu. Mbarikiwe Sana.
Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea
you are role models of most of us
Nakushukuru mungu
Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢
Katikati ya safari maji yale yakamwagika chini lakin kwa wema wako ukayazoa yakajaaa upya.....
Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru
Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..
Naupenda sana
Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!
Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.
I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance
Amen,,may the Lord comfort you
Good song 👏👏👏
@@JenistaFrancis-hw5fe wimbo wanibarik sana jamani na kujifariji katika magumu ,,
Nisimulie VIP Mimi 🙏
Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!
Nawapenda hii familia naomba MUNGU FAMILIA YANGU IWEZE KUBADIRIKA IWEZE KURUDII KAMA HII FAMILIAAA
Mbarikiwe Sana nawapenda Sana nyimbo zenu uwa zinanibariki Sana
This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.
Safi sana Mungu atukuzwe
Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima
Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤
Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰
Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana
Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.
Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana
Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏
HAKIKA UJUMBE MNAO TOA KATIKA JAMII DUH!! YAANI NI MZURI HADI NASHINDWA NISEME NINI MIMI JAMANIII
Good bless you bro and the whole family ❤️
Nashukuru kwa wema wake!
Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you
Hongera Mkuu kwa kazi nzuri
Watu wawili kama kwaya nzima mmnnh mungu awabariki sana unanifaliji sana ASA wakati wamatatizo hingera mkasa
Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000
favourite song! Hongera
Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako
this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu
Nyimbo inanibariki Sana hiii barikiwa Sana mtumishi wa Mungu