From tiktok here I am am blessed thenk you Lord for a gift of life 🙏 let me humble myself always have nothing to pay you Lord Jesus much love from 🇰🇪 ❤️ 🙏
Wow powerful song indeed imenibariki na kuniguza. Kwa kweli nikitazama umbali nimetoka ni neema yake imekua juu yangu .Nitazidi kushukuru na kuinua neno lake.
Kama umerudia huu wimbo zaidi ya tano like yako hapa
Waliotoka kwa presenter kai gonga Like tukisonga
Hakika sina la kusema bali ninashukru.
Ubarikiwe mtumishi
Wimbo unanibariki mno, kilaifikapo asbh napenda kuanzanao, unanifanyia sikuyangu kuwanzurizaid.
Huu wimbo unaniguza sana kila ninausikia 🙏🙏🙏🙏🙏
Ukweli bwana yesu kristo ww nialfa naomenga milele yote
Nashukuru kwakunilinda nafamilia yangu yote
Cristo ni wa milele
From luyha land am ohangala gospel rhumba wimbo wa kutia moyo nipewe likes tukifuatana
Amina kubws❤😂
Mtumishi wa Mungu nimekukumbuka kama miaka kadhaa imepita🙏🙏🙏
Haluya ubarikiwe sana
Asante mungu kwa wema wako akii huu wimbo ni nzuri saana mungu akubariki sana nabii wa mungu❤❤👏🖐️
Tunaotokea kwa RC CHALAMILA tupeane high five🖐
Amina
Nyimbo nzuri ya ibada inaitwa niseme nini? BWANA jiulize kunaneno gani la kumwambia MUNGU zaidi ya kusema nashukuru
2:20
Naona google kule audio hakuna mtumishi
Nimebarikiwa na wimbo huu!
Asante Yesu
@@Mercy-jl1pn asante.mungu.wangu
From tiktok to here nipee likes tukisonga
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu @george haule, wimbo mzuri sana
Amen 🙏🙏🙏🙏
Nimehisi kubarikiwa sana na wimbo huu. Mungu akubariki zaidi kwenye huduma
Mungu akubariki mtumishi hakuna cha mekup Wana wake
Thank you Lord for all you do for me and my family, I am truly grateful to you my father 🙏🙏🙏
Wimbo huu unagusa sana maisha yetu tuliyo hai maana hakuna chakusema inabidi tushukuru tu
Kama umetoka kwa Presenter Kai Barikiwa sana.
Amen
Ni kweli Baba hatuna la kusema zaidi ya kushukuru Mbarikiweee
🙌🙌🙌🙌🙌😌😌😌😌niseme nini bwana .sina cha kusema kwa sasa kabisa tu kwa yote nashukulu .unenisayidia sikusitayili umenilehemu asante Yesu 25.06.2024
Ubarikiwe yawa shirati tunakuitaji
🙏🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤ubarikiwe sana nimebarikiwa na wimbo ❤❤❤
MUNGU AKUBARIK sana kaka huwa nabarikiwa sana na uimbaj wako nakumbuka ulivyoimba EAGT SINAI KIGOMA
Kwawukweri.nami.nashukuru
Nyimbo nzuri sana naipenda
Add mimi nimesema ameni juu song iko poa amen 🙏🙏🥰🥰
Amen and Amen bali ninashukuru yes lord isay thankyou
Huu ujumbe umegusa sehemu kubwa ya maisha yangu yaaan nimejikuta nalia
This young man has the voice of a sweet trumpet.
🙏asante YESU kwa ajili ya maisha yangu.......🙏asante YESU kwa ajili ya watoto wangu.......asante BABA kwa Neema yako katika kila pito ninalopitia
Machozi yafuraha yanidondoka nikiimba wimbo Huu kweli wewe Mungu unatoa watu mbali
A song that touches feelings inside the heart and mind,,, be blessed man of God my tears follows and makes me to be humbled before johovah❤❤
Hakika ni neema yake Yesu
Asante yesu kutoka Narok,Nashukuru
Am blessed with your ministry ,makes me experience the presence of God
Mungu akubariki mtumishi
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
We take so many things for granted but it has taken the hand of God to be what we are. Be blessed for reminding us . Powerful song.
Blessed are us,presenter Kai here we are.
😭😭😭😭WOOOIII I REPENT OOH LORD JESUS FORGIVE ME 😭😭😭😭😭
Nisemi nini Bwana?
Maana ata uhai nilio nao nizawadi yako Bwana
Wacha nikushukuru mana unastahiri sifa
Asante Sana Haule kwa wimbo nzuri
Amen
Ubarilikiwe mtumishi
Hongera saana mkuu
Asante sana
Ubarikiwe sana Ndugu,wimbo mzuri sana❤
Amenii sifa utukufu nizake milele jinarake li inuliweee amenii🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
Nimetoka nayo pale tiktok moja kwa moja hadi yuo tebu na hapa naichukua kbs ila mwanzo acha nibarikiwe kwana kazi njema mungu akubari sana
Ameeen hallelujah hallelujah amefanya Mambo mengi mema kwetu
Bwan umenitoa mbali cna la kusema bali ninashukuru
From TikTok
Thanx
Pokezi bwana asifiwe sana milele
Amen
Tuseme nini kwa YESU wetu hakika tunamshukulu MUNGU wetu
Ongera saaana mtumishi wa MUNGU kwa kazi yako njema saana 🥰🔥🔥🔥
Asante sana dada batrida
Wimbo mzuri sana .jamani niseme nini mimi bali nashukuru mwaka mzima nimelindwa na wewe hii nineema
From tiktok here I am am blessed thenk you Lord for a gift of life 🙏 let me humble myself always have nothing to pay you Lord Jesus much love from 🇰🇪 ❤️ 🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏 bless
❤❤❤🎉
Nyimbo imenifanya nimpe Yesu maisha yang kwasabab kanikoa kwenye ajar nying pamoja na magonjwa meng,ubarikiwe mtumishi
Naomba rehema zako mungu ...nitedee na mmm🙏
Una karama ya uimbaji kaka yangu Mungu azidi kukutumia najuwa amekuweka Ili umtumikie yeye.
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Big up Ed media video iko poa sana🎉🎉🎉🎉
Amen 🙏🙏🙏
Wimbo umenigusa san yaan
Tunabarikiwa! Uzidi kubarikiwa kwa nyimbo zenye jumbe nzito.
Amen
Nimebarikiwa sana
Amen 🙏🙏🙏🙏
Barikiwa Sana mtumishi wimbo mzuri Sana.
Amen 🙏🙏🙏🙏
Hallelujah Wimbo nzuri snaa nmeparikiwa 🙏🙏
Amen 🙏🙏
Niseme nn bwana bali nitashukuru,,asante sana mtumishi kwa ujumbe mzuri 🎉❤❤
Amen 🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana,barikiwa mtumishi
Amen
All the way from presenter kai❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asante sana ni nyimbo zuri wenye ujumbe sahihi
Amen 🙏🙏🙏
Tulikuwa wote Juzi J2 pale Airport KKKT. Huu wimbo uliumba na ulinibariki sana .🙌🙌🙏
Nashuru kwayimbo napatikana centre Afrique endeleya mbele baba🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera kk naupendaga sana huu wimbo
Asante
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Hata mimi nashukuru...
For these far it's God's grace ningekua kaburini but God is God ♥️♥️
Nice song George
Powerful message to everyone
Huu unatakiwa kuwa wimbo wa African mzima Dunia ijue kuwa Tanzania Mungu yupo
Powerful powerful be blessed wow wow
From Presenter Kai, ngapenda sana wimbo wako
Ubarikiwe sana kwa wimbo huu...
Amen 🙌🙌🙌
Amen
Nawakilisha Wakenya 🇦🇪🇰🇪.
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Ameni mtumishi nimebarikiwa.
Pokea sifa bwana
Amen 🙏🙏🙏🙏 utukufu apewe YESU KRISTO
ooooh wimbo mzuriiii sanaaa, hongera mtumishiii🇹🇿🇹🇿
Hii ni kweli mtumishi Mungu akubariki sana
Hakika mungu ametenda mengi kwangu ambayo mwanadamu hangeweza kuyatenda ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri mungu azidi kukuinua 🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏
Nyimbo mzuri Sanaa Hakika Asante MUNGU
Amen brikiwa sana
Asante sana
Oooooh thank you lord 🙏🙏🙏🙏 wakuabudia ni ww Jehovah
Mtumishi unakipaji san nimetafuta san nyimbo zako
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏 wimbo mzuri wenye ushuhuda kwangu
Kwa kweli ni nyimbo zaidi ya nzuri, moyo unatuliya kwa Ku sikiya injili kwa wimbo huu, niseme Nini bwana
Wow powerful song indeed imenibariki na kuniguza. Kwa kweli nikitazama umbali nimetoka ni neema yake imekua juu yangu .Nitazidi kushukuru na kuinua neno lake.
❤❤❤❤ nashukulu watching from Capetown
Barikiwa Janet
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU 🙏
Barikiwa mtumishi George tumeonana Dodoma.
Ooooooo sawa barikiwa
Congratulations🎉🎉🎉 Ev.George for the amazing song
You are singing like pastor musembi may God bless you man of God more grace🙏🙏
Wow!!! Wimbo mzuri Wa mguzo kweli
Hallelujah GLORY BE TO JESUS 🙏🙏🙏🙌🙌🙌🧎♀️🧎♀️🧎♀️nashukuru JEHOVAH 🧎♀️🧎♀️🧎♀️🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏