SWAHILI WORSHIP MIX BY DANIEL SIFUNA, NI WEWE BWANA UJUAE, ULIONA SITAWEZA, MATIBABU, MSALABANI 🙏🙏.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • KENYA, TANZANIA, RWANDA, BURUNDI, UGANDA, SWAHILI WORSHIP SONGS (MIX) BY DANIEL SIFUNA.
    KUNA TUMAINI KUTOKA KWA MUNGU KWA YEYOTE ANAYESIKIZA NYIMBO HIZI.
    USIKATE TAMAA KWA YOTE UNAYOPITIA LEO HII.
    YAWEZAKUWA NI MAZITO KWAKO LAKINI KWA MUNGU YANAWEZEKANA.
    JIPE MOYO TU NA UMWOMBE MUNGU.
    Kwa yule ambaye Hana kazi, naomba Mungu akuongoze Kila mahali unapoenda kutafuta ajira upate kibali.
    Roho ya kukataliwa ishindwe katika Jila la YESU.
    Wewe ambaye unafanya kazi na huoni mapato yako, Kila unapopata mshahara kunatokea janga Fulani pesa inapotelea huko., Mungu akuonekania na akumbuke maono Yako.
    Kuna nguvu za Mungu KATIKA NYIMBO HIZI.
    Ziimbe Kwa imani na umlilie Mungu. Kuna jambo Mungu atatenda ambalo wewe mwenyewe hutaamini.
    MUNGU AWABARIKI.
    Kwa shukrani/ support Yako MPESA 0746298853
    Mungu AWABARIKI..
    #swahili worship song
    #Nyimbo za maombi
    #christiansongs
    #gospelsongs
    #nyimbo za ROHONI

Комментарии • 463

  • @jacklinaluoche9109
    @jacklinaluoche9109 17 дней назад +30

    Mtumishi nimekwa nikipitia mambo magumu sana,mume wangu alitoka nyumba sai miezi tano,watu wakwao wote wananipiga vita,niliwachwa na mtoto wa mwaka moja,kuna wakati nilitami kujiuwa na mtoto kwa nyumba,nilifika mwisho,lakini nilipoañza kuskiza nyimbo zako,sai nimejipata niko na nguvu na tumaini kila kitu kitakwa sawa.ukweli mungu ni muweza wa yote,vita ni vyake milele❤❤❤may God bless man of God

    • @RICHARDSOKANYA
      @RICHARDSOKANYA 14 дней назад +2

      Amen sister

    • @PAMELAOLUBUYI
      @PAMELAOLUBUYI 11 дней назад +1

      My sister, you have a God in heaven wachana nayeye your life is very important keep praying and in you, you are capable. What can you do as a person? What talent do you have ? Find something that you can do that can bring you money and joy time will tell. Let him go my dear move on

    • @Tecysony
      @Tecysony 9 дней назад +1

      Amen 🙏🙏 dear what God can no one can do continue praying and even fasting like from 6am to 6pm and God will release his favour to you 🙏🙏🙏

    • @irenkutai236
      @irenkutai236 3 дня назад

      It's all about you God

    • @JoelAngango
      @JoelAngango 10 часов назад

      God has a good plans with you my sister

  • @millicentambuso3163
    @millicentambuso3163 25 дней назад +91

    Yesu shuka unipinganie unishindanie kwa kila jambo amblo liko mbele yangu,,shuka unilindie watoto wangu vijana wangu na ndoa yangu pia mikononi mwako 🙏🙏🙏🙏🙏 wazazi ndugu na dada zangu na rafiki wote na madui pia mikononi mwako 🙏🙏 nami apa Saud Arabia shuka unilinde in Jesus name 🙏🙏🙏

  • @DaughterofZion-r5g
    @DaughterofZion-r5g 18 дней назад +2

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu...when am trouble l used to listen to these music l feel like am in heaven ❤

  • @CollinsOuna
    @CollinsOuna 5 дней назад +3

    Yesu shuka ukumbuke ndoa yangu na ufungue uzao wangu, natamani pia kuitwa mama kama wenzangu nimechoka kusemwa, futa machozi yangu nianze ukurasa mpya wa furaha katika maisha yangu🙏🙏🙏

    • @JoelAngango
      @JoelAngango 10 часов назад +1

      Mungu akuondolee kila aina ya aibu na akutetee

  • @AliceMarius
    @AliceMarius 4 часа назад

    Yesu shuka Umrudishe baba wafamilia James arudi nyumbani kwafamilia yake.Chochote kilichomshikilia kimwachie kwajina la Yesu

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 13 дней назад +1

    Glory to God, I can't stop listening to your songs .Be blessed savernt of God.

  • @danielsifuna7377
    @danielsifuna7377  25 дней назад +42

    KUNA TUMAINI KUTOKA KWA MUNGU KWA YEYOTE ANAYESIKIZA NYIMBO HIZI.
    USIKATE TAMAA KWA YOTE UNAYOPITIA LEO HII.
    YAWEZAKUWA NI MAZITO KWAKO LAKINI KWA MUNGU YANAWEZEKANA.
    JIPE MOYO TU NA UMWOMBE MUNGU.
    Kwa yule ambaye Hana kazi, naomba Mungu akuongoze Kila mahali unapoenda kutafuta ajira upate kibali.
    Roho ya kukataliwa ishindwe katika Jila la YESU.
    Wewe ambaye unafanya kazi na huoni mapato yako, Kila unapopata mshahara kunatokea janga Fulani pesa inapotelea huko., Mungu akuonekania na akumbuke maono Yako.
    Kuna nguvu za Mungu KATIKA NYIMBO HIZI.
    Ziimbe Kwa imani na umlilie Mungu. Kuna jambo Mungu atatenda ambalo wewe mwenyewe hutaamini.
    MUNGU AWABARIKI.
    Kwa shukrani/ support Yako MPESA 0746298853
    Mungu AWABARIKI..❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @JudithAuma-p6l
    @JudithAuma-p6l 9 дней назад +1

    Mungu shuka Kwa maisha yangu ukaokoe maisha ya watoto wangu wanapitia shida

  • @tabithalsutaisuta6285
    @tabithalsutaisuta6285 25 дней назад +7

    Amen yesu shuka hakika bila wewe sitaweza be blessed

  • @user-wv1pb8bi8p
    @user-wv1pb8bi8p 16 дней назад +1

    God this is my end manifest youself and my life as I listen to this song

  • @alfredmulu2981
    @alfredmulu2981 25 дней назад +6

    Kupitia hizi nyimbo zako huwa nabarikiwa sana .....naamini mungu yuko endapo nitashindwa mungu atanitumia msaidizi in Jesus....God bless you mtumishi

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he 16 дней назад +3

    Yesu shuka ni kualezee ninayo pitia mimi😢😢

  • @mishealmukwana1068
    @mishealmukwana1068 3 дня назад

    Mungu shuka kwenye maisha yangu na familia yangu pamoja na watoto wangu napitia magumu ambayo yananifanya nakosa matumaini bila wewe bwana sitaweza shuka ukanipiganie familia yangu jicho lao ni kwangu mm mungu nibariki niweze kusimama nao bila kukosa matumaini tananio langu nkuona wazazi wangu kwenye hali ya furaha wafute mavhozi na uwape tamanio la moyo wangu tufungulie njia ya mapato tuweze kujikimu wenyewe shuka jehova ututendee yaliyo makuu

  • @EverlyneJuma-b4m
    @EverlyneJuma-b4m 17 дней назад +3

    Najipa imani na matumaini kua utashuka kwa ajili ya ndoa yangu yesu, japo yanaumiza moyo lakini yesu shuka nikuone ukitenda ili utukufu ukurudie wewe mungu,

  • @yunispatrick8613
    @yunispatrick8613 21 день назад +2

    Wastahili kuabudiwa, hakuna mwingine kama wewe,Pokea sifa na Utukufu ee Mungu wangu,maana ni wewe tu 🙏🙏 Glory be to God 🙏

  • @user-xz6wb1hp7n
    @user-xz6wb1hp7n 10 дней назад +1

    Yesu shuka unipanguse macho haya nimechoka 😭

  • @reniceagira3232
    @reniceagira3232 11 дней назад +2

    Kweli nimetoka mbali na yesu. Naomba usiniache. Nimebarikiwa sana nahizi worship songs. Keep it up mutumishi wa mungu

  • @nancysamaria
    @nancysamaria 18 дней назад +1

    Nitaenda Kwa Nani bwana kama siyo kwako😢😢😢😢😢 am so touched and blessed with the worship 🙏🙏

  • @kishoshamakoye9015
    @kishoshamakoye9015 2 дня назад

    Yesu kristo Bwana wa bwana nilinde katika magumu ninayo pitia

  • @user-pb8bh3rn4o
    @user-pb8bh3rn4o 10 дней назад +1

    I need you lord nipanguze chozi la moyo wangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @CarmodyMwafwalo-gr4rc
    @CarmodyMwafwalo-gr4rc 21 день назад +2

    Ubarikiwe MTUMISHI WA MUNGU , hakika hata kama mtu alikuwa anaumwa akisikia nyimbo hizi anapona , MUNGU wetu ainuliwe.

  • @KevinAgabo
    @KevinAgabo 3 дня назад

    Ooh LORD MAY U REMEMBER US WHEREVERWE ARE
    MAY U STAND ON MY SIDE KILA WAKATI
    🙏🙏🙏

  • @user-se8vq2cb3p
    @user-se8vq2cb3p 2 часа назад

    Parikiwa mujungaji akika aliona ziesi 🙏🙏🙏

  • @arnoldisiaho
    @arnoldisiaho 13 дней назад +1

    I have much to say,, but all in all,, AMEEN AMEN AMEN.

  • @tabithalsutaisuta6285
    @tabithalsutaisuta6285 25 дней назад +2

    Mtumishi wa Mungu hakika nyimbo zako nizanijenga kiroho Mungu azidi kukupa kibali unapoenda kuimba pia tukumbuke kwa maombi maadui ni wengi

    • @danielsifuna7377
      @danielsifuna7377  25 дней назад

      Amen amen amen. Nitawakumbuka🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @ElizabethChiza-z7l
    @ElizabethChiza-z7l 5 дней назад

    Mungu akubariki sana kwa utume nashukuru sana nyimbo nzinanigariji sana nipo safarini MUngu atulinde tufike salama

  • @user-nr3rg8do1d
    @user-nr3rg8do1d 5 часов назад

    Amen and Amen thank you Jesus you know my life Jehovah I will continue praising your name Jehovah may the almighty God bless you all and may he add you people more anointing to worship his name 🙏🙏🙏 it really makes me to remember a lot🙏🙏🤱🤱🤱😭😭🤱🤱 stay blessed 🙏🙏🙏

  • @maureengombe7547
    @maureengombe7547 9 дней назад +1

    Nmetoka mbali this album blesses mi much.zidi kunipigania yesu shuka na usiniache

  • @AliceMarius
    @AliceMarius 4 часа назад

    Ninayopitia nimengi Yesu wangu usiniache poke yangu

  • @kevok.k2119
    @kevok.k2119 День назад

    mungu na akubariki na uzidi kutubariki na nyimbo zako shallom.

  • @user-yv1zh5wh8f
    @user-yv1zh5wh8f 19 дней назад +1

    Nakungojea yesu wangu ukashuke na kunifungulia njia mpya ya maisha yangu,,,heal my heart dear God....barikiwa the servant of God

  • @Paulinenekesa-z1t
    @Paulinenekesa-z1t 13 минут назад

    Thanks very much for the song truly God is our helper

  • @LydiaMuriongo-nu8nr
    @LydiaMuriongo-nu8nr 13 дней назад +1

    Nitembelee,Nitumie Msaada ,Uliona sitaweza ukamwabia Yesu Shuka Nitasimama kwenye Mnara zinanipa Tumaini Ipo siku Amen Amen 🙏🙏

  • @ThomasMariko-pp8fq
    @ThomasMariko-pp8fq 14 дней назад +1

    Iam blessed hizo nyimbo zimeniguza hadi roho mtakatifu ameshuka mjungaji ubarikiwe

  • @faithe4063
    @faithe4063 24 дня назад +6

    Hallelujah hallelujah Asante kweli kwa worship nzuri kama hii ata malaika wa Mungu ushangilia kweli

    • @dominicmuoki
      @dominicmuoki 13 дней назад +1

      Aki nikisikiza huu wimbo unanibariki sana sana..hadi naona malaika wakinishukia Jesus!..mungu niponye moyo wangu nimeteseka vya kutosha..mungu atasikia kilio cha kila mmoja anayesikiza huu wimbo na uzidi kubariki huyu mtumishi. Amina .

  • @ronaldmotari1128
    @ronaldmotari1128 21 день назад +1

    Kweri tu mungu wetu ni mwaminivu kuliko binadamu yeye alisema ndio nikapona glory to God

    • @jacquie329
      @jacquie329 21 день назад

      Hallelujah. He is the Lord our Healer

  • @mishealmukwana1068
    @mishealmukwana1068 3 дня назад

    Wale walio kalia maisha yeyu na kusema wanataka kuona mahali tutafika acha leo baba yale wanayo kiri kutoka kwenye kinywa chao iweze kuwahaibisha hawana mamlaka katika maisha yetu hawana uwezo kwenye kuishi kwetu bali baba ww ndiwe tegemeo tenda yaliyo makuu

  • @JaredNyakundi-h2y
    @JaredNyakundi-h2y 17 дней назад +4

    very powerful song and a blessed one thank u bro

  • @CarolMumbua-wx9kb
    @CarolMumbua-wx9kb 4 дня назад

    Amen mtumishi unazidi kunibariki na nyimbo zako

  • @user-ye6dd1cx3h
    @user-ye6dd1cx3h 3 дня назад

    Wewe ndiwe mungu baba nahitaji msada wko ni mengi ninayo pitia baba japo kuna wakati na shindwa na hii maisha baba ila nikifiria watoto wangu mm ndio kla kitu katika maisha hpo ndio huona napata ujasri wa kusima na kumwambia mungu nisaidie 🙏🙏🙏🙏

  • @celestinenatulukucheto-gg7ti
    @celestinenatulukucheto-gg7ti 17 дней назад +1

    Maumivu ya mwili wangu baba ww wajua niponye mungu isiniaje

  • @Kennedymngundi
    @Kennedymngundi 10 дней назад +1

    God bles you,you're a good songs keep it up

  • @PierreBukasa-fu3yx
    @PierreBukasa-fu3yx 19 дней назад +1

    Nabalikiwa Sana ninaposikiliza nyimbo hizi mtumishi danieli, nikiwa safarini drc, barikiwa Sana ndugu wote mnaofuatilia nyimbo hizi, aamen,

  • @AdsAfss
    @AdsAfss 25 дней назад +2

    Dorcas from saudia ❤❤ akika nimeona akishika kwangu hoo my God pst BarikiwA sana nyimbo zako zinanifutia sana kwa kaza nyumgu nasikiza izi nyimbo zako

  • @user-ed7ow6ds2p
    @user-ed7ow6ds2p 16 дней назад +1

    barikiwa sana mtumishi nyimbo zako zinanitia nguvu sana na kuniondolea fikra mingi na strees, thank you be blessed

  • @CherotichVerotyMumbavin
    @CherotichVerotyMumbavin 16 дней назад +2

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @agnesnyaboke-ex6lx
    @agnesnyaboke-ex6lx 6 дней назад

    Ameen ameen yesu shuka kwa kazi ya mikono yesu unaitahili bwana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AshSheyrl
    @AshSheyrl 24 дня назад +1

    At longlast umeeka hii wimbo yanibariki continue preaching the gospel it's fire hata kuisikiliza tu alone unaskia tu mbigu zinashuka pongezi endelea hivo hizi nyimbo zako zinasaidia wenye awajui kuomba barikiwa sana sasa❤🙏🙏🙏

  • @masibojackline2519
    @masibojackline2519 18 дней назад +1

    Amen thank you Jesus 🙏🙌🙌🙏❤️

  • @GeofreyMwanzia-n8k
    @GeofreyMwanzia-n8k 18 дней назад +1

    Amen 🙏 🙏 be blessed

  • @Theefavoured
    @Theefavoured 22 дня назад +1

    Yesu shuka utazame machozi yangu 😪😪😪

  • @PaulineBosiborl
    @PaulineBosiborl 2 дня назад

    God bless u mtumizi wangu (baba usiniache pekee yangu baba

  • @PhennyNgoli
    @PhennyNgoli 17 дней назад +1

    Glory to God, be blessed servant of God. Uwepo wa Mungu washuka

  • @Judyse
    @Judyse 22 дня назад +1

    Number 1 and 5 😭😭😭..... Thank you so much for such a powerful worship

  • @SyliviaKhaviri
    @SyliviaKhaviri 3 дня назад

    Leo sijenda church but naskiza hizi worship and i feel like nko church ndani ubarikiwe sana tena sana

  • @lebaokinda6009
    @lebaokinda6009 25 дней назад +1

    Asante Mungu, kwa umbali uliko nitoa, sio kwa nguvu zangu wala sikwa uwezo wangu, ila nikwa uwezo wako na nguvu zako, ndio maana nimefika hapa nilipo. Nami sitaacha kukushukuru. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, nyimbo zako zina nitia nguvu

  • @AmaniEliyasi
    @AmaniEliyasi 11 дней назад +1

    Ukimuamini mungu Akawa kalibu na maisha yako lazma ufanikiwe kila kitu kinakuw chepesi kwako❤

  • @carolinekimaiyo1781
    @carolinekimaiyo1781 25 дней назад +1

    Kweli unastahi kuwabudiwa sikudhani nitafika mahali niliko sai asante mungu kwa yote ulinitendea niliachwa na watoi wadogo sana nashukuru mungu ikuwa rahisi kulea watoto bila baba😢😢😢

  • @KemuntoGladys
    @KemuntoGladys 3 дня назад

    Baba shuka katika maisha yangu Jehova nakuitaji 😢😢

  • @BrownyNaiyia
    @BrownyNaiyia 15 дней назад +1

    Amen.... amen...amen.

  • @titusmutungi9407
    @titusmutungi9407 18 дней назад +2

    Akikaa MUNGU nitumie msaada

  • @Jackline-k5t
    @Jackline-k5t 8 дней назад

    Ameen moyo wangu bwana nitumie masaada utakao tuliza moyo

  • @jacquie329
    @jacquie329 12 дней назад +2

    Hallelujah. Uliona Niko peke yangu ukamwambia Yesu shuka.❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @elizabethmoraa5566
    @elizabethmoraa5566 6 дней назад

    Thanks man of God be blessed move on praising our Lord .

  • @EdinahMuronji
    @EdinahMuronji 7 дней назад

    Be blessed mchungi nyimbo zako naskilaza kila siku

  • @dominicmuoki
    @dominicmuoki 13 дней назад +1

    Zidi kupokea upako mtumishi wa mungu..mimi silali bila kusikiza nyimbo zako za kubariki..umekomboa mioyo mingi ya watu na pia kufanya wengi kumkimbilia Bwana na maisha yao kukombolewa. Asante sana mtumishi keep it up bro for being ambassador of Jesus christ through spreading true gospel saving souls of many. You are the light in our hearts..receive grace, honour and blessings in Jesus Mighty name. Thank you so much and be blessed forever.❤

  • @user-zm8cu6ow2q
    @user-zm8cu6ow2q 25 дней назад +3

    Yesu shuka unipiganie vita mimi pekee yangu sitaweza 😢😢 Amen 🙏

  • @ivylau5604
    @ivylau5604 25 дней назад +2

    Yesu shuka kwa familiar yetu na utende maajabu ondoa aibu na utupee heshima ili jina lako ijulikane

  • @JOYNaswa
    @JOYNaswa 17 дней назад +2

    Mungu nitumie msaada

  • @elijahwanyonyi001
    @elijahwanyonyi001 25 дней назад +1

    Actually Mungu akupe miaka mingi katika uimbaji wako kwa kweli nyimbo zako hunibariki sana ningelipenda siku moja nikuone life hata nikashiriki nawe kanisa liko wapi❤❤❤❤❤

  • @AnnaFwamba
    @AnnaFwamba 8 дней назад

    Asante ndungu kwa nyimbo za kunitia moyo katika magumu napitia

  • @evalynekibutit6267
    @evalynekibutit6267 18 дней назад +1

    Amen.Tumaini langu ni kwa Mungu Baba na Yesu mwokozi wa ulimwengu.

  • @cynthiakerry3865
    @cynthiakerry3865 3 дня назад

    Listening to this while in Saudi Arabia 😊😊on first Sunday of September ❤I'm blessed 🙏🙏 I feel God has sent me angles to help me finish my second contract 💖💖🥰🥰🥰🙏

  • @leah606
    @leah606 11 дней назад +1

    Hallelujah 🙏🙏🙌

  • @christinemusau7144
    @christinemusau7144 13 дней назад +1

    I love listening to u

  • @marydodea9518
    @marydodea9518 14 дней назад +1

    Wastahili kuwabudiwa na kupewa sifa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @alfredmelli2115
    @alfredmelli2115 19 дней назад +1

    This worship 😭😭😭😭😭😭 this humble my heart powerful 🙏🙏🙏

  • @denniskambi3647
    @denniskambi3647 19 дней назад +1

    Barikiwa sana Nabii Sifuna.Huu wimbo umeniguza roho sana ukanikumbusha jinzi yesu alitukufia msalabani tuweze kupata uokovu.

  • @NanjalaLusweti
    @NanjalaLusweti 15 дней назад +1

    Uinuliwe katika huduma hii❤

  • @JackeyMasara
    @JackeyMasara 21 день назад +1

    Amen and amen 🙏

  • @JosephMutuamwanzia
    @JosephMutuamwanzia 19 дней назад +1

    God bless you

  • @Brendah_m
    @Brendah_m 23 дня назад

    Be blessed servant of God thru your songs I normally raise up when my faith is low

  • @jacquie329
    @jacquie329 24 дня назад

    Welcome Lord Jesus to our.. families, our work place and in our. Careers for you are Our Prince of Peace. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DeniceOdhiambo-ws1od
    @DeniceOdhiambo-ws1od 6 дней назад

    Nahisi uwepo wa mungu.ubarikiwe sana

  • @CateNgei
    @CateNgei 12 дней назад +1

    Amen be blessed man of God

  • @user-nn5zh3lb3d
    @user-nn5zh3lb3d 22 дня назад +1

    Amina kaka na barikiwa sana Kila ninaposikiliza nyimbo zako nahisi TUMAINI jipya ndani yangu mungu azidi kukutunza mtumishi wa mungu

  • @SusanDismas
    @SusanDismas 13 дней назад +1

    Be blessed man of God 🙏

  • @mbonimkamba3660
    @mbonimkamba3660 7 дней назад

    Yesu shuka unisitili na Aibu hii nitetee Yesu🙏

  • @BrendaNtinyari-z2s
    @BrendaNtinyari-z2s 11 дней назад +2

    Amen amen 🙏🙏🙏 mungu moyo wangu waumia nitumie msaada Baba yangu🎉🎉🎉🎉

  • @davleenobwora2056
    @davleenobwora2056 25 дней назад +3

    God bless u richly for blessing others at the time of their dark moments😢😢

  • @samuelkinyamu1186
    @samuelkinyamu1186 23 дня назад +1

    Songs of sifuna ever blesing

  • @JoyceAnyonje
    @JoyceAnyonje 18 дней назад +1

    Thanks sana nyimbo zako hunitia moyo,ata kama nimekata taama kwa maisha yangu

  • @dianamakaka4049
    @dianamakaka4049 24 дня назад +1

    Shuka yesu uniponye licha ya kwamba mimi ni mwenye dhambi

  • @EvalineBisikwa
    @EvalineBisikwa 19 часов назад

    Hallelujah Hallelujah Hallelujah glory back to God

  • @Mwx-zd4ov
    @Mwx-zd4ov 25 дней назад +1

    😭😭😭😭😭ni ww bwana ujue maisha yangu bwana nisaidie

  • @WatsembaBetty-e3x
    @WatsembaBetty-e3x 24 дня назад

    Twende juu bikuni Amen am blessed may God bless you man of God we will sing hallelujah wow the best worship nonstop Amen 🙏 Amen 🙏 be blessed yaya much love from mbale 🇺🇬 uganda 🇺🇬

  • @centrinenafula5147
    @centrinenafula5147 25 дней назад +1

    I'm back again to thank Almighty God for answered prayers🙏🤲🙌

  • @nabusobasuzie4440
    @nabusobasuzie4440 23 дня назад

    Hallelujah Hallelujah glory to GOD dear thanks allot 🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️😰😰😰😰😰😭😭

  • @MildredMusee-jo5lr
    @MildredMusee-jo5lr 10 дней назад +1

    Barikiwa mtumishi wa mungu maana wimbo huu unanibariki sana

  • @maryyohana4586
    @maryyohana4586 22 дня назад

    Mungu akubariki Mtumishi kwa nyimbo zilizo jaa Upako wa Roho Mtakatifu ni maombi tosha Mungu atusaidie sana katika dunia uwanja wa fujo,vita Mungu tutumie Msaada.