Holy Trinity Studio - Wosia ( Official Music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • КиноКино

Комментарии • 769

  • @yasintamakongoro9458
    @yasintamakongoro9458 3 года назад +9

    Najivunia kuwa mkatoriki

  • @achileskinono8602
    @achileskinono8602 3 года назад +80

    Naomba like yako kama bado unausikiliza wimbo huu

  • @dastanshega4343
    @dastanshega4343 4 года назад +47

    Ubarikiwe mtunzi
    Ubarikiwe pianist
    Mbarikiwe waimbaji
    Nimeipenda sana hii
    Imenifanya nione fahari juu ya kanisa takatifu katoliki la mitume.

  • @nestersanga7466
    @nestersanga7466 4 года назад +13

    Ujumbe mzuri kuna jirani kanikwaza nimrjikuta nafarijika mno. Kujua kusehe

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 6 месяцев назад

      Jamaaaaaani dada Nestaaa, dunia inapita...msamehe bure ila mshauri pia

  • @josphatmanyange3128
    @josphatmanyange3128 3 года назад +7

    Nyimbo tamu tamu sana Wanakwaya wenzangu but Tanzania mko juu sana, Mwenyezi Mungu na awabariki sana pia padre wenu. Kenya twawatapua sana

  • @philomenakiilwa3033
    @philomenakiilwa3033 4 года назад +21

    Usikubali kukosana na mtu!!!!🙌🙌🙌🙌🙌 Mungu awatie nguvu muendelee kuinjilisha

  • @sylviashiundu382
    @sylviashiundu382 3 месяца назад +2

    2024 Nmerudi kusikiza wosia❤❤❤

  • @christampanju6805
    @christampanju6805 4 года назад +22

    Dunia inapita achana na mambo yake...mbarikiwe sana waimbaji kwa kuinjilisha❤❤

  • @shaibuemmanuel191
    @shaibuemmanuel191 3 года назад +7

    Fahari ya Mtukula ...Wimbo Umetulia na Umefikisha Ujumbe Uliokusudiwa...Ahsanteni Sana

  • @kakulwa
    @kakulwa 3 года назад +6

    Nawapongeza mmefanya utumishi. Endeleeni na mausia kwa jamii. Mungu awabariki🙏

  • @josehenry7333
    @josehenry7333 3 года назад +19

    Hongereni kwa wimbo mzuri na mavazi mazuri mungu awabariki.

    • @johnlimbu-bl4pi
      @johnlimbu-bl4pi Год назад

      Hongereni sana wana kwaya kwa wimbo mliyo imba mungu awabariki maana imenigusa sana 😃😆

  • @scolasticaadam7403
    @scolasticaadam7403 Год назад +1

    Hongereni sana kwa wimbo mzr

  • @yohanagabriel8554
    @yohanagabriel8554 2 месяца назад +4

    Tusiishie kusikiliza,tuufikishe ujumbe huu katka familia zetu,hasa kwa watoto wakike.

  • @mutiejulius2811
    @mutiejulius2811 4 года назад +27

    Wimbo wenye wosia kamili ,,,napendezwa na huo wimbo sana ,,hapa Kenya mwapendwa sana ,,,proud to be a Catholic

  • @donchibya2012
    @donchibya2012 4 года назад +12

    Wameimba vizuri, pia kuna Ubunifu safi kabisa 👏👏👏

  • @vjsteve2546
    @vjsteve2546 3 года назад +3

    Wow! Wosia mzuri kweli...Mungu Mwenyezi akawanehemeshe zaidi waimbaji wa MT. DAUDI

  • @faustinejulius9197
    @faustinejulius9197 4 года назад +9

    Wimbo mzuri sana nimepata faraja moyoni mwangu nimejifunza vingi kupitia wimbo huuuu

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 3 года назад +3

    Mwakola mno, nmewaona watu wa nyumban wote nawafahamu, ila hii nyimbo ni nzuri sana, jitahidi kuitangaza itawatoa kwa kufahamika zaida

  • @dativakimaro7640
    @dativakimaro7640 4 года назад +9

    Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu,
    Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up

  • @samwelsoka7179
    @samwelsoka7179 Год назад +9

    And the world we shall pass try to live everyone with peace❤❤❤ (waebrania 12:14)

  • @renatusmatungwa6800
    @renatusmatungwa6800 4 года назад +7

    Hongereni wimbo mzuri sana

  • @elizabethkapinga2273
    @elizabethkapinga2273 Месяц назад +1

    I proud to be catholic, Mubarikiwe kuelimisha jamii. Mungu wa Mbinguni Awabariki Sana!

  • @MhagaleWegoro
    @MhagaleWegoro Год назад +5

    Wimbo huu una maudhui mazito sana,hongera sana mtunzi na wanakwayawote

  • @marthakissima3335
    @marthakissima3335 3 года назад +29

    Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo ,nimebarikiwa sana,Mungu azidi kuwainua jamani🙏🙏🙏😘😘😘

  • @evastellakawira981
    @evastellakawira981 2 года назад +16

    I love this one million times
    I can listen to it a whole day 😉 Tanzania mmbarikiwa lot of love from Kenyans

    • @bibianamaisiba2477
      @bibianamaisiba2477 Год назад +1

      Soo touching indeed..be blessed Tanzania...nice message indeed..sooo wooow(◍•ᴗ•◍)❤

    • @albinMasawe-ix1cb
      @albinMasawe-ix1cb 7 месяцев назад

      Mbarikiwe kwa wimbo mzuri sana hakika nimeinjoy

  • @talikisiomlegehe7733
    @talikisiomlegehe7733 3 года назад +1

    Safi Sana

  • @msokasgallery8323
    @msokasgallery8323 4 года назад +6

    Good song, good message. I hope akina Nyamwi wamesikia. Nanyi Holly Trinity mmh...Yaani hata hamkosei!! Nitawatafuta brothers.

  • @MandelaMaweza
    @MandelaMaweza Месяц назад

    Hongeren sana kwawimbo mzuri wenye ujumbe juu yake napia kusikiza kila mara

  • @johnmathias8172
    @johnmathias8172 Год назад +1

    Hakika kupitia huu wimbo nipo shule ninakiri kuupokea wosia huu nitauishi nakuufanya kuwa taa na Nuru katika maisha yangu yote

  • @deogratiusngereza4002
    @deogratiusngereza4002 4 года назад +3

    fantastic Catholic song nimebarikiwa sana

  • @YvoneAmoit
    @YvoneAmoit 15 дней назад

    Proud to be a catholic.......nyimbo nzuri sana ya maadili, mubarikiwe tena sana 🙏🙏🙏

  • @arnoldrutaihwa3596
    @arnoldrutaihwa3596 3 года назад +6

    Wimbo safi kabisa...
    Sauti safi kabisa..

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 3 года назад +5

    Sauti safi
    Mavazi safi
    Utunzi safi,
    Kinanda safi
    Ujumbe safi
    Mbarikiwe sana, mwakola muno

  • @LaudisLiveti
    @LaudisLiveti 2 месяца назад

    Hongeren sana wanakway natutayafanyia kaz mafundisho mliyotupa kweny hu wimbo ❤❤

  • @MwinukaAmbrose
    @MwinukaAmbrose 5 месяцев назад

    Daah asanteni Waimbaji, nyimbo nzuri mno

  • @mpipiasenga2848
    @mpipiasenga2848 Год назад +2

    Eeeehhh,Nimesikia wimbo wenye Maneno Makubwa kweli kweli, Mungu Azidi kuwasaidia kweli,Mubarikiwe Sana,

  • @lazarodaudi1689
    @lazarodaudi1689 Год назад +3

    Hongereni sana Vijana wa Mutukula, wimbo mzuri sana 👏👏👏👏💕💕💕🔥🔥🔥

  • @JaphetPazia
    @JaphetPazia 5 месяцев назад

    Nabarikiwa sana nawimbo huu mungu awabariki sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😊😊

  • @joeeinsteinogik1336
    @joeeinsteinogik1336 3 года назад +12

    Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe Kwaya yetu ya MT. Daudi Parokia ya MT. Yuda Thadei-Mutukula 🔥🔥🔥

    • @reginaregina2702
      @reginaregina2702 Год назад +1

      Wimbo mziri sana mara nyingi nausikiliza

    • @herimariabeda4009
      @herimariabeda4009 Год назад +1

      Najivunia ukatoliki

    • @ElizabethShabani-bo5rn
      @ElizabethShabani-bo5rn 8 месяцев назад

      😵😵😵😵😵😵😵😵🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😒😒😒😒😒😒😒🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢

  • @EmmanuelaPaulo
    @EmmanuelaPaulo Год назад

    Hongereni kwa kazi nzuri mungu awabariki sana nimeupenda wimbo jamani

  • @perpetuahmungai5988
    @perpetuahmungai5988 4 года назад +12

    Wimbo mtamu Sana, wenye mawaidha mazuri. Hongereni wanakwaya wa Mt. Daudi. Holy trinity you've done it again, good job and Mungu awazidishie baraka zake. Nawapenda tu Sana.

  • @BelinaRwebugisa
    @BelinaRwebugisa 27 дней назад

    MUNGU ni mwema Sana.mbarikiwe kwa ujumbe mzuri 🙏🙏🙏

  • @maryngina2295
    @maryngina2295 2 года назад +11

    Can't get enough of this song, very educative song. May God bless with greater minds for more ones. Mary ngina from machakos Kenya

  • @felixmartin5051
    @felixmartin5051 8 месяцев назад

    Hongereni sana wanakwaya nyimbo hii nzuri sana

  • @MandelaMaweza
    @MandelaMaweza Месяц назад

    Hongeren sana kwawimbo mzuri wenye ujumbe juu yake

  • @julianangimba3927
    @julianangimba3927 Год назад

    Daaaah wimbo huu jamani mtamu kupitiliza. Hongera nyingi mno kwa mtunzi. Naomba namba yake simu👏👏💪💪👍

  • @djontogoro5975
    @djontogoro5975 3 года назад

    Hongera wimbo una mafundisho tele

  • @davidkasala5727
    @davidkasala5727 Год назад +1

    Amen 🙏,,,,,,,,,,,,mwaka mwingne Pia unakarbia nazid kubarikiwa kutpia huu wimbo ,,,,,,#I wish merry Christmas #

  • @justinapius8286
    @justinapius8286 Год назад

    Naupenda Sanaa huu wimboo Amina mung niongozee katik maisha angg

  • @carolanita5015
    @carolanita5015 4 года назад +5

    Wimbo mzuri sana asanteni

  • @ElizabethMusyoka-go7eh
    @ElizabethMusyoka-go7eh 3 года назад +5

    Hongera kwa wimbo mtamu na wenye mawaidha mazuri mno kwa watoto wangu..nimeucheza mchana wote Hadi nikatamani kufika nyumbani Kenya na Tanzania

  • @cevinmlimira6303
    @cevinmlimira6303 3 года назад

    Wosia uliojaa ujumbe mzito, kweli mmetisha.

  • @josphatbundi7654
    @josphatbundi7654 2 года назад +2

    Wimbo mtamu kwa maudhui na sauti zilizolainishwa.Vyombo vilivyo lainishwa na visivyo na kelele💙💙💙👍👍

  • @SesiliaGwasma
    @SesiliaGwasma 10 месяцев назад

    Wosia mzuri ssna keep it up

  • @Aaryahpro2022
    @Aaryahpro2022 4 года назад +7

    Kaka mutongore Ni Moto mwingine huu baada ya birthday yako kupita mwaka mwingine wa mafanikio hongera sana

    • @kaigamutongore8791
      @kaigamutongore8791 4 года назад

      Asante sana Elton.. Ubarikiwe saana

    • @wachirasammy694
      @wachirasammy694 4 года назад

      @@kaigamutongore8791 kaka hongereni sana.
      Naomba nota za huu wimbo

    • @Aaryahpro2022
      @Aaryahpro2022 4 года назад

      @@kaigamutongore8791 tuko pamoja kaka

    • @joshuasarutwe2412
      @joshuasarutwe2412 4 года назад

      HONGERENI SANA FROM MWL. JOSHUA S SARUTWE(MTAMBO MAN)

    • @joshuasarutwe2412
      @joshuasarutwe2412 4 года назад

      OGANIST NI NANIIII HAPOOO( DVD TUNAOMBA NA OGANIST AONEKANEEE HAPOOO)

  • @LOSEPICHOBENEDICT
    @LOSEPICHOBENEDICT 8 месяцев назад +1

    Encouraging song mtumishi Anastasia..kongole naye Mungu akujalie miaka nyingi ya utumishi 🙏🙏

  • @picsandvidstv1348
    @picsandvidstv1348 4 года назад +3

    Wimbo mtamu kweli. Nimebarikiwa sana nikiwa hapa Kenya

  • @AminaAlly-fb1gx
    @AminaAlly-fb1gx 4 месяца назад

    Wimbo mzuriiii nimesikiliza zaidi ya mara tano

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 года назад +3

    Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @felixmartin5051
    @felixmartin5051 8 месяцев назад

    Mafunzo mazuri sana kwa watoto wetu hongereni sana

  • @gloriousnp
    @gloriousnp 4 года назад +9

    Wow, just WOW
    This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu
    Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*

  • @MalimaNyamsha-bg4pg
    @MalimaNyamsha-bg4pg 8 месяцев назад

    Nakupenda sn mbarikiwe waimbaji

  • @BelinaRwebugisa
    @BelinaRwebugisa 25 дней назад

    Mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri tumuimbie Bwana katika roho na kweli ❤🙏🙏

  • @collinssiyame223
    @collinssiyame223 Год назад +1

    Mungu azidi kuwabariki sana Alex kapirimposh 🇿🇲🇿🇲🇿🇲💓💓🌼

  • @ananiaaugustino7643
    @ananiaaugustino7643 3 года назад +2

    Kazi nzuri sana,Hii fundisho kubwa,Nimewapenda sana,Mama Bikira awaombee kwa Mwanae hekima na busara za nyimbo hizi zitufundishe

  • @NeemaBwire
    @NeemaBwire 5 месяцев назад

    Nafarijikaa sanaa kuskiaaa wimboooo huuuu❤❤❤

  • @JemimaAyuma
    @JemimaAyuma 2 месяца назад +1

    Maombi ya bamoja usaidia wemwenyewe unaeza kosa kujua shida yako kupitia kwamwingine unabona imani ya bamoja usaidia amen jion njema

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Год назад +1

    ❤❤watching from Kenya

  • @WilliamMalima-ic9fi
    @WilliamMalima-ic9fi 4 месяца назад

    Wimbo mzuri sana
    Ujumbe mzuri pia

  • @AnastaziaIsaya-mv5ht
    @AnastaziaIsaya-mv5ht 5 месяцев назад

    Wimbo una ujumbe mzuri Sana, mungu azid kuwabariki

  • @lelozaina8711
    @lelozaina8711 3 года назад

    Shauri nzuri sana ya mzazi kwa mwanae

  • @laurentfungwe211
    @laurentfungwe211 2 месяца назад

    Naipenda Familia ya Bugando Mungu awabariki sana katika uimbaji wenu 🎉🎉🎉

  • @GosbertRomward
    @GosbertRomward 2 месяца назад +1

    Ni wmbo mzuri sana inatufundisha tuwe watu wa kusamehe,hongera mtunzi

  • @EleonorahMshila
    @EleonorahMshila Месяц назад

    Nikiusikiliza wimbo huu, huwa nawish ningekua huko wanapouimba wimbo huu haki!

  • @neemaifunya8609
    @neemaifunya8609 4 года назад +6

    Wooow!! Hongereni Holy Trinity kwa kazi nzuriiii👍👍

  • @proscoviapastory3831
    @proscoviapastory3831 2 года назад

    Hongera sana mmetisha. Huu wimbo nakupenda sana.

  • @janekamandu9599
    @janekamandu9599 4 года назад +1

    Nyimbo nzuri wosia

  • @marylenmghoi2548
    @marylenmghoi2548 2 года назад +1

    I love this song .. Naplay kwa siku kaa Mara kumi .

  • @GetrudeMekere
    @GetrudeMekere Год назад

    Nimebarikiwa na huu wimbo Sana una ujumbe mzuri Mungu awabarik

  • @DinahnyanchamaMakori
    @DinahnyanchamaMakori 11 дней назад

    Amen
    Kusamehana tu hiya idiot data
    Hongera sana waimbaji❤

  • @ligobertwile6590
    @ligobertwile6590 4 года назад +4

    👏👏Mbarikiwe

  • @emmanuelbanni939
    @emmanuelbanni939 2 года назад

    Kazi nzuri sana hongereni kwa wote na Mungu awabariki

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +3

    Hongereni sana wanakwaya wa Mt Daud patokia ya Mt Yuda Thadei Mtukula Mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.

  • @hansbertmkonji8677
    @hansbertmkonji8677 4 года назад +5

    Holy trinity you are always the best. Yaan wimbo umenikosha Sana

  • @charlesupina6448
    @charlesupina6448 Год назад

    Imetulia husia ipp byeee nimeielewa vizuri sana

  • @norahndanzi4146
    @norahndanzi4146 Год назад

    Wimbo mzuri sana umenigusa hadi nimewaita wanangu wausikilize kwa kutulia

  • @NicksonShamala-r6b
    @NicksonShamala-r6b День назад

    Najivunia sana wimbo huu

  • @emanuelgerad7109
    @emanuelgerad7109 3 года назад

    Nyimbo nzur xan inanibalki xanatu love

  • @symphorianusmadatta2384
    @symphorianusmadatta2384 4 года назад +12

    Hongereni kwa uinjilishaji huu mzuri, ninaomba nota za wimbo huo wa WOSIA.

  • @AgnessPaschal-h1i
    @AgnessPaschal-h1i 4 месяца назад +1

    Nimefurai kwakusikiliza wimbo uhu ninzuri sana n'a niosia mzuri kwawatoto wetu naMungu awabariki sana walioimba wimbo uhu.

  • @martinnyinge2505
    @martinnyinge2505 Год назад +3

    I Love this song with all my heart. ASANTE MTUNZI, MAWAIDHA MUHIMU KWA MAISHA YA MWANADAMU.🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @simonaugustine4434
    @simonaugustine4434 2 года назад

    Very good song - hongereni ujumbe huo ni mzuri

  • @odenlubida1722
    @odenlubida1722 2 года назад

    Kiukweli nabarikiwa mno ninapousiliza wimbo huu mbarikiwe sana nyote.

  • @princessprisca8270
    @princessprisca8270 3 года назад +1

    Achana na urafiki. Urafiki mubaya . usije ukapotea dunia yenye giza 🥰🥰 asante sana 2mebalikiwa sana 🙏🙏🙏🙏 from tz 🇹🇿

  • @beatricesato151
    @beatricesato151 3 года назад

    Wimbo mtamuu...enyewe sameha mara sabini...sio vyema kuwa na kinyongo na MTU..mbarikiwe milele..nawapenda

  • @wemamndeme8709
    @wemamndeme8709 3 года назад +1

    Wow I like so much

  • @MasterPary-k6b
    @MasterPary-k6b 7 месяцев назад

    Wimbo nzuri Sana ubarikiwe

  • @EleonorahMshila
    @EleonorahMshila 10 месяцев назад

    Wimbo huu naurudia nikiurudia, kwani wosia Mwema kutoka kwa Baba akimpa mwanawe, unanigusa mno... Kisha hizo sauti zimepangwa vilivyo. Nashindwa kueleza zaidi! Mungu Abariki aliyeutunga, na waimbaji wote. Asanteni sana......

  • @kevintiraya6964
    @kevintiraya6964 2 года назад +2

    My mom words when i joined campus🙏🙏

  • @happymakweta2000
    @happymakweta2000 Год назад

    Napenda sana huu wimbo mbarikiwe sana