Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu, Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up
Wimbo mtamu Sana, wenye mawaidha mazuri. Hongereni wanakwaya wa Mt. Daudi. Holy trinity you've done it again, good job and Mungu awazidishie baraka zake. Nawapenda tu Sana.
Wow, just WOW This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*
Wimbo huu naurudia nikiurudia, kwani wosia Mwema kutoka kwa Baba akimpa mwanawe, unanigusa mno... Kisha hizo sauti zimepangwa vilivyo. Nashindwa kueleza zaidi! Mungu Abariki aliyeutunga, na waimbaji wote. Asanteni sana......
Najivunia kuwa mkatoriki
Naomba like yako kama bado unausikiliza wimbo huu
Wimbo mzur
2024
Nyimbo zenu tamu kweli 1:21
Hongeleni mbarikiwe sana
😊😊😊😊😊😊😊😂😊
Ubarikiwe mtunzi
Ubarikiwe pianist
Mbarikiwe waimbaji
Nimeipenda sana hii
Imenifanya nione fahari juu ya kanisa takatifu katoliki la mitume.
Mwenyeher Emmanuel dalzon
na abarikiwe sana daktari kwenye kinanda!
Asante
Ujumbe mzuri kuna jirani kanikwaza nimrjikuta nafarijika mno. Kujua kusehe
Jamaaaaaani dada Nestaaa, dunia inapita...msamehe bure ila mshauri pia
Nyimbo tamu tamu sana Wanakwaya wenzangu but Tanzania mko juu sana, Mwenyezi Mungu na awabariki sana pia padre wenu. Kenya twawatapua sana
Usikubali kukosana na mtu!!!!🙌🙌🙌🙌🙌 Mungu awatie nguvu muendelee kuinjilisha
2024 Nmerudi kusikiza wosia❤❤❤
Dunia inapita achana na mambo yake...mbarikiwe sana waimbaji kwa kuinjilisha❤❤
❤❤❤
Fahari ya Mtukula ...Wimbo Umetulia na Umefikisha Ujumbe Uliokusudiwa...Ahsanteni Sana
Nawapongeza mmefanya utumishi. Endeleeni na mausia kwa jamii. Mungu awabariki🙏
Hongereni kwa wimbo mzuri na mavazi mazuri mungu awabariki.
Hongereni sana wana kwaya kwa wimbo mliyo imba mungu awabariki maana imenigusa sana 😃😆
Hongereni sana kwa wimbo mzr
Tusiishie kusikiliza,tuufikishe ujumbe huu katka familia zetu,hasa kwa watoto wakike.
Wimbo wenye wosia kamili ,,,napendezwa na huo wimbo sana ,,hapa Kenya mwapendwa sana ,,,proud to be a Catholic
Wameimba vizuri, pia kuna Ubunifu safi kabisa 👏👏👏
Kazi nzur
Kabisaaa nmebarikiwa vyakutosha
Wow! Wosia mzuri kweli...Mungu Mwenyezi akawanehemeshe zaidi waimbaji wa MT. DAUDI
Wimbo mzuri sana nimepata faraja moyoni mwangu nimejifunza vingi kupitia wimbo huuuu
Mwakola mno, nmewaona watu wa nyumban wote nawafahamu, ila hii nyimbo ni nzuri sana, jitahidi kuitangaza itawatoa kwa kufahamika zaida
Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu,
Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up
And the world we shall pass try to live everyone with peace❤❤❤ (waebrania 12:14)
Hongereni wimbo mzuri sana
I proud to be catholic, Mubarikiwe kuelimisha jamii. Mungu wa Mbinguni Awabariki Sana!
Wimbo huu una maudhui mazito sana,hongera sana mtunzi na wanakwayawote
Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo ,nimebarikiwa sana,Mungu azidi kuwainua jamani🙏🙏🙏😘😘😘
Nyimbo zuri sana
@@venasiavicent5236 àà
Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️
Namimi pia 🙏🏾
@@venasiavicent5236m
I love this one million times
I can listen to it a whole day 😉 Tanzania mmbarikiwa lot of love from Kenyans
Soo touching indeed..be blessed Tanzania...nice message indeed..sooo wooow(◍•ᴗ•◍)❤
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri sana hakika nimeinjoy
Safi Sana
Good song, good message. I hope akina Nyamwi wamesikia. Nanyi Holly Trinity mmh...Yaani hata hamkosei!! Nitawatafuta brothers.
@@HOLYTRINITYSTUDIOS Amina. Nanyi mzidi kubarikiwa sana
Wondeful
Hongeren sana kwawimbo mzuri wenye ujumbe juu yake napia kusikiza kila mara
Hakika kupitia huu wimbo nipo shule ninakiri kuupokea wosia huu nitauishi nakuufanya kuwa taa na Nuru katika maisha yangu yote
fantastic Catholic song nimebarikiwa sana
Proud to be a catholic.......nyimbo nzuri sana ya maadili, mubarikiwe tena sana 🙏🙏🙏
Wimbo safi kabisa...
Sauti safi kabisa..
Sauti safi
Mavazi safi
Utunzi safi,
Kinanda safi
Ujumbe safi
Mbarikiwe sana, mwakola muno
Ukweli 😊
Hongeren sana wanakway natutayafanyia kaz mafundisho mliyotupa kweny hu wimbo ❤❤
Daah asanteni Waimbaji, nyimbo nzuri mno
Eeeehhh,Nimesikia wimbo wenye Maneno Makubwa kweli kweli, Mungu Azidi kuwasaidia kweli,Mubarikiwe Sana,
Hongereni sana Vijana wa Mutukula, wimbo mzuri sana 👏👏👏👏💕💕💕🔥🔥🔥
Nabarikiwa sana nawimbo huu mungu awabariki sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😊😊
Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe Kwaya yetu ya MT. Daudi Parokia ya MT. Yuda Thadei-Mutukula 🔥🔥🔥
Wimbo mziri sana mara nyingi nausikiliza
Najivunia ukatoliki
😵😵😵😵😵😵😵😵🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😒😒😒😒😒😒😒🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢
Hongereni kwa kazi nzuri mungu awabariki sana nimeupenda wimbo jamani
Wimbo mtamu Sana, wenye mawaidha mazuri. Hongereni wanakwaya wa Mt. Daudi. Holy trinity you've done it again, good job and Mungu awazidishie baraka zake. Nawapenda tu Sana.
Nimepeunda sana huu wimbo
MUNGU ni mwema Sana.mbarikiwe kwa ujumbe mzuri 🙏🙏🙏
Can't get enough of this song, very educative song. May God bless with greater minds for more ones. Mary ngina from machakos Kenya
Hongereni sana wanakwaya nyimbo hii nzuri sana
Hongeren sana kwawimbo mzuri wenye ujumbe juu yake
Daaaah wimbo huu jamani mtamu kupitiliza. Hongera nyingi mno kwa mtunzi. Naomba namba yake simu👏👏💪💪👍
Hongera wimbo una mafundisho tele
Amen 🙏,,,,,,,,,,,,mwaka mwingne Pia unakarbia nazid kubarikiwa kutpia huu wimbo ,,,,,,#I wish merry Christmas #
Naupenda Sanaa huu wimboo Amina mung niongozee katik maisha angg
Wimbo mzuri sana asanteni
Hongera kwa wimbo mtamu na wenye mawaidha mazuri mno kwa watoto wangu..nimeucheza mchana wote Hadi nikatamani kufika nyumbani Kenya na Tanzania
Wosia uliojaa ujumbe mzito, kweli mmetisha.
Wimbo mtamu kwa maudhui na sauti zilizolainishwa.Vyombo vilivyo lainishwa na visivyo na kelele💙💙💙👍👍
Wosia mzuri ssna keep it up
Kaka mutongore Ni Moto mwingine huu baada ya birthday yako kupita mwaka mwingine wa mafanikio hongera sana
Asante sana Elton.. Ubarikiwe saana
@@kaigamutongore8791 kaka hongereni sana.
Naomba nota za huu wimbo
@@kaigamutongore8791 tuko pamoja kaka
HONGERENI SANA FROM MWL. JOSHUA S SARUTWE(MTAMBO MAN)
OGANIST NI NANIIII HAPOOO( DVD TUNAOMBA NA OGANIST AONEKANEEE HAPOOO)
Encouraging song mtumishi Anastasia..kongole naye Mungu akujalie miaka nyingi ya utumishi 🙏🙏
Wimbo mtamu kweli. Nimebarikiwa sana nikiwa hapa Kenya
Wimbo mzuriiii nimesikiliza zaidi ya mara tano
Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Mafunzo mazuri sana kwa watoto wetu hongereni sana
Wow, just WOW
This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu
Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*
Nakupenda sn mbarikiwe waimbaji
Mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri tumuimbie Bwana katika roho na kweli ❤🙏🙏
Mungu azidi kuwabariki sana Alex kapirimposh 🇿🇲🇿🇲🇿🇲💓💓🌼
Kazi nzuri sana,Hii fundisho kubwa,Nimewapenda sana,Mama Bikira awaombee kwa Mwanae hekima na busara za nyimbo hizi zitufundishe
Nafarijikaa sanaa kuskiaaa wimboooo huuuu❤❤❤
Maombi ya bamoja usaidia wemwenyewe unaeza kosa kujua shida yako kupitia kwamwingine unabona imani ya bamoja usaidia amen jion njema
❤❤watching from Kenya
Wimbo mzuri sana
Ujumbe mzuri pia
Wimbo una ujumbe mzuri Sana, mungu azid kuwabariki
Shauri nzuri sana ya mzazi kwa mwanae
Naipenda Familia ya Bugando Mungu awabariki sana katika uimbaji wenu 🎉🎉🎉
Ni wmbo mzuri sana inatufundisha tuwe watu wa kusamehe,hongera mtunzi
Nikiusikiliza wimbo huu, huwa nawish ningekua huko wanapouimba wimbo huu haki!
Wooow!! Hongereni Holy Trinity kwa kazi nzuriiii👍👍
Hongera sana mmetisha. Huu wimbo nakupenda sana.
Nyimbo nzuri wosia
I love this song .. Naplay kwa siku kaa Mara kumi .
Nimebarikiwa na huu wimbo Sana una ujumbe mzuri Mungu awabarik
Amen
Kusamehana tu hiya idiot data
Hongera sana waimbaji❤
👏👏Mbarikiwe
Kazi nzuri sana hongereni kwa wote na Mungu awabariki
Hongereni sana wanakwaya wa Mt Daud patokia ya Mt Yuda Thadei Mtukula Mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.
Holy trinity you are always the best. Yaan wimbo umenikosha Sana
Imetulia husia ipp byeee nimeielewa vizuri sana
Wimbo mzuri sana umenigusa hadi nimewaita wanangu wausikilize kwa kutulia
Najivunia sana wimbo huu
Nyimbo nzur xan inanibalki xanatu love
Hongereni kwa uinjilishaji huu mzuri, ninaomba nota za wimbo huo wa WOSIA.
mbarikiwe
Nimefurai kwakusikiliza wimbo uhu ninzuri sana n'a niosia mzuri kwawatoto wetu naMungu awabariki sana walioimba wimbo uhu.
I Love this song with all my heart. ASANTE MTUNZI, MAWAIDHA MUHIMU KWA MAISHA YA MWANADAMU.🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Very good song - hongereni ujumbe huo ni mzuri
Kiukweli nabarikiwa mno ninapousiliza wimbo huu mbarikiwe sana nyote.
Achana na urafiki. Urafiki mubaya . usije ukapotea dunia yenye giza 🥰🥰 asante sana 2mebalikiwa sana 🙏🙏🙏🙏 from tz 🇹🇿
Wimbo mtamuu...enyewe sameha mara sabini...sio vyema kuwa na kinyongo na MTU..mbarikiwe milele..nawapenda
Wow I like so much
Wimbo nzuri Sana ubarikiwe
Wimbo huu naurudia nikiurudia, kwani wosia Mwema kutoka kwa Baba akimpa mwanawe, unanigusa mno... Kisha hizo sauti zimepangwa vilivyo. Nashindwa kueleza zaidi! Mungu Abariki aliyeutunga, na waimbaji wote. Asanteni sana......
My mom words when i joined campus🙏🙏
Napenda sana huu wimbo mbarikiwe sana