MBINGU ZILIFANYIKA_Kwaya ya Mt.Agustino_Manundu Korogwe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kwa neno la Mungu Mbingu zilifanyika. Ni maneno yanayoimbwa na kwaya hii ya Mt. Agustino kutoka Manundu Korogwe, Jimbo Katoliki la Tanga.Wimbo huu ni Utunzi wake Mussa Charles Mabogo, na Umerekodiwa katika Studio za RAJO Productions (Audio & Video)Tunakukaribisha uweze kusikiliza maneno matamu na kutazama ili mwisho wa siku ubarikiwe na kupata Neema za Mungu.Huu ni wimbo utakaofanya Mwenyezi Mungu aweze ku Mimina Neema zake kwenye maisha yako kwa kutambua ukuu wa Mungu.
    Wasiliana na kwaya kupitia namba: +255 653 082 026 au +255 755 082 026
    Wasiliana na RAJO PRODUCTIONS kupitia namba +255 758 988 827
    #kwayakatoliki
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 486

  • @sylivianamutosi9264
    @sylivianamutosi9264 3 месяца назад +4

    Today is Saturday 08 06 2024 08:40 be blessed good song mungu baba sikia sala zetu amen 🙏🙏

  • @EsauJambo
    @EsauJambo Год назад +2

    Amakweli aliyetunga wimbo huu na mpiga kinanda Ray ufunguo gingers sana

  • @sharoombay8997
    @sharoombay8997 4 года назад +5

    Ray Ufunguoooooo!Haki ufunguo ndo hiyooo! Eeeeka Chami Mbeeee.

  • @b1jama916
    @b1jama916 2 года назад +2

    Wow Noma sana hawa wanaTZ wanazo sauti na muziki Tamu...@255 Tanzania mob love kutoka Kenya..🙏🙏🙏🙂

  • @bkmatelephone4292
    @bkmatelephone4292 3 года назад +2

    Nyimbo iko pw sana

  • @graceopiko5715
    @graceopiko5715 4 года назад +1

    Hongera Rajo mmebadilisha sna uimbaji watu wanacheza kwa mada mungu akubariki

  • @happylasway3058
    @happylasway3058 4 месяца назад +1

    Hakika kazi yenu ni nzuri inaburudisha nafsi.

  • @wilfredywilhelm1426
    @wilfredywilhelm1426 4 года назад +8

    Aisee, @RAJO PRODUCTION weww ni nyoko sana, vitu unavyotoa ni baba lao asee.... Daaah, balaa

  • @iyakarejeanbaptiste8614
    @iyakarejeanbaptiste8614 4 года назад +2

    Ndabakunda cyaneee indirimbo zanyu ziranyubaka Imana ikomeze ibatize imbaraga!

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 4 года назад +2

    Pia sauti ya pili big up

  • @callebsamwel-iw8gv
    @callebsamwel-iw8gv Год назад +5

    Am not a Catholic but I really love this song and it makes my day

  • @marykivuyo3782
    @marykivuyo3782 4 года назад +5

    Najivuniaa kua mkatoliki napenda sana uimbaji

  • @chepkiachjoyce
    @chepkiachjoyce 3 года назад +2

    Mungu na asifiwe

  • @annakilongamaka1757
    @annakilongamaka1757 3 года назад +1

    Nyimbo nzr Sana. Nawapongeza.

    • @rajopro
      @rajopro  3 года назад

      Asante sana Anna

  • @monicahmutuku3305
    @monicahmutuku3305 2 года назад

    Hongereni. Sauti safi sana. Barikiweni sans

  • @caesarmwangi5072
    @caesarmwangi5072 4 года назад +6

    Mungu awabariki milele na awazidishie wema wake mnapoihubiri injili yake kwa sauti zenu nzuri.

  • @DouglasOresi
    @DouglasOresi 9 месяцев назад +1

    Daima mkatoliki your songs mwaaaaaaaha wish niwe mtanzania love them

  • @SautiTamu
    @SautiTamu 4 года назад +2

    Safi sana💓💟💟 hongera sana Rajo production

  • @bankswoodamissi6046
    @bankswoodamissi6046 4 года назад +2

    Bwana apewe sifa

  • @johnkaey3677
    @johnkaey3677 3 года назад +2

    Sauti ya pili kike na kwanza kiume ....daah!

  • @ivynjoroge5812
    @ivynjoroge5812 Месяц назад +2

    Mzuri atar mwaaaaaaaa

    • @ivynjoroge5812
      @ivynjoroge5812 Месяц назад +1

      Kwa neno la bwana mbingu zilifanyika aminaaaaaaa

    • @ivynjoroge5812
      @ivynjoroge5812 Месяц назад +1

      ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josephwalkerz3797
    @josephwalkerz3797 4 года назад +10

    Mpanga nota jameniiiii kazi njema ongela
    Ray uko juu Baba
    Watching from Kenya for 1001 times...
    Likes wapi pleeeease

  • @paswellmwikisa9005
    @paswellmwikisa9005 3 года назад +2

    Nice song please please 💯

  • @mainakaberere
    @mainakaberere 4 года назад +2

    oh my ..........very nice song......wimbo huu naskia kama umenipeleka mbinguni direct.beautiful ........alto alto ............wowww

  • @gabrielndimbo5013
    @gabrielndimbo5013 4 года назад +4

    Kazi nzuri sana. nimeipenda na nimefurahi kuwa kati ya watu wa mwanzo kuiona. Mungu awabariki nyote mliohusika kuifanya kazi hii.

  • @shambakisimatui1449
    @shambakisimatui1449 3 года назад +1

    Hongereni

  • @susannjeri2823
    @susannjeri2823 4 года назад +12

    Roman catholic voices are unique,congratulations !!!!!!

  • @NoelNandala
    @NoelNandala 10 месяцев назад

    Kazi nzuri sana nimebarikiwa

  • @phelisterkamanthe4494
    @phelisterkamanthe4494 4 года назад +2

    nice song barikiweni kwaya ya MT. AGUSTINO

  • @annakulanga5415
    @annakulanga5415 4 года назад +3

    Big up kumbe korongwe pia muko vizur mumetisha sanaa 💋💋💋

  • @stevenmartine2144
    @stevenmartine2144 4 года назад +2

    Nyimbo nzr mungu awabariki kwa kazi kubwa

  • @roma9xx331
    @roma9xx331 4 года назад +16

    Waoooh Ahsante Mungu kwa kutuwezesha kukamilika kwa kazi hii.

  • @henryassey7901
    @henryassey7901 2 года назад

    Hongren sana kwa kazi nzri ya utume we are we w22¹

  • @josephatkimani3604
    @josephatkimani3604 3 года назад +1

    Sauti tamu Aki,mchanganyiko mzuri zaidi.Pongezini wanakwaya

  • @ndayizeyeaimable477
    @ndayizeyeaimable477 4 года назад +8

    Wa baba na wa mama wazuri Mungu abaliki kazi muliofanya from Rwanda.

  • @jchekwaze
    @jchekwaze 4 года назад +3

    Kazi Nzuri.. Hongereni sana

  • @mariaendrick78
    @mariaendrick78 3 года назад +1

    Hongereni watu wa manundu mmefanya kazi nzuri

  • @AurelianMwacha
    @AurelianMwacha 7 месяцев назад +1

    Mtunz nimemuelewa

  • @josphatnzioki1789
    @josphatnzioki1789 3 года назад +2

    Wimbo wenyewe umejaa ladha ya kupendeza. Naupenda tu sana!!!!!

  • @nemangowi1418
    @nemangowi1418 4 года назад +4

    Jirani zetu korogwe karibuni tena Handeni. Kaz nzuri

  • @deosechu2224
    @deosechu2224 4 года назад +5

    Nakukubali sana Mwalimu wangu wa COMMERCY na B/keeping enzi hizo Sir Ray Ufunguo kkwa kazi hii nzuri ndani ya 2020 hakika ni jambo lakujivunia mnooo KOCHA MIIKU @deotvtz

  • @elisifakitila4905
    @elisifakitila4905 7 месяцев назад

    Mbinguzilifanyika kweli kweli 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @georgeasalla6967
    @georgeasalla6967 4 года назад +16

    Yesu alimwambia Petro kuwa yeye ndiye mwamba Wake nã juu yake atalijenga kanisa lake takatifu, ndilo hilo.

    • @antiamagambo8352
      @antiamagambo8352 3 года назад

      Nisaidie ndg yangu haya maneno yapo mstari gani,nayatafuta kweli

  • @enelisambalale4410
    @enelisambalale4410 3 года назад +3

    Hongereni sana my choir. Kwaya mama ya parokia ta Mt. Augustino Manundu Korogwe Tanga. Naimiss sana kwaya hii. Hakika kibali cha uzima kikipatikana nitakuja kusali nanyi pasaka. Mungu awazidishiena kuibariki karama iliyopo ndani yenu hasa abariki uinjilisti huu. Mbarikiwe sana

  • @eternalword1843
    @eternalword1843 4 года назад +2

    Kazi nzuri sana. Hongereni waimbaji na hongereni sana RAJO. Sisi EWCP tunakufuatilieni kwa ukaribu. Asanteni kwa kutuinjilisha.

  • @alexinamoraa7938
    @alexinamoraa7938 7 месяцев назад

    Wimbo mutamu iyo mungu awabaliki

  • @peteripala2572
    @peteripala2572 4 года назад +3

    Kweli mbingu zilifanya Aleluya! good production

  • @floridingomasi4428
    @floridingomasi4428 4 года назад +1

    Mungu awabariki mpo vzr hasa kale kadada kanavyo cheza.

  • @releiabby6201
    @releiabby6201 4 года назад +3

    Hongera kwa wanadada, wanaimba kwa heshima na mavazi pia ni ya heshima, unlike other choirs with funny and ungodly dancing styles

  • @mukeragabilodiana9391
    @mukeragabilodiana9391 4 года назад +2

    Mumempendeza. 🕺🏻🕺🏻🕺🏻🕺🏻🕺🏻🕺🏻🕺🏻👗👗👗👗👗👗👗👗👗

  • @monicabenedict1495
    @monicabenedict1495 4 года назад +2

    Rajo kazi nzuri mnaendelea kung'aa. Keep it up

  • @zainashikuku3960
    @zainashikuku3960 4 года назад +4

    Congratulations 🎉👏.hata mavazi n poa mbele ya Mungu

  • @reginamassawe6701
    @reginamassawe6701 4 года назад +2

    Hadi raha wimbo mnzuri sana mnajua kuimba jaman hongereni sana kwenu

  • @nemangowi1418
    @nemangowi1418 4 года назад +2

    Sare nzuri video imetulia I like it.

  • @livingeorge1661
    @livingeorge1661 4 года назад +2

    Big up korogweee... Mmetishaaaa

  • @emmanuelombasa1827
    @emmanuelombasa1827 4 года назад +1

    Nice one

  • @marryjoel7819
    @marryjoel7819 4 года назад +1

    Chakwabza mmependeza chapili mnajiamini, chatatu mbakuwango kazi nzuri na njama

  • @alphonceshoko6260
    @alphonceshoko6260 2 года назад

    Nyimbo nzuri sana

  • @emmanuelnkingajulius6926
    @emmanuelnkingajulius6926 4 года назад +1

    Ukisikia rc Raha ndo kama hii mungu anasikia hata majeshi ya malaika lazma waimbe pamoja

  • @qingumakuza8219
    @qingumakuza8219 4 года назад +3

    Mbarikiwe sana wimbo mzuli sana🙏🙏🙏

  • @isikesamike
    @isikesamike 4 года назад +5

    Very nice work Ray, you're a good director. Ubunifu mkubwa sana!

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 3 года назад +1

    Najivunia kuwa mkristo mkatoliki,kanisa lililojaa visakramenti vingi vyakukuwezesha kumtafuta Mungu,asante waimbaji kwa wimbo huu mtamu ambao hauchoshi bali unakufanya urudie rudie kuutazama.Mungu azibariki kazi zenu zisonge mbele

  • @alphonsinashiyo9572
    @alphonsinashiyo9572 4 года назад +1

    Kaka kazi yako naikubali sana nasubiri ya Mt boniphase Sombetini

  • @kashinjepius4096
    @kashinjepius4096 4 года назад +1

    wanapendeza sana.... sijui km kuna mwingine kaona

  • @agroscience3646
    @agroscience3646 4 года назад +5

    Natamani kuusikia huu wimbo Kila wakati,Mungu abariki kazi yenu. Hizi ndo nyimbo za kumsifu Mungu beans.

    • @gervaskaunda4676
      @gervaskaunda4676 4 года назад

      I'M so glad to hear this song! Kwa neno lake mbingu zilifanyika haleluya...!

  • @khanniebaraka1515
    @khanniebaraka1515 3 года назад +1

    Hongera kwaya yetu Mungu azidi kuwatia nguvu korogwe hoyee

  • @AnnamaryAndrea
    @AnnamaryAndrea 5 месяцев назад

    Mattishall wanamanundu hongeren kwa u2me

  • @josephinegravasiano8614
    @josephinegravasiano8614 4 года назад +1

    Hongereni sana wimbo umetulia napenda sana kazi zenu,Mungu awabariki

  • @peteripala2572
    @peteripala2572 4 года назад +1

    Mcheza kinanda nice one

  • @charleschuwa4020
    @charleschuwa4020 4 года назад +3

    Masanja na ngoma,wonderful song

  • @ndiranguarapkiraita9385
    @ndiranguarapkiraita9385 3 года назад +1

    Great Great. This video recording is an investment

  • @shirimaevarista1829
    @shirimaevarista1829 4 года назад +1

    Daah.wimbo ume2lia kwa kwel mungu awaongoze katka huu u2me

  • @eastlighttvk...dcceastland482
    @eastlighttvk...dcceastland482 4 года назад +1

    uimbaji safi na utunzi madhubuti

  • @anneorwa8029
    @anneorwa8029 4 года назад +12

    Beautiful song, beautiful dressing, beautiful dance beautiful people, beautiful voices.
    You are blessed to be a blessing!

  • @nicholausmasangula4099
    @nicholausmasangula4099 4 года назад +1

    hongereni sana kwaya nzuri sana mbarikiwe nipo simiyu ila nimewapenda sana mwimbieni sana mungu mengine mtayapata kwelii

  • @SmilingMonarchButterfly-kh4ve
    @SmilingMonarchButterfly-kh4ve 4 дня назад

    Waah 🤗🤗 ❤️❤️❤️ 🔥🔥🔥

  • @michaelmkwizu2301
    @michaelmkwizu2301 4 года назад +2

    Nmebarikiwa mnoo manundu hoyeeee

  • @elishasimoni5132
    @elishasimoni5132 4 года назад +1

    Amen kazi nzuri sanaa

  • @tinagalanda8743
    @tinagalanda8743 4 года назад +1

    Amina kwa neno la bwana mbingu zilifanyika kweli ni kazi nzuri hongera kwenu wanakwaya.

  • @marykivuyo3782
    @marykivuyo3782 4 года назад +1

    Napenda sana na nafurahia ukatoloki wangu

  • @floraolotu8063
    @floraolotu8063 Год назад

    Hongereni sn

  • @bonifacesimiyu5481
    @bonifacesimiyu5481 4 года назад +1

    mungu aitwe mungu naburudika niki barikiwa nyimbo zenu barikiweni wapendwa

  • @flipaclipanimationz6790
    @flipaclipanimationz6790 4 года назад +1

    Mungu awabariki kwa huduma nzuri. Pia mmependeza sana.

  • @edistarickmarandu8597
    @edistarickmarandu8597 4 года назад +2

    Mungu azidi kuwainuaaaaa hadi mshangaeeeee

  • @paulinaluambano9150
    @paulinaluambano9150 4 года назад +2

    Amina. Hakika ni wimbo mzuri sana

  • @stephaniambelema7898
    @stephaniambelema7898 3 года назад

    Tumtukuze Mungu kwa kuimba

  • @florencewanjiku2668
    @florencewanjiku2668 4 года назад +1

    Nice song and the video is very beautiful

  • @THEWORLD-om1bo
    @THEWORLD-om1bo 3 года назад +1

    nimependa mvazi yenu...💚

  • @hellenemmanuel5158
    @hellenemmanuel5158 4 года назад +1

    Nimebarikiwa Sana endeleeni na utume Mungu awabariki

  • @jaspermduma4507
    @jaspermduma4507 4 года назад +3

    Huu wimbo hata ukiangalia kila dakika hauchoshi

  • @lucysivili5305
    @lucysivili5305 2 года назад

    Very nice be blessed🙏🙏🙏🙏🙏

  • @toshmena8740
    @toshmena8740 4 года назад +3

    Congratulations to the singers ,wimbo mtamu kweli nimeusikiliza more than than 20 times.Mungu awabariki kwa kazi hii nzuri ya uinjilishaji kupitia kwa nyimbo.

  • @alphoncentanga8946
    @alphoncentanga8946 4 года назад +2

    Nimebarikiwa saaanaaa na wimbo huu wa Utukufu wa Mungu. Yesu Kristo akumbuke sala na sadaka zenu.

  • @mercymacline658
    @mercymacline658 4 года назад +2

    Kweli mwastahili sifa rajo productions mko vizuri

  • @priscamsomba4224
    @priscamsomba4224 Год назад

    Amina kwa wimbo mzur

  • @janetogolla2882
    @janetogolla2882 4 года назад +17

    Hakika kwa neno yake, zikafanyika Halleluja. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @francismuriithi7297
      @francismuriithi7297 4 года назад +2

      Hakuna place huwa mnakosa +254 🇰🇪🇰🇪.........btw unaweza kuwa na ile song ya Naomba Baraka by Sali Sali??

    • @victorodehe6160
      @victorodehe6160 4 года назад +1

      @@francismuriithi7297 ±254 wako kila mahali kaka

    • @ehadson89emmanuel96
      @ehadson89emmanuel96 4 года назад +1

      Karibuni watu wa +254........mbarikiwe

  • @gemashirima3546
    @gemashirima3546 2 года назад

    Hongeren Sana Sana kwa u tume

  • @magnusmnyagala9515
    @magnusmnyagala9515 4 года назад +1

    Safi sana mbarikiwe wana Augustino.

  • @justuscelestine7188
    @justuscelestine7188 4 года назад +1

    Nzuri sana,nimebarikiwa amina.

  • @eugenyraphael4334
    @eugenyraphael4334 4 года назад +1

    Alooo mnajua kujipanga,pongezi nyingi kwenu!!Mungu awabariki sana.