MBINGU ZILIFANYIKA_Kwaya ya Mt.Agustino_Manundu Korogwe
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Kwa neno la Mungu Mbingu zilifanyika. Ni maneno yanayoimbwa na kwaya hii ya Mt. Agustino kutoka Manundu Korogwe, Jimbo Katoliki la Tanga.Wimbo huu ni Utunzi wake Mussa Charles Mabogo, na Umerekodiwa katika Studio za RAJO Productions (Audio & Video)Tunakukaribisha uweze kusikiliza maneno matamu na kutazama ili mwisho wa siku ubarikiwe na kupata Neema za Mungu.Huu ni wimbo utakaofanya Mwenyezi Mungu aweze ku Mimina Neema zake kwenye maisha yako kwa kutambua ukuu wa Mungu.
Wasiliana na kwaya kupitia namba: +255 653 082 026 au +255 755 082 026
Wasiliana na RAJO PRODUCTIONS kupitia namba +255 758 988 827
#kwayakatoliki - Видеоклипы
Today is Saturday 08 06 2024 08:40 be blessed good song mungu baba sikia sala zetu amen 🙏🙏
Amakweli aliyetunga wimbo huu na mpiga kinanda Ray ufunguo gingers sana
Ray Ufunguoooooo!Haki ufunguo ndo hiyooo! Eeeeka Chami Mbeeee.
Wow Noma sana hawa wanaTZ wanazo sauti na muziki Tamu...@255 Tanzania mob love kutoka Kenya..🙏🙏🙏🙂
Nyimbo iko pw sana
Hongera Rajo mmebadilisha sna uimbaji watu wanacheza kwa mada mungu akubariki
Hakika kazi yenu ni nzuri inaburudisha nafsi.
Aisee, @RAJO PRODUCTION weww ni nyoko sana, vitu unavyotoa ni baba lao asee.... Daaah, balaa
Ndabakunda cyaneee indirimbo zanyu ziranyubaka Imana ikomeze ibatize imbaraga!
Pia sauti ya pili big up
Am not a Catholic but I really love this song and it makes my day
Najivuniaa kua mkatoliki napenda sana uimbaji
Mungu na asifiwe
Nyimbo nzr Sana. Nawapongeza.
Asante sana Anna
Hongereni. Sauti safi sana. Barikiweni sans
Mungu awabariki milele na awazidishie wema wake mnapoihubiri injili yake kwa sauti zenu nzuri.
Daima mkatoliki your songs mwaaaaaaaha wish niwe mtanzania love them
Safi sana💓💟💟 hongera sana Rajo production
Bwana apewe sifa
Sauti ya pili kike na kwanza kiume ....daah!
Mzuri atar mwaaaaaaaa
Kwa neno la bwana mbingu zilifanyika aminaaaaaaa
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mpanga nota jameniiiii kazi njema ongela
Ray uko juu Baba
Watching from Kenya for 1001 times...
Likes wapi pleeeease
Hongereni kwa kuitimiza kaz ya bwana
Sauti za kupendeza the song really touches my heart,,was ha tumwimbie Mungu
Nice song please please 💯
oh my ..........very nice song......wimbo huu naskia kama umenipeleka mbinguni direct.beautiful ........alto alto ............wowww
Kazi nzuri sana. nimeipenda na nimefurahi kuwa kati ya watu wa mwanzo kuiona. Mungu awabariki nyote mliohusika kuifanya kazi hii.
Hongereni
Roman catholic voices are unique,congratulations !!!!!!
Kazi nzuri sana nimebarikiwa
nice song barikiweni kwaya ya MT. AGUSTINO
Big up kumbe korongwe pia muko vizur mumetisha sanaa 💋💋💋
Nyimbo nzr mungu awabariki kwa kazi kubwa
Waoooh Ahsante Mungu kwa kutuwezesha kukamilika kwa kazi hii.
Hongren sana kwa kazi nzri ya utume we are we w22¹
Sauti tamu Aki,mchanganyiko mzuri zaidi.Pongezini wanakwaya
Wa baba na wa mama wazuri Mungu abaliki kazi muliofanya from Rwanda.
Kazi Nzuri.. Hongereni sana
Hongereni watu wa manundu mmefanya kazi nzuri
Mtunz nimemuelewa
Wimbo wenyewe umejaa ladha ya kupendeza. Naupenda tu sana!!!!!
Jirani zetu korogwe karibuni tena Handeni. Kaz nzuri
Nakukubali sana Mwalimu wangu wa COMMERCY na B/keeping enzi hizo Sir Ray Ufunguo kkwa kazi hii nzuri ndani ya 2020 hakika ni jambo lakujivunia mnooo KOCHA MIIKU @deotvtz
Mbinguzilifanyika kweli kweli 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yesu alimwambia Petro kuwa yeye ndiye mwamba Wake nã juu yake atalijenga kanisa lake takatifu, ndilo hilo.
Nisaidie ndg yangu haya maneno yapo mstari gani,nayatafuta kweli
Hongereni sana my choir. Kwaya mama ya parokia ta Mt. Augustino Manundu Korogwe Tanga. Naimiss sana kwaya hii. Hakika kibali cha uzima kikipatikana nitakuja kusali nanyi pasaka. Mungu awazidishiena kuibariki karama iliyopo ndani yenu hasa abariki uinjilisti huu. Mbarikiwe sana
Kazi nzuri sana. Hongereni waimbaji na hongereni sana RAJO. Sisi EWCP tunakufuatilieni kwa ukaribu. Asanteni kwa kutuinjilisha.
Wimbo mutamu iyo mungu awabaliki
Kweli mbingu zilifanya Aleluya! good production
Mungu awabariki mpo vzr hasa kale kadada kanavyo cheza.
Hongera kwa wanadada, wanaimba kwa heshima na mavazi pia ni ya heshima, unlike other choirs with funny and ungodly dancing styles
Mumempendeza. 🕺🏻🕺🏻🕺🏻🕺🏻🕺🏻🕺🏻🕺🏻👗👗👗👗👗👗👗👗👗
Rajo kazi nzuri mnaendelea kung'aa. Keep it up
Congratulations 🎉👏.hata mavazi n poa mbele ya Mungu
Hadi raha wimbo mnzuri sana mnajua kuimba jaman hongereni sana kwenu
Sare nzuri video imetulia I like it.
Big up korogweee... Mmetishaaaa
Nice one
Chakwabza mmependeza chapili mnajiamini, chatatu mbakuwango kazi nzuri na njama
Nyimbo nzuri sana
Ukisikia rc Raha ndo kama hii mungu anasikia hata majeshi ya malaika lazma waimbe pamoja
Mbarikiwe sana wimbo mzuli sana🙏🙏🙏
Very nice work Ray, you're a good director. Ubunifu mkubwa sana!
Najivunia kuwa mkristo mkatoliki,kanisa lililojaa visakramenti vingi vyakukuwezesha kumtafuta Mungu,asante waimbaji kwa wimbo huu mtamu ambao hauchoshi bali unakufanya urudie rudie kuutazama.Mungu azibariki kazi zenu zisonge mbele
Kaka kazi yako naikubali sana nasubiri ya Mt boniphase Sombetini
wanapendeza sana.... sijui km kuna mwingine kaona
Natamani kuusikia huu wimbo Kila wakati,Mungu abariki kazi yenu. Hizi ndo nyimbo za kumsifu Mungu beans.
I'M so glad to hear this song! Kwa neno lake mbingu zilifanyika haleluya...!
Hongera kwaya yetu Mungu azidi kuwatia nguvu korogwe hoyee
Mattishall wanamanundu hongeren kwa u2me
Hongereni sana wimbo umetulia napenda sana kazi zenu,Mungu awabariki
Mcheza kinanda nice one
Masanja na ngoma,wonderful song
Great Great. This video recording is an investment
Daah.wimbo ume2lia kwa kwel mungu awaongoze katka huu u2me
uimbaji safi na utunzi madhubuti
Beautiful song, beautiful dressing, beautiful dance beautiful people, beautiful voices.
You are blessed to be a blessing!
Just amazing ❤️🌹🙏🏽
hongereni sana kwaya nzuri sana mbarikiwe nipo simiyu ila nimewapenda sana mwimbieni sana mungu mengine mtayapata kwelii
Waah 🤗🤗 ❤️❤️❤️ 🔥🔥🔥
Nmebarikiwa mnoo manundu hoyeeee
Amen kazi nzuri sanaa
Amina kwa neno la bwana mbingu zilifanyika kweli ni kazi nzuri hongera kwenu wanakwaya.
Napenda sana na nafurahia ukatoloki wangu
Hongereni sn
mungu aitwe mungu naburudika niki barikiwa nyimbo zenu barikiweni wapendwa
Mungu awabariki kwa huduma nzuri. Pia mmependeza sana.
Mungu azidi kuwainuaaaaa hadi mshangaeeeee
Amina. Hakika ni wimbo mzuri sana
Tumtukuze Mungu kwa kuimba
Nice song and the video is very beautiful
nimependa mvazi yenu...💚
Nimebarikiwa Sana endeleeni na utume Mungu awabariki
Huu wimbo hata ukiangalia kila dakika hauchoshi
Very nice be blessed🙏🙏🙏🙏🙏
Congratulations to the singers ,wimbo mtamu kweli nimeusikiliza more than than 20 times.Mungu awabariki kwa kazi hii nzuri ya uinjilishaji kupitia kwa nyimbo.
Nimebarikiwa saaanaaa na wimbo huu wa Utukufu wa Mungu. Yesu Kristo akumbuke sala na sadaka zenu.
Kweli mwastahili sifa rajo productions mko vizuri
Mambo
Amina kwa wimbo mzur
Hakika kwa neno yake, zikafanyika Halleluja. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hakuna place huwa mnakosa +254 🇰🇪🇰🇪.........btw unaweza kuwa na ile song ya Naomba Baraka by Sali Sali??
@@francismuriithi7297 ±254 wako kila mahali kaka
Karibuni watu wa +254........mbarikiwe
Hongeren Sana Sana kwa u tume
Safi sana mbarikiwe wana Augustino.
Nzuri sana,nimebarikiwa amina.
Alooo mnajua kujipanga,pongezi nyingi kwenu!!Mungu awabariki sana.