BWANA UNIBADILI_ Kwaya ya Mt.Maria Goreth_Chuo kikuu- Ushirika - Moshi
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Hii ni Kwaya ya Mt. Maria Goreth kutoka Chuo kikuu cha Ushirika - Moshi. BWANA UNIBADILI ni wimbo uliobeba jina la album yenye nyimbo za kumsifu na Kumtukuza Mungu. Tuungane nao katika kusitazama kazi hii.
Waweza pia kuwa wakala wa kuisambaza kazi hii na endapo utataka kuwasiliana nao, tumia namba hizi:
+255 654 369 810 au +255 621 065 005
Tunaposikiliza Wimbo huu tuombe kwa Mungu tuzijue Habari zake Habari za Mungu Mwana, Habari za Yesu, tuweze kufuata kwa vitendo njia za Yesu kristo. Tuendelee kusikiliza na Kutazama Maneno Matamu ya wimbo huu na Mungu azidi kutubariki. Amen
#kwayakatoliki
Please support: www.patreon.com/user?u=77044884
pppp
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ibariki Africa 🌍 na duniani nzima amina upokee maombi yetu amina
@@freddykulwa8190 1
Watoto awana pambazi
O poo 0😅😊😊😊JJIOLhj😅iuoojhulkj jhhuqqyqq I u uiioiiohbbukjjkjjbubbnnjjnnnmmmnjnhhjh juu hjjjjyhiphjk
Jioqi
Kama unatazama wimbo huu mwaka huu 2024 like hapa ❤❤❤
Amina bwana utubadili tukufuate wewe
napendaga sana kuangalia wimbo huu
@@Angnesnikolaus🙏🙏🙏
Am here
Amen
Audifesi desderi wimbo umenibarik Kaka umetuwakilisha vyema hongera classment wet
munguawa
balikiwale
wotewaotunga wimbo huu
Nabarikiwa Sana ninapouskiliza wimbo huu
Amina
Tamaa ya dunia eeh Mungu ni badili nikufuate wewe
Wapi likes za pianist
Sijawahii kujutia kuwa mkatoliki Nani anamsimamo Kama huu like plz tujuane🤣🤝🤝🤝🤝🤝
Hata mm sijutiii naipenda dini yangu sana
MUNGU awabariki waimbachi wa Rajo kwa imbajiwao mzuri,mbarikiwe Amina
😅@@floriditarimo8236
I am malawian my name blessings
Let me your name
Tulio badilishwa na Mungu 2021 naomba like🙏🙏🙏🙏🙏
😂a 0:00
Free
Yesu unibariki niache Yote nikufuate wewe,,, like zen
Wimbo mzuri sana,naupenda
Wameimba vizuri mno hongera sana.Nimewapenda sana.
I don't understand the language😢 but I like the song....
Much love from Zambia
Mwenye yuko pamoja na mimi 2021 gonga like twede sawa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Jamani wimbo mzur sana na MUNGU awabarki sana
naupenda sana huu wimbo ninawashukuru waimbaji ninahitaji cd
Wameweza jamn wacha like zao apa ;; Bwn utubadili tukufate ww milele na mileeeeeeee🙏🙏
Wimbo unaosafisha roho bila shaka... Wapi likes zangu mie ni jirani yenu hapa Kenya?
Karibu tanzania mambo mazuri
Karibu tanzania mambo mazuri
Hongereni chuo cha ushirika moshi
Kama nawewe unakubariki sana huu wimbo usinipite bila kulike
hiii i like this song tooo soo much
@@marieroxysaid7825 p
Nakupenda Sanaa ninz
Wimbonibutamusana
Naupenda sana
Hongera sana kwa wimbo mzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
Nani yupo nami 2021
Naupenda Sana bwana unibadili niyaache yote
Bwana unibadili niache yote
Naupenda Sana wimbo huu Bwana unibadili.
❤ I am not a Catholic but honestly speaking, this prayer song to almighty God for a complete change of behaviour & character to pursue His ways is not only speaking to my heart but also so humbling❤ Baringo Kenya❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Wonderful song. God bless the writer & the singers❤
Nafarijika sana nisikilizapo nyimbo zenu mbarikiwe
Nyimbo nzuri sana mungu mwenye ngufu awazidishiye
Kama uko huku from 24th September 2024 and above like my comment ☑️✅
Nausikiliza wimbo huu mara si haba Kwa siku. Ni usanii uliosukwa Kwa tahadhari kubwa. Mola awajalie mema.
Usanii wa kipekee kuwahi kuonekana katika karne hii ya 21. Mungu awajalie neema. - Francis Wangome - Mwandishi wa Kiswahili nchini Kenya.
This is lovely, I don't understand the language though but I love songs, their beautiful terrain I might add.
Love from Nigeria
It's simply, saying, Lord Change me, change my ways, Let me leave everything, Let me follow forever (Milele)
Thank you dear friends , I don't also understand language , but I've got to know
Ni wimbo ninaoupenda Sana ukiumba kwa imani unakubadili kweli
wimbo mzuri , nimependezwa na jinsi mnavyotabasamu mkiimba. ujumbe umenigusa pia. asanteni
Mlizaliwa cku 1 au!! Mko smart sna safi saaaana
I am from togo , I don't understand the meaning but I love this song because is religious. I play it over and over through the day.
The main message in the song is: Change me oh LORD that I may leave all and follow you forever.
Wabarikiwe sana🙏🙏
This is better ever.🔥🔥
Bwana unibadili niyaache yote nikufuate wewe mileleeeeeeeeee.
Daaaaah hakika vijana mmeimba vizuri
Wooow naipenda hii wimbo sana aki thank you kwa mtunzi waimbaji your rocking wallai ..God bless you all ..watching from Australia
We thank u so much stay blessed
Mimi ni mwana mkaya kanisa mtakatufu yo
Ameeniii mbarikiwa sana
Mbalikiwe sana napenda nyimbo zenu❤❤❤❤
Mimi nimekuwa mtu mwenye tamaa nyingi
Ninatamani kila kitu kizuri duniani
{ Bwana unibadili, niyaache yote
Bwana unibadili nikufuate wewe } *2 milele
Bwana ninakuomba unipatie msimamo
Nisimame upande wako, milele milele
Bwana yabadili matendo yangu nitendayo
Nitendayo yawe yakupendezayo wewe
Bwana zibadili njia zangu nipitiazo
Nipitie katika njia zako ee Mungu wangu
Good
Thank you for typing the lyrics
Wimbo mtamu zaidi,napenda sana kuusikiza kila siku hapa Kenya
Rajo production inafanya kaz nzuri sana,haijawah angusha mtu,😘😘nice song
Wimbo mzuri sana huu unanibariki sana nausikiliza naurudia rudia tuu nahisi raha mno
Yani kupia hii nime badi dini kwa sasa naitwa zakayo amina mutumishi
Hawa watu waliimba vzr tupo 2020 tunaburudika na kumtukuza mwenyezi Mungu
Mung unibal mm mkosef amina
Wimbo mzuri sanaa, Mbarikiwee
Kazi njema sana. Atukuzwe Mungu milele.
Wooow, , nawapa 100%, , hzo step sasa ndo usiseme
Wimbo nzuri sana yanigusa from Rwanda
Ambassadar utukuzwe
When it comes to praise and worship, the Catholic Church leads, others follow
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 EBWANA unibadili niyaache yote nikufuate wewe milele amina
Nyimbo nzuri sana EE Mungu naomba unibadili
Aaaw, nyimbo nzur jaman
Anyone April 2020 like below
🇹🇬🇹🇬🇹🇬 je suis togolaise mais j'aime trop votre chanson ça me donne la chaire de poule.bisou à ttes les membres de votre chorale
Bienvenue au Tanzanie
Such an amazing song and it’s so wonderful to see that it’s the youth singing!!! Love from kenya 🇰🇪
Cynthia Kendi thank you
Nyimbo hio.da!! Tamu zaidi
Kazi nzur wimbo hauchosh jaman
Oooh! Angalia Vijana hawa wanavyomwimbia Mungu kwa furaha. Hakika Utukufu wake ni wa kushangaza na matendo yake ni maki hakuna kama Baba wa mbinguni.
Kwa kweli wimbo ni mzuri una maadui mazuri mnaturudisha nyumbani gospo baby
Rose swai *maudhui
Safi sana umetulia bwana unibalishe na Mimi ni wezekukutumikia vema amina
Umenigusa wimbo huu,,,ee bwana unibadili!!!
Kipawa kizuri sana kwa hawa vijana ¥ahweh awabari sana wazidi kumjua na kufanya kazi yake
Hongereni sana Moshi University, Kilimanjaro Tanzania
the best song ever! "nibadilishe niache yote"
I'm watching this 6yrs later,but the suprise part is that I'm an SDA but this song is on another level,the quality of the video,the presentation in short I felt in love with this song❤
Choir iko safi sana
Naupenda sana huu wimbo bwana unibadil njia zangu
Najivunia kuwa mkatoliki milele Amina!
Bwana awe nanyi nyote!
Same to me I like this
Awe pia nawe
perpetual wothaya Amina
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kwa mpigo zaidi.Najivunia pia
What a song! Inaniguza roho. Bwana naomba utubadili kwa, mafikira, mienendo, matendo na kwa njia zote ili tuweze kukutumikia kwa Uaminifu + 254
WIMBO MTAMU SANA.NAOMBA NAMBA YA MTUNZI M.C MADBOGO.
Lovely.bwana unibadili.catho damu😋🥂
Nyimbo nzuri kabisa mungu awe pamoja nanyi,hakika nkisikiliza huu wimbo nahisi vyema katka cristo
Inafikia hatua mtu unakosa cha kukoment kwa jinsi unavyobatikiwa na kitu...
kiukweli huu wimbo umekuwa faraja sana kwangu haiwezi pita siku au masaa bila kuisikiliza.
mbarikiwe sana na nimeipenda staili ya uchezajiwenu.
Batromeo Mbogo ubarikiwe pia
Kweli kuimba mumeimba vizuriii Sana na ujumbe umefika kwa kweli I'm proud being a Catholic.
Najivunia kuwa mkathoric
Noma sana
Nyimbo tamu Sana,wachezaji wazuriu,,bwana unibadilii
D
Kazi nzuri sana, wimbo huu wabariki sana 🙏🙏
Wimbo mtamu sana. Hongera sana kwa kazi safi👏👍
Wooow bravo MUNGU amusongeze hatuwa nyingine.... Am blessed 🙏
October 2020 am still deep into this song....anyone else with me??
pamoja,it starts my every day,beautiful song ,nourishing indeed.
My ringtone
am here
We are together
@@severingeay158 collestine mbenzwa
Mimi hapa tena, I can't get enough of this song, Bwana unibadili niyaache yote....
🎉Hongeren sana jaman
Ninapo izikiza hubarikiwa sana mungu awainuwe zaidi
gud wimbo mazuri sanaaaaa nimependa
Yani uu wimbo sichoki kuutizama hakika Bwana unibadilishe nikufate wewe milele eee
hata mimi
This is the best song till today keeps inspiring
Kweli bwana unibadili Me na familia yangu yote
Mpo vizuri Mungu awabariki wote
Mbarikiwe Sana jaman
6th June,2021 the year of our lord ; who is still listening to this song. Hot cake
jameni just look at there faces always attracting napenda hii sana ...........
Jamani mmeimba vzr xn mwenyezi mung awa brk
Jaman watu wa mungu bwana Jesus apewe sifa Napenda kuwakalibisha kweny Chanel Yangu ya RUclips ili mkone ngoma yang mpya ya gospel iko very nice Karbu sana
Huo wimbo uko Sawa kabisa
Wow,,,,
Nabarikiwa San
Mapendo,,,,
Nana Anasikikiza mwaka huu 2021 twende pamoja
Wimbo mzuri mnoo!
Mubarikiwe sana mmeimba vzr sana
Great Mocu keep the faith
Wow,endeleeni na kumtukuza Mungu...nawapata vizuri nikiwa Dubai,Mungu na atulinde sote
Who is watching with me may 2020?👍😃may God blesss u,l can,t get enough of the song,l born in catholic,raise in catholic,died in catholic,l get spiritualy uplifted throught the song,and l thank God for the blessing through the song.😘
Umegonga ndipo
@@marto555k🙏🙏🙏👏👏👏👍👍👍 thnxz bro,may God bless u .
I'm watching this year 2024❤🎉🎉🎉🎉😊😊
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri, naye mwenyezi Mungu awazidishie karama kadri ya mapenzi yake. Bwana azidi kudubadili kila uchao.
Ed