BWANA UNIBADILI_ Kwaya ya Mt.Maria Goreth_Chuo kikuu- Ushirika - Moshi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Hii ni Kwaya ya Mt. Maria Goreth kutoka Chuo kikuu cha Ushirika - Moshi. BWANA UNIBADILI ni wimbo uliobeba jina la album yenye nyimbo za kumsifu na Kumtukuza Mungu. Tuungane nao katika kusitazama kazi hii.
    Waweza pia kuwa wakala wa kuisambaza kazi hii na endapo utataka kuwasiliana nao, tumia namba hizi:
    +255 654 369 810 au +255 621 065 005
    Tunaposikiliza Wimbo huu tuombe kwa Mungu tuzijue Habari zake Habari za Mungu Mwana, Habari za Yesu, tuweze kufuata kwa vitendo njia za Yesu kristo. Tuendelee kusikiliza na Kutazama Maneno Matamu ya wimbo huu na Mungu azidi kutubariki. Amen
    #kwayakatoliki

Комментарии • 2,8 тыс.

  • @rajopro
    @rajopro  2 года назад +103

    Please support: www.patreon.com/user?u=77044884

    • @suzanakimaro1992
      @suzanakimaro1992 Год назад

      pppp

    • @freddykulwa8190
      @freddykulwa8190 Год назад +11

      Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ibariki Africa 🌍 na duniani nzima amina upokee maombi yetu amina

    • @lukasgathui9038
      @lukasgathui9038 Год назад +3

      @@freddykulwa8190 1

    • @sihamananilenga269
      @sihamananilenga269 Год назад +1

      Watoto awana pambazi

    • @lynnchebet7728
      @lynnchebet7728 Год назад

      O poo 0😅😊😊😊JJIOLhj😅iuoojhulkj jhhuqqyqq I u uiioiiohbbukjjkjjbubbnnjjnnnmmmnjnhhjh juu hjjjjyhiphjk
      Jioqi

  • @JEANS-TZ
    @JEANS-TZ 5 месяцев назад +167

    Kama unatazama wimbo huu mwaka huu 2024 like hapa ❤❤❤

  • @HappyJacobo-q3o
    @HappyJacobo-q3o Год назад +7

    Audifesi desderi wimbo umenibarik Kaka umetuwakilisha vyema hongera classment wet

  • @KelvinKomba-ew7qe
    @KelvinKomba-ew7qe Год назад +8

    munguawa
    balikiwale
    wotewaotunga wimbo huu

  • @mariarashidi868
    @mariarashidi868 2 года назад +16

    Nabarikiwa Sana ninapouskiliza wimbo huu

  • @chachajuma9534
    @chachajuma9534 2 года назад +7

    Tamaa ya dunia eeh Mungu ni badili nikufuate wewe

  • @BeatriceChihi-d6l
    @BeatriceChihi-d6l Год назад +29

    Wapi likes za pianist

  • @jemmajemma8016
    @jemmajemma8016 4 года назад +97

    Sijawahii kujutia kuwa mkatoliki Nani anamsimamo Kama huu like plz tujuane🤣🤝🤝🤝🤝🤝

    • @floriditarimo8236
      @floriditarimo8236 3 года назад +2

      Hata mm sijutiii naipenda dini yangu sana

    • @alexinahmogunde5276
      @alexinahmogunde5276 3 года назад +1

      MUNGU awabariki waimbachi wa Rajo kwa imbajiwao mzuri,mbarikiwe Amina

    • @LILIANILema-dz6ek
      @LILIANILema-dz6ek 5 месяцев назад

      😅​@@floriditarimo8236

    • @MadaMamatu
      @MadaMamatu 4 месяца назад

      I am malawian my name blessings

    • @MadaMamatu
      @MadaMamatu 4 месяца назад

      Let me your name

  • @anjelmoses624
    @anjelmoses624 3 года назад +7

    Tulio badilishwa na Mungu 2021 naomba like🙏🙏🙏🙏🙏

  • @evancejohn9304
    @evancejohn9304 3 года назад +22

    Yesu unibariki niache Yote nikufuate wewe,,, like zen

  • @alankaiza9884
    @alankaiza9884 2 года назад +1

    Wimbo mzuri sana,naupenda

  • @exuperiuslyapembile4097
    @exuperiuslyapembile4097 4 года назад +8

    Wameimba vizuri mno hongera sana.Nimewapenda sana.

  • @annamulenga-lc8yg
    @annamulenga-lc8yg 3 месяца назад +5

    I don't understand the language😢 but I like the song....
    Much love from Zambia

  • @dayanapastor2322
    @dayanapastor2322 3 года назад +30

    Mwenye yuko pamoja na mimi 2021 gonga like twede sawa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @ManjiNzobheNzobhe
    @ManjiNzobheNzobhe 9 месяцев назад +2

    Jamani wimbo mzur sana na MUNGU awabarki sana

  • @daudichija2800
    @daudichija2800 Год назад +2

    naupenda sana huu wimbo ninawashukuru waimbaji ninahitaji cd

  • @hassanmnyongo3745
    @hassanmnyongo3745 3 года назад +18

    Wameweza jamn wacha like zao apa ;; Bwn utubadili tukufate ww milele na mileeeeeeee🙏🙏

  • @ronaldmarotso938
    @ronaldmarotso938 3 года назад +70

    Wimbo unaosafisha roho bila shaka... Wapi likes zangu mie ni jirani yenu hapa Kenya?

  • @batromeombogo297
    @batromeombogo297 4 года назад +148

    Kama nawewe unakubariki sana huu wimbo usinipite bila kulike

  • @ChristianMakowo
    @ChristianMakowo Месяц назад +1

    Hongera sana kwa wimbo mzuri 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @clementodasi5396
    @clementodasi5396 3 года назад +4

    Nani yupo nami 2021

  • @marylauriani365
    @marylauriani365 4 года назад +20

    Naupenda Sana bwana unibadili niyaache yote

  • @alfredkipsang
    @alfredkipsang Год назад +31

    ❤ I am not a Catholic but honestly speaking, this prayer song to almighty God for a complete change of behaviour & character to pursue His ways is not only speaking to my heart but also so humbling❤ Baringo Kenya❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Wonderful song. God bless the writer & the singers❤

  • @juliustemba9813
    @juliustemba9813 4 года назад +5

    Nafarijika sana nisikilizapo nyimbo zenu mbarikiwe

  • @AkilimaliDavid-gn1vf
    @AkilimaliDavid-gn1vf Месяц назад

    Nyimbo nzuri sana mungu mwenye ngufu awazidishiye

  • @estherkhym-yh2mb
    @estherkhym-yh2mb 20 дней назад +2

    Kama uko huku from 24th September 2024 and above like my comment ☑️✅

  • @franciswangome7822
    @franciswangome7822 2 года назад +8

    Nausikiliza wimbo huu mara si haba Kwa siku. Ni usanii uliosukwa Kwa tahadhari kubwa. Mola awajalie mema.

  • @franciswangome2853
    @franciswangome2853 4 года назад +42

    Usanii wa kipekee kuwahi kuonekana katika karne hii ya 21. Mungu awajalie neema. - Francis Wangome - Mwandishi wa Kiswahili nchini Kenya.

  • @tonyonuorah5500
    @tonyonuorah5500 2 года назад +54

    This is lovely, I don't understand the language though but I love songs, their beautiful terrain I might add.
    Love from Nigeria

    • @nathannbanda3345
      @nathannbanda3345 9 месяцев назад

      It's simply, saying, Lord Change me, change my ways, Let me leave everything, Let me follow forever (Milele)

    • @SsempijjaMark-lu1gk
      @SsempijjaMark-lu1gk 5 месяцев назад

      Thank you dear friends , I don't also understand language , but I've got to know

  • @judithfelician7215
    @judithfelician7215 2 года назад

    Ni wimbo ninaoupenda Sana ukiumba kwa imani unakubadili kweli

  • @mercymuia1851
    @mercymuia1851 4 года назад +8

    wimbo mzuri , nimependezwa na jinsi mnavyotabasamu mkiimba. ujumbe umenigusa pia. asanteni

  • @rehemkitara6978
    @rehemkitara6978 4 года назад +5

    Mlizaliwa cku 1 au!! Mko smart sna safi saaaana

  • @elineesso9344
    @elineesso9344 Год назад +19

    I am from togo , I don't understand the meaning but I love this song because is religious. I play it over and over through the day.

    • @georgemwangi6673
      @georgemwangi6673 Год назад +2

      The main message in the song is: Change me oh LORD that I may leave all and follow you forever.

  • @VeronicaMalinga
    @VeronicaMalinga 5 месяцев назад +1

    Wabarikiwe sana🙏🙏

  • @josephlufungulo6734
    @josephlufungulo6734 9 месяцев назад +2

    This is better ever.🔥🔥

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 5 лет назад +6

    Bwana unibadili niyaache yote nikufuate wewe mileleeeeeeeeee.
    Daaaaah hakika vijana mmeimba vizuri

  • @doreenchelimo4091
    @doreenchelimo4091 6 лет назад +10

    Wooow naipenda hii wimbo sana aki thank you kwa mtunzi waimbaji your rocking wallai ..God bless you all ..watching from Australia

  • @ochikomu1297
    @ochikomu1297 3 года назад +9

    Mimi ni mwana mkaya kanisa mtakatufu yo

  • @marianaemanuel6131
    @marianaemanuel6131 2 года назад +1

    Ameeniii mbarikiwa sana

  • @AlindaHidephonce
    @AlindaHidephonce Месяц назад

    Mbalikiwe sana napenda nyimbo zenu❤❤❤❤

  • @brendanyukuri4000
    @brendanyukuri4000 3 года назад +35

    Mimi nimekuwa mtu mwenye tamaa nyingi
    Ninatamani kila kitu kizuri duniani
    { Bwana unibadili, niyaache yote
    Bwana unibadili nikufuate wewe } *2 milele
    Bwana ninakuomba unipatie msimamo
    Nisimame upande wako, milele milele
    Bwana yabadili matendo yangu nitendayo
    Nitendayo yawe yakupendezayo wewe
    Bwana zibadili njia zangu nipitiazo
    Nipitie katika njia zako ee Mungu wangu

  • @bonfancenzioka6603
    @bonfancenzioka6603 5 лет назад +9

    Wimbo mtamu zaidi,napenda sana kuusikiza kila siku hapa Kenya

  • @yulianashirima4664
    @yulianashirima4664 5 лет назад +7

    Rajo production inafanya kaz nzuri sana,haijawah angusha mtu,😘😘nice song

  • @judiemdendejudiemdende4251
    @judiemdendejudiemdende4251 Месяц назад

    Wimbo mzuri sana huu unanibariki sana nausikiliza naurudia rudia tuu nahisi raha mno

  • @jafariufukuufuku5641
    @jafariufukuufuku5641 4 года назад +5

    Yani kupia hii nime badi dini kwa sasa naitwa zakayo amina mutumishi

  • @velejilyonatalis1787
    @velejilyonatalis1787 4 года назад +17

    Hawa watu waliimba vzr tupo 2020 tunaburudika na kumtukuza mwenyezi Mungu

  • @lusianajonas7684
    @lusianajonas7684 4 года назад +9

    Mung unibal mm mkosef amina

  • @hawakimolo
    @hawakimolo 13 дней назад

    Wimbo mzuri sanaa, Mbarikiwee

  • @josephabunde5480
    @josephabunde5480 3 года назад +1

    Kazi njema sana. Atukuzwe Mungu milele.

  • @renahtesha991
    @renahtesha991 4 года назад +7

    Wooow, , nawapa 100%, , hzo step sasa ndo usiseme

  • @iriboriflancine5635
    @iriboriflancine5635 4 года назад +30

    Wimbo nzuri sana yanigusa from Rwanda

  • @johnsadiki9668
    @johnsadiki9668 4 года назад +7

    When it comes to praise and worship, the Catholic Church leads, others follow

  • @ClintonMwacha
    @ClintonMwacha 25 дней назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 EBWANA unibadili niyaache yote nikufuate wewe milele amina

  • @alexanderboniface8362
    @alexanderboniface8362 3 года назад +2

    Nyimbo nzuri sana EE Mungu naomba unibadili

  • @imakulatamassawe8738
    @imakulatamassawe8738 4 года назад +28

    Aaaw, nyimbo nzur jaman
    Anyone April 2020 like below

  • @adzo.anassi7927
    @adzo.anassi7927 3 года назад +30

    🇹🇬🇹🇬🇹🇬 je suis togolaise mais j'aime trop votre chanson ça me donne la chaire de poule.bisou à ttes les membres de votre chorale

  • @donatio1
    @donatio1 4 года назад +78

    Such an amazing song and it’s so wonderful to see that it’s the youth singing!!! Love from kenya 🇰🇪

  • @regiobuluma5002
    @regiobuluma5002 3 года назад +1

    Nyimbo hio.da!! Tamu zaidi

  • @asuntakabeta7473
    @asuntakabeta7473 4 года назад +1

    Kazi nzur wimbo hauchosh jaman

  • @raymondkissapi784
    @raymondkissapi784 4 года назад +5

    Oooh! Angalia Vijana hawa wanavyomwimbia Mungu kwa furaha. Hakika Utukufu wake ni wa kushangaza na matendo yake ni maki hakuna kama Baba wa mbinguni.

  • @roseswai1653
    @roseswai1653 5 лет назад +6

    Kwa kweli wimbo ni mzuri una maadui mazuri mnaturudisha nyumbani gospo baby

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 5 лет назад

      Rose swai *maudhui

    • @yustorjohn5814
      @yustorjohn5814 5 лет назад

      Safi sana umetulia bwana unibalishe na Mimi ni wezekukutumikia vema amina

  • @kissamwakanemela25
    @kissamwakanemela25 4 года назад +7

    Umenigusa wimbo huu,,,ee bwana unibadili!!!

  • @JuliusMwangangi-vx3ew
    @JuliusMwangangi-vx3ew Год назад

    Kipawa kizuri sana kwa hawa vijana ¥ahweh awabari sana wazidi kumjua na kufanya kazi yake

  • @andrewkelley9329
    @andrewkelley9329 5 лет назад +7

    Hongereni sana Moshi University, Kilimanjaro Tanzania

  • @jackleleito4940
    @jackleleito4940 4 года назад +29

    the best song ever! "nibadilishe niache yote"

  • @rodgersatera4633
    @rodgersatera4633 6 месяцев назад +22

    I'm watching this 6yrs later,but the suprise part is that I'm an SDA but this song is on another level,the quality of the video,the presentation in short I felt in love with this song❤

  • @peterlonyait4101
    @peterlonyait4101 3 года назад +3

    Choir iko safi sana

  • @GastonCanuty-tx6pp
    @GastonCanuty-tx6pp 3 месяца назад

    Naupenda sana huu wimbo bwana unibadil njia zangu

  • @kbdk3065
    @kbdk3065 4 года назад +101

    Najivunia kuwa mkatoliki milele Amina!
    Bwana awe nanyi nyote!

  • @philipmuteti9366
    @philipmuteti9366 5 лет назад +10

    What a song! Inaniguza roho. Bwana naomba utubadili kwa, mafikira, mienendo, matendo na kwa njia zote ili tuweze kukutumikia kwa Uaminifu + 254

  • @melchizedeckoteri6944
    @melchizedeckoteri6944 5 лет назад +9

    WIMBO MTAMU SANA.NAOMBA NAMBA YA MTUNZI M.C MADBOGO.

  • @nivakaari4385
    @nivakaari4385 3 года назад +2

    Lovely.bwana unibadili.catho damu😋🥂

  • @RaimbegaMakanga
    @RaimbegaMakanga 3 месяца назад +2

    Nyimbo nzuri kabisa mungu awe pamoja nanyi,hakika nkisikiliza huu wimbo nahisi vyema katka cristo

  • @batromeombogo297
    @batromeombogo297 4 года назад +11

    Inafikia hatua mtu unakosa cha kukoment kwa jinsi unavyobatikiwa na kitu...
    kiukweli huu wimbo umekuwa faraja sana kwangu haiwezi pita siku au masaa bila kuisikiliza.
    mbarikiwe sana na nimeipenda staili ya uchezajiwenu.

  • @onesmokidava3383
    @onesmokidava3383 4 года назад +12

    Kweli kuimba mumeimba vizuriii Sana na ujumbe umefika kwa kweli I'm proud being a Catholic.

  • @savoelly9361
    @savoelly9361 4 года назад +5

    Nyimbo tamu Sana,wachezaji wazuriu,,bwana unibadilii

  • @IGESAWALLACE
    @IGESAWALLACE 6 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana, wimbo huu wabariki sana 🙏🙏

  • @masenouniversitystannescha3730
    @masenouniversitystannescha3730 2 года назад

    Wimbo mtamu sana. Hongera sana kwa kazi safi👏👍

  • @roselynemutash9396
    @roselynemutash9396 4 года назад +4

    Wooow bravo MUNGU amusongeze hatuwa nyingine.... Am blessed 🙏

  • @wesongajunior5963
    @wesongajunior5963 4 года назад +43

    October 2020 am still deep into this song....anyone else with me??

  • @andrewmikle2508
    @andrewmikle2508 4 года назад +20

    Mimi hapa tena, I can't get enough of this song, Bwana unibadili niyaache yote....

  • @ivynjoroge5812
    @ivynjoroge5812 Месяц назад +1

    🎉Hongeren sana jaman

  • @matildabarasa5184
    @matildabarasa5184 3 года назад +1

    Ninapo izikiza hubarikiwa sana mungu awainuwe zaidi

  • @kenedibasili6543
    @kenedibasili6543 5 лет назад +5

    gud wimbo mazuri sanaaaaa nimependa

  • @hildatmasalika2538
    @hildatmasalika2538 4 года назад +9

    Yani uu wimbo sichoki kuutizama hakika Bwana unibadilishe nikufate wewe milele eee

  • @Kevin-zl3yo
    @Kevin-zl3yo 4 года назад +8

    This is the best song till today keeps inspiring

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 2 года назад +1

    Kweli bwana unibadili Me na familia yangu yote

  • @jackkisima9664
    @jackkisima9664 3 года назад +1

    Mpo vizuri Mungu awabariki wote

  • @alexfausitnalexfausitn702
    @alexfausitnalexfausitn702 4 года назад +5

    Mbarikiwe Sana jaman

  • @aaronmangoka7306
    @aaronmangoka7306 3 года назад +12

    6th June,2021 the year of our lord ; who is still listening to this song. Hot cake

  • @brianndeto9188
    @brianndeto9188 4 года назад +7

    jameni just look at there faces always attracting napenda hii sana ...........

    • @saidisaraga2072
      @saidisaraga2072 4 года назад

      Jamani mmeimba vzr xn mwenyezi mung awa brk

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 3 года назад +1

    Jaman watu wa mungu bwana Jesus apewe sifa Napenda kuwakalibisha kweny Chanel Yangu ya RUclips ili mkone ngoma yang mpya ya gospel iko very nice Karbu sana

  • @ModestarShichehi
    @ModestarShichehi Месяц назад

    Huo wimbo uko Sawa kabisa

  • @resishansonoresisha3958
    @resishansonoresisha3958 6 лет назад +17

    Wow,,,,
    Nabarikiwa San
    Mapendo,,,,

  • @marcelinamassawe100
    @marcelinamassawe100 3 года назад +17

    Nana Anasikikiza mwaka huu 2021 twende pamoja

  • @jacobpatrick7936
    @jacobpatrick7936 6 лет назад +6

    Wimbo mzuri mnoo!

  • @fr.Josephat-SharingGodsLove
    @fr.Josephat-SharingGodsLove 2 года назад +1

    Great Mocu keep the faith

  • @elizabethmusyoka8971
    @elizabethmusyoka8971 6 лет назад +8

    Wow,endeleeni na kumtukuza Mungu...nawapata vizuri nikiwa Dubai,Mungu na atulinde sote

  • @lmmaculatelkula3170
    @lmmaculatelkula3170 4 года назад +49

    Who is watching with me may 2020?👍😃may God blesss u,l can,t get enough of the song,l born in catholic,raise in catholic,died in catholic,l get spiritualy uplifted throught the song,and l thank God for the blessing through the song.😘

    • @marto555k
      @marto555k 4 года назад

      Umegonga ndipo

    • @lmmaculatelkula3170
      @lmmaculatelkula3170 4 года назад

      @@marto555k🙏🙏🙏👏👏👏👍👍👍 thnxz bro,may God bless u .

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 7 месяцев назад

      I'm watching this year 2024❤🎉🎉🎉🎉😊😊

  • @danielekisinza537
    @danielekisinza537 5 лет назад +17

    Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri, naye mwenyezi Mungu awazidishie karama kadri ya mapenzi yake. Bwana azidi kudubadili kila uchao.