Mungu awabariki ninyi nyote mlioimba kumfikishia mwenyezi mungu ujumbe ..kuanzia sasa naanza kuimba kwaya..maana mandiko matakatifu yanasema amwimbiye bwana naye husari mara mbili
Very hot!!!maneno matamu yaliyo pangwa yakapangika ..Mwenyezi Mungu awazidishie neema... I feel blessed... Mungu awe nanyi kila wakati..habari tumeipokea
A beautiful song. Came to know it through St. Luke's Catholic Parish Choir, Oloitokitok (Kenya) and I can't get enough of it daily. God bless you all and keep you well for the beautiful music. Touching lives and hearts through beautiful music. Big up to Rajo Productions...
ooh wajulisheni habari za yesu ziwafikie
Mungu uzidi kuwapa mainjilishaji Hawa moyo wa kuinjilisha neno lako
Nyiye watu mungu awatunze maana mnaweza kunikosha
Wajulisheni habari ya yesu wote iwafikie..ujumbe mzuri sana..Hao vijana wa gereji mko juu tu sana.
Asanteni sana.Wimbo umenisisimua mno. Nashidwa hata namna ya kusema.Mbarikiwe sana.
Very nice words inside that song ❤❤❤ without Jesus we are all nothing 💯💯💯💞💞✔️✔️,
hongera Sana wanakwaya Jimbo la Moshi kwa namna ya pekee nampongeza mpiga kinanda daaah it seems to be so good hongeraaaa Sana
Hongereni xna wanakwaya wa mt George mungu azd kuwatia moyo mzd kututumbuiza
Mungu awabariki waimbaji wt kwa kweli napenda sana
Hongera sana nikisikiliza huu wimbo napata faraja sana
wajulisheni habari ee!!!kazi nzuri sana rajo mko juu. mzidi kubarikiwa sana wanakwaya wote
NIMEWAKUBALI 100℅ UJUMBE MZURI NA HASA ULIVYO ANDALIWA, SAFI SANA. HABARI ZIME ZIMENIFIKIA. THENGS!!!!!
Hakika wako vizuri,Mungu bariki waimbaji wote wa kwaya hii. kweli injili ya bwana ijulishwe pote duniani
Nimefurahishwa na kazi yenu, mbarikiwe sana ndugu zangu
Ok mmetimiza wajibu wenu,injili imetufikia,mwenye masikio na asikiye.......
Nawapenda mno habari za yesu zmetufkia kwa unjilishaji wenu wa uimbaji 😍😍😍💯😋
Kwake kuna uponyaji wasihangaike waje kwa yesu atawaponya🙏
rajo unatishaa babaa hongera sanaa kwa kipaji ambacho Mungu amekiweka ndani yako
Asante sana Eva. Ubarikiwe sana
Huu wimbo naupenda saaaaana,ni yenye nguvu saana
Kama umeikubali safu ya gereji wapo vizuri tupia like hapa
Ray Ufunguo uko juu kaka, nakumbuka kipindi ukiwa Umbwe parishi nilipenda kusali ibada uliyopiga kinanda mkuu....
Simone hao majamaa in Nouma hatari
@@thomasdeo9309 kweli bro
Sauti tamu..Mungu Awabariki
@@poulinmwikali2900 kbsaaaa
Disco la yesu ni Po pote na imenoga sanaaaa ...
Here in Kenya we live for Tanzanian's Catholic songs. Dont stop! Proudly Catholic. Proud neighbors!
0
00alasiri😊😊😊
Op
0
00😊9p
Habari, tunaendelea kuwajulisha ndugu 📗📗, wimbo mzuri Sana.
Amina sana Mungu Mwenyezi awabariki kwa zawadi ya uinjilishaji wa nyimbo👏👏👏🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana nyimbo nzuri na wapata huku 🇺🇸 💯
Mnanibalik saana
Proud of you brothers and sisters!! Big up and go ahead!!!
Nyimbo za kusifu
Hii imeenda hii imeenda
Mungu awabariki ninyi nyote mlioimba kumfikishia mwenyezi mungu ujumbe ..kuanzia sasa naanza kuimba kwaya..maana mandiko matakatifu yanasema amwimbiye bwana naye husari mara mbili
Kabisa kwa Yesu kuna mengi mema, asante kwa ujumbe mzur
in deed a well performed art, be blessed for your wonderful evangelisation
Hongeren sana wimbo uko pow sana hasa wale jamaa kma mafundi makenika pow sannnnaaaaa
Ray Ufunguo hata sijui nikuambie nini...ujue hamna kwaya uliyoipigia kinanda ambayo sijaiona. Mungu akujibu sawasawa na utumishi wako.
Huyu dem ako na bibilia, ay, napenda kicheko ako nayo.. Ni mrembo zaidi. Hi wimbo ni tamu saaaaaaana!!
Safi sana, mtukuze Mungu kwa uumbaji wake
Nice praise from the ladies, i miss seeing this humble, un exaggerated moves. Teach other choirs to stop dancing like pagans
Great plus good dancing you are really talented
Wapo vizur wanaimba vizur sana mungu awabariki wote
I'm proud to be a Catholic I love that song everyday I listen it gives me hope
ndugu zangu wa faida walioweka chapa ya wema kwenye moyo wangu,ni baraka sana kukutana na nyiye...l miss everything from you brethren⚘⚘❤
In love with Alto, my voice makofi kwenyu from Nairobi Kenya
Tujulishe habari za yesu Kila upande waweze kupata amani na raha
Waooo mnapendeza Kweli kuinjilisha habar za Yesu, nimependa sana
we are proud to accept the responsibility kuwajulisha watu wote HABARI ZA YESU.Be Blessed!
Najivunia ukatoriki mungu awe nasi
The song is mwaaa kwanza sauti yangu alto iko poa..habari zimenifikia
Wajulisheni habari za yesu wote ziwafikie.mbarikiwe sana
Amen!!
Hongereni sana na Mungu azidi kuwapa ufunuo.
All these songs make you know God and be close to him may he bless you and protects from this pandemic period have good knight.
Hongereni sana wanakwaya wa Mt Gregory kwa kazi nzuri mnatuwakilisha vema parokia Yetu ya Kristo Mfalme Moshi
መፈሰለፐጀሀ
Ditram Mlelwa
Tumsifu bwana wetu yesu Kristo milele na milele.proud to be a roman Catholic believer...
Jamani hii nyimbo naipenda sana Ila Luna neno slielewi wajulishe,,,,,neno linalofuata
WOW...... Mungu atukuzwe Milele hongereni sana Wanakwaya Mt. Gregory Mkuu
Asante sana Winnie
Cant get enough of this song. An amazing vide big up RAJO
Wazee Wa gereji mmetisha sana....kongole kwenu ase.
Hongereni Gregory mkuu moshi mnaimba vizuri sana
You people never fail, I respect your music, nani kama nyinyi? Hakuna, hawa waimbaji ni moto wa kuotea mbali, I love u all, nawa feel mbaya sana
huu mwimbo unanifariji mbarikiwe sa
toa tna
Soo nice..imetufikia hapa Nairobi
Nice. Song
wow wow wow. this is one of the best catholic videos I have watched. THIS IS AN AMAZING HYMN
Wow...in love with the bass and alto mmeimba vizuri sana...
Nimeupenda sana huu wimbo...,haswa nikimuona mkwe wangu Aunt Inno
Mwakasege lango LA mzaliwa wa kwanza
Director umenifurahisha habari za yesu kufika Garage
kabisa Alphonce
Hongereni sana wanakwaya wa Mt.Gregory Mkuu kwa kazi nzuri
Hongereni sanaaaaaa
Nzuri sana, sifa na utukufu ni kwa Mungu
Amina
Asanteee mungu wambinguni kwakuwaleta watu Hawa wainjilishaji kwanjia ya nyimbo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥💖💖💖💖💖
Asante sana Epifania
Utume mwema
I love this song sososo much,pongezi kwa mcheza tarumbeta uko juu sana.
wimbo mzuri hakika. hongera
Hongereni sana kwa kazi nzuri. Hakika nabarikiwa sana na wimbo huu.
Kweli wajulisheni habari za yesu wote ziwafikie mungu awazidishie
Amina watumishi Wa mungu ila tusiwekama wapiga debe wanasema twende huku kisha yeye anabaki nyuma wapendwa tusonge mbele
Waooo hongeren Sana kwa utume hakika wimbo huu ni mtamu
mpigaji kinanda upo vzuri brother,
Safi sana bwana mimi pia ni mwanakwaya sauti ya pili ( alto mpooo!!!) Jennifar from migori kenya
Wajulisheni ha bari za Yesu wote ziwafikie.Mmejua kunifurahisha mbarikiwe sana
Asante RAJO kwa kinanda Makini
Mko vizuri kumba, Mungu awabariki Sana.
wapi like za mafundi gereji
Hata mm sijaona Mafundi gereg jaman
Wewe Rajo nasisi tunatamani sana kufanya kazi na wewe kazi zako ziko poa sanaaaaaaa
Wapi wazee wagereji hongereni sana
Mpiga kinanda kweli ananibariki mungu amtie nguvu
Very hot!!!maneno matamu yaliyo pangwa yakapangika ..Mwenyezi Mungu awazidishie neema... I feel blessed... Mungu awe nanyi kila wakati..habari tumeipokea
Nimetafuta hii wimbo..
Mmmh jamani mtunzi ,waimbaji na rajo production hongereni sana mmeonesha upendo katka Kristo hongereni sana
Ubarikiwe sana Emmanuel.
Is a nice choir! Sauti na vyombo vimepangwa vizuri.
Warudishen habar za yesu
A beautiful song. Came to know it through St. Luke's Catholic Parish Choir, Oloitokitok (Kenya) and I can't get enough of it daily. God bless you all and keep you well for the beautiful music. Touching lives and hearts through beautiful music. Big up to Rajo Productions...
Wimbo mtamu mno Mungu awalinde na awape nguvu ya kuueneza injili ya Bwana Yesu Kristo
Hongereni mungu awabariki kwa utume
Amina safi
mpangilio mzuri sana, hongera muongozaji(director)
Safi sana
Fundi gereg piga keleleeee 🥰🥰🥰
Tumtangaze kristo kwa nyimbo
Bravo,good job indeed. Nimebarikiwa sana,hongereni kwa uimbaji mzuri na ubunifu wa ki pekee
Sana
Ubarikiwe sana Felister
Aminaaa .Hongereni sana kazi nzuri mbarikiwe
Asant sana uu wimbo naupenda sana
Wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri kwa yesu ndo kila kitu axanten sana
Wote wanaopenda RC like tujuane
Kama kawa rc
Asant
sa
ahsanteni sana kwa ujumbe mzuri, pia nawapenda sana
Woooo pongezi sana nyimbo nzuri sana
mmeimba vizuri sana na video nzur hongereni
Lunya gosipel