Anastacia Muema- Wema Wako Wa Ajabu (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 19 авг 2022
- Hakuna jambo tunaloweza kulifikia katika maisha kama sio kwa Wema wa Mungu. Huruma ya Mungu kwetu ni Kubwa sana na ndiyo sababu tunapaswa kumshukuru kwa wema wake kwetu.
Ungana nami katika wimbo huu unaoitwa WEMA WAKO WA AJABU.
Wimbo huu umetungwa naye Angelo Kitosi, na kurekodiwa katika studio za RAJO Productions. Kinanda Kimechezwa na Ray Ufunguo.
Liturgical dance imefanywa na kikundi cha ARUSHA ELITE DANCERS.
Mungu wa Mbinguni atubariki sana.
Tradition: “Hehe Melody”
#trending #catholicgospelmusic #rajoproductions
#anastaciamuema Видеоклипы
To use WEMA WAKO WA AJABU as your SKIZA TUNE, send “SKIZA 5968706” to 811.
Elle est de quel pays ? Je vous suis depuis le Sénégal. Bonne continuation et longue vie à vous.
💯👍👍
Mungu wetu ana huruma nyingi sana kwetu. Tunapopitia shida kwenye maisha yetu, au watu fulani wanapotupiga vita kwenye maisha yetu, tusisahau kwamba yeye ndiye aliyetuumba na anajua hitaji la kila mmoja wetu na ana uwezo wa kufanya miujiza katika maisha yetu ili kunyamazisha wanaotupiga vita. Tunyenyekee mbele zake kwa moyo wa shukrani kila wakati. Tafadhali nipe sapoti yako kwa Kushare huu wimbo.🙏🙏🙏. Please watch the ads too😀😀. Please SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE WIDELY!
Nawapenda sana♥️♥️♥️
Pl
You should be really proud of yourself. You should also feel happy that you have created something that is both popular and original. Keep on creating more amazing songs like this one. Congratulations Anastacia
Beautiful hit
Kazi bora sana i promise and i will fullfil my promise from mwanza Tanzania.
Naupenda ujumbe wa wimbo huu Sana🥰❤️ Ni Mungu anajua kila Jambo na ana mipango mema juu ya maisha yetu,,,, asante dada.. God bless you 🙏🏾
Asante
What an amazing song 🔥🎵 👏. Great voices. Hongera sana Anastacia 👏👏👏. Keep it up. More anointing. Waouhh, creativity 🔥🔥
Thankyou so much my dear🙏🥰🥰
@@anastaciamuema You're welcome. Be blessed 🙌 🥰🙏
Am not a Catholic, in fact an SDA but am addicted to this song🥰
Huu wimbo unanilenga Mimi nilipoanza kazi mahali nikajiuliza nitaweza kweli lakini mungu aliniwezesha mpaka Sasa ni miaka saba nafanya apo tu
Wow! Wow! My new favorite🔥🔥.. so so impressive, blessed indeed❤️❤️
Thankyou so much my sister♥️♥️♥️
Your songs will bring back many to church, as catholics we are proud of you.
Indeed your songs are message from God🙏
Amen to that. May God do wonders through these songs as we continue with the works of evangelization.🙏🙏
Nilipopigwa transfer nikafika kwao hawakufurahi, manager wa pale alipanga njama ya kunifuta kazi. Alitafuta mashahidi wa uongo wamuunge mkono ili nifutwe, NILIDHANI WAMENIMALIZA LAKINI SIKU YA KUSIKIZWA KWA KESI YANGU MUNGU ALIWAPIGA NA KUWAAIBISHA MAADUI ZANGU WOTE. Wimbo huu unanitia nguvu siku zote.
Mungu yupo Sana.
I have the same experience
Wimbo huu unanifariji sana
Amen,Mungu anatupigania siku zote
Nakubuka Kuna siku nliwahi dharauliwa, nkatusiwa nkiitwa kwetu n maskini😢😢But let me tell you Mungu n nani😢😢Leo hii walionidharau wananioba nirudi kwao
Annastacia Muema rocks the catholic solo voice. Such a talent is a blessing to many.
Thank you.
We are yearning for more.....
Thanks and Amen to that. I hope God will continue strengthening all of us to serve him in truth and spirit.🙏
You're an inspiration to Kenyan Catholic singers. You sing so well. Thanks for representing us we'll in Tanzania. Mwiai Akuathime...
Amina. Asante sana Paul. Mwiai akuathime.🙏🙏🥰
This song has been my morning medicine daily 🙏.
Much love🇰🇪🇰🇪
Aaaawww❤❤. I’m glad you love it!🤗
Am not a catholic but hii nayo imeniguza from tiktok
This is an extraordinary performance! Angelic voices,excellent and churchic dressing style , the dancers did so well as if they have no bones within their bodies , instruments well organized coordinated and regulated , a well fitting and fascinating message. Congratulation to the producer, talented sister Annae, dancers and who ever involved. This is the song of the year to me
Thankyou so much Mr. Makalius. May the good Lord bless you for your kind and lovely words of encouragement.
Blessings upon you!🥰🥰
❤💕 Can't get enough of this song. Nimesikiza the whole of Yesterday and still on it.
The voices🔥🔥, content😍, production💞 is super awesome.
Aaaawww🥰🥰. Thankyou so much Mwende🙏
I not speaking your language but I like your gospel song so much good day my family for God
From TikTok ❤❤ this song is a blessing to me
You've blessed us with such an inspiring song as we begin our Sunday. Proud to be a Catholic# Be blessed girl🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Thankyou so much Felistus.🙏
Proud to be a Catholic💪💪
Great is an understatement...This is soo wonderful 😍.Thank you soo much Anne for blessing us with such a beautiful song.It keeps getting better every single time.Keep soaring higher ❤️
Thankyou so much my dear sister!
Thanks a lot for watching!♥️♥️
This song is a true reflection of my life story....I always sing and thank God (my eyes full of tears 😭) just imagining how God as always makeup me win all the battles, God as really done alot to be .....I will forever be thankful to Him .
Listening to this when waiting for my son's 2 surgeries and so far undergone 2. And he's just 1 year few months.
All the best
He will make it in Jesus Name❤❤❤❤❤.
Ni Mungu atawawezesha🙏😍
It's gratifying and heartwarming to see you profess your catholic faith through scintillating music. It truly puts you on the frontlines in the work of evangelization. Your music is like a well laid out buffet - it soothes, uplifts, entertains, teaches, and leads one to a deeper union with God through prayer. Keep doing what you do Anastacia. Very proud of you 👍🏽🙏🏽🙏🏽👌🏽
Thankyou so much Fr. MJ.🙏🙏
Thankyou so much for the compliment. I always feel good when reading your comments. They are very encouraging.🥰
All I ask from you is prayers. As you offer mass, please always tell God something about me.😊🥹🥹
Be blessed.🙌🙌🙌🙌
@@anastaciamuema Your inspiring songs continue to tilt the scales in God's favor. Baraka 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wombo mtamu Sana... Kwa kweli ni Mungu ndiye anajua mipango aliyonayo juu ya maisha yetu. Asante kwa kutubariki na wimbo huu😍❤️
God bless you sister 🙏🏾
Keep on using your talent for the Glory of God.
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Amina. Niombee nipate nguvu za kuendelea kufanya kazi yake.🙏🙏♥️
Bila Shaka nitazidi kukuombea dada🙏🏾🙏🏾
Najivunia kuwa muumini wa RC kizuri kisifiwe siku zote hii kwaya imenifanya nitamani kuimba kwaya kabisa. Dada kweli umeitumia sauti yako vizuri kumuimbia bwana HONGERA SANA KWA KAZI NZURI hii kwaya naisikiliza kila muda 😊🤝
Just out of surgery,feeling consoled with this song,Glory be to GOD forever
It's wow,, which cultural dance & dress code it's more than traditional,Almighty Bless the brethren indeed & much More Inshallah 🙏.
Thankyou so much Vincent!
Baraka tele kwako🥰🥰
@@anastaciamuema Shukryaa & much welcome mummy 😘
Mi ninakushukuru 😊
Hongera kwa kazi njema sana @Anastacia Muena. Karibu Shinyanga Tanzania 🇹🇿
Asante sana Rex.🥰🥰🥰
Nitafika Shinyanga soon!
I can’t get enough i love this song alot i am not a catholic but this songs makes me feel like one well done❤❤
Nilifukuswa kwangu without anything bt now niko na shamba,na pia nimejenga nyumba ya 82 iron sheet ya permanent,aki wimbo huu imenikuza sana,nimebarikia mpaka huwa siamini
Mmmmmmmm I have lost words to describe how I feel more blessed listening to this amazingly produced song. Keep it up doing well in this industry Anne as you stay blessed dearest rafiki 🙏
Thankyou so much rafiki yangu. Be blessed🥰
Thanks for your support!!!♥️♥️
Honestly this song is lit 🔥 I lack words that can express how touched I'm but Anastasia you are doing a great job. Keep it up, continue nourishing our souls with good music.
Thankyou so much my friend Mogendi.
God bless you!🙏🥰🥰
Ukihitaji kutumia WEMA WAKO WA AJABU kama skiza tune yako Send “SKIZA 5968706” to 811.
Thanks 🙏
This songs really make me feel so proud of my catholic faith
I love how you are dedicated in your singing, may the good Lord guude and keep you high katika kazi yako ya uinjilizaji
Amina🙏🙏. Tumshukuru Mungu kwa yote.🙏🙏
Asante sana Josephat Taige for watching.🌹
Tunakutana tena Miss Anne, I had missed listening to your voice in a new song 🌹
Ni wimbo mtamu mno, nimeuenda sana.
Hii ni kazi nzuri, kongole 👏🎉
Asante sana. Na tutakutana tena kwa nyimbo nyingi zaidi.😃
Tumwombe atujalie nguvu na uwezo.🙏🙏
Am adventist and we are very choosy about songs, but this one is a classic song, very uplifting...congratulations!
Im always blessed when i listen your songs sister Anastacia, you never disappointed me from dressing code, up to song content, your talent is blessed. 🎉
Thankyou🙏
wow you again made it what a hit. Its really such an inspirational song for sure if I see where I came from and where I'm now I have to thank God. Thank you MUEMA for preaching the Gospel may almighty Father never blink his eyes over you and your companions be blessed forever
Amen!
For sure God is faithful and His love is reigns for ever!🙏
The long awaited is now out😀😀 I must comment the song is so sweet 🥰🥰not forgetting the voice is soooo amazing 🔥🔥🔥 blessed Sunday sister 🙏🙏🙏
Aaaaawwww🥰🥰🥰. You’re making me blush. Thankyou so much dear and have a lovely Sunday as well.😊
Hii kati ya nyimbo zako zote naipenda Sana
I like playing it mara Kwa mara
Anastasia keep it up
Far u going
🔥🔥🔥🔥🔥
I’m glad you love it!🤗🤗😘
AMEN AMEN🙏🙏
Asantee Mungu umenitoa mbali sana umenikinga na mengi Nashukuru Mungu 🙏🙏
Congratulations Anastacia and team, for blessing us with nice message
Thankyou so much for watching 🙏😊😊😍
Wow this is so amazing,,congrats and keep soaring high in the Lord,, beautiful worship indeed❤️❤️❤️
Thanks alot Magdaline.
Amen🙏🙏🙏
Thanking my God having brought me this far 🙌 🙏 I'm a living testimony ,never saw myself stepping into this year......😭😭😭😭😭😭😭Lord your girl is grateful 🙏
All time my ringtone❤❤❤ I appreciate this song so much it decicates me whenever am going through difficult time❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
We are blessed here in catholic life. Such a song wow!!
Let’s thank God for everything. For ever catholic💪💪💪
Am really blessed. Thank you for the spiritual nourishment. Be blessed
Greetings Early birds. Kindly let's share this amazing and inspiring song across our social handles. Do this for our beloved sister and graces will flow in order.
UBARIKIWE.
BCS
Thankyou for putting emphasis on that.
Be blessed🥰♥️
Hongera sana
Nabarikiwa sana na huu wimbo❤
Nafurahia sana napo uimba....any day any minute🎉
Anastacia you are doing a great job God bless you you are using your talent for good ❤
My favourite Catholic solo artist in Kenya be Blessed
Aaaawww😍🥰🥰. Thankyou so much gal.♥️
I keep watching this video again and again
Message - loud and clear 💕
Video - Heavenly 💕
Voice - Angelic 💕
Beautifully done Ann. More blessings!
Aaaawwww🥰🥰🥰. Thankyou so much Alex🙏🙏🥰🥰
Mungu akitaka kumuinua mja wake hakuna wa kumzuia songa mbele kutuonjilisha nitakuombea daima
Am an SDA but hii song is on another level
Thankyou so much peter. Be blessed!☺️☺️
I'm playing this song for the I don't know tenth or what time today. It's my birthday and it feels like it was meant for such occasions. The song is so lovely, entertaining,such a sweet melody then I love the voices... And the bass part ofcourse.. I can't have enough.
Well done
Aaaaawwww🥰🥰🥰🥰. I’m glad you love it.
Wishing you a happy happy birthday.👑👑
How old are you nooooowww….??? Singing😅😅😅
@@anastaciamuema I'm old enough nooooooooow(singing)....
Happy Birthday .... God Bless you.
@@rajopro I'm humbled.
African Beauty 💞 Miss Anne ! You have raised the bar so high in Solemn praise and Thanksgiving to GOD The Most High. 💖Sweet voice and relaxing Praise 🙏 , you stand out as The most adorable role model to many young and old. You will live long to see the fruits your good work.👏👏👏.
AMEN!AMEN!AMEN!
God bless you James🙏♥️
Can't get enough of this song.... congratulations my home-neighbour. May Abba Father keep you and grant you more days and grace to do what you like most.
This is my testimony...I can't get enough of this song.
Amen! Amen! Thanks be to God in the highest.🙏🙏
Weeeh! Sema kuingoja! Finally it’s here!!! And now I’m sobbing tears of joy!!😢 Thank you darling for this!!
Aaaawww🥰🥰. I’m glad you have a testimony! May God bless you.🙏
Rajo production never disappoints🙏🙏🙏💙💙 Ray ufunguo it's at his best
Thanks for the compliment!
He is the best.👏👏👏👏
Ubarikiwe dada kwani unatumia vizuri talanta uliyopewa na mwenyezi Mungu 💓💖💓💖💓
Wema wako kweli ni wa ajabu hongera dadangu!
Karibu Tassia Catholic church mafanis wako tuko mob.
Miss Ann you are really blessed....I so much love your voice and your songs...They always rift calm my spirit....This is so beautiful ❤️❤️❤️❤️❤️......
Go Go Go Our Kenyan star ✨⭐✨⭐
Thankyou so much Mary.
Thanks for those good words. Let’s pray for one another.🙏🥰🥰🥰
I promise you my prayers siku zote...I want to be like you when I grow up more😂😂
Nice song, I love it!!👏👏👏...all glory and praise to the most high God for the talent and skills He has bestowed upon you and for the grace that you use them in magnifying His Holy Name. keep up buddy👊
Thankyou so much my dear friend.
Thanks for the compliment! God bless you.🥰♥️
Wow nice songs siz umefanya moyo wangu kuwa umetulia
Am proud to be an catholic you will go go go far God bless you 🎉.
Have watched and listened to this song uncountable times, am blessed.Nice song!!
Aaaaawww🥰. I’m happy to hear that. Be blessed🥰
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi mlio tuletea yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina.
Amina 🙏
Ubarikiwe sana Zawadi.♥️♥️
Nice song ,kumbe ni ww Mungu ❤
I'm leaving my comments here so that if anyone likes it I get reminded of this song....congrats 🎊 for this great song Kenya is locked and listening
Thankyou so much Fabian🙏🙏🥰
😍😍😍👏👏👏hongera sana dada yetu....nafsi zetu zinafarijika sana...kwa nyimbo zako...tunapata imani na tunaimarika kiroho...kwa nyimbo nzuri za kikatoliki...👏👏👊💯💯💯🥰
Amina🙏
Tumshukuru Mungu kwa yote🙏
Namimi ninampongeza sana
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu kristu.
Amina. Ubarikiwe 🥰
Na hata sasa niwewe Mungu unaniongoza nakushukuru Mungu kwa mapitio yangu
To support my ministry
Till Number: 9057903
Mpesa No: +254795457774
Sikiza code?
Been looking for the lyrics to print it for my father...
Please, next time come to church with copies of your album. We need to buy.
Good good work sis keep 🔥🔥🔥🔥🔥 burning Asante sana
Asante sana,huu wimbo ulikuwa kama kionjo kwenye wimbo wako wa #nyimbo tamu. Nilpoomba na sasa umejibu nilikuwa nikiungoja Kwa hamu sana
Aaaawww🥰. Nafurahi sana kusikia hilo.
Asante sana kwa kutazama. Mwenyezi Mungu akutangulie.🥰🙏🥰
Asante mungu akufanye kuwa wa viwango virefu zaidi katika karama Yako hii ubarikiwe sana karibu sana mkoani songwe ya Mt.peter claveri mlowo mbozi songwe
A proud Catholic thanks for the song it's such a blessing
When i remember the routes of life i go through and listen to this song i stand to thank God 3:56 🎉
Najivunia kuwa MKATOLIKI dada Anastacia ,your songs are encouraging keep it lit 🔥🔥🔥💪💪💪
👍👍💯
Hongera sana Anastacia kwa bidii yako, keep the fire 🔥🔥 hot. Kazi safi production team
Asante sana ST. Abudant blessings upon you.🙏
@@anastaciamuema good work msichana wetu injili iende mbele
@@mathewmakula7330 asante sana. Amina🙏🙏
Sichoki kusikiliza ujumbe wa mungu
Alafu wambie rey mungu anampenda sasa sisi pia twakubali kazi zake kweli mungu amempa kipaji cha kutunga nyimbo napendasana nyimbo zake ,sasa mwambie nakuomba anitumie notar zake plz
Bringing a new taste into the Catholic music in Kenya! Sauti nayo Maulana kakupatia nawe kaitumia vilivyo. Hongera
Asante sana Matthew. Tuendelee kuombeana ili tuzidi kumsifu Mungu kwa njia ya nyimbo tamu.🙏🥰
❤ mungu apewe sifa nashukuru Sana tangu nianze kusikiza nyimbo za dada muema Niko very blessed natamani kushiriki nanyi sana asanteni
Wimbo mtamu xana nabarikiwa mnooooooo
This is what the lord has done for me ....looking behind and where am heading so far ni mungu ..wema wako udumu milele
AMEN AMEN. His goodness and grace is sufficient! He is the author of our lives and nothing fashioned against us can prosper.🙏
Nyimbo zako huwa zinanibariki mno nakunitia nguvu sana
Huo ni ushuhuda tosha! Amina🙏
kweli mungu ndo anani lead every where thanks! & be blesssed
Dadaangu nakupenda sana Yani natamani siku Moja niwe kama wewe unanibariki sana dada Anna
I am proud of you Anastacia👌
This guy Anastasia🤔 the vocal voice, her body movements is a reason I keep on coming back....this song is nostalgic 🔥🔥🔥
Anastasia muema ubarikiwe sana kwaya zako nazipenda sana mungu awe pamoja nawe🙏
Hongera kwa kazi nzuri dadaa. Sichoki kusikiza sauti yako tamu🥰
Asante sana dadangu Mary. Ubarikiwe sana🥰🥰
Kwa kweli Muema anayo sauti Tamu sana
@@anastaciamuemaAmina pia nawe ubarikiwe🙏
@@felixmwirigi631 kabisa very sweet natural voice😍
Kazu zuri anastacia❤️
Wooooooooooow.what a nice song..
Congratulations dear,blessings all the way ❤ 😍
Thankyou so much Veronicah🥰🥰🥰
Natamani kuimba kama wewe but siku moja mungu ataniongoza❤❤❤
You never dissapoint sister Ann. From glory to glory each day
I’m humbled by your comment.😊
God bless you guys as well.🤗🤗
Safii Sana ubarikiwe
@@colethakwaslema7190 AMINA
From Kenya with love. Unaimba vizuri zaidi mamaa.
Wimbo wangu pendwa sanaa🥰🥰🥰
Kwa kweli unastahili sifa unaimba kwa ubunifu mkubwa na upako mwingi mungu akufikishe mbali ktk uinjilishaji huu
Daily lazima nisikize this lovely song siz you are the best continue the good work of God na jua kwamba kenyans we love you so so much
How can one resist to listen to such a soothing voice projected to praise The Living GOD The Almighty ! Miss Anne, You're truly amazing.
Thankyou so much James🙏🙏
Good music,congrats to the audio producer,very clear audio ❤❤❤❤ congratulations sis Anastasia more blessings and grace 🎉
Mnapendeza kweli,wimbo huu unatia nguvu zaidi,i love the rhythm sounds and mostly the instrumental s, keyboardist uko gifted,i use to see you in many songs,kwa jumla Mungu wetu awabariki, Amen
This song inspires me alot... Lord open doors for me year 2023,i thank you for your Love and blessings