MANENO MATAMU_Kwaya ya Moyo Safi wa Bikira Maria_Unga Limited - Arusha
HTML-код
- Опубликовано: 14 июн 2019
- Maneno Matamu, ni wimbo Maalum wa ndoa ulioimbwa na kwaya ya Moyo safi wa Bikira Maria - Unga Limited Arusha. Wimbo huu uliotungwa na Ndg. Hendry P. Kimario, upo kwenye album inayoitwa Pindo la Uzima. Wanakwaya hawa wanakukaribisha kusilikiza na kuutazama wimbo huu.
Huu ni wimbo bora kabisa miongoni mwa Nyimbo za ndoa Katoliki.
This is a Catholic Swahili wedding Song. You are invited to watch and listed to the beautiful melodies from this choir, one among the best choirs in Tanzania.
Tuendelee kufurahia Muziki wa kanisa katoliki, Muziki unaohusu Habari za Yesu na maisha ya Ukristo kwa ujumla.
iwapo ungependa kuwa wakala wa kuisambaza album hii, fanya mawasiliano kupitia namba +255 762 749 638 au +255 623 983 469
#kwayakatoliki Видеоклипы
Please support: www.patreon.com/user?u=77044884
Stalar
Hongera sana
Who is watching 2024
Hayooooooo maneno matamu hayooooo yafariji yampe raha nakupenda sana my wife agness christian
Kiukwr mungu sahidia na minifunge ndoa
Wimbo mtamu sanaaaaaa hongereni sana wanakwaya❤❤❤
Baraka za mungu ziwe pamoja na nyie ,wimbo mzur sana❤
Yaan huu wimbo unahamasisha kuoa jaman. Nawakaribisha mwakani mwez wa 12 ndio ndoa yangu. Mungu awabariki
Hongera
Nawatakieni Wema na baraka
Ubarikiwe
❤❤❤❤❤ ahsantee Sana 😊
Ongel Zak joman💐
Proud to be a catholic following from Qatar
Kwa nyimbo za kikristo, Tanzania wanaongoza katika africa nzima..Hua napenda nyimbo zenu sana tena hua yananiliwaza sana..Pongezi.
Wewe ndio heshima ya mke wako... Likes za Kenya zije
Wimbo mzuri sana tena wenye meseji tamu. Mnapendeza sana mbarikiwe
Huu wimbo mzuri Kwa wanandoa ila sala inahitajika kwa taasisi Za ndoa shetani anazinyemelea sana
Wimbo umenibariki sanaa
Kwaniaba ya Wakenya,Tunashukuru Mungu awabariki.
Rajo production mambo yote.. mzidi kubarikiwa. wanacatholiki hoyee❤❤👌👌👌🙏 naamini kwamba huu mwaka 2021 nami nipate ataye niambia maneno matamu.
Mungu anipe wajufana nae wakunipa maneno matamu hongereni sana wanakwaya
I'm proud to be a Catholic gentleman from Dubai munanda.❤❤❤❤❤.
Ujumbe mzuri sana
Nimeisii naimbiwa Mimi Mungu nijalie nipate Mme bora natamani na Mimi siku moja niimbiwe hivyo
Namimi naupenda sana huu Wimbo,, waimbaji wabarikiwe sana, Wimbo huu waimbaji mliutendea haki.
Wimbo mzuri sana huu ,,Mungu awabariki mzidi kusonga mbele na kuletea nyimbo nyingine nzuri
..nyimbo nzur...I get hope when I do listen Rc songs..👍👍npeni like zenu nyamani kama nawe umeikubali nyimbo hiii
Asante sana Solanus...
Pastor lucth natasha
SOLANUS KOMBA nzuri sana wimbo jamani najivuna kuwa mkatoliki
nzuri sana
Nice sana
Soft voice but harmony. Love from Indonesia
Kwaya imenibariki sanaa na mkumbuka rafikiyangu Gaude mloka .Emanueli Ngunje na Familia ya Mzee Roki mkoba Mungu awabariki sana
Niko hapa naenjoy,mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Wow💍nmewish nimvalishe ajiskie kweli ni mimi niliye mchagua l like this for real am blessed
Baraka za Mungu kwenu,wimbo Mzuri mno,ubunifu wa kiwango cha juu,picha bora,mpangilio mzuri wa vyombo na sauti,ujumbe,mavazi vyoote kwa ujumla,Ahsanteni sana🙏🙏🙏
🙏 hallelujah
Baf
Baraka
Hongera sana wanakwaya Kwa kuupagilia vizuri wimbo Mungu awabariki nyote mlioshiriki kuufanikisha wimbo huo
Halleluy bwan yes asifiwe wimb upo poa
Napenda huu wimbo sana muñgu awabariki watching from Kenya🇰🇪
Huu wimbo ni mzuli sana ata maudhaui ya wimbo nimeyapenda
Wimbo mzuri, sauti zimeingiliana kwa utulivu mkubwa.
Dah wimbo unanigusa hadi kumoyo yani sichoki kuusikiliz..... Hongereni waimbaji Mungu azidi kuwainua mtumike katika viwango vikubwa zaidi..... Amen
Naiota sana hii siku cjui lini mungu naomba niletee anaestaili maishani mwangu
Hakika nimejiskia raha sana najivunia kuwa mkatoliki
Nyimbo hii ni nzur na ina ujumbe, mzuri kw wana ndoa,,hakika maneno matamu ni kama sega la asali,,,nayo huimarisha ndoa na kuwa yenye furaha.
Wimbo huu nimeuona leo ila huwezi amini toka asubuhi nasikiliza hadi now,hongereni sana na mungu wa mbinguni andelee kuwapa vipaji,mke wangu kauliza vp leo na wimbo mmoja nikamwambia hata ww nahic upendi nibadili na ndio ikawa hvyo
Asante sana Paul. Ubarikiwe sana.
Hiyo sauti ya kaka hapo ....hayo maanenooo 🎉🎉 best song ever
Big up guys i love this song be blessed kwa maneno yenye busara.... from Kenya
I wish nipate mmoja mwenye ako na love ya ukwel tuwedd pamoja .
I lv this song so much.
Niko apart✨🎈✨🎈✨🎈✨
🎈🌟🎉🎂🎉🌟🎈
✨🎉🎁🌟🎁🎉✨
✨🌟🌟✨🌟✨✨
✨🌟🌟🌟✨
✨🌟✨
✨ 🌟 ✨
🔥
💗❤💗
💗❤❤❤💗
Niko
Kwa wahaya tujuane pale mwanzo wimbo unavyoanza unasema. Akananaa akanana kaile konaa kailee kaile Ni keogoraa. Kama were ni muhaya na unakumbuka gonga like hapa
Nikajua niwahaya kumbe😜
Hongeren sana wimbo mzu sana sijawah kuchoka kuutazama
Mungu akuze huduma yenu sio sili nimeupenda wimbo
Who is watching with me in 2021?😊
Wimbo mtamu sana
The best ever love song from Catholic fraternity, wapi likes za 2019
❤❤ ongera muombe Mungu akujaalie uzima
Ntafurahi kuuskiza huu wimbo
Fière d'être catholique, j'ai célébré mon mariage avec cette belle chanson en 2020, en la paroisse sainte Elizabeth à lubumbashi DRC
Amen💕🙏🙌🙌🎷🎤👏👌mwanamke hanaitanji maneno matamu siku sote barikiweni sana Wana ndoa wetu💖👏😍💏
Gudluck mnatupa moyo sisi wabab harusi watalajiwa tuzidi kutoa maneneo matamu ya midomo yetu
Nasikia Tu kuoleka wau nice song
Naupenda sana huu wimbo Wacha tyu Leo ncomment....you made it🌚I wish huu wimbo uimbwe cku ya ....yangu🙈🙈🙈🙈
Mzuri sana
Congratulations for a job well done 👍✅
Ni tam kwelikweli, Mungu akafanyike baraka ktk ndoa yenu.
Wow I wish I was the one naimbiwa I love the song so much 💕 may God bless your marriage🙏🙏 na waimbaji pia be blessed 💞💞🙏🙏🙏
Hayo maneno ya mdomo wako ni mazuri yampe rahaaa💖💖💖
Nimewapeda mno❤️💚💝
Hongereni kwa utunzi wa nyimbo bora za Ndoa, hakika zinatia hamasa kwa jumbe nzuri zilizomo.
Hakika imekaa poa najivunia kuwa mkatoliki MUNGU awabariki wote mlioshiriki kwa vyovyote mpaka huu ujumbe ukawafikia wote duniani mbarikiwe sana
Najivunia kuwa Mkristo mkatoliki
kweli mungunimwema,nyimbo kama hizi nihadim sana kuzisikia,kweli mpovizuri sana walim pamoja nawanakwaya.
Fact
Aminaaaa
Barkiwa Sana'a KK kwa kushukuru
ni kweli jasili kuzidi kumba kwa mungu kuwa mfano kwa watu wengine
Aisee nmependa hongeren kwa sauti nzuri
Safi sana ,,,Mungu sikia kilio changu unisogezee karibu Adamu wangu na yy anione Eva wake😋😋😋😀😀😀🙏
Aikande mallya I dream the same has you praise God
Nimekuja adamu wako
Niko hapa adam wako
Kagd
Ffhsh
Xxxx
Xxx
Xxxx
Wow wow!!!
Nyimbo tamu Sana.....
Hata sisi huku 🇰🇪🇰🇪 tumeipenda
Imenijenga sana pia nimefarijika sana
Sauti ya 3 mpovizur sanaaaaa mungu awabariki akika
Safi
Wimbo ni meupenda saanaaaa💖💗
Who is watching this song 2020 ?.I usually not tired to watch this amaizing song everyday.
im watch now 2020
Nakumbuka siku ya ndoa yangu asante mungu
Kuoa raha sana
Waimbaji jipongezeni sanaa kwangu haitoshi mana raha sana
Amen nimetamani kuoa jaman kwa kazi kama hii imenivutia sana jaman
Kwa hakika kazi nzuri mungu awabariki awazidishie ubunifu na kutafakari zaidi amen amen amen amen amen amen
Wimbo umenitia moyo sana wakati huu mi na bwanangu hatuongeleshani
Hongereni sana kwa wimbo mzuri hakika mmeutendea haki✓
Mmmh pole my dear yataisha akupe maneno matam🥰
Congratulations,a song that makes my heart overwhelmed,
"Kuna wakati atanuna huyo(x2)"and the deal sio mnune nyi wote,,,one must humble and soothe the other one, Marriage can work, marriage works,
Blessed work Rajo productions
Nyimbo nzuri sana kwa wanandoa
Nyimbo tamu zinafunza mengi mungu haweza kuwalinda
M naipenda sn hii nyimb jmn nahis m ndo naolewa duh
Mungu uzidi kuilinda Catholic
Ni kweli wimbo nzuri san
Umenikuna na kunibariki
Huu wimbo ulifanya nikaenda nikaongelesha mke wangu akarudi sahi tunaishi kwa amani sana kumbe nilikua sijui kama maneno matamu ni dawa aki hongera kwa wahusika na waimbaji kwa ujumla like sana
Barikiwa zaidi wewe na familia yako.
The song was waw! and it attracts people to get married in Christ
Hayo maneenoo hayoo manenoo!!hayoo!yamfariiijiii hayoo,yampe raaahaa hayooo manenoooh!!(Sauti yako to bro wasuti) 💯
Yan hata nikigomban na mmewangu hata ikiwa kosa lake mm ndo naomba samahani wombo huu ndo unanipa falaja San sana ❣️
Nipenda toa pongezi kwa mtunzi wa wimbo huu!Naomba kila asikilizae,hasa vijana wa kiume, wawe wakweli katika maneno yao na wayaishi siku zote!Mbarikiwe sana kwa huduma yenu nzuri ya UINJILISHAJI NA KUTOA MAFUNZO
Wimbo mzuri sana mungu awabariki sana kila mara inanifarijii naupendaaa sana
Jamn,,! Hongeren sna nimejikuta nakuwa na hamu ya kumuhamasisha mchumba wng na sisi tuishi maisha ya wawili ya ndoa kwa kupitia wimbo huu.
Mbarikiwe sna kwa uinjirishi.
Ubarikiwe sana Anna. Mungu awajalie wewe na mchumba wako kufikia malengo yenu ya ndoa takatifu.
Aid
Wimbo una ujumbe mzuri sana tuendelee kuiheshimu ndoa
Ongerni sana yaaan unawez ukakuta mb zako zotee zinaisha kweny huu wimbo maan huchoki kuckiliz mmbarikiwe sanaa
Wimbo mtamu sana,nimebarikiwa jumapili hii
Mmeni bariki mmnoo mungu azid kuwapa vipawa zaidi barkiwa
Watching from manga girls high school kenya 🎉
Nimeipenda sana
😍😍😍😍niolewe basi jamani😂😂
Nataman kuisiliza kila wakati jinsi ilivyo nzuri hongereni kwa utumishi mbarikiwe sana
Wimbo mzuri sana kwani unafunza, mmelenga penyew kweny familia
Ujumbe mzuri barikiwen kwayaaa ndo Maisha halisia tunayoishi aminaa sanaa
Magnifique,mungu anitayarishiye mwanamuke muzuri
Munguuu Anisaidieeee Nipateee mme boraaa mwenyee hofu ya Mungu
Mungu awabaliki Tena azidi kuwalinda.
Wimbo mtamu sana ..Mungu awabariki sana.
wimbo mzuri sana, sauti na kinanda. Aiseeeeeee mmefanya kazi nzuri sana sana.
HONGERENI SANA
Asante sana Christine
Though am getting old am so optimistic one day I will be like you,,happy to b a catholic and a strong one
Mungu pia nami naomba unibariki na ndoa nzuri,ntashukuru,wenzangu mniombee
Hivi hao kweli walikua wanaona maana wemeendana Sana
Hawa sio wanandoa, hili ni igizo tu tuliandaa kuweza kuleta uhalisia.
Mbarikiwe sana unga limited