MANENO MATAMU_Kwaya ya Moyo Safi wa Bikira Maria_Unga Limited - Arusha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июн 2019
  • Maneno Matamu, ni wimbo Maalum wa ndoa ulioimbwa na kwaya ya Moyo safi wa Bikira Maria - Unga Limited Arusha. Wimbo huu uliotungwa na Ndg. Hendry P. Kimario, upo kwenye album inayoitwa Pindo la Uzima. Wanakwaya hawa wanakukaribisha kusilikiza na kuutazama wimbo huu.
    Huu ni wimbo bora kabisa miongoni mwa Nyimbo za ndoa Katoliki.
    This is a Catholic Swahili wedding Song. You are invited to watch and listed to the beautiful melodies from this choir, one among the best choirs in Tanzania.
    Tuendelee kufurahia Muziki wa kanisa katoliki, Muziki unaohusu Habari za Yesu na maisha ya Ukristo kwa ujumla.
    iwapo ungependa kuwa wakala wa kuisambaza album hii, fanya mawasiliano kupitia namba +255 762 749 638 au +255 623 983 469
    #kwayakatoliki
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 1,7 тыс.

  • @rajopro
    @rajopro  Год назад +24

    Please support: www.patreon.com/user?u=77044884

  • @DM.2200
    @DM.2200 24 дня назад +6

    Who is watching 2024

  • @gabrielemanuel2011
    @gabrielemanuel2011 2 года назад +8

    Hayooooooo maneno matamu hayooooo yafariji yampe raha nakupenda sana my wife agness christian

  • @willsonsylvester5280
    @willsonsylvester5280 4 года назад +2

    Kiukwr mungu sahidia na minifunge ndoa

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 2 месяца назад +2

    Wimbo mtamu sanaaaaaa hongereni sana wanakwaya❤❤❤

  • @user-be4tf2ql1r
    @user-be4tf2ql1r 3 месяца назад +3

    Baraka za mungu ziwe pamoja na nyie ,wimbo mzur sana❤

  • @justusaganyilatvonline1417
    @justusaganyilatvonline1417 3 года назад +46

    Yaan huu wimbo unahamasisha kuoa jaman. Nawakaribisha mwakani mwez wa 12 ndio ndoa yangu. Mungu awabariki

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 года назад +25

    Proud to be a catholic following from Qatar

  • @vincentomondi5612
    @vincentomondi5612 3 года назад +9

    Kwa nyimbo za kikristo, Tanzania wanaongoza katika africa nzima..Hua napenda nyimbo zenu sana tena hua yananiliwaza sana..Pongezi.

  • @cleophasomondi5475
    @cleophasomondi5475 4 года назад +103

    Wewe ndio heshima ya mke wako... Likes za Kenya zije

  • @janemumbe8858
    @janemumbe8858 4 года назад +5

    Wimbo mzuri sana tena wenye meseji tamu. Mnapendeza sana mbarikiwe

  • @robertntarama
    @robertntarama 3 месяца назад +1

    Huu wimbo mzuri Kwa wanandoa ila sala inahitajika kwa taasisi Za ndoa shetani anazinyemelea sana

  • @estherkimario2039
    @estherkimario2039 2 года назад +2

    Wimbo umenibariki sanaa

  • @gilbertmwancha2777
    @gilbertmwancha2777 3 года назад +5

    Kwaniaba ya Wakenya,Tunashukuru Mungu awabariki.

  • @grethagranya2641
    @grethagranya2641 3 года назад +4

    Rajo production mambo yote.. mzidi kubarikiwa. wanacatholiki hoyee❤❤👌👌👌🙏 naamini kwamba huu mwaka 2021 nami nipate ataye niambia maneno matamu.

  • @HappyFrank-jv2dw
    @HappyFrank-jv2dw Месяц назад

    Mungu anipe wajufana nae wakunipa maneno matamu hongereni sana wanakwaya

  • @wesleyjoshua1886
    @wesleyjoshua1886 8 месяцев назад +4

    I'm proud to be a Catholic gentleman from Dubai munanda.❤❤❤❤❤.

  • @amosjames2201
    @amosjames2201 4 года назад +3

    Ujumbe mzuri sana

  • @vailethezekiel4175
    @vailethezekiel4175 4 года назад +7

    Nimeisii naimbiwa Mimi Mungu nijalie nipate Mme bora natamani na Mimi siku moja niimbiwe hivyo

  • @user-ch3wj8ny8l
    @user-ch3wj8ny8l 10 месяцев назад +1

    Namimi naupenda sana huu Wimbo,, waimbaji wabarikiwe sana, Wimbo huu waimbaji mliutendea haki.

  • @emanuelypascal5564
    @emanuelypascal5564 3 года назад +5

    Wimbo mzuri sana huu ,,Mungu awabariki mzidi kusonga mbele na kuletea nyimbo nyingine nzuri

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 5 лет назад +336

    ..nyimbo nzur...I get hope when I do listen Rc songs..👍👍npeni like zenu nyamani kama nawe umeikubali nyimbo hiii

  • @marbenbutarbutar8696
    @marbenbutarbutar8696 3 года назад +10

    Soft voice but harmony. Love from Indonesia

  • @EmanuelMduma
    @EmanuelMduma 2 месяца назад +1

    Kwaya imenibariki sanaa na mkumbuka rafikiyangu Gaude mloka .Emanueli Ngunje na Familia ya Mzee Roki mkoba Mungu awabariki sana

  • @BeatriceChalamila
    @BeatriceChalamila 2 месяца назад

    Niko hapa naenjoy,mbarikiwe sana watumishi wa Mungu

  • @francisamunze6366
    @francisamunze6366 4 года назад +5

    Wow💍nmewish nimvalishe ajiskie kweli ni mimi niliye mchagua l like this for real am blessed

  • @mkamandye4790
    @mkamandye4790 4 года назад +61

    Baraka za Mungu kwenu,wimbo Mzuri mno,ubunifu wa kiwango cha juu,picha bora,mpangilio mzuri wa vyombo na sauti,ujumbe,mavazi vyoote kwa ujumla,Ahsanteni sana🙏🙏🙏

  • @angelasimiyu
    @angelasimiyu 9 месяцев назад +1

    Napenda huu wimbo sana muñgu awabariki watching from Kenya🇰🇪

  • @user-or9cw8mx9t
    @user-or9cw8mx9t 6 месяцев назад

    Huu wimbo ni mzuli sana ata maudhaui ya wimbo nimeyapenda

  • @nancympangile2595
    @nancympangile2595 4 года назад +7

    Wimbo mzuri, sauti zimeingiliana kwa utulivu mkubwa.

  • @elizabethfoya9426
    @elizabethfoya9426 5 лет назад +3

    Dah wimbo unanigusa hadi kumoyo yani sichoki kuusikiliz..... Hongereni waimbaji Mungu azidi kuwainua mtumike katika viwango vikubwa zaidi..... Amen

  • @user-qv8ds5cx3u
    @user-qv8ds5cx3u Год назад

    Naiota sana hii siku cjui lini mungu naomba niletee anaestaili maishani mwangu

  • @nasiandaletoo6220
    @nasiandaletoo6220 3 года назад +2

    Hakika nimejiskia raha sana najivunia kuwa mkatoliki

  • @ibrahimmbilinyi878
    @ibrahimmbilinyi878 4 года назад +3

    Nyimbo hii ni nzur na ina ujumbe, mzuri kw wana ndoa,,hakika maneno matamu ni kama sega la asali,,,nayo huimarisha ndoa na kuwa yenye furaha.

  • @paulcharles1453
    @paulcharles1453 5 лет назад +3

    Wimbo huu nimeuona leo ila huwezi amini toka asubuhi nasikiliza hadi now,hongereni sana na mungu wa mbinguni andelee kuwapa vipaji,mke wangu kauliza vp leo na wimbo mmoja nikamwambia hata ww nahic upendi nibadili na ndio ikawa hvyo

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад

      Asante sana Paul. Ubarikiwe sana.

  • @user-wg2qp1qk2e
    @user-wg2qp1qk2e 10 месяцев назад

    Hiyo sauti ya kaka hapo ....hayo maanenooo 🎉🎉 best song ever

  • @agnellazighe6175
    @agnellazighe6175 4 года назад +8

    Big up guys i love this song be blessed kwa maneno yenye busara.... from Kenya

  • @kenyalove2282
    @kenyalove2282 4 года назад +15

    I wish nipate mmoja mwenye ako na love ya ukwel tuwedd pamoja .
    I lv this song so much.

    • @janetmwende2158
      @janetmwende2158 3 года назад +1

      Niko apart✨🎈✨🎈✨🎈✨
      🎈🌟🎉🎂🎉🌟🎈
      ✨🎉🎁🌟🎁🎉✨
      ✨🌟🌟✨🌟✨✨
      ✨🌟🌟🌟✨
      ✨🌟✨
      ✨ 🌟 ✨
      🔥
      💗❤💗
      💗❤❤❤💗

    • @kefaopemi358
      @kefaopemi358 3 года назад

      Niko

  • @justusaganyilatvonline1417
    @justusaganyilatvonline1417 3 года назад +5

    Kwa wahaya tujuane pale mwanzo wimbo unavyoanza unasema. Akananaa akanana kaile konaa kailee kaile Ni keogoraa. Kama were ni muhaya na unakumbuka gonga like hapa

  • @edwardtsuut8079
    @edwardtsuut8079 2 года назад +1

    Hongeren sana wimbo mzu sana sijawah kuchoka kuutazama

  • @gabrielafransisco9268
    @gabrielafransisco9268 2 года назад

    Mungu akuze huduma yenu sio sili nimeupenda wimbo

  • @mercymutisomusic
    @mercymutisomusic 3 года назад +7

    Who is watching with me in 2021?😊
    Wimbo mtamu sana

  • @davyomwera1196
    @davyomwera1196 4 года назад +27

    The best ever love song from Catholic fraternity, wapi likes za 2019

  • @LevinaMmasi
    @LevinaMmasi 10 месяцев назад

    ❤❤ ongera muombe Mungu akujaalie uzima

  • @janemushi5991
    @janemushi5991 2 года назад +1

    Ntafurahi kuuskiza huu wimbo

  • @kabwebwejeanbreloque8615
    @kabwebwejeanbreloque8615 2 года назад +4

    Fière d'être catholique, j'ai célébré mon mariage avec cette belle chanson en 2020, en la paroisse sainte Elizabeth à lubumbashi DRC

  • @faithmwelumakau5520
    @faithmwelumakau5520 4 года назад +4

    Amen💕🙏🙌🙌🎷🎤👏👌mwanamke hanaitanji maneno matamu siku sote barikiweni sana Wana ndoa wetu💖👏😍💏

  • @prosperpuro1712
    @prosperpuro1712 4 года назад +1

    Gudluck mnatupa moyo sisi wabab harusi watalajiwa tuzidi kutoa maneneo matamu ya midomo yetu

  • @eunicenyanchama7723
    @eunicenyanchama7723 3 года назад +1

    Nasikia Tu kuoleka wau nice song

  • @rachelmsuha6276
    @rachelmsuha6276 2 года назад +5

    Naupenda sana huu wimbo Wacha tyu Leo ncomment....you made it🌚I wish huu wimbo uimbwe cku ya ....yangu🙈🙈🙈🙈

  • @joshuachristopher5326
    @joshuachristopher5326 3 года назад +3

    Mzuri sana

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 2 месяца назад +1

    Congratulations for a job well done 👍✅

  • @beatricemmary9787
    @beatricemmary9787 3 года назад +1

    Ni tam kwelikweli, Mungu akafanyike baraka ktk ndoa yenu.

  • @Ta-bby_001
    @Ta-bby_001 4 года назад +11

    Wow I wish I was the one naimbiwa I love the song so much 💕 may God bless your marriage🙏🙏 na waimbaji pia be blessed 💞💞🙏🙏🙏

  • @stellagodfrey2229
    @stellagodfrey2229 4 года назад +4

    Hayo maneno ya mdomo wako ni mazuri yampe rahaaa💖💖💖

  • @asifiwenenula7324
    @asifiwenenula7324 3 года назад +2

    Nimewapeda mno❤️💚💝

  • @franciscosweya9516
    @franciscosweya9516 3 года назад +3

    Hongereni kwa utunzi wa nyimbo bora za Ndoa, hakika zinatia hamasa kwa jumbe nzuri zilizomo.

  • @mossesraphael1073
    @mossesraphael1073 5 лет назад +101

    Hakika imekaa poa najivunia kuwa mkatoliki MUNGU awabariki wote mlioshiriki kwa vyovyote mpaka huu ujumbe ukawafikia wote duniani mbarikiwe sana

  • @josephmton844
    @josephmton844 3 года назад +1

    ni kweli jasili kuzidi kumba kwa mungu kuwa mfano kwa watu wengine

  • @felistanjelu4832
    @felistanjelu4832 2 года назад +1

    Aisee nmependa hongeren kwa sauti nzuri

  • @aikandemallya5082
    @aikandemallya5082 4 года назад +31

    Safi sana ,,,Mungu sikia kilio changu unisogezee karibu Adamu wangu na yy anione Eva wake😋😋😋😀😀😀🙏

  • @saphanmidudi5202
    @saphanmidudi5202 4 года назад +5

    Wow wow!!!
    Nyimbo tamu Sana.....
    Hata sisi huku 🇰🇪🇰🇪 tumeipenda

  • @neemambaga3757
    @neemambaga3757 4 года назад +2

    Imenijenga sana pia nimefarijika sana

  • @sarahsadoki5787
    @sarahsadoki5787 3 года назад +2

    Sauti ya 3 mpovizur sanaaaaa mungu awabariki akika

  • @mariamkajala9080
    @mariamkajala9080 4 года назад +4

    Wimbo ni meupenda saanaaaa💖💗

  • @lizeemmanuel6814
    @lizeemmanuel6814 4 года назад +10

    Who is watching this song 2020 ?.I usually not tired to watch this amaizing song everyday.

  • @nicksonfaustine1695
    @nicksonfaustine1695 4 года назад +2

    Amen nimetamani kuoa jaman kwa kazi kama hii imenivutia sana jaman

  • @nicksonfaustine1695
    @nicksonfaustine1695 4 года назад +2

    Kwa hakika kazi nzuri mungu awabariki awazidishie ubunifu na kutafakari zaidi amen amen amen amen amen amen

  • @leahwangari9054
    @leahwangari9054 5 лет назад +8

    Wimbo umenitia moyo sana wakati huu mi na bwanangu hatuongeleshani

    • @leoniabeda2711
      @leoniabeda2711 4 года назад

      Hongereni sana kwa wimbo mzuri hakika mmeutendea haki✓

    • @khadijamussa9673
      @khadijamussa9673 3 года назад

      Mmmh pole my dear yataisha akupe maneno matam🥰

  • @kananumaureen3203
    @kananumaureen3203 3 года назад +11

    Congratulations,a song that makes my heart overwhelmed,
    "Kuna wakati atanuna huyo(x2)"and the deal sio mnune nyi wote,,,one must humble and soothe the other one, Marriage can work, marriage works,
    Blessed work Rajo productions

  • @MariamMariam-qf8fb
    @MariamMariam-qf8fb 4 года назад +1

    Nyimbo nzuri sana kwa wanandoa

  • @user-sj3ly3hs3j
    @user-sj3ly3hs3j Год назад

    Nyimbo tamu zinafunza mengi mungu haweza kuwalinda

  • @nerymshana1545
    @nerymshana1545 4 года назад +5

    M naipenda sn hii nyimb jmn nahis m ndo naolewa duh

  • @dimlajohn6338
    @dimlajohn6338 5 лет назад +5

    Mungu uzidi kuilinda Catholic

  • @brownmatimbwi1073
    @brownmatimbwi1073 3 года назад +2

    Ni kweli wimbo nzuri san

  • @zakarialuwumba694
    @zakarialuwumba694 4 года назад +2

    Umenikuna na kunibariki

  • @peterwaywela896
    @peterwaywela896 4 года назад +15

    Huu wimbo ulifanya nikaenda nikaongelesha mke wangu akarudi sahi tunaishi kwa amani sana kumbe nilikua sijui kama maneno matamu ni dawa aki hongera kwa wahusika na waimbaji kwa ujumla like sana

  • @clintongombe9257
    @clintongombe9257 3 года назад +10

    The song was waw! and it attracts people to get married in Christ

  • @hawaguidance3388
    @hawaguidance3388 2 года назад +2

    Hayo maneenoo hayoo manenoo!!hayoo!yamfariiijiii hayoo,yampe raaahaa hayooo manenoooh!!(Sauti yako to bro wasuti) 💯

  • @shanelihappy1046
    @shanelihappy1046 Год назад

    Yan hata nikigomban na mmewangu hata ikiwa kosa lake mm ndo naomba samahani wombo huu ndo unanipa falaja San sana ❣️

  • @theresamasanja9925
    @theresamasanja9925 2 года назад +12

    Nipenda toa pongezi kwa mtunzi wa wimbo huu!Naomba kila asikilizae,hasa vijana wa kiume, wawe wakweli katika maneno yao na wayaishi siku zote!Mbarikiwe sana kwa huduma yenu nzuri ya UINJILISHAJI NA KUTOA MAFUNZO

    • @furahaswakey
      @furahaswakey Год назад

      Wimbo mzuri sana mungu awabariki sana kila mara inanifarijii naupendaaa sana

  • @annaenglibert1763
    @annaenglibert1763 5 лет назад +12

    Jamn,,! Hongeren sna nimejikuta nakuwa na hamu ya kumuhamasisha mchumba wng na sisi tuishi maisha ya wawili ya ndoa kwa kupitia wimbo huu.
    Mbarikiwe sna kwa uinjirishi.

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад

      Ubarikiwe sana Anna. Mungu awajalie wewe na mchumba wako kufikia malengo yenu ya ndoa takatifu.

    • @thomassokoni4351
      @thomassokoni4351 5 лет назад

      Aid

  • @simonmahundo1735
    @simonmahundo1735 5 лет назад +1

    Wimbo una ujumbe mzuri sana tuendelee kuiheshimu ndoa

  • @scholardevis7511
    @scholardevis7511 5 лет назад +3

    Ongerni sana yaaan unawez ukakuta mb zako zotee zinaisha kweny huu wimbo maan huchoki kuckiliz mmbarikiwe sanaa

  • @ireneshisundi2481
    @ireneshisundi2481 3 года назад +3

    Wimbo mtamu sana,nimebarikiwa jumapili hii

  • @esterdavdy5541
    @esterdavdy5541 4 года назад +2

    Mmeni bariki mmnoo mungu azid kuwapa vipawa zaidi barkiwa

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 2 месяца назад +1

    Watching from manga girls high school kenya 🎉

  • @SautiTamu
    @SautiTamu 5 лет назад +5

    Nimeipenda sana

  • @selinanjeri6733
    @selinanjeri6733 4 года назад +6

    😍😍😍😍niolewe basi jamani😂😂

  • @levinaignas4404
    @levinaignas4404 3 года назад +2

    Nataman kuisiliza kila wakati jinsi ilivyo nzuri hongereni kwa utumishi mbarikiwe sana

  • @judithshingo5434
    @judithshingo5434 2 года назад +1

    Wimbo mzuri sana kwani unafunza, mmelenga penyew kweny familia

  • @amanikiteve5195
    @amanikiteve5195 5 лет назад +6

    Ujumbe mzuri barikiwen kwayaaa ndo Maisha halisia tunayoishi aminaa sanaa

  • @reaganbaswagha9775
    @reaganbaswagha9775 4 года назад +8

    Magnifique,mungu anitayarishiye mwanamuke muzuri

    • @valentinajoseph2430
      @valentinajoseph2430 3 года назад

      Munguuu Anisaidieeee Nipateee mme boraaa mwenyee hofu ya Mungu

  • @wakadwakad7571
    @wakadwakad7571 3 года назад +2

    Mungu awabaliki Tena azidi kuwalinda.

  • @rosawausimuli7770
    @rosawausimuli7770 Год назад +2

    Wimbo mtamu sana ..Mungu awabariki sana.

  • @christinechuwa2664
    @christinechuwa2664 5 лет назад +6

    wimbo mzuri sana, sauti na kinanda. Aiseeeeeee mmefanya kazi nzuri sana sana.
    HONGERENI SANA

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад

      Asante sana Christine

  • @winnthenya
    @winnthenya 3 года назад +6

    Though am getting old am so optimistic one day I will be like you,,happy to b a catholic and a strong one

  • @muktaribrahim6434
    @muktaribrahim6434 4 года назад +2

    Mungu pia nami naomba unibariki na ndoa nzuri,ntashukuru,wenzangu mniombee

  • @subiransasi8029
    @subiransasi8029 3 года назад +1

    Hivi hao kweli walikua wanaona maana wemeendana Sana

    • @rajopro
      @rajopro  3 года назад

      Hawa sio wanandoa, hili ni igizo tu tuliandaa kuweza kuleta uhalisia.

  • @remidkimaro9610
    @remidkimaro9610 3 года назад +3

    Mbarikiwe sana unga limited