Tommy Flavour & Marioo - Nakuja (Recording Session)
HTML-код
- Опубликовано: 13 мар 2023
- Stream/Download:linktr.ee/tommyflavour
Stream "Nakuja"Click here:smartklix.com/Nakuja
Listen to Tommy Flavour on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/artist/tommyfla...
Apple Music: / tommy-flavour
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / @tommyflavourtz
Spotify:open.spotify.com/artist/71Jz2...
Follow Tommy Flavour on Social Media:
Instagram: / tommyflavour
Facebook: / iamtommyflavour
Twitter: / tommyflavour
Triller:triller.co/@tommyflavour
TikTok: / tommyflavourtz
Follow Marioo on Social Media:
Instagram: / marioo_tz
Facebook: / thisismarioo
TikTok: / marioo_bad
RUclips: / @mariooofficialmusic
Written & Performed by: Tommy Flavour & Marioo
+For More Information Booking Tommy Flavour:
Contact: emailtommyflavour@gmail.com
©2023 Ziiki Media & Kings Music Records.All Rights Reserved.
#TommyFlavour #Marioo #Nakuja - Видеоклипы
timu king tujua hapa kwa lake
Hii team inainjoy sana sema tu hawataki kushow off maisha yao ila wanainjoy sio siri
Marioo mnyamaaa
Nakuaminia mdogo wangu kip up🎶🎶
Kumbe marioo alipanic😂😂😂🙌 Kweli tommy ni jinamizi la muziki
😅😅hatar
Tommy ni full package maelekezo n muhimu iki Kazi iwe kubwa
kama umegundua huo ni mjengo mpya wa kiba kule mbezi beach makonde gonga 👍
Nikusanue tuu...uyo King anamijengo mingi sana ya wapangaji na hataki watu wajue😅😅izi n za chini ya kapeti😎
@@supertallone1902 nakutajia 3 nazo zifaham kuna hio kwenye kideo,,moja ipo kunduchi kipindi kavamiwa na majambazi akahama kapangisha,;moja ipo njian njia ya tabata segerea ambayo nayo kahama,,sahiv anaish tabata unashuka sanene amabako karibu yake kajenga msikiti mi ndo naswali hapo!!!kiufupi anapo ishi yeye npo mkabala pembeni kuna nyumba za kupanga ndo nakaa apo.
@@johjohns4021 ndio ivyo na nyingine anasimamia AbduKiba...hawa watu wapo vizuri kimaisha ni vile wako wasiri
Tafuteni pesa mjivunie na jasho lenu huyo alikiba atawasaidia chchte shabiki mandazi
@@sabanajunior3243 anatusaidia sana tuu...pesa tunatafuta na Kiba anatuhamasisha vijana so usiringie pesa maana muda wowote mambo yanaweza badilika acha wivu😂😂
Team King 👑 piga makofi
I knew it from the word go lazma kuna mchango wa Mfalme mahali...bt the jam is wow and infact it's my favorite right now 🙏♥️♥️👌🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dah kumbe studio session ilkua poa hvi safi sana ,naona umoja wa Kings music💪🔥👍
Maunyama mwingi yaani
Marioo ananga maneno mingi yeye anataka too apangwe 🤣🤣👊
Umeona eeh😂😂😂😂😂
Unyam ulikuwa ni mwingii bro nakukubari sanaa brother Tommy🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kumbe king pia alikua studio 🔥🔥🔥
Nafurahi kuona Marioo kajikubali na kushirikisha king kiba ❤❤
Dah mlipingana sana na mkatoa kitu kizuri sana 🙌🙌🙌
Mwanangu Tommy flavour
Hii studio session ya nakuja imekuwa on trending😂😂🙌 ndo mtambue kuwa wimbo ni mkubwaaaaa
Can see my young upcoming kings k2ga, marioo and Tommy flavour much much more love 💕💕..... always following you 👌👑💪🥰🥰🥰🥰🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Tommy ni noma sana 100%
I like the unity among you guys. One love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tunawapenda king music👑👑👑👑
Nakubaliii
Pale mnapokutana wote mnajua lazma mijadala iwepo ili kazi iwe nzu na kweli kitu ni 💥
Tommy nyimbo ii kaua jamn anajua uyu kijanah
King sharing wisdom 💯
Nice Jam.
You put work into it..
Love the intro... Saaanaa
Big up from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪...
❤❤🎉
Young King on the beat
Muziki umetoka mbali sana leo kurekod sio tena kusimama na mike kubwaa easy way
Tommy 🔥🔥🔥🔥❤️❤️
King's music for life🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Good job guys🙌 tommy flavour your my favorite 😍🇨🇩🇨🇩🇨🇩
King Kama king big up bro❤️😘
Young King Tommy👑
Ngoma ya marioo kumbe marioo noma sanaaa
No wonder they make hits it's a collective thing
Mziki mzuri lazima maandilizi yake yawe na mawazo ya watu wengi kwaiy mumetixha 💯
Tommy nakupenda mwezio😅
King is king I think is Rimix good g
Jobs 💥💥💥
Alafu wee sijapenda ulivoimba😁😁😁
😂😂😂😂 kiba kazingua 😂
unajua sana brother
Oooh tommy tupe section two unyama sana
Very humble Tommy ❤❤❤ huna baya dogo 👏👏👏
Kali bro
Nime penda 🤝🤝 unit 🔥💯💯
Vous faites un grand boulot les gars, vraiment félicitation pour le morceau 🇨🇩🔥🇨🇩👏🔥🇨🇩👏
La chanson entière est déjà sur RUclips mon frère
Marioo kafanya jambo la msingi sana namkubali sana
Kaka Tommy hii ni another banger kweliii🔥🔥🔥🔥🔥
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much love from this side of the world 🌎
Mnajua hogeren sana mmefanya kitu kizur sana🙌🙌🙌🙌
Clean Click 💯💯🇰🇪🇰🇪
Kiba bhana
❤❤❤❤❤ bila idad Kwa kings music end broo bad marioo
Tommy nakufatilia sana
Big up guyz
Fundi wa mziki aliinama kwanza akasklza kwa kisha akatoa ushauri ngoma ikatoka na ngoma ikaenda mtaani hongera sana kingkiba kwel ww ni teacher wa mziki wa bongoflave
Unashabiki wa kindezi wewe
King 👑 kibaa
Y'all did a good job💯💯✔✔
Kali
Keep it up tommy ❤️❤️.
Studio bedroom💥
🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma nikali Sana 🔥🔥🔥
Safi sanaaa
Kiba fund jaman
Team king
Chama langu Mpo vizur
Hit nakuja 🎧💥
Nimependa how mna work together good sana baddie x king music hivi ndio inavyotakiwa
Nakubali sanaa
Eti cjapenda ulivyoimba. 😂 😂 Kiba bana.
Jamani hiyo mijibwa mmeiskia nyie
Ngoma karisna🙏
Music mzuri ni combination ya watu WENGI
Tommy a caminho de sucesso
Very true, 💕
Vanilla extract the game
Tommy nakukubali sana🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kizazi Sana'a boss
Part 2 plz
Keep it up good job
Hit
Amazing good job
Tommy 🔥🔥🔥
Wow was so amazing
NI yakweli
wanaogopa kumbishia alkiba 😆😆😆😆
Jmn classic combination lkn muwe na Watoto wa kike bhn😂😂😂😂😂 Wanaume tu
Hawa jamaa ni noma sana
🔥🔥🔥🔥💪
Kali sana
Tommy wamoto 🔥🔥🔥
Unyama 🙌
Unyama san
💥💥💥💥💥💥
Hot hit🔥🔥🔥🔥🔥
Tommy una kitu,utafika mbali.
🔥🔥🔥❤️❤️
Mzee unajua sana mzee tommy
❤🔥❤🔥❤😍
waliomo ndiyo wenye Gharama ila mziki.wao.hauna gharama kabisa
one of my best