Sessions ya instrumental ya MARIOO - UNANIKOSHA by Mocco Genius

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2020
  • Sessions ya instrumental ya #unanikosha ya #marioo #imagination

Комментарии • 181

  • @ispajohn9243
    @ispajohn9243 3 года назад +33

    mocco your a really genius gonga like kwa mocco kama anajua kutengeneza beat

  • @kinagaubaga6938
    @kinagaubaga6938 Месяц назад +1

    Napenda sana your work mocco,kumbe ni wewe sikuwa jua😂

  • @shayboy4133
    @shayboy4133 3 года назад +3

    Mocco kurekod mziki kwako ni shingp kwa wasanii wadogo

  • @nundebeats6754
    @nundebeats6754 3 года назад +5

    Umeniongezea ujuzi,Nashukuru kwa ajili ya tutorial hii,naomba kama utaweza uonyeshe hata tutorial moja ya jinsi vocals zilivyomixiwa,ili tujifunze zaidi

  • @diacusterrible
    @diacusterrible 3 года назад +16

    Masterclass Mocco Predator (MMP) , Mocco genius (MG) ..... Mzee wangu wewe ni talented sana mimi napenda venye unavyoweza kuuelezea muziki kwa vitendo pia napenda vile ambavyo fikira zako za kuubuni muziki zilivyo tofauti sana na waandaaji wa muziki wngi duniani, lakini pia unawafundisha waandaaji wngi sana wa muziki kua muziki sio mpaka uwe na plug ins za kisasa sana au vifaa vya kutisha kama ambavyo waandaaji wengi hufikiri bali muziki huhitaji ufundi wa kubuni zaidi kuliko vifaa vya gharama. Mimi binafsi nazipenda kazi zako sanaa yani nikishasikia wimbo uko na sagn (mooocco) haijalishi ni wa nani lakin lazima niuhifadhi na niusikiliza kwa makini sana, Mimi pia ni mmoja kati ya watu wa sanaa ya muziki mwenye malengo na matarajio mengi, lakini moja ya ndoto ya msanii yoyote ulimwenguni kabla ya kuwaza kutengeneza wimbo utakaobadilisha maisha yake huwaza ni muandaaji gani wa muziki ambae wanaweza kushikiana kwa pamoja na kutengeneza wimbo huo. Mimi binafsi muandaaji ninaemuota kila siku ni wewe Bro, kwasababu nimjaribu kufatilia kila mahojiano uloyafanya na waandishi wa habari na kugundua mbali na talanta ulojaaliwa na mungu pia umebalikiwa moyo safi sana na hii ndo sababu kubwa inayonivuta kwako, Waweza sema labda natafuta aina fulani ya wepesi wa kufanya kazi na wewe jibu ni hapana kwasababu nimeshawahi kuwasiliana na wewe kuhusu kazi toka 2017 na kwamara ya mwisho ni mwezi wa 3 mwaka huu na kwa bahati mbaya mara zote tumekua hatufikii makubaliano kwa maana kua bei za session hubadilika kulingana na wakati , unakuta bei tunayokubaliana leo mpaka nitakapjichanga nipate hicho kisent basi ile bei inakua imeshabadilika..Lakini hii si sababu ya kunizuia nisiiote ndoto yangu yakuja IMAGINATION SOUND kuifata ndoto yangu.. Naamini nina uwezo fulani wa kimuziki ambao sitopenda upotee bure , Lakini pia kipato nacho ni kipengele hasa kwasisi watu wa mikoani, Na kuhusu gharama unazotoza kwa sesseion sijawahi kuzitilia mashaka wala kuzishangaa maana kazi inayofanyika sio ndogo pia kwa upande wangu hata ingekua $1000 per session kama ninazo ningekupa brother....Imagination suond kwangu ni platform kubwa sana ambayo kama nitaifikia basi najiona kua mtu mwingine kabisa (amina) Pia napenda sana vile uko very very Professional sijawahi kukutana na wewe lakin wew ni mkarimu sana pia sio mtu mchoyo wa mawazo kwa mwenye uhitaji... Sijui kama utayaona mawazo yangu haya lakini pia kama ukiyaona tambua watu tunaona na kutambua unachokifanya kwa ukubwa ambao pengine wewe huufikiriii , uwe na kazi njema kaka.

  • @devicemussali5510
    @devicemussali5510 3 года назад +3

    Sijuibhata piano but u really inspire me najikuta natengeneza mziki kwakuchora tu

  • @passkillsmwalayee8410
    @passkillsmwalayee8410 3 года назад +1

    Namba yako broo ntaipateje
    Nashida kweli na wewe yaani msalimie ndugu yangu centano

  • @aaronngowi
    @aaronngowi Месяц назад

    Mwanaume unajuaaaaaa we ni fireeeeeee

  • @kakasteve7117
    @kakasteve7117 3 года назад +3

    Daaaah, hii ni ladha halisi ya mziki wanangu. Moccoooooooh. Nothing more to say but may God be with you my young brother

  • @mkaleboybeatz4343
    @mkaleboybeatz4343 3 года назад +6

    #MG
    Inayofatia iwe de way u mixing beat en vocal production
    Gee

  • @ianblasio9999
    @ianblasio9999 11 месяцев назад

    @Mocco Genius mimi ni mpezi wa Gospel genre lakini kwa hii video inaonyesha namna mziki ni lugha na lugha halisi ni namna yule anaeanda anajua like nguvu na jasho lote aliloliweka pamoja na hisia zake 12:56 . Bro i just wish you well on your music journey and hopefuly tuendele kusikia vitu vizuri kutioka kwako kaka .

  • @Mellanke
    @Mellanke 3 года назад +8

    🥁🇰🇪🔥 I'm Mellan from Kenya ♥️

  • @clinsmanluvembe3646
    @clinsmanluvembe3646 2 года назад +1

    You genius respect

  • @passkillsmwalayee8410
    @passkillsmwalayee8410 3 года назад +1

    We nooooma xana broo
    Nakubaliii kazi zako hukoseagi mzee bb

  • @johnprodbeatz5084
    @johnprodbeatz5084 Год назад

    kwanza Brother mocco genius mi nakukubali sana bro n'a Pia nakubali sana kazi zako , n'a Pia usiku na mchana na muomba mwenyezi Mola usiku na mchana aweze kukulinda kwa sababu ya sessions zako bro imekuwa ni msada il ubwa wa mawazo ata kwetu producer tunao anza na Pia tunauomba usichoke kwa kufanya ivi.

  • @gama_liely
    @gama_liely 3 года назад +2

    Uko vzuri sana jamaa yangu mungu azidi kukuzidishia🎹🎹🎹🎹🎹👌👌👌

  • @AlistarMuhamed-mo9qm
    @AlistarMuhamed-mo9qm 10 месяцев назад

    NAKUKUBALI SAANA MOKO LOVE FROM TANZANIAN IN UGANDA ❤❤❤

  • @Talented_Destiny_Music
    @Talented_Destiny_Music Год назад

    Nakueshimiwa sana Mocco genius 🇸🇸 🇹🇿

  • @thekillersounds5569
    @thekillersounds5569 3 года назад +1

    Mocco bro unaweza tuonesha jinsi ulivyo mix mbosso haijakaa sawa

  • @amotv9953
    @amotv9953 3 года назад

    Mocco Mbona unajua sana key za kuimbia boss achia kibao basi

  • @mgbmonster2978
    @mgbmonster2978 11 месяцев назад

    courage sana kaka unajuwa sana kaka moko

  • @sundaymkirima4896
    @sundaymkirima4896 3 года назад

    hatareeeee mzeeee nakubali 100%

  • @johnmrope2890
    @johnmrope2890 3 года назад

    Dah umetish mocco

  • @norditocristovao4025
    @norditocristovao4025 Год назад

    Kali sana so congratulations 💪💪💪👍

  • @youngvoiceke.
    @youngvoiceke. 3 года назад

    Ak mm nkafanikiwa na kufanya kazi na ww mocco ntakuonyesha maajabu

  • @dominicknondo7681
    @dominicknondo7681 Год назад

    Unyamaa sana🎼🎷🎺🎸🎻

  • @passkillsmwalayee8410
    @passkillsmwalayee8410 3 года назад +1

    Nakubali xana broo
    Ila na Mimi naimba coz niko mbali kiufupi nakukubali sana naamini oneday ntakuja kukutana na wewe face2face tufanye kitu @@# karibu nyumbani kigoma/kasulu

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 2 года назад

    #Official_tella 🔥
    Yeah #Tella_axis_tz from MAJOHE
    nakubali Sana man of work

  • @Bahandastar
    @Bahandastar Год назад

    Kaz zako ni nzuri sana.

  • @RbierBeatz
    @RbierBeatz 3 года назад +2

    Unafanya kazi nzuri sana mocco wew ni producer mkubwa unae inspire vijana wengi na unapeperusha bendela ya bongo kiujumla, ila nilikua naomba nikushauri kitu...jaribu kuweka subtitle kwenye sessions zako sababu naamin hufatiliwi na watanzania tu wapo wengine ng'ambo wanahitaj kukufatilia ...🙏🙏

  • @juliusmussa4895
    @juliusmussa4895 2 года назад

    Mocco nataka unifundishe jinsi ya kufanya mixing nzuri

  • @danihaule3204
    @danihaule3204 2 года назад

    Salute kwako mocco genius

  • @nzidyoboy9816
    @nzidyoboy9816 2 года назад

    Kaka unpendekeza music mzuri sana

  • @patiencenimmoh3956
    @patiencenimmoh3956 3 года назад +5

    Yooooh Mocco napenda bidii yako broh. next naomba ufanye @Haijakaa sawa ya Mbosso. 254 represented much love all the way ❤❤

  • @obedibright4593
    @obedibright4593 2 года назад

    Nakukubaligi sana bro 😎

  • @inspiringmediarecords4391
    @inspiringmediarecords4391 3 года назад +2

    Uko top sana bro ni maptoducer wachache wenye moyo wakufunza wenzao techniques zao

  • @dmcommedy2768
    @dmcommedy2768 3 года назад

    Unatisha mzee baba

  • @kushdavid1402
    @kushdavid1402 3 года назад

    Moco unauwa sana

  • @mswalehmswazi2507
    @mswalehmswazi2507 3 года назад +1

    Mocco nitafurahi nikifanya kazi nawe... From Kenya

  • @Glove233
    @Glove233 2 года назад

    Salute sana homie 🔥🔥🔥🔥🎵🎙️🎶🙌

  • @paulaugustinoilomo6544
    @paulaugustinoilomo6544 3 года назад +6

    Beat ni idea, una idea za ajabu sana. Safi kaka 🔥🙌

  • @wizemzik
    @wizemzik 3 года назад +1

    Nimetafuta siku nyingi sana tutorials zako Mocco siku pata. Nashkuru sana kupata hii. Maana weye ni moja kati ya my inspirated producer

  • @yassinmwakalinga5134
    @yassinmwakalinga5134 3 года назад

    Unatisha sana mwamba.

  • @darrenhirst9900
    @darrenhirst9900 Год назад

    Bro that is some sweet music

  • @hashtagstudio9389
    @hashtagstudio9389 3 года назад +1

    kazi nzuri asante kwa kushare mocco

  • @chrisstzchubwa9562
    @chrisstzchubwa9562 3 года назад +1

    Beat Kali sana iyooo

  • @givenrich5961
    @givenrich5961 3 года назад +1

    moco nahtj kujfunza production napnda sana biti zako...nsaidie mkuu

  • @robertmuta2620
    @robertmuta2620 3 года назад

    U just superb.. ukojuu dogo

  • @jfocus2
    @jfocus2 Год назад

    Good job Bro

  • @nkaladiwizzybeatz7983
    @nkaladiwizzybeatz7983 3 года назад +2

    You're De best keep it up

  • @nover8035
    @nover8035 3 года назад +5

    huenda unaweza ukawa Genius kweli but, siku tukikutana tajua how genius you are👏🏼👏🏼 nice man

  • @calvinlwane1283
    @calvinlwane1283 11 месяцев назад

    Mambo vipi bro nafuraishwa na kitu ambacho unachokifanya mimi kama msanii chipukizi

  • @fekechebeats5490
    @fekechebeats5490 3 года назад +5

    Appreciate Sana bro I wish to be like you one day

  • @danypromagic1926
    @danypromagic1926 3 года назад +5

    If there is a producer that I follow..you..I agree with you Gee.
    #Moccoooo

  • @gerogold4
    @gerogold4 2 года назад

    Moto🔥✨mocco✨🇨🇩

  • @DavidSasi603
    @DavidSasi603 3 года назад +2

    u are really cool bro i like ur projects they are always awsome

  • @CeeEmG
    @CeeEmG 3 года назад +1

    Mocco mkali wao

  • @b2classicofficial829
    @b2classicofficial829 2 года назад +3

    Much respect

  • @emmanuelmzila8120
    @emmanuelmzila8120 3 года назад

    good saaana unajua

  • @amossuka3462
    @amossuka3462 3 года назад

    pamoja sana 100%

  • @officialgadoski510
    @officialgadoski510 3 года назад

    Mocco mie msani kutoka kenya nime penda kazi yako sana ninge weza penda sana kufanya nawe kazi

  • @felistasanga9398
    @felistasanga9398 3 года назад +1

    Bro umentoa kwenye level moja kwenda nyingine tunataman kuona session nyngne ukielezea mana you are real geneous

  • @1woodlandmusic260
    @1woodlandmusic260 3 года назад +1

    Nakubali kazi zako ninzuri broo🔥🔥🔥

  • @madahtz
    @madahtz 3 года назад +1

    Mocco appreciate you bro

  • @J4UPro
    @J4UPro 3 года назад +2

    Vip mzee baba napata monitor speaker used huko?

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 3 года назад +1

    Moko umeua ahsee

  • @ibrahimkhalifa290
    @ibrahimkhalifa290 3 года назад

    Mocco!!!!!!!!!!! Fan wako mkubwa toka 254 nairobi

  • @nicolausmartin9934
    @nicolausmartin9934 2 года назад

    Mocco 🙌

  • @kbclassicbeat
    @kbclassicbeat 3 года назад +1

    nakubali san

  • @BRiGHTONJenius
    @BRiGHTONJenius 5 месяцев назад

    👍👍👍👍 noma sana

  • @michaelfortune5294
    @michaelfortune5294 3 года назад +1

    Mjomba kweli wewe genius💥💥💥💥💥💥💥

  • @KirangaHouston
    @KirangaHouston 3 года назад

    Nakuja Dar....unitengeneze ngoma kali ya HipHop.
    #KikiHouston
    @BURUNDI

  • @GtkFamilyEntertainment
    @GtkFamilyEntertainment 3 года назад

    kabisa siwezi kosa kusubscribe bro....good job.

  • @Chachkidabedi
    @Chachkidabedi 2 месяца назад

    Mbona vinaanza katikati

  • @ryadsirma
    @ryadsirma 2 года назад +1

    Mocco you're genius bro

  • @mjubaog8258
    @mjubaog8258 3 года назад

    Dingiii nazielewa zana ngoma ambazo umegonga beat unao ubunifu wa kutosha una kipaji na kazi yako unanivutia sana kwenye hiyo fani tatizo vifaa

  • @ibrahwyre7301
    @ibrahwyre7301 3 года назад

    I'm Ibrahyre 20 from Kenya nimependa kazi yako taratibu na pia yakweleweka umenifutia pia Mimi msani I learn from producer. Bigup bro.

  • @officialdjbranta_
    @officialdjbranta_ 3 года назад +1

    Broh big up san

  • @amoury1481
    @amoury1481 3 года назад +2

    sasa hiyo plugin uliyopiga kwenye chorus si kuna mziki kwenye kufanyia mixing itoe sauti nzuri

  • @baumusictz9141
    @baumusictz9141 3 года назад

    Great one pdn music nakubali broo beat sema cna uwezo wamoney nataman nije nfanye Kaz kwako

  • @mirajihabibu6990
    @mirajihabibu6990 3 года назад

    Huwa sichok kuangalia hii coz daaah this moooocooh 🔥

  • @kingtvonline1124
    @kingtvonline1124 3 года назад

    Naomba ifuate ya Timbulo ft Jux mzeee nakubali sanaaAaa

  • @jumaomary267
    @jumaomary267 3 года назад

    Nakuelewa Sana brow mabit yako

  • @inspiringmediarecords4391
    @inspiringmediarecords4391 3 года назад

    Mzeeee uko vizuri sana tunakusupport sana tengeneza matutorial mengime mkuu

  • @victordeekenya3539
    @victordeekenya3539 9 месяцев назад

    Micro you are a rockstar.. That's a nice job 👏👏👏

  • @hermankanisius3724
    @hermankanisius3724 3 года назад

    Nakubali sana unachofanya kaka,,
    Ya Best of the best hit maker

  • @malike46135
    @malike46135 Год назад

    Nitengezee pia

  • @frankvinisent7804
    @frankvinisent7804 3 года назад +1

    Noma Sanaa

  • @salimnondo740
    @salimnondo740 3 года назад

    Mzee Mocco hizo afro roll drums naweza kuzipata

  • @J4UPro
    @J4UPro 3 года назад

    Moccoooooo big up

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba5009 3 года назад

    Unauwezo mzuri na hekima katika kuzungumza, ianaashiria ni jinsi gani unaunyenyekevu na kujishusha. Hongera kwa kazi nzuri. Mimi ni producer ninayekufuatilia sana. Sina studio but ninaujuzi kiasi. Pia kama utapitia comment hii, Ninaomba nikutumie mdundo...niliofanya just uuuongezee idea zako, kuinyesha kuwa unachokifanya wadau tunakiappreciate mno. Ahsante.

  • @leonardflavour7533
    @leonardflavour7533 3 года назад

    Ifate susumila na mbosso sonona naikubali sana

  • @evadotv9528
    @evadotv9528 3 года назад +1

    Safi sana

  • @abdutthemashine1305
    @abdutthemashine1305 3 года назад

    Nce sana bro pia napenda sana kazi zako zaidi jinsi una mix beat na rolls unavyo piga ningependa uoneshe nitapenda sana🙏🙏

  • @thekamanos
    @thekamanos 3 года назад

    Bro tunakuangalia huku kenya

  • @kevnlak3721
    @kevnlak3721 2 года назад

    Kaka unajua.......!!!🥳🥳🥳

  • @2djizas828
    @2djizas828 3 года назад

    nimeipenda producer yako ela naomba plugin zako Kontackt, guitar na zingine ukinipatiya nitakusukuro napenda sana kazi zako

  • @jayflaver2054
    @jayflaver2054 3 года назад

    Nakubali kaka natamani sku nifike apo

  • @cantyproducer9673
    @cantyproducer9673 3 года назад

    Moco nimependa san hii fanya kutuonyesha rollng unapigaje kak

  • @ladislausdidas6488
    @ladislausdidas6488 8 месяцев назад

    Good Job brother,, Vp una Mocco
    Vp upcoming Artists huwa unafanya nao project?? Na unatusaidiaje??