ABBAH PROCESS AKIWA STUDIO NA VIBE NA HANSTONE NA MDOGO WAKE KABSA ERICK THE PRODUCER
HTML-код
- Опубликовано: 23 окт 2018
- Song :WANGA by Abbah Process feat. Various artists: Jaivah,Hanstone,Afromaniac,Byter Beast & backup by Blacqboi Produced by Abbah process & YoungKeez morento Connect with me On Social Nertworks FACEBOOK Aba process INSTAGRAM: ABBAH_PROCESS
Видеоклипы
abaah ww mkalii bro Ang... nimekuwa na ndoto kubwa sana ya kukutana na ww japo hata niskiE midundo yako na sjafanikiw hadi leo .,. nisaidie japo hata nikutane na ww brooo
Abaaaaaah fundiiiii sawaaaah sawaaaah
Duuuuuuuuh kwel brother wew ni artist nakubal xan
Jamaaaaa unajuuuuuua mpk unaharibuuuuuu💪💪💪💪💪💪
Nakubalisana abah the ploces
My favorite producer nakukubali kaka ipo siku natumaini tutakujah kukutana nikiwa na msanii wngu🤲🤲God bless
The mix killer habbaaaaaaaah
Amini mwanang we jamaa n fundi wa music Alie kuachia hizoo maufund hakukoseaa #themixkiller
abah mm nakukubali ww ni nomaa
🔥🔥🔥🔥Abbah
Daaah uyu jamaa bwana daaaah
Hatari saaana kumbe ni some how simple ukizoea
Beeet Maker hawa majani alisema producer inatakiwa uwe inginer master wa hivi vitu
I nidee you abbah
Much lav kutoka kenya,am a producer too
Noma sana 💪💪💪💪💪
daah qumamaqeh hii beat ni umeme🙌🔥
Naw pia
Dar huyu aba ni noma sana nic bit
Kamkubwa sijaona mwengine 🤘🏿🤘🏿🤘🏿
Daaah mwanzo sikumuelewa Majani kwann alikupa shavu,sasa hapa nimekusoma..una tach za kutosha kaka
Brother umeua number one dj the tz
Noma sana
Hivi abbah ulikuwa wap kufanya Hya mavitu kwa si vjna
Abbah we ni fundi
angalia huyo boy braazaaaa hanstone chumaaaa kenya huyo baba sanaa
Dah! unajua vitu vizuri mkuu big up
Abbah
Abaaaaa ni shida aisee
Beat killer
Aya baba
Abbah mtu mbaya
Tukopamoja xaaana ABBAH
Hans umekaa kama sio msanii
Amazing 👍
My favorite producer ever
tunaua wangaaa
Abbah mrudishe darrasa kwenye game
Naqubl bro
Brooo weee ni mwishoo wa maelezooo naomba uwe unaendelea kupost video za aina hii...!! unani- inspire sana broo thanx much for this video
🔥🔥🔥🔥
Abbah nakuelewaga Sana mkuu piga Kazi?
Noma Sana mwamba
nimekuelewa abaa tsha mbaya
Babu uo mdundo noma san
sawa fundi
nimependa vibe ya hans na abbah dah! yan nataman sana kufanya kazi na wewe kaka tatizo pesa nshawah kuja apo nkashndwa pesa kaka, one day yes Mungu atamulika ntakuwa karibu nawe kaka T.o.y tz
Anataka shingap kupiga ngoma kk
legend already kenyan love you inspire us young producer
Aisee nmekubali
Wee brooo hatar aiseeeee
Naomba nambazako kk
Tunaomba muendelee kutuma za hvyo
Natengeneza beats poa, hasa TRAp na Hip hop ncheq kwenye channel yang
Kazi kali alafu unapata wawivu wana dislike
Dah
Daaah umetisha
Aloo wee mmbaya
Nishasubiri sana iyo ngoma lakini haitoki ... Kuna tatizo au?
nice gd music@meblac tz fb atakae hitaji nipereke kwahuyu fundi wamziki mzuli abah💕💕💕
Nakubariiii
hatari sana aisee huyu hanstone anakuja kumfunikaarioooo
MKALI WAO
My all tym mentor.....respect👌👌👌
Good aidia
Asee Abby ww unafaham
hatar broo
@Abbah_Process nakuona mzee , KizaZi sana bBa
ABBAAAAAA......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hipo siku tu takupata that's my dream
Cy poa
Yaaap
ABBAH
Producer ninaye mkubali bongoo
Bro nahitaj kufanya kaz na ww ya gospel
Daaah shkamoo bro 😩😩🙌🙌
Noma noma noma noma Saaaaaanaaaaaaa!
Abbah nakuelewa ninja mpe hi yule mwamba mwenye mistali yake ya gold, #Darassa #SMG
niambie mkali
We jmaa ni 💥
Hanstone ana talanta ila asingejitoa kwa ABBA...
Hyo ngoma yamwanzoni kabisa kwenye soundtrack inaitwaje?
wanga
😁😁😁😁i liked your beat brother
MTU mbaya huyo, sema Darasa anazingua sana, hebu talk to him
Good
Hii beat inafanana na nyimbo ya #MASAUT FT LAVALAVA DONDOSHA
Abbaaaaaaah!!!
Bro umetixha kinomq
Br kaz nzr please naomb utembeleh account yang piah Kuna kitu kizr
shaku style
Hanstone
mm hupenda likitamkwa jina lako kwenye nyumbo
Abbbah........
Kali budaaa, keep it up
Naomba niuziwe hii beat niamshe nayo
😂😂😂😂😂😂😂😂
Iyo song sijaiskia mtaan mbona
Abah! Lini mzigo nipe date
Unatisha we're expected more videos from you
nyimbo inaitwajee? au bado kutokaa
im your fan
NAHITAJI TUFANYE KAZI KAKA NAHITAJI MAWASILIANO NA WW NISAIDIE NAMBA ZAKO
bro we mkali nakukubali mpaka naumwa yo namba plz
Hii ngoma mbna hatuion
Usiache kuwa unatuma jembe