SHUHUDIA KIKAO CHA PRODUCER'S 14 BORA WA KIZAZI HIKI BONGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #Wasafi #TheSwitch

Комментарии • 103

  • @lil_yn982
    @lil_yn982 4 года назад +3

    Mimi sidhani kama bongo producers wana sample kutoka nigeria, kitu kikubwa
    1. Ideas
    2. Market
    3. Technology
    Nacho weza kusema ni kwamba muziki wa zamani wa kibongo walitumia local instruments, mfano zeze, marimba, ngoma, firimbi, njuga n.k pia ikumbukwe kua viifaa hivyo vilitumika kulingana na hali halisi ya maisha, mwanaadam anabadilika kulingana na mazingira, na matukio ambayo anapitia mwanaadam, Marekani waliaanza na nyimbo za kufight ukombozi wao hili swala ninavyo ona ni kwamba muziki unahitaji changes changes ambazo zinatokana na mahitaji ya mwanaadamu na wakati alinaopitia mwanaadam huyo.
    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Dontatv255
    @Dontatv255 4 года назад +2

    Big up kwa #wasafi kwa kuitisha kikao kama hiki pia na sisi maproducer wengine tupate kujifunza

  • @michaelkabeta7974
    @michaelkabeta7974 4 года назад +2

    Kikao cha pili waleten ma producer wale legends watuambie kwann ngoma zao zinaishi mpka saiv

  • @christianeinstein2568
    @christianeinstein2568 4 года назад +2

    The only identity of Tanzanian music is only singeli .love all the way from northern Rwanda.

  • @jovinkinyaiya5337
    @jovinkinyaiya5337 4 года назад +11

    Global scale, music is universal,there is presence of universal music riding the humanity souls, we should not put boundaries,we are all human beings regardless of where u come from, we have the same God the same devil ,have you ever ask yourself where does the music comes from, it's is the universal language, when there is not explaination music take it's space, it is the language beyond ordinary language....gonga like Kama unenielewa, nitafute nikueleweshe Kama hujanielewa

    • @Hitycooking
      @Hitycooking 4 года назад

      ruclips.net/video/ipgLjVSQHqM6/видео.html4

    • @nover8035
      @nover8035 4 года назад +2

      hakuna global scale broh....we are being driven

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe 4 года назад +9

    IDENTITY YA BONGO FLEVER CHA KWANZA NI LUGHA YA KISWAHILI KUTUMIKA KWNY MZIKI THEN BEAT HAIJALISHA HATA SOUTH AFRICA WANATUMIA MZIKI WA MAKABILA KAMA ALIVYOSEMA MOCCO...
    OTHERWSE TURUDI KWNY MNANDA NA SINGELI

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 4 года назад +7

    Thanx Lil ommy ,,,,napenda sana harakatizako

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 4 года назад +6

    Hongereni Sana producers. Naamini muziki wetu sasa umepata platform sahihi. Tutafika mbali na biashara itakuwa

    • @tafadhalisubscribe3714
      @tafadhalisubscribe3714 4 года назад

      Ni kweli Nzuri, Pata Ushauri Alioutoa DiamondPatnumz Leo 🔥 ruclips.net/video/Dc9Vp4exqsU/видео.html 🙏

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 4 года назад +3

    Mie Upande wangu naona vijana wanajichanganya. ila sidhani kma wanajua wako Sawa kwa sababu wanachokifanya ni Afrobeat kwa hiyo wapo juu sana 💥

  • @christianeinstein2568
    @christianeinstein2568 4 года назад

    Musical Identity doesn't rely on beats itself but it always includes beat ,sound, and styles of singing. All the way from northern rwanda

  • @nascoba9747
    @nascoba9747 4 года назад +5

    Hapo hao watayarishaji wa muziki wanashindwa kujibu maswali kw ufasaha wanachokiangalia wao ni hakuna mwenye elimu ya utayarishaji na kufatilia mtindo shida kubwa wameshazoea kukopi hao wanategemea kompyuta sana kuliko kugusa vitu kw kupiga kw mikono yao wenyewe, akuna lolote hao hapo mngewaita na producer wa zamani wakubwa ili wawape darasa hao mimi nawaita beat mecca tu sio producer hao, ndio maana wanaigana sana nyimbo wanazotengeneza sasa mtu anakuambia wao wanaangalia biashara tu sasa hiyi nini wanatakiwa kuangalia jinsi gani wanatafuta au kubuni mtindo wetu wa Tz...

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 4 года назад +10

    tatizo sis bdo ni watumwa wa kifikra, sio hao wasanii tu..
    hat mabos maofisn ukuti
    wamevaa suti ya kitenge😅

    • @Hitycooking
      @Hitycooking 4 года назад

      ruclips.net/video/ipgLjVSQHqM6/видео.html

    • @johniadamu4714
      @johniadamu4714 4 года назад

      @@Hitycooking p

  • @mairahclinetz2241
    @mairahclinetz2241 4 года назад +5

    Lil omy unajua na team yako ya the switch

  • @simplissamba1943
    @simplissamba1943 4 года назад +1

    Lizer ndo mkali wao

  • @saidkamirius1393
    @saidkamirius1393 4 года назад +1

    The switch ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @geofreykashililika4782
    @geofreykashililika4782 4 года назад +3

    Mocco datc y akawa genius....

  • @ommybamz7242
    @ommybamz7242 4 года назад +1

    Nimeipenda sana hii🎶🎶🎶

  • @Safari879
    @Safari879 Год назад

    Hata wimbo was beka
    #poapoa
    Beat ilikuwa ya wimbo wa garaton

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 4 года назад +7

    Sijawahi comenti, ila leo nimefarijika kuona wadau wa mziki mmekaa pamoja. Naona kukua kwa industry.
    Mnyororo una watu wengi wakiwemo waandishi, wasanii, wazalishaji, watu wa studio na pengine wasikilizaji

  • @salehfarid1003
    @salehfarid1003 4 года назад +1

    BEST INTERVIEW THE MVP 🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯

  • @chiefnumborecords95
    @chiefnumborecords95 4 года назад +3

    Ni naamini misingi kwanza na umoja wa maproducer wote kushirikiana kama walivyofanya kinamajani afu mziki mzuri utapatikana tu

  • @kibushiramadhanikibushu558
    @kibushiramadhanikibushu558 4 года назад +7

    Unawaoji kuusu bongo freva wakati wao awajui uo mziki ume tokea wap mulize Majani ilo swali

  • @fransismodestus9070
    @fransismodestus9070 4 года назад +2

    Idea kali chama langu

  • @yusuphkibumo1905
    @yusuphkibumo1905 4 года назад +1

    Idia kali sana wajumbe

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa4560 4 года назад

    Nakubarii mpe hai huyo bidada zao letu frm grn cty.

  • @victorsir-nga7708
    @victorsir-nga7708 4 года назад +1

    Mje mfanye kikao cha producers wa kongwe na wapya wasasa

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 4 года назад

    Mie nasubiri makutano ya hawa jamaa kwa mara ya pili tuu ilitupate darasa huru kuelekea kwenye muarobaini wa hii kitu generally wazo zuri now we are heading there kwenye ku shape industry kuujumla wake manufaa yawe kwa pande zote. "Kupata kitu sahihi lazima ukosee kwanza. "

  • @victormwakenja8977
    @victormwakenja8977 4 года назад

    Nakubali #the switch 👊

  • @travellingandadventures2549
    @travellingandadventures2549 4 года назад +2

    Ammy girl mbona mapepe acha watu waongee

    • @towelman2380
      @towelman2380 4 года назад

      I hate that girl 😭😭 ako na mdomo sana

  • @wizzymillyofficial8881
    @wizzymillyofficial8881 4 года назад +5

    Maproduc wawe wajue kucheza mahazi ya kupiga beat tofauti kama pancho

  • @lucasshayo9705
    @lucasshayo9705 4 года назад +2

    Why wearing shades indoors? @djommy

  • @mustafarashid2484
    @mustafarashid2484 4 года назад +1

    Me kutoka Kenya producer nnaowaminia ni S2kiz na Abbah.

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 4 года назад +1

    Hilo malaya sijui linajiita likatibu linaropoka hovyo km lilevi

    • @davidmwanjela1091
      @davidmwanjela1091 4 года назад

      Mwee jmn jmn

    • @EliyacostantinoPius
      @EliyacostantinoPius 4 года назад

      Sema anaboa sana ammy gal.mm nafuatilia sana sana hiki kipind .Yaan lazima aende nje ya mstari

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 4 года назад +1

    Why is this too short????
    24mnts???

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe 4 года назад +1

    Ata JZ alirudia beat na mashairi ya 2pac

  • @selemanmayala7436
    @selemanmayala7436 4 года назад

    Alaiza na si2kizy kama niwamzazi 1 na muonekano wao

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 4 года назад

    Ila ikiwa Producers wa Muziki ndo wanaongea hivi.
    Ni Mtihani kwakweli..
    Duuuuhhh😢 Wote Hawaaa..

  • @idreamfoto
    @idreamfoto 4 года назад

    mzee issue hizo ziko kwa Riddim Jamaica

  • @ayubusanga2325
    @ayubusanga2325 4 года назад +1

    Laizer

  • @husseinmachozi2848
    @husseinmachozi2848 4 года назад

    Kizazi saana 👌

  • @official_python.oglife2154
    @official_python.oglife2154 4 года назад

    @wcb niwakumbushe tu ndugu zangu.... Amy gal anazingua hatuoni kazi yake hapo zaidi ya kujichekesha tu, sijui AC hapo ndani inamtekenya....

  • @patrickdonald336
    @patrickdonald336 4 года назад +1

    Asee uyo amy gal apunguze kujiamini anaharibu sana inaterviews sikuizi. Anakatiza watu wakiwa wanaongea bila ajenda ya msingi

  • @samsonjacob3365
    @samsonjacob3365 4 года назад

    The switch

  • @hamisiomari5724
    @hamisiomari5724 4 года назад

    Hatariii

  • @nelsardutch6725
    @nelsardutch6725 4 года назад

    binafsi yangu naona sawa tu sisi kama producer maranyingi niwatu wa kufanya ubunifu hivyo muziki hauna mpaka wala kuiga ila ni kufanya kitu ambacho kinaubunifu kwa upande wako ww kama producer

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa4560 4 года назад

    Kizaziii saaanaaa

  • @kagungaboy5083
    @kagungaboy5083 4 года назад

    Sa kwann msanii ahusike kwenye kupiga copyright msanii aliyetumia beat yake?

    • @MrAfrica
      @MrAfrica 4 года назад

      Msanii huwa anayapa makampuni ya kulinda kazi nyimbo nzima. So ikitokea umerudia kampuni ndo ina ku strike.

  • @mwalihashaekyoci5812
    @mwalihashaekyoci5812 4 года назад

    Nice

  • @grantwiddy6244
    @grantwiddy6244 4 года назад

    kama umemwerewaa moko kama mm ngonga like

  • @ramlandayishimiye5439
    @ramlandayishimiye5439 4 года назад

    Uyo binti mjangazaji ni mjuwaji

  • @shaban6644
    @shaban6644 4 года назад

    Mada ni pana then muda umepunjwa

  • @mpenzramaah2713
    @mpenzramaah2713 4 года назад +3

    WAJUMBEEEEEEE

  • @peterchipasula1527
    @peterchipasula1527 4 года назад

    14 bora kivipi ? Mnaleta mgongano hapo

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 4 года назад +1

    Kumbe t touch hayupo kwenye 14 bora

  • @dicksonshija5202
    @dicksonshija5202 4 года назад

    Inadumza mziki

  • @nover8035
    @nover8035 4 года назад

    No singeli sio mziki wakuupa credit..hauvibe watu wote

  • @agustinoboaz2214
    @agustinoboaz2214 4 года назад

    Zombie

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 4 года назад +1

    Walioharibu mziki wa TZ tumewaskia... 😂😂😂😂😂😂

  • @kinyamal8201
    @kinyamal8201 4 года назад +1

    Amygal😡😡😡😡

  • @mymuamsrrr7884
    @mymuamsrrr7884 4 года назад

    Producers uchwara hawa wanatamba bure beats sio zao, hizo beats ziko kwenye system, waletee life band hapo, uniambie utamuabiya wapiga vyombo wapige hivi na vile?nyie ni computer operators. Thats all you are. Msijishaue.

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 4 года назад

      Hakuna beats ktk system, softwares zina vifaa vyote vya muziki wanaanza kupiga upya na kila producer unaemuona ujue lazima ajue kupiga kifaa zaidi ya kimoja cha muziki

    • @stanleyasante429
      @stanleyasante429 4 года назад

      Oya achaaa izoo mzee atakama

  • @DrAvneen
    @DrAvneen 4 года назад

    Ni shida ngoma mpya ya Diamond platnumz ft Rayvanny - Sikuachi ni bonge la hit gusa hapa uone kionjo chake
    ruclips.net/video/LJ6TM23MD9c/видео.html

  • @kisokatvonline3704
    @kisokatvonline3704 4 года назад

    MOTO WATEKETEZA MABWENI AFRICA MUSLIM
    BOFYA HAPA KUONA ZAIDI
    ruclips.net/video/LolEWryO2Zg/видео.html

  • @tmtwane9092
    @tmtwane9092 4 года назад

    DIAMOND AACHWA MBALI NA HARMONIZE gusa link kwa full story ruclips.net/video/fD8fXWfMwuc/видео.html

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 4 года назад

      Mavi yake na yako pia. Hata anye nyumbani kwako hafiki hata robo

  • @saidkamirius1393
    @saidkamirius1393 4 года назад +2

    The switch ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nairobiflavour
    @nairobiflavour 4 года назад +9

    Wapi mocco genius

    • @Hitycooking
      @Hitycooking 4 года назад

      ruclips.net/video/ipgLjVSQHqMu/видео.htmlrr

  • @joseebyser6154
    @joseebyser6154 4 года назад +2

    Wasafi media number one for now... From 254

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 4 года назад +1

    Mmenisahau mimi jmn

  • @godlistenremmy9349
    @godlistenremmy9349 4 года назад +2

    Unapenda instaf like that why