M nlishangaa jux kaandika vipi chorus Kali ivo kumbe kaandika bizy babilon bayser yan wmbo mzma blue ndo sh'kamoo baba..na shetta kidooogo kajtutumua bar ya pili
Bonge la ngoma la mwaka, kila mmoja kaonesha kuwa anaweza zaidi ya sana, Ila Blue byser hujawahi kosea we ni noma tena zaidi ya noma, unajua kurap zaidi ya dunia inavokujua
Bizzzy babilon kasaidia sanaaa anaaidia kama zoteeeee mzeee heshma kwake #jux saut kal hakuna mfano #shetaaaaaaa sanaaaaaaaa hii ndo nyimbo yang ya mwaka shule wahun kama wote tunaikubal
Sekunde ya 0:27 byser Kuna lines amechapa inasound Kali ila haiko kwa hii ngoma....Kama umeskia nipe like hpa🔥🔥
Jamaa kaua
Bonge moja la free style
Naikubal xana iii ngoma kati ya ngoma zangu qal 2019 iih namba 1 kama na wew unaikubl fanya una #like twende xawa
Da wabongo tukiwa na ushirikiano kama hivi naona upendo pia utajitokeza kwa Watanzania wote. Nawapenda wote. Mbele zaidi wanangu👍😍
Mr blue was like a boss in here and from there look they all respect him💯💯💯
Jux ndo corasi killer wa mwaka 2018
Sheta ndo msanii mwenye ngoma bora ya kufungia mwaka 2018
Bluuu mamaaaaaaaaaaaaaaaa hajawakosea tangia ajue mziki
Wizzy Fernando bruh kumbe unajuwa Byser babele Hapo frsh congratulations 🎈 Mr Blue Lion 🦁
Wizzy Fernanda Hernando's,
Chemistry on Top... Hivi kama Mandugu. Nawapenda my Bongo top 3💖❤💖❤💯 KENYA LOVE.
Amazing guys najua nimechelewa kucomment lakini thats talent.
kama wakubali blue byser ndio shikamoo baba umu likes nyng apa
Africain boy iko saw
😂😂😂😂
Great love to you ma continent people... ila Kenya wasanii ubinafsi. No ushirikiano kama huo kwa sana. big up guys
Good music ma men.....I like it gonga like kama unaitazama 2020
The perfect definition of good music chemistry
Shkamoo ma brothers 👌🏼 one,more🔥🔥🔥
Kumaamazenu wasenge mmeua kinyama Yn kinyamwezi sana big up wanyama wakali
Napenda vile Mr blue anavyo tingisaa kishwaa yani amee feel wimbo
daah mziki mgum
kudadeki sema wote
Wameua ngoma
itakuja kuwa hit sana
na itasumbua mtaani
kinoma noma
subilini muone.....
I love Mr blue more than my breath😘😘😘😘😘
Alice Moses Hahahaha how
Blue anavyoongeag hua nakubali sanaa sauti flani hv amazing sanaa
Huyu Mr. Blue daaaah hatar sana
kumamaaaaao sheta haujawah fanya ngoma kal kama hii mr blue hajawah kukosea hata cku moja
Umoja ni nguvu, great chemistry, mtoe na nyingine
The epitome of enjoying the process. Still one of my favorite songs to date.🔥🔥🔥
2020! Still a banger....you nailet it guyz....Boom!!!
I didn't know if BYSER was mastermind of this whole idea!!! He is LEGEND!
Exactly
Blue mnyamwezi sana
Mmefanya kaz mzr sana Nakubal sana hii ngoma hapa nko kigeto naburudika nayo
Beat la kinyamwezi sana #kimamba wasanii wazuri ma producer wazuri wacha tule ngoma kali..... #BongoFleva
Ngoma Kali🔥🔥kenya tuko ndani
Duuh kama nimemuona Q-Boy Msafi hapo amezubaa kinoma. Daah achangie hata mada basi🤓🤓🤓
BEN DIGITAL Hahahaha kweli nnenuona
Wanyama watu wameacha mbuga, mji unakazi ❤
Mr Blue ni mtunzi mzuri sana
Asante asante asanteeeeeh
SALUTE LEGEND BLUE, straight from MALAYSIA. GUYS, mmefanya kazi safi sana SHETTA n JUX. RESPECT to KIMAMBA
Byserr man behind the fire 🔥 💯 🙌🏽
Daaaa bruu umetisha sana
Oiiiih @shetta iy ngmaa ni Kali snaa yni ni moja ya ngoma ya jumalizia au kufungia mwka
I like it 💪💪👊👊👍👍
Dah aise mm ngoja nifanye kazi nyengine tu mziki sitoweza
😂😂😂 nimecheka nusu ninye
Mr blue ✅ ✅ good music 🎷 🎷 🎷
npo na ear phone naisikiliza nyimbo nzuri. ##sheta. ##jux. ## mr blue
Ngoma Kali mmetisha
Love u more
Goma la Studio, linanogaga Sana..
Maninaaaa hit ilianzia mjengoni
Byser.. Big up
M nlishangaa jux kaandika vipi chorus Kali ivo kumbe kaandika bizy babilon bayser yan wmbo mzma blue ndo sh'kamoo baba..na shetta kidooogo kajtutumua bar ya pili
Unyama unyamani saluute to the 3 Legends
shkamooni kaka zangu mumetisha nawapenda sana
Noma sana
Mr blue is talented
noma sana
vibe moja 🔥
Daaaah kiukweli hii nyimbo weka mbali na watoto na kweli mji umevamiwa
Noma sana 🔥🔥🔥🔥 blue ni moto
Kali Sana Jamaa Mna Jua
Mr blue tisho saaaana. Jux chorus uliua baba. Shetta kali sana
Real studio vibes🔥🔥
Good music with vibes
very nice vijana
Sheta unamwambia mrblue dadazoa nao hawatujui vzr daaah😀😀😀
Kumbe jamaa walifanya kuivamia beat na wakaibaka kisawa sawa hahaha wameifumua funua i say 😃
Salute kwako KIMAMBO Bonge moja la beat,na hili ndio goma la kufungia mwaka.
Mnajua sana jamaaa wakubwa kabayse wote na juma ft mashauzi shetter.
kama umemuona Q boy anang'aza sharubu gonga like kama zote
hahaha anataman angejua kuimba
😁
jux Maa shaa Allah
Nomaa sanaaaa
Ukimtoa marehemu A ngwea, Bluu ndo mwana hiphop mwenye ladha 4 nw
sahihi
Kweli kabisa
Hii ngoma ni kali sana
Bonge la ngoma la mwaka, kila mmoja kaonesha kuwa anaweza zaidi ya sana, Ila Blue byser hujawahi kosea we ni noma tena zaidi ya noma, unajua kurap zaidi ya dunia inavokujua
WANYAMA wa 3 🔥🔥
Noma saaana
Bor i am happy nikiwaona kwenye hii behind
Mr. Blue kabysaaa I luv the way u've maintained big up bro
Jaman uyu Baisa Ni Jin ✅✅
Hii ngoma ni enyewe kuliko zote hapa bongo
safi wanangu endeleeni kupepelusha bendela ya tz🇹🇿
Kimambo fire
sio Safi bl swafiiii
Kitu cha uhakika,mumetisha sana
natoka kenya na kwa nkweli this is my song of the year gonga like kama unaifeel as me..
Vizur
shkamooo babaaaaaaa!
Shikamooo bab
Mashabiki hamuoni km mnazalauliwa
Tisha sana
I like
Shetta anakata sana maneno pmzi ndogo mziki wake lazma uwe lain
Still new in KENYA
ngoma ya mwakaa
hamna collabo kali kama hii tz ukishamueka blue halaf tena na jux kuna nn tena sasa imeisha hyo
sanaa,, jumajux
Bizzzy babilon kasaidia sanaaa anaaidia kama zoteeeee mzeee heshma kwake #jux saut kal hakuna mfano #shetaaaaaaa sanaaaaaaaa hii ndo nyimbo yang ya mwaka shule wahun kama wote tunaikubal
2024?
Imekuwa poaa
wanyamwezi hii ngoma ikatengezewa +255 ama +254?
mnaonaje sheta jux na mr blue muwe group moja iko poa sana
Nyimbo ilikuwa vibe toka studio
mkali byser
Ndo ngoma yangu ninayo ipenda kwasasa mwaka huu.
Kawaida tu... ngoma... sio kali kiivyo...... hapa nazani shetta hakustaili kuwepo coz ajul kulap... hapa anakaaa GOSBE...alafu uone ilo pini
Wazee mumeuwa Daaaaah
sana jamaa
Duh!!! kaaali