FULL VIDEO: HATUFANANI STUDIO ILIVYOKUWA na JUX, MR BLUE | Sms 8522166 kwenda 15577 VODACOM TZ

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 338

  • @zezenature
    @zezenature 3 года назад +14

    Sekunde ya 0:27 byser Kuna lines amechapa inasound Kali ila haiko kwa hii ngoma....Kama umeskia nipe like hpa🔥🔥

  • @wizzydully8963
    @wizzydully8963 5 лет назад +7

    Naikubal xana iii ngoma kati ya ngoma zangu qal 2019 iih namba 1 kama na wew unaikubl fanya una #like twende xawa

  • @hadija846
    @hadija846 5 лет назад +6

    Da wabongo tukiwa na ushirikiano kama hivi naona upendo pia utajitokeza kwa Watanzania wote. Nawapenda wote. Mbele zaidi wanangu👍😍

  • @zezenature
    @zezenature 3 года назад +7

    Mr blue was like a boss in here and from there look they all respect him💯💯💯

  • @wizzyfernando8655
    @wizzyfernando8655 5 лет назад +65

    Jux ndo corasi killer wa mwaka 2018
    Sheta ndo msanii mwenye ngoma bora ya kufungia mwaka 2018
    Bluuu mamaaaaaaaaaaaaaaaa hajawakosea tangia ajue mziki

    • @40bgangster92
      @40bgangster92 5 лет назад +1

      Wizzy Fernando bruh kumbe unajuwa Byser babele Hapo frsh congratulations 🎈 Mr Blue Lion 🦁

    • @davidowizkid7672
      @davidowizkid7672 5 лет назад

      Wizzy Fernanda Hernando's,

  • @switnush5885
    @switnush5885 4 года назад +4

    Chemistry on Top... Hivi kama Mandugu. Nawapenda my Bongo top 3💖❤💖❤💯 KENYA LOVE.

  • @rizikiabdalla4598
    @rizikiabdalla4598 3 года назад +2

    Amazing guys najua nimechelewa kucomment lakini thats talent.

  • @obamatechnology526
    @obamatechnology526 5 лет назад +126

    kama wakubali blue byser ndio shikamoo baba umu likes nyng apa

  • @abdibakari641
    @abdibakari641 5 лет назад +3

    Great love to you ma continent people... ila Kenya wasanii ubinafsi. No ushirikiano kama huo kwa sana. big up guys

  • @caprince_tz3166
    @caprince_tz3166 3 года назад +1

    Good music ma men.....I like it gonga like kama unaitazama 2020

  • @khalfanmohd5807
    @khalfanmohd5807 5 лет назад +8

    The perfect definition of good music chemistry

  • @shabanihassan8678
    @shabanihassan8678 5 лет назад +6

    Shkamoo ma brothers 👌🏼 one,more🔥🔥🔥

  • @mengimswaki8400
    @mengimswaki8400 5 лет назад +3

    Kumaamazenu wasenge mmeua kinyama Yn kinyamwezi sana big up wanyama wakali

  • @itsromeo_fit
    @itsromeo_fit 5 лет назад +4

    Napenda vile Mr blue anavyo tingisaa kishwaa yani amee feel wimbo

  • @adoniamaseneje5669
    @adoniamaseneje5669 5 лет назад +4

    daah mziki mgum
    kudadeki sema wote
    Wameua ngoma
    itakuja kuwa hit sana
    na itasumbua mtaani
    kinoma noma
    subilini muone.....

  • @alicemoses4247
    @alicemoses4247 5 лет назад +5

    I love Mr blue more than my breath😘😘😘😘😘

  • @yirgayemyirgah7820
    @yirgayemyirgah7820 4 года назад +1

    Blue anavyoongeag hua nakubali sanaa sauti flani hv amazing sanaa

  • @denischande9421
    @denischande9421 5 лет назад +6

    Huyu Mr. Blue daaaah hatar sana

  • @ramamanyama2944
    @ramamanyama2944 5 лет назад +2

    kumamaaaaao sheta haujawah fanya ngoma kal kama hii mr blue hajawah kukosea hata cku moja

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 5 лет назад +3

    Umoja ni nguvu, great chemistry, mtoe na nyingine

  • @benjaminmwashumbe3586
    @benjaminmwashumbe3586 Год назад +1

    The epitome of enjoying the process. Still one of my favorite songs to date.🔥🔥🔥

  • @fanig319
    @fanig319 4 года назад +3

    2020! Still a banger....you nailet it guyz....Boom!!!

  • @mbarukkhamis6994
    @mbarukkhamis6994 5 лет назад +13

    I didn't know if BYSER was mastermind of this whole idea!!! He is LEGEND!

  • @kapona927
    @kapona927 5 лет назад +28

    Blue mnyamwezi sana

  • @manfizzle411
    @manfizzle411 5 лет назад +11

    Mmefanya kaz mzr sana Nakubal sana hii ngoma hapa nko kigeto naburudika nayo

  • @kilulumasunga8657
    @kilulumasunga8657 5 лет назад +1

    Beat la kinyamwezi sana #kimamba wasanii wazuri ma producer wazuri wacha tule ngoma kali..... #BongoFleva

  • @dankin10
    @dankin10 3 года назад +1

    Ngoma Kali🔥🔥kenya tuko ndani

  • @ben_digital
    @ben_digital 5 лет назад +12

    Duuh kama nimemuona Q-Boy Msafi hapo amezubaa kinoma. Daah achangie hata mada basi🤓🤓🤓

  • @micahkalume7826
    @micahkalume7826 11 месяцев назад

    Wanyama watu wameacha mbuga, mji unakazi ❤

  • @comraderashid_nuru_m5260
    @comraderashid_nuru_m5260 7 месяцев назад

    Mr Blue ni mtunzi mzuri sana

  • @mekagodson7262
    @mekagodson7262 4 года назад +1

    Asante asante asanteeeeeh

  • @majidmajid8009
    @majidmajid8009 5 лет назад

    SALUTE LEGEND BLUE, straight from MALAYSIA. GUYS, mmefanya kazi safi sana SHETTA n JUX. RESPECT to KIMAMBA

  • @emmanuelgabriel5627
    @emmanuelgabriel5627 4 года назад +2

    Byserr man behind the fire 🔥 💯 🙌🏽

  • @athumanmgaya1301
    @athumanmgaya1301 5 лет назад

    Daaaa bruu umetisha sana

  • @albertwililo431
    @albertwililo431 5 лет назад

    Oiiiih @shetta iy ngmaa ni Kali snaa yni ni moja ya ngoma ya jumalizia au kufungia mwka
    I like it 💪💪👊👊👍👍

  • @fadhilikigwama1785
    @fadhilikigwama1785 5 лет назад +1

    Dah aise mm ngoja nifanye kazi nyengine tu mziki sitoweza

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 4 года назад

      😂😂😂 nimecheka nusu ninye

  • @boniphacemussa1107
    @boniphacemussa1107 5 лет назад +1

    Mr blue ✅ ✅ good music 🎷 🎷 🎷

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 5 лет назад +2

    npo na ear phone naisikiliza nyimbo nzuri. ##sheta. ##jux. ## mr blue

  • @princessringo4968
    @princessringo4968 5 лет назад +1

    Love u more

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 5 лет назад +1

    Goma la Studio, linanogaga Sana..

  • @ckosmah21
    @ckosmah21 5 лет назад +6

    Maninaaaa hit ilianzia mjengoni

  • @officialsalim3955
    @officialsalim3955 5 лет назад +1

    Byser.. Big up

  • @iconlyx2724
    @iconlyx2724 5 лет назад

    M nlishangaa jux kaandika vipi chorus Kali ivo kumbe kaandika bizy babilon bayser yan wmbo mzma blue ndo sh'kamoo baba..na shetta kidooogo kajtutumua bar ya pili

  • @mulababaz2232
    @mulababaz2232 11 месяцев назад

    Unyama unyamani saluute to the 3 Legends

  • @fadiaabdallah8754
    @fadiaabdallah8754 5 лет назад

    shkamooni kaka zangu mumetisha nawapenda sana

  • @jaydady7788
    @jaydady7788 2 года назад

    Noma sana

  • @gittermugdanny2001
    @gittermugdanny2001 Год назад +1

    Mr blue is talented

  • @danieldoglasmtweve9113
    @danieldoglasmtweve9113 5 лет назад +1

    noma sana

  • @ousamahharoub1682
    @ousamahharoub1682 5 лет назад +1

    vibe moja 🔥

  • @stadiuscornely4488
    @stadiuscornely4488 5 лет назад

    Daaaah kiukweli hii nyimbo weka mbali na watoto na kweli mji umevamiwa

  • @lameckbwoy817
    @lameckbwoy817 7 месяцев назад

    Noma sana 🔥🔥🔥🔥 blue ni moto

  • @ibrawasafitv1914
    @ibrawasafitv1914 5 лет назад

    Kali Sana Jamaa Mna Jua

  • @kennix6457
    @kennix6457 4 года назад

    Mr blue tisho saaaana. Jux chorus uliua baba. Shetta kali sana

  • @drizzlesly6009
    @drizzlesly6009 2 года назад +1

    Real studio vibes🔥🔥

  • @brianlawrence1238
    @brianlawrence1238 5 лет назад +1

    Good music with vibes

  • @twikareomary4354
    @twikareomary4354 5 лет назад

    very nice vijana

  • @jandaboytztz6314
    @jandaboytztz6314 5 лет назад

    Sheta unamwambia mrblue dadazoa nao hawatujui vzr daaah😀😀😀

  • @nassorohamadi7059
    @nassorohamadi7059 5 лет назад +5

    Kumbe jamaa walifanya kuivamia beat na wakaibaka kisawa sawa hahaha wameifumua funua i say 😃

  • @frankmoga9501
    @frankmoga9501 5 лет назад

    Salute kwako KIMAMBO Bonge moja la beat,na hili ndio goma la kufungia mwaka.

  • @isihakamtaalam2099
    @isihakamtaalam2099 5 лет назад

    Mnajua sana jamaaa wakubwa kabayse wote na juma ft mashauzi shetter.

  • @showbiz8427
    @showbiz8427 5 лет назад +22

    kama umemuona Q boy anang'aza sharubu gonga like kama zote

  • @fatmanjerimacharia6249
    @fatmanjerimacharia6249 5 лет назад +1

    jux Maa shaa Allah

  • @Yao_Shop_
    @Yao_Shop_ 5 лет назад

    Nomaa sanaaaa

  • @esterkatoto7767
    @esterkatoto7767 5 лет назад +4

    Ukimtoa marehemu A ngwea, Bluu ndo mwana hiphop mwenye ladha 4 nw

  • @Cambarada
    @Cambarada 4 года назад

    Hii ngoma ni kali sana

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 5 лет назад

    Bonge la ngoma la mwaka, kila mmoja kaonesha kuwa anaweza zaidi ya sana, Ila Blue byser hujawahi kosea we ni noma tena zaidi ya noma, unajua kurap zaidi ya dunia inavokujua

  • @slimmirunga7817
    @slimmirunga7817 5 лет назад +2

    WANYAMA wa 3 🔥🔥

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 5 лет назад

    Noma saaana

  • @nikodemasajile1096
    @nikodemasajile1096 4 года назад

    Bor i am happy nikiwaona kwenye hii behind

  • @slimpirate6020
    @slimpirate6020 5 лет назад +6

    Mr. Blue kabysaaa I luv the way u've maintained big up bro

  • @petermoshi6920
    @petermoshi6920 5 лет назад +1

    Jaman uyu Baisa Ni Jin ✅✅

  • @jamesmedutieki1887
    @jamesmedutieki1887 5 лет назад +1

    Hii ngoma ni enyewe kuliko zote hapa bongo

  • @kimtv.ubuyuonline7853
    @kimtv.ubuyuonline7853 5 лет назад

    safi wanangu endeleeni kupepelusha bendela ya tz🇹🇿

  • @bizone_tz
    @bizone_tz 4 года назад

    Kimambo fire

  • @mwanaomanggg156
    @mwanaomanggg156 5 лет назад

    sio Safi bl swafiiii

  • @furahahamadi9537
    @furahahamadi9537 5 лет назад

    Kitu cha uhakika,mumetisha sana

  • @alfredgroover6483
    @alfredgroover6483 5 лет назад +3

    natoka kenya na kwa nkweli this is my song of the year gonga like kama unaifeel as me..

  • @cheayboy9176
    @cheayboy9176 3 года назад

    Vizur

  • @philipjohn2799
    @philipjohn2799 5 лет назад +1

    shkamooo babaaaaaaa!

  • @deusb7341
    @deusb7341 5 лет назад +1

    Shikamooo bab

  • @salehmuhammed729
    @salehmuhammed729 5 лет назад

    Mashabiki hamuoni km mnazalauliwa

  • @Mariaclala536
    @Mariaclala536 5 лет назад

    Tisha sana

  • @com_sci123
    @com_sci123 5 лет назад +1

    I like

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv1497 Год назад

    Shetta anakata sana maneno pmzi ndogo mziki wake lazma uwe lain

  • @remmytezzmuziq9262
    @remmytezzmuziq9262 2 года назад +1

    Still new in KENYA

  • @directortariq1455
    @directortariq1455 5 лет назад +1

    ngoma ya mwakaa

  • @ramamanyama2944
    @ramamanyama2944 5 лет назад +1

    hamna collabo kali kama hii tz ukishamueka blue halaf tena na jux kuna nn tena sasa imeisha hyo

  • @masubojrmtiba2159
    @masubojrmtiba2159 5 лет назад +1

    sanaa,, jumajux

  • @leilayzer11
    @leilayzer11 5 лет назад

    Bizzzy babilon kasaidia sanaaa anaaidia kama zoteeeee mzeee heshma kwake #jux saut kal hakuna mfano #shetaaaaaaa sanaaaaaaaa hii ndo nyimbo yang ya mwaka shule wahun kama wote tunaikubal

  • @georgelupenza7437
    @georgelupenza7437 4 дня назад

    2024?

  • @norascombedule1057
    @norascombedule1057 5 лет назад

    Imekuwa poaa

  • @emmanuelpeter2486
    @emmanuelpeter2486 5 лет назад +3

    wanyamwezi hii ngoma ikatengezewa +255 ama +254?

  • @amosmwakapesa8540
    @amosmwakapesa8540 5 лет назад

    mnaonaje sheta jux na mr blue muwe group moja iko poa sana

  • @kigwampismonlinetv916
    @kigwampismonlinetv916 5 лет назад

    Nyimbo ilikuwa vibe toka studio

  • @abubakaryjohn5118
    @abubakaryjohn5118 4 года назад

    mkali byser

  • @Respicius
    @Respicius 5 лет назад +1

    Ndo ngoma yangu ninayo ipenda kwasasa mwaka huu.

  • @wizshine1904
    @wizshine1904 5 лет назад

    Kawaida tu... ngoma... sio kali kiivyo...... hapa nazani shetta hakustaili kuwepo coz ajul kulap... hapa anakaaa GOSBE...alafu uone ilo pini

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 года назад

    Wazee mumeuwa Daaaaah

  • @amanimabula6214
    @amanimabula6214 5 лет назад

    sana jamaa

  • @IodineKenya
    @IodineKenya 5 лет назад +1

    Duh!!! kaaali