CHINO AIBIWA GARI MAZINGIRA YA KUTATANISHA 🤣🙌 ALIA KAMA MTOTO
HTML-код
- Опубликовано: 19 дек 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
i love how calm he is kaibiwa gari still hafoki wala kutukana !! mm naona ningeitiwa polisi kwa ayo maneno machafu ambayo ningekua nayatoa 😂
😂
I like how calm Chino is...."ngoja nitulize akili"
Nimemkubali chinno hajatoa matusi hata kidogo❤❤❤❤ingekuw mtu mwngn angeanz kuwatukana wanae
Jamnii.mpka namuone huruma chinoo anavyongeaa daaah anatia hurumaa akiwa kwenye shida au akipata tatizo jamnii SEMA namkubali Sanaa chino in fighting bhnaa
Si dancer tu waimbaji wazuri sanaaa tunawakubalii kenyaaa
Nimeipenda😂😂 LEGEND ALWAYS MON TOWN SANYA ♥️
Bora chino una haki ya kulia gari ni kitu kikubwa chibu kaka angu amelilia kofia 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kofiaa ilikua na nguo nyingi mwanangu😂😂show hairndi bila hio😂😂haiptikani urahisi😂😂
😂😂😂😂@@Ramah1627
Sema chino anaonekana mtu peace sana
Kama unaamini Chino kakamatika gonga like hapa 😂
Sema chino ana roho ngumu sana Kawa mpole sana mondi aliibiwa kofika aliwakaaaaaa😂😂😂😂😂
Angepewa siku mbili ungeona anavyowaka huyo 😂😂😂😂😂
This program is dope ❤
Ila chino mtu poa sana ase anajitahidii kujituliza ingekua mtu mwingine angeshawaka ❤
Director Khasi seen
Sema mwanangu wew nae unajfnyga mnyamwez hv unamuwza lunya kwl mzee
Nmfurahi saan bn
Hapo chino alitingwa kinomaa 🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Mupitie na kwangu wapenzi❤
Ukiangaliya vizuriii hiii video utagundua kwamba wanaigizaaaaaaaaaaa
Hii ni kitu inaandaliwa
Angalia kuanzia mwanzo Sanya amesema mmoja Wao alikua anajua issue alipangwa mtu mmoja tu
Dogo unakurupuka kwa kujifanya mjuaji bila ya kuangalia clip mwanzoni na vizuri
Chino anaongea vizuri❤❤
Hahahahaaaaaaaa😂😂😂😂😂 dah nimecheka vibaya aisee chino roho kama ilikiwa inamtoka vile
Mjomba chino kidogo azimie😂😂😂😂😂😂😂😂
Oooohhh chino nae bhna ananichekesha
Je ange ibiwa zombe 😂😂😂 ange uwa kama kweli like bas
Chino gari hiko Mfukoni kwako Jisachi Mfuko Wanyuma Ya Suluwari🤣🤣
Oya kaiweka ktk pochi hemu mwambieni ajisachi vizuri lkn pochi 😂😂😂
Kipindi pekee kizuri wasafi
Mtoto wangu bwana anampendraaaa chino jmn duh sijui nielezeeje Mimi yaani akiimba tuu utasikia mama chino uyo mama basi Mimi namtania ni mkwe wangu uyo anacheka mwenyewe
Mjomba mark alikuwa apa kaondoka , saiv 😂😂😂😂😂😂 ila Chino dah mpaka huruma...
Nilikuwa najiuliza Huyo mjomba Mark ni Nan 😂😂😂
Ameyatimba 😂😂😂
😂😂😂😂😂ety mjomba mac kaondoka
😂😂😂 NIKAJUA KWELI
Nakubali sana ka mkubwa wanaman
Chino alilia😅😂
UNYAGO EP 06
ruclips.net/video/SKLze9VYuQM/видео.htmlsi=YxaWFqmbqgsBrEZI
Part 2 plz
Chino kwer kapagawa Sasa wewe chino unawauliza awo wagen majilan kuhusu Gali kaondoka nayo nani uwon kwer umevurugwa chino😂😂
😂😂kbs😂😂😂
Kumbe yakimkuta uwa haongei kile kiingeleza chake😂😂
Daah chinooo
Chino gari hiko Mfukoni kwako humu Jisachi Vxr🤣🤣🤣
Oaaee sanya w sio mtu bn
Motown Sanya naqbal xanaa
Uungwana umekosekana chino ili unayemuliza atoe ushirikiano mzuri salamu ni muhimu kwanza mtu mzima huwezi muambia eti mama hujaona Alie ondoka na gari apa bila kunisalimia sikuambii kitu
We ungekua kwenye hali ya panic atrak unge salimia😏
Ipo ck Motown utaua m2 kw presha
Ngoja nitulize akili is typing
Afande piano Tz
Kwenye funguo apo nd mmefeli ilibid waibe funguo nyingine chumban Kwa chino afu Ile nyingine wawe nayo vilevile
Hizi Ni Stori Za jaba mwanangu Chino😅😅😅😅
Chino Wanaman unyama wote umeyeyuka kawa mpole balaa 😂😂😂😂😂😂😂
Music wa bongo bila upuuzi kama huu hauendi mjini
Kuna watu hawakua serious mamae
😅😂
Tunakukubali chino umepoa kinoma,,Wala huna baya
😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉
Show kali
😂😂😂
Gali kaondoka naro nani😂😂😂😂😂
😂😂mwenzangu 😂😂
badoujasema nautasema yanimpakauseme yaniapobado😂😂
😂😂😂😂😂
Chino fazaa anulizia gar ata asalimii watu😂
Swala kama ilo mtu lazima upanic
😀😀😀😀😀😀❤❤❤❤❤❤❤iyo nay nimeipnda
Chino umenasa
Inabidi uitolee nyimbo 😂
Chino kichwa kinawasha😂😂😂 ila mo weweee
show iko Gud... ila kwenye hii ungeExtend time kidogo umpeleke na Hm kabsa ndo maybe ungeona real face ya chino
Ushauli kipindi kipo na mizunguko sanaaa muwe mnatumia gimbal ili kupata kitu kivuzur zaidi
Chino wasema uko na kiuno laini duuh hatari
Chino anahekima sana
Mjomba MARK
Chino mpole hana hata la kusema
🗣️📺📺📺📺📺📺📺📺📺📺🇰🇪🔥
Huyu jamaa ataua wenzake
Wote mnaact hapo
😂😂😂😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
CHINO AONESHA UCHUNGU ALIVYOLALAMIKA KUNUNUA GARI DIAMOND MPEE GARI MPYA MWAMBA MPAMBANAJI
Ma staaa
😢😢😢😢
Ya leo niya mchongo hakuna kitu
Chino ao wakubwa wako ni Akina nani 😅😊😊😅😅
Management yake
Naomba sapot yako ndugu yangu ni Sapot nami pia
Posh bnaaaa
Mmh muhongo huyo
🤣🤣🤣🤣🤣
Mjomba maki😂
Bonge la show wanangu
Mchongo haujakaa sawa yaani hapo ungeanza msako wa mbio kuangalia njia tair zimeelekea wapi lkn mmekaa tu barazani hamna mshangao wowote aah wp code ya leo rahisi hakuna aliyeumiza kichwa na ndy maana walikuwa wanacheka
Suree😅😅
Magari mangapi yamepitia pita hapo hapo
@@user-di1yp4vf6t Kwani inakua ndy kweli waangalie tair au watuzuge sie watazamaji km vile tuamini kinachoendelea lkn hao wamepoa tu km Waha wameshuka station hawajui pakwenda
Sasa utafatilia tair hadi wapii??!! Na tairi utaziona hadi kwenye ramii??!!!
@@druumarley2159 Jifunze act ndy utajua nilichomaanisha kwani huyo mwenyewe hajui km wanaigiza au
Kipindi kizuri
mjomba mack
Watu walishindwa kuwa serious dogo uyo anacheka cheka awo wavuta bangi awezi kazi 👃🏿
Kkkkkkkk
Kaka mtu ambae niwakumuamin ni bb na mm
sasa huyu dansa aliye shika miwani mboma anacheka mchongo unavo anza
Hiki kipindi kimekua maigizo sana ila sio mbaya bonge la idea
hiyo mzee ni prank ndio mana sanya mwanzo anakwambia kuna mtu mmoja tu ndio anajua huo mchongo
Okay
Punguza mikongo mbwa wewewe
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Uyu si ndye aliepost amenunua gari tofauti na hyo au alikuwa anauzia sola gari LA watu
Cndo limepata ajali
@@Nuru9568 yani kuna watu huwa mpaka waongee negative coment loh sasa hajui ka alipata ajali😅😅
@@yasminoluoch169 yan wanakela
@@Nuru9568 hiyo ilikuwa alfadi ya mwanzo ilikuwa BMW