"Kasimama MJINGA MMOJA kutetea bei ya sukari, ni jambo la ajabu" Mbunge Katani achachamaa Bungeni...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 37

  • @emmanuelpeter9744
    @emmanuelpeter9744 3 месяца назад

    Na hapa ndimpo tatizo lilipo tunapokuwa na watu wanaongea kutumia hisia bila fact halafu ndani ya Bunge.
    Tutaelewana tu soon maana huu ni wakati wa Mungu.
    Well done 👍 MPINA pamoja na ujinga wako bro but you will be counted as a hero 👍✌️

  • @nestor384
    @nestor384 3 месяца назад +1

    Huyu jamaa si bure anataka kuwaona wananchi hawana akili na kana kwamba fikra inayopinga wizi kupitia uhaba wa sukari wa kuchonga ni mjinga.
    Yeye si mjinga tu ni fala na mpumbavu!

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 месяца назад

    wabunge wengine wanatumwa na wenye viwanda vya sukari ili kuwatesa walaji,hii ilitokea wakati wa mwalimu julius nyerere,illafika mahali sukari haipatikani madukani!!

  • @lutegomakoyeluhahula361
    @lutegomakoyeluhahula361 3 месяца назад

    Mimi mwenyewe sijaliondoa na wala sitaliondoa hili neno kwenye Hansard ya kichwa changu.

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 3 месяца назад

    Ng'ombe mwingine huyu kweli tumelaaniwa

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 3 месяца назад

    No balancing here you are typically wrong

  • @Jeremiatitomawala
    @Jeremiatitomawala 3 месяца назад

    Acheni matusi wabunge hatukuwatuma kutukana kama hamna hoja nyamazen

  • @Mosmwampa
    @Mosmwampa 3 месяца назад

    Mmakonde mjinga huyu, yupo kutetea ufisadi itakuwa kashalambishwa tayari

  • @teddysanga1840
    @teddysanga1840 3 месяца назад +1

    msenge sana huyu jamaaa kwahiyo anafurahia ufisadii jiziiiii hili katani

  • @KitokiSospeter
    @KitokiSospeter 3 месяца назад +1

    Ni mjinga sana tu.Anajali tumbo lake,kuliko waliomweka madaakani,ndio wale Nyerere ,ni malaya malaya tu.

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 3 месяца назад

    Ujumbe umefika

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 3 месяца назад +1

    Tupo sehemu mbaya Sana

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 месяца назад

    Bado bei ya sukari iko juu licha ya ujinga wa Mpina. Imagine sukari ya Malawi ni tsh 2400@kg ambako kampuni ya Ilovo inazalisha sawa na Kilombero.

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam 3 месяца назад

    Kwenye hili Bunge Kuna wawakilishi wa Serikali ambao ndo wengi kuliko wawakilishi wa wananchi, hakuna sababu ya kuwachagu wateuliwe tu kama mawaziri pasiwepo na Bunge, kama mbunge anadiriki kusema lazima tutetee Serikali Sasa nani atamtetea mwanainchi?

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 3 месяца назад

    WAZALENDO NI WACHACHE WEWE NI BOXI, MPINA, MCHENGERWA MAKONDA WAKO VIZURI SANA ILA WEWE MBUNGE HATUKUELEWI

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph4386 3 месяца назад +1

    Kwani ujinga matusi?

  • @shabansalum1848
    @shabansalum1848 3 месяца назад

    Mbunge wa jimbo ni vema kuwa makini na michango unayotoa..bungeni kwa niaba ya wanainchi na taifa kwa ijumla wake

  • @shafiijuma840
    @shafiijuma840 3 месяца назад +1

    Habari digital mnakata sana taarifa

  • @CalistiNicetas
    @CalistiNicetas 3 месяца назад

    Hana hoja akae chini

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 месяца назад

    Bashe chanzo cha bei ya sukari kupanda, RIP JPM

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 3 месяца назад

    SAFI SANA MMBUNGE KATANI NI KWELI KUNA WAJINGA WENGI SANA NCHI HII ,

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 3 месяца назад

    Hapa mbunge hakuna 😢

  • @MasoudyMichael-ox7xl
    @MasoudyMichael-ox7xl 3 месяца назад

    Wabunge wengi Nikweli Ni .....alichosema huyo mbunge😅

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад

    Ng'ombe mwingine huyu hapa mbuzi kabisa

  • @Monja9999-c1b
    @Monja9999-c1b 3 месяца назад

    Huyu kachaguliwa ama kawekwa tuu na fisiem

  • @AnordErio
    @AnordErio 3 месяца назад

    Hahahahahahahahahhahahahahahah kweli akili ndgo ina endesha hahahahahahahahahahahaha

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es 3 месяца назад

    Safi sana kweriuyonimjinga

  • @albetomfuse444
    @albetomfuse444 3 месяца назад

    afu huyu Kama haja wahi kupona

  • @frbm1729
    @frbm1729 3 месяца назад

    Hili ndo JINGA sasa

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es 3 месяца назад

    ❤❤❤❤ kweri kunawajingawengi umo

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад

    Mjinga ni wewe

  • @Teddy-z4i
    @Teddy-z4i 3 месяца назад

    Wew ndo mjinga

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад

    Ni mjinga kweli

  • @Lo-33
    @Lo-33 3 месяца назад

    CCM hoyeeeee😂

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 3 месяца назад

    Hiyo sio matusi

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 3 месяца назад

    Virus network.

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 месяца назад

    Hii Kenge hii