IBRAHIM ALIVYOKABIDHIWA ISRAEL/KAANANI NA MUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #Palestina#Israeli#Ibrahimu#Wayahudi
    • RAMANI SITA ZINAZOONYE...

Комментарии • 236

  • @two_ti2ramlan993
    @two_ti2ramlan993 10 месяцев назад +14

    Huwez kuiacha israel kwenye raman ya dunia amin ucamin itakupa tabu mana ni mungu ndio kaiinua...nayapenda sana haya maneno mungu zidi kuipigania israel na watu wake mkono wako ucwapungukie naomba haya kwa jina la yesu ameeen

  • @Alisa-wv6rh
    @Alisa-wv6rh 9 дней назад

    Abraham Baba yetu wa İmanı 🙏Ubarikiwe sana

  • @patiencekalondji8091
    @patiencekalondji8091 4 месяца назад +1

    hallelujah hallelujah mtumishi tunashukuru ila nafikiri kwamba Abraham alitumie uongo ili farao apate ujumbe wa Mwenyezi Mungu na baada ya farao kupokea Neno la Mungu kupitia Abraham ndipo farao alikubali na kumpa Abraham hesma

  • @christineneema3008
    @christineneema3008 2 года назад +6

    Umesimulia vizuri mungu akubariki daima

  • @gracewilfred7276
    @gracewilfred7276 2 года назад +5

    Mungu ahadi zake ni ndiyo na amina

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj 10 месяцев назад +2

    Kwakweli bibilia inakila UKWELI, hakuna kitabu Chenies.uhalisia.kama hiking,Mungu.nakushukuru sana kuitwa.mkristo.Amen

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 10 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ukweli itabakia kuwa ukweli daima milele asante Mungu Baba❤❤❤❤

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 11 месяцев назад +2

    Amen asante n mebarikiwa sana Kwa hii simulizi YA baba Wa Imani kuu

  • @user-eq9ip5ng5o
    @user-eq9ip5ng5o 9 месяцев назад

    Ahsante Sana kwa historia nzuri na ufafanuzi huu🙏🙏🙏🙏💜💜💜💜nimeipenda Sana hii God bless you and your family

  • @OmanOman-yn2zj
    @OmanOman-yn2zj 11 месяцев назад +2

    Ameeen ameeen ubarikiwe mnoo mtumishi wa MUNGU❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @KissaShao
    @KissaShao 10 месяцев назад

    Jina. Mungu ni vema usianze na herufi ndogo mungu x tumia Mungu au MUNGU . ubarikiwe.

  • @user-fi2tm6gy6m
    @user-fi2tm6gy6m 6 месяцев назад

    Wakenya wafamu neno lamungu ili waaze kuwa mwanadamu zizi wote ni viumbe vya mungu ❤

  • @rehemar3659
    @rehemar3659 3 года назад +3

    Ameen

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 9 месяцев назад

    I am a proud christian and I will always be!.

  • @omarmgeni8782
    @omarmgeni8782 3 года назад +4

    Lkn Nabii Ibrahim alikua muislam

    • @furahinimbise7969
      @furahinimbise7969 Год назад

      Uislam ulikua hauja zaliwa, uislam una miaka 1660 tuu. Tofauti na ukirsto

    • @andrewkundya7324
      @andrewkundya7324 Год назад

      Ndio mlivyodanganywa....someni mtoe ujinga

    • @andrewkundya7324
      @andrewkundya7324 Год назад

      Uislam ulianza baada ya kuzaliwa Muhamad

    • @irene3abi123
      @irene3abi123 11 месяцев назад

      Uislam ulianza baada ya YESU kufufuka na kupaa mbinguni
      Uislam ni uzao wa maid

    • @user-nr2ud1dm3y
      @user-nr2ud1dm3y 5 месяцев назад

      Uislam uliasisiwa na mtume wa mwisho, Mohamed.

  • @user-fk8ul9dd5p
    @user-fk8ul9dd5p 9 месяцев назад

    wakristu kwa mungu hawajulikani ungeniambia wayahudi kidogo hawo mungu anawafaham kama unabixha niambie dini ya ibrahm

    • @derickmponzi6582
      @derickmponzi6582 2 месяца назад

      Kama MUNGU alimtuma YESU kristu sasa iweje asi wafahamu wafuasi wake ambao niwa kristu

  • @johnlodaan
    @johnlodaan 3 месяца назад

    Amin Amin.

  • @user-gq6vz6we3m
    @user-gq6vz6we3m 11 месяцев назад +31

    Kuna dini Fulani inapinga ukweli maana vitabu vyao si vya Mungu havina ukweli tena wanaumia wanaposikia somo hili. Thanks Jesus amen.

    • @salumuluhanja2049
      @salumuluhanja2049 10 месяцев назад +2

      Ibrahim anatokea nchii gan jiulize

    • @allymahiyo2464
      @allymahiyo2464 10 месяцев назад +1

      Kasome vizur?

    • @wamorire2043
      @wamorire2043 10 месяцев назад

      ​@@salumuluhanja2049Iraq

    • @aminamikidadi7754
      @aminamikidadi7754 10 месяцев назад +1

      @@salumuluhanja2049 Ibrahim alitokea Iraq. ....

    • @Harrison-zh9sb
      @Harrison-zh9sb 10 месяцев назад

      @@aminamikidadi7754 kutokea iraq haimaanishi kwwmba nimuiraq azamani watu walikua wakitembea maeneo mbali mbali wakifanya biashara pamoja na makazi kama vile yusufu alivyo pelekwa misri hadi kuwa mfalme wa misri

  • @BarakaPeter-yi2nh
    @BarakaPeter-yi2nh 11 месяцев назад +2

    Mchungaji umebarikiwa sana akili mungu alio kupa ni zaidi ya wanasayansi tutazidi kukuombea mchungaji mwema wetu❤

  • @njugunamichael4017
    @njugunamichael4017 3 года назад +2

    Yahweh ndiye aliyemuita abrahamu, sio mungu mungu ni muchawi ama shetani baba ya Malaya na wezi

  • @johnlodaan
    @johnlodaan 3 месяца назад

    Waah amin amin, duniani nzima watamini.

  • @kijanamdogodogo9439
    @kijanamdogodogo9439 3 года назад +3

    Good story Hongera sana tena sana

  • @kennedykimaro-ss1ll
    @kennedykimaro-ss1ll Год назад +2

    unarikiwe mtumishi wa mungu

  • @Beatriceandeyo
    @Beatriceandeyo 10 месяцев назад

    Historia nzuri sana ,nimependa kuuisikia sana ,barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @GnakoGnako-ee6jr
    @GnakoGnako-ee6jr 10 месяцев назад

    mtumishi mungu hakubaliki sana najua IPO sku watajua hukweli kama huu

  • @user-ci7hd4ip6x
    @user-ci7hd4ip6x 10 месяцев назад

    Amina mungu akubariki sana mtumishi

  • @kombozimbwilo4289
    @kombozimbwilo4289 3 года назад +4

    Ameni apo tupo pamoja kabisa nb zangu zimetumika KWA faida

  • @schollastickamathanacki6062
    @schollastickamathanacki6062 3 года назад +1

    Hongera kwa simulizi nzuri Mungu akubariki na azidi kukutumia kuwasaidia watu kujua ukweli

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 3 года назад +5

    🙏👍 A man of God

  • @genevievesunday
    @genevievesunday 10 месяцев назад

    Asante Kwa fundisho barikiwa

  • @user-ch5wd9dp8h
    @user-ch5wd9dp8h 10 месяцев назад +1

    Ubalikiwe sana

  • @josephbendera3992
    @josephbendera3992 10 месяцев назад

    Amina huu ndo ukweli Israel lile NI taifa walilopewa na Mungu mwenyewe

  • @user-zz8qr9gn1f
    @user-zz8qr9gn1f 10 месяцев назад

    Anayejiita Dr Sule na wapotoshaji wenzake hawaelezei kisa hiki cha Mungu na nabii Ibrahim Sule huungana na waarabu wavamizi wa KANANI au Palestina kupotosha ulimwengu ndiyo maana kichapo kinaendelea maana wanapinha mpango wa mungu

  • @NaumiBaya-wr7ri
    @NaumiBaya-wr7ri Год назад +1

    Amen amen

  • @jlaafc6562
    @jlaafc6562 2 года назад +2

    Ameeeen 🙏🙏

    • @jlaafc6562
      @jlaafc6562 2 года назад +2

      Barikiwa sana sana

  • @SevAl-p9k
    @SevAl-p9k 5 месяцев назад

    Ameeen🙏

  • @rukiagambere8050
    @rukiagambere8050 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @MyebeChalres
    @MyebeChalres 9 месяцев назад

    ubarikiwa sana

  • @FestoSanga-wy7ld
    @FestoSanga-wy7ld 10 месяцев назад

    Amen

  • @SubiraJoseph-sr7kh
    @SubiraJoseph-sr7kh 11 месяцев назад

    Ubarikiwe

  • @user-ot2xk9kc9y
    @user-ot2xk9kc9y 10 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @eliasfesto4604
    @eliasfesto4604 3 года назад +1

    Story nzuri

  • @mishymorgani5828
    @mishymorgani5828 2 года назад +1

    Jamani,!!! Yani nimeinjoy kwelj kuskiliza simulizi hii 😍😍😍

  • @EsterBernardoVumo
    @EsterBernardoVumo 10 месяцев назад

    Amen Amen Amen

  • @user-oj1dv7ci1v
    @user-oj1dv7ci1v 10 месяцев назад +1

    Mungu ongeza ngumvu Israeli

  • @JanethUrasa-qs5ot
    @JanethUrasa-qs5ot 10 месяцев назад

    Barikiwa

  • @wallenmaulisa-me4ik
    @wallenmaulisa-me4ik 11 месяцев назад

    Barikiwa sana kwa neno

  • @kiraithedouglas
    @kiraithedouglas 10 месяцев назад

    Sijawahi ona ama kusikia kuja diini yetu utapata Mali ,,,ama tutakupea pesa uwe tajiri,,, dio mahana nko tu kwa mafunzo ya baba wetu aliye mbinguni Amen

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 10 месяцев назад +2

    I'm proud to be christian

  • @afidhidadi8847
    @afidhidadi8847 10 месяцев назад +1

    Simulizi hii na simulizi ya Dr sulle hazina tofauti yoyote. Asa nyie mnagawanyika vipi wana wa kizaz kipya. Maana pia suala la wake wengi kumbe limenza Kwa baba wa Iman abraham.

  • @access48hottestnews56
    @access48hottestnews56 3 года назад +1

    I like your researched keep on

    • @chairokongo5430
      @chairokongo5430 3 года назад

      Yes its good BT this are found in the Bible you can read it and you'll get real knowledge.

  • @pascasmathew424
    @pascasmathew424 3 года назад +1

    Wakanaani walifikiri kuwa Mungu haoni matendo Yao . Mungu aliwayapika Hadi Leo wanatafuta nchi Yao hawioni , wanasema wanaonewa tuu

    • @wellahsuleiman7881
      @wellahsuleiman7881 3 года назад

      Asante, KWA MAFUNDISHO. TUNAOMBA UTOE MUSIC UNAPIGA KELELE. HAUNA FAIDA

  • @murhabazibanywesizeeliya5246
    @murhabazibanywesizeeliya5246 Год назад

    Asante sana bb

  • @user-pq9be8re6i
    @user-pq9be8re6i 10 месяцев назад

    Mungu haendelee kutufunulia

  • @JaneJoseph-op3js
    @JaneJoseph-op3js 11 месяцев назад

    MUNGU akubariki umeelezea vizuri sanaaa

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 3 года назад +1

    Nice

  • @user-bf1pv4hz8h
    @user-bf1pv4hz8h 10 месяцев назад

    ❤❤ daima Israel

  • @lileoh3893
    @lileoh3893 3 года назад

    Sema iblhim mwoislam yule

  • @user-bw2bg6ie4c
    @user-bw2bg6ie4c 10 месяцев назад

    Bwana awabariki wapendwa abwana

  • @ustadhfarouq7729
    @ustadhfarouq7729 Год назад +4

    Haki wakristo nimeamini sio wasomi Eti Ibrahim alikabidhiwa Israeli wakati Israel wakati wa Israeli ilikua hakuna, Israel ilianzishwa na mjukuu wa Ibrahim katika uzao wa Ishaq ndio akazaliwa Yacobo na ndiye aliitwa Israel.Wakati Ibrahim yu hai hakukuwa na kikazi cha Israel hebu someni bwana wacheni kutuletea aibu zenu hapa😢

    • @haruniaisha5905
      @haruniaisha5905 11 месяцев назад +2

      Ulie soma basi tupe abari. Umesoma madrasa au darasani poleni lakini 😂

    • @haruniaisha5905
      @haruniaisha5905 11 месяцев назад +1

      Yaaani mtu anakuekea na vifungu vya bibilia bado hawajasoma kasome wewe basi

    • @saitafrank4945
      @saitafrank4945 11 месяцев назад

      Huyu hajielewi huenda nae ndo walewale waliopo gizani sisi hatishindani

  • @francismsagati7595
    @francismsagati7595 10 месяцев назад

    ❤❤

  • @user-mg6ss2rc8e
    @user-mg6ss2rc8e 7 месяцев назад

    Ubarikiwe ewe Israel kama MUNGU alivyosem atakayeibarik Israel atabarikiw naye atakayeilaan atalaaniw

  • @pascalhoza6297
    @pascalhoza6297 3 года назад +3

    Nataka nikusahihishe hakuwa falao aliemtaka Bali alikuwa Abimeleki aliemtaka mke wa nabii wa mungu Ibrahim.

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 11 месяцев назад

      Soma biblia vizuri wewe

    • @Ldm7846
      @Ldm7846 11 месяцев назад

      Ilifanyika mara mbili..Kwa Farao na Kwa Abimeleki...popote Ibrahim alipofika alimwambia Sarah aseme kuwa wao ni ndugu.
      .Kwa hiyo ilifanyika Kwa Farao na Kwa Abimeleki...soma biblia..barikiwa

    • @betramsambali
      @betramsambali 11 месяцев назад

      Saaaafi sana leesamusha 5213

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 11 месяцев назад

      @@Ldm7846 ngoja nitafatilia kwa kina mtu wa Mungu

  • @loishiyelukumay6972
    @loishiyelukumay6972 3 года назад +1

    🤲🤲

  • @georgemtewele582
    @georgemtewele582 10 месяцев назад

    Ame

  • @EvaristLazaro
    @EvaristLazaro 3 месяца назад

    Wakati wa Ibrahim Uislam haupo,

  • @GasparMfoi
    @GasparMfoi Месяц назад

    Tumejifunza

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤good news

  • @huseinmwandwani1909
    @huseinmwandwani1909 11 месяцев назад

    Ibrahim hakuwa muislam wala hakuwa mkristo bali alikua mcha Mungu sana

    • @betramsambali
      @betramsambali 11 месяцев назад

      Hiyo ni hoja nyingine,we sikiliza story hii ya ukweli na imeandikwa ktk kitabu gani. THE BOOK OF BOOKS EVER BEFORE.

  • @MyebeChalres
    @MyebeChalres 9 месяцев назад

    nikweli

  • @forcienelokoiluku
    @forcienelokoiluku 7 месяцев назад

    Kabla ujaanza kuongelea mambo ya mungu au yawakina abraham au musa ungefuatilia kwanza ukweli kuusu mungu kama yupo kweli au ayupo na ungefuatilia kwanza uwepo wa dini afrika ilikujaje na ungeenda kufatilia ukweli na uongo wa dini ya kikristo na kiislamu ndo utajua kuwa mungu ajawahi kuwepo na ayupo ajawahi kuzaliwa au kuwa kwenye dunia hiii

    • @forcienelokoiluku
      @forcienelokoiluku 7 месяцев назад

      Dini za waarabu na wazungu pale walipo ileta afrika ndo imefanya afrika mpaka leo atuna maendeleo nina mengi ya kusema ila kwasababu ni text au commment siwezi kusema yote

    • @forcienelokoiluku
      @forcienelokoiluku 7 месяцев назад

      Ila hakika mungu ayupo na ajawai kuwepo in this world

  • @eliapeter2950
    @eliapeter2950 3 года назад

    Sure

  • @user-ze8tm5zj5q
    @user-ze8tm5zj5q 11 месяцев назад

    Amen ,,nimefurai sana mtumishi wa mungu

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 10 месяцев назад

      Anawadanganya huyo mtumishi wenu. Israel a.k.a Yacob alikuja mbele Sana ya Ibrahim. Sasa unadanganywa maana Israel Yacob yeye Mwenyewe alizisoma habari za Ibrahim karne nyingi zilishapita.

  • @emelykinsindi9439
    @emelykinsindi9439 10 месяцев назад

    Nimekuelewa vyema mtumishi

  • @derickmponzi6582
    @derickmponzi6582 2 месяца назад

    Mama MUNGU ndie alie mtuma YESU kristu sasa ni vipi asiwa fahamu wafuasi wake ambao ni kristu

  • @user-mz3hh6pr9x
    @user-mz3hh6pr9x 11 месяцев назад

    amani mungu baba ainuriwe

  • @EvaristLazaro
    @EvaristLazaro 3 месяца назад

    Ndg zangu wakristo tembeen kifua mbele kwa kuwa ninyi mmechagua njian ilyo Bora,maana mmekuwa kundi moja lenye mchungaji mmoja,jamani,jaman ukristo ni hazina kubwa na yatupasa kuisoma vyema BIBLIA

  • @olivaerasto6669
    @olivaerasto6669 11 месяцев назад

    Mungu hatetewi na mwanadamu,wameligoroga watalinywa.Israel ni mbonyi Mungu aliye hai.hao warabu watajuta kwa walichokifanya

  • @Diana-lf3nr
    @Diana-lf3nr 10 месяцев назад

    🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌

  • @guledomary2812
    @guledomary2812 9 месяцев назад

    Wakristo wanashangaza sana jinsi wanavyowashabikia mayahudi wakati Wayahudi wenyewe hawamkubali Yesu Wala ukristo. Na Wana muita Yesu ni mwanaharamu.. na ni marufuku kuhubir ukristo Israel na hukumu yake ni miaka miwili.

    • @MaxLupapa
      @MaxLupapa 2 месяца назад

      Ww fuata dini kenge ww

    • @MaxLupapa
      @MaxLupapa 2 месяца назад

      Yako

  • @ramazanihakizimana9291
    @ramazanihakizimana9291 3 года назад +3

    Asant sana kutujuza historian ningependa kuliza dumascus iko inchi gani nafkiri ni (Syria) kama aijasahau na inchi ya babel kwasasa inaitwa (iraq) kama skusahau

    • @sirizabiblia5276
      @sirizabiblia5276  3 года назад

      uko sahihi kabisa

    • @rachelevarist70
      @rachelevarist70 3 года назад +1

      @@sirizabiblia5276 mnachokosea wa kristo hua mnaficha ukweli yaani biblia inavyoongea nanamvyoisoma tofauti huyo sio Abraham anaitwa Ibrahim yani hata majina mnaogopa kuyataja cjui mnaogopa ñn

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 Год назад +1

      @@rachelevarist70 kabla hajawa Ibrahim aliitwa Abraham

    • @flova7022
      @flova7022 11 месяцев назад +1

      @@rachelevarist70 Rachel hatufichi..Ila biblia ndio imesema hayo

    • @shirrangimedia4570
      @shirrangimedia4570 11 месяцев назад +1

      Huyojamaa hana elimu yoyote namkumbuke kua uislamu umekuja kupinga kila kitu chakimungu duniani hatakama utawaambia ukwer wanalazimisha uongo uwe ulwer biblia ndo kitabu cha kwanza kuwepo duniani nandicho kitabu kinaielezea dunia A..2..Z nandiomaana Qur'an haizui ibrahimu mwanzo hakuitwa Abraham na Israel aliitwa yakobo hapomwanzo nahawajui kua Israel nijinalamtu ambaye watotowake ndio wanashikilia ukoo wa Israel watoto kumi nambili wanakusanya maandiko kutoka ndani ya biblia nayakwao wanatudanganya kua Qur'an ilishushwa namungu daaaa dini bwana mungu awasaidie

  • @deboramsangi360
    @deboramsangi360 2 месяца назад

    Hiyo inaitwa ndoa iheshimiwe, farao alipogundua ukweli akasema mmh,,nenda na mkeo baba

  • @alimaulid9543
    @alimaulid9543 6 месяцев назад

    Eti umesema ibrahim alitembelewa na malaika 3 kwa muonekano wa binaadam wakaandaliwa chakula wakala huu ni uwongo malaika hawali!

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 10 месяцев назад +2

    Mimi binafsi apa nashindwa kuelewa historia ya dini zote inatokea apa mashariki ya kati na apo mashariki ya kati ndio pana matatizo makubwa kupita kiasi natumai sisi watu weusi kuna kitu tumefichwa apa wanaenda kutugawa ktk dini.

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 10 месяцев назад

      Migogoro ya middle east ilianza baada ya dini ya kiislam kukua na kuanza kulazimisha maeneo mengine wafuate imani yao,na ndiyo maana karibu maeneo yote ya waarabu siyo rahisi kuona Watu wa dini zingine

    • @allymahiyo2464
      @allymahiyo2464 10 месяцев назад

      @@mwassamwassa7264 sio kweli ndio maana nasemaga kuna kitu kimefichwa sisi watu weusi tusikijue,mosri,irak, even parestina wamejaa kibao watu wasio waislam.

  • @user-rt7jh8no8p
    @user-rt7jh8no8p Год назад +2

    Endelea Kuwadanganya Watu

    • @saitafrank4945
      @saitafrank4945 11 месяцев назад

      Ongea wewe ukweri tukusiki

    • @irene3abi123
      @irene3abi123 11 месяцев назад

      Share your link tujue ukweli wako,,,sanamu mtu wewe

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s 10 месяцев назад +1

    Hakuna muoslamu Wala dini ya ki islamu Bado nadhani dini ya baali ndo uislamu ulizaliwa humo

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 11 месяцев назад

    IBRAHIM ALIISHI KATIKA MJI WA MECCA NDIO ALIUJENGA HUO MSIKITI WA MECCA NA KAABA YAKE NA NDIO ALIKOISHI NA KUZAA WATOTO WAKE ISHIMAEL(ISMAIL) MTOTO WA MJAKAZI NA ISAKA(ISAAC) WA MKE MKUBWA... IBRAHIM ALIISHI HAPO... TOFAUTI NA UONGO UNAOELEZWA NA WATU WA MADHEHEBU MENGINE

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 10 месяцев назад

    Acha uwongo mbona Israel hakun wakristo? Na mungu gani m, binafsi teuwe taifa moja na kutenga wengine? Ata wewe kama unaamini Mungu yupo wew ni Israel! Soma Wagalatia 3:6,7 kwenye hii dunia hakun taifa la Israel wala bustani ya Edeni hizo ni mifano za biblia! Mfano Tanzania tunaweza kutengeneza story kuwa bustani ya eden ipo Iringa Tanzania hili tupate watalii! Kama wazungu walivyoanzisha taifa la Israel ili waeshimiwe, ninachojua mm Israel ni imani yako! Mungu sio mbaya kiasi cha kuteuwa taifa moja na kubagua wengine... Mungu wetu ni Mungu wa haki❤❤❤❤ nampenda san mungu

  • @edymoney5895
    @edymoney5895 2 года назад

    Duuuu hakika dini peke yakweli nayamitume ni ukristo nikitabu cha kweli ni bibilia takatifu ivyo vingine mungu avitambui

    • @floraflora5717
      @floraflora5717 11 месяцев назад

      ❤❤ kweli kabisa sindiyo maana anavuruga😅vibaka

    • @flova7022
      @flova7022 11 месяцев назад

      Hamna msiseme hivyo...mm mkristu..Ila mkianza kusema hivyo mtaonekana hamtoshi...Mungu kweli anaitambua bibliaa..Ila usiseme havijui vitabu vingine unakosea... kumbuka hata kwenye Qur'an Kuna torati.

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 9 месяцев назад

    Kuna ukweli kuwa Farao kila akitaka kufanya mapenzI na Sara alikuwa anaishiwa nguvu za kiume kwa sababu Sara alikuwa mke wa nabiii

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 10 месяцев назад +1

    Neno litasimama tu

  • @guledomary2812
    @guledomary2812 9 месяцев назад

    Hivi Ibrahim alikuwa dini gani

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 10 месяцев назад

    Waislamu wanatoa adithi za uongo kuuhusu Ibrahim na kupotosha watu

  • @EvaristLazaro
    @EvaristLazaro 3 месяца назад

    Kwa hyo waislam walilibomoa hekalu la Suleiman na kuujenga msikit a AQSAA,je nini Lengo lao kwa Israel?

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 10 месяцев назад

    Mm nime shindwa kuelewa je Abraham alimuacha farao tena mjukuu weke musa aka mpata apa kuna uongo maali tumechezwa

  • @JosephNgangaKenyathanksjesus
    @JosephNgangaKenyathanksjesus 11 месяцев назад

    Ee kweli Ni ameleki 🥱

  • @EvaristLazaro
    @EvaristLazaro 3 месяца назад

    Ndg habib,hekalu la Suleiman lilibomolewa na kujengwa msikiti wa AQSAA ambao upo kwenye eneo la hekalu la Suleiman,

  • @alimaulid9543
    @alimaulid9543 6 месяцев назад

    Umetuambia Ibrahim alimuowa kijakazi wake akapata mimba akawa anamzarau sara lkn cha ajabu umesema mtoto wa kwanza wa ibrahim ni isaqa huu ni uongo isaqa ni mtoto wa sara aliyezaliwa baada ya ismail?

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 10 месяцев назад

    Nendeni uko msitudanganye

  • @Daudshatta-zu4kq
    @Daudshatta-zu4kq 10 месяцев назад

    Wasiangalie ndev wakathan ukristo umeanza wakati wa aganojipya