Hamas ni Gelesha,Haya ndio yanayomfanya Israel Afanye Mauaji ya Halaiki - Prof Hamza Njozi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 320

  • @harounalubbaid8585
    @harounalubbaid8585 9 месяцев назад +5

    PROFESSOR HAMZA NJOZI ALLAH SUBHANA WATAALA AKUBARIKI.

  • @dominicksurusi4628
    @dominicksurusi4628 8 месяцев назад +15

    Tunataka watu wanaokuja na facts kama huyu profesa. Sio kuja kulialia bila uhakika❤

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 9 месяцев назад +6

    Prof, umeelezea vizuri sana na kwa ufasaha.

  • @zanichanai6679
    @zanichanai6679 12 дней назад

    Profesa yupo sawa.

  • @willykomba7048
    @willykomba7048 9 месяцев назад +16

    This analysis is excellent; well researched, argued and presented. This is superior to the old introductory course PS 202 at UD!

    • @josepheriah5977
      @josepheriah5977 8 месяцев назад

      Us strong

    • @josepheriah5977
      @josepheriah5977 8 месяцев назад

      Marekan babalao

    • @maqwaybaran9905
      @maqwaybaran9905 8 месяцев назад

      14:12

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 8 месяцев назад

      ​@@josepheriah5977Acha ulofa ingia You tube andika lisu awatolea uvivu Israel na marekani ina 1:40 Kisha utanipa mrejesho nakufungua akili. Maana lisu no mwanasheria pia kasoma mataifa ya magharibi kwa maana Masters kachukua Uingereza Ila sikia majibu yake Kisha tafakari kwa mwenye akili ondoa umbumbumbu.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 9 месяцев назад +3

    Huyu Mze Allah amzidishiye umri mrefu.

  • @theloyaltz1659
    @theloyaltz1659 9 месяцев назад +3

    MashaAllah! Allah amzidishie ilm na ufaham

  • @joshuasamson3023
    @joshuasamson3023 9 месяцев назад +4

    Nmepata kitu tofautisan sheeh asante sana izisiri wanafichasana

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      Nani anaficha,mwambie shehe aeleze uislam ulivyo sambaa duniani

  • @joshuasamson3023
    @joshuasamson3023 9 месяцев назад +3

    Mungu akuzishie my aka mingisana mzee wetu

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 9 месяцев назад +3

    Well said Mzee,Asante Sana, nikweli kabisa Ile sio nchi ya ahadi nimaneno tu,Wale niwaongo sana,nampaka hivi walikua kila wakati wanapanua mpaka wa nchi kwenda pembeni Zaidi kuelekea Kwa wapalestina!!!!,

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 8 месяцев назад

      Km vitabu mashuhuri Biblia na Quraan tunavyoviamini duniani vina history moja ya kabila hili la uzao wa Ibrahim basi changamoto ni dini tofauti ya kuabudu.

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 8 месяцев назад

      Isingekuwa nchi ya ahadi wasingeitaka ile, jangwa tupu lile wangekuja Africa wajichukulie kiulaini tu.
      Halafu jiulize asili ya Wayahudi ni wapi sasa? Halafu Musa alivyowatoa Misri aliwapeleka wapi?

    • @sharomdguda
      @sharomdguda 8 месяцев назад

      Soma qurani yako 17 : 104 tuone km Quran nayo ni uwongo😅

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 14 дней назад

    Ni kweli kabisa mungu atahukumu kwa dhurma

  • @husseinmbaya4855
    @husseinmbaya4855 3 месяца назад +1

    Mungu akulinde akupe afya

  • @user-nz8bv6xn9r
    @user-nz8bv6xn9r 15 дней назад

    Prof. Uko vzr

  • @maryamm3738
    @maryamm3738 9 месяцев назад +3

    Shekhe uko vizur kisiasa❤

  • @MwitaFdesire
    @MwitaFdesire 15 дней назад

    Genius man l remember book "the mwembe chai killing and political features of Tanzania

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 7 месяцев назад +3

    Ameanza kueleza kuwa wayahudi walitapaa dunia nzima kutoka wapi? Nchi yao hasa ilikuwa wapi?

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 9 месяцев назад +6

    Wao wanapanga Allah nae anapanga

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 9 месяцев назад +2

    Napenda sana hizi documentaries.Kuna mengi naanza kuyafahamu.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 9 месяцев назад

      Unapenda kwasababu wanaongelea unachokitaka ila wakisema kinyume na ukipendacho utakuja na matusi hapa

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 9 месяцев назад

      Mbona kama wewe ndo unataka waongelee unachokitaka??? Halafu hata kama wataongelea vitu sitaafikiana navyo sitafikia hatua ya kutukana,sikulelewa hivyo.
      Pinga hoja kwa hoja,usipinge hoja kwa matusi.Itatuonyesha akili yako ni fupi kiasi gani.Asante.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 7 месяцев назад

    Hii ndio tofauti kati ya mkiristo wa Africa na waulaya ,ulaya wanajua KWAMBA mayahudi ndio watesi wa yesu na afrika wanajua mayahudi ni watakatifu,Mimi namshukuru allah Kwa kuniongoza kupitia mafunzo sahihi ya dini ya kiislamu yenye kumtambua yesu kama nabii MUHIMU sana KATIKA maisha yangu

    • @franknkinda6628
      @franknkinda6628 11 дней назад

      Not true, YESU alikuwa Mfalme wa Wayahudi, dola ya kirumi ndiyo iliyomuua YESU, Ukweli usipotoshwe

  • @user-dk8lm3tf1j
    @user-dk8lm3tf1j 9 месяцев назад +1

    Mashaallah Elmu Bahar hapa! ❤❤

  • @user-bs2ix5wf2k
    @user-bs2ix5wf2k 8 месяцев назад

    Nzuri SANA prof udadavuaji mzuri

  • @user-bs2ix5wf2k
    @user-bs2ix5wf2k 8 месяцев назад

    Vizuri SANA prof itafsiriwe kwa kingereza 25:31

  • @jumahozza-dg6ec
    @jumahozza-dg6ec 9 месяцев назад +4

    Kalamu mashaallah mnajitahd san Allah awe nanyi

  • @agreykombe5396
    @agreykombe5396 8 месяцев назад +3

    Huyu mzee anatakiwa alindwe na awekwe kwenyekitengo cha intelenjisia ya tanzania katika kutoa maamuzi ya kimataifa

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 9 месяцев назад +1

    Sheikh alisahau iraqi itagawanywa mara 3 qurdish,sunni,shia mashaallah yupo vzr

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 8 месяцев назад

      Ndiyo maana wanasema,elimu haina mwisho

  • @mussaomary6626
    @mussaomary6626 9 месяцев назад +1

    Jembe huyo my tutor

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 9 месяцев назад

    Very Professionally

  • @jamalissa3877
    @jamalissa3877 9 месяцев назад +1

    asante

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 9 месяцев назад +1

    Asant sana kwakutupa elimu

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 9 месяцев назад +1

    Mashalah

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 8 месяцев назад +3

    Walumuua Yesu wakiwa katika nchi gani?

  • @makambatimbertraderscompan311
    @makambatimbertraderscompan311 4 месяца назад +2

    Nawaona Vijana wa Kigalatia wanavyopiga Kelele humu kama mbwa niwaambie tu kuwa Nyie hamna Udugu wowote na Waisrael wala wale mayahud hawawatambui Nyie Kabisa.Wao Mtume wao ni Musa na kitabu chao ni Taurati.

    • @sadammkinga2946
      @sadammkinga2946 Месяц назад +1

      Kwani ulisikia wayahudi wanahitaji ndugu acha kuwa na fikra potovu kwani hakuna wayahudi waislamu au waarabu wakristo au wazungu waislamu au wachina waislamu mzee akuongelea udini hapo katoa Katia elimu dunia na uhelewa wake hapo jiulize kitu mbona wayahudi walikuwa wengi Africa na awang'ang'anii huku kwenye kila aina ya madini gesi pamoja na mafuta mfano Uganda Tanzania na DRC mbona wangekuwa matajiri Sana wangekuwa huku lakini walikataa yamkini yamewadondokea Palestine tumshukuru mungu tungekuwa ndo twafa Sisi huku mfano mdogo tu DRC Vita kila siku Sisi waafrika tumeshindwa wakombokoa tunajidai tunayatetea ya Palestine tuweni huru huo ni utumwa wa fikra

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 9 месяцев назад +2

    Kichwa imetulia mzee

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 14 дней назад

    Wengine hufurahi kwa mauji ya gazza

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 21 день назад

    Huyu kweli profesa wa elimu "Ahera na elimu sekura"anatoa maelezo yaliyo nyooka hakuna upendeleo wowote,wa kidini
    Huyu sio Dr Sule

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 2 месяца назад +1

    Ukitaka kumuamisha mtu mtafutie sehemu, ngorongoro wametafutiwa sehemu

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 16 дней назад

    Zanzibar pia wapo kweli Sheikh??

  • @Brother4others
    @Brother4others 9 месяцев назад

    Zanzibar wapo sehemu Gani

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 9 месяцев назад

    Point sana

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 2 месяца назад +1

    Ebu twambie wayahudi kama David, Suleiman na Yesu kwao ilikuwa wapi na wapalestina waliingiaje pale

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 9 месяцев назад +3

    Uyahudi ni dini ya waumini walioteseka sana duniani, hivyo isichanganywe na uisrael ambayo ni jamii ya wana wa nabii yacub

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 9 месяцев назад +4

    Alafu tunakalia maandiko watu wanafanya yao waafrika pumbavu sana

  • @michaelkavavila7371
    @michaelkavavila7371 19 дней назад

    Uislamu unakuja miaka 630..yesu, nitume yote inazaliwa inakuta imani ya kiyahudi ipo...na ndio walianzisha uraratibu wa kutaili.kama alama yao...na hata hiyo tohara iliwagalimu maana....mrumi aliwanyonga kwa kuwajagua,alie tairiwa alitambulika kama myahudi akauwawa.ndo taifa lenye kila aina ya historia duniani.kiimani,kiuchumi,kijeshi,kiushetani.kuteswa,kutawaliwa.manabiii

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 9 месяцев назад +2

    Ni kweli hamna vita pale gaza ni mauaji tu ya raia

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 9 месяцев назад

    Mzee anajua

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 9 месяцев назад +3

    Yahudi ni gaidi hakuna gaidi duniani wa kabila ingine

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 8 месяцев назад

    Prof naomba kujua asili ya Wayahudi ni wapi kabla hawajasambaa kwenye mataifa mengine??

  • @goodlucktarimo2716
    @goodlucktarimo2716 27 дней назад

    Safi mkuu unajua hakika wewe ni msomi kweli

  • @user-lb1nb2ls9g
    @user-lb1nb2ls9g 7 месяцев назад

    Mngemwamini Mungu msingehangaika, imeandikwa ktk biblia neno la Mungu, kuwa waislaeli wataondoka israeli, baadaya miaka mingi wangerudi tena israeli, ndicho kilichotokea, mnacho jadili ni namna njia iliyotumika kutekelezwa agizo la Mungu, mfano Mungu alisema, hakika mtakufa, hili lazima litokee kwanjia yoyote, iwe maradhi, ajali, njaa, vyovyote, niutekelezwaji wa matakwa ya Mungu.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 8 месяцев назад

    Vita ni biashara nzuri saana kwa baadhi😢

  • @OmarAmran-t7k
    @OmarAmran-t7k 16 дней назад

    Tanzania inaongozwa na watu wasio wasomi na wasomi hawana vipaumbele ila tukitumia wasomi wetu umaskini utaondoka

  • @adammaro7836
    @adammaro7836 7 месяцев назад

    Shida ni kwamba kila mmoja anapotosha kwa maslahi ya dini yake, lakini rejea historia hasa pale General Titus baada ya kuzima maasi ya wayahudi na wengine kukimbilia nchi za mbali, Warumi waliofanya mambo makubwa mawili la kwanza kubomoa hekalu la Yerusalem ambalo ilikuwa ni ishara ya uwepo kwa taifa la Israel ambalo ilikuwa katika eneo ambalo Warumi waliwahi kuliita JUDEA, jambo la pili kubadilisha eneo kuwa PALESTINE, ili kupoteza ule utambulisho, lakini Umar Ibn Khatab akapigilia msumari wa Mwisho baada ya kuitwaa Yerusalem. Hapa Mimi naona kwa kuwa waisrael amerejea baada ya muda mrefu, wajitahidi kuweka mpango wa kukaa pamoja au Palestina iwe na mamlaka yake na Israel iwe na mamlaka yake.

  • @alikamberis
    @alikamberis 8 месяцев назад +1

    Mzee lakini salomon alikuwa king wa israel ao wa wa palestina??

  • @halfanijuma7646
    @halfanijuma7646 8 месяцев назад

    At least i get the lights

  • @allykisuda1458
    @allykisuda1458 9 месяцев назад

    Why so

  • @libaal1071
    @libaal1071 8 месяцев назад

    Mashallah hao nchi 3 ni Kurdish

  • @akimzeli5030
    @akimzeli5030 9 месяцев назад +1

    Sub'hanallah!

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 9 месяцев назад +1

    Marekani hawatafaulu abadani. Watashindwa mapema mno. Rusia na china wasitupane na korea kaskazini

  • @johnnyoni7571
    @johnnyoni7571 7 месяцев назад

    Asa nte sana kwa historian kubwa,maana tunadanganywa tuu na madhehebu

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 2 месяца назад

    Heri wawatafutie sehemu kuliko kuwauwa watu

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 9 месяцев назад +1

    Nakışa hongera ya kujielimisha kwa hili.

  • @rwekazamugasha6448
    @rwekazamugasha6448 8 месяцев назад

    Low intensity conflict ni kutoĵumusha utu wa binadamu umepungua. Vita ni biashara ya siraha ya wa amerikani. Hawana dini

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 месяцев назад

    👊✌👍.

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 17 дней назад

    NA VIPI KIHUSU AHADI YA MUNGU KWA IBRAHIM, ISAAC na JACOB????

  • @w4058
    @w4058 9 месяцев назад +1

    Hawa mayahudi ni babaric monstrous killer

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 8 месяцев назад +1

    Naomba mnisaidie HAMAS wamemua Mtanzania Mweusi kwa makusudi .....hivi naye kosa lake nini?

    • @sharomdguda
      @sharomdguda 8 месяцев назад +2

      Hawezi kukujibu hata ukimuuliza Hamas na Israel nani kaanzisha vita

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 8 месяцев назад +1

    Swali ninalojiuliza kwani Israel asili ya taifa lao ni wapii maana tunaambiwa walitapakaa duniani

  • @michaelkavavila7371
    @michaelkavavila7371 19 дней назад

    Shida unaiangalia israel kuanzia 1948...huwezi ingalia tanzania1961.hutaipata...israel ilikuepo karne na karne na ndio wanaoingiza hii dunia.na ni taifa lililo pitia majanga mengi kuliko taifa lolote duniani

  • @abubakarmohammed1924
    @abubakarmohammed1924 4 месяца назад

    Imagine masheikhe wetu wa "social media" wangekuwa na ufahamu huu wa kisiasa kwa kiasi waislamu wengi hawangehadaika na democracy na uovu wake!

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 8 месяцев назад

    Solomon Ni mparestina kasome

  • @shukranechimale2722
    @shukranechimale2722 8 месяцев назад +1

    Israel ni taifa la michongo michongo🤣🤣 kifup hawana akili

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 18 дней назад

    Esrael hana nchi,hiyo nchi ya palestin

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 9 месяцев назад +1

    Km America anaweza kuwagawa na mkagawanyika ni vizuri sana !

    • @w4058
      @w4058 9 месяцев назад +1

      Watu kama wewe mnatakiwa muombewe dua sana sana ya kutanabahishwa mnaifurahia maovu yakiwafika wenzene what goes around comes around iko siku yatawafika mlio vilio vya mbwa midomo juu chunga sana upuuzi wenu wa kikatili huo kumbumuka adhabu ya muuwaji na mshangiriaji ni sawa sawa

    • @w4058
      @w4058 9 месяцев назад +1

      Nyie wenyewe mmegawanywa huko Africa kwenu mnauwana wenyewe kwa wenyewe mkiporwa madini yenu pumbavu kubwa wewe

    • @hassankilengah4786
      @hassankilengah4786 9 месяцев назад

      Usisahau na sisi tumegawanya bado kupoteana njia tu.

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 9 месяцев назад

      Ulivo mjinga unaona naww ume coment😊. Ok kawagawa wamegawanyika ebu tuambie Nani anawagawa wa africa wenzetu Congo nakuwauwa kwa umati?
      Unayajua mauwaji ya kimbari dhidi yakabila la himba Namibia ?
      Rwanda? Ethiophia?
      Unakijua kinacokaribia kutokea cameroune?
      VP South Sudan baada yawajinga kama ww kusherehekea Uhuru wa south soudan nini kinacoendelea?
      Aceni upumbavu sio lazima muwe watumwa wawazungu mungu anamkubali yeyote yule muhim roho safi

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 8 месяцев назад

      @@w4058 kwa hiyo amerika ana kosa gani km sio wenye makosa waarabu na waafrika !

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 8 месяцев назад

    Hivi Israel Kwao ni wapi

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 9 месяцев назад +2

    Waislamu tuna akili mingi sana hapa duniani na akhera allah atutunze

    • @mathewbicco6656
      @mathewbicco6656 9 месяцев назад +1

      😂😂😂...acha ufala. Binadamu wote ni sawa na wana akili

    • @simonnembomadola7512
      @simonnembomadola7512 9 месяцев назад +1

      Mnalishwa ujinga sana na hadithi zenu.Ufala heti mna akili nyingi 😂😂

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 8 месяцев назад

      Akili za kula kitimoto au?

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 8 месяцев назад

      Akili za kutengeneza tende nchi gani ya kiislamu Ina technologia

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 8 месяцев назад

      ​@@ramadhanchenga4606mungu amesha panga. Waarabu hela,,wazungu wafanyakazi,,,waafrika mziki,,pombe,,wizi.

  • @kinasaba
    @kinasaba 3 месяца назад

    Huyu Profesa muongo sana. Anatumia ukweli mmoja kupotosha mengine. Taarifa zake zimejikita miakq 70 iliyopita. Atuambie hao Wayahudi waliotapakaa dunia nzima walitoka wapi, na nini kiliwakimbiza huko walipotoka. Atuelwzee Otto Man empire iliichukuaje Israe. Sijajua ana nia gani.

  • @user-yf1zj1vo1o
    @user-yf1zj1vo1o 21 день назад

    Nandomana iran rebanon yemen palestina kweit hawataki

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 7 месяцев назад

    Kwann waislam wengi wana maneno mengi saana juu juu ya Israeli, Palestine, Marekani, na kujitia kujuajua sana juu ya migogoro ya kidunia wakati daima hawana mipango ya kujielimisha juu ya elimu na maisha ya duniani??

    • @OmarAmran-t7k
      @OmarAmran-t7k 16 дней назад

      Kaka huyu ni profesa we unaongea kwa elimu gani ?dah

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 8 месяцев назад

    Daula ya kiislam sio hujuma ya wamarekani...Bali ni waislamu wa ukweli wanaopigania kuurudusha doll ya kiislam kama alivyotabiri Rasuurullah

  • @hajikhamis6608
    @hajikhamis6608 9 месяцев назад

    Hio hoteli ya wayahudi Zanzibar inaitwaje?

    • @simonnembomadola7512
      @simonnembomadola7512 9 месяцев назад +1

      Acha chuki dini tumeletewa tu.
      Toka uislam uanzishwe kumekuwa na Aya nyingi za kuwalaani wayahudi na kutoa maagizo ya kuwaua na kuwaita majina mabaya.
      Kipindi Cha mtume wayahudi walipata Kila aina ya madhara na wengine kuchinjwa kwa madai ya kutaka kumuua mtume.Tuwaachie mapambano yao

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 9 месяцев назад

    Waje waigawe na tz wizi mwingi

  • @dannyngaiza7065
    @dannyngaiza7065 7 месяцев назад

    Kwani Hamas walivyoingia Israel walifanya sherehe au?

  • @yambazykaratta3793
    @yambazykaratta3793 8 месяцев назад +3

    Kwa hakika Prof. umefanya uchambuzi yakinifu, nami nimejifunza mengi. Lakini kuna jambo hili kuwa Israel ni nchi ya ahadi kwa wayahudi, jambo hilo ni la kiunabii, unabii huo umetia kwa exactly. Soma Ezekiel 36 yote, lakini haswa mistari ya 19-24, 28-30, 33-36. Unabii huo ni wa miaka takriban 2700, yaani kama miaka 700 kabla ya Yesu, na umekuja kutimia mwaka 1948 Israel waliporudi, baada yakukataa kupewa nchi yoyote nyingine, wakataka nchi yao wenyewe kama walivyoahidiwa na Mungu ktk hiyo Ezekiel 36:24. Someni Bible muone mambo haya.

    • @khalidmnganah9901
      @khalidmnganah9901 8 месяцев назад +2

      Napenda nikiri baada ya kusikia uchambuzi huu, niseme nimepanda ngazi ya ufahamu jinsi gani maslahi yanavyotangulizwa kuliko ubinadamu. Siasa za dunia ni unafiki na ukandamizwaji wa kisayansi na ghilba tupu. Hakuna ukweli ni ulaghai tu.
      Shukran Prof.

    • @djalasaleh
      @djalasaleh 8 месяцев назад +2

      1948 MAJAMBAZI WA KISIONISTE( KHAZARS, ASHKINAZIS)

    • @maqwaybaran9905
      @maqwaybaran9905 8 месяцев назад +2

      Professor muongo sana anaongelea upande wa dini yake ya suruali fupi na kuficha baada ya mambo muhimu

    • @maqwaybaran9905
      @maqwaybaran9905 8 месяцев назад +1

      ​@@djalasalehgaidi mwenye suruali fupi mjukuu wa Mudi katika ubora wako

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 8 месяцев назад +2

      Biblia imeandikwa hivo na wazungu ili iendane na kile wazungu wanataka. Wazungu wamekuwa wakibadilisha mistari ya biblia ili iendelee na kile wao wanataka

  • @seifabdul7153
    @seifabdul7153 7 месяцев назад

    Waingereza ndiyo waliowaingiza hapo Israel kama wakimbizi na vitambulisho vyao mayahud viliandikwa ni wakimbizi picha tunazo

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 9 месяцев назад +1

    Dah kumbe bongo vichwa vipo

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 2 месяца назад

    .unafikiri wakati lbrahim anatoka kurdi anaambiwa aende nchi aliyooaidiwa ilikuwa aina watu?

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 9 месяцев назад +1

    Baba asante kwa elimu lkn ungeanza kutuelezea hawa watu walitapakaa kote duniani wakitokea asili kwao wapi ?

    • @georgenyasudi4060
      @georgenyasudi4060 8 месяцев назад

      Hilo swali wote wanalikwepa, na la ajabu ni kuwa jawabu wanalo. Very hypocritical people.

    • @georgenyasudi4060
      @georgenyasudi4060 8 месяцев назад

      All Muslims in their analogy they explain very well how Jews were spread all over the world. Ironically, none of them want to explain where were the Jews before they found themselves spread all over.

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 8 месяцев назад

      @@georgenyasudi4060 kweli ndugu yangu hawa watu ni tatizo na imani yao imekuwa changamoto kwa amani duniani.

    • @zenahussein2242
      @zenahussein2242 8 месяцев назад

      Hata Palestine wayahudi wapo na waliishi na Palestine Bila shida yeyote. Ila hao wayahudi wageni ndio tatizo.

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 8 месяцев назад

      @@zenahussein2242 Wayahudi wenyeji wawakaribishe na kuwakubali wanaorudi nyumbani.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 9 месяцев назад +1

    Acha kuchanganya uchokozi wa hamas na udini

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 9 месяцев назад +2

    MAREKANI, UINGEREZA NA WAZAYUNI WOTE WANAPANGA MIPANGO YAO....LAKINI MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ANAWAAIBISHA!

  • @rasammudmar5455
    @rasammudmar5455 8 месяцев назад +1

    Prof hata mm naungana na wewe

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 9 месяцев назад

    Warikubari kwakuwa nikwao mliwafukuza nyunyi

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 8 месяцев назад

    Wamelaaniwa hao mayahud mazayun

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 8 месяцев назад +1

    Mbadala wa Tundu Lisu,anachanbua vizuri sana.

  • @DarleneNsengiyumva
    @DarleneNsengiyumva 9 месяцев назад

    Skukran mze wetu kwa ufafanuzi wako.hao raia wanao patikana katika nchi nne ambazo ni uturuki, irani, irake na siriya.niwa kurde.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 8 месяцев назад

      Duuuu weeee unamfundisha professor ???

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 8 месяцев назад

    Okay

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 8 месяцев назад

    Wazanzibar watabakiaunafik munaunga mkono izraili raisi wenu hata pole hakuwapa palesteina Kazi siyasa znz

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 8 месяцев назад

    Wangepima DNA wangeshanga kwa ujinga wanaoendelea nao😊

  • @tozzowilliams308
    @tozzowilliams308 8 месяцев назад

    Unaongea vizuri professor ila nadhani kuna mambo unayakosa kuhusu mashariki ya kati na geo politics.....

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 8 месяцев назад

      Hakuna popote ilipoandikwa kama kuna nchi inayoitwa Izraeil au itakuja kuwa Izraeil! Izraeil ni jina la Nabii Yakoob nae ndie aliyezaa watoto kumi na wawili kupitia wake zake wawili (2) mmoja alimzaalia watoto kumi (10) na mwengine watoto wawili(2) Hawa ndio Wana wa Izraeil!na ndiyo waliozaa MAKABILA kumi na Mawili kutoka Kwa hao watoto kumi na wawili Kati ya hao wawili ni Nabii Yusouf na mdogo wake Bin Amin au (Benjamin)

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 8 месяцев назад

    Tatizo mnageuza ni vita vya kidini kumbe ni ardhi

  • @franklyn7439
    @franklyn7439 9 месяцев назад +3

    Aiseee haya madini ni hatari