NJIA KUU TATU ZA KUMSIKIA ROHO MTAKATIFU
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- 2 Wakorintho 13:14
Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote. Amen.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Eee bwana mm si mwema hata kidogo nimekuwa mkosefu katika maisha yangu yate katika jamii na watu wanao nizunguka mungu naomba nisamee sana mm mtoto wako 🙌🙌😭🙇♀️🧎♀️🧎♀️
Mungu naomba inisaidie niweze kumsikia loho mtakatifu
🙏
Eee bwana mimi si mwem hata kidogo nimekuwa mkosefu katika jamii na watu wanao nizunguka bwana wangu niguse tena niwe wako mimi sina bwana mwingine🙏🙏🙏
amen baba 👏👏
Amen 🎉🙏
Najihis pia mm nmemkosea sana Mungu naogopa hata kukanyaga kweny nyumba ya Bwana
Hallelujah
Ee Roho mtakatifu naomba kusikia sauti yako masikioni mwangu Amen
Kwel kuna faida ya kumsikiliza Roho Mtakatifu tena huwa anazungumza kwa sauti ya upole sana. Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏🙏
Amen kweli Rm anazungumza lakini tumeshindwa kutofautisha aina ya sauti
Mungu akubaliki sana na uzidi kutufikishia elimu hii juu ya roho mtakatifu
Ameni
Asante Sana mungu awabaliki sana🙏🙏
Thank u paster God bless
Amen Amen Amen
Haya mafunzo yatanisaindia katika Jina la Yesu
Mungu nisaidie nikusikie roho mtakatifu🙏
Roho Mtakatifu wewe ndiwe msaada wangu karibu uniongoze ktk kusoma neno la mungu
Amen🙏🙏 huo ushuhuda umenipa hope ju nimekua nikiomba sana Mungu anijalie fethaa za kununua vitu za kanisa nina imani Mungu atajibu🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana
Amina karibu Roho mtakatifu uniongoze sana maishani mwangu
@@FausterLawrence Amina Amina🙏🙏🙏
Mwaka 2016 alinisemesha kuhusu eneo la biashara na mtu atakaye nipa eneo
Mungu akubariki mtumishi
Iko faida kubwa sana
Ewe Mungu naomba unisaidie kusikiliza roho mtakatifu na kutii sauti yake🙏🙏
Eeeeh.....Roho Mt.naomba unisaidie niweze kusikia sauti yako maishani mwangu
Amin Mungu nakuomba unipe roho mtakatifu aniongoze kwenye maishayangu
Roho mtakatifu anakaa ndani yetu.ukimpokeya tu Yesu kuwa Bwana na mokozi wako ,hapohapo roho mtakatifu anaingiya ndani yako.sasa inabidi umwambiye ajizihirishe kwako ila upate kumuelewa.na akusaidiye kukufunguwa masikiyo yako ya rohoni.
Naitaji Roo mtakatifu katika maisha yangu yote
Ameen Ameen naomba roho wa MUNGU aniongoze katika maisha yangu Amen
❤❤ Naomba roho mtakatifu kwenye maisha yangu
Roho mtakatifu uniongoze siku zote za uhai wangu
Ee mola kaa nami naomba nisikie sauti yako angslau kwa siku hata moja naamin amen🙏🙏
Mungu nomba nisaidie niwezekumsikiliza roho mtakatifu
Nampenda Yesu natamani kujazwa na roho mtakatifu. Mtumishi ubarikiwe ..Amen
Mungu nisaidie nimusikie roho mtakatifu
Roho mtakatifu sema nami nikuelewe kile unachosema nami Amina
Sylvia amen karibu roho mtakatifu ndsni yangu uniongoze🙏🙌♥️
Roho mtakatifu komboa watoto wangu
Mungu naomba nipate upeo wa kumsikia roh mtakatif
Amen 🙏 nitafanya aje ndio nikuwe na moyo wa kuomba juu nikitaka kuomba maneno yaniisha
Hata mm nilikuwa na hiyo shinda lakini mungu ni mwenye huruma akikuona unatia juhudi anakuwezesha.
Mm niliendelea hivyo kidogokidogo na nikawa naomba mara kwa mara na kusoma bibilia mungu atakuinua
Soma biblia utaomba mpaka utakuwa unaona muda hautoshi maana tukiomba tunamkumbusha Mungu ahadi zake alizozisema kupitia neno lake.
Assnte Yesu kwa neno lako,asante kwa mtumishi wako.nipe neema ya kumsikiliza Roho Mtakatifu
Mimi nilipo achana na mume wangu,nilikua naomba Mungu anipe mume mwingine,niliambiwa hakuna siku utazaa na mume zaidi ya mmoja,amini miaka kumi na miwili ndio alitokea akaniambia msameh mumeo,na ukumbuke ndani ya hii miaka ya usingle sikuwahi kuzini kila mume ninaekutana nae tukipanga tukutane kunatokea kisanga kikubwa,hivi ninavyo ongea mume wangu alirudi,baada ya 12yrs na hajawai zaa na mke mwingine,ni mim tu nilizaa nae 3kids,na ajabu ameishi na wake zaidi ya wanane na hakuna alo zaa nae,wee haya ni majabu haki.R00H0 Wa Mungu anatenda Kabisa.
Amen, alichokipanga Mungu hakuna atakayepangua
Ee mungu mwenyezi naomba roho mtakatifu aniongoze katika maisha yangu❤❤
Eeeh mungu naomba niweze kumskia roho mtakatifu
Mungu naomba roho mtakatifu anitembelee kila wakati
Mungu mwenyezi naomba unisaidie kumsikiliza roho mtakatifu ndani ya maisha yangu
Ee Mungu nisaidie kusikiliza roho mtakatifu na kutii sauti yake
Mungu n'a taka niku sikiye usiku wa Léo baba mungu wangu roho mutakatifu 🙏🙏🙏
Amen...Naomba roho mtakatifu aniongoze katika maisha yangu
Hakika bila roho mtakatifu hatuwezi
Holy spirit teach me to listen your Voice
DUH Asante Sana kwa ujumbe hii ni mzuri Sana. Wengi Tunalalamika hatujibiwi kumbe tunaomba vibaya. Ukimaliza Amen unainuka nakuondoka bila kusubiri Roho wa Mungu tunabaki kulalamika mbona mbona. Asante Sana mtumishi.
Aloooo Kuna kitu nimepokea Ameen nmekua mpya
Amina mungu anisaidie niokoke kikamilifu
Naomba ewe Mungu uingie ndani yangu unifunze niweze kumsikiliza roho mtakatifu
Ningeomba nipate marafki walio katika ushirika na Yesu
Nitumie namba zako
SoMo ili leo ni la kwangu kabisa mtumishi ,,mimi ni mmojawapo wa watu waombaji,,nikimaliza na kuondoka ,,pia nimeshajaribu Mara chache kukaa wenye utulivu Naona yanakuja mawazo yangu tuh ,,nikaona niache Mungu anisaidie niweze kumsikia kwa kweli
Amen, Amen
ASante sana mtumishi wa Bwana
Naitaji kusikia sauti ya roho mtakatifu aniongoze katika maisha yangu roho mtakatifu 🙏🙏🙏🙏
Holy spirit I know I don't deserve to walk with you due to my uncommitment but please right know ive decided to be yours please be with me
Naomba unitumie sala ya kumwomba Roho Mtakatifu nijue lugha
Nipo ulaya najifunza lugha lakain inabid nimshirikishe Roho Mt.
Yes, Mimi Huwa najibiwa Kila maombi ninayoomba namshukuru sana Mungu wangu,sikujua kama kufanya hivo Kuna faida
Baba nipe neema ya kumsikia roho mtakatifu na mm aniongoze kwenye maisha yangu
Ni kweli kabisa mtumishi wakati Roho mtakatifu anajibu kwa nyimbo unasikia wimbo ndani yako mi hua nauangalia huo ujumbe najua ni Roho amesema nami
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
AMEN I TRUST IN YOU JESUS CHRIST
Namuitaji Sana roho mtakatifu maishani mwangu 🙏
E bwana yes nipe utii wa kumsikiriza roho mtakatif
Roho mtakatifu anisaidie niingie jerusalemu
Ameen barikiwa Mtumishi nimekuelewa sawa
Ameen nimebarikiwa sana kwa hya mafundiaho mm.ata huletewa nyimbo uaingizini nikaimba tu vizuri but nikiamka asubuhi nimesahau
Karibu yesu moyoni mwangu
AMEN MTUMISHI. KWELI KABISA ROHO MTAKATIFU ANAZUNGUMZA NA ANAFANYA KAZI SANA, MIMI NINAYAISHI AYO KABISA. MUNGU AKUBARI NA AKUPE ZAIDI UJUZI NA UFUNUO.
Hee mungu naomba utusamehe kwa kudhalahu neno lako🙏🙏
AMEN naamini nitapokea roho mtakatifu
Namshukuru Bwana kwani Leo hii siwezi Fanya Jambo lolote Bila kuogozwa na Roho wa Bwana asubui ananiamsha ,Ratiba ya kwangu ni yeye unipangia ,
Ameen mtumish wa mungu mimi kitabo apo nyuma nilikuwa na kaa tu hivi na sikia na ongeleshwa na mtu na si muoni na ambiwa omba omba kama kuna kitu mbya kitafanyia na pia na shangaa mm nikiwa na umwa na kichwa sana uchungu si lazima nimemeze dawa nikitapika tu hivi na pona kutoka kitabo pia hua na shangaa ni kawaida ama hata nikimeza dawa hiyo dawa nitatapika tu sasa vile nimekuwa na misukosuko za maisha nikakataa tama so nilirudi nyuma na kuomba naomba sijamaliza najipata nimelala tu😢😢 lakini nikiwa na ungojwa mm nikimeza dawa nitatapika na hivo ndo nitapona eeeh mungu ni sadie naomba unionekanie ndani ya maisha yangu eeh bwana nifunze kukusikiza na kusikiza roho yako kwa maana ww ndo unaye weza yote 🙏🙏🙏❤️
MUNGU naomba unisaidie nimsikie roho mtakatifu akisema na mim
Kwa kweli nimefaidika Sana kiroho ASante sana
Roho mtakatifu karibu rohoni mwangu
Ameen 🙏🙏🙏 balikiwa Sana mtumishi wa MUNGU
Mungu naomba roho wa mtakatifu aningoze ktk maishani mwangu
Ubalikiwe mtumishi
I love the spirit of God to walk with me,shuka Tena uniguze
Asante pasta nimekuelewa sana naamini kuanzia Sasa nitamruhusu roho mtakatifu afanye KAZI ndani yangu.
Nabarikiwa na neno hili la Bwana.
Amen 🙏 🙏 ubarikiwe sana mtumishi kwa mafunzo takatifu🙏
Roho mtakatifu ananitia nguvu mpya kila siku amen 🙏🧎.
Antônio Samuel kutoka Moçambique asate kwa jia ya kujua roho takatifu
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa somo hili.
Amen mtumishi Mungu akuzidishie pawa, Ee mwenyezi Mungu naomba roho mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote amena.
Amen naamini hivyo itakuwa roho wa MUNGU niongezee nashukuru nimeipata kitu
Mungu naomba niwe na Roho mtakatifu maisha yangu awe kiongozi
Ee Roho Mtakatifu nifundishe kuisikia sauti yako na kufuata kile unachonifundisha na kunielekeza
asante kwa kunipa maarifa juu ya Roho mtakatifu hakika nimepata jambo jipya Mungu akubariki
Nj kweli kabisa mtumishi wa Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo wa Nazareth! Hakika tunaongozwa na Roho mtakatifu ukimtiu na kumfuata!
Ubarikiwe sanaa Mtumishi... AMINA🙏
Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi Mungu akubarik sana❤
Amen amen amen and amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤️❤️
Amen mtumish Mungu akubariki sana
Natamani roho, mtakatif , aje kwangu aniongoze kwa, kila ninalofany
Amen amen ninashudia kwa kuongozwa na roho mtakatifu mnoo
Asant sana namkaribisha roho mtakatifu ndan yangu
Naomba Roho mtakatifu aniongozo kwa maisha yangu Asante sana kwa mafundisho 🙏🙏🙏🙏🙏
Eewe Mungu wangu nimesikia neno lako ninakushukuru Dana Kwa wema wako unaonitendea
Mungu mim Elizabeth nimeelewa hili fundisho ulilomwachilia mtumishi wako naomba niwezeshe kusikia sauti ya roho mtakatifu🙏
Amina Na mpaka hapa kukusikiliza ni roho mtakatfu ameniongoza Ubarikiwe sana🙏🙏🙏
Asante kwakuni funulia aya Amen Amen Amen 🙏
Amen, Asante sana mtumishi wa mungu kwa kutupa ufahamu huu haki unatusaidia sana mungu akubariki sana 🙏
Mungu akubarki mtumishi wa Bwana nimependa darasa la maarifa ya kimbingu
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏 tumepokea mafundisho mazuri kuusu kumusikia Roho mutakatifu. Merci
AMINA mtumishi wa MUNGU BARIKIWA SANA
Mbona nilichelewa kujua km unamafundusho mazur hivi 💪💪💪❤️❤️❤️❤️
AMEN amen glory to God 👏🙏🙏🙏
Me nimekua nikiota sanaa nikiwa mazingira ya shule ya msingi nilosoma lakn siku mbili zilizopita nimeota nko shule hyo ya msingi nimeshafanya mtihani na nimejaza mtihani wangu vizuri lakn gafla mtihani wangu hauonekani na nilikua nimeshakusanya
Rafki hyo ni ishu ya kutafri ndoto naeza kukuelekeza kama hutoja mim npo mkoa wa songwe ww unapatkana api
Amen naomba roho mtakatifu awe maishani mwangu.
Praise the Lord 🙏❤️