UKIOTA UMEONA UTUPU WAKO AU WAMWENZAKO NDOTONI | HAYA NDIO MADHARA YATAYOKUKUTA | SH KHAMIS SULEYMAN
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- UKIOTA UMEONA UTUPU WAKO AU WAMWENZAKO NDOTONI | HAYA NDIO MADHARA YATAYOKUKUTA | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#MasjidMtoroTv #NyumbaYatibaNaDua
Asalam alykm Mimi nimeota mwanangu ndogo wakiume nafanyanae mapenzi
Shukran sheikh jazzakhaAllahu
Walikum msalam warahmathullah wabarakathu mm nimeota exwangu.anafanya mapenzi na mwenzie
Ahsante nimekuelew sana mwalimu...
Lkn mie nimeota tofauti hivi karibuni nimeota
((nimetoka nje ya nyumba yetu nimevaa singlend tu haijafunika ata paja nikajihisi nina uchi mrefu haliyakuwa unashikika, nikaushika nikaupelekea kwa nyuma nikavuta singlend hadi kwenye mapaja na kujifunika vizuri,,,)) sasa hii inamaana gani
Subhana Allah....mm nliota mtu alie kufa akiwa tupu yake iko injee kabisaa
Asante shehe nimekuelewa vizuri
Waghaleikum muslamu warahmatullah wabarakatu,mashallaaaah,ALLAH atutimizie katika ya kheri anayotuahidi na atuahirishie Katika mitihani aliyotuonyesha katika njozi .
Nmeota nipo mm na radio yangu choon lkn mm npo uchi naoga lkn mwenzangu anaoga na nguo, baadae watu wakafungua mlango na kunichunguli, nisaidie shekh
Walahi nimeota ndoto hizi utupu wa mwanaume mara zingine naona kwa ndoto utupu wa muke jirani yangu .nikiamka siwaoni thank you now I know how to deal wit dat dream
👍
Nitafute mtavassy TV atakusaidia
Mashalah
Mm niliota utupu wamanaume ukitoa shawa nyigi sana mpaka nikazama kwenye shawa mpaka tumboni. Inamaana gani
Shukran
Yes mimi niliona utupu wangu lakini sikuona aibu.Nishapata jibu
Asallam allykum sheihk mm niliota nimelala na mmewangu halafu hapohapo Yuko na mwanamke mwingine wakifanya tendo la ndoa
Yani hawa wanaofasiri hawaeleweki,...kila mtu na tafsiri yake na ndoto ileile
Yan ata mm c waelw kabsa🤣
Kabisaaaaaa
Wajinga hawa mtu unanunua bundle Ili upate majibu ya maswali Yako ..Wanamikwala mingi Kila mtu anasema yake hupate jibu.
Umesema kweli Sasa sijui tumwamini nani
Hamna tafisili nyingi ukiifuatilua uwa maana zinafanana nyie fuatilieni vizur zinafanana Kama samaki wanasemaga ni riziki ata watafisil wengi wanasemaga ivyo na ATA wachungaj wanatafisil ni riziki nilishawai ota
A.alykum sheikh mm nimeota nakula keki nn maana yake mana mm kihalisia sipendi keki ila nimeota nakula keki tena kubwa sana
Sheikh wewe uko vizuri kuelezea ila unaboesha Sana yani naamini ukitoa Khutba Ya Ijumaa basi naamini watu husinzia Sana kwa ulivyo slow
Kabisa yani
Kweli teena
Yaan huyu waweza lala ukasahau kama kuna kitu wasikiza mmh sio kwaupole huu jman mmh
Hhhhh yani unamsema live sheikh wa watu
Assalam alaykum shekh nimeota naangalia utupu wa mwanamke mwenza bila aibu nayeye akiwa Hana aibu nini maana yake
Aslamu alikum waramatulliah mm nimeota mume wangu anagalia utupu wangu ila juu niko na nguo but chini sina nguo maana yake nn plz
Amina
Habari, nimeota nimechuna ngozi ya binadamu nikaweka kwenye begi nikawa naogopa natafuta pa kuificha sikupata hadi naamka naomba uniambie maana yake 👏👏
Unakalibia kuwa mchawi
@@husseinsadick7785 🙁🙁🙁
@@husseinsadick7785😂😂😂
😅😅😅😂
Assalam alaykumshekh mm nimeota kuna mwanamke mtumzima namfahamu amenitoanje nikiwasinanguo hatamoja akaniogesha na yeyehaongeikitu namm siongei tukarud ndan nikiwa hivohivo akanikalisha kwenye stuli akani chanjachale lakinibajaongeakitu
Fit sanaa baba
Mimi nimeota mtoto wangu anaogerea yupo utupu yupo na wenzakemtoto wa miaka10
Mm nimeota nmeshika sehem za siri mkononi mwang za kiume lakin ila haziko mwilini,nisaidie shekhe
Shekh salam aleikum kama umeota umeingia kwenye watu wamefanya makosa aliyakua wew uyafaham alafu wakaukumiwankunyongwa nawewe ukiwemo alafu unamkuta anaesoma majina ya wanao TAKIWA kunyongwa nikaka Yako alafu hukunyongw inamaana gani
asalam aleikum shekh
Nimeota nimeona utupu wa mwanaume (baba) lkn alikuwa amevaa nguo asubuh mapema nimeamshwa na boss wangu kwa maneno ya kejeli bila hata ya salamu kutwa nzima ya leo tumenuniana
Naomba unisaidie tafsiri yake sheghe
Asall alkm ,shekhe mm nimeota nimelala. Kitandani na madogo wangu nikiwa mtupu huku najishika sehamu A siri na kujisifia utupu wangu mkubwa
Asalam alaikum ww .shehe mimi nimejio sina nguwo
Nimekuelewa sana brother. Na nina uliza mimi sasa ni mara ya pili niota sina nguo sehemu za chini niko na nguo but sehemu za juu kuanzia kiononi hadi kichwanu sina nguo ndoto ya kwa niliona aibu nikiwa barabarani sina nguo za juu na wstu walikuwa barabarani nikaomba leso na nilipewa na mtoto wa kama miaka kumi. Na nilifunika kifua tu na kikakimbia nikaenda ila watu wengi walikuwa kwa hio njia nilikuwa. Ya pili nilikuwa uji sehemu za juu vile vile na nilikuwa jikoni natengeneza chakula gafula boss wangu akaingia wa kiume na nikatorokea mlango wa nyuma na sikukuwa na nguo upende wa chini nilikywa na nguo but juu hakuna . Please hii ina maana gani
Asalam aleykum.ukiota njozi mbaya unatakajiwa ufanye nini?
Unamaerezo mengi mno...
aiseee Mimi nimeota nimefumania watu wa nje mwanaume tunaye heshimiana naye na mwanamke ambaye alikuwaga Dem wangu hapo nyuma Tena et wakiwa kitandani kwangu ninacholalaga Mimi na mke wangu tukaanza kupigana na yule mwanaume huku mwanamke yule nikimlushia matusi mabaya Nini maana ya ndoto hii?
😭😭😭😭😭😭Nifanye nini shekha wangu 😭😭😭😭😭🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Asalaam Alaykum shekhe mm nimeota mwanamke amekaa vibaya nikaona utupu ila sasa utupu wake ni wakiume ali yakua yy ni mwanamke tena ninaemjua shekhe nisaidie
Namimi hivyohivyo mtoto kakaa utupu mtoto wa kike utupu wa kiume
Mbona watabiri hampo sawa
Jambo mimi nime hota maman mzazi iko na vaha nguo ya ndani kisha nika hona hutupu wake
Mm nmeota utupu wa maremu bwanangu na ckuona aibu nijipu hapa
Jitahidi kupunguza maneno
Mi nimeota mama yngu ananifukuza kwenye nyumba nitafsirie nijue alafu nikaota tumepanda boti kwenye maji tunaelekea pemba ila zile bot za wazi juu bot ndogo za kuvulia naomba nitafsirie
Ustadh nimeota mumewangu alikua na mwanke wakifanya mapenzi lkn nikamuona mwanke utupu wake inamaanisha nn
mimi niliota nimeona uchi mwanamke ninae mjua tena alikua mgonjwa sanaa kakonda hadi nyama zimeshikana na mwili je hiyo inamaana gani nijibu tafadhali
Niota mme wangu anaoga nje na nikaona utu wake ukiwa umebadilika
Mi nimeota nimetoka nje nakuingia ndani nikiwa mputu.. Nakulikuwa na wanawake wengi.. Akatokea mwanaume akanifunika nguo.. Akaniambia hebu jifunike huoni aibu mbele za watu, akawa kanifunika.....
Je ukiota mwanao wakike iko tupu?
Nmeota tumelazimishwa kuoga hadharani wanawake na wanaume kixha tukalazwa kifudifudi uku wengine wakilazimishwa kwa fimbo kuvua nguo ila sikuona utupu
Shekh dogowangu ameota amemuona mwanaume yupo utupu wake in was mdogo wangu na halo yeye ni wakike yani amembadilishia yule mwanaume kachukua wa mdogo wangu halafu huyu wakike kachukua wayule mwanaume nn maana yakeshekh
Amin
Ok
Me nimeota nimeona utupu mwanaume akifanya mapenz na ndugu yang tena kitanda ambacho nilicholala mpk wakamaliza
Mmh. Ok swa
Nimeota mama yupo na mahusiano na mtu ninae mpenda
Nimeota nimetoga kuoga nikatoga bila nguo but sikuwa na uoga Ata na mama mwingine akanifunika na kitambaa
Samahani sheikh naomba unisaidie tafsiri yandoto hizo nimeota nimeenda kumsalimia bibialiekufa nanimeota mtu amekufa nabado yupohai
Nafran2 me siamin
Me nimeota mwanaumee ninae mjua Sasa ananionyesha utupu ila nikamngata kwenye utupu na kumfungia na kukimbia
Unakabiri wa wee zombi
Awja
niliota nyanya yangu akitembea uchi na alienda safari ndefu sana, maana ake ni nini ?
Ukiota kitambaa kinacho funika utupu wako kimeanguka ukaona utupu wako na ukajiona aibu papo hapo ukatoa kile kitambaa ukafunika utupu wako papa hapo maana take ni nini?
Nimeota tuko wanawake watatu mwanaume mmoja mara mmoja nikamuona wanakumbatiana mara nikamuona mwanaume kavua nguo zote wanafanya mapenzi mbele yetu maana yake nini
Ukiota umelala na babako mzazi je maanake ni nimi
Shekhe na he, kama ukiota uko utupu na baada ya hapo ukakimbia kwa mwanamke mwanzio na kumnyanganya kijitenge na kujisitili na kumuacha akiwa uchi inakuaje nisaidie
Mi niliota rafiki yangu wa kike marehemu.ukinionesha utupu wake sijui maana yake
Hii yako ni uwongo baana usidanganye waja wa Allah
nimeota marehemu bibiyangu mzaa baba analazimisha nilazima afanye mapenzi na babayangu inamaana gani
Jmn mimi nishachelewa yote yamenikuta na cjui nifanyeje
Nimeota nafanya mapenzi na mdogo wangu, ambaye alikua ananyonyeshaa
Maana ya kuota ndoto ya utupu wa mwanaume anao mwanamke na mdogo kisha mbovu kichwa kimelika chote na nikamuambia nenda Spital ye wala hana habari ubivu wake je inamana au shaitan tu wanasumbuwa
Nakam waota umeona mtu amekuja Uchi kwako na ukamchapa sana uku uwalia
Mmmh huyu anasema hivi yule anasema vile mmmh hata siwaelewi
je ukiota unachawa wengi weupe kichwani ininamaana gani
Ukiota unakula chakula na Boss wako, haliyakuwa amekutelekeza kikazi, nini maana yake.
Huyu muongo huyu mganga tu mpiga pesa kila kitu Anapeleka ktka Uchawi na mattizo to Wafasiri wa ndoto wawili tu mnajimu KULTHUMU NA MAALIM MTAVAS JAFARI HUYU HUYU HAPA NWIZI TO HUYU MCHAWI
Nn tafasiri yake
Je ukiota umemuona mtoto anajisaidia haja kubwa nyingi ina maana gani
Kavi mbiw san🐖
Shekhe umenichekesha eti mwananamke mwenye bichwa kubwa 😂😂
kuna watu mnakuwa hampo seriously kbz😁😁😁😁😁
Shekh sik izi naota ndot za ajab kweli .. ivi shekh mwanamke alokuwa hajaolewa akaota una utupu wa mwanamme na ikiwa ana ham ya ile tendo maana yake nn????
Nime OTA watu wanaziinii
Mhh
Yani huyu kaka tafsili yko malanyingi zinakukosesha rahaa zinatishaa 😂
Ukiota kama umekanyaga mavi ya 🐐 nini maana yake ?
Ukiota mavi ni liziki yani mali au pesa mana yake umekanyaga pesa au liziki
Punguza nyodo na kujivunavuna wakati wakufanya kipindi
Wee kiboko achangamke bhna mtoto wakiume
🤣🤣🤣
Ok