TAFSIRI YA NDOTO ZA KUOTA UPO SEHEMU ULIYOZALIWA AU KUKULIA. APOSTLE MICHAEL MWAKILAMBO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 305

  • @makimbiliochannel
    @makimbiliochannel  Месяц назад +4

    Ukiwa umebarikiwa baada ya kufuatilia mafundisho haya Usiache kumshukuru Mungu kwa namna yoyote iwe kwa tendo au kwa neno na kutujulisha unatufuatilia kutokea wapiii
    Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.

  • @MgayaJoyna
    @MgayaJoyna 3 месяца назад +6

    Amina baba nimebarikiwa na neno sirudi kijijini Kwa jina la yesu- imeandikw mauti na uzima huwa ktk uwezo waulimii nakataaa

  • @neemajulius6403
    @neemajulius6403 2 месяца назад +1

    Nabatilisha Kila njozi za kijijini kwa jina na damu ya YESU kristo Amen!!
    Navunja Kila maagano na Kila mazabahu za mababu na mabibi katika koo za wazazi wangu kwa jina YESU na kwa damu ya YESU kristo Amen 🙏🙏

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Congrats. Unapoona kuna msukumonwa kulisukuma jambo fulani kwa maombi, endelea bila kuangalia mazingira yanasemaje. Wakati mwingine jambo unalosukumwa kulichukilia hatua linakuhitaji muda huo.

  • @AnithaJosephat-r8o
    @AnithaJosephat-r8o 24 дня назад +1

    Mtumishi mimi naota hizi ndoto mala nyingi ila naamini nitafunguliwa sasa amen

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  49 минут назад

      Amina amina. Jitahidi kufanya matendo dhahiri ili ukombozi kamili uwe kwako.

  • @GahimbalMarieCantal
    @GahimbalMarieCantal 4 месяца назад +1

    Asante mtumishi wa Mungu mimi naota sana nikiwa kijijini upanda wa babaangu nikiwa naongea nawazazi wangu walie kufa handi ndugu walie kufa najikuta naongea nao mara naota nikiweko huko nikikimbizwa na babaangu mudogo ananikibiza tukiporomoka mirima yauko naoyijuwa nanikiziota nahamuka tayali shida zimeniandama

  • @SwaumuMustapha-dz6fs
    @SwaumuMustapha-dz6fs 2 месяца назад +1

    Ameen mtumishi yaani mim kila siku naota nipo shuleni huko kijinini nisaidie mtumishi

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Be blessed.

  • @GraceKwenyepa-hc3uj
    @GraceKwenyepa-hc3uj 13 дней назад

    amina baba angu siludi kijijini kwajina la yesu imeandikwa mauti na uzima Huwa katika uwezo waulimi nakataa

  • @ElizabethMwakifumbwa
    @ElizabethMwakifumbwa 9 месяцев назад +2

    Nimefunguliw kwa jina la yesu sitarud kijijn kwa kufilisik zaid nitaend kusalimia na kurud mjin amina

  • @nimbonajeanette6899
    @nimbonajeanette6899 Месяц назад

    Leo ninafunguliwa mimi nawatoto wangu Âmen amen amen

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 11 месяцев назад +6

    Baba umenibariki na ujumbe huu asubuh ya leo. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri. Umenifungua kwakweli 🙏🙏

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад +1

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @MayambaBwere
    @MayambaBwere 4 месяца назад

    Mungu anisaidie kwa Jina la yesu kwa roho za kuota nipo nyumbani.niweze kufanya vizuri kwenye masomo yangu

  • @lizmary-ss2kz
    @lizmary-ss2kz 9 месяцев назад +2

    Amen pastor hizo ndoto ziishe katika jina la yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  9 месяцев назад

      Amina amina na iwe kwako. Jambo la kuzingatia ni kwamba ukiri wako uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi uwe sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.

  • @GahimbalMarieCantal
    @GahimbalMarieCantal 4 месяца назад

    Naomba mungu anishindie vita hivi nimeshinda kwajina la Yesu kristo Amen 🙏 kama kuna mutu ananifunga kwenye familia yangu upande wa babaangu hatofanikiwa kwajina ra Yesu kristo kama kuna mutu ananitowa kafala hatofanikiwa akufe yeye mwenyewe kwajinala Yesu kristo kama kuna lani zakifamilia kwenye maisha yangu nimezikataa zifutike ziniondokee ziniepuke ziwaludie wawo wauzika kwajina la Yesu kristo aliye hayi Amen 🙏🙏🙏

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  4 месяца назад

      Pole sana kwa changamoto hizo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.

  • @ZawadiJohn-k6k
    @ZawadiJohn-k6k 2 месяца назад +2

    Roho za kurudishwa nyuma hazina mamlaka kwa jina la yesu

  • @janechaula2870
    @janechaula2870 8 месяцев назад +1

    Mchungaji uko vizuri sana yaani umeongea ukweli kabisa unayajua maandiko kupita maelezo nimekukubali sana barikiwa na Bwana

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 месяцев назад

      Amina amina ubarikiwe nawe pia. Thanks for your appreciation.

  • @betridabernado
    @betridabernado 2 месяца назад

    Amen sana naona leo nimepata muujiza wa mafundisho hakika nimefunguka nimefunguka. Sana ubarikiwe sana mtumishi wa bwana 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Hongera sana kwa kulitambua hilo, kwani maelekezo kutoka kwa Mungu ni silaha Mojawapo ya ushindi wetu. Muda wa kuomba tutaomba na muda wa kujifunza kutoka kwenye Neno lake tutajifunza.

  • @RoseMtiva
    @RoseMtiva Месяц назад

    Mungu nisaidie, ndoto zenye mi huota kila walati, na kuota watu waliokufa. Ishindwe katika jina la yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kupata ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri. Tafuta msaada wa kiroho haraka iwezekanavyo kwani kama kitu tunakiona mara kwa mara basi kipo katika mazingira yetu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga 3 месяца назад +2

    Ndoto hii inanisumbua sana mm

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Shindana nayo kiroho hadi uhakikishe inayaachia maisha yako. Wala madhara na matokeo yake yasiwe sehemu ya maisha yako.

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n Месяц назад

    Iyo ni kweli kabiza mutumishi wa Mungu barikiwa sanaaaana

  • @shinemichael-oj7wc
    @shinemichael-oj7wc 11 месяцев назад +4

    Amina baba nimebalikiwa kwa neno

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n Месяц назад

    Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa

  • @kilalahamis1484
    @kilalahamis1484 4 месяца назад

    Amen amen Kwa jina la yesu nimeshida silud kijijin kuwa nimekosa kazi

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  4 месяца назад

      Ubarikiwe sana. Endelea kuwa na msimamo huo katika maneno na matendo yako ya kila siku.

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h 3 месяца назад

    Ameen mtumish nakataa kabisa kurudi nyumaa kwa jina la yesu

  • @AliceMakori-bs1ik
    @AliceMakori-bs1ik 4 месяца назад +1

    ka Mimi naota Kila siku aki Niko home na Niko uarabuni but I know God will fight for me ooh pastor unlock that chain for me coz napata niliota mom ananiambia enda mwanangu Rudi had ananipa pesa hata dad aliaga two wks ago ananisukuma ktk home aliniambia enda usirudi hapa pigania familia

  • @mariammachila6016
    @mariammachila6016 2 месяца назад

    Waaa hazina mamlaka katika jina la yesu eeh mungu nisaidie

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Ukiri wako uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi kamili.

  • @HamidaOmary-wh2ue
    @HamidaOmary-wh2ue 4 месяца назад

    Amen amen nmeshinda njozi na ndoto mbaya

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  4 месяца назад

      Amina amina Mungu akujalie sawasawa na haja yako.

  • @HattaHatta-pk7hr
    @HattaHatta-pk7hr 3 месяца назад

    Kwa Damu ya Yesu Kristo ndoto za kijijin azina mamulaka na Yesu Mungu mkuu atusaidie 🙏 🙏 mtumishi

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Amina. Lakini palipo na haki pana wajibu. Pale ambapo tuna hisi tuna haki ya kutendewa na Mungu vilevile tuna wajibu wa kufanya ili tupokee kutoka kwake.

  • @MayambaBwere
    @MayambaBwere 4 месяца назад

    Mungu aniongoze katika kila hatua yangu ninayopita kwenye maisha

  • @asanianselm6759
    @asanianselm6759 11 месяцев назад +1

    Amen amen mungu akubariki mutumishi wa mungu ni mepitiya izo do to sana na sasa ni funguliwa Kwa damu ya yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina . Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @theresiathiaka2866
    @theresiathiaka2866 10 месяцев назад

    Amen .Mafundisho mazuri sana hii shida nimekuwa nayo kila mara mm uota kila siku niko kijijini. Nafanya kazi sioni fahida kila mara vifo ,magonjwa,ajali ..

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

  • @ombeninnko9332
    @ombeninnko9332 6 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi hii ni kweli mimi pia huota hizi ndoto sana ninafanya kazi mjini miaka mingi sasa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 месяцев назад

      Pole kwa hiyo changamoto. Jitahidi kutafuta msaada wa kiroho juu ya changamoto hiyo. Isaya 28:1,22[22]Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.

  • @gudanemma1459
    @gudanemma1459 8 месяцев назад +1

    Ubarikiwe kwa mafundisho mm mme wangu anaota kila siku yupo kijijini kwako na marafiki zake ananiambia kaenjoy ndoto kila akisema anataka kwenda kwao anasema ana nauli miaka kumi sasa ajawai kwenda kwao kila anachofanya afanikiwi yani akipata ela anaishia kula tu mpka ishe yote ndo anakumbuka kwenda kazni tena ivo ivo tu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 месяцев назад

      Pole sana kwa hiyo changamoto aliyonayo mme wako. Ulimwengu wa roho ndio huuamilia ulimwengu wa mwili. Pia changamoto ambayo huwa inajurudia rudia kwenye maisha ya mwandamu huwa ni kifungo. Kwahiyo mtu unapoona mtu anaota ndoto upo nyumbani kwenu, halafu kuna tatizo linakukuta punde tu baada ya kuota hiyo ndoto inamaana kwamba, ipo nguvu ya asili ya kijijini kwenu ambayo inamrudisha nyuma mara tu anapojaribu kuvuka mpaka fulani wa kimaisha. Kwahiyo wanaweza wasimzuie harakati zake ila watamzuia maendeleo yake. Mfano mtu anatembea, haendi mbele ila anaenda upande. Ni kweli anafanya bidii katika harakati zake lakini ni kama mtu azungukae. Tayari kuna mifumo ya nguvu za giza inayohusiana na eneo alilozaliwa au alilokulia ( yaani kijijini kwao ) linamzuia asiweze kupiga hatua mbele katika nyanja fulani katika maisha yake.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 месяцев назад

      Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya ya Muhimu. Be blessed.

  • @agnesneema2398
    @agnesneema2398 6 месяцев назад

    Niombee pastor 🙏🙏

  • @javerymsangi2856
    @javerymsangi2856 3 месяца назад

    Nashukuru sana mtumishi mungu azid kukubarki

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Amen. Mungu akubariki pia. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo unajiweka karibu na. Kupokea mfululizo wa mafundisho mengine mazuri kama haya.

  • @CandySohia-mm9od
    @CandySohia-mm9od 2 месяца назад

    Thank you Jesus Christ 🙏

  • @Sarhamy
    @Sarhamy 2 месяца назад

    Nakataaa katika jina la yesu kurudi kijiji 🙏🙏

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Amen. Ukiri wako katika hilo uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi kamili.

  • @DivinahNyambeki
    @DivinahNyambeki 2 месяца назад +1

    Nakataa magano ya kifamilia na kurudi kijijini katika Jina la Yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Amina na iwe kwako. Jambo la kuzingatia ni kwamba ukiri wako uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi uwe sehemu ya maisha yako.

  • @benardbonephace4896
    @benardbonephace4896 11 месяцев назад +1

    Amina sana mchungaji,nimepata ufunuo Sasa.... kumbe tukilala tukaota tunachokiona kwenye ndoto kinaonwa na nafsi zetu hivyo tunapoona chochote kupitia ndoto huo ndo uhalisia wa nafsi ya mtu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Ni kweli kabisa unachosema. Maandiko yanasema aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Kwahiyo kama unaona upo kijijini kwenu basi huko ndipo uliko.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @EdgarSebastian-v1w
    @EdgarSebastian-v1w 11 месяцев назад +1

    Amen mafundisho mazuri hakika

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.

  • @EvodiusbarakaMtundu
    @EvodiusbarakaMtundu 8 месяцев назад

    Amina mungu nimwema kilawakati

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 месяцев назад

      Amina. Mafundisho haya kama utaweza kuwashirikisha na watu wengine litakua ni jambo la baraka sana na adili hata mbele za Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.

  • @rastonmwakifuna8583
    @rastonmwakifuna8583 11 месяцев назад +1

    Ameen,nimeelewa vizuri mno.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @rebeccawangui8808
    @rebeccawangui8808 11 месяцев назад +2

    Mmi niko uarabuni hua naota niko place falani after few days naskia mtu amekufa😢 kuna siku niliota na kijiji ingine iko bali na kijiji yetu after somedays nikaskia msichana amekufa

  • @Chep-oj7og
    @Chep-oj7og Месяц назад +1

    last year nilikuwa naota nikiwa kijijini na niko soudia nikarudi nyumbani nilitezeka sanaa nilipitia rejection umasikini usherati pombe

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад +1

      Pole kwa changamoto hiyo. Kesho yetu hutegemea kile tulicho nacho sasa na si kile tulichopoteza. Kama umebakiza tumaini na imani kwa Mungu, ni lazima kufunguliwa. Be blessed in Jesus name.

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 3 месяца назад +1

    Hizi zote zinanitokea Mimi mara Niko shule ya msingi niliyosoma na kijijini kwetu na nyumba niliyopanga zamani miaka mingi iliyopita

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Ndoto hizo si njema sana. Hatuwezi kujua kwamba muda unatosha kuendelea kusubiria hadi ukuta ubomoke hali tunao uwezo sasa wa kuziba ufa.

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 10 месяцев назад

    Hakika kweli mwenyezi Mungu atusaidie

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Amina amina. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu akubariki sana.

  • @jacklinemwamsojo2955
    @jacklinemwamsojo2955 11 месяцев назад

    Asantee Sana mtumishi kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa Sana mimi hizi ndoto za kuota nipo nyumbani zimenisumbua Sana yaani mpaka wiki ilio pita nimeota nipo nyumbani kabisaa nipo ndani naongea na mama lakini mama mwenyewe alisha kufa mwaka wa tatu sasa😢 ananiambia nimuangalie ndugu yangu chumbani anaumwa nae huyu ndugu yangu alishakufa miaka 17 iliopita nikaingia chumbani kweli nikamkuta ndugu yangu kweli anaumwa miguu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад +3

      Pole sana kwa changamoto hiyo. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria hatari fulani katika mfumo wako wa maisha. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

    • @TigerZlatan
      @TigerZlatan 10 месяцев назад

      Yaan mm nmeota baba yangu anani chapa fimbo na uko Alisha kufa miaka makumi na alafu wakat naota nilkua cja lala nyumbni nili lala Kwa mchepuko je hii Ina maana gan paster

  • @jinaop490
    @jinaop490 11 месяцев назад

    Amen Apostle,hizi ndoto sinanitesaza sana kwa Kila mara,mungu nisaidie hizi ndotioziishe Kwa damu ya yesukristo

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад +1

      Pole kwa changamoto hiyo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад +1

      Amina na iwe kwako kwa Damu ya Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Be blessed

  • @ElizabethMwakifumbwa
    @ElizabethMwakifumbwa 9 месяцев назад

    Mungu akulinde cn meng

  • @genevievesunday
    @genevievesunday 11 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu azidi kukuimarisha.

  • @VinaelKerry
    @VinaelKerry 9 месяцев назад

    Amen parikiwa sana pastor

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  9 месяцев назад

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @Josephineonyango-cl6ql
    @Josephineonyango-cl6ql 2 месяца назад

    Ameeen mtumish nkweli kbsa

  • @JamesOdhiambo-wu2pj
    @JamesOdhiambo-wu2pj 10 месяцев назад

    Amen Mtumishi wa Mungu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @DorisMwanyula
    @DorisMwanyula 3 месяца назад

    Asante baba

  • @VeronicaJane-em4rg
    @VeronicaJane-em4rg 8 месяцев назад

    Amina, bwanagu huwa anaota akiwa nyumbani Kila wakati, mtumishi wa MUNGU muscadine

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 месяцев назад

      Yohana 10:10
      [10]Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yesu yeye ndiye suluhisho la hayo yote. Kwa kumtii yeye tunakuwa na nguvu ya kumpinga shetani naye akakimbia kutoka kwenye maisha yetu. I'm just a servant of Jesus, kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Be blessed.

  • @ashuranzagamba6328
    @ashuranzagamba6328 10 месяцев назад

    Bwana yesu asifiwe mtumush, mim nimepigwa uchumi , ila uwa naota mara kwa mara ninauza duka kubwa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.

  • @nimbonajeanette6899
    @nimbonajeanette6899 Месяц назад

    Amen amen amen 🙌🙌🙌🙏🙏🙏

  • @Purity-zn9np
    @Purity-zn9np Месяц назад

    Hizi ndoto naoya karibu kila siku yangu naona ni kawaida hata hofu ikaanza kuniingia ila Sasa mungu ameanza kunifungua kupitia mafundisho haya Asante, kwa jina la yesu nakataaa kurudishwa nyuma naukoo

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  47 минут назад

      Mungu akusaidie. Hongera Kwa kusikiliza Mafundisho haya. Endelea kufanya matendo dhahiri ili ukombozi kamili uwe kwako.

  • @WinnieKagendo-zx1cv
    @WinnieKagendo-zx1cv 3 месяца назад +1

    Mtumishi Mimi naish na mume wangu mjini lakini naota nikiwa nyumban na wazazi wangu Kila siku, najaribu kufanya kitu sifanikiwi, nisaidie nifanye Nini juu Naolewa na mume sio kabila yangu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Chukua hatua sasa. Hatuwezi kujua kwamba muda unatosha kuendelea kusubiria hadi ukuta ubomoke hali tunao uwezo sasa wa kuziba ufa. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.

  • @malaikalihuda2831
    @malaikalihuda2831 11 месяцев назад

    Nashukuru sana mtumishi nami huwa naota hivyo hivyo

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.

    • @PeninahMwendwa
      @PeninahMwendwa 11 месяцев назад

      Hizi ndoto Sina uchungu tufanye nini😢

  • @CandySohia-mm9od
    @CandySohia-mm9od 2 месяца назад

    Ameeeeeen 🙏

  • @tumainlenad5141
    @tumainlenad5141 9 месяцев назад

    Ee mwenyez mungu nusaidie mm na unikomboe kwenye ndoto chafu zisizofaaa iwe mwisho kuota ndoto za kunirdisha kijiin nilinde mungu na yvunje maagano yote mavaya juu yangu

  • @MariamuRashidi-i8e
    @MariamuRashidi-i8e 10 месяцев назад +1

    Mm naotanga sana niko kijijini au niko shuleni kwetu nikosomea huko kijijini na watu waliyokufa naptanga sana do ndoto zangu 😢😢 nisaindie mxhungaji nateseka sana

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

    • @EdinaChrispin
      @EdinaChrispin 9 месяцев назад

      Amina mchungaji tunamshukuru kwa neno nzuri la kutufundisha

    • @EdinaChrispin
      @EdinaChrispin 9 месяцев назад

      Maana tunaota tu hatuelewi maana yake

  • @martinehussein7261
    @martinehussein7261 11 месяцев назад +1

    Amiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiina🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @JusterKaberia-ry2sh
    @JusterKaberia-ry2sh 7 месяцев назад

    Amen apostle nisaidie mm naota ndoto za kwatu kijijini, ndoa yangu ilivujika nikarudi kwetu nyumbani ,sahii Niko Nairobi lakini naota nikiwa nyumbani , mpaka nimeshidwa nifanye nn.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  7 месяцев назад

      Pole kwa hiyo changamoto. Nikushauri kutafuta msaada wa kiroho juu ya jambo hilo kwa haraka maana hiyo siyo ndoto ambayo ni kama taarifa tu. Adui amepata nafasi ya kuyashambulia maisha yako hivyo ni muhimu kuchukua hatua thabiti. Kama ulipo una kiongozi wako wa kitoho unaweza ukamuekeza kuhusu changamoto hiyo na akakusaidia pia. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Hongera kwa kuyapata mafundisho haya.

  • @BarakaRichard-pg3qz
    @BarakaRichard-pg3qz 3 месяца назад

    Mungu akubariki maana leo nimepata Malibu juu yandoto ambayo imenitesa myaka mingi

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @bbhv3568
    @bbhv3568 11 месяцев назад +2

    Amina

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @AlphoncenaMugarula
    @AlphoncenaMugarula 8 месяцев назад

    Naota sana hizo ndoto Mungu nisaidie

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 месяцев назад

      Amina Mungu akusaidie. Ila usisahau kuchukua hatua stahiki. Kumbuka palipo na haki kuna wajibu. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Maana somo la namna ya kutoka kwenye vifungo vya ndoto linaandaliwa na punde litakuwa youtube. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @deoskimaro7905
    @deoskimaro7905 10 месяцев назад +1

    Nifunguliwe kwa Jina la Yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Amina, na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.

  • @elizabethmkasiwa
    @elizabethmkasiwa 7 месяцев назад +1

    Nafunguliwa na mwanangu na ndugu zangu kwa dam ya yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  7 месяцев назад

      Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu Kristo. Zingatia taratibu zote zitakazokupeleka kwenye ukombozi kamili. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 6 месяцев назад

    Niombee pastor

  • @evak8122
    @evak8122 10 месяцев назад +2

    Amen

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Usisahau kufatiloa mfululizo mwingine wa. Mafundisho mengine mazuri kama haya.

  • @AAa-d3v5s
    @AAa-d3v5s 7 месяцев назад

    Nimefunguliwa kwa jina la yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  7 месяцев назад

      Amina amina. Usisahau kufuata hatua stahiki za kiroho kuelekea kwenye ukombozi kamili. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Na pia unaweza ukawashirikisha na wengine mafundisho haya. Be blessed

  • @aimeebusime5849
    @aimeebusime5849 3 месяца назад

    Barikiwa sana Mtumishi najifunza mengi nikumbuka kwa maombi plz nateseka sana nahi zo ndoto

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240

  • @HOPESIMONY-kp7ug
    @HOPESIMONY-kp7ug 11 месяцев назад +2

    Ahsante YESU Sasa nimekombolewa kwa DAMU YA YESU,ndoto mbaya Haina nafasi tena kwenye MAISHA YANGU

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @JACKCHILAS
    @JACKCHILAS 7 месяцев назад +1

    Aminaa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  7 месяцев назад

      Hongera sana na ubarikiwe na Mungu. Mungu huzungumza nasi kupitia mafundisho ya Neno lake pia. Natumai umepat kitu cha kujifunza. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @peterlaurent5969
    @peterlaurent5969 11 месяцев назад +2

    Sasa somo lako haliishi apostle ilitakiwa umalizie na namna yakujitoa..

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Asante. Tutalifanyia kazi suala hilo. Hakikisha ume subscribe kwenye channel hii na account nyingine za mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Instagram ili uweze kupata tarifa punde tu somo hili litakapokua hewani. Mungu akubariki sana.

  • @وليدالشمري-ح7ب
    @وليدالشمري-ح7ب 2 месяца назад

    Amen 🙏

  • @MwanahamisiNguga
    @MwanahamisiNguga 5 месяцев назад

    Mungu nisaidie yani mimi haipiti siku mbili bila yakuota nipo kijijini 😢😢

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  5 месяцев назад

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240

  • @SuzanaMsengi
    @SuzanaMsengi 11 месяцев назад

    Baba mungu akubariki sana sana umeniponya hayo madoto kila mara tena shuleni nilikosoma naota kweli siku hii imekuwa yangu naenda kufanikiwa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Unapoota upo shuleni maana yake haiishii kama ya kuota ukiwa upo kijijini kwenu au sehemu uliyokulia. Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi, na Mungu akubariki sana.

  • @ShakirashakiraKiuno
    @ShakirashakiraKiuno 10 месяцев назад

    Mimi nazioto sana ndoto izo naoto niko kijijini kwetu. 😢 Sehem nilipo zaliwa namimi nipo ndia lakn naoto sana ndoto izo mungu anisaidie

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Amina. KKama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.

  • @nzivoalbanus2240
    @nzivoalbanus2240 10 месяцев назад

    Mimi niko Nairobi lakini huwa naota nikiwa kijijini Kila siku na maisha yangu inaedelea vibaya

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Polesana kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

  • @AmasSaladin-pt4sx
    @AmasSaladin-pt4sx Месяц назад

    Asante saana Mtumiaji, Nashukuru kwa Funzo lako , sasa utaratibu ni hupi kwakutaka kupata suluhisho ?

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Be blessed kwa kufuatilia...Unaweza kumtafuta na kuongea moja kwa moja na mtumishi wa MUNGU Watsapu au kwa kupiga no hiii +255 755 021008

  • @agnesneema2398
    @agnesneema2398 6 месяцев назад

    Mimi naota Na shangazi yngu alikufa naota nikiongea Nae,bado naota Niko primary school,Mara naota nko kwetu kijijini Niko zaliwa,Naomba tu niweze kushinda izo ndoto kW Jina la yesu🙏

    • @JosephTibu
      @JosephTibu 6 месяцев назад

      Uyo ndiyo aliyezima nyotayako ya mafanikio😢😢😢😢

  • @hellinahombuya5174
    @hellinahombuya5174 11 месяцев назад +1

    Powerful

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Pongezi sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.

  • @nesmoskanyuto6715
    @nesmoskanyuto6715 7 месяцев назад

    Tafsiri yako siyo Sahihi

  • @stevenmwalwiba6164
    @stevenmwalwiba6164 11 месяцев назад +1

    Naanza kuelewa baba ubarikiwe

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @ireengrimbe7492
    @ireengrimbe7492 11 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu yaan naona kama unanisema Mimi yaan Niko uwarabuni lakini ndoto zangu ni kijijini nilikolelewa ujombami

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

    • @linajoseph5296
      @linajoseph5296 10 месяцев назад

      Mm Niko dar ila naota Niko tanga upande wa mamangu nilipozaliwa kwa bibiangu . Niko jikoni kwa Bibi alikokua anapikia nakula tu . Na Bibi alishafariki kwa sasa nyumba hamna mtu. Ila haipiti wiki naota Niko jikoni kwa Bibi nakula tu. Na maisha yngu hayaend😢

  • @AtanasiaJoseph-u1o
    @AtanasiaJoseph-u1o 10 месяцев назад

    Amina kwa neno

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @latifaayubu-i6m
    @latifaayubu-i6m 16 часов назад

    mtumishi mm naota hizi ndoto mara nyingi nipo congo lkn kila siku naota ndoto nipo kijijini kwetu Manyara ila naamin nitafunguliwa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 часов назад

      Ameeee...Waweza pia kuwasiliana nami kwa ajili ya maombi na msaada zaidi
      +255 755021008

  • @irinechoi8204
    @irinechoi8204 10 месяцев назад

    Nifunguliwe kwa jina la yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад

      Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0) 755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240. Usisahau ku subscribe katika channel hii. Be blessed in Jesus name.

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h 3 месяца назад

    Nakataa kabisa kurudi kijijin kwa jina la yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  Месяц назад

      Ukiri wako uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi kamili. Hongera na endelea kuithibitisha imani yako kwa. Mungu.

  • @HappyPyramids-dj7iy
    @HappyPyramids-dj7iy 4 месяца назад +1

    bwana asifiwe nikweli mchungaji mm naota hizo ndoto Kila wakati Kwa sahi Niko saudia lakini huota Niko kijijini niliko zaliwa Kila mara

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  3 месяца назад

      Pole kwa hiyo changamoto na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240

  • @GahimbalMarieCantal
    @GahimbalMarieCantal 4 месяца назад

    Niliipata nikiwa saudia alabia nikahalibikiwa muda huo mama wanyumba akanipambasisha nikawa naonana akitaka kuniuwa nikaludi bila chochote mipango yangu ikawa imekufa kila nikiipata ndoto hiyo majilani wananikata maneno yakunichafuwa atajaa mutaa nimejalibu bunyumba bumekataa mimi sivilahisi 😭😭😭😭😭🙆

  • @TelufenaRobert
    @TelufenaRobert 3 дня назад

    Kuanzia Sasa nakataa ndoto za Kijiji na nikiwa shuleni kwa jina la yesu ameni

  • @VeronicaJane-em4rg
    @VeronicaJane-em4rg 8 месяцев назад

    Mtumishi wa MUNGU nisaidie huwa naota ivyo na kufanikiwa ni shida. Am in kenya

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 месяцев назад

      Marko 9:23
      [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Amini kisha fuata hatua za kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hiko, Amini kwamba ukombozi utakua ni sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Ubarikiwe.

  • @irinenanciebarasa5566
    @irinenanciebarasa5566 11 месяцев назад

    Hallelujah 🙌 mtumishi wa MUNGU Leo nimeotea Niko nyumbani kijijini na Niko urabuni ?

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  11 месяцев назад

      Pole kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

  • @kharifasanto3383
    @kharifasanto3383 Месяц назад

    Nimekwishaaa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  43 минуты назад

      Mungu amesema katika neno lake kwamba hulituma neno lake, hutuponya na kututoa katika maangamizi. Neema ya Mugu ya kukusaidia katika hili iwe kwako. Tafuta msaada wa kiroho katika hilo. Pia unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240 ai WhatsApp namba 0755021008.

  • @makimbiliochannel
    @makimbiliochannel  11 месяцев назад +1

    KANISA LA THLIC- MAKIMBULIO HM LINALOONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU MICHAEL MWAKILAMBO LINAPATIKANA KINYEREZI DAR ES SALAAM

    • @PeninahMwendwa
      @PeninahMwendwa 11 месяцев назад

      Pia mimi nilikua naota nikifanyia mtu wa nyumbani kazi,nanilikua warabuni, na kwakweli nilirundi Niko kwake namfanyia kazi,inauma sana😔

    • @linajoseph5296
      @linajoseph5296 10 месяцев назад

      Kinyerezi sehemu gani?

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 10 месяцев назад

    Ahsante baba

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  10 месяцев назад +1

      Amina, na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.

    • @damarisnjerunjeru399
      @damarisnjerunjeru399 10 месяцев назад

      @@makimbiliochannel ahsante

  • @seraphinamsacky5393
    @seraphinamsacky5393 6 месяцев назад

    Pastor mimi kila diku naonta nyumbani kwetu tena kwenye nyumba mbazo hata leo hazipo ni za zamani na mimi nipo mjini kwa miaka mingi. Niombee pastor

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  5 месяцев назад

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240