UKIOTA NDOTO HIZI 10 BASI UTAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA MAISHA YAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 80

  • @ZiadaMakota
    @ZiadaMakota 5 дней назад +1

    Mimi nimeota natakiwa niende chuo lakn kwa ufaulu mdogo sana lakni nikienda tu chuo nitapata kazi lakni changamoto mama angu hana ada yakuweza kunipeleka je ina maana gan?

  • @florencekioko7501
    @florencekioko7501 3 месяца назад

    Amen!niliota nikichinja ngombe halafu nikaanza kuitia watu wakuje wale 🙏🙏🙏

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  Месяц назад

      shukran wasiliana na sheikh kwa namba 0658073875

  • @MungiMungi-nf5pi
    @MungiMungi-nf5pi 5 месяцев назад +5

    Mimi naotaga nava pete alafu kisha nakua na ela nyingi sana kisha naotaga jini amenipeleka nyumbani kwake

    • @mahinditv342
      @mahinditv342 Месяц назад +1

      Roho ya Devil worship inakuwinda

    • @LuuljilalBarre
      @LuuljilalBarre 10 дней назад

      Allah akusaidie Fanya Ibada sana

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm 9 месяцев назад +1

    Shukran she khee❤❤❤

  • @johnmgeta4932
    @johnmgeta4932 6 месяцев назад +1

    Amina

  • @KhadijaAli-zd8jq
    @KhadijaAli-zd8jq 2 месяца назад

    Aminaaa shekhe 🙏🙏

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm 9 месяцев назад +1

    Amin yarabi laalamin🥰

  • @HaruniNari
    @HaruniNari 7 месяцев назад

    Mungu akubari

  • @DidahMohammed-fc9fs
    @DidahMohammed-fc9fs 15 дней назад

    Assalam Aleikum 😊mm naotangaa nateta na mchawiii n kumuona Hadi suraa yakee 😢inamaanisha nin iyo ndoto

  • @yusufgagamuhammad2674
    @yusufgagamuhammad2674 10 месяцев назад

    Assalamu aleikum warahmatullahi wabarakaatuhu. Sheikh mimi nime wai kuota tukiwa wengi twataka kumchinja myama ngamia mwenye mimba sasa kabla tumchije huyo ngamia akajifia kisha akamzaa yule mwanawe alioko tumboni mwake basi mimi nikamchukua huyo mtoto wa ngamia na kuanza kumlea nime mtoa katika matumbo ya uchafu kawaida ya kuzaliwa nayo mtoto wa myama nika muosha nikamkausha vizuri hadi kaka anza kusmama nika kabeba nikiwa na furaha mno hadi nikalia kwa ajili ya furaha walahi nini maana yake sheikh

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  9 месяцев назад

      walykum salaam
      shukran wasiliana na sheikh kwa number yake ya sm 0658073875

  • @HalimaKa-u3l
    @HalimaKa-u3l 10 месяцев назад +1

    Ameen

  • @nuramwamedy-yg6sd
    @nuramwamedy-yg6sd 5 месяцев назад

    Assalam waleko,mm nmeota nmeingia baharin nkawa najiulz ntatokaje mara kkaja ktu kpo kam kistul,nkakshka icho kistul kkaniokoa mpk nch kavu icho kgoda klivofk nch kavu kkawa kkubwa ina maan gn hii ndoto

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  5 месяцев назад

      shukran wasiliana na namba 0658073875 ya sheikh ili aweze kukupa maana ya ndoto uliyo ota ndoto nyengne haifai kujibiwa huku

    • @aminarashid1743
      @aminarashid1743 3 месяца назад

      Maana ya shuka leupe ni nini​@@midrajtv6026

  • @HaruniNari
    @HaruniNari 7 месяцев назад

    Ameen lnshaallah

  • @MohamedGuli
    @MohamedGuli 5 месяцев назад

    Asallam alhk mm niliota ndoto kuna mwanga mkali sana unanipiga kwenye paji langu la uso hina maana gani mana nina wasiwasi kuusu hi ndoto

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  5 месяцев назад

      walykum salaam
      shukran wasiliana na sheikh 0658073875 atakupa maana ya hiyo ndoto

  • @HaruniNari
    @HaruniNari 7 месяцев назад

    Nimeamini lnshalla

  • @BolasieNgongo-rh9wm
    @BolasieNgongo-rh9wm 7 месяцев назад

    Amina Amina Amina

  • @Latifaally390Latifa
    @Latifaally390Latifa Месяц назад

    Amiiiiiiin ya rabby

  • @mahinditv342
    @mahinditv342 Месяц назад

    Ameen nimeota hiyo ya 4

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  Месяц назад

      shukran mwenyezi mungu akubarik wasiliana na sheikh kwa numbe+225658073875 ikiwa upo tanzani

  • @Fatma-yz2xr
    @Fatma-yz2xr 29 дней назад

    Aslamu alikum waramatulliah mm nimeota nimeokota diamond maana yake nn

    • @LuuljilalBarre
      @LuuljilalBarre 10 дней назад

      Ni kheir utaolewa kama umeolewa basi utaozesha mwanao au utapataafanikio muhimu uombe mungu akuonyeshe kheiri

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 3 месяца назад

    Asalaam aleykum mim naota mala kwa mala nipo juu ya Bahari nimekaa kwenye sehemu nzuri ilokuwa kiti ambacho kipo juu ila chini bahar nzuri inang'aa mithili inamulikwa na jua lilotulivu, nimeota tena nipo Bahari kubwa sana na maji yake mazuri ila nipo juu ya mlima huo umezungukwa na hiyo Bahari je Ndoto hii inamaana gani

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  3 месяца назад +1

      shukran chukua namba kwenye video kisha wasiliana na sheikh

  • @HashmirMohaamad
    @HashmirMohaamad 9 месяцев назад +1

    Happ mm nmeota ndot kama 3 hv

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  3 месяца назад

      Mwenyez mungu akubarik jitahid kuteleka ibada ili upate mafanikio

  • @hamisimkweru636
    @hamisimkweru636 2 месяца назад

    Mimi nimeota zaidi yamara3 namuona nabii issa aleysalaam

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  Месяц назад

      shukran wasiliana na sheikh kwa namba 0658073875

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 12 дней назад

      Hata mie Nabii lssa nisha wahi kumuona kama Malambili

  • @cizazahara
    @cizazahara 9 месяцев назад

    sheikh mmi nimeota niko kati ya mbingu 7 ,kisha mbingu moja nikaona ni nzuri saana uzuri sijawahi kuona , nikashtuka

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  9 месяцев назад

      Shukran wasiliana na sheikh kwa namba yake atakupa maelekezo inshallah mtafte kwa number 0658073875

  • @IbrahimKadabra-h1s
    @IbrahimKadabra-h1s 10 месяцев назад

    Allahumma amiin

  • @evanciachota3581
    @evanciachota3581 10 месяцев назад

    amina

  • @HalimaNadio-uj7tj
    @HalimaNadio-uj7tj 10 месяцев назад

    Amiin🤲🤲🤲

  • @kagujjeramadhan134
    @kagujjeramadhan134 3 месяца назад

    Mie naota nikiendesha baiskeli sijui inamaana gani?

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  3 месяца назад

      shukran wasiliana na sheikh namba chukua kwenye video ili kupata maana ya ndoto

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  3 месяца назад

      wasiliana na sheikh kwa namba iliyopo video ili upate maana ya ndoto uliyo ota

  • @FathmaJuma-kl5sf
    @FathmaJuma-kl5sf 2 месяца назад

    Amiin yarabbi 🤲

  • @Mamuu-x1v
    @Mamuu-x1v 10 месяцев назад

    Asalam aleykum...naomba unisaidie kuniambia maan ya ndoto yangu

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  9 месяцев назад

      walykum salaam
      wasiliana na sheikh kwa number yake iliyopo kwenye kipind 06580738750

  • @ZaituniZuberi-h7o
    @ZaituniZuberi-h7o Месяц назад

    Mimi naota kiongoz wangu kanipa dawda

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  Месяц назад

      shukran kwa kuwa mtazamaji wetu wa vipind vyetu wasiliana na sheikh kwa maelezo zaid 0658073875

    • @LuuljilalBarre
      @LuuljilalBarre 10 дней назад

      Maa Shaa Allah mafanikio Allah akujalie upate Ameen

  • @NoahMwasoni
    @NoahMwasoni 5 месяцев назад

    Ubarikiwe 15:52

  • @HawaaHawaa-ke2um
    @HawaaHawaa-ke2um 9 месяцев назад

    AMIIN

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 12 дней назад

    Juzi niliotaNachota maji kwa kisima tena masafi nikitumia ndoo nikaijaza

    • @LuuljilalBarre
      @LuuljilalBarre 10 дней назад

      Maa Shaa Allah ni mafanikio Allah akujalie upate kheir hiyo Ameen

  • @Mrsmussa-wn6kv
    @Mrsmussa-wn6kv 8 месяцев назад

    Shekhe je ukiota umenunua chakula kisha ukakitoa.sadaka manake nini?

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  8 месяцев назад

      wasiliana na sheikh kwa number ya ofs 0658073875

    • @juliethhope7281
      @juliethhope7281 5 месяцев назад

      Kuhusu ndoto ukwel mtupu

  • @evelinaelesius
    @evelinaelesius 2 месяца назад

    Kuota unachinja kuku ni sawa na ya hao wanyama ulowataja?

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  Месяц назад

      shukran wasiliana na sheikh kwa namba yake ili aweze kukupa ufafanuz zaid +225 (0)658073875 kama upo tanzania anza na sifuri kisha endelea ikwa upo njee anza na jumlisha kisha mia mbili ishirin na tano

  • @mariammariamomary4911
    @mariammariamomary4911 6 месяцев назад

    Me niliota nachota maji kwenye kisma lakin yanakauka naongeza bidii lkn yanakauka kabisa

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  6 месяцев назад +1

      Maana ya ndoto yako ni kwamba katka mafanikio yako kunachangamoto kila utakapo kuwa unataka kufikia mafanikio vikwazo vitakuwepo ili kuondoa hayo jihimize kwenye ufanyaji wa ibada zako kiukamilifu la pili kila hatua utakayo piga maombi muhimu kufanya

    • @mariammariamomary4911
      @mariammariamomary4911 6 месяцев назад

      @@midrajtv6026 asante

  • @Happyness-y9p
    @Happyness-y9p 7 месяцев назад

    Kama mzazi amekufa ila unaota unazungumza nae

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  6 месяцев назад

      ikiwa mzazi utamuota unazungumza nae mazingira yenu yalikuwa vp na jee mlipata kufurahi

  • @HashmirMohaamad
    @HashmirMohaamad 8 месяцев назад

    Shekhe ukiota unampa swadaka babu ambye alishafariki n mkawa n furaha

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  8 месяцев назад

      shukran wasiliana na sheikh kwa number +255658073875

  • @HermanHerman-c4h
    @HermanHerman-c4h 3 месяца назад

    Mimi hua naota nafanya mtihani shuleni

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  3 месяца назад

      shukran wasiliana na sheikh ili akupe maana ya ndoto

  • @marryceline
    @marryceline 10 месяцев назад +1

    Je vipi ukiota uko shuleni

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  10 месяцев назад

      maana ya ndoto kuota upo shule kipind kitakacho fuata sheikh atakuja kuelezea endelea kufuatilia vipind vijavyo hapa hapa au wasiliana na sheikh kwa namba yake 0658073875 ili akupe maana ya hiyo ndoto

  • @MunaKhamis-p9b
    @MunaKhamis-p9b 6 месяцев назад

    Ukiota unasaidia maskini

    • @midrajtv6026
      @midrajtv6026  6 месяцев назад

      hiyo ni ndoto nzur ongeza bidi katika ibada usiache lakin pia jitahdi kufanya kazi mwenyez mungu atakufungulia mambo yako

  • @KhadijaMussa-ux4be
    @KhadijaMussa-ux4be 5 месяцев назад

    Amina

  • @Priscilla-hk4in
    @Priscilla-hk4in 10 месяцев назад

    Ameen