UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDua
UNAONGEA SANAAA
Ustadh unatafsir vizur san lakin unazunguz san yaan unaelez huk na kul unawez ukamsif allah nakumsalia mtum juu yake rehm na aman nakuingia moj kwa moj kweny mad inshallah
Jamani bando litaisha kabla kuskia maana ya ndoto, kuwa na kauli fupi fupi . Una strori nyingi Sana
Shukrani shekhe
Shukuran sana sheikh,,Allah akujalie kheri🙏
Shukrani sana mualimu somo adhimu kabisa mungu akulinde milele daima
Shekhe unachelewa sana mazungumzo ya akuwa mengi Sana tafadhali shekhe🤝
Peleka mbele
Allah akubariq san ustadh wangu nimekuwa nikioa japo mara moj kwa mwez subhanallah
Safi sana kwa kuelewesha jamii kuhusu njozi tunaoya
Baarakallah fiika
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
Amina yaarabiy
Walaykum salama warhmatullahu wabarakatuh sheikh
Shukran
Barikiwa sana sheikh kwa mafunzo yako
Amina yaarabiy
Barikiwa saana shikh mafunzo yako Mimi nimeota mtoto mdogo ambae ni alubino ananialishia kwa mfurulizo kama mpolomoko maana yake nini
Asalam alekum. Shukran sheikh kwa kutupa elimu allha akubariki na akutie katika pepo yake kwa rehma zake mimi nimeota nimejisadia kwetu njee ya choo lakini kwenye yale mabakuli ya watoto lakini lilikua kubwa na hiyo haja kubwa haina harufu yoyote
Ameen
Amiina yaarabbi
Uko vizuri maalim
صلى الله عليه وسلم
Maneno ni mengi mnoo ungekuwa unaenda straight to the point
Unakera sana unamaneno mengiunatumalizia muda hatuhitji kiarabu hicho jalibu kupunguza maneno
Shukrani
Asante Kwa kutufundisha
Shukran Sheikh,,,JazzakaAllahu Kheyr,,Na Kama Umeota Umepigana Na dadako Inamaanisha Nini Sheikh,?
Hiyo ni amali ya shetani
@@nyumbayatibanadua737 amali yake kivpi inamaana iyo ndoto sio nzuri shekhe
Ana imanisha Hainaut maana ni naoto tu ya shetani
asante kwa tafsri hyo, mmi niliota nakusanya kinyesi sjui itakuw na maan gan hyo ndoto samhn lkin
Baba unazunguukaa Sana, mpaka kero, nenda moja moja kwenye Mada, unapoteza mb zetu
😂😂😂
Pekeka mbele
peleka mbele vidio😂😂😂
😂😂
Warrykum Salam wallahmatullah wabarakat
Il
Sitori nyingi tatizo Hira ni nzur
Akika unafanya kazi vzr Sana Kaka,
Story ndefu sana naweee aah
😁😁😁
Ad anaboa
Tafuteni pasipo stori basi Nyie vipi
Unahadisi mpaka hamu ya kusikiliza inaisha punguza maneno
Shukran sna sheikh wetu
Maneno mengi zungumza lilokusudiwa
Allah atujaalie salama inshaallah
Je anayeota kunya ofisini maana yake Nini?
Allahu akbaru
Shekh hebu kuwa unaeleza wapenda kurudia kitu mara Kwa mara wengine hku Yuko nchi za watu time y kusikiza unavyo jieleza hatuna
😂😂
Mm nimeota nimemkuta mume wangu anajisaidia haja kubwa choon nyingi Sana kufungua mlango akastuka
Mimi nimeota mara ya 2 sasa mara ya kwanza nakunya kitandani na kuna watu waliyapokea lkn ckuwaona na nikashtuka mara ya 2 nimeota nimeenda shambani nikaona mavi nikayaruka nikanya pembeni mara4 sehemu tofauti
😅😅😅
Na ww mala nne zooooooote jaman
maneno mengi shekhe tafadhal
Nimeota ndoto kuhusu kinyesi lakn nimefatilia kuhusu tafsiri ...kila mmoja ana tafsiri ya pekeake mpaka sasa sijapata tafsiri sahihi.
Asante xana sheikh lakini ukiota umepata haja kubwa kwa nyumba
Kuota njozi shekh na watoto wadogo wanasoma qulani kwa furaha ndani ya moy
A,aleykum shekhe,m nimeota mtoto wangu kajisaidia haja kubwa kitandan kwenye mashuka nikawa nakusanya kuyatowa haja ikawa imenitapakaa na mm,nn maana yake
Mm Nikita hivyo napata pesa nyingi sana
Nzur lkn stori nyingi😁😁
Anazuuka
Anazunguuka
Kweli apunguze misemo atafanya watu wawe wanavuka clip zake
Hadi inachosha😆
Mazali mshamjuulia si mnapelek mbele silazim muskiliz iz story zke
Mim nimeota boss wangu akijisaidia haja kubwa chooni.inamaana gani
Mbona me nilishoota najisaidia mara kwa mara ila sijwi kupwa na mikosi hiyo me kwanza ndio huwa napta pesa sana
Mimi ndoto za mavi najua ni kupata pesa
Mimi mwenyewe nikiota mavi lazima nipate pesa
Sadakta na mm ndo napata pesa naota nimeingia mavi gauni langu napata pesa
@@Ashsultana kweli mm nikiota lazima napata pesa hahahaha
Hizi tafsir mungu atusaidie Kila mtu anatafsir zake sijui tumwamin nan
SHEHE UNATUFUNZA SANA LAKINI JITAHIDI KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO JARIBU KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO
anamaneno mengi kisha anaongea polepole
Duh stor ndefu had nasinzia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shekhe mm nimeota najisaidia chumbani kwangu chini ya sument kisha nikaizoa kwenye karatasi nyeupe nikawa naipereka chooni ila nilipofika ukumbini ikadondoka nikaizoa tena ila nikaacha kidogo pare chin ukumbin kisha nikaenda kuipereka chooni inamaana gani iyo
Nenda kwenye hoja ya msingi,
Nenda kwenye tropic mbwe mbwe nyingi mpaka mtu unachoka
Kabisaa.
Shida unaongea snaaa hapa utapoteza wafatiliaji
Nataka kujua maana y ndoto yangu, nimeota nikienda chooni n familia n hapali penyewe ni pachafu sana, alafu baba yangu pia ametoka chooni n mmi nimeingia hadi nashindwa kujisaidia juu y uchafu n naona wengine wanarusha maji chafu y choo n mkono, mmi nikatafuta maji y kujisafisha nikapata maji y mvua ikitoka kwa mabati nikatumia kujiosha nikiwa nimesimama n nikaanza kutawadha pia nao
Assalam aleikum..samahani kaka mimi nimeota watu wamebeba mithili ya jeneza halikai kama jeneza unavyoliona ila limebebwa juujuu kama watu wanavyobeba jeneza kumaanisha ilo ni jeneza lkn sijui kama ndani mna mtu wala hamna na watu waliolibeba hawapokezani kama watu wanavyofanya limeenuliwa juujuu na watu kama watatu hivi kisha wengine wanatembea tu kando huku wakiongea stori zao na kucheka..naomba unitafsirie
16:30
❤❤❤
Shekhey Mimi najisaidiy ndani
Mafunzo poa.but mimi uota nikiona watu wakijizaidia au mtoto wangu amejizaidia kwa sahani na plis sijui maana yake.naomba kujua
TAtizo la huyu jamaa anazunguka sana
Asalaam alykum, mi nimemuotea mdogoangu amejisaidia haja kubwa na alikua ammesimama mgongoni kwa mama, na alipoanza kujisaidia mi ndo nilikua wa kwanza kuona na kikaishika na nikaenda kunawa mkono kwa haraka. Sijui inamaana gani?
Shekhe naomba unijibu Mimi niliota najisaidia chooni ila choni kwenye we ni chumbani ninapo lala ila hapana choo. Yani ni chumba NA choo chake ila sikwenda chooni nilijisaidia chumbani ila najuwa nipo chooni BOSI wangu akaingia NA mtoto wake mdogo akaniita Mimi sikuitaka ila alivyo ingia chumbani akaniona nimekaa katika choo yule mtoto akataka kunifwata ila mama yake akamwambia nipo najisaidia chaajabu kulikuwa hakuna halufu baosi akatoka Mimi nikawa najiuliza kwanini sukuenda kujisaidia chooni nipo hapa chumbani.. Naomba unijuzee
Asalam aleykum shekhe nimeota nimenyewa kinyesi na mtoto nilie mbeba mwli mzima
Ok
Salam aleikum mmi nimesha wota ninekwenda sehem nikauta Iyo fasi pakubwa pote Pana haja kubwa Ila ayato harufu
Mm nimeota nakunya na wenzangu walikuwa kisha nikaifunika vizuri. Haikunuka na n mingi mapunde matatu
Unafanya vzr shekhe lkn punguza Hadith kwa maana ya mda na bando letu
Punguza simulizi, elekeza kwenye lengo husika
Punguza maneno mengi twende kwenye
Mi naota naona sana haja kubwa
Wewe km mimi
@@joycekasakisya7755 je mnapata pesa
Ustaz nimeota ngamia mweupe anatoka juu anakimbia anakuja kama chn
Mimi nimeota nimeona haja kubwa kwa shimo la choni na alofanya hiyo haja kubwa ni ndugu ya wa kiume na kwenye hiyo haja kubwa iko miguu ya kuku.
tatizo huendi kwenye poit unazunguka saaaana
mtu anashindwa kukusiliza mpaka ,mwisho
Asalamu Aleikumu Allahu akuhifadhi,nauliza ukiota umebeba choo kwakichwa naiko nakinyesi ndani manayake nini?
Magonjwa ya kichwa au mawazo ayatakusumbua
Sheikhe je ukiota nyuki
ACHA UJINGA SHEKHE WEWE...MJINGA WEWE. UNASOMA QURAN UTAFIKIRI UMEMEZA MAV
Mmmh unamatatizo .ndg yang pole sana.
Huyu bwana anakula mb kwakitu kidooigo had hovyo jirekebishe bwana
Mimi nimeota hajakubwa inanitoka lkn nnanguo zang watu wananishangaaa lkn mimi naenda mbio kubwa na ona haya jeee inamana gani
tatizo unamaelezo meengi hadi tunaishiwa kifurushi hata mada hatujaiskia
Asalam alykum m nliota dada wa mama alkwa anaenda haja kubwa ya laini alafu mama anayakinga kwa mkebe na kila akiendesha ndo anapata nafuu coz alkwa hawezi na sehemu alkwa anafanya haja napajua lkn nyumba ndo ilkwa imechakaa sana je sheikh ii ndoto inamaana gani
Shukran
Ahsante
Ewe nawe waongea sana,kitambo ufikie hu
Punguza story shekh unaboa
👌👍
Nimeota watu wengi wanajisaidia kwenye mchanga mm nikazoa kwa mkono nikatia kwenye mfuko mweupe nikaondoka nayo ile haja kubwa zenyewe zilikuwa ngumu zingine lain lakin sio sana zote nimebeba nikaondoka uku nacheza yani nachekerea na ule mfuko nimeubeba nn maana yake
Hela hizooooooo jmn ukishazifuma nistue
Mimi nimeota najisaidia kwenye sinki la choo lkn liko wazi ila nilihisi hamna anaye niona kumbe nilionekana nikasahau kuflash nikaondoka baadae nikapita tena maeneo hayo watu wakanivaa na kunichamba kisa cjaflash choo niliona aibu Sana na kuwaomba msamaha kwamba kichwa kinamamambo mengi nilijisahau wakanielewa
Assalam alaykum
Mimi nimeota kma mwanangu anajisaidiza afu Mimi njoo nakizowa mana yke Nini??
usthani mm mara ya kwanza niliota nanguka choni ama shimo la choo lakini nikaingiya mguu moja Kisha nikang'ana nikatoka mara ya pili najaita najisaidiya lakini kando ya lile shimo la choo mara ya tatu nikaota najisaidiya pahali ambapo sipajui Kali nilikuwa na rafiki yangu Kisha akakifinika kile choo alafu nikamka lakini choo kile kimekuwa kama muharooo
Shekhe namba yko tafadhali
napenda chanel yako ila me nimelia kwa kumuhurumia mjukuu wa dada yangu ambaye n mgonjwa ila nkamuona anajichoma sindano mwenyewe maeneo ya pajani ndio nikaanza kubujikwa na machozi huku nkisema Allah atamfanyia wepec
Sheikh Mimi nimemuota mtu kajisaidia kwenye siruali halafu nikakisafisha
Ukiota umepata haja kisha ukaisangaa
tunatamani kusikikiza lkn punguza maneno yanachosha
😂😂😂😂😂
Mm nimeota marehemu alokufa zamani ndo amehara kwenye sinki jeupe
Me nimeota nimeona kinyesi ndan kwangu
She tunakuomba ukiamuwa ktoa maana ya ndoto basi nenda moja Kwa moja kwenye ndoto SS wengine tunakusikiliza hata humallizi kutowa maana bando linaisha Kwa maneno mengi na m pozi
Nimeota nimejisaidia haja kubwa nikazoa kwa mikono yote miwili nikatia kwenye mfuko nikatupe lkn sikuwai kwenda kutupa
Shkh anzisha group la telegram
Asalmalaykum jee ukiota unafanya haja kubwa lkn nivitu vatoka kama mpira w watoto
Nashukuru kwa tafsiri naomba kujua maan ya hii ndoto nimeota nazaa ng'ombe mpaka nikajisaidi watu wakawa wanacheka nikawaambia amuoni nimezaa ng'ombe mkumbwa ndomaana nimejisaidia
Nimeota ninakula kinyesi Cha mwanangu tafadhali nisaidie
Fupisha kidogo
Ustadh je ukiota umekatwa na paka manaeke nini
27:33