UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
    #MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDua

Комментарии • 219

  • @saidjoka1282
    @saidjoka1282 2 года назад +15

    UNAONGEA SANAAA

  • @nzirubusakhamissi3329
    @nzirubusakhamissi3329 2 года назад +10

    Ustadh unatafsir vizur san lakin unazunguz san yaan unaelez huk na kul unawez ukamsif allah nakumsalia mtum juu yake rehm na aman nakuingia moj kwa moj kweny mad inshallah

  • @Matiherbalist
    @Matiherbalist 2 года назад +26

    Jamani bando litaisha kabla kuskia maana ya ndoto, kuwa na kauli fupi fupi . Una strori nyingi Sana

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 2 месяца назад +1

    Shukrani shekhe

  • @WinifridaKabelege-ip4dq
    @WinifridaKabelege-ip4dq 10 месяцев назад +1

    Shukuran sana sheikh,,Allah akujalie kheri🙏

  • @anliomaromar7163
    @anliomaromar7163 2 года назад +4

    Shukrani sana mualimu somo adhimu kabisa mungu akulinde milele daima

  • @mkingaboy550
    @mkingaboy550 Год назад +2

    Shekhe unachelewa sana mazungumzo ya akuwa mengi Sana tafadhali shekhe🤝

  • @alimussahimidi8185
    @alimussahimidi8185 Год назад +1

    Allah akubariq san ustadh wangu nimekuwa nikioa japo mara moj kwa mwez subhanallah

  • @africansmile101
    @africansmile101 2 года назад +3

    Safi sana kwa kuelewesha jamii kuhusu njozi tunaoya

  • @uthmanihimbawe5244
    @uthmanihimbawe5244 3 года назад +5

    Baarakallah fiika

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 года назад +5

    Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik

  • @shadiahborandi2687
    @shadiahborandi2687 4 года назад +4

    Walaykum salama warhmatullahu wabarakatuh sheikh

  • @ااجج-ط5د
    @ااجج-ط5د 4 года назад +3

    Barikiwa sana sheikh kwa mafunzo yako

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 года назад

      Amina yaarabiy

    • @fatumastani2712
      @fatumastani2712 4 года назад

      Barikiwa saana shikh mafunzo yako Mimi nimeota mtoto mdogo ambae ni alubino ananialishia kwa mfurulizo kama mpolomoko maana yake nini

  • @rahmaabdulrahmaabdul1781
    @rahmaabdulrahmaabdul1781 4 года назад +2

    Asalam alekum. Shukran sheikh kwa kutupa elimu allha akubariki na akutie katika pepo yake kwa rehma zake mimi nimeota nimejisadia kwetu njee ya choo lakini kwenye yale mabakuli ya watoto lakini lilikua kubwa na hiyo haja kubwa haina harufu yoyote

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +5

    Amiina yaarabbi

  • @ronasapura3517
    @ronasapura3517 3 года назад +2

    Uko vizuri maalim

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +6

    صلى الله عليه وسلم

    • @rosemerengary1834
      @rosemerengary1834 3 года назад

      Maneno ni mengi mnoo ungekuwa unaenda straight to the point

  • @AntoniaRyoba
    @AntoniaRyoba 3 месяца назад +1

    Unakera sana unamaneno mengiunatumalizia muda hatuhitji kiarabu hicho jalibu kupunguza maneno

  • @mariammariam642
    @mariammariam642 4 года назад +1

    Shukrani

  • @redymbuba111
    @redymbuba111 3 года назад

    Asante Kwa kutufundisha

  • @qwnlynuzlah3115
    @qwnlynuzlah3115 4 года назад +4

    Shukran Sheikh,,,JazzakaAllahu Kheyr,,Na Kama Umeota Umepigana Na dadako Inamaanisha Nini Sheikh,?

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 года назад

      Hiyo ni amali ya shetani

    • @qwnlynuzlah3115
      @qwnlynuzlah3115 4 года назад

      @@nyumbayatibanadua737 amali yake kivpi inamaana iyo ndoto sio nzuri shekhe

    • @seifbashir6393
      @seifbashir6393 4 года назад

      Ana imanisha Hainaut maana ni naoto tu ya shetani

  • @lushingeemmanuel1088
    @lushingeemmanuel1088 4 года назад

    asante kwa tafsri hyo, mmi niliota nakusanya kinyesi sjui itakuw na maan gan hyo ndoto samhn lkin

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 3 года назад +6

    Baba unazunguukaa Sana, mpaka kero, nenda moja moja kwenye Mada, unapoteza mb zetu

  • @shadidashafiu1965
    @shadidashafiu1965 3 года назад +2

    Warrykum Salam wallahmatullah wabarakat

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 2 года назад +2

    Sitori nyingi tatizo Hira ni nzur

  • @anthonycleophace8064
    @anthonycleophace8064 3 года назад +1

    Akika unafanya kazi vzr Sana Kaka,

  • @gorretmarynasike9803
    @gorretmarynasike9803 4 года назад +14

    Story ndefu sana naweee aah

  • @anethzephulin490
    @anethzephulin490 3 года назад +6

    Unahadisi mpaka hamu ya kusikiliza inaisha punguza maneno

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 4 года назад +1

    Shukran sna sheikh wetu

  • @alawahmad7848
    @alawahmad7848 2 года назад +4

    Maneno mengi zungumza lilokusudiwa

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 года назад +3

    Allah atujaalie salama inshaallah

  • @muragizinourah1042
    @muragizinourah1042 Год назад +1

    Allahu akbaru

  • @SamiraSalim-sx7ie
    @SamiraSalim-sx7ie 10 месяцев назад +1

    Shekh hebu kuwa unaeleza wapenda kurudia kitu mara Kwa mara wengine hku Yuko nchi za watu time y kusikiza unavyo jieleza hatuna

  • @user-vy6yy6ic2u
    @user-vy6yy6ic2u 8 месяцев назад

    Mm nimeota nimemkuta mume wangu anajisaidia haja kubwa choon nyingi Sana kufungua mlango akastuka

  • @aysherkitoi1845
    @aysherkitoi1845 3 года назад +2

    Mimi nimeota mara ya 2 sasa mara ya kwanza nakunya kitandani na kuna watu waliyapokea lkn ckuwaona na nikashtuka mara ya 2 nimeota nimeenda shambani nikaona mavi nikayaruka nikanya pembeni mara4 sehemu tofauti

  • @mariamkizanga9573
    @mariamkizanga9573 10 месяцев назад +2

    maneno mengi shekhe tafadhal

  • @elizabethg.mwaijande5030
    @elizabethg.mwaijande5030 2 года назад +6

    Nimeota ndoto kuhusu kinyesi lakn nimefatilia kuhusu tafsiri ...kila mmoja ana tafsiri ya pekeake mpaka sasa sijapata tafsiri sahihi.

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 3 года назад +1

    Asante xana sheikh lakini ukiota umepata haja kubwa kwa nyumba

  • @MalikiHashim-bb6uh
    @MalikiHashim-bb6uh Год назад

    Kuota njozi shekh na watoto wadogo wanasoma qulani kwa furaha ndani ya moy

  • @fatmasaiderick1935
    @fatmasaiderick1935 4 года назад +5

    A,aleykum shekhe,m nimeota mtoto wangu kajisaidia haja kubwa kitandan kwenye mashuka nikawa nakusanya kuyatowa haja ikawa imenitapakaa na mm,nn maana yake

  • @fatumathabit6498
    @fatumathabit6498 3 года назад +18

    Nzur lkn stori nyingi😁😁

  • @JamilaOmarl-j7d
    @JamilaOmarl-j7d 4 месяца назад

    Mim nimeota boss wangu akijisaidia haja kubwa chooni.inamaana gani

  • @janethmunisi5024
    @janethmunisi5024 4 года назад +13

    Mbona me nilishoota najisaidia mara kwa mara ila sijwi kupwa na mikosi hiyo me kwanza ndio huwa napta pesa sana

    • @Ashsultana
      @Ashsultana 4 года назад +1

      Mimi ndoto za mavi najua ni kupata pesa

    • @catherineelias5108
      @catherineelias5108 3 года назад

      Mimi mwenyewe nikiota mavi lazima nipate pesa

    • @husnamohammed8199
      @husnamohammed8199 3 года назад

      Sadakta na mm ndo napata pesa naota nimeingia mavi gauni langu napata pesa

    • @husnamohammed8199
      @husnamohammed8199 3 года назад +1

      @@Ashsultana kweli mm nikiota lazima napata pesa hahahaha

    • @leahleverian
      @leahleverian 5 месяцев назад

      Hizi tafsir mungu atusaidie Kila mtu anatafsir zake sijui tumwamin nan

  • @ayubugeorge2168
    @ayubugeorge2168 2 года назад +2

    SHEHE UNATUFUNZA SANA LAKINI JITAHIDI KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO JARIBU KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO

  • @elestinadagadaga1706
    @elestinadagadaga1706 3 года назад +1

    Duh stor ndefu had nasinzia

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @azizahassan939
    @azizahassan939 2 года назад

    Shekhe mm nimeota najisaidia chumbani kwangu chini ya sument kisha nikaizoa kwenye karatasi nyeupe nikawa naipereka chooni ila nilipofika ukumbini ikadondoka nikaizoa tena ila nikaacha kidogo pare chin ukumbin kisha nikaenda kuipereka chooni inamaana gani iyo

  • @hamiduahmadi3854
    @hamiduahmadi3854 Год назад +1

    Nenda kwenye hoja ya msingi,

  • @ahmadally243
    @ahmadally243 3 года назад +2

    Nenda kwenye tropic mbwe mbwe nyingi mpaka mtu unachoka

  • @happymasao6677
    @happymasao6677 Год назад +2

    Shida unaongea snaaa hapa utapoteza wafatiliaji

  • @karimbhai1980
    @karimbhai1980 7 месяцев назад

    Nataka kujua maana y ndoto yangu, nimeota nikienda chooni n familia n hapali penyewe ni pachafu sana, alafu baba yangu pia ametoka chooni n mmi nimeingia hadi nashindwa kujisaidia juu y uchafu n naona wengine wanarusha maji chafu y choo n mkono, mmi nikatafuta maji y kujisafisha nikapata maji y mvua ikitoka kwa mabati nikatumia kujiosha nikiwa nimesimama n nikaanza kutawadha pia nao

  • @MariamMavuo-yq4zc
    @MariamMavuo-yq4zc Год назад

    Assalam aleikum..samahani kaka mimi nimeota watu wamebeba mithili ya jeneza halikai kama jeneza unavyoliona ila limebebwa juujuu kama watu wanavyobeba jeneza kumaanisha ilo ni jeneza lkn sijui kama ndani mna mtu wala hamna na watu waliolibeba hawapokezani kama watu wanavyofanya limeenuliwa juujuu na watu kama watatu hivi kisha wengine wanatembea tu kando huku wakiongea stori zao na kucheka..naomba unitafsirie

  • @ZawadiBenjamin
    @ZawadiBenjamin 2 месяца назад

    16:30

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm 9 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @habari5802
    @habari5802 Год назад

    Shekhey Mimi najisaidiy ndani

  • @adamsnyakundi4427
    @adamsnyakundi4427 3 года назад

    Mafunzo poa.but mimi uota nikiona watu wakijizaidia au mtoto wangu amejizaidia kwa sahani na plis sijui maana yake.naomba kujua

  • @allymuhammad325
    @allymuhammad325 2 года назад +1

    TAtizo la huyu jamaa anazunguka sana

  • @ZainabuKassim-l1c
    @ZainabuKassim-l1c 21 день назад

    Asalaam alykum, mi nimemuotea mdogoangu amejisaidia haja kubwa na alikua ammesimama mgongoni kwa mama, na alipoanza kujisaidia mi ndo nilikua wa kwanza kuona na kikaishika na nikaenda kunawa mkono kwa haraka. Sijui inamaana gani?

  • @hidayah1295
    @hidayah1295 4 года назад +1

    Shekhe naomba unijibu Mimi niliota najisaidia chooni ila choni kwenye we ni chumbani ninapo lala ila hapana choo. Yani ni chumba NA choo chake ila sikwenda chooni nilijisaidia chumbani ila najuwa nipo chooni BOSI wangu akaingia NA mtoto wake mdogo akaniita Mimi sikuitaka ila alivyo ingia chumbani akaniona nimekaa katika choo yule mtoto akataka kunifwata ila mama yake akamwambia nipo najisaidia chaajabu kulikuwa hakuna halufu baosi akatoka Mimi nikawa najiuliza kwanini sukuenda kujisaidia chooni nipo hapa chumbani.. Naomba unijuzee

  • @halimafimbo4890
    @halimafimbo4890 Год назад

    Asalam aleykum shekhe nimeota nimenyewa kinyesi na mtoto nilie mbeba mwli mzima

  • @royalroyal8633
    @royalroyal8633 2 года назад

    Ok

  • @aishaha3890
    @aishaha3890 3 года назад

    Salam aleikum mmi nimesha wota ninekwenda sehem nikauta Iyo fasi pakubwa pote Pana haja kubwa Ila ayato harufu

  • @maryshiko2380
    @maryshiko2380 Год назад

    Mm nimeota nakunya na wenzangu walikuwa kisha nikaifunika vizuri. Haikunuka na n mingi mapunde matatu

  • @hamismfinanga8633
    @hamismfinanga8633 Год назад +1

    Unafanya vzr shekhe lkn punguza Hadith kwa maana ya mda na bando letu

  • @suzyjoseph2367
    @suzyjoseph2367 Год назад +1

    Punguza simulizi, elekeza kwenye lengo husika

  • @timotheomakenz6795
    @timotheomakenz6795 7 месяцев назад +1

    Punguza maneno mengi twende kwenye

  • @rahmadizer1744
    @rahmadizer1744 3 года назад +1

    Mi naota naona sana haja kubwa

  • @ruqaiyyalema2945
    @ruqaiyyalema2945 4 года назад

    Ustaz nimeota ngamia mweupe anatoka juu anakimbia anakuja kama chn

  • @asmasaid-ln2fc
    @asmasaid-ln2fc 4 месяца назад

    Mimi nimeota nimeona haja kubwa kwa shimo la choni na alofanya hiyo haja kubwa ni ndugu ya wa kiume na kwenye hiyo haja kubwa iko miguu ya kuku.

  • @tzinvestigate5002
    @tzinvestigate5002 8 месяцев назад +1

    tatizo huendi kwenye poit unazunguka saaaana
    mtu anashindwa kukusiliza mpaka ,mwisho

  • @nadiaharoon9648
    @nadiaharoon9648 Год назад

    Asalamu Aleikumu Allahu akuhifadhi,nauliza ukiota umebeba choo kwakichwa naiko nakinyesi ndani manayake nini?

  • @hawamohamed4281
    @hawamohamed4281 4 года назад +1

    Sheikhe je ukiota nyuki

  • @aminimirambo2452
    @aminimirambo2452 3 года назад

    ACHA UJINGA SHEKHE WEWE...MJINGA WEWE. UNASOMA QURAN UTAFIKIRI UMEMEZA MAV

  • @MWIGAADAM-r3e
    @MWIGAADAM-r3e 5 месяцев назад +1

    Huyu bwana anakula mb kwakitu kidooigo had hovyo jirekebishe bwana

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 года назад

    Mimi nimeota hajakubwa inanitoka lkn nnanguo zang watu wananishangaaa lkn mimi naenda mbio kubwa na ona haya jeee inamana gani

  • @mariamkitwana6148
    @mariamkitwana6148 2 года назад +1

    tatizo unamaelezo meengi hadi tunaishiwa kifurushi hata mada hatujaiskia

  • @zaitunichibako1214
    @zaitunichibako1214 4 года назад

    Asalam alykum m nliota dada wa mama alkwa anaenda haja kubwa ya laini alafu mama anayakinga kwa mkebe na kila akiendesha ndo anapata nafuu coz alkwa hawezi na sehemu alkwa anafanya haja napajua lkn nyumba ndo ilkwa imechakaa sana je sheikh ii ndoto inamaana gani

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад

    Shukran

  • @sarahwanjiru6121
    @sarahwanjiru6121 Год назад +1

    Ewe nawe waongea sana,kitambo ufikie hu

  • @mr.macintosh5687
    @mr.macintosh5687 2 года назад +1

    Punguza story shekh unaboa

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 3 года назад

    👌👍

  • @azizahassan939
    @azizahassan939 3 года назад

    Nimeota watu wengi wanajisaidia kwenye mchanga mm nikazoa kwa mkono nikatia kwenye mfuko mweupe nikaondoka nayo ile haja kubwa zenyewe zilikuwa ngumu zingine lain lakin sio sana zote nimebeba nikaondoka uku nacheza yani nachekerea na ule mfuko nimeubeba nn maana yake

  • @dianarichardkiri1318
    @dianarichardkiri1318 2 года назад

    Mimi nimeota najisaidia kwenye sinki la choo lkn liko wazi ila nilihisi hamna anaye niona kumbe nilionekana nikasahau kuflash nikaondoka baadae nikapita tena maeneo hayo watu wakanivaa na kunichamba kisa cjaflash choo niliona aibu Sana na kuwaomba msamaha kwamba kichwa kinamamambo mengi nilijisahau wakanielewa

  • @tantinebahati8031
    @tantinebahati8031 3 года назад +1

    Assalam alaykum
    Mimi nimeota kma mwanangu anajisaidiza afu Mimi njoo nakizowa mana yke Nini??

  • @user-ip1pn4wy8o
    @user-ip1pn4wy8o 6 месяцев назад

    usthani mm mara ya kwanza niliota nanguka choni ama shimo la choo lakini nikaingiya mguu moja Kisha nikang'ana nikatoka mara ya pili najaita najisaidiya lakini kando ya lile shimo la choo mara ya tatu nikaota najisaidiya pahali ambapo sipajui Kali nilikuwa na rafiki yangu Kisha akakifinika kile choo alafu nikamka lakini choo kile kimekuwa kama muharooo

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm 9 месяцев назад

    Shekhe namba yko tafadhali

  • @SharifaWaridu
    @SharifaWaridu 6 месяцев назад

    napenda chanel yako ila me nimelia kwa kumuhurumia mjukuu wa dada yangu ambaye n mgonjwa ila nkamuona anajichoma sindano mwenyewe maeneo ya pajani ndio nikaanza kubujikwa na machozi huku nkisema Allah atamfanyia wepec

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 Год назад

    Sheikh Mimi nimemuota mtu kajisaidia kwenye siruali halafu nikakisafisha

  • @theresiandumbaro7862
    @theresiandumbaro7862 Год назад

    Ukiota umepata haja kisha ukaisangaa

  • @herykembo1609
    @herykembo1609 3 года назад +2

    tunatamani kusikikiza lkn punguza maneno yanachosha

  • @zaituniabdallah
    @zaituniabdallah Год назад

    Mm nimeota marehemu alokufa zamani ndo amehara kwenye sinki jeupe

  • @jenniferevaris5216
    @jenniferevaris5216 Год назад

    Me nimeota nimeona kinyesi ndan kwangu

  • @harousali7578
    @harousali7578 Год назад +1

    She tunakuomba ukiamuwa ktoa maana ya ndoto basi nenda moja Kwa moja kwenye ndoto SS wengine tunakusikiliza hata humallizi kutowa maana bando linaisha Kwa maneno mengi na m pozi

  • @mariamumakala6146
    @mariamumakala6146 2 года назад

    Nimeota nimejisaidia haja kubwa nikazoa kwa mikono yote miwili nikatia kwenye mfuko nikatupe lkn sikuwai kwenda kutupa

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 2 года назад

    Shkh anzisha group la telegram

  • @hafswaabdallah5241
    @hafswaabdallah5241 3 года назад

    Asalmalaykum jee ukiota unafanya haja kubwa lkn nivitu vatoka kama mpira w watoto

  • @mammypeter7462
    @mammypeter7462 4 года назад

    Nashukuru kwa tafsiri naomba kujua maan ya hii ndoto nimeota nazaa ng'ombe mpaka nikajisaidi watu wakawa wanacheka nikawaambia amuoni nimezaa ng'ombe mkumbwa ndomaana nimejisaidia

  • @shaaniathumani1323
    @shaaniathumani1323 3 года назад +1

    Nimeota ninakula kinyesi Cha mwanangu tafadhali nisaidie

  • @nailamohamed206
    @nailamohamed206 14 дней назад

    Fupisha kidogo

  • @eshashamu7663
    @eshashamu7663 2 года назад

    Ustadh je ukiota umekatwa na paka manaeke nini

  • @user-ip1pn4wy8o
    @user-ip1pn4wy8o 6 месяцев назад

    27:33