UKIOTA UNAOGA KWENYE NJOZI YAKO | NUKTA 13 ZA NJOZI KUOGA NA MAANA ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- UKIOTA UNAOGA KWENYE NJOZI YAKO | NUKTA 13 ZA NJOZI KUOGA NA MAANA ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#MasjidMtoroTv #Ndoto_Na_Tafsiri
Enda direct to the point aki 3 mins na hujaanza kuelezea aihhh
Huyu mzee sijui kwanini haendagi kwenye point moja Kwa moja ....hajui MB zipo juu maelezo meeengi wengi wanamkimbia😂😂😂
Eti😂
Tatizo lako wewe sheikh unapenda kutoa mawaidhaa badara ya kwenda Moja kwa moja kwenye ndoto....jitahid kufupisha nenda kwenye mada Moja kwa moja
Waleikumsalam warahmatullaah wabarakatuh,mimi jana nimeota naoga maji mazuri ya likuwa kwenye ndo na niliogea chini ya mti
Naomba tafusiri ya ndoto hajakubwa choni
Kukua na loss
Kupata pesa i
Ahsante
Sheh kiukweli unatafsir vizuri lakini saída yako maneno ni mengi sana
Asalaam Aleikum warahamatullahi wabarakatuh.
Alihamdulilahi Rabil Alamina.
Kwa kutusadia kujua maana ya njozi.
Mimi nimeota ninabeba taka na kutupa Kwa pipa la taka mara mbili nimebeba nikatupa
Tena nikabeba taka mfuko mzito nikitupa.
Mimi maana yake.
Shekh.
Njoo WhatsApp
Asalam aleykum shehe nimeota nachota maji kisimani na kuoga nini maana yake?
Waaleykum salaam shekhe mim nimeota nakoga chooni ila maji mazuri ya vuguvugu yenye umoto nikajipaka sabuni nakuoga Yale maji je ina maana ganii
Aslm alykm sheikh nimeota nakoga kitandani
🤣🤣🤣🤣🤣inachekeza
assalaamu aleykum sheikh naota usiku wakuamkia leo kuwa kaka yangu ako navumbi nyingiiii nikawa nanmwgia maji awe msafi
A.alykm,,mm nliota namkosha mtoto chooni ma zaid usoni, ni ina maana gani hyo naomba jawabi
Njoo WhatsApp +255765893020
Assalam alykum mimi nimeota tofauti nimeota nawaona wanawake na wanaume wakiwa uchi mimi nlitafuta sana pakuogea nikapasa kabisa nini maanake?
Maneno mengi nawe
Mimi nimeota nafanya mapenz na kakayangu
Mimi pia nimeota naonga bere ya nyumba yetu
She unazingua.kwanza anza na moja.ukiota unaoga.sio unatuletea ukiota umeoga unavaa nguo mpya. Maliza ukiota unaoga. Ni nini? Kuvaa mavazi baadae ni kuota unaoga tu
Islam Itabaki kuwa Islam Sababu ndio dini ya Haki upende usipende Islam ndio uongofu
😂😂😂😂
ASANTE
Unatoka nje ya mada Kwa mda mrefu
Asalam alaykum shekhe nimeota naoga lkn kwnye naoga klkua n wtu ndani sikuwaona nlipoanza kuoga ndpo nkawaona n kna mtu alitka kuingia nkamfnglia alikua mume baada y hapo nkatoka n kulia kulikua n mtu naenda kushtkia nlipofka kna wtu n Mpnz wngu nikaomba maji huku nalia akanikmbtia alfu aknpa maji nkanwa
Assalamu alaykum sheikh mi nimeota nyumbani kwetu kuna vita maanake nin
Shekhe kma Umeota rafiki yko wakarib Sana amefariki gafla na ukaenda mcbani ukalia Sanaa na hatimae akaenda kuzikwa na ukashtuka ukiwa hapo manake ni nn
Njoo WhatsApp +255758678552
Kama unaota unakoga tu bila kuvaa nguo mpya au yakuchanika au chombo au kumkogesha maiti au sio maji yabaridi bali anaoga tu usingizini bila maji ya moto wala ya baridi au josho la idd.anaota anaoga tu inakuaje? Mbona unatuchanganya? Sio idd wala ramadhani unaota unaoga tu hii hujaielezea mbona?tuelezee mtu anaota anaoga bila lengo au maji yamoto au baridi.
Mimi huwa naota nakoga mara kwa mara
Asalam alaykum, mm nimeota naoga nyumban nje maji ya kwnye sufuria ila mwisho wa maji hayo Kuna kitu kama chumvi nyeupe
Asalam aleykum shekhe kama umeota umezikwa upo ndani ya kabur umefungwa sanda kama kawaid pia pembeni yako kuna maraika kavaa na yeye pia nguo nyeupe kakaa upande wa kulia kwangu pia mbali kidogo na mguu ya yupo maraika kavaa nguo nyeusi ila huyu maraika wa nguo nyeupe nikawa nacheka nae pasna kumuangalia uson alivyokua anataka kunigusa nikastuka n nn maana yake naomba nisaidie
Njoo WhatsApp +255765893020
Kuota unaoga chooni maji machafu inamaanisha nn?
Mi nimeot naoga ndan Tena seblen nimeota Kisha nikaanza kufanya USAF ndani nn maana yake
Shekhe mm nimeota nataka kuoga maji ya barid ila nilipo anza tu kuoga maji hayakua ya barid nn maana yake?
Assalam Aleykum Shehe...mimi nimeota naoga maji baridi na ilikua asubuhi naenda kuswali idd lakini sijavaa nguo mpya na nimeolewa nini maana yake???
Ndoto ya kuolewa si nzuri .. imekemee kabisa
@@nasrakal 🙏
Nini maana ya kuota una kunywa maji naaliyekupa ni kwenye nyuma ya mtu aliye faliki zamani
A a uneota kuoga ama Uko chooni una Ogaaa . Tuu
Nini maana yake
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Mwalumu
Kumuoteya mtu mungine gafla yumo kwenye wimbi l'amabilité tena maji macafu meusi tena kazama kwenye maji tafsi yake nini
Shehe mm nimeota natembea mara nikamukuta baba yangu yuko kwenye kundi la watu ila Kati ya hao watu alikuwepo baba wa mtoto wangu ila Alisha kufa mara baba akanifokea mara baba mtt wangu akaanza kupigana na mm ila nilimpiga sana mpaka akatoka damu ila nilipo amka asubuhi nilitoka damu nyingi sana manaeke nini
ooh op
pll
Unaongea sana she he elezea maana tu
Kabisaa. Anachosha
Mtu unapoota mchawi amekuja kukuua na akashindwa kukuua inamaana gani
Wacha kuongea Islam nyingi. Enda moja kwa moja kuelezea ndoto
katafute mchungaji akujibie kams unataka tafsili kuwa na subraa
Allah akutoe Kwa Giza akuingize kwenye nuru
Yeye ni muislam lazima aongee kiislam
Naomba tafusiri ya ndoto hajakubwa choni