UKIOTA UNAOGA KWENYE NJOZI YAKO | NUKTA 13 ZA NJOZI KUOGA NA MAANA ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • UKIOTA UNAOGA KWENYE NJOZI YAKO | NUKTA 13 ZA NJOZI KUOGA NA MAANA ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
    #MasjidMtoroTv #Ndoto_Na_Tafsiri

Комментарии • 59

  • @dianabosibori8476
    @dianabosibori8476 6 месяцев назад +4

    Enda direct to the point aki 3 mins na hujaanza kuelezea aihhh

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk 6 месяцев назад +5

    Huyu mzee sijui kwanini haendagi kwenye point moja Kwa moja ....hajui MB zipo juu maelezo meeengi wengi wanamkimbia😂😂😂

  • @abdallahzongo387
    @abdallahzongo387 Месяц назад +1

    Tatizo lako wewe sheikh unapenda kutoa mawaidhaa badara ya kwenda Moja kwa moja kwenye ndoto....jitahid kufupisha nenda kwenye mada Moja kwa moja

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 5 месяцев назад

    Waleikumsalam warahmatullaah wabarakatuh,mimi jana nimeota naoga maji mazuri ya likuwa kwenye ndo na niliogea chini ya mti

  • @SafiaKagoya-ow8jt
    @SafiaKagoya-ow8jt 11 месяцев назад +1

    Naomba tafusiri ya ndoto hajakubwa choni

  • @sashamoud6314
    @sashamoud6314 2 года назад

    Ahsante

  • @ramlamohamed4401
    @ramlamohamed4401 13 дней назад

    Sheh kiukweli unatafsir vizuri lakini saída yako maneno ni mengi sana

  • @zaitunshaban9220
    @zaitunshaban9220 3 года назад +1

    Asalaam Aleikum warahamatullahi wabarakatuh.
    Alihamdulilahi Rabil Alamina.
    Kwa kutusadia kujua maana ya njozi.
    Mimi nimeota ninabeba taka na kutupa Kwa pipa la taka mara mbili nimebeba nikatupa
    Tena nikabeba taka mfuko mzito nikitupa.
    Mimi maana yake.
    Shekh.

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu Месяц назад

    Waaleykum salaam shekhe mim nimeota nakoga chooni ila maji mazuri ya vuguvugu yenye umoto nikajipaka sabuni nakuoga Yale maji je ina maana ganii

  • @mrsally5583
    @mrsally5583 2 года назад

    Aslm alykm sheikh nimeota nakoga kitandani

  • @shaleabdulaziz1614
    @shaleabdulaziz1614 3 года назад +2

    assalaamu aleykum sheikh naota usiku wakuamkia leo kuwa kaka yangu ako navumbi nyingiiii nikawa nanmwgia maji awe msafi

  • @khalfanjuma7678
    @khalfanjuma7678 3 года назад +1

    A.alykm,,mm nliota namkosha mtoto chooni ma zaid usoni, ni ina maana gani hyo naomba jawabi

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 3 года назад

      Njoo WhatsApp +255765893020

    • @faridandabaruhije2321
      @faridandabaruhije2321 3 года назад

      Assalam alykum mimi nimeota tofauti nimeota nawaona wanawake na wanaume wakiwa uchi mimi nlitafuta sana pakuogea nikapasa kabisa nini maanake?

  • @AlatuginiaMbilinyi
    @AlatuginiaMbilinyi 2 месяца назад +1

    Maneno mengi nawe

  • @HusinathKaruto
    @HusinathKaruto 5 месяцев назад

    Mimi nimeota nafanya mapenz na kakayangu

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 8 месяцев назад

    Mimi pia nimeota naonga bere ya nyumba yetu

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 3 года назад +3

    She unazingua.kwanza anza na moja.ukiota unaoga.sio unatuletea ukiota umeoga unavaa nguo mpya. Maliza ukiota unaoga. Ni nini? Kuvaa mavazi baadae ni kuota unaoga tu

    • @eshasalim1471
      @eshasalim1471 Год назад

      Islam Itabaki kuwa Islam Sababu ndio dini ya Haki upende usipende Islam ndio uongofu

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 26 дней назад

      😂😂😂😂

  • @aishandwata845
    @aishandwata845 2 года назад

    ASANTE

  • @ulayaz
    @ulayaz 4 месяца назад

    Unatoka nje ya mada Kwa mda mrefu

  • @dab8859
    @dab8859 3 года назад

    Asalam alaykum shekhe nimeota naoga lkn kwnye naoga klkua n wtu ndani sikuwaona nlipoanza kuoga ndpo nkawaona n kna mtu alitka kuingia nkamfnglia alikua mume baada y hapo nkatoka n kulia kulikua n mtu naenda kushtkia nlipofka kna wtu n Mpnz wngu nikaomba maji huku nalia akanikmbtia alfu aknpa maji nkanwa

  • @twaibuvarishtuvarishtu2220
    @twaibuvarishtuvarishtu2220 3 года назад

    Assalamu alaykum sheikh mi nimeota nyumbani kwetu kuna vita maanake nin

  • @jamilambarouk4746
    @jamilambarouk4746 3 года назад +1

    Shekhe kma Umeota rafiki yko wakarib Sana amefariki gafla na ukaenda mcbani ukalia Sanaa na hatimae akaenda kuzikwa na ukashtuka ukiwa hapo manake ni nn

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 3 года назад +1

    Kama unaota unakoga tu bila kuvaa nguo mpya au yakuchanika au chombo au kumkogesha maiti au sio maji yabaridi bali anaoga tu usingizini bila maji ya moto wala ya baridi au josho la idd.anaota anaoga tu inakuaje? Mbona unatuchanganya? Sio idd wala ramadhani unaota unaoga tu hii hujaielezea mbona?tuelezee mtu anaota anaoga bila lengo au maji yamoto au baridi.

  • @nusaibahassan9517
    @nusaibahassan9517 Год назад

    Mimi huwa naota nakoga mara kwa mara

  • @mwajabusaid228
    @mwajabusaid228 3 года назад

    Asalam alaykum, mm nimeota naoga nyumban nje maji ya kwnye sufuria ila mwisho wa maji hayo Kuna kitu kama chumvi nyeupe

  • @fatoomaaziz2549
    @fatoomaaziz2549 3 года назад +1

    Asalam aleykum shekhe kama umeota umezikwa upo ndani ya kabur umefungwa sanda kama kawaid pia pembeni yako kuna maraika kavaa na yeye pia nguo nyeupe kakaa upande wa kulia kwangu pia mbali kidogo na mguu ya yupo maraika kavaa nguo nyeusi ila huyu maraika wa nguo nyeupe nikawa nacheka nae pasna kumuangalia uson alivyokua anataka kunigusa nikastuka n nn maana yake naomba nisaidie

  • @Carolynezablon
    @Carolynezablon 7 месяцев назад

    Kuota unaoga chooni maji machafu inamaanisha nn?

  • @Marry-el6tx
    @Marry-el6tx 7 месяцев назад

    Mi nimeot naoga ndan Tena seblen nimeota Kisha nikaanza kufanya USAF ndani nn maana yake

  • @halimaally2398
    @halimaally2398 3 года назад

    Shekhe mm nimeota nataka kuoga maji ya barid ila nilipo anza tu kuoga maji hayakua ya barid nn maana yake?

  • @muminhassan3631
    @muminhassan3631 3 года назад

    Assalam Aleykum Shehe...mimi nimeota naoga maji baridi na ilikua asubuhi naenda kuswali idd lakini sijavaa nguo mpya na nimeolewa nini maana yake???

    • @nasrakal
      @nasrakal 2 года назад +1

      Ndoto ya kuolewa si nzuri .. imekemee kabisa

    • @muminhassan3631
      @muminhassan3631 2 года назад

      @@nasrakal 🙏

  • @yunisalfarsi6168
    @yunisalfarsi6168 2 года назад

    Nini maana ya kuota una kunywa maji naaliyekupa ni kwenye nyuma ya mtu aliye faliki zamani

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 2 года назад

    A a uneota kuoga ama Uko chooni una Ogaaa . Tuu

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 8 месяцев назад

    Nini maana yake

  • @brehimakeita7597
    @brehimakeita7597 Год назад

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
    Mwalumu
    Kumuoteya mtu mungine gafla yumo kwenye wimbi l'amabilité tena maji macafu meusi tena kazama kwenye maji tafsi yake nini

  • @eshashamu7663
    @eshashamu7663 2 года назад

    Shehe mm nimeota natembea mara nikamukuta baba yangu yuko kwenye kundi la watu ila Kati ya hao watu alikuwepo baba wa mtoto wangu ila Alisha kufa mara baba akanifokea mara baba mtt wangu akaanza kupigana na mm ila nilimpiga sana mpaka akatoka damu ila nilipo amka asubuhi nilitoka damu nyingi sana manaeke nini

  • @mamsmariam6670
    @mamsmariam6670 3 года назад +3

    Unaongea sana she he elezea maana tu

  • @mkwayaemmanuel7579
    @mkwayaemmanuel7579 3 года назад

    Mtu unapoota mchawi amekuja kukuua na akashindwa kukuua inamaana gani

  • @theworldnatureandculture5354
    @theworldnatureandculture5354 3 года назад +4

    Wacha kuongea Islam nyingi. Enda moja kwa moja kuelezea ndoto

    • @yusramohammedy9854
      @yusramohammedy9854 3 года назад +1

      katafute mchungaji akujibie kams unataka tafsili kuwa na subraa

    • @eshasalim1471
      @eshasalim1471 Год назад

      Allah akutoe Kwa Giza akuingize kwenye nuru

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 26 дней назад

      Yeye ni muislam lazima aongee kiislam

  • @SafiaKagoya-ow8jt
    @SafiaKagoya-ow8jt 11 месяцев назад

    Naomba tafusiri ya ndoto hajakubwa choni