Asante pastor mm nimeota nikiwa ziwan navuka baada ya hapo nguo zangu zikandondoka alafu nikaziludisha after hapo zikawnda tena zikawa kama zimeanikwa kwenye mchanga
Pastor niliota niko namtoto wangu tulikuwa sehem ambayo siijui tukakuta ngazi nyingi alafu zavyuma tukaanza kuzipanda huku nimemushika mkono mtoto wangu baada ya kufika juu kabisa tukakuta tena. Zngine zakushuka tukaanza kushuka tena kwa chini tukakuta nyumba nzuru sana wameweka kila aina ya mapambo hadi tutaa twakuwaka kama tumauwa tuna langi nyingi sana napalikuwa watu wengi sana wali kuwa wamefungulia mziki ila siku juwa ni mziki. Gani ila palichangamka sana sijui mana yake pastor
Nimeota nalazimishwa nirudie kidato Cha nne na nilipita vizuri nakubadiliana nao lakini ninapotaka kukalia mtihani 🦎 lizard ananirukia ninashtuka nakaata kurudia kidato Cha nne
Pastor nimeota kuna mubaba flani alikua anang'ang'ana na kutaka kulala na mm, but hakufaulu nilimsukuma huko thn kufungua mlango watoto wake wakamuona akiwa hana nguo walikua hapo mlangoni hadi wakashituka inamaanisha nini mchungaji
miaka mitaku iropita niliota nimevaa nguo nyeupe ambayo IPO kama shela watati nilipo kuwa natembea ilingia doa nikamza kulifuta mpaka Nika sutuka kwenye usingizi
Niliota nimeenda kwa mume wangu tulieachana lakn nikiwa na maisha magumu sana na sikumuona yy nikawa naona mke wake na watoto wake ila akanisimanga pia ndoto ikajirudia rudia na aitok kichwani nn maana yake
Niliota simba wawili majike, nikaanza kuokoa watoto wa jirani ili wasiliwe, na simba, mara nikaona simba wananiogopa wakakimbia wale watoto nikawapa, chakula,
Nimeota mtoto wangu anapewa nguo mpya ni mfano wa suti ni rangi ya buruu na ina misitari mweupe pia ni sare nguo za ndani afu pea mbiri nisaidie mtumishi
Kuna rafikiangu, mwanamke, nilimuota kanipeleka kwenye, kaburi akaniambia nisujudu , kwenye hilo kaburi, akaniambia usipo sujudu, utapata madhara, nikakataa, nikaanza kukeamea, katika jina la Yesu, nikaamka usingizini, myiaka tano sasa huyo rafikiangu, hanipendi tena hata simu hanipigii
Nikweli pasta ata kama Sina chochote aniambia nikologee ata uji usiyo kuwa na chochote nina watoto watano ila uyu wa mwez wa tatu Yuko tofaut sana na awa wengine
nimeota Kuna mtu amekufa mzee. ila watu wanajiandaa kwenda mochwari ila nguo za kumvisha zilipoletwa nikaona ni chafu sana nikaanza kuwaambia hakuna nguo zingine? Au zifuliwe? nikashituka
Hello rev praise God usiku wa kuamka leo niliota nmeletewa gari aina ya vitz KCJ ya lemon green sasa nlikuwa nashangaa ntaambia wadosi gari imetoka wapi na inekuwaje nkanunua nkaamka
Asante sana pastor ubarikiwe
Napokea kwa jina la yesu
Asante pastor mm nimeota nikiwa ziwan navuka baada ya hapo nguo zangu zikandondoka alafu nikaziludisha after hapo zikawnda tena zikawa kama zimeanikwa kwenye mchanga
Asante sana pastor
Amin
Ameen, bwana amenivunja miguu
Amen amen barikiwa Sana mtumishi
Amen Amen ,🙏ubarikiwe sana pastor
Amen
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏
Kweli kabisa baba mm nipo hvo ubariwe Mungu azidi kukubariki zaidi
Napokea, katika Jina,la YESU AMEEN AMEEN🙏🙏🙏🙏
Ameeen mtumishi
Amen baba and amen i receive it
Shalom pastor?ningependa tena kujua ukiota na jembe lipo pembezoni mwa mlango..
Unaeeweka vizuri
Ombi langu kwa Mungu, NATAKA NIKUJUE NIKUFAHAMU BWANA MOYO WATAMANI NIKUJE.
Amen
Nikweli pastor Mimi Niko Ivo kabisa mpaka watu ua wananishangaa
Amina
Amen nimepokea kuanika nguo na kufua🙏🙏
Ameeeeen
Mimi ni wa August ila nina tabia hizo
Shaloon Mtumishi? Mama ameota amefua nguo nyeupe na kuanua na kunvisha mtoto lile gauni na kwenda kanisani
Pastor niliota niko namtoto wangu tulikuwa sehem ambayo siijui tukakuta ngazi nyingi alafu zavyuma tukaanza kuzipanda huku nimemushika mkono mtoto wangu baada ya kufika juu kabisa tukakuta tena. Zngine zakushuka tukaanza kushuka tena kwa chini tukakuta nyumba nzuru sana wameweka kila aina ya mapambo hadi tutaa twakuwaka kama tumauwa tuna langi nyingi sana napalikuwa watu wengi sana wali kuwa wamefungulia mziki ila siku juwa ni mziki. Gani ila palichangamka sana sijui mana yake pastor
Baba ubarikiwe sana hebu tueleze na watu wa mwezi wa saba!
Nimeota nalazimishwa nirudie kidato Cha nne na nilipita vizuri nakubadiliana nao lakini ninapotaka kukalia mtihani 🦎 lizard ananirukia ninashtuka nakaata kurudia kidato Cha nne
Pastor nimeota kuna mubaba flani alikua anang'ang'ana na kutaka kulala na mm, but hakufaulu nilimsukuma huko thn kufungua mlango watoto wake wakamuona akiwa hana nguo walikua hapo mlangoni hadi wakashituka inamaanisha nini mchungaji
Amen🙏🙏🙏🙏
Kweli kabisa baba na mm ndo nilivo hivo hivo
Ameen.
nimeota nikifika na kuzianika zile nguo zote
miaka mitaku iropita niliota nimevaa nguo nyeupe ambayo IPO kama shela watati nilipo kuwa natembea ilingia doa nikamza kulifuta mpaka Nika sutuka kwenye usingizi
Ameen
Amen amen 🙏🙏
Kuota unaanua nguo ina maana gani?
Mimi nimeota naanua nguo zangu katika kamba na nikamuona mchungaji akinisaidia kuanua nguo hizo
Kweli pastor iyo yote ni tabia yangu
Kwa jina naitwa zamzam
Mimi nimzaliwa wa kwanza
Mimi nimeota mzee kikongwe maana yake nini mchungaji
Unayo yasema ni kweli
Kweli mtumishi mimi niko ivo
pastor niliota nikianua manguo
Jana niliota nafua nguo ya white na blue nilipomaliza kufua nikaona nazianika kwa kamba
Ni ukweli mtoto wangu hanaga kikubwa na kidogo upeana tu hata kama sio chake
Amina
Amen in Jesus name
Niliota nimeenda kwa mume wangu tulieachana lakn nikiwa na maisha magumu sana na sikumuona yy nikawa naona mke wake na watoto wake ila akanisimanga pia ndoto ikajirudia rudia na aitok kichwani nn maana yake
Unaonywa Kuwa ni wewe Una weza kufanya maisha yako Kuwa mazuri Kwa kusahau yaliyo pita na kuanza maisha mapya. Ukirudi nyumba utapatana na madharau
Mimi niliota nimefua nguo na ninasianua nikipanga kwa carpinet
Sem too me
'Mm.niliota.nmefuwa.nimeanika
Niliota simba wawili majike, nikaanza kuokoa watoto wa jirani ili wasiliwe, na simba, mara nikaona simba wananiogopa wakakimbia wale watoto nikawapa, chakula,
Nimeota mtoto wangu anapewa nguo mpya ni mfano wa suti ni rangi ya buruu na ina misitari mweupe pia ni sare nguo za ndani afu pea mbiri nisaidie mtumishi
Na hkiota navulia nguo kwa mto inamaanisha nn
Haki mtumishi mtoto wangu jack yuko hivyo unaongea ukweli
Mtumishi mimi niliota nafua afu kuna mtu akaja kunisaidia kifua
Kuna rafikiangu, mwanamke, nilimuota kanipeleka kwenye, kaburi akaniambia nisujudu , kwenye hilo kaburi, akaniambia usipo sujudu, utapata madhara, nikakataa, nikaanza kukeamea, katika jina la Yesu, nikaamka usingizini, myiaka tano sasa huyo rafikiangu, hanipendi tena hata simu hanipigii
Ameeeeeeen
Mimi nimeota nafua nguo za kiume suluali nyigi na mashert pamoja na mashuka alaf nikazianika hi Ina maana gani
Nikweli pasta ata kama Sina chochote aniambia nikologee ata uji usiyo kuwa na chochote nina watoto watano ila uyu wa mwez wa tatu Yuko tofaut sana na awa wengine
nimeota Kuna mtu amekufa mzee. ila watu wanajiandaa kwenda mochwari ila nguo za kumvisha zilipoletwa nikaona ni chafu sana nikaanza kuwaambia hakuna nguo zingine? Au zifuliwe? nikashituka
Ukiota unateka maji kisimani na kuingiza ndani na pia ukiota ndoto unaanua nguo aina koti la mchumba wangu
Nimeota nikiosha nguo za president wetu
Nimeota naanua nguo
Tafadhali pastor nisaidie nijue hio mdoto inamaanisha nn
Pasta niliota nipo kwenye way wa sinyenge nimelala na watoto wangu akaja simba kuzingila pale na kuwakamat watoto wangu nikapambsna nae akakimbia
Hello rev praise God usiku wa kuamka leo niliota nmeletewa gari aina ya vitz KCJ ya lemon green sasa nlikuwa nashangaa ntaambia wadosi gari imetoka wapi na inekuwaje nkanunua nkaamka
Je ukiota unafanya mapenzi kwenye ndoto hii Ina maana gan
Ukona jini mahaba ama ni roho ya spiritual father's
Ukiota mtu akipima nguo yako inamaanisha nini
Anataka kuiga maisha yako
Niliota naanika nguo za ndani chumbani kwa baba ambaye ameshakuf
Kuota unaanuwa ńguo
Ukiota.unakula.udongo.au.umebebw.kwanye.gali.namtu.mnaye.fayanaye.kazi
Niloota nafua nguo
Nimeota nikifua nguo za mtu mwingine 😢
Nimeota naanika nguo et nini maama yake
Uki ota una anika nguo kwa kamba
Nanikaota.nawaona.ndugu.zangu.wamefaa.sare.mm.sijavaa...hiyo.sareee.inamaana.gan.baba
niliota nimevunja mnala wa wachawi
Nikaota simba anakoloma navo msogelea anakimbia
Pasta niliota Niko munadani nikinunua nguo zamtumba Kisha nikazifua Nani kaondok nazo nyumbani
Je tafasili yandoto yangu Nini
Amen
Amin🙏🙏
Amen
Amen