UKIOTA UNAKOJOA NDOTONI | NUKTA 27 ZA NDOTO NA TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • UKIOTA UNAKOJOA NDOTONI | NUKTA 27 ZA NDOTO NA TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
    #MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NdotoKukojoa

Комментарии • 126

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +12

    Assalamu alakum yaa sheykh
    mashallah mashallah
    shukran namuomba allah akuzidishie nuur kifuani mwako pamoja na familia yako na akuhifadhini wote amiin amiin

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 года назад

      Waalaykum salaam warahmatu llaah wabarakatuh. amina yaarabiy. amina yaarabiy. amina yaarabiy.
      naewe pia allaah akuzidishie yalokua mazuri hapa duniani na akhera inshallaah

    • @yusrahmachano6741
      @yusrahmachano6741 4 года назад

      A/Asalàm Alaykum SJEIKH MMI NIIMEOTA NAJISAAIDIA NDANI YA GARI NA NIMESHUSHA KANZU KUJJISTIRI MAANA YAKE NINI?

    • @TessaTz
      @TessaTz 11 месяцев назад

      Mm nimeota nimejikojolea

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +3

    Shukran sheykh
    Jee ukiota unakojowa ndani ya nyumba na watu wapo wanakuona yaani hicho choo ni kama shimo hiv ila kimejengwa halafu lina uwazi mkubwa kama wa chemba vile upana wake

  • @hawashabani7896
    @hawashabani7896 3 года назад +2

    Asalaam aleykum,mashallah Allah akizidishie elimu zaidi na akijaalie yaliyo mema hapa duniani na kesho akhera inshallah,

  • @ummusuleiman9404
    @ummusuleiman9404 4 года назад +2

    Assalaam aleykum,shekhe Allah akuzidishie eilim pana, mtu akiota anapika samaki na mboga za majani

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +1

    Assalamu alaykum sheykh
    Jee ukiota unakula chakula sahani.moja na sheykh jer inamasns gani

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 года назад

      waalaykum salaam warahmatu llaah wabarakatuh
      hiyo inakujulisha kupata elimu kubwa maishani na utakua maarufu kwa elimu yako

  • @MwajumaOmary-v1r
    @MwajumaOmary-v1r Год назад +1

    Asalamualeykum shekhe ukiotaunakojoanaukakojoa nakukishtukaunakuta umekojoakweli dawayakeni ipi

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 4 года назад +5

    Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.shukran sana Allah barik.

  • @swafiaabdalla3897
    @swafiaabdalla3897 Год назад +3

    A.aleikm sheikh,mimi nimeota nakojowa lakini sijui wapi najisaidia nikajikuta nakojowa kitandani, ndio nikaamka nusu nikamalizia chooni

    • @lee-qo9ne
      @lee-qo9ne 7 месяцев назад

      hello umepata majibu na dawa ya ii ndoto?

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق Год назад

    Asante sana sheikhe

  • @cuteree1729
    @cuteree1729 2 года назад

    Assalam alaykum warrahmatullah wabarakatuh shekh ukiota unajsdia haja ndg chooni na wakt wa kujisadia umechutuma swa saw n bint mwenzk jee inaman ngni

  • @mwanaidyibrahimu8861
    @mwanaidyibrahimu8861 4 года назад +3

    Waalykum salaam warhmatulah wabarakatuh

  • @NajmaWendo
    @NajmaWendo Месяц назад

    Asalamu alaikum Na ukiota unakojoa kitandani Na usikojoe ugututuke usingizin inamaana gani

  • @sireliabasiimwe5826
    @sireliabasiimwe5826 4 года назад +3

    Well Done Sir, Am In Somalia I Request You To Interpret Ma Dream, Yesterday I Received A dream In Night Hours When I Was With My Fellows Walking A Leafhopper Jumped To My Head Three Times, It Wanted To Go My Fellow Dodged It Then It Came Back And To My Head And Tried Go To One Again It Fails And Come Back To My Head. Sir What Does It Mean?

  • @MwajumaMrisho-mw1pr
    @MwajumaMrisho-mw1pr Год назад

    Assalam alaikum ikiwa m2 ameota anajisaidia haja ndogo haliyakuwa Yuko kwenye mzunguko wa hedhi.
    Na anajisaidia nj'e kwenye mchanga.

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +1

    Waalaykumussalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @sisterttrouble4331
    @sisterttrouble4331 4 года назад +1

    Asante

  • @ashurar2721
    @ashurar2721 4 года назад +3

    Balaka llahu fiki

  • @ameenabh3327
    @ameenabh3327 4 года назад +1

    Warahmatullah wabarakatu

  • @hajraernest1562
    @hajraernest1562 3 года назад

    Asalam alykum, nimeota "nimelala ndotoni na mumewangu shuka moja likawa limeloa mkojo sehem 2 lakini kidogokidogo"

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +1

    Amiina yaarabbi

  • @fatmamussa5353
    @fatmamussa5353 2 года назад

    Assalam alaykum vipi hali sheikh mie naota nakojoa chooni nikishtuka najikuta kitandani kumeroa

  • @hawashabani7896
    @hawashabani7896 3 года назад +4

    Asalaam aleykum,Shekh na mtu akiota anaona matundu ya choo na anajisaidia je njozi hii yamaanisha nn

    • @ramadragon
      @ramadragon Год назад

      HYO NIMICHONGO YA KAZI ZINAKUANDAMA

  • @sakinabakari9813
    @sakinabakari9813 4 года назад

    Shehe mm sikuota ila mwenzangu aliniota nimekojoa sana hadi kitanda chake kikalowa kisha nikamwambia kuwa alete maji animwagie ili aokoe maisha yangu na akaniona eti kweli hali yangu inabadilika kisha akakimbia kuleta maji akanimwagia kisha nikarejea ktk hali yangu

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق Год назад

    Allahumma Amiiin yarab

  • @asiakibali1253
    @asiakibali1253 3 года назад

    Allah humaa amiina

  • @mariamnyadzua6185
    @mariamnyadzua6185 3 года назад

    Assalam aleikum sheik,m huota nakojoa n sehemu ni hiyohiyo kila nkiota

  • @salimosalimizyimo
    @salimosalimizyimo Год назад

    Mbali na kua sijui kuandika kiswaili vizuri, lakini na kielewa vizuri sana kuasababu Mimi sio ntanzania , shekh , Mimi Nina suali, Ivi okiota unajisahidia kuenye utupu wa mwananke usiye mjua???, Mimi ni 🇲🇿

  • @athumanimihayo7100
    @athumanimihayo7100 10 месяцев назад +1

    Mihirabu siyo wote wanajuwa ongea Kila mmoja akuelewe

  • @stamilinsogolwa6979
    @stamilinsogolwa6979 3 года назад

    Subhanallah

  • @fatumamwaveso247
    @fatumamwaveso247 3 года назад +2

    Assalam alaykum ostadh, nn maan ya mihrabu

    • @hubbyemmanuel3267
      @hubbyemmanuel3267 3 года назад

      Halijibug msg hum hili

    • @fatumamwaveso247
      @fatumamwaveso247 3 года назад

      @@hubbyemmanuel3267 yan acha tu kaka anaomgea vtu ambavy sisi wengin nimafumb madrasa tumesom lakin hatuwez jua yot inawez kua mtu umeot Hy mihrab alaf hujui Kam ndio Hy akikaa kmy cjui anamaanish nn😭

    • @nyamwinukankwera3749
      @nyamwinukankwera3749 2 года назад

      @@hubbyemmanuel3267 Hahaha

    • @AlissaHussei
      @AlissaHussei 11 месяцев назад

      Mimbari ya imamu

  • @ااجج-ط5د
    @ااجج-ط5د 4 года назад +2

    Waalykum sallaam warahmatullahi wabarakatuh shukuran

  • @selemannassor7605
    @selemannassor7605 4 года назад +2

    Assalam alaykum shekh ila muda mwengine ukiota unatoa haja ndogo muda mwengine unakua unatoa kwel ukiamka ushajikojolea😀

  • @tinaagnes2301
    @tinaagnes2301 2 года назад

    Asalam alykum... Mimi Leo nimeona nakojoa mikojo mingi Sana na haiishi mpaka mwenzangu akawa yuataka kuoga nikamwamba njoo uoge mmi bado nakojoa.. Gafla nkashtuka nikajipata nakojoa kitandani nikatoka mbio huku mikojo ikimwagika kitandani... Inaashiria nini

  • @elinazakyoma9898
    @elinazakyoma9898 3 года назад

    Asamu aleikum nimeota namuona mwamke atoka akandogo

  • @shufaamakame5839
    @shufaamakame5839 2 года назад

    Asalamu aleykum
    Shekh nimeota mdogo wngu wa kike anajisaidia sehemu ilokuwa sio sahohi kw kujisIdia afu hpa hapo akatokea mume wangu ela yule mume hajaniona mm kama nipo pembeni nikamuona mume wangu akicheke na mdogo wangu kimatani huku akizishikilia sehemu zake za siri bila kuzitowa akazitikisa
    Jeee nini maana ya ndoto hiyo tafadhwal

  • @zenahhussein9318
    @zenahhussein9318 3 года назад

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh.ukiota unakojoa mlangoni Kisha ukagundua Kuna watoto wanakuona Na mmoja yupo amechutama zizini yuamkama ng'ombe maziwa .Ina maanisha Nini?

  • @jamilaadamu5503
    @jamilaadamu5503 2 года назад

    Me nimeota watu wengi walikuwa sehemu moja wanajisaidia haja ndogo kwenye michanga Tena ikawa inatoka nying sana mpk zikachanganyikana zote hii inamana gan

  • @pilimlenge1289
    @pilimlenge1289 Год назад

    Asalam alyk sheikh mm nmeota haja ndogo ndani mwangu nilpo maliza nikaifuta nn maana yake?

  • @nailatanzania7376
    @nailatanzania7376 4 года назад +2

    Walaikum msalam warahmatullah wabarakatul
    Je ukiota upo shule na ushamaliza kama miaka 10 iliyopita nn maana yake

    • @mtumwamtoo3199
      @mtumwamtoo3199 4 года назад

      Unarudishwa nyuma kimaendeleo na wachawi

    • @sweetmeena5970
      @sweetmeena5970 3 года назад

      @@mtumwamtoo3199 mimi naiota sana yani kila mwezi lazima niote mara moja au mbili nipo darasani yani nimechoka kweli

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 4 года назад

    Aslm alkm jehukiota unakojoa ndani ya nyumba chumbani na umeinua godoro na hiyo haja ndogo inatoka ndefu

  • @princessattush1145
    @princessattush1145 3 года назад

    Asalam aleykum shekh.. Nauliza jee mtu akiota yuwakojoa chooni.. Ila Choo hicho kimejaa haja kubwaa hadi yuwaiona

  • @leydaihal9332
    @leydaihal9332 Год назад

    Naomba unizaidie mm nimeota ninabanwa na mkoja Ghafla huo mkojo ukatoka nikadani hakuna m2 alieniina kumbe kuna kijana ameniona akaniambia kuwa ameniona nikaibika sana na huyo kijana walikuwa ni wa nyumbani kwetu alikuwa yy na dadake
    Kisha tukalala na dadake pia nikakojoa kwa kitanda nikawa na aibu kubwa sana 😢😢😢

  • @teresiakaluki7988
    @teresiakaluki7988 2 года назад

    Niliota na osha kijana wangu na mgojo wangu kichwani

  • @mwanakombokingi4967
    @mwanakombokingi4967 2 года назад

    Asalam, alaykum, warahamatullah,je,kwamfano,nimelala,nikamuota,baba,mzazi,nimgonjwa,aliyakua,amefariki,,,nababu,wakukulea,,amekuja,aliyakua,amefariki,pia

  • @dab8859
    @dab8859 4 года назад +1

    Asalam alaykum shekhe naulza mihrabu nn

    • @WachajiWaForo
      @WachajiWaForo 3 года назад

      Namimi nataka kujua Nini maana ya mihrab

    • @AlissaHussei
      @AlissaHussei 11 месяцев назад

      Kwenye mimbari ya imamu

  • @محمدسالم-ظ2ف
    @محمدسالم-ظ2ف 3 года назад

    shukurani , Na jee ukiota mtoto kakukojolea mwili mzima, inamaa gani

  • @magrethadam9467
    @magrethadam9467 11 месяцев назад

    Sheikh samahani mie nimeota najisaidia haja ndogo lakin pamoja na watoto wangu wawili wakike hii itakua na tafsiri gani ila wakat huyu mtoto mdogo wakati anakojoa yeye alikua analia mno

  • @ashahussein2734
    @ashahussein2734 2 года назад

    Shiekh mi nishaota najisaidiya haja ndogo na Nimeolewa Maana yake Nini?

  • @smsalama6540
    @smsalama6540 4 года назад

    Shekhe mm nimeota nimempakata mtot wa kiume uku akiwa ananikojolea

  • @kidotitv5527
    @kidotitv5527 2 года назад

    Mm nimeota mwenzangu anakojoa chini lkn namm mkojo wake ukanimwagikia mkonon kwangu wa kulia, nn maana yke shekh

  • @MargaretKabibi
    @MargaretKabibi 6 месяцев назад

    Nimeota nakojoa kitandani😊

  • @zayoumaus8235
    @zayoumaus8235 4 года назад

    Asalam Alleykum warahma tullah Wabarakatu sheikh
    Vipi ukiota kua umetumbukia kwenye shimo la choo alafu ikawa kuna watu wakusaidia kutoka kwenye shimo hilo

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 4 года назад

    Aslkm she.tufafanulie vizuri mtu akiota ni ndoto mbili.kujisaidia kwenye kitanda na chooni.lkn sio vitu unavyouza kweli labda lkn sizani

  • @joharishabani8452
    @joharishabani8452 3 года назад

    Asalamwa laiku shehe nimeota mtoto wangu kajikojolaa nini maana yake

  • @marionnthenya6182
    @marionnthenya6182 7 месяцев назад +1

    Nini maana ya kuota umevalia vazi la gunia

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 2 месяца назад

    Nimeota najisaidia haja ndogo nyingi sana ila jikoni je Ina maana gani hiyo ndoto shekhe

  • @jumamwilola3341
    @jumamwilola3341 2 года назад

    Milihabu ndio nini?

  • @mafundaomarmakame8795
    @mafundaomarmakame8795 4 года назад

    As alaykum sheikh, mtu akipta anajisaodia jhaja ndogo katika choo ila ni maeneo ya kazini kwake je?

  • @halimagumbo7208
    @halimagumbo7208 2 года назад

    Shekhe nime ota mwana mke mtumzima anaji saidia kwenye unga

  • @osinyoruth2769
    @osinyoruth2769 Год назад

    Kukojoa kwenye bahari

  • @josephinenasimiyu2887
    @josephinenasimiyu2887 7 месяцев назад

    Kuota unaona . Mwanaume anakojoa

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 9 месяцев назад

    Mimi nimeota na kojoa sebleni

  • @zolle2200
    @zolle2200 11 месяцев назад

    Mihirabu nini shekhe

    • @zolle2200
      @zolle2200 11 месяцев назад

      mihirabu ni nini sijaelewa

  • @swafiaabdalla3897
    @swafiaabdalla3897 Год назад

    Je tafsiri yake ni vipi ?

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 3 года назад

    Kuota umesimama unkojoa mkojo kwenye shimo lililojaa haja kubwa kwa maana chooni alafu unamilza unalala hapo hapo

  • @muniranassor9015
    @muniranassor9015 2 года назад

    Sheikh uwe unatafsiri hayo maneno ya kiarabu. Mfano umesema mihrab ila sijaelewa

  • @FatmaTalib-eb9ex
    @FatmaTalib-eb9ex 10 месяцев назад

    Shekhe ukiota umekunya yai na ww ni mwanamke,ina maana gani

  • @KisubiLesage-z9g
    @KisubiLesage-z9g 2 месяца назад

    Lakini Ukiwa ni wanamuke anajisaidia ajandogo na ni damu

  • @asianurdin871
    @asianurdin871 2 года назад

    Mihrabe maan yak nnn

  • @veronicapeter1269
    @veronicapeter1269 Год назад

    Mimi nimeota jirani Yangu kakojolea kibakuli changu ,chombo cha Kulia nini maana yake

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 3 года назад

    Mh kweli ndoto ya kukojoa nyoka au samaki sizani kama ipo

  • @SaidKhalifa-mh5cn
    @SaidKhalifa-mh5cn 4 месяца назад

    Shekhe nimeota mtu kanikojolea mkojo njian nn maana yake

  • @khuzaimathussein2813
    @khuzaimathussein2813 4 года назад

    Shehe me nimeota mtoto anakojoa lakini mikojo ikanirukia nikamwambia anitie maji aliponitya mikojo

  • @menginasma1479
    @menginasma1479 2 года назад

    me niliota nimekojoa lkn nikaamka nimekojoa kwel kwenye godoro nn maana yake hii

  • @aminashabani9893
    @aminashabani9893 Год назад

    Ukiot unakojoa kitandan usingizini maana yake nini

  • @tausiathumani9408
    @tausiathumani9408 2 года назад

    Je ukiota umemaliza Yani umepizi na unajikuta umepizi kweli maana yake nini

    • @ramadragon
      @ramadragon Год назад

      maana yake ww nikikojozi

  • @piterkosimasi6348
    @piterkosimasi6348 4 года назад

    D

  • @robertnyelele9896
    @robertnyelele9896 2 года назад

    Shehe ukiota kanisa manaake nin

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 года назад +2

    Ha ha ha kumbeee Nukta ya 13😁😁😁

  • @zakiaisangyo804
    @zakiaisangyo804 4 года назад

    Naje ukiota unaokotahela

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад

    Nini ni maana yake

  • @magaombwana9397
    @magaombwana9397 Год назад

    Mini maanayakumuota mtu amelewa pombe

  • @mamsmariam6670
    @mamsmariam6670 3 года назад

    Ukiota farasi amekufa alafu akafufuka ametiwa roho yake

  • @فاطمهكينيا-ق4س
    @فاطمهكينيا-ق4س 4 года назад

    Je ukiota wafanya aja ndogo jaani

    • @anwardamnan3616
      @anwardamnan3616 4 года назад

      Sheikh pole watowa tafsiri ya ndoto. .lakini muhimu utowe dalil katika quraan tukufu au hadith za mtume Sallah Allahu Allehi Wasalam..Shukran

    • @batulimwammed2979
      @batulimwammed2979 4 года назад

      Assalam alyekum mimi nmeota naendesha baskeli huku nibeba maziwa freshi napita sehem ambayo ina majimaji hapohapo mkojo ukanibana nikakojoa sehem kavile bafuni

  • @piterkosimasi6348
    @piterkosimasi6348 4 года назад

    D