Ndoto Ya Ng'ombe, Tafsiri Zake Ni Hizi - Shekh khamis Suleyman
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- #Masjid Mtoro Online Tv.
Maisha Ya Mwanaadamu Yametawaliwa Na Ndoto. Na Ndani Ya Ndoto Hizo Kuna Uhalisia Wa Maisha Yetu Zaidi Ya %70. Tunafanyaje Ili Tuweze Kuupata Uhalisia Kamili Juu Ya Tafsiri Za Ndoto Zetu Kukamilisha Tukiotacho Au Kujiepusha Nacho Tukiotacho. Fuatana Na Sheikh Khamis Suleymani Ndani Ya Nyumba Salama Masjid Mtoro Online Tv
Mashallah ❤️ Tabaraka RRahman nice 👍🤗 Alhamduli llah 🙏 tank you so much
Alhamdulillah nimeota ng’ombe wanene weusi wanakula chakula alaf kuna bucha mbemben nilikuwa nataka kufanya manunuzi nn maana yake
Asante ubarikiwe
Shukran
Asalam aalykum wa rahmatullah wa barakatuh
Asanye shekhe kutufafanulia inshalah
Shukran jazzakalkahu lkheir sheikh
Shukran
Ukiota n'gombe anakukimbiza maana yake nini?
@@fatumamgonja1060 Njoo WhatsApp
+255758678552
Masha Ulahi
Shukran sana......ngo'mbe nyingi zimekufa ni mahana gani
Njoo WahatsApp
+255765893020
@@nyumbayatibanadua737ngombe anakufkuza maanake ni?
Mashaa Allaah
Asalam aleykum,ukiota unamwona ngombe anazaa manake nini?
Mashallah! Mimi awali nilipenda kuwota ngombe mnono Bali wakati tu nikimwona basi hapo ni kutimwa mbio. Na ye kunikimbiza kwa vishindo vikubwa, so kila nimwonapo ngombe basi nifumuwe mbio nYo hurudia Mara kwa mara
Hata mie jamani ngombe wanene warefu huwa ananikimbiza hata nikiota ngombe ni mbio tuu
Ni follow
Asslm alykum sheikh,,,,je ukiota ng'ombe anakufukuza kwa hasira,,
Njoo WahatsApp
+255765893020
Shekh tunaomba ujue tofauti kati ya njozi na ndoto katika lugha ya kiswahili,,hii unazozisimulia ni ndoto sio njozi
Mimi pia sijui kutofautisha naomba msaada tafadhali!
Me ustaz nimeota ngombe mweus namadoa meup na mwekundu wakiwa wamekaa
Shekh nimeota Niko juu ya mlima n mbuzi wengi wako nyuma yangu wanifukuza chini yaani wamenikimbizaa chini ya mlima ......naomba maana take tafadhali
Mbuzi ninavyojua mm ni ishara ya maadui
@@haithamhassan4139 hujakosea kabisa
Asalamu aleykum warhmatu-wahi-wabarakatu. Ostadhi niliota kwenye kiwanja changu kuna migombe hasa ela kuna vuwa na maji mengi nikaona wale ngo'mbe wanakanyaga kanyaga ile ardhi yakawa maji yale ya vua yakawa yanapita mule wale ng'ombe wanamo kanyaga ikawa km kunachimbika nikasema mchanga wangu si utaondika jmni😥
Afu na siku nyengine nikamuona mwangu ana zizi la ng'ombe na mbuzi kashughulika mwanangu kuzowa vinyesi na kuwashughulikia ngo'mbe wale hd nikawa namuonea huruma vile anavyo walea wale ngo'mbe na mbuzi kwa upole na unyenyekevu na kupakaa vinyesi vya wanyama wale .basi nimeamka na huzuni sana kwa kumfikiria mwanangu
Je ukiota unakimbizwa na ng'ombe?
Iyo ndo tafsiri ninayoitaka
Asalam alaikum sheikh mm naota nakimbizwa na nkombe na kutaka kunidhuru tena naota mara nyingi zaidi ya siku tatu
Tuko sawa my
Mimi niliota n'gombe wawili mwekundu na mweusi mwenye madoa meusi ila katika matumbo yao yanatokea maandishi ya Qur'an
Aslm alykm naomba ukitafsiri tondo iende moja kwa mona hizo viswaa visiwe vingiii
Aslam alyum doctor me nimeota ngombe wengi kwenye zizi na marehemu baba yangu anawashuhulikia ngombe hao
Mi sheik nimeota nafukuzwa na ng'ombe nikamba juu ya mti
Na mm hivyohivyo mm nilipanda juu kabisa
Napenda nikuulize ya kwamba maana ya kuota unakunywa maziwa mgando.
Nimeota ng’ombe wa njano mnene sana kisha kazaa mtoto mweusi mwenye doa jeupe ina maana gani?
Asallm alkm shekhe ,nimeota nimemuona ng'ombe mweupe nn maana yake
Mm nimeota ndoto ya ng'ombe mnene mweusi na mweupe ila anachinjwa
Njoo WhatsApp
+255765893020
😢 Sheka kuna kitu sijahelewa niliota. Ng'ombe akiwa kwanyumba yangu but nikimukamuwa ata ki but nimukubwaa tena mweusi naomba kujua hinanishanini
Ostadh hiyo dua ntafanyaj ili uniombee manke nmeota nafukuzwa na ngo'mbe
W/salama warahamatu llaha wabarakatuhu
Tafasili ndoto kwanza acha maneno mengi
Assalam alykum, niliota ngombe aliedhoofika Sana na ugonjwa ikabidi ni mwite baba awahi kumchinja
Asalam alekum nimeota kwanza kaja mbunzi mweupe kawa nalia mlango kama anataka kufunguliwa mara tena namuona ngombe mkubwa mwenye madoa meusi na meupe kaingia ndani na yule mbuzi nae akafata ndani na wote wakawa wanaelekea chumbani kwangu
Daah Hadi unachoka kuangalia yaan hapa nshaforwad but cfikiinlengo
Kuota ngombe anakuya nibusu kwenye vidole vyamuguu Nikiwa juu yagari Alafu nikasogeza mguu djuu
Mm nineota wema ana ng'ombe amezaa watoto wengi
Jmn tumefanana kwa njozi
Ukiota ngombe wameibiwa je sheikh inatabiriwaje
mimi nimeota ng'ombe ananifukuza na akawa ananusa chini ili anipate ila hakunipata nikawa nimejificha nini maana ya hiyo ndoto
Mm nimeota nimeshika kamba ya ng'ombe lakini kamba ilikua mguu wa nyuma kwa yule mnyama akawa ananiburura lakini hali yakua ananivuta tunatembea ktoka kaskazini kuendea kusini uyo ng'ombe ni mwekundu nini maana yake naomba ufafanuzi
Jee kuota ng'ombe anakufukuza
Asalam aleykum.nimeota ng'ombe mweupe mpevu anapigiza kichwa China kwa uchungu akiwa amesimama
Mtu wa Mungu ungelezea kwanza maana ya kuota ngombe alafu ndio uelezee hayo
Punguza maneno mengi
Wananikera maneno kibao mb zinaisha tu
nimeota ng'ombe mweusi katokea ndani yabiashara yangu afu katokomea sijamuona Tena, ila hapohapo nikaota nyoka weusi mkubwa na mdogo wanapigana na mme wangu Hadi wakaingia kwenye frem ya biashara yangu
naomba nifafanulie
Nyoka weusi n uchawi mkubwa daa
Kuota natengeneza ingini ya gari ama motere yagari
Aslam elekhum Aki mimi niliota kwamba kwangu niliko toka wemeniliazimisha nichunge ng'ombe Na mimi Nika wambia hizo kazi za kulisha ng'ombe hawako Kwa contract yangu Naomba fafanuzi shekh
Kuota unakimbizwa na ng'ombe maana yake nini?
Maana yake una maadui
Asante kwa majibu nilikuwa hilo
@@washhjojo4840 asante kwa majibu nalijuwa hilo
Me nikiota nakimbizwa na ng'ombe nilazima ntapata msiba iyo maanake nini
@@phinakamugisha6074 ata Mimi tena ng'ombe mweusi anakimbiza mwanzo was ndoto adi mwisho kila ukijificha anakufata ukiamka umechoka, basi napata taarifa ya msiba
Mimi nimeota Kuna Ng'ombe amezaa ndama mzuuuri alafu doctor wa mifugo akamkumbatia yul ndama kwa furaha. Ghafla mimi nikaambiwa radhi zangu zimezuiliwa na mume wangu. Mimi bado cjaolewa! Maana yake Nini tafadhal.
Njoo WhatsApp:
+255758678552
Kama umeona ng'ombe wengiii sn weusi wanene inasemaje
Je ukiota ngombe ana watoto 6
Sasa shekhe mbona huweleki unachanganya mambo tele
Duh mm nimeota ngombe anajifungua kwa shida tena anasidiwa na watu
Je kuota ngombe anakukimbiza
Ukiota unakimbizwa na ngombe, maana yke n nn
Kwann hauwajibu watu kwenye comment
Mm nimeota ananisemesha ng'ombe
Shekh s/alykum nimeota nakimbizwa na ng'ombe wengi wanene wenye mapembe makubwa
Mm pia nimeota ivyo
Asalam alaykum jee ukiota huko.kwa ziwa la maji mana yake ninn sheikh
Njoo WhatsApp
+255758678552
sheikh nimeota ng'ombe madume wawili wekundu wanene wanapigana nin tafsiri ya ndoto hii tafadhali*??
Utapatamali nazitakuwanaugomvi
Mie Jana Nimeota Ngo'mbe Wanapigana Tafsiri Yake Nini? plz naombeni Jawabu
Kaz ipo
Salam alaikum shekhie.. niliota ng'ombe wawili weusi mmoja alikuwa anazaa na nikamsaidia.. alizaa ndama mweupe pee... Nini maana yake
mimi zaidi ya mara 3 naota nachinjwa mana yake nini pia naota kuna ng'ombe mdogo mwekundu uko mbele yangu nisaidie niielewe
Hujasema kukimbizwa na ng'ombe
Nenda kwenye pont sio Kila mtu anaelewa hivyo kuna wakilisto
Miminimeota tunafukuzwana N'gombe familia yangu
Ostadh mm nimeota ng'ombe langi ya kahawia ananiangalia kwa hasira Kama anataka kunikimbiza et ninu maana yake
Mmewangu kaota kapigwa pembe na ng'ombe af akatumbukizwa kwny mto
A aleikum Kama umeota Mtoto Wa ngombe mweusi amekata unafukuza Wataka kumshika kufunga Ndiyo nini maaana yake ?
Ukiota ngombe mnene kalala wa njano umwangie maji amke
Ukiota ng'ombe anakutisha na ukamnyooshea kidole na kumlaani kisha akapotea na watu wakakushukuru kwa kumuondosha ina maana gani?
kuota ngombe mweupe ndani ya shimo mweupe hiyo n nn?
Njoo WhatsApp
+255758678552
MTU anakimbzwa na ngmb man yake nn she he mar kukamuwa Mara nini tutafsirie hill bhanaa
Naukiota ng'ombe anakufukuza
ukiota unafukuzwa na ng'ombe maana yake ninini
Nimeota ngo'mbe weusi wawili wanapigana maana yake Nini hii shekhe..
Towa tafri la ndoto la kupiganishwa na mnyama mbuzi
Unazingua banaatutaki maubili twende kwenye mada
Duuh nlishawai kuota napigwa pembe na ng'ombe na ni kwl sina furaha ktk maisha yng
Njoo WhatsApp
+255758678552
Kuota ngombe ikiwa na mtu unayechumbiana naye nayo ina maana ngani shiekh ?
Punguza maongezi shekhe
Hassan Odoli
Kumuota ngombe mkubwa anakukimbiza naakakupiga pembe jee shekh maana yake nini
Mimi niliota nimepewa ngombe ndefu halaf naiuza tena
Shekhe kwann unamambo mengi sana?kua km mnajimu Kuluthumu anaenda moja kwa moja kwenye point.Ila wewe unaleta mambo mengi usome quran weee ila utambue hatujaja kusomewa Ruqya si tunatak kuckiliza tafsiri tu.
Dad hakuna mti usio na mizizi dadaangu usiwe mkali lazima aanze na mzizi kwanza ambae ni mung
Mm niliota nikikamwa ngombe maziwa mengi sana
Ila mna makasiriko Wana RUclips wengine tumeweka mb za.mia tano na tumekaa kwa kutulia tunasubiria qurani isomwe
Kuwa mpole acha makasiriko Kama huwez kusikiliza siuache nenda Chanel nyngne
Shekh, hebu elezea kwanza kuhusu ng'ombe nini maana yake.
Ng'ombe mweupe je
Mm nimeota mnyama anapaaa alivyolud akashika mtoto uku anapaaa nini maana yake shekh
Shekh umegeuza ngombe walokonda ndio walokula ng'ombe wanene
Mm nimeota nafuga ngombe nambozi mahana yake nn
Njoo WhatsApp.
+255758678552
Manayake utaongoza wengi na mengi na tofauti ktk sekta na maisha na kazi zako utaongoza na mafanikio yatazalikana mbali mbali yaani yatazidi n.k
Ileni kweli
Na vipi ukiota ngombe kajifungua ndama jike...ina maana gani
Stori sana
Ukiota Ng,ombe imezaa
Ukuota unaolewa na uko kwa ndoa tayari manake nini sheikh
Maana yake utaachika au utapata mitihani ktk ndoa yako ishuhulikie kabla l athar yaonekana kua umeolewa pahala kuna watu hawakutakii au wanachoyo nawewe
Ukiota ngombe mweupe anazaa maanake Nini mtumishi
Mwalimu tokea nizaliwe sijawa kuota
Nimeota ngombe anadonda kubwa mkiani
Shida ya Hawa maneno kibao kushinda mada halis
Shekh ukiota una mimba mana ake nn?
Utapata rizki kulengana na ukubwa wa mimba
Ukiota unachunga mangombe Kama 70 maana yake nini
Ni meota nikioga ngombe ikanichugulia ya maanisha nn
Nimeota Ng'ombe wanne nilikuwa natembea na Mama yangu Sasa mm naogopa Ng'ombe nikamuacha mama apite kwanza Mama akapita katikati ya wale Ng'ombe awajamfanya chochote na mm nikatipita pembeni yao
Mario nalembi yo 😂😂😂😂😂
Nimeota ng'ombe anawagonga watu
Ukiota unanunua Michele jeep umo ndani ya kipolo kidogo na kikubwa