Ndoto Ya Ng'ombe, Tafsiri Zake Ni Hizi - Shekh khamis Suleyman

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #Masjid Mtoro Online Tv.
    Maisha Ya Mwanaadamu Yametawaliwa Na Ndoto. Na Ndani Ya Ndoto Hizo Kuna Uhalisia Wa Maisha Yetu Zaidi Ya %70. Tunafanyaje Ili Tuweze Kuupata Uhalisia Kamili Juu Ya Tafsiri Za Ndoto Zetu Kukamilisha Tukiotacho Au Kujiepusha Nacho Tukiotacho. Fuatana Na Sheikh Khamis Suleymani Ndani Ya Nyumba Salama Masjid Mtoro Online Tv

Комментарии • 188

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 2 года назад +1

    Mashallah ❤️ Tabaraka RRahman nice 👍🤗 Alhamduli llah 🙏 tank you so much

  • @zabibuseleman2644
    @zabibuseleman2644 2 года назад +1

    Alhamdulillah nimeota ng’ombe wanene weusi wanakula chakula alaf kuna bucha mbemben nilikuwa nataka kufanya manunuzi nn maana yake

  • @ukhtyruqyah7860
    @ukhtyruqyah7860 4 года назад +1

    Asante ubarikiwe

  • @sarakuchanda9605
    @sarakuchanda9605 3 года назад +2

    Shukran

  • @NiyongaboIbrahim-ko2ju
    @NiyongaboIbrahim-ko2ju 4 месяца назад +1

    Asalam aalykum wa rahmatullah wa barakatuh

  • @nanaamandus9768
    @nanaamandus9768 2 года назад

    Asanye shekhe kutufafanulia inshalah

  • @muhinajuma7113
    @muhinajuma7113 4 года назад +3

    Shukran jazzakalkahu lkheir sheikh

  • @josephcharo1356
    @josephcharo1356 Год назад

    Masha Ulahi

  • @rizikisebe890
    @rizikisebe890 4 года назад +1

    Shukran sana......ngo'mbe nyingi zimekufa ni mahana gani

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 4 года назад +2

    Mashaa Allaah

    • @arafakwahayi5671
      @arafakwahayi5671 2 года назад

      Asalam aleykum,ukiota unamwona ngombe anazaa manake nini?

  • @yaqubalyaqub3964
    @yaqubalyaqub3964 4 года назад

    Mashallah! Mimi awali nilipenda kuwota ngombe mnono Bali wakati tu nikimwona basi hapo ni kutimwa mbio. Na ye kunikimbiza kwa vishindo vikubwa, so kila nimwonapo ngombe basi nifumuwe mbio nYo hurudia Mara kwa mara

  • @abdallamwinyikombo6557
    @abdallamwinyikombo6557 4 года назад +3

    Asslm alykum sheikh,,,,je ukiota ng'ombe anakufukuza kwa hasira,,

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 4 года назад +1

    Shekh tunaomba ujue tofauti kati ya njozi na ndoto katika lugha ya kiswahili,,hii unazozisimulia ni ndoto sio njozi

    • @ponsianasingo5348
      @ponsianasingo5348 4 года назад

      Mimi pia sijui kutofautisha naomba msaada tafadhali!

  • @ruqaiyyalema2945
    @ruqaiyyalema2945 4 года назад +2

    Me ustaz nimeota ngombe mweus namadoa meup na mwekundu wakiwa wamekaa

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 4 года назад +2

    Shekh nimeota Niko juu ya mlima n mbuzi wengi wako nyuma yangu wanifukuza chini yaani wamenikimbizaa chini ya mlima ......naomba maana take tafadhali

  • @shifamakame4622
    @shifamakame4622 3 года назад +2

    Asalamu aleykum warhmatu-wahi-wabarakatu. Ostadhi niliota kwenye kiwanja changu kuna migombe hasa ela kuna vuwa na maji mengi nikaona wale ngo'mbe wanakanyaga kanyaga ile ardhi yakawa maji yale ya vua yakawa yanapita mule wale ng'ombe wanamo kanyaga ikawa km kunachimbika nikasema mchanga wangu si utaondika jmni😥
    Afu na siku nyengine nikamuona mwangu ana zizi la ng'ombe na mbuzi kashughulika mwanangu kuzowa vinyesi na kuwashughulikia ngo'mbe wale hd nikawa namuonea huruma vile anavyo walea wale ngo'mbe na mbuzi kwa upole na unyenyekevu na kupakaa vinyesi vya wanyama wale .basi nimeamka na huzuni sana kwa kumfikiria mwanangu

  • @maryah4601
    @maryah4601 3 года назад +6

    Je ukiota unakimbizwa na ng'ombe?

  • @siphiwemathiso3302
    @siphiwemathiso3302 3 года назад +3

    Asalam alaikum sheikh mm naota nakimbizwa na nkombe na kutaka kunidhuru tena naota mara nyingi zaidi ya siku tatu

    • @dab8859
      @dab8859 3 года назад

      Tuko sawa my

  • @najmarajab3000
    @najmarajab3000 4 года назад +1

    Mimi niliota n'gombe wawili mwekundu na mweusi mwenye madoa meusi ila katika matumbo yao yanatokea maandishi ya Qur'an

  • @mrsally5583
    @mrsally5583 3 года назад

    Aslm alykm naomba ukitafsiri tondo iende moja kwa mona hizo viswaa visiwe vingiii

  • @mayasakhatibhajj787
    @mayasakhatibhajj787 8 месяцев назад

    Aslam alyum doctor me nimeota ngombe wengi kwenye zizi na marehemu baba yangu anawashuhulikia ngombe hao

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 2 года назад +1

    Mi sheik nimeota nafukuzwa na ng'ombe nikamba juu ya mti

    • @upendotv6267
      @upendotv6267 4 месяца назад

      Na mm hivyohivyo mm nilipanda juu kabisa

  • @NiyongaboIbrahim-ko2ju
    @NiyongaboIbrahim-ko2ju 4 месяца назад

    Napenda nikuulize ya kwamba maana ya kuota unakunywa maziwa mgando.

  • @teresiaelikana4981
    @teresiaelikana4981 4 года назад +2

    Nimeota ng’ombe wa njano mnene sana kisha kazaa mtoto mweusi mwenye doa jeupe ina maana gani?

  • @najmabozz2998
    @najmabozz2998 3 года назад +3

    Asallm alkm shekhe ,nimeota nimemuona ng'ombe mweupe nn maana yake

  • @madevunairah7820
    @madevunairah7820 4 года назад +4

    Mm nimeota ndoto ya ng'ombe mnene mweusi na mweupe ila anachinjwa

  • @mariammammy
    @mariammammy 11 месяцев назад

    😢 Sheka kuna kitu sijahelewa niliota. Ng'ombe akiwa kwanyumba yangu but nikimukamuwa ata ki but nimukubwaa tena mweusi naomba kujua hinanishanini

  • @AnethNtandu
    @AnethNtandu 2 месяца назад

    Ostadh hiyo dua ntafanyaj ili uniombee manke nmeota nafukuzwa na ngo'mbe

  • @laylisaid9563
    @laylisaid9563 4 года назад +2

    W/salama warahamatu llaha wabarakatuhu

  • @salimakida6294
    @salimakida6294 3 года назад

    Assalam alykum, niliota ngombe aliedhoofika Sana na ugonjwa ikabidi ni mwite baba awahi kumchinja

  • @soloo39
    @soloo39 3 месяца назад

    Asalam alekum nimeota kwanza kaja mbunzi mweupe kawa nalia mlango kama anataka kufunguliwa mara tena namuona ngombe mkubwa mwenye madoa meusi na meupe kaingia ndani na yule mbuzi nae akafata ndani na wote wakawa wanaelekea chumbani kwangu

  • @maninisamwel8657
    @maninisamwel8657 3 года назад

    Daah Hadi unachoka kuangalia yaan hapa nshaforwad but cfikiinlengo

  • @RAMAZANIBAZIRA
    @RAMAZANIBAZIRA 11 дней назад

    Kuota ngombe anakuya nibusu kwenye vidole vyamuguu Nikiwa juu yagari Alafu nikasogeza mguu djuu

  • @anithaherman7260
    @anithaherman7260 3 года назад +1

    Mm nineota wema ana ng'ombe amezaa watoto wengi

  • @paskalimussa7638
    @paskalimussa7638 3 года назад +1

    Ukiota ngombe wameibiwa je sheikh inatabiriwaje

  • @saidjasmin3796
    @saidjasmin3796 2 года назад +1

    mimi nimeota ng'ombe ananifukuza na akawa ananusa chini ili anipate ila hakunipata nikawa nimejificha nini maana ya hiyo ndoto

  • @khamisramadhan9180
    @khamisramadhan9180 4 года назад +2

    Mm nimeota nimeshika kamba ya ng'ombe lakini kamba ilikua mguu wa nyuma kwa yule mnyama akawa ananiburura lakini hali yakua ananivuta tunatembea ktoka kaskazini kuendea kusini uyo ng'ombe ni mwekundu nini maana yake naomba ufafanuzi

  • @najmanidengo4466
    @najmanidengo4466 4 года назад +12

    Jee kuota ng'ombe anakufukuza

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 2 года назад

    Asalam aleykum.nimeota ng'ombe mweupe mpevu anapigiza kichwa China kwa uchungu akiwa amesimama

  • @agapesoka94
    @agapesoka94 4 года назад +2

    Mtu wa Mungu ungelezea kwanza maana ya kuota ngombe alafu ndio uelezee hayo

  • @naomilucas3229
    @naomilucas3229 4 года назад

    nimeota ng'ombe mweusi katokea ndani yabiashara yangu afu katokomea sijamuona Tena, ila hapohapo nikaota nyoka weusi mkubwa na mdogo wanapigana na mme wangu Hadi wakaingia kwenye frem ya biashara yangu

    • @naomilucas3229
      @naomilucas3229 4 года назад

      naomba nifafanulie

    • @dab8859
      @dab8859 3 года назад

      Nyoka weusi n uchawi mkubwa daa

  • @RAMAZANIBAZIRA
    @RAMAZANIBAZIRA 11 дней назад

    Kuota natengeneza ingini ya gari ama motere yagari

  • @kahadijachiriswa
    @kahadijachiriswa Год назад

    Aslam elekhum Aki mimi niliota kwamba kwangu niliko toka wemeniliazimisha nichunge ng'ombe Na mimi Nika wambia hizo kazi za kulisha ng'ombe hawako Kwa contract yangu Naomba fafanuzi shekh

  • @fatmahussein9642
    @fatmahussein9642 4 года назад +13

    Kuota unakimbizwa na ng'ombe maana yake nini?

    • @washhjojo4840
      @washhjojo4840 4 года назад +1

      Maana yake una maadui

    • @fatmahussein9642
      @fatmahussein9642 4 года назад +2

      Asante kwa majibu nilikuwa hilo

    • @fatmahussein9642
      @fatmahussein9642 4 года назад +3

      @@washhjojo4840 asante kwa majibu nalijuwa hilo

    • @phinakamugisha6074
      @phinakamugisha6074 4 года назад +2

      Me nikiota nakimbizwa na ng'ombe nilazima ntapata msiba iyo maanake nini

    • @magrethmachite5309
      @magrethmachite5309 4 года назад +2

      @@phinakamugisha6074 ata Mimi tena ng'ombe mweusi anakimbiza mwanzo was ndoto adi mwisho kila ukijificha anakufata ukiamka umechoka, basi napata taarifa ya msiba

  • @joycekasakisya7755
    @joycekasakisya7755 4 года назад +3

    Mimi nimeota Kuna Ng'ombe amezaa ndama mzuuuri alafu doctor wa mifugo akamkumbatia yul ndama kwa furaha. Ghafla mimi nikaambiwa radhi zangu zimezuiliwa na mume wangu. Mimi bado cjaolewa! Maana yake Nini tafadhal.

  • @MwajySebe-qh8ik
    @MwajySebe-qh8ik Год назад

    Kama umeona ng'ombe wengiii sn weusi wanene inasemaje

  • @mariambilonkwa5183
    @mariambilonkwa5183 2 месяца назад

    Je ukiota ngombe ana watoto 6

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 4 года назад +1

    Sasa shekhe mbona huweleki unachanganya mambo tele

  • @PendoMathias-l8c
    @PendoMathias-l8c 6 месяцев назад

    Duh mm nimeota ngombe anajifungua kwa shida tena anasidiwa na watu

  • @fatiaali1959
    @fatiaali1959 3 года назад +1

    Je kuota ngombe anakukimbiza

  • @clarisbindo2471
    @clarisbindo2471 3 года назад +7

    Ukiota unakimbizwa na ngombe, maana yke n nn

  • @marymamntine1909
    @marymamntine1909 4 года назад +3

    Kwann hauwajibu watu kwenye comment

  • @mwajeybakary8524
    @mwajeybakary8524 3 года назад

    Mm nimeota ananisemesha ng'ombe

  • @aminaomary8383
    @aminaomary8383 4 года назад

    Shekh s/alykum nimeota nakimbizwa na ng'ombe wengi wanene wenye mapembe makubwa

    • @dab8859
      @dab8859 3 года назад

      Mm pia nimeota ivyo

  • @sadahmaula9317
    @sadahmaula9317 4 года назад +1

    Asalam alaykum jee ukiota huko.kwa ziwa la maji mana yake ninn sheikh

  • @shafiihasan2139
    @shafiihasan2139 3 года назад +1

    sheikh nimeota ng'ombe madume wawili wekundu wanene wanapigana nin tafsiri ya ndoto hii tafadhali*??

  • @najlazezynaji117
    @najlazezynaji117 3 года назад +1

    Mie Jana Nimeota Ngo'mbe Wanapigana Tafsiri Yake Nini? plz naombeni Jawabu

  • @marymsuya393
    @marymsuya393 2 года назад

    Salam alaikum shekhie.. niliota ng'ombe wawili weusi mmoja alikuwa anazaa na nikamsaidia.. alizaa ndama mweupe pee... Nini maana yake

  • @kigwerotv2523
    @kigwerotv2523 4 года назад

    mimi zaidi ya mara 3 naota nachinjwa mana yake nini pia naota kuna ng'ombe mdogo mwekundu uko mbele yangu nisaidie niielewe

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika5849 3 года назад

    Hujasema kukimbizwa na ng'ombe

  • @MwanaidyLukuta
    @MwanaidyLukuta 6 месяцев назад

    Nenda kwenye pont sio Kila mtu anaelewa hivyo kuna wakilisto

  • @kassimmuhange8214
    @kassimmuhange8214 3 года назад

    Miminimeota tunafukuzwana N'gombe familia yangu

  • @mwanahamisimohome5471
    @mwanahamisimohome5471 2 года назад

    Ostadh mm nimeota ng'ombe langi ya kahawia ananiangalia kwa hasira Kama anataka kunikimbiza et ninu maana yake

  • @hawaomari5533
    @hawaomari5533 3 года назад

    Mmewangu kaota kapigwa pembe na ng'ombe af akatumbukizwa kwny mto

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 2 года назад

    A aleikum Kama umeota Mtoto Wa ngombe mweusi amekata unafukuza Wataka kumshika kufunga Ndiyo nini maaana yake ?

  • @saza4837
    @saza4837 4 года назад +2

    Ukiota ngombe mnene kalala wa njano umwangie maji amke

  • @rifaiahmed8341
    @rifaiahmed8341 4 года назад +1

    Ukiota ng'ombe anakutisha na ukamnyooshea kidole na kumlaani kisha akapotea na watu wakakushukuru kwa kumuondosha ina maana gani?

  • @mariamsuleiman9469
    @mariamsuleiman9469 4 года назад +2

    kuota ngombe mweupe ndani ya shimo mweupe hiyo n nn?

  • @abbahprocess250
    @abbahprocess250 3 года назад +1

    MTU anakimbzwa na ngmb man yake nn she he mar kukamuwa Mara nini tutafsirie hill bhanaa

  • @midcitymacharia5237
    @midcitymacharia5237 3 года назад

    Naukiota ng'ombe anakufukuza

  • @esharamadhan7315
    @esharamadhan7315 4 года назад +3

    ukiota unafukuzwa na ng'ombe maana yake ninini

  • @aishashabani5378
    @aishashabani5378 4 года назад +2

    Nimeota ngo'mbe weusi wawili wanapigana maana yake Nini hii shekhe..

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi2187 Год назад

    Towa tafri la ndoto la kupiganishwa na mnyama mbuzi

  • @fredrickbenedctor5393
    @fredrickbenedctor5393 3 года назад +1

    Unazingua banaatutaki maubili twende kwenye mada

  • @sakinamohamedy7506
    @sakinamohamedy7506 4 года назад +2

    Duuh nlishawai kuota napigwa pembe na ng'ombe na ni kwl sina furaha ktk maisha yng

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 года назад +1

      Njoo WhatsApp
      +255758678552

    • @richie672
      @richie672 4 года назад +1

      Kuota ngombe ikiwa na mtu unayechumbiana naye nayo ina maana ngani shiekh ?

  • @sabrinamsabaha2905
    @sabrinamsabaha2905 2 года назад

    Punguza maongezi shekhe

  • @hassanodoli4171
    @hassanodoli4171 4 года назад +1

    Hassan Odoli

  • @mutumutually2787
    @mutumutually2787 4 года назад +1

    Kumuota ngombe mkubwa anakukimbiza naakakupiga pembe jee shekh maana yake nini

  • @frankyusuph8000
    @frankyusuph8000 2 года назад

    Mimi niliota nimepewa ngombe ndefu halaf naiuza tena

  • @zahirurumidis4301
    @zahirurumidis4301 3 года назад +10

    Shekhe kwann unamambo mengi sana?kua km mnajimu Kuluthumu anaenda moja kwa moja kwenye point.Ila wewe unaleta mambo mengi usome quran weee ila utambue hatujaja kusomewa Ruqya si tunatak kuckiliza tafsiri tu.

    • @elishanikolasi5848
      @elishanikolasi5848 3 года назад +3

      Dad hakuna mti usio na mizizi dadaangu usiwe mkali lazima aanze na mzizi kwanza ambae ni mung

    • @heznerkemunto3196
      @heznerkemunto3196 Год назад

      Mm niliota nikikamwa ngombe maziwa mengi sana

    • @annakimei4083
      @annakimei4083 4 месяца назад +1

      Ila mna makasiriko Wana RUclips wengine tumeweka mb za.mia tano na tumekaa kwa kutulia tunasubiria qurani isomwe

    • @SalmaHussein-pc9xo
      @SalmaHussein-pc9xo 2 месяца назад +1

      Kuwa mpole acha makasiriko Kama huwez kusikiliza siuache nenda Chanel nyngne

  • @hamidafundi5890
    @hamidafundi5890 3 года назад +1

    Shekh, hebu elezea kwanza kuhusu ng'ombe nini maana yake.

  • @oswardmwakosya5922
    @oswardmwakosya5922 3 года назад +1

    Ng'ombe mweupe je

  • @kidotitv5527
    @kidotitv5527 3 года назад

    Mm nimeota mnyama anapaaa alivyolud akashika mtoto uku anapaaa nini maana yake shekh

  • @aminamichael1706
    @aminamichael1706 4 года назад +3

    Shekh umegeuza ngombe walokonda ndio walokula ng'ombe wanene

  • @diamondplatnumz6155
    @diamondplatnumz6155 4 года назад +3

    Mm nimeota nafuga ngombe nambozi mahana yake nn

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 года назад +1

      Njoo WhatsApp.
      +255758678552

    • @khamisramadhan9180
      @khamisramadhan9180 4 года назад +1

      Manayake utaongoza wengi na mengi na tofauti ktk sekta na maisha na kazi zako utaongoza na mafanikio yatazalikana mbali mbali yaani yatazidi n.k

    • @sifalubamba5957
      @sifalubamba5957 3 года назад +1

      Ileni kweli

  • @cydohGen
    @cydohGen 11 месяцев назад

    Na vipi ukiota ngombe kajifungua ndama jike...ina maana gani

  • @athumanimihayo7100
    @athumanimihayo7100 Год назад

    Stori sana

  • @nancynasimiyu6773
    @nancynasimiyu6773 Год назад

    Ukiota Ng,ombe imezaa

  • @bittybitty2712
    @bittybitty2712 4 года назад

    Ukuota unaolewa na uko kwa ndoa tayari manake nini sheikh

    • @khamisramadhan9180
      @khamisramadhan9180 4 года назад +1

      Maana yake utaachika au utapata mitihani ktk ndoa yako ishuhulikie kabla l athar yaonekana kua umeolewa pahala kuna watu hawakutakii au wanachoyo nawewe

  • @agapenkya4148
    @agapenkya4148 4 года назад +1

    Ukiota ngombe mweupe anazaa maanake Nini mtumishi

  • @BakariBakary-jr9wf
    @BakariBakary-jr9wf Год назад

    Mwalimu tokea nizaliwe sijawa kuota

  • @mlasiferuzhanzuruni7772
    @mlasiferuzhanzuruni7772 3 года назад +1

    Nimeota ngombe anadonda kubwa mkiani

  • @ShanMohamed-hh2mk
    @ShanMohamed-hh2mk Год назад

    Shida ya Hawa maneno kibao kushinda mada halis

  • @nzotahmsangi623
    @nzotahmsangi623 4 года назад

    Shekh ukiota una mimba mana ake nn?

    • @fatmaismail13
      @fatmaismail13 4 года назад

      Utapata rizki kulengana na ukubwa wa mimba

  • @BugomolaSitta
    @BugomolaSitta 22 дня назад

    Ukiota unachunga mangombe Kama 70 maana yake nini

  • @asiyajuma3135
    @asiyajuma3135 6 месяцев назад

    Ni meota nikioga ngombe ikanichugulia ya maanisha nn

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 года назад

    Nimeota Ng'ombe wanne nilikuwa natembea na Mama yangu Sasa mm naogopa Ng'ombe nikamuacha mama apite kwanza Mama akapita katikati ya wale Ng'ombe awajamfanya chochote na mm nikatipita pembeni yao

  • @BettyKaneza-sd1mj
    @BettyKaneza-sd1mj Год назад

    Mario nalembi yo 😂😂😂😂😂

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 2 года назад

    Nimeota ng'ombe anawagonga watu

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 Год назад

    Ukiota unanunua Michele jeep umo ndani ya kipolo kidogo na kikubwa