FAHAMU TAREHE HATARI ZA KUZALIWA NA TABIA ZAKE,SHEIKH MWAIPOPO AFICHUA..
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kushare kwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Allah akubariki, akuongoze na akutengenezee mambo yako inshaa Allah.
SubhanaAllah🤭🤭Allah atuswamehe maan akuna anaejua zaidi isipokua Allah pekee yake subhanaAllah kwa helimu hii 😢😢Allah atuongote
Alhamdulillah terehe 22 ya Allah nakupenda Sana ...Yarabbi usigeuze moyo wangu kwende kwengine..
Exactly yaani mm napeda sana mambo ya mungu sana pia kuobea mtu napeda sana
Inalillahi wainailahi rajuun Hu ni. Msiba mzito. ALLAH ATUSAMEE TULIO SIKILIZA LAMLIHI
Assalaam alaykum warahmatul wabarakaatuhu
Sheikh Mwaipopo unafanya kazi kubwa sana ya dini nami ni ktk wanaokukubali LKN ktk hili umekosea sana na HUNA elimi nalo. Hayo ya kusema hvyo ni sawa kabisa na ramli au kujifanya unajua elimu ya ghaibu ambayo mjuzi wa hayo ni Allaah tu. Rejea ktk msingi wa kutosema hadi upate dalili ya Qur'an au Hadith. Nimekunasihi kwa upendo wa Allaah.
Barakallahu fih
Sheikh mwaipopo twakuhitaji kutoka siku arubaini khuruj fysabilillah tafadhali
Hiyo tarehe 23 nikweli mm nna hasira sana mwanangu tarehe 30 Alhamdullilah in shaa Allah iwe kheri na kweli
Nina watoto 3 Wamezaliwa tarehe 18 ila myezi mbalimbali ila siyo wezi hawana iyo Tania Alkhamndulillah namshukur Mungu🙏🙏nina mwingine mwanamke amezaliwa tarehe 23 kweli anakasirikaga mbiyo ila hakawiyi kurejeya kuwa kawaida,mimi nimezaliwa 24 Alkhamndulillah ndivyo nilivyo,na mwanangu wa mwisho amezaliwa tarehe 30 Alkhamndulillah nakubali yupo makini sana Alkhamndulillah 🙏InshaAllah Sheikh takutafuta soon.
Wahooooo hongera zetu wa 24
Amen amen amen
Duh Yaan ww Mungu anakuona
Subuhana Allah we hawuna haya watu wakupigie simu kwa kutatua mashida zao we umesomeya dini wapi. Eti sheikh. We ingia ndani Coran utazikuta azikari mbari mbari zakutumia kutokana na shida zenyewe.
Insha Allah
Masha Allah ❤
Salam alaykum shekhe mbona tarehw 17 hujasema
Sheikh, kwa tarehe ya kiislamu au ya kizungu?❤❤❤
Sheikh wangu mpendwa mimi ni wa tarehe 11 /11 1995 Masha"Allah
Mdogo wang tumepishana miezi.11/5 mwaka huo huo
Mwanangu mwezi huo tarehe hiyo kazaliwa
Mashallah ALLAH barik
Mimi Wanangu mmoja tareh 12
Mwengine 22 Mwengine 30
28 hoyee big up
Mm jebby nimezaliwa tarehe 10 inabidi nisafir nkatafute maisha nende makka%
Mimi nimezaliwa tarehe 4 lakini huwa siugui ugui kma unavyosema hata kulazwa bd toka nizaliwe sasa sijui inakaaje hapo na Nina miaka 45 Sasa
Good
Lies Lies 16 blessed ones,19very strong dependable n loyal people
28 BIG YES
M mwaipopo sasa unamchokonoa mungu...ayo mambo yanyota nishiriki ya waz kabisa.....kama anamkumbuka sheikh yahaya alikua mshirikina mzuri tu akapotosha watu sana na moja ya shiriki alikua namambo hayohayo yanyota....ebu toa aya au hadithi iliyotaja nyota kwa mwanadam au kiumbe chochote.....nyota nikiumbe kama viumbe vyengine....Acha haraka utaaungukia pabaya
Na kwa tarehe gani, ya kiislamu au kizungu, hapa sheikh atakuwa ameteleza kama binadamu isipokuwa akitoa dalii (aya au sunna).
Hayo maneno ukizaliwa tarehe tarehe
Wewe mche allah
Una dalili katika kitabu Quran au
Hayo kafundisha mtume rehma na amani ziwe juu yake
Kwani mwaipopo unafeli wapi wewe ni shekhe mkubwa na miaka mingi ulitoka kwenye shiriki ukaingia dini ya allah,na wengi uliwatoa huko sasa vpi tena angalia miaka yote ya daawa ulofanya ukaangukia pua,ukumbushotu
Tarehe 10 ni kweli
Mm ishirina mbii li naomba kweri
Tarehe 18 ni kweli
Mimi ni mwizi hatari namuibia mpaka mke wangu
Ni kweli
Asateee
Namba 17 hujaisemea
Sheikh unampigia aje mwenyezimungu ni kwenye sim wala kumuomba?
Shekhe mimi 18 cjawahi kua mdokozi wala cjawahi kutamani kitu cha mtu au kadi yangu imedanganya jamani
Nimekukubali mwaipopo
Nimezaliwa tarehe kumi na tano na sio mtu wa ajali kama usemavyo
Na mwanangu amezaliwa tarehe 20 na sio muongo hata kidogo tena ni mpenda haki sana
Kiukweli kabisa, mimi ni mezaliwa tarehe 13 na yote ninayoyapitiya ndotoni uwaga utimiya
Kweli mi wanawake wote hunipenda tareheyangu ni27
Kwa mwendo huu utakuja siku urudi kwenye ukristo alafu uanzs kuusena vibaya uislamu. Kuwa makini na Haya Mafundisho unayojifunza Mwaipopo. Hii comment naomba ukumbukwe.
Usiseme hivyooo ndugu yangu, sheikh ni binadamu, anaweza kuteleza nyakati zingine kwa sababu kwa tarehe ya kiislamu au ya kizungu?
Sheikh Mwaipopo, tunakuomba utengue kauli...?
Daah tarehe 12 ni kweli babu yangu alifariki akiwa na miaka 97
My dear brother ukosawa kuhuau tarehe 21 niukweli kabisa Asante lakini tatizo mbona watu wananionea wivisana mie tarehe 21 mpaka naumia
👍
Tarehe kwa kalenda ya kiislam au ya kizungu
Mbona nahangaika mno jamani ila najitahidi nilizaliwa tarehe 2
Alhamdulilah nikweli kabisa trh yng
Asa hapo kwenye tarehe 4 ndo umeharibu utaratibu mzimaaa wa ubongo wangu kufuatilia video hii leo.. hadi epitaiti pia imeenda, yaani!
Mimi ni 26
Apo kwenye trh 23 umenipatia kabisaa hujakosea
Mimi sijui Tarehe yangu nifanyeje
Bwana Mwaipopo mbona mtu aliyezaliwa tarehe 31 hujamtaja au tarehe 31 haipo ktk tarehe?
Tarehe 3 wala ujakosea shekhe Ila binadamu walivyonifanyia😢
Yani me napitia shida sana kazini unachukiwa kisa unapendwa na boss
Sheikh tarehe za kuzaliwa nazipingana na mwezi yaani nyota, Mnaweza kuzaliwa tarehe moja lakini mwezi tofouti, hapo mwezi unatawala yaani nyota.
Je mwalim hizo tareh ni zamiezi ya kizungu au mwezi wakuandama?
Mana tareh yakizungu na yamwezi wakuandama zinapishana inakua umezaliwa tareh 1 yakizungu ya mwezi wakuandama ikawa ni tarreh 10
Me naona tarehe sabihi ni za muandamo hizi nyengine ni zinatokana na kitwaghuti
Point
Sheikh mwaipopo vipi pesa unaitafuta kwa kwa njia ya kuangalia nyota hebu soma dini vizuri uelewe mbona unataka kupotosha watu hiyo ni moja ya shirk nani kasema na kitabu gani cha kiislamu ahli sunna wal jamaa kinasema hivo mbona unaruka mipaka sasa usingee kuhusu dr sule wakati na wewe ni kama yeye, hizo tarehe mambo ya sheitani hayo Allah anampa misukosuko na utajiri na afya anaemtaka sio sababu ya tarehe yake. Huu ndio mwisho wenu wa ujuzi mmeishiwa sasa mnaingia ktk shirk, kwanza nambie umesema wapi uislamu mpaka sasa uwe muhadhiri dai maalim wa kufundisha watu, wacha hiyo ni shirk.
Mhhhh iyo tar 25 umenisingizia tena sna hahah
Wewe ushiriki sana tu
Tarehe yangu hakuna 17
Je three kumi na saba??? Umeivuka
Kwaiyo me wa taree 4 naugua ugua na Kufa Gafla au🙄🙄🙄 Aka 😢😢
Jamaa ni liongo
😂😂😂😂
😆🤣😂
Mbona...utaji miezi na tarehe
Wachawi na wanganui wanazaliwa tarehe ngapi
Ko tuliozaliwa tarehe 17 hatujaambiwa et
25😭😭
Kweli mm ni tar14 huwa naskilzwa sana
,Nawaliozaliwa tar 31 je?
Wewe muongo sana kaa kitako usome dini huna ulijualo katika dini ya uislamu
Salam laium sheikh vipi mbona tarehe 17 imekatika hatujaisikia ndo vipi hii
Tutairudia kipindi kijacho tale 17 msiwe na hofu
Kama wewe sio muongo na kuwapotosha watu leta dalili ndani ya kur ani na hadithi za mtume muhammadi.
Dalili sio porojo
Salafi watakueka sawa inshallah
🤣🤣🤣maana apo nicheke kwanza
Maana mi nimezaliwa talehe 30 Nina ziki adi kwenye ukucha na ata Sina ufumbuz wowot😅😅mdogo angu tarehe 25 ila hana hasira Wala loho mbaya mpole mwenyewe na mkalimu mno jmn shehe mbona sijaelewa
hahahahahahah
Tunapo itazama vidéo hii ina muda mrefu mtandaoni huwenda ndugu yetu huu kishaga tubia kwa hayo alio yasemaga kwa sababu tukirejea katika Maswala ya Tawhid Kaka maneno Yako sio sahihi kabisa tunauwezo wa kuikosowa nuqtwa kwa nuqta kupitia ahadith Na Ayat za Quran tunadhani tu khr huwenda ndugu yetu kishaga ona HAQI kwa hayo
23 ndo mm
Mimi tarehe 20
Tatizo maneno mingi inachosha
Da nimekuelewa trh 26 ndio nilivo lkn nahangaika sitok
Mshirikina wa kwanza ni msima nyota
Umekuwa mnajimu hiyo ndio hasara ya kumuacha YESU
Duhuu kwakweli hapo kwenye 19 umedanganya maana mm siyo dhaifu na Tena nimkorofi hatari🤣🤣🤣
Uzushi ndani ya dini huo.
Hiyo elimu toa dalili usipotoshe
Wewe unadai umesilimu? Mambo gani haya unajaribu kuyaleta? Ati kila mtu ana nyota yake..? Ya kufanya nini?
Mimi ninahasila mpaka najichukia kwangu nlivunja tv sabufa .kisa nimechukizwa kidogo tu
Uwo Sasa ni ujinga hasira gani
Mbona tarehe 17 hakuna
Tarehe 17 sijaisikia
Acha kuchanganya watu huo ni utabiri.
Mbona hakuna kumi na Saba😔😔😔😳
Hakika umenena hapo 24 nakubali
Uongo ndiyo unajua tu
25 uongo tu
Tarehe 17 hatuja isikiaa
Hayo mambo ya ghaibu ni mlango wa kwenda kwenye Ushirikina. Ghaibu anaijua Allah TU.
Anaongea sana
Haya siomafundisho ya kiisilamu, huyu ni mtu muongo saana,. Hizi ni katika imani na itikadi za kishirikia . Nawataharisha ndugu zangu huu ni uongo wa wazi ni ushirikina wa wazi
25
Si ukweli 25
Ishirini na tatu ni kweli kabisa mimi
25 mi Sina iyo roho mbaya😏
Umeiga kuna mwafalsafa ameshayasema Hayo yote we umeiga
Nataka hayo mafuta ya kutoa nuksi
Hapo umenipata trh 23 nikweli pia naishi mbali npo Zambia
Mm. Nipo Oman
Ndoivo