FAHAMU TAREHE HATARI ZA KUZALIWA NA TABIA ZAKE,SHEIKH MWAIPOPO AFICHUA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
    Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kushare kwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
    MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
    ..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Комментарии • 140

  • @ALHAJIOMARI-e3b
    @ALHAJIOMARI-e3b 3 месяца назад

    Allah akubariki, akuongoze na akutengenezee mambo yako inshaa Allah.

  • @mwanashahassan668
    @mwanashahassan668 Год назад +1

    SubhanaAllah🤭🤭Allah atuswamehe maan akuna anaejua zaidi isipokua Allah pekee yake subhanaAllah kwa helimu hii 😢😢Allah atuongote

  • @sabrinanobert
    @sabrinanobert Год назад +1

    Alhamdulillah terehe 22 ya Allah nakupenda Sana ...Yarabbi usigeuze moyo wangu kwende kwengine..

    • @rothpawol9363
      @rothpawol9363 Год назад

      Exactly yaani mm napeda sana mambo ya mungu sana pia kuobea mtu napeda sana

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +2

    Inalillahi wainailahi rajuun Hu ni. Msiba mzito. ALLAH ATUSAMEE TULIO SIKILIZA LAMLIHI

  • @jumamaulid9462
    @jumamaulid9462 2 года назад +1

    Assalaam alaykum warahmatul wabarakaatuhu
    Sheikh Mwaipopo unafanya kazi kubwa sana ya dini nami ni ktk wanaokukubali LKN ktk hili umekosea sana na HUNA elimi nalo. Hayo ya kusema hvyo ni sawa kabisa na ramli au kujifanya unajua elimu ya ghaibu ambayo mjuzi wa hayo ni Allaah tu. Rejea ktk msingi wa kutosema hadi upate dalili ya Qur'an au Hadith. Nimekunasihi kwa upendo wa Allaah.

  • @jamalsamma560
    @jamalsamma560 9 месяцев назад

    Barakallahu fih

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 6 месяцев назад

    Sheikh mwaipopo twakuhitaji kutoka siku arubaini khuruj fysabilillah tafadhali

  • @rozina2161
    @rozina2161 2 года назад +1

    Hiyo tarehe 23 nikweli mm nna hasira sana mwanangu tarehe 30 Alhamdullilah in shaa Allah iwe kheri na kweli

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 года назад

    Nina watoto 3 Wamezaliwa tarehe 18 ila myezi mbalimbali ila siyo wezi hawana iyo Tania Alkhamndulillah namshukur Mungu🙏🙏nina mwingine mwanamke amezaliwa tarehe 23 kweli anakasirikaga mbiyo ila hakawiyi kurejeya kuwa kawaida,mimi nimezaliwa 24 Alkhamndulillah ndivyo nilivyo,na mwanangu wa mwisho amezaliwa tarehe 30 Alkhamndulillah nakubali yupo makini sana Alkhamndulillah 🙏InshaAllah Sheikh takutafuta soon.

  • @stephenchima6800
    @stephenchima6800 2 года назад

    Wahooooo hongera zetu wa 24

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 года назад +2

    Amen amen amen

  • @WhosnerSemboko
    @WhosnerSemboko 2 года назад

    Duh Yaan ww Mungu anakuona

  • @hamadiimuyuzeree5512
    @hamadiimuyuzeree5512 2 года назад +1

    Subuhana Allah we hawuna haya watu wakupigie simu kwa kutatua mashida zao we umesomeya dini wapi. Eti sheikh. We ingia ndani Coran utazikuta azikari mbari mbari zakutumia kutokana na shida zenyewe.

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara2789 3 года назад +1

    Insha Allah

  • @alawisalim9139
    @alawisalim9139 3 года назад +2

    Masha Allah ❤

  • @ghanimaalabri5783
    @ghanimaalabri5783 3 года назад +5

    Salam alaykum shekhe mbona tarehw 17 hujasema

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 5 месяцев назад

    Sheikh, kwa tarehe ya kiislamu au ya kizungu?❤❤❤

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад +1

    Sheikh wangu mpendwa mimi ni wa tarehe 11 /11 1995 Masha"Allah

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 года назад

    Mashallah ALLAH barik

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 2 года назад +1

    Mimi Wanangu mmoja tareh 12
    Mwengine 22 Mwengine 30

  • @jemimahchiro4013
    @jemimahchiro4013 Год назад

    28 hoyee big up

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Год назад

    Mm jebby nimezaliwa tarehe 10 inabidi nisafir nkatafute maisha nende makka%

  • @hollocolletha6519
    @hollocolletha6519 2 года назад +1

    Mimi nimezaliwa tarehe 4 lakini huwa siugui ugui kma unavyosema hata kulazwa bd toka nizaliwe sasa sijui inakaaje hapo na Nina miaka 45 Sasa

  • @jucundanjau4064
    @jucundanjau4064 Год назад

    Good

  • @eunicepeter5283
    @eunicepeter5283 Год назад

    Lies Lies 16 blessed ones,19very strong dependable n loyal people

  • @ndaturumagile8164
    @ndaturumagile8164 2 года назад

    28 BIG YES

  • @mudybeka6698
    @mudybeka6698 2 года назад +8

    M mwaipopo sasa unamchokonoa mungu...ayo mambo yanyota nishiriki ya waz kabisa.....kama anamkumbuka sheikh yahaya alikua mshirikina mzuri tu akapotosha watu sana na moja ya shiriki alikua namambo hayohayo yanyota....ebu toa aya au hadithi iliyotaja nyota kwa mwanadam au kiumbe chochote.....nyota nikiumbe kama viumbe vyengine....Acha haraka utaaungukia pabaya

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 5 месяцев назад

      Na kwa tarehe gani, ya kiislamu au kizungu, hapa sheikh atakuwa ameteleza kama binadamu isipokuwa akitoa dalii (aya au sunna).

  • @raqmaanu466
    @raqmaanu466 3 года назад +8

    Hayo maneno ukizaliwa tarehe tarehe
    Wewe mche allah
    Una dalili katika kitabu Quran au
    Hayo kafundisha mtume rehma na amani ziwe juu yake

    • @selemanimakau9026
      @selemanimakau9026 Год назад +1

      Kwani mwaipopo unafeli wapi wewe ni shekhe mkubwa na miaka mingi ulitoka kwenye shiriki ukaingia dini ya allah,na wengi uliwatoa huko sasa vpi tena angalia miaka yote ya daawa ulofanya ukaangukia pua,ukumbushotu

  • @billykissnyanza199
    @billykissnyanza199 2 года назад +1

    Tarehe 10 ni kweli

  • @RehemaKabutu-de9tl
    @RehemaKabutu-de9tl Год назад

    Mm ishirina mbii li naomba kweri

  • @michaeldeo9621
    @michaeldeo9621 2 года назад +3

    Tarehe 18 ni kweli
    Mimi ni mwizi hatari namuibia mpaka mke wangu

  • @billykissnyanza199
    @billykissnyanza199 2 года назад

    Ni kweli

  • @BolasieNgongo-rh9wm
    @BolasieNgongo-rh9wm 8 месяцев назад

    Asateee

  • @castormaganga1325
    @castormaganga1325 Год назад +1

    Namba 17 hujaisemea

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 года назад

    Sheikh unampigia aje mwenyezimungu ni kwenye sim wala kumuomba?

  • @kulthumbashiru864
    @kulthumbashiru864 2 года назад +1

    Shekhe mimi 18 cjawahi kua mdokozi wala cjawahi kutamani kitu cha mtu au kadi yangu imedanganya jamani

  • @brunomhume740
    @brunomhume740 2 года назад

    Nimekukubali mwaipopo

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Год назад +1

    Nimezaliwa tarehe kumi na tano na sio mtu wa ajali kama usemavyo
    Na mwanangu amezaliwa tarehe 20 na sio muongo hata kidogo tena ni mpenda haki sana

  • @Ilunga3053
    @Ilunga3053 2 года назад

    Kiukweli kabisa, mimi ni mezaliwa tarehe 13 na yote ninayoyapitiya ndotoni uwaga utimiya

  • @JosephNtigamakwandi
    @JosephNtigamakwandi 7 месяцев назад

    Kweli mi wanawake wote hunipenda tareheyangu ni27

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Год назад

    Kwa mwendo huu utakuja siku urudi kwenye ukristo alafu uanzs kuusena vibaya uislamu. Kuwa makini na Haya Mafundisho unayojifunza Mwaipopo. Hii comment naomba ukumbukwe.

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 5 месяцев назад

      Usiseme hivyooo ndugu yangu, sheikh ni binadamu, anaweza kuteleza nyakati zingine kwa sababu kwa tarehe ya kiislamu au ya kizungu?
      Sheikh Mwaipopo, tunakuomba utengue kauli...?

  • @upcominglecturer5874
    @upcominglecturer5874 2 года назад

    Daah tarehe 12 ni kweli babu yangu alifariki akiwa na miaka 97

  • @juliethylukindo2132
    @juliethylukindo2132 2 года назад

    My dear brother ukosawa kuhuau tarehe 21 niukweli kabisa Asante lakini tatizo mbona watu wananionea wivisana mie tarehe 21 mpaka naumia

  • @mishikilibaijara5768
    @mishikilibaijara5768 2 года назад

    👍

  • @salimmrema8845
    @salimmrema8845 2 года назад

    Tarehe kwa kalenda ya kiislam au ya kizungu

  • @aminadume1561
    @aminadume1561 2 года назад

    Mbona nahangaika mno jamani ila najitahidi nilizaliwa tarehe 2

  • @salmahhamoud9966
    @salmahhamoud9966 2 года назад

    Alhamdulilah nikweli kabisa trh yng

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад

    Asa hapo kwenye tarehe 4 ndo umeharibu utaratibu mzimaaa wa ubongo wangu kufuatilia video hii leo.. hadi epitaiti pia imeenda, yaani!

  • @fatmasoudkhalil5709
    @fatmasoudkhalil5709 2 года назад

    Mimi ni 26

  • @agathaandrew1374
    @agathaandrew1374 2 года назад +1

    Apo kwenye trh 23 umenipatia kabisaa hujakosea

  • @jumanne605
    @jumanne605 2 года назад

    Mimi sijui Tarehe yangu nifanyeje

  • @MikidadiSalim-xk9dc
    @MikidadiSalim-xk9dc 13 дней назад

    Bwana Mwaipopo mbona mtu aliyezaliwa tarehe 31 hujamtaja au tarehe 31 haipo ktk tarehe?

  • @salomedamiandamian5872
    @salomedamiandamian5872 2 года назад +1

    Tarehe 3 wala ujakosea shekhe Ila binadamu walivyonifanyia😢

    • @mrengineer8901
      @mrengineer8901 Год назад

      Yani me napitia shida sana kazini unachukiwa kisa unapendwa na boss

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 3 года назад +1

    Sheikh tarehe za kuzaliwa nazipingana na mwezi yaani nyota, Mnaweza kuzaliwa tarehe moja lakini mwezi tofouti, hapo mwezi unatawala yaani nyota.

  • @fatwimatzahrau2327
    @fatwimatzahrau2327 3 года назад +2

    Je mwalim hizo tareh ni zamiezi ya kizungu au mwezi wakuandama?
    Mana tareh yakizungu na yamwezi wakuandama zinapishana inakua umezaliwa tareh 1 yakizungu ya mwezi wakuandama ikawa ni tarreh 10

  • @islander3191
    @islander3191 3 года назад +5

    Sheikh mwaipopo vipi pesa unaitafuta kwa kwa njia ya kuangalia nyota hebu soma dini vizuri uelewe mbona unataka kupotosha watu hiyo ni moja ya shirk nani kasema na kitabu gani cha kiislamu ahli sunna wal jamaa kinasema hivo mbona unaruka mipaka sasa usingee kuhusu dr sule wakati na wewe ni kama yeye, hizo tarehe mambo ya sheitani hayo Allah anampa misukosuko na utajiri na afya anaemtaka sio sababu ya tarehe yake. Huu ndio mwisho wenu wa ujuzi mmeishiwa sasa mnaingia ktk shirk, kwanza nambie umesema wapi uislamu mpaka sasa uwe muhadhiri dai maalim wa kufundisha watu, wacha hiyo ni shirk.

  • @rahmaomaryomary2822
    @rahmaomaryomary2822 Год назад +1

    Mhhhh iyo tar 25 umenisingizia tena sna hahah

  • @lukandegwadzombo6983
    @lukandegwadzombo6983 Год назад

    Wewe ushiriki sana tu

  • @sofiafaraji7814
    @sofiafaraji7814 2 года назад +1

    Tarehe yangu hakuna 17

  • @josphineomollo4333
    @josphineomollo4333 2 года назад

    Je three kumi na saba??? Umeivuka

  • @prriya507
    @prriya507 2 года назад +4

    Kwaiyo me wa taree 4 naugua ugua na Kufa Gafla au🙄🙄🙄 Aka 😢😢

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 2 года назад

    Mbona...utaji miezi na tarehe

  • @mbaroukkhalfani9244
    @mbaroukkhalfani9244 3 года назад

    Wachawi na wanganui wanazaliwa tarehe ngapi

  • @suzanlucas9493
    @suzanlucas9493 2 года назад

    Ko tuliozaliwa tarehe 17 hatujaambiwa et

  • @jasminisharifu7446
    @jasminisharifu7446 2 года назад

    25😭😭

  • @emamkango-rk3yw
    @emamkango-rk3yw Год назад

    Kweli mm ni tar14 huwa naskilzwa sana

  • @gkiobya4960
    @gkiobya4960 2 года назад

    ,Nawaliozaliwa tar 31 je?

  • @hassanmkwepu6911
    @hassanmkwepu6911 3 года назад +4

    Wewe muongo sana kaa kitako usome dini huna ulijualo katika dini ya uislamu

  • @hilalalismaili2933
    @hilalalismaili2933 3 года назад +1

    Salam laium sheikh vipi mbona tarehe 17 imekatika hatujaisikia ndo vipi hii

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV  3 года назад

      Tutairudia kipindi kijacho tale 17 msiwe na hofu

    • @muhammadabushehe359
      @muhammadabushehe359 3 года назад

      Kama wewe sio muongo na kuwapotosha watu leta dalili ndani ya kur ani na hadithi za mtume muhammadi.

  • @raqmaanu466
    @raqmaanu466 3 года назад +4

    Dalili sio porojo
    Salafi watakueka sawa inshallah

  • @mariamuomary8373
    @mariamuomary8373 2 года назад +2

    🤣🤣🤣maana apo nicheke kwanza
    Maana mi nimezaliwa talehe 30 Nina ziki adi kwenye ukucha na ata Sina ufumbuz wowot😅😅mdogo angu tarehe 25 ila hana hasira Wala loho mbaya mpole mwenyewe na mkalimu mno jmn shehe mbona sijaelewa

  • @qudraabdul3284
    @qudraabdul3284 Год назад

    Tunapo itazama vidéo hii ina muda mrefu mtandaoni huwenda ndugu yetu huu kishaga tubia kwa hayo alio yasemaga kwa sababu tukirejea katika Maswala ya Tawhid Kaka maneno Yako sio sahihi kabisa tunauwezo wa kuikosowa nuqtwa kwa nuqta kupitia ahadith Na Ayat za Quran tunadhani tu khr huwenda ndugu yetu kishaga ona HAQI kwa hayo

  • @smina8226
    @smina8226 9 месяцев назад

    23 ndo mm

  • @taqtv5772
    @taqtv5772 2 года назад

    Mimi tarehe 20

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 Год назад

    Tatizo maneno mingi inachosha

  • @mariamkalinga2628
    @mariamkalinga2628 2 года назад

    Da nimekuelewa trh 26 ndio nilivo lkn nahangaika sitok

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Год назад

    Mshirikina wa kwanza ni msima nyota

  • @wilfredlukowo4692
    @wilfredlukowo4692 2 года назад

    Umekuwa mnajimu hiyo ndio hasara ya kumuacha YESU

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 года назад +1

    Duhuu kwakweli hapo kwenye 19 umedanganya maana mm siyo dhaifu na Tena nimkorofi hatari🤣🤣🤣

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib4853 2 года назад +2

    Uzushi ndani ya dini huo.

  • @raqmaanu466
    @raqmaanu466 3 года назад +1

    Hiyo elimu toa dalili usipotoshe

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 года назад +1

    Wewe unadai umesilimu? Mambo gani haya unajaribu kuyaleta? Ati kila mtu ana nyota yake..? Ya kufanya nini?

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 2 года назад +1

    Mimi ninahasila mpaka najichukia kwangu nlivunja tv sabufa .kisa nimechukizwa kidogo tu

  • @issakavindi5183
    @issakavindi5183 2 года назад +1

    Mbona tarehe 17 hakuna

  • @aniphaally4237
    @aniphaally4237 2 года назад

    Tarehe 17 sijaisikia

  • @abdiabdullah8564
    @abdiabdullah8564 3 года назад +2

    Acha kuchanganya watu huo ni utabiri.

  • @ivyrehema3246
    @ivyrehema3246 2 года назад

    Mbona hakuna kumi na Saba😔😔😔😳

  • @peninamsuko4858
    @peninamsuko4858 Год назад

    Hakika umenena hapo 24 nakubali

  • @hellencharles2342
    @hellencharles2342 2 года назад

    Uongo ndiyo unajua tu

  • @linahobote9038
    @linahobote9038 Год назад

    25 uongo tu

  • @saidjuma25
    @saidjuma25 2 года назад

    Tarehe 17 hatuja isikiaa

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Год назад

    Hayo mambo ya ghaibu ni mlango wa kwenda kwenye Ushirikina. Ghaibu anaijua Allah TU.

  • @greatest_of_africa
    @greatest_of_africa 2 года назад

    Anaongea sana

  • @chanikaonetv6770
    @chanikaonetv6770 6 месяцев назад

    Haya siomafundisho ya kiisilamu, huyu ni mtu muongo saana,. Hizi ni katika imani na itikadi za kishirikia . Nawataharisha ndugu zangu huu ni uongo wa wazi ni ushirikina wa wazi

  • @teambrothers5654
    @teambrothers5654 2 года назад

    25

  • @agnespeter8740
    @agnespeter8740 Год назад

    Ishirini na tatu ni kweli kabisa mimi

  • @linahobote9038
    @linahobote9038 Год назад

    25 mi Sina iyo roho mbaya😏

  • @neemanyimbi2355
    @neemanyimbi2355 2 года назад

    Umeiga kuna mwafalsafa ameshayasema Hayo yote we umeiga

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 Год назад

    Nataka hayo mafuta ya kutoa nuksi

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 2 года назад +1

    Hapo umenipata trh 23 nikweli pia naishi mbali npo Zambia