Number 5 here we go!... nimejikuta baba ni kweli kabisaaaa hamna kitu umeniruka napenda sana kutangaza na nilisomea pia .... imagine mimi ni kiongozi na nafanya biashara pia napenda kusaidia sana Watu wengine!.... wapi like zetu number 5!....❤❤❤
Mungu wangu weee kaka namba 2 zoote nimimi kabisaa huruma nakazi ushairi ualimu Mimi ni Councellor (mshauri) nanimekuwa mpatanishi sana nakiukweli nimekuwa nikipenda uandishi ualimu utangazaji na shughuli zote zinazohusisha kuzungumza uwiii u surprise me aiseee
Nakupongeza sana kwa kai nzuri,naomba unifafanulie move ya foteseven Robin kutoka Japan je ni kiasa hicho ni cha kweli? Na pia movie za jems bond, ni movie za kufikirika tu au ni za kweli? Nitashukuru sana,naitwa Rebekah sasa kwenda kazi!!!
mimi ni nambari 5 napendaa zaidiiii kuishi mahali tulivu na kuchukia m2 ni nadraaa ila ukiniuudhi hatuwezi elewana hata kidogo pia niko na msimamo Ajabuu hadi wazazi uaamini ninachofanya kwa makiniiii😂😂😂😂😮😮
Nyota na tarehe za kuzaliwa na mambo kama hayo yatakusaidia nini bongo hii bila kukomaaa hutoboi mzee utaishia kujipa moyo tu lakin bila mikazo mbona kesho tu ni mke wa mtu budah
Kutokujua Life Path yako ndiyo maana unajikuta unatumia nguvu Bahari matokeo kidimbwi nakuna wengine wanaojua nguvu kidimbwi matokeo Bahari kuwa don't work hard work smart
Hakuna aliyeumbwa na Ubaya, kila mtu Mungu kampa Ubora wa kipekee kwenye eneo fulani. Ukienda against na Ubora wako ndo unajikuta unaforce kufanya ya wengine then unaishia pabaya
wa kwanza sasa tuende kazii
KAZI INAENDELEA
Achana na mambo ya kuwa wakwanza hatupo shule ya upili hapa taja namba yako ni ipi hapo tukujue venye uko.
Achana na mambo ya kuwa wakwanza hatupo shule ya upili hapa taja namba yako ni ipi hapo tukujue venye uko.
@@user-ot2io4cy6wni beleke shule ndio ni jue namba yangu
@@BONGOFASTA mimi namba yang ni 4
Number 5 here we go!... nimejikuta baba ni kweli kabisaaaa hamna kitu umeniruka napenda sana kutangaza na nilisomea pia .... imagine mimi ni kiongozi na nafanya biashara pia napenda kusaidia sana Watu wengine!....
wapi like zetu number 5!....❤❤❤
❤❤❤
Mzee baba niambie Mimi nipo kundi namba ngapi Mana nimeshindwa kuelewa hp 1/1/1992
Nilikua naitafuta sana hii video umetisha sana mwamba👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🫡 life path number 4 ngonga like👍🏻
Namba 9 tukutane hapa kwa like 👍
Duh uhakika
😮alijuaje
Nimekubari
9
Kwer dah!🎉
Number 3 hapa tujuane na Ubunifu wetu🤸🏼♂🤸🏼♂🤸🏼♂
Tupo
Tupo
❤
Namba moja tujuane sasa twende kazi tunapenda kufikia malengo , kuchunguza hakili zawengine, kuwa wamanager , kupambana na malengo business
😂😂😂 tupooooo
Mungu wangu weee kaka namba 2 zoote nimimi kabisaa huruma nakazi ushairi ualimu Mimi ni Councellor (mshauri) nanimekuwa mpatanishi sana nakiukweli nimekuwa nikipenda uandishi ualimu utangazaji na shughuli zote zinazohusisha kuzungumza uwiii u surprise me aiseee
vyema sana umechambua zaidi ata ya nilivyo dhani thanks mimi ni namba 9 life path am cowboytz 🤠
Sijaelewa inamaanisha
Namb 7 tukutane like
Nazan yangu 7
No moja 1 twende kazi👋👋👋
❤
Namba nne tujuane kwa kupiga like hapo chini 😁😁
Nakupongeza sana kwa kai nzuri,naomba unifafanulie move ya foteseven Robin kutoka Japan je ni kiasa hicho ni cha kweli? Na pia movie za jems bond, ni movie za kufikirika tu au ni za kweli? Nitashukuru sana,naitwa Rebekah sasa kwenda kazi!!!
Unaweza sana mzee wangu tunakupenda sana
Number 3 uhakika twende kazi
Ebwana eeh hii namba 8 pure kbsa
Sure nmepata namba 1.. 🤝
Wanangu namba 8 tukutane apa kwa like
Na mimi kama wanao adi mume wangu pia 8
Ata Mimi ukuu MOZAMBIQUE daa ni namba 8
Namba 8 hapa
Namba yangu ni (4)
Ila mm Sija Amin iyo 8. Nais 7 ndo Kam nilivy mim😢
Najiona mimi kabisa kwenye namba 8
Number 9 tujuane hapa
Mimi ni mwalim Haki ya Mungu ni namba 2 na ninapenda usawa na haki
Pamoja
Namimi n namba 2
Umetisha Broo
No 7
Hahahaa...Mimi ni namba moja...Mume wangu namba 7 na watoto wetu wote wawili namba mbili...Asantee sana
Najiona Moja kumbe 7😂😂😂
Mamba 7 tukutane like❤
Namba 9✊➳
Number 8 tujuane,,,,,sasa twende kazi
Tupo mwanangu
Du ahsante sana kipindi kiendelee maisha marefu
namba 3 like za kutosha 😅👍
Number 6 tujuane hapa
Yaan namba 6 amepatia kweli
number 6 ni kweli kabisa
6
Mimi ni namba 5 ila kuna mengine umesema ni kweli na mengine sifanani nayo kabisa na kazi ninazo fanya
Wewe utakuwa unavuta bangi ndio maana vingine kwako havipo😅😅
mimi ni nambari 5
napendaa zaidiiii kuishi mahali tulivu na kuchukia m2 ni nadraaa ila ukiniuudhi hatuwezi elewana hata kidogo pia niko na msimamo Ajabuu hadi wazazi uaamini ninachofanya kwa makiniiii😂😂😂😂😮😮
Namba 9
Namba 8 naomba mnifate
Asanteeee San mungu akubariki San
Namba nne hapa aisee jama inajua sana
7 ni mimi kabisa yani na nimegundua ukubwa huu
ii habari iludie kwa ufasaha mfano sisi wa tarehe 27 march 1996 namba 10 inakuja na umeishia namba 9
Hyo ni namba 1 chukua 1+0=1
Maana namba inatakiwa ibaki moja pekee
Wewe ni kiongozi
Mimi n Albert Einstein Sasa twende kazi
duuuh namba yangu na mambo yangu ni kweliii kabisa
Namba 1 ni Mimi kabisaaa.
Namba 9 ni Mama yangu kabisaaa.
✊✊✊
Namber 1 twende kazi
Nyota na tarehe za kuzaliwa na mambo kama hayo yatakusaidia nini bongo hii bila kukomaaa hutoboi mzee utaishia kujipa moyo tu lakin bila mikazo mbona kesho tu ni mke wa mtu budah
Kutokujua Life Path yako ndiyo maana unajikuta unatumia nguvu Bahari matokeo kidimbwi nakuna wengine wanaojua nguvu kidimbwi matokeo Bahari kuwa don't work hard work smart
Namba 5 tujuane hapa,Yani kweli kabisa ndivyo nilivyo na namba yangu
Nambari saba njooni hapa
Hii ni kweli
Tupo
Asante Sana 🙏🙏🙏
Kiongozi apa Waziri mkuu mtarajiwa No 1🎉
Mungu wangu na 7 yan ni mimi kbsa
Safi sana
PAMOJA SANA HENRY LUGENDO
Nimepata no#9
Wazungu woote ni namba 9😅
Namba 4 apa
Oyah ndio sisi. Critical thinkers
Wa kwanza naomba like za nguvu
Duh December ni real me kabisa hujakosea kabisa😂❤
Mashallha namba 9
sawa kaka shedi nitafutie giants naomba dondoo
9 4life mayere suarez rewandosk haaland nk
Asante sana
Namba tisa 🙏💚
Kweli kabisa namba yangu imeeleza wazi nilivyo jamani asante kwa somo zuri
Sasa twende kaz 🔥🔥🔥 ni kwel kabis nimejiona na6
Hapo nimeshindwa kuelewa nimezaliwa tarehe 29/9/1999 hesabu yake nimeshindwa kuelewa msaada
Wewe ni nambari 2
Asante
Namba 9 tujuane😁😁
kilicho ntokea nikwamba hesabu yangu...imenipa....29,,2+9,,=11,,je nifanyaje...au mm ndo...nisubir miujiza
Chukua hyo 11 yaan iwe 1+1 maana me nilivyoelewa namba inatakiwa ibaki moja pekee
Pia mm nimeelewa hivyo 11 = 1+1 =1 ni sawa na mimi
@@baloz8974 Hyo 11 ni hv 1+1=2 ndyo namba yake hapo
Namba 3 gonga like twende sambamba
Namba 7 twende kazi
Hiii ni kwel mana najiona kwenye 8 alafu nina fit😂❤
Ukiona SI kweli,basi hajazaliwa tar hiyo..maana Kuna watu wameficha umri
@@marthajeremiah kwel🫡kabisa
Hahahahahah Mimi kabisa
Namba mbili tunujuwane Kwa like tusishindwe
ahaa broo mi nimepayangu ni2
Mimi apa no 8 yani ni very true 💯✍️
Mi namba 6 ni kweli uliyosema
2 😊😊😊
Aaah kudadeki hii imeenda namba7
Mimi ni namba 7 na ni Mwl wa Neno la MUNGU. Nakushauri Kila mmoja unayeangalia video hii okoka kwa kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi wako
Ubarikiwe sana
@@PeterMabulaTz amen wewe pia
Vijana pigen kaz mm occupation yangu tofaut na mpunga mnene napiga
😂 Sina sifa hata mojA
😂😂😂 Namba yako ngapi?
Na mimi ni namba 1 nifanyie nin
No 5 ni kwel kbsa jmn mm😃😃😃
Mimi ni namba 9
Sasa twende kazi
Nnimepata namba 2 Maelezo yote uliyoongea ni kweli kabisa*Kuna watu wazima wanakuja kuniomba Ushauri na unawaletea matumda
Good
Nimepata namba 9
The 1
Mimi namba yangu ni 4
Mimi ni number 6
Mimi ni number 7
7
Kabsa aisee nimejua mi namba yangu 8 ya mume wang 5 mwanangu mmoja 4 na mwingne 7
nmepata namba 3
Namba 1
Wow ili somo zur saan je vipi kuhusu wa namba kumi
Kumi ni moja
Habari,nimejumlisha Namba nimepata 10 hii imekaaje
1
Iyo ni 1+0=1
Amen Amen
Namba 9 moja hiyo Mr unatisha
Mamba 2
Namba 2
shed wew ni mwalimu ulisahaulika mtaani ungetakiwa uwe shule na wanafunzi lazima wangeelew2
Bro hapa duniani kumejaa watu w tibia mbaya nyingi sn ( ila nasikitika kuona sikuona namba ya watu w tabia mbaya)
You're right dear
Hakuna aliyeumbwa na Ubaya, kila mtu Mungu kampa Ubora wa kipekee kwenye eneo fulani. Ukienda against na Ubora wako ndo unajikuta unaforce kufanya ya wengine then unaishia pabaya
Kama kweli hv😀
Mimi nimber saba
kila kitu ulichosema ni kweli yangu ni moja