HESABU YA TAREHE YAKO YA KUZALIWA INAVYOWEZA KUKUPA MAFANIKO MAISHANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 фев 2023
  • Jiunge na Group la Telegram kwa kubofya HAPA t.me/BLUEWAYFOREX
  • КиноКино

Комментарии • 331

  • @muhsenali123
    @muhsenali123 Год назад +42

    wa kwanza sasa tuende kazii

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  Год назад +7

      KAZI INAENDELEA

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w Год назад +1

      Achana na mambo ya kuwa wakwanza hatupo shule ya upili hapa taja namba yako ni ipi hapo tukujue venye uko.

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w Год назад

      Achana na mambo ya kuwa wakwanza hatupo shule ya upili hapa taja namba yako ni ipi hapo tukujue venye uko.

    • @muhsenali123
      @muhsenali123 Год назад

      @@user-ot2io4cy6wni beleke shule ndio ni jue namba yangu

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 Год назад

      @@BONGOFASTA mimi namba yang ni 4

  • @magrethkawa4841
    @magrethkawa4841 Год назад +19

    Number 5 here we go!... nimejikuta baba ni kweli kabisaaaa hamna kitu umeniruka napenda sana kutangaza na nilisomea pia .... imagine mimi ni kiongozi na nafanya biashara pia napenda kusaidia sana Watu wengine!....
    wapi like zetu number 5!....❤❤❤

    • @Miriam-us2fu
      @Miriam-us2fu 2 месяца назад

      ❤❤❤

    • @RASHIDSHOMARI-bj4og
      @RASHIDSHOMARI-bj4og День назад

      Mzee baba niambie Mimi nipo kundi namba ngapi Mana nimeshindwa kuelewa hp 1/1/1992

  • @innocentmtondo9656
    @innocentmtondo9656 Год назад +27

    Nilikua naitafuta sana hii video umetisha sana mwamba👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🫡 life path number 4 ngonga like👍🏻

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Год назад +64

    Namba 9 tukutane hapa kwa like 👍

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад +23

    Number 3 hapa tujuane na Ubunifu wetu🤸🏼‍♂🤸🏼‍♂🤸🏼‍♂

  • @BUSHASHASWITCH
    @BUSHASHASWITCH Год назад +15

    Namba moja tujuane sasa twende kazi tunapenda kufikia malengo , kuchunguza hakili zawengine, kuwa wamanager , kupambana na malengo business

  • @HopeSinkara
    @HopeSinkara Год назад +6

    Mungu wangu weee kaka namba 2 zoote nimimi kabisaa huruma nakazi ushairi ualimu Mimi ni Councellor (mshauri) nanimekuwa mpatanishi sana nakiukweli nimekuwa nikipenda uandishi ualimu utangazaji na shughuli zote zinazohusisha kuzungumza uwiii u surprise me aiseee

  • @cow_boy98tz5
    @cow_boy98tz5 Год назад +13

    vyema sana umechambua zaidi ata ya nilivyo dhani thanks mimi ni namba 9 life path am cowboytz 🤠

  • @JuliusMichael-wo9tn
    @JuliusMichael-wo9tn Год назад +12

    Namb 7 tukutane like

  • @ayshaally8804
    @ayshaally8804 Год назад +5

    No moja 1 twende kazi👋👋👋

  • @WWE12361
    @WWE12361 Год назад +10

    Namba nne tujuane kwa kupiga like hapo chini 😁😁

  • @kasembojackson6850
    @kasembojackson6850 Год назад +4

    Nakupongeza sana kwa kai nzuri,naomba unifafanulie move ya foteseven Robin kutoka Japan je ni kiasa hicho ni cha kweli? Na pia movie za jems bond, ni movie za kufikirika tu au ni za kweli? Nitashukuru sana,naitwa Rebekah sasa kwenda kazi!!!

  • @classicmediaenter10ment44
    @classicmediaenter10ment44 Год назад +6

    Unaweza sana mzee wangu tunakupenda sana

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Год назад +6

    Number 3 uhakika twende kazi

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 Год назад +6

    Ebwana eeh hii namba 8 pure kbsa

  • @afreyghp34
    @afreyghp34 Год назад +3

    Sure nmepata namba 1.. 🤝

  • @roi2554
    @roi2554 Год назад +50

    Wanangu namba 8 tukutane apa kwa like

  • @furahakyalo1309
    @furahakyalo1309 Год назад +8

    Najiona mimi kabisa kwenye namba 8

  • @kozzomix120
    @kozzomix120 Год назад +7

    Number 9 tujuane hapa

  • @geraldlaurent6750
    @geraldlaurent6750 Год назад +7

    Mimi ni mwalim Haki ya Mungu ni namba 2 na ninapenda usawa na haki

  • @gabbyedward4079
    @gabbyedward4079 6 месяцев назад +3

    Umetisha Broo
    No 7

  • @joycekazungu1259
    @joycekazungu1259 3 месяца назад +1

    Hahahaa...Mimi ni namba moja...Mume wangu namba 7 na watoto wetu wote wawili namba mbili...Asantee sana

  • @selebala9673
    @selebala9673 Год назад +8

    Najiona Moja kumbe 7😂😂😂

  • @CheedBoy-iv1oj
    @CheedBoy-iv1oj Год назад +16

    Mamba 7 tukutane like❤

  • @shillahboazy3156
    @shillahboazy3156 Год назад +7

    Namba 9✊➳

  • @fistonnduwimana3105
    @fistonnduwimana3105 Год назад +8

    Number 8 tujuane,,,,,sasa twende kazi

  • @aminamjema-kf7qr
    @aminamjema-kf7qr Год назад +1

    Du ahsante sana kipindi kiendelee maisha marefu

  • @radiusmgambwa7062
    @radiusmgambwa7062 Год назад +8

    namba 3 like za kutosha 😅👍

  • @caimanbenz9590
    @caimanbenz9590 Год назад +6

    Number 6 tujuane hapa

  • @sakinalwambano6062
    @sakinalwambano6062 Год назад +4

    number 6 ni kweli kabisa

  • @mussamtogwa4665
    @mussamtogwa4665 Год назад +6

    Mimi ni namba 5 ila kuna mengine umesema ni kweli na mengine sifanani nayo kabisa na kazi ninazo fanya

    • @johndavid_video6506
      @johndavid_video6506 10 месяцев назад

      Wewe utakuwa unavuta bangi ndio maana vingine kwako havipo😅😅

    • @BrianKibako
      @BrianKibako 3 месяца назад

      mimi ni nambari 5
      napendaa zaidiiii kuishi mahali tulivu na kuchukia m2 ni nadraaa ila ukiniuudhi hatuwezi elewana hata kidogo pia niko na msimamo Ajabuu hadi wazazi uaamini ninachofanya kwa makiniiii😂😂😂😂😮😮

  • @wandawa4500
    @wandawa4500 Год назад +7

    Namba 9

  • @charlessilyopa
    @charlessilyopa Год назад +7

    Namba 8 naomba mnifate

  • @beatusdaniel
    @beatusdaniel 2 месяца назад

    Asanteeee San mungu akubariki San

  • @oscarmario466
    @oscarmario466 Год назад +3

    Namba nne hapa aisee jama inajua sana

  • @trayoversion
    @trayoversion Год назад +4

    7 ni mimi kabisa yani na nimegundua ukubwa huu

  • @razakiomary3969
    @razakiomary3969 Год назад +4

    ii habari iludie kwa ufasaha mfano sisi wa tarehe 27 march 1996 namba 10 inakuja na umeishia namba 9

    • @eliaslaban9087
      @eliaslaban9087 Год назад +1

      Hyo ni namba 1 chukua 1+0=1
      Maana namba inatakiwa ibaki moja pekee

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 Год назад +2

      Wewe ni kiongozi

  • @salumsalum5712
    @salumsalum5712 Год назад +3

    Mimi n Albert Einstein Sasa twende kazi

  • @abbyibu5463
    @abbyibu5463 Год назад +2

    duuuh namba yangu na mambo yangu ni kweliii kabisa

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w Год назад +2

    Namba 1 ni Mimi kabisaaa.
    Namba 9 ni Mama yangu kabisaaa.
    ✊✊✊

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 Год назад

    Namber 1 twende kazi

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 Год назад +6

    Nyota na tarehe za kuzaliwa na mambo kama hayo yatakusaidia nini bongo hii bila kukomaaa hutoboi mzee utaishia kujipa moyo tu lakin bila mikazo mbona kesho tu ni mke wa mtu budah

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 Год назад +1

      Kutokujua Life Path yako ndiyo maana unajikuta unatumia nguvu Bahari matokeo kidimbwi nakuna wengine wanaojua nguvu kidimbwi matokeo Bahari kuwa don't work hard work smart

  • @vickymlacha5050
    @vickymlacha5050 Год назад +2

    Namba 5 tujuane hapa,Yani kweli kabisa ndivyo nilivyo na namba yangu

  • @vijanachannel3878
    @vijanachannel3878 Год назад +2

    Nambari saba njooni hapa
    Hii ni kweli

  • @user-wp3rp8ss1h
    @user-wp3rp8ss1h Год назад

    Asante Sana 🙏🙏🙏

  • @ramadhanialhabiby6458
    @ramadhanialhabiby6458 6 месяцев назад

    Kiongozi apa Waziri mkuu mtarajiwa No 1🎉

  • @LugeLongoi-c5e
    @LugeLongoi-c5e 15 дней назад

    Mungu wangu na 7 yan ni mimi kbsa

  • @henrylugendo280
    @henrylugendo280 Год назад +6

    Safi sana

  • @omaryjuma6086
    @omaryjuma6086 Год назад +3

    Nimepata no#9

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Год назад +3

    Wazungu woote ni namba 9😅

  • @nabilshaban-oy1mi
    @nabilshaban-oy1mi Год назад +8

    Namba 4 apa

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад +1

    Wa kwanza naomba like za nguvu

  • @lydjchriss344
    @lydjchriss344 4 дня назад

    Duh December ni real me kabisa hujakosea kabisa😂❤

  • @user-yc9rq3rs4l
    @user-yc9rq3rs4l 6 месяцев назад +1

    Mashallha namba 9

  • @adamzakaria5860
    @adamzakaria5860 Год назад +2

    sawa kaka shedi nitafutie giants naomba dondoo

  • @Jay-Ningo
    @Jay-Ningo 11 месяцев назад

    Asante sana

  • @kamarukamaru7768
    @kamarukamaru7768 Год назад

    Namba tisa 🙏💚

  • @annastaziarenatus9880
    @annastaziarenatus9880 Год назад

    Kweli kabisa namba yangu imeeleza wazi nilivyo jamani asante kwa somo zuri

  • @juniourku
    @juniourku 11 месяцев назад

    Sasa twende kaz 🔥🔥🔥 ni kwel kabis nimejiona na6

  • @ShedinhoMoses
    @ShedinhoMoses 14 дней назад +1

    Hapo nimeshindwa kuelewa nimezaliwa tarehe 29/9/1999 hesabu yake nimeshindwa kuelewa msaada

  • @annewachira4317
    @annewachira4317 Год назад +1

    Asante

  • @qwazy2030.
    @qwazy2030. Год назад +4

    Namba 9 tujuane😁😁

  • @dandy_unique
    @dandy_unique Год назад +3

    kilicho ntokea nikwamba hesabu yangu...imenipa....29,,2+9,,=11,,je nifanyaje...au mm ndo...nisubir miujiza

    • @eliaslaban9087
      @eliaslaban9087 Год назад +2

      Chukua hyo 11 yaan iwe 1+1 maana me nilivyoelewa namba inatakiwa ibaki moja pekee

    • @baloz8974
      @baloz8974 Год назад

      Pia mm nimeelewa hivyo 11 = 1+1 =1 ni sawa na mimi

    • @eliaslaban9087
      @eliaslaban9087 Год назад

      @@baloz8974 Hyo 11 ni hv 1+1=2 ndyo namba yake hapo

  • @dionesebutoyi7256
    @dionesebutoyi7256 Год назад +1

    Namba 3 gonga like twende sambamba

  • @user-vf8qt8fn5p
    @user-vf8qt8fn5p 9 месяцев назад +2

    Namba 7 twende kazi

  • @ayubuamsonjr9437
    @ayubuamsonjr9437 Год назад +3

    Hiii ni kwel mana najiona kwenye 8 alafu nina fit😂❤

    • @marthajeremiah
      @marthajeremiah Год назад +1

      Ukiona SI kweli,basi hajazaliwa tar hiyo..maana Kuna watu wameficha umri

    • @ayubuamsonjr9437
      @ayubuamsonjr9437 Год назад +1

      @@marthajeremiah kwel🫡kabisa

    • @papaamkinga_
      @papaamkinga_ Год назад

      Hahahahahah Mimi kabisa

  • @princedoudou5909
    @princedoudou5909 Год назад +2

    Namba mbili tunujuwane Kwa like tusishindwe

  • @abdillahathmani
    @abdillahathmani Год назад

    ahaa broo mi nimepayangu ni2

  • @rebaccaewoi8882
    @rebaccaewoi8882 4 месяца назад

    Mimi apa no 8 yani ni very true 💯✍️

  • @MichaelNdilanha-ne9nd
    @MichaelNdilanha-ne9nd Год назад +1

    Mi namba 6 ni kweli uliyosema

  • @alhmdulilah1187
    @alhmdulilah1187 Год назад +2

    2 😊😊😊

  • @mnesoboy4338
    @mnesoboy4338 11 месяцев назад +1

    Aaah kudadeki hii imeenda namba7

  • @PeterMabulaTz
    @PeterMabulaTz Год назад

    Mimi ni namba 7 na ni Mwl wa Neno la MUNGU. Nakushauri Kila mmoja unayeangalia video hii okoka kwa kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi wako

  • @faidhangunda161
    @faidhangunda161 Год назад

    Vijana pigen kaz mm occupation yangu tofaut na mpunga mnene napiga

  • @ireneminja1395
    @ireneminja1395 Год назад +4

    😂 Sina sifa hata mojA

  • @user-vl1ep4uh9e
    @user-vl1ep4uh9e Год назад

    Na mimi ni namba 1 nifanyie nin

  • @zakiahaji1683
    @zakiahaji1683 Год назад +1

    No 5 ni kwel kbsa jmn mm😃😃😃

  • @kistofua8089
    @kistofua8089 Год назад +1

    Mimi ni namba 9

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 Год назад

    Sasa twende kazi

  • @fatmamwalim-ih4ku
    @fatmamwalim-ih4ku 5 месяцев назад

    Nnimepata namba 2 Maelezo yote uliyoongea ni kweli kabisa*Kuna watu wazima wanakuja kuniomba Ushauri na unawaletea matumda

  • @MNexNexI
    @MNexNexI Год назад

    Good

  • @Blaisebangwa.drc-1
    @Blaisebangwa.drc-1 Год назад +1

    Nimepata namba 9

  • @bedadifasoni3949
    @bedadifasoni3949 Год назад

    The 1

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 Год назад +2

    Mimi namba yangu ni 4

  • @adidjasilu
    @adidjasilu День назад

    Mimi ni number 6

  • @user-cy1ov9qv1w
    @user-cy1ov9qv1w 4 месяца назад

    Mimi ni number 7

  • @franciskinandu-ov7cy
    @franciskinandu-ov7cy Год назад +3

    7

  • @LUCIANAMwakipesile
    @LUCIANAMwakipesile 3 месяца назад

    Kabsa aisee nimejua mi namba yangu 8 ya mume wang 5 mwanangu mmoja 4 na mwingne 7

  • @frankzebedayo7717
    @frankzebedayo7717 Год назад +1

    nmepata namba 3

  • @thomazmedia7342
    @thomazmedia7342 Год назад

    Namba 1

  • @JescaMusa
    @JescaMusa 7 месяцев назад

    Wow ili somo zur saan je vipi kuhusu wa namba kumi

  • @noelsoko106
    @noelsoko106 Год назад +1

    Habari,nimejumlisha Namba nimepata 10 hii imekaaje

  • @KakuleAnicet-jo8vy
    @KakuleAnicet-jo8vy 2 месяца назад

    Amen Amen

  • @OswardMangazeni
    @OswardMangazeni 3 месяца назад

    Namba 9 moja hiyo Mr unatisha

  • @milembejuma426
    @milembejuma426 Год назад +2

    Mamba 2

  • @kibokibosho7476
    @kibokibosho7476 Год назад

    shed wew ni mwalimu ulisahaulika mtaani ungetakiwa uwe shule na wanafunzi lazima wangeelew2

  • @mugishajoseph8851
    @mugishajoseph8851 Год назад +3

    Bro hapa duniani kumejaa watu w tibia mbaya nyingi sn ( ila nasikitika kuona sikuona namba ya watu w tabia mbaya)

    • @specialminds23
      @specialminds23 Год назад +1

      You're right dear

    • @raphaelmirambo248
      @raphaelmirambo248 7 месяцев назад

      Hakuna aliyeumbwa na Ubaya, kila mtu Mungu kampa Ubora wa kipekee kwenye eneo fulani. Ukienda against na Ubora wako ndo unajikuta unaforce kufanya ya wengine then unaishia pabaya

  • @experius1183
    @experius1183 Год назад

    Kama kweli hv😀

  • @Jay-Ningo
    @Jay-Ningo 11 месяцев назад +1

    Mimi nimber saba

  • @mosesmillimo4447
    @mosesmillimo4447 Год назад

    kila kitu ulichosema ni kweli yangu ni moja