NJOZI YA ADHANA UKILALA UKAOTA UNATOA ADHANA AU UNASIKIA ADHANA. HII NDIO TAFSIRI - SHEIKH KHAMIS S.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Ulimwengu Wa Njozi
    #MasjidMtoroOnlineTv #Njozi_Na_Ndoto

Комментарии • 72

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy 6 месяцев назад +3

    Jitaidi kuingia katika pwent vidio ndefu mpk inachosha

  • @zakiaali79
    @zakiaali79 2 года назад +3

    Shekh mie ni mwanamke na nmeota naadhin na ndgu zang wanasifia na kushangazwa na saut ang manaake n nni tafadhali🙏🙏

  • @abdulqaderalmarzooqi3614
    @abdulqaderalmarzooqi3614 4 года назад +5

    Mashaallah Allah akupe maisha marefu

  • @abuumkota5505
    @abuumkota5505 4 года назад +5

    Allah atujaarie kheri na mwisho mwema wallahu ya'alam

  • @AmourMharami
    @AmourMharami 2 месяца назад

    Mashallah mim usiku wa jana kuamkia Leo nimetoa nimetoa adhana msikitin Kwa sauti mzuri na watu wakaja kwa wingi sana na kutaka kuona ni nani aanayetoa adhana na hatimaye swafu zilijaa nilivomaliza kuadhini nikashtuka

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +2

    Skukran sheikh, insha Allah nitazichunguza na kuzifutilizia huenda nitapata nazuri kumaisha🤲🤲🇰🇪

  • @mahmudumsuya3831
    @mahmudumsuya3831 Год назад +1

    MASHAALLAH

  • @balotelingalundangalunda1338
    @balotelingalundangalunda1338 4 года назад +1

    JAZAKALLAHU KHAIRA ya sheikh. sheikh nmeota et namuona mtoto mchanga anajifungua yani anazaa kiukwel nmeshangaa sana naomba unisaidie sheikh

  • @salmamwamende7455
    @salmamwamende7455 4 года назад +4

    Asalam aleykum sheikh Mimi hua naota maneno ya Quran yameandikwa angani na pia zamani nilikua naona maneno ya Quran yanaandokwa pindi radi inapo mulika

  • @ahmedsaeid3314
    @ahmedsaeid3314 4 года назад +2

    Allah Atufanyie wepesi InshaAllah

  • @vdhjhdhdhhhd9332
    @vdhjhdhdhhhd9332 4 года назад +1

    Mashallah..asantee kwa ufahamu

  • @kaimaaboobacker6226
    @kaimaaboobacker6226 9 месяцев назад

    MashaAllah thanks

  • @mariabahebe4411
    @mariabahebe4411 2 года назад +1

    Nafurah xana

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 года назад

    Mimi nimeota adhana inasomwa nikasema mashaallah hii adhana msomaji mashaallah anasauti mzur bc na niliota majuz na jana maharibi bc ikaadhiniwa adhana kweli kweli nikasema vile vile mashaallah saut yake iko vizur na wala hio sio ndoto nikweli kabisa jee inamana gan

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir 4 года назад +1

    Mashaallah shukran

  • @nasmanasma572
    @nasmanasma572 5 месяцев назад

    Mashallah shehe mm uwa naota sana nikiwa naswali au nasoma Quani inamanisha nn shehe

  • @kilimilekilimile6446
    @kilimilekilimile6446 2 года назад

    Maa Sha Allah

  • @shabaniramadhani657
    @shabaniramadhani657 4 года назад +1

    Sheikh tupo pamoja sanaaaa

  • @mwalamidihimbwa6459
    @mwalamidihimbwa6459 11 дней назад

    Huwa maranyingi sana mi naota naazini na Muda Kama muda waswala unakalibia cjatoka usingizini naota naazini ama naswalisha

  • @swaumumakunga2469
    @swaumumakunga2469 2 года назад

    Masha Allah

  • @khadijatirionaire2510
    @khadijatirionaire2510 4 года назад

    Shukrani shek

  • @nepomucenenyandwi5233
    @nepomucenenyandwi5233 4 года назад +2

    Allahuma amini

  • @haza2074
    @haza2074 10 месяцев назад

    Salama Aleyku shekher kuna mtu ana Ota adhana inatolewa mala 2 sio muislam

  • @joharrashid2762
    @joharrashid2762 Год назад

    Assalam aleykum mm nimeota mzazi mwenzangu ananipeleka mafichoni akabadilika kuwa paka nikaogopa kisha nikashangaa natoa adhana nayule paka kukimbia nakuogopa ila sikufika mwisho nikaamka

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад

    Mashallllah

  • @husseinkitingi8186
    @husseinkitingi8186 Год назад

    Mi nimeota naadhini kwa sauti nzuri na yakuvutia na kila mmoja akaifurahia ila sikuimalizia

  • @saidahamisi6404
    @saidahamisi6404 4 года назад +1

    MashaAllah

    • @sebbymwajuma3853
      @sebbymwajuma3853 4 года назад

      Asalaam Aleikum mm nishawahi kuota maiti wa kike katoka kwenye jeneza na akaadhini tena Kwa sauti nzuri maashallah jee maanake nn

  • @rayyanomar3813
    @rayyanomar3813 5 месяцев назад

    Shekhe zote umeroa za aliye toa AZANA jee aliyeota amesikia azana inamaana gani??

  • @swalehmwalim244
    @swalehmwalim244 3 года назад

    Barakallah fiika lakini VIP kuota unaiskiya adhana inatolewa maskioni mwako tenayote mawili

  • @fatmasaiderick1935
    @fatmasaiderick1935 4 года назад

    A/alekum shekh ,m nimeota napita sehem nikaskia adhana nikawaona wanawake wawili wametulia vile vile baada ya kuskia adhana bac namm nika piga magoti nikanyanyua mikono juu namuomba mungu shida zangu,lakin upane mwingine kunamwanamke ananiambia maneno haya ujajistir unamuombaje mungu wakati mm nimevaa gauni ndefi adi chin ya kaushi na nimejitanda kanga vizur tu nn maana yake

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад

    Amiin

  • @masudimlage4616
    @masudimlage4616 2 года назад +1

    Ukiota ndoto unatoa achana upo ndani ya gari maana yake Nini?

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 4 года назад

    شكرا جزيلا

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 3 года назад

    Salaam, Sheikh! Je, kuota nimesikia Adhana ikiadhiniwa kwa sauti iliyo nivutia mno. Kiasi nilivyo amka nikawa naitamani kusikia tena ile Adhana. Maana yake nini? Tafadhwal, Sheikh!

  • @mjaweathman6519
    @mjaweathman6519 5 месяцев назад

    Warefusha saana enda kwenye point tunatumia bundles 😮😮😮

  • @AminaOman-j7e
    @AminaOman-j7e Год назад

    Shehe nimepata nipo chooni najisaidia haja ndogo alafu pembeni yangu kunakinyesi kikubwa kipo pembeni ya shimo.wakati napeleka macho nje ya choo Hiko Yani Kwa nje nikaona kama Kuna ndege katika limit sijui mgomba Ile wapo kama watatu au wawili hao ndege ila ndege awo nikiwangalia miguu naona kama ndizi ambazo zimeiva Yani mfano wa miguu Yao ni ndizi Yani naona kama ndizi za kuiva

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 2 года назад

    Mm nakushauri sh kuna ulazima gani kila unapo anza kipindi wewe lazma uanze na doto za na bii yusuf au na bii ibrahim mm naona hiyo haina ulaxima wewe nenda kwenye main poit ambayo umeiandaa unakua una take time unafanya prosses iwe kubwa

  • @mvanobilali8502
    @mvanobilali8502 3 года назад

    A w w
    mwalimu kuota niko kwenye tundu la msalani kisha na sikia adhana ina tokea mtundu la msalani ina maanisha nini?

    • @راجيعواجي
      @راجيعواجي 2 года назад

      mimi naiota kila mara lakin simimi ninae adhin ni mtu mwengine na hua ikiadhin niwakati wa kswali

    • @راجيعواجي
      @راجيعواجي 2 года назад

      kutokwa na akili vpi

    • @راجيعواجي
      @راجيعواجي 2 года назад

      khamisi download masjid mtoro ina mafunzo ya islam

  • @WhosnerSemboko
    @WhosnerSemboko 2 года назад

    Mm nimeota Leo watoto wa3 wanatoa Adhana wamekaa barabarani maana yake nn?

  • @rahmahabibu1432
    @rahmahabibu1432 Год назад

    Mimi nimeota namuadhinia mtoto aliezaliwa kisa hapana mwanaume

  • @happyhamza9916
    @happyhamza9916 2 года назад

    Shekhe mi niliota sehem natoa Adhana afu ambao nawadhinia walitaka kunishika shingoni lakin walitaka kushika cheni lakin kwenye kidani kina maneno ya Qurani Ile wanataka kunishika gafla nikazaa kudhini afu sauti ya adhana inawachoma masikioni Ila namka kweli nasikia Adhana.hii nini Maan yake

  • @ummunajma9450
    @ummunajma9450 4 года назад

    Assalam alykm shekh wangu, naomba kuuliza tafadhali hivi jozi mtu anayoota mda gani ndio inakuwa ya ukweli, mara saa nyingine hulala asubihi jua likitoka mpaka saa nne na kuota. Je ndoto ya mda huo inaweza kuwa ina maana pia?

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 4 года назад +1

      Mwanakombo Chakwe
      wanasema wasomi n masaa ya kıza kinene saa 1/2/3 yaani
      saa saba/nane na tisa
      Allah ya3alamu

  • @naominapendwa141
    @naominapendwa141 2 года назад +1

    Nimesikia azana usingizini ghafla nikanza kusafisha duka maana kulikuwa na karatasi nyingi Sana ndan ya dukan nikawa naziokota Nini maana yake

  • @munnahasha9324
    @munnahasha9324 3 года назад

    Je kama umelala naukasikia adhana manayake

    • @awaahassan936
      @awaahassan936 2 года назад

      Mimi niliota mara tatu hii ndoto

  • @brendahnamitati6818
    @brendahnamitati6818 4 года назад +1

    You ought know that half of your followers are not Muslims. Kindly limit your preaching in Arabic. Thank You for sharing

    • @shamisfahiye9628
      @shamisfahiye9628 3 года назад

      Lol , I don't think you understand that he need to quote where he's dreams interpretation meanings coming from. ..and where the references coming from.. ..

  • @AminaOman-j7e
    @AminaOman-j7e Год назад

    Shehe pia nimeota nikiwa nimeshika sahani ndani ya sahani hiyo Kuna maembe nikawa nawapa watu wawili yayo maembe Tena ya kuiva alafu embe bichi nikabaki nalo .baada ya apo nikasikia hazana inahaziniwa nikawambia wale watu Mimi nasikia hazana naenda kuswali nikaondoka Nini maana yake

  • @zammaulidi7507
    @zammaulidi7507 3 года назад

    Nimesikia Azana Ila nipo barabarani mskiti nauona ule pale Ila kuna vijana nje lakini wnaqmya zogo wao hawaskilizi kisha imimi nikaenda tia udhu ila Kwa anaume sasa nikaeekezwa nend kule kw wanawake Ila sijasali yaaja mambo mengine tena

  • @nepomucenenyandwi5233
    @nepomucenenyandwi5233 4 года назад

    Tuko sambamba ya shekhe tunakusikia kwamakini haujakosea

  • @sakinamohamedy7506
    @sakinamohamedy7506 4 года назад

    Mm niliota tunaswali taraweh lkn wanaume wapo nyuma ya wanawk. Lkn ktk swala ile watu hawasomi nyiradi bas mm nikaanzisha uradi mmj kisha tukasimama ili tuanze kuswali ghafla nikaona waganga wakienyeji wamesimama nyumbn kwetu wanamwaga damu

  • @balotelingalundangalunda1338
    @balotelingalundangalunda1338 4 года назад +1

    JAZAKALLAHU KHAIRA ya sheikh. sheikh nmeota et namuona mtoto mchanga anajifungua yani anazaa kiukwel nmeshangaa sana naomba unisaidie sheikh