Mashallah mim usiku wa jana kuamkia Leo nimetoa nimetoa adhana msikitin Kwa sauti mzuri na watu wakaja kwa wingi sana na kutaka kuona ni nani aanayetoa adhana na hatimaye swafu zilijaa nilivomaliza kuadhini nikashtuka
Asalam aleykum sheikh Mimi hua naota maneno ya Quran yameandikwa angani na pia zamani nilikua naona maneno ya Quran yanaandokwa pindi radi inapo mulika
Mimi nimeota adhana inasomwa nikasema mashaallah hii adhana msomaji mashaallah anasauti mzur bc na niliota majuz na jana maharibi bc ikaadhiniwa adhana kweli kweli nikasema vile vile mashaallah saut yake iko vizur na wala hio sio ndoto nikweli kabisa jee inamana gan
A/alekum shekh ,m nimeota napita sehem nikaskia adhana nikawaona wanawake wawili wametulia vile vile baada ya kuskia adhana bac namm nika piga magoti nikanyanyua mikono juu namuomba mungu shida zangu,lakin upane mwingine kunamwanamke ananiambia maneno haya ujajistir unamuombaje mungu wakati mm nimevaa gauni ndefi adi chin ya kaushi na nimejitanda kanga vizur tu nn maana yake
Salaam, Sheikh! Je, kuota nimesikia Adhana ikiadhiniwa kwa sauti iliyo nivutia mno. Kiasi nilivyo amka nikawa naitamani kusikia tena ile Adhana. Maana yake nini? Tafadhwal, Sheikh!
Shehe nimepata nipo chooni najisaidia haja ndogo alafu pembeni yangu kunakinyesi kikubwa kipo pembeni ya shimo.wakati napeleka macho nje ya choo Hiko Yani Kwa nje nikaona kama Kuna ndege katika limit sijui mgomba Ile wapo kama watatu au wawili hao ndege ila ndege awo nikiwangalia miguu naona kama ndizi ambazo zimeiva Yani mfano wa miguu Yao ni ndizi Yani naona kama ndizi za kuiva
Mm nakushauri sh kuna ulazima gani kila unapo anza kipindi wewe lazma uanze na doto za na bii yusuf au na bii ibrahim mm naona hiyo haina ulaxima wewe nenda kwenye main poit ambayo umeiandaa unakua una take time unafanya prosses iwe kubwa
Shekhe mi niliota sehem natoa Adhana afu ambao nawadhinia walitaka kunishika shingoni lakin walitaka kushika cheni lakin kwenye kidani kina maneno ya Qurani Ile wanataka kunishika gafla nikazaa kudhini afu sauti ya adhana inawachoma masikioni Ila namka kweli nasikia Adhana.hii nini Maan yake
Assalam alykm shekh wangu, naomba kuuliza tafadhali hivi jozi mtu anayoota mda gani ndio inakuwa ya ukweli, mara saa nyingine hulala asubihi jua likitoka mpaka saa nne na kuota. Je ndoto ya mda huo inaweza kuwa ina maana pia?
Lol , I don't think you understand that he need to quote where he's dreams interpretation meanings coming from. ..and where the references coming from.. ..
Shehe pia nimeota nikiwa nimeshika sahani ndani ya sahani hiyo Kuna maembe nikawa nawapa watu wawili yayo maembe Tena ya kuiva alafu embe bichi nikabaki nalo .baada ya apo nikasikia hazana inahaziniwa nikawambia wale watu Mimi nasikia hazana naenda kuswali nikaondoka Nini maana yake
Nimesikia Azana Ila nipo barabarani mskiti nauona ule pale Ila kuna vijana nje lakini wnaqmya zogo wao hawaskilizi kisha imimi nikaenda tia udhu ila Kwa anaume sasa nikaeekezwa nend kule kw wanawake Ila sijasali yaaja mambo mengine tena
Mm niliota tunaswali taraweh lkn wanaume wapo nyuma ya wanawk. Lkn ktk swala ile watu hawasomi nyiradi bas mm nikaanzisha uradi mmj kisha tukasimama ili tuanze kuswali ghafla nikaona waganga wakienyeji wamesimama nyumbn kwetu wanamwaga damu
Jitaidi kuingia katika pwent vidio ndefu mpk inachosha
Shekh mie ni mwanamke na nmeota naadhin na ndgu zang wanasifia na kushangazwa na saut ang manaake n nni tafadhali🙏🙏
🤣🤣
Mashaallah Allah akupe maisha marefu
Amin yaaraby
Allah atujaarie kheri na mwisho mwema wallahu ya'alam
Maelezo mazur mashaallah
Amin yarab twakuomba wajawako
Mashallah mim usiku wa jana kuamkia Leo nimetoa nimetoa adhana msikitin Kwa sauti mzuri na watu wakaja kwa wingi sana na kutaka kuona ni nani aanayetoa adhana na hatimaye swafu zilijaa nilivomaliza kuadhini nikashtuka
Skukran sheikh, insha Allah nitazichunguza na kuzifutilizia huenda nitapata nazuri kumaisha🤲🤲🇰🇪
Shukran
MASHAALLAH
JAZAKALLAHU KHAIRA ya sheikh. sheikh nmeota et namuona mtoto mchanga anajifungua yani anazaa kiukwel nmeshangaa sana naomba unisaidie sheikh
Baloteli Ngalunda Ngalunda
hahaha
nmecheka sanaa
Asalam aleykum sheikh Mimi hua naota maneno ya Quran yameandikwa angani na pia zamani nilikua naona maneno ya Quran yanaandokwa pindi radi inapo mulika
Allah Atufanyie wepesi InshaAllah
Amin yaaraby
Mashallah..asantee kwa ufahamu
MashaAllah thanks
Nafurah xana
Mimi nimeota adhana inasomwa nikasema mashaallah hii adhana msomaji mashaallah anasauti mzur bc na niliota majuz na jana maharibi bc ikaadhiniwa adhana kweli kweli nikasema vile vile mashaallah saut yake iko vizur na wala hio sio ndoto nikweli kabisa jee inamana gan
Mashaallah shukran
Ahsante
Mashallah shehe mm uwa naota sana nikiwa naswali au nasoma Quani inamanisha nn shehe
Maa Sha Allah
Sheikh tupo pamoja sanaaaa
Huwa maranyingi sana mi naota naazini na Muda Kama muda waswala unakalibia cjatoka usingizini naota naazini ama naswalisha
Masha Allah
Shukrani shek
Shukurani shek
Allahuma amini
Salama Aleyku shekher kuna mtu ana Ota adhana inatolewa mala 2 sio muislam
Assalam aleykum mm nimeota mzazi mwenzangu ananipeleka mafichoni akabadilika kuwa paka nikaogopa kisha nikashangaa natoa adhana nayule paka kukimbia nakuogopa ila sikufika mwisho nikaamka
Mashallllah
Mi nimeota naadhini kwa sauti nzuri na yakuvutia na kila mmoja akaifurahia ila sikuimalizia
MashaAllah
Asalaam Aleikum mm nishawahi kuota maiti wa kike katoka kwenye jeneza na akaadhini tena Kwa sauti nzuri maashallah jee maanake nn
Shekhe zote umeroa za aliye toa AZANA jee aliyeota amesikia azana inamaana gani??
Barakallah fiika lakini VIP kuota unaiskiya adhana inatolewa maskioni mwako tenayote mawili
A/alekum shekh ,m nimeota napita sehem nikaskia adhana nikawaona wanawake wawili wametulia vile vile baada ya kuskia adhana bac namm nika piga magoti nikanyanyua mikono juu namuomba mungu shida zangu,lakin upane mwingine kunamwanamke ananiambia maneno haya ujajistir unamuombaje mungu wakati mm nimevaa gauni ndefi adi chin ya kaushi na nimejitanda kanga vizur tu nn maana yake
Jiangalie matendo yk
Amiin
Ukiota ndoto unatoa achana upo ndani ya gari maana yake Nini?
شكرا جزيلا
Salaam, Sheikh! Je, kuota nimesikia Adhana ikiadhiniwa kwa sauti iliyo nivutia mno. Kiasi nilivyo amka nikawa naitamani kusikia tena ile Adhana. Maana yake nini? Tafadhwal, Sheikh!
Warefusha saana enda kwenye point tunatumia bundles 😮😮😮
Shehe nimepata nipo chooni najisaidia haja ndogo alafu pembeni yangu kunakinyesi kikubwa kipo pembeni ya shimo.wakati napeleka macho nje ya choo Hiko Yani Kwa nje nikaona kama Kuna ndege katika limit sijui mgomba Ile wapo kama watatu au wawili hao ndege ila ndege awo nikiwangalia miguu naona kama ndizi ambazo zimeiva Yani mfano wa miguu Yao ni ndizi Yani naona kama ndizi za kuiva
Mm nakushauri sh kuna ulazima gani kila unapo anza kipindi wewe lazma uanze na doto za na bii yusuf au na bii ibrahim mm naona hiyo haina ulaxima wewe nenda kwenye main poit ambayo umeiandaa unakua una take time unafanya prosses iwe kubwa
A w w
mwalimu kuota niko kwenye tundu la msalani kisha na sikia adhana ina tokea mtundu la msalani ina maanisha nini?
mimi naiota kila mara lakin simimi ninae adhin ni mtu mwengine na hua ikiadhin niwakati wa kswali
kutokwa na akili vpi
khamisi download masjid mtoro ina mafunzo ya islam
Mm nimeota Leo watoto wa3 wanatoa Adhana wamekaa barabarani maana yake nn?
Mimi nimeota namuadhinia mtoto aliezaliwa kisa hapana mwanaume
Shekhe mi niliota sehem natoa Adhana afu ambao nawadhinia walitaka kunishika shingoni lakin walitaka kushika cheni lakin kwenye kidani kina maneno ya Qurani Ile wanataka kunishika gafla nikazaa kudhini afu sauti ya adhana inawachoma masikioni Ila namka kweli nasikia Adhana.hii nini Maan yake
Assalam alykm shekh wangu, naomba kuuliza tafadhali hivi jozi mtu anayoota mda gani ndio inakuwa ya ukweli, mara saa nyingine hulala asubihi jua likitoka mpaka saa nne na kuota. Je ndoto ya mda huo inaweza kuwa ina maana pia?
Mwanakombo Chakwe
wanasema wasomi n masaa ya kıza kinene saa 1/2/3 yaani
saa saba/nane na tisa
Allah ya3alamu
Nimesikia azana usingizini ghafla nikanza kusafisha duka maana kulikuwa na karatasi nyingi Sana ndan ya dukan nikawa naziokota Nini maana yake
Je kama umelala naukasikia adhana manayake
Mimi niliota mara tatu hii ndoto
You ought know that half of your followers are not Muslims. Kindly limit your preaching in Arabic. Thank You for sharing
Lol , I don't think you understand that he need to quote where he's dreams interpretation meanings coming from. ..and where the references coming from.. ..
Shehe pia nimeota nikiwa nimeshika sahani ndani ya sahani hiyo Kuna maembe nikawa nawapa watu wawili yayo maembe Tena ya kuiva alafu embe bichi nikabaki nalo .baada ya apo nikasikia hazana inahaziniwa nikawambia wale watu Mimi nasikia hazana naenda kuswali nikaondoka Nini maana yake
Nimesikia Azana Ila nipo barabarani mskiti nauona ule pale Ila kuna vijana nje lakini wnaqmya zogo wao hawaskilizi kisha imimi nikaenda tia udhu ila Kwa anaume sasa nikaeekezwa nend kule kw wanawake Ila sijasali yaaja mambo mengine tena
Tuko sambamba ya shekhe tunakusikia kwamakini haujakosea
Mm niliota tunaswali taraweh lkn wanaume wapo nyuma ya wanawk. Lkn ktk swala ile watu hawasomi nyiradi bas mm nikaanzisha uradi mmj kisha tukasimama ili tuanze kuswali ghafla nikaona waganga wakienyeji wamesimama nyumbn kwetu wanamwaga damu
Sakina Mohamedy
nacheka sana
sakina imam hakuna hivyo mpaka akaswalisha tu daaa!!
Maashalah
JAZAKALLAHU KHAIRA ya sheikh. sheikh nmeota et namuona mtoto mchanga anajifungua yani anazaa kiukwel nmeshangaa sana naomba unisaidie sheikh
Njoo WhatsApp
+255758678552
Asalam Aleykum sheikh mm naota kutapika sana usingizini nn maana yake