UKIOTA NDOTO INAYOHUSIANA NA NYOTA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Ulwengu Wa Njozi Ma Maana Zake.
    #MasjidMtoroTv #Njozi #Naana_Zake

Комментарии • 13

  • @ZainaJuma-m1w
    @ZainaJuma-m1w 6 месяцев назад

    Shekh mi nimeota nyota nyingi sana zimejikusanya mbinguni zote zinawaka na zimejipanga mistari huku zikitembea inamaana gani

  • @JudithWanyonyi-cp6mq
    @JudithWanyonyi-cp6mq 2 месяца назад +2

    Niliota Jina yangu luko na nyota tatu sinking,ara ina maana gani

  • @Zuleykha-b5z
    @Zuleykha-b5z 5 месяцев назад

    Tasfri ya nyota na mwez yaani mwezi uliindia kwenye nyota ambayo ilikuwa haina Nuru na ikangaa Ile nyota na baadae mwez ukatoka na kutoa miyale ambayo iliwazulu wengine

  • @sausanijahbless7682
    @sausanijahbless7682 2 года назад

    Asalam alykum samahani shehe nimepata kuota buibui wawili na jongoo mmoja wako chumbanikwangu nikawafukuza ila mbeleyao nikamuona mkaka arafu ni mpangajimwenzangu nini tafsiliyake

  • @shemmaster7swaleyuun228
    @shemmaster7swaleyuun228 Год назад

    JEE SHEKH UKIOTA NYOTA NA MWEZI VYOTE VIKO PAMOJA JEE TENA VIMEJITOKEZA MARA TATU KWENYE ANGA 1.MAANA YAKE NN

  • @khadharnoor9726
    @khadharnoor9726 4 года назад +1

    Haya mambo ya nyota mtume hakutufundisha shekh tupe dalili kwenye quran

  • @ashurasaid5017
    @ashurasaid5017 2 года назад

    Shekh niliiota mti wa mwembe unamaembe mengi yanadodoka na hapohapo nikaota nyota tatu zikatoka mbili zikaenda sehem nyingine lakini moja ikaja kutoka kwenyemti huku inangaa ikanidondokea na kuingia mwilini kwangu ikaingia ndani ya mwili wangu sehem ya miguuni maana yake nn shekh

  • @ixhamahmoodu9537
    @ixhamahmoodu9537 2 года назад

    Ukipata njozi nyota ziko juu ila kwa duwala na zina towa wanga wake na ww upo kwa chini naapo ulipo pana taswira za maeneo mawili tofauti

  • @teresiakaluki7988
    @teresiakaluki7988 2 года назад +1

    Kuota kuona mawingu juu bimguni

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 2 года назад

    Tafsiri mna ya ndoto asa wote ni viongozi au

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 года назад +2

    Nakiwa wasali usiku kisha uone mwanga umejitokezea kwa kona ya nyumba km nyota na ukimlika hapana kitu hapo ukizima torchi waiona yangaa hiyo nayo yaashiria nini

  • @maryaljabri4512
    @maryaljabri4512 4 года назад

    Asalam Alykum