KATIKA NJOZI YAKO UKIOTA NDOTO YA MBUZI | JIBASHIRIE MAZURI HAYA | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- KATIKA NJOZI YAKO UKIOTA NDOTO YA MBUZI | JIBASHIRIE MAZURI HAYA | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#MasjidMtoroTv #NjoziNamaanaZake #NyumbaYatibaNadua
Asalaam aleykum shekhe wetu asante sana kwa kutuelimisha mimi niko Oman lakini napenda sana kila napo ota kitu chcht nakutafuta you tube allha akujaliye
Sheikh mm nimeota mbuzi watatu wadogo lakini ni wazur sana wanamanyoya ya ndege tausi sehem Yao ya mgongo inameremeta nisaidie sheikh hii inamaana gani
Asante
S,aleikum nimeota mbuzi wawili mmoja anataka kuondoka na mwingine kachunjwa akiwa mzimaanataka kunifuata lkn hakunifikia
Asante shekhe kwa mafunzo
ASA ALYKHUM mimi nimeota nimekwenda kwa jiran nimkuta ana chinjwa alaf ghfla kajiunga kichwa anataka awe rafiki yang alaf nikalala hapo hpo chini akataka kulala na mm
Thanks sheikh
Na shukuru kwa mafunzo
Salaamu nimeota ndoto nikodani na mumewangu tunakula chakula ilanikakumbuka mumewangu ameingiadani amefunga mulangoama nivipi nikaendakuangalia ilikamahaiafunga mulangonifunge nikapatahajafunga kuangalianikashika mulangonikajaribu kufunguwa kindongo nikaufunga sailenaufunga nikasikiamulango niuzito kuangalianika onambuzi akaingiadani mbiyooo nikamukakatika ndoto mbuzianamapembe marefu machoyake mekundu mbuzimweuzi jamani nimeshituka nikashidwa kupingakelele
Nimeota nimelala nimembatia mbuzi mweusi na mke wangu yuko nyuma yangu kanisukuma nimkumbatie hiyo mbuzi huku mm nikipigana kumuachia
Mimi nimeota nilikuwa kanisani kisha nikaondoka kbla ibaada haijanza nikajiona nachinja kondoo ikamwaga damuu nyingi sana
Maalim.ukiwaa umeota usingizi njiwa mweupee amekunyiaa kichwani pamoja na mgongoni inamaaana gani.?
Hebu jikaze ww hii dini ni dini yaukakamavu sio legelege ja uboo wa msenge
Huwa nakuelewa nakukufuatilia sana
Mm nimeota nafukuzwa na mbuzi
Nimeota nalima kisha mwanamke mganga akaja kunifanyia tambiko na akanipa mbuzi kumchinja naomba unipe tafsiri
Mm nimeota nimeona mbuzi wengi wako mafungu washachinjwa mm nilipita tu na watu hawapiti mm nilipta watu walishangaa wote
Asalamu alaykum shekhe wangu
Kuota mbuzi wengi wanachunga kuna maana gani?
Ukiota ndoto ya nyoka wa kijan.
Cku za nyuma nilimkata mkia na akapotea miez miwili,baadae ajaja Tena na kuanza kufokaa
Jee Ukiota kama umekanyaga maviyabuzi nini maana yake ?
Nimeota mbuzi yupo kitandani kwangu
Mnatumia kauli yakubashilia kati katafsili mbaya kamaizo
Je kama mume kaota mkewe akimfukuza mbuzi ndani ya nyumba
Je ukiota mavi ya mbuzi maana yake nini?
Nimeota Mbuzi amejifungua mapacha maana yake nn
Mimi naota mbuzi wakikimbizana
Nimeota nachinja mbuzi jana usiku shekhe nini maana yake
Mm nimeota mbuzi anapaaa baadae akarud na mtoto mkonon bado anapaaa nini maana yke nisaidie shekh
Je ukiota kondoo anapaa angani arafu akashukia kwako na ukamdaka au
Je kuota kondoo nini maana yake
Kuota mbuzi wengi wanachunga kuna maana gani?
Nmeota nachunga mbuzi wengi na kondoo pia