KATIKA NJOZI YAKO UKIOTA NDOTO YA MBUZI | JIBASHIRIE MAZURI HAYA | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • KATIKA NJOZI YAKO UKIOTA NDOTO YA MBUZI | JIBASHIRIE MAZURI HAYA | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
    #MasjidMtoroTv #NjoziNamaanaZake #NyumbaYatibaNadua

Комментарии • 33

  • @aal8041
    @aal8041 Год назад +6

    Asalaam aleykum shekhe wetu asante sana kwa kutuelimisha mimi niko Oman lakini napenda sana kila napo ota kitu chcht nakutafuta you tube allha akujaliye

  • @TwahirKhamis
    @TwahirKhamis 2 месяца назад

    Sheikh mm nimeota mbuzi watatu wadogo lakini ni wazur sana wanamanyoya ya ndege tausi sehem Yao ya mgongo inameremeta nisaidie sheikh hii inamaana gani

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he Месяц назад

    Asante

  • @victoriafabian583
    @victoriafabian583 2 года назад

    S,aleikum nimeota mbuzi wawili mmoja anataka kuondoka na mwingine kachunjwa akiwa mzimaanataka kunifuata lkn hakunifikia

  • @husnajuma6249
    @husnajuma6249 4 года назад

    Asante shekhe kwa mafunzo

  • @awadhiabood8028
    @awadhiabood8028 2 года назад

    ASA ALYKHUM mimi nimeota nimekwenda kwa jiran nimkuta ana chinjwa alaf ghfla kajiunga kichwa anataka awe rafiki yang alaf nikalala hapo hpo chini akataka kulala na mm

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 3 года назад

    Thanks sheikh

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Год назад

    Na shukuru kwa mafunzo

  • @Arid-px3ub
    @Arid-px3ub Месяц назад

    Salaamu nimeota ndoto nikodani na mumewangu tunakula chakula ilanikakumbuka mumewangu ameingiadani amefunga mulangoama nivipi nikaendakuangalia ilikamahaiafunga mulangonifunge nikapatahajafunga kuangalianikashika mulangonikajaribu kufunguwa kindongo nikaufunga sailenaufunga nikasikiamulango niuzito kuangalianika onambuzi akaingiadani mbiyooo nikamukakatika ndoto mbuzianamapembe marefu machoyake mekundu mbuzimweuzi jamani nimeshituka nikashidwa kupingakelele

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 Год назад

    Nimeota nimelala nimembatia mbuzi mweusi na mke wangu yuko nyuma yangu kanisukuma nimkumbatie hiyo mbuzi huku mm nikipigana kumuachia

  • @jenniferjiveri1333
    @jenniferjiveri1333 2 года назад

    Mimi nimeota nilikuwa kanisani kisha nikaondoka kbla ibaada haijanza nikajiona nachinja kondoo ikamwaga damuu nyingi sana

  • @binhusain9983
    @binhusain9983 3 года назад

    Maalim.ukiwaa umeota usingizi njiwa mweupee amekunyiaa kichwani pamoja na mgongoni inamaaana gani.?

  • @mwigaali1942
    @mwigaali1942 2 года назад +1

    Hebu jikaze ww hii dini ni dini yaukakamavu sio legelege ja uboo wa msenge

  • @tumaininzunda7206
    @tumaininzunda7206 3 года назад

    Huwa nakuelewa nakukufuatilia sana

  • @mbwananongwa4415
    @mbwananongwa4415 7 месяцев назад

    Mm nimeota nafukuzwa na mbuzi

  • @masurinewambura247
    @masurinewambura247 Год назад

    Nimeota nalima kisha mwanamke mganga akaja kunifanyia tambiko na akanipa mbuzi kumchinja naomba unipe tafsiri

  • @khamisfoum4519
    @khamisfoum4519 3 года назад

    Mm nimeota nimeona mbuzi wengi wako mafungu washachinjwa mm nilipita tu na watu hawapiti mm nilipta watu walishangaa wote

  • @anliomar2534
    @anliomar2534 3 года назад

    Asalamu alaykum shekhe wangu

  • @theworldnatureandculture5354
    @theworldnatureandculture5354 Год назад

    Kuota mbuzi wengi wanachunga kuna maana gani?

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 4 года назад

    Ukiota ndoto ya nyoka wa kijan.
    Cku za nyuma nilimkata mkia na akapotea miez miwili,baadae ajaja Tena na kuanza kufokaa

  • @winnieboss9745
    @winnieboss9745 3 года назад

    Jee Ukiota kama umekanyaga maviyabuzi nini maana yake ?

  • @farhanialfarsi1983
    @farhanialfarsi1983 2 года назад

    Nimeota mbuzi yupo kitandani kwangu

  • @swalehmwalim244
    @swalehmwalim244 3 года назад

    Mnatumia kauli yakubashilia kati katafsili mbaya kamaizo

  • @muanasaselemaneselemane6614
    @muanasaselemaneselemane6614 3 года назад

    Je kama mume kaota mkewe akimfukuza mbuzi ndani ya nyumba

  • @allykiza8336
    @allykiza8336 3 года назад

    Je ukiota mavi ya mbuzi maana yake nini?

  • @rahmasaid5086
    @rahmasaid5086 2 года назад +1

    Nimeota Mbuzi amejifungua mapacha maana yake nn

  • @NgobolaKyabi
    @NgobolaKyabi 8 месяцев назад

    Mimi naota mbuzi wakikimbizana

  • @RajabuGota-yr9og
    @RajabuGota-yr9og Год назад

    Nimeota nachinja mbuzi jana usiku shekhe nini maana yake

  • @kidotitv5527
    @kidotitv5527 3 года назад

    Mm nimeota mbuzi anapaaa baadae akarud na mtoto mkonon bado anapaaa nini maana yke nisaidie shekh

    • @jastinmwita3571
      @jastinmwita3571 3 года назад

      Je ukiota kondoo anapaa angani arafu akashukia kwako na ukamdaka au

  • @haithamhassan4139
    @haithamhassan4139 2 года назад

    Je kuota kondoo nini maana yake

  • @theworldnatureandculture5354
    @theworldnatureandculture5354 Год назад

    Kuota mbuzi wengi wanachunga kuna maana gani?

  • @sakinahsuleiman2493
    @sakinahsuleiman2493 7 месяцев назад

    Nmeota nachunga mbuzi wengi na kondoo pia