NDOTO ZA WATOTO NA FAIDA ZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • NDOTO ZA WATOTO NA FAIDA ZAKE

Комментарии • 68

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 8 месяцев назад +1

    Ahsante kwa Elimu

  • @kavirachantal2374
    @kavirachantal2374 Год назад

    Asante sana kwasomo nzuri 🙏Mimi niliota nachapa mtoto wangu viboko paka nikamuumiza vidonda

  • @user-hh1jd2gs1j
    @user-hh1jd2gs1j 8 месяцев назад +1

    Mnajitia kutoa namba za simu, mkipigiwa mnakata, sms wasap hamjibu .....😢

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 2 года назад +1

    Ukiota unaletewa watoto wawili WA jinsia tofauti na unaambiwa kuwa ni wa mume wako,

  • @fathrish3216
    @fathrish3216 5 месяцев назад

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,mm nimeota nimepatiwa mtoto mchanga nikambeba kifuani kama vile mtu akijifungua anaekewa mtoto wake kifuani ....je ni nn maana yake

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Nimeota nipo na mama na kuna kaka yetu ambaye kachanganyikiwa anatukimbiza tukiwa na mdogo wangu wa mwisho ambaye sasa ni mkubwa nimeota yupo mdogo nimembeba

  • @mayaiddy6119
    @mayaiddy6119 3 года назад +2

    Nini maana ya kumuota kiogozi wa ichi yako ambae ameshakufa unamuona ndotoni na ukimfata anapotea na mbele unaona tembo wakubwa wanakufukuza

  • @KatosymphorianMaichal
    @KatosymphorianMaichal Месяц назад

    Je ukiota unaretewa hera kwako na watu wengi wanatokea mbere na nyuma ya nyumba yako ukawa unapokea unapereka ndan manayake nin

  • @javerymsangi2856
    @javerymsangi2856 2 месяца назад

    Mimi nmeota mwanangu katoka shule afukafikia Kwa jiran wanaanza kucheza ala akaanguka akaumia akaanza kulia na mm nkaanakumchapa ila wakat namchapa nkamuona akuwa amenenepa pana

  • @jolie2768
    @jolie2768 Год назад

    Niota mdogo wangu amemupa shangazi mtoto wangu ila shangazi hakuonesha upendo kwa mtoto uyo Aka rudisha mtoto kwa mdogo wangu wa kiume

  • @fatmaduru9307
    @fatmaduru9307 2 года назад +1

    Je nikiota Mimi mwenyewe nazaa mtoto inamaana gani

  • @tamimamtumwa-sw8xy
    @tamimamtumwa-sw8xy Год назад

    A,alaykum mimi nimeota mtoto wangu anakufa nikiwa nimembeba ubavuni mana baada yakuingia kijani kwenye skio lake maana yake nini

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Mama kaota mdigo wangu kaludi mdogo

  • @AnnitaShishi
    @AnnitaShishi 11 месяцев назад

    Nje kuota ndoto mtoto wangu amejifungia

  • @AhmadAli32589
    @AhmadAli32589 2 месяца назад

    Mii nimeota mtoto wangu kafarikii

  • @rehemasalim1440
    @rehemasalim1440 Год назад

    Ukiota umelala chini n dogoro jipya n umelala n n mtt mchanga usiemjua

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 Год назад

    Asante sana

  • @ShuwehaNassor
    @ShuwehaNassor Месяц назад

    Nmeota mwanangu anaanguka kinyumenyume maan yke nni

  • @khairatabdulkhalid4591
    @khairatabdulkhalid4591 2 года назад +2

    Je ukimwota mtoto wako ametumbukia baharini....kisha ukamwokoa?

  • @KatosymphorianMaichal
    @KatosymphorianMaichal Месяц назад

    Ukiota unapewa hera nawatu wanareta kwako unapokea unapereka ndan inamaana gan

  • @rosemwanarusi8819
    @rosemwanarusi8819 2 года назад +1

    Ukiota una mtoto na haujawahi kuzaaa hii vip

  • @jacklineomwega2771
    @jacklineomwega2771 2 месяца назад

    Mimi nimeota mtoto wangu amelazwa hospitali

  • @rennishmellaney1006
    @rennishmellaney1006 Год назад

    Sallam alleikum vipi kuhusu ukiwa unamlisha mtoto wako

  • @kilimanjarotv742
    @kilimanjarotv742 2 года назад

    ukiota mkeo mlioachana anakuficha mtoto na kumuingiza ndani akiwa amelala.ishara gani

  • @sidikatoi1334
    @sidikatoi1334 2 года назад

    Mm nimeota utupu wa mtoto wangu wa kiume

  • @tamimasaloon8547
    @tamimasaloon8547 2 года назад

    Mimi nimeota mwanangu nimempeleka kwa dada angu akae nae akawa ananilili na ananingangania hataki kukaa pale maana yake nini

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 Год назад

    Jee una ota Mtoto hata si wako njee unataka ku m adabt

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Год назад +1

    Kuota mtoto wangu Ni mdogo wakati ni mkubwa maana yake nini??

    • @cecile2773
      @cecile2773 10 месяцев назад

      Mimi pia napata hiyo ndoto 😢 sijapata mana yake

  • @lilianrichard9065
    @lilianrichard9065 Год назад

    Nimeota namtoa mtoto mgongon nampa mtu anambeba uku nikimkimbiza mtu amenibia pesa zangu nn maana yake

  • @slavymwenda6401
    @slavymwenda6401 Год назад

    Mimi nimeota mwanangu nimemzaa mnene na anamwili baraa

  • @ryankruz5899
    @ryankruz5899 Год назад

    Na kama nimeota mtoto wangu wa kiume amekufa n sielewi venye alikifa inamanisha nini

  • @marywairimu7612
    @marywairimu7612 2 года назад

    Nikulize miliota nikikimbizwa na mtu nikiwa nimebemba mtoto mkononi kukaja mtu akanisaindia nikiwa na mtoto wangu tena yule alikuwa ananikimbiza alikuwa baba yangu mdogo ambaye alikufa kitambo na alikuwa mwenda wazimu

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 2 года назад

    Ukiota wanawake wawili wamekuja kwako alafu wanakuambia kuwa wameleta watoto wawili jinsia tofauti tena umeota na majina eti wamekuletea nyumbani kuwa ni wa mume wako.
    Mini maana take?

  • @justinaninga5628
    @justinaninga5628 2 года назад

    Niliota mwanangu pamoja na mdogo wako ambao wanasoma darasa moja wamehamishwa shule na wamepelekwa mkoa mwingine in

  • @AllyMwatete
    @AllyMwatete Месяц назад

    Na ukiota ntoto ndogo ametumbukia kisimani na kafariki

  • @taiba1784
    @taiba1784 Год назад

    Je ukiota unakabidhiwa mtoto aliekufa na unamkataa inamaanisha nini??

  • @awadhbasheikh6385
    @awadhbasheikh6385 2 года назад

    jee ukiota watoto umewaona watoka Madrasa usiku.ila wakati ulipowaona wanacheza na kuimba.Jee ni nn maana yake

  • @marypaul2462
    @marypaul2462 2 года назад

    Na ukimuota mwanao Kwa mkubwa na anakukinga yaaaani anasilaha

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 Год назад

    Ma ukiota Mtoto Wa njee haumjuyi

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Ukiota mdogo yupo mdogo na umembeba wakat ni mkubwa

  • @elizabethmalamso8295
    @elizabethmalamso8295 2 года назад

    Naomba namba ya sm tafadharini

  • @MamyCallins
    @MamyCallins 2 месяца назад

    Mim niliota nmemkata mwanang wakiume kidudu

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 Год назад

    Jee na mtoto ambaye siyo wako ??

  • @aishandwata2207
    @aishandwata2207 2 года назад

    Nje ukiota uacheza na watoto tu.nn mqana yake

  • @marywairimu7612
    @marywairimu7612 2 года назад

    Tena nikaota nikifanya mapenzi na mtu mwenye sikuwahi muona uso mpaka sasa naota naye tukifanya mapenzi lakini sijawahi kuona uso

    • @doricepallangyo5981
      @doricepallangyo5981 2 года назад +1

      Tafuta maombi ya kipinga roho ya jini mahaba yako mengi RUclips

    • @rosemarymutugi5570
      @rosemarymutugi5570 Год назад

      ill or evil spirit' na hutawahi kuwa na' haja' na your partner kaa uko naye bcoz you have a spiritual partner.

    • @rosemarymutugi5570
      @rosemarymutugi5570 Год назад

      Be delivered from that spirit I Jesus name.

  • @ahlanshindano8433
    @ahlanshindano8433 3 года назад

    Kuna kipindi Cha ndoto kilichopita km kuhusu kujifungua comment zilifungiwa cjapata kuuliza swali

  • @ahlanshindano8433
    @ahlanshindano8433 3 года назад

    Ivi ukiota umezaa mtoto wa kike na wakiume huku ukiwa mjamzito ndoto hiyo Ina maana gani

  • @winfridayesaya1994
    @winfridayesaya1994 2 года назад

    Ukiota mtoto wako anatembea mwenyewe na bado mchanga inamaanisha nini

    • @rosemarymutugi5570
      @rosemarymutugi5570 Год назад

      Prosperity, blessings

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 4 месяца назад

      ​@@rosemarymutugi5570ukiota mtoto mchanga anazungumza nini maana yake. Hata kuzungumza hawezi bado

  • @prosmacharius7074
    @prosmacharius7074 Год назад

    Ukiota binti yako anapata hedhi ya kwanza

  • @adelinamartine3557
    @adelinamartine3557 2 года назад

    Ukiota mvua nn maana yake

  • @muddyboy676
    @muddyboy676 8 месяцев назад

    Na ukiota unafanya mapnz na mtoto mdog je

  • @jumahagai9013
    @jumahagai9013 3 года назад

    Ukiota mtoto wako anatoa msahada kwa mzee na mtoto bado mdogo

  • @joynatasha2456
    @joynatasha2456 2 года назад

    Ukiota majina ya watoto wako

  • @paulmisago7129
    @paulmisago7129 Год назад

    Ukiota unapiga mtoto wako

  • @nchamangenda9862
    @nchamangenda9862 2 года назад

    je ukiota mtoto wako amefariki akiwa mikononi wako ni nini maana yake?