TAFSIRI ZA NDOTO ZA NDIZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • assalaamu alaykum samahan mada hii nimeirecod pembeni mwa bahari kwa kuna mivumo ya bahari kwa mbaali samahan kama itawakera mada tafsiri za ndoto za ndizi

Комментарии • 59

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق Год назад +5

    Amin yaraab nimeota leo nakula ndizi ya kuiva Masha Allah

  • @Maryamjuma-s8w
    @Maryamjuma-s8w 4 дня назад

    Amiin thumaa amiin sheikh wtu

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi255 5 месяцев назад +2

    Mie nimeona nyumban zimeotaa midizi ndizi zake nyingi ila azijaiva mpaka nikasema mashaallah

  • @MmMm-hx6ln
    @MmMm-hx6ln Год назад +3

    Mashaallah Allah akulipe kheri sheikh

  • @ZeynaTamim
    @ZeynaTamim 8 месяцев назад +1

    Allah akuzidishie inshaAllah

  • @miriamhassan6566
    @miriamhassan6566 Месяц назад +1

    nimeota nachangua ndizi kwa muuzaji kisha katika kuichagua ile ndizi nikachukua ndiz moja kubwa na mbivu baadae nakaiyona ile ndizi haiko moja kumbe ziko pacha yaan zimeungana

  • @EMMAHMOKAYA
    @EMMAHMOKAYA Месяц назад +1

    Amen

  • @martinsimiyu3378
    @martinsimiyu3378 10 месяцев назад +1

    Nimeota ndizi zilizoiva zimenenepa mkungu mpaka wateremka juu umezaa sana,alafu chini yake kuna ngombe,mbuzi walononaa yani wanaafya mzuri

  • @ZulfatRamadhani
    @ZulfatRamadhani 2 месяца назад

    Shekhe samahani mim nimeota tumekata mikungu na wenzangu wa kike na wakiume nawajua.tukapeleka shule.sikujua tulikabidhi nani.swali wanasem ukiota mambo ya shule maisha yako yanarudi chini.

  • @farhanialfarsi1983
    @farhanialfarsi1983 Год назад +1

    Asante nini maana ya kuona mabarafu yame tapakaa kila pahali NA maatae moja limejivaa kichwani NA kuliondoa nni maanayake

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Год назад +1

    Allahu Akbar

  • @WardatyOmary
    @WardatyOmary Месяц назад +1

    nimeota napewa ndzi na mpenzi wang

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق Год назад +1

    Shukraan sana

  • @lydiajosephine414
    @lydiajosephine414 5 месяцев назад +1

    Nimeota tupo watu wengi tunachukuwa ndizi za kijani lakini mimi nilichukuwa ndizi nzuri nyingi ya kigani nikazibeba viganjani kwngu

  • @salamajuma1513
    @salamajuma1513 19 дней назад

    Mm nimeota nimeshika ndizi ya mkono wa tembe mbivu nawakatia na wengine na wao hapo vip shkhe

  • @suma643
    @suma643 3 месяца назад +1

    Asallaam alehkum...nimeota nyumbani kumeuota mkungu wa ndizi umezaa ndizi mbichi zimekomaa nikazikata nikawa nimeziweka karibu yangu sijajua inamaana gani hadi sasa

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  3 месяца назад +1

      Wa alaykumu ssalaamu ndoto binafsi tunatafsiri kwa sadaka

  • @FATHAMAH
    @FATHAMAH 2 месяца назад

    Bc mm nimeota madam wngu amebeba ndzi nyingi akizleta kwa room yngu kwasababu nko saudi ndo mana nmesema madam wngu lkn apa kwtu akna ata mdzi

  • @EsterYusuf-c4g
    @EsterYusuf-c4g 8 дней назад

    Nimeota nakula ndizi

  • @LauraOmbwayo
    @LauraOmbwayo Год назад

    Asante Aminaaa

  • @NassraAbdallha
    @NassraAbdallha Месяц назад

    Mm nimekula zakupika nanazi mbichi

  • @ZainabOmary-n1d
    @ZainabOmary-n1d 20 дней назад

    Me nimjamzito ety nimeot ndizi zinadondka nying zakuiva nikaanza kuota nakula maan yake nini kwamjmzito

  • @AdamBwambale
    @AdamBwambale Год назад +1

    shukrani Shehk sasa shehk mwanaume kuota ndizi ya kijani nini maana yake

  • @ummusalim5088
    @ummusalim5088 20 дней назад

    Nimeota migomba au mgomba

  • @EverlynChisenga-o8d
    @EverlynChisenga-o8d 10 месяцев назад +1

    Tena nulokota maembe chino minanza kugawanya watu yakwizya inamanisha Nini?

  • @omarykasimu8649
    @omarykasimu8649 11 месяцев назад +1

    Nimeota nimevuka mto nikatemnea kdg ñikakuta ndizi nyingi kweñye mgomba na nyingine zipo chini niniaana yake

  • @bahatilove7700
    @bahatilove7700 Год назад +1

    Shekh asalam walkum mm nimeota nimenunua ndiz tatu ndufu nzur zimeiva alaf nikaziweka ktk sahan alaf nikashuka bonden kdg ndz nikaweka juu wakaja mbuzi weng weupe mmoja akawa anataka kura ile ndiz nikawa nawafukuza namm kule bonden nikawa siwez kupanda juu kuzifata zile ndz tn

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  3 месяца назад

      Wa alaykumu ssalamu ndoto binafsi nifate inbox na tunatafsiri kwa sadaka

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤mimi nimeota tunapika ndizi mbichi

  • @FunnyRedRose-yf1sl
    @FunnyRedRose-yf1sl 9 месяцев назад +1

    Sheikh mm nimeot niletw mkung wandz ambz ni mbich lkn nikaw nimechuw moj ikiw. Imeiva upnd moj nikaw nimekul upnd mmja ambao umeiva lkn ulee upnd mbich sijaul maan yk ninini??

  • @alibadi6323
    @alibadi6323 Год назад +1

    Mimi nimeota nimeona mkungu wa ndizi umeiva

  • @NeemaMwinyi
    @NeemaMwinyi 6 месяцев назад +1

    Je mwanamke akiota anakula ndiz ya njan maan yak nini?

  • @AllyAyousi
    @AllyAyousi 7 месяцев назад +1

    Assalaamu alaykum
    Sheikh naomba kujua ndoto znazohusu Nazi

  • @rumaukombo6415
    @rumaukombo6415 Год назад +2

    Assalam alaykum
    Kuota majani ya mgomba juu ya paa la nyumba yako ipi tafsiri yake?

  • @rehemasalim1440
    @rehemasalim1440 Год назад +1

    A.a mm nmeota ndizi lkn nmezitupa nje

  • @ashuranzagamba6328
    @ashuranzagamba6328 9 месяцев назад +1

    Nimeota leo namenya ndizi mbichi ili nipike

  • @tamimamtumwa-sw8xy
    @tamimamtumwa-sw8xy Год назад +1

    Asalamu Alaykum shekh ,Mimi nimeota ndizi imeniganda kwenye nguo yangu nikapiga mbio kubwa kukimbia iniganduke ila chaajabu nilivofika mbele bado imeniganda naiganduwa haitaki kuganduka imeshikilia nguo yangu maana yake nini ndizi yakijani

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  3 месяца назад

      Wa alaykumu ssalaamu ndoto binafsi kama hiyo nifate whatssap na tunatafsiri kwa sadaka ndoto binafsi

  • @EverlynChisenga-o8d
    @EverlynChisenga-o8d 10 месяцев назад +1

    Leo miota ndizi 7 kiwanja chanyumba mubichi

  • @OmanOman-gu1wy
    @OmanOman-gu1wy Год назад +1

    Nandioto zakuumwa au kuchota maji kuvuka Bahar kuumwa unapelekwa spital unatalewa dawa kidolen au kupimwa wing wadamu

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 Год назад +2

    Me nimeota namenya zile mbichi

  • @maryamshineface4015
    @maryamshineface4015 Год назад +1

    Ukiota ndiz ganda jeus au brown ilahujala zipo mbele yako

  • @damariswanza9195
    @damariswanza9195 Год назад +1

    Aki nimeota nikiona nyoka mkupfwa kwa mlango,

  • @ZainabOmary-n1d
    @ZainabOmary-n1d 20 дней назад

    Mjamzito je akiotandizi yakuiva anakula maan yake nini

  • @NellyKadenyi-qc3em
    @NellyKadenyi-qc3em 4 месяца назад +1

    Kuota ni nono

  • @divinahkemunto9056
    @divinahkemunto9056 Год назад +1

    Na ukiota unauza

  • @ZeynaTamim
    @ZeynaTamim 8 месяцев назад +1

    Allah akuzidishie inshaAllah

  • @ZainabOmary-n1d
    @ZainabOmary-n1d 20 дней назад

    Mjamzito je akiotandizi yakuiva anakula maan yake nini