SHEKH MZIWANDA | MSITUTISHE KWA VYEO VYENU | SIOGOPI | NIFUNGIENI TU | ACHENI UNAFIKI | BAKWATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 601

  • @hilmialjahdhami9787
    @hilmialjahdhami9787 3 года назад +84

    SHEIKH MZIWANDA ALLAH ATAKULIPA KHERI DUNIANI KABURI NA KESHO AKHERA SIMAMA KWENYE UKWELII AKHERA KUNA RAHAA DUNIANI TUNAPITA

    • @aishaaisha1495
      @aishaaisha1495 3 года назад +2

      Amiin

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад +1

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html haya haya njooo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na mama

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Месяц назад

      ​@@sharifumussaalaadabiy9001Miujiza ya Mungu siyo koran

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 3 года назад +63

    Sheikh mziwanda umemaliza maneno wallahi hakika umezungumza ukweli

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html njoo uone miujiza ya ya QUR'AN namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na mama

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 3 года назад +79

    Napenda sana mtu jasiri asieogopa anaesimama na ukweli, mimi si mtu wa maulid lakini nimekupenda sana kwa ukweli wako, allah akulinde na fitna shari na husda za walimwengu

    • @AbuuRuudaynaa
      @AbuuRuudaynaa 3 года назад +2

      Ukht umesea kweli kwamaneno haya mwenye akili atayatia akilini

    • @mohammedrajabu7449
      @mohammedrajabu7449 3 года назад +1

      Allahumma amiin🙏

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад +1

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na namama

    • @johannesjoseph7496
      @johannesjoseph7496 3 года назад

      Owamae ago mazima

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 3 года назад +1

      Pongezi ukhtinaa. Tuhimizaneni kufuata vyema mafundisho ya Uislamu kwa kuwa bila shaka tutaulizwa kuhusu tuliyokuwa tunayatenda.

  • @AbuuRuudaynaa
    @AbuuRuudaynaa 3 года назад +52

    Shekh Muharramu Mziwanda Allah akulipe kheri nimekuelewa vizur sana

    • @hamidashaban1203
      @hamidashaban1203 3 года назад +1

      Shekh mziwanda Allah akuhifadhi na kila baya hakika Allah anampenda mwenye kusema kweli na anamchukia mnafiki umesema ukweli mtupu utakaa na mtume peponi firdaus katika waumini kuna wanaume bwana!! Safi sana .Serikali siyo mbaya sisi ndiyo wabaya. mbwa mwitu humla mnya aliyejitenga na wenzake
      Tupendane kwa ajili ya Allah natuchukiane kwa ajili ya Allah.

  • @AbdullahAbdullah-fz9xg
    @AbdullahAbdullah-fz9xg 3 года назад +13

    Alie sikia jamaa akisema zaidi ya mkwawa like hapa

  • @hilmialjahdhami9787
    @hilmialjahdhami9787 3 года назад +78

    ASANTE SANAA SHEIKH MZIWANDAA ALLAH ANAKULINDA NA ATAZIDI KUKULINDAAA

    • @abowsudes210
      @abowsudes210 3 года назад

      Shida matumbo yanawatesa sanaa

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na mama

    • @al-aminwangara1928
      @al-aminwangara1928 3 года назад +1

      Maasha allaah .ahsanta sana sheikh mziwanda yani maneno haya umewawakilisha wengi

  • @chondihussein9939
    @chondihussein9939 3 года назад +5

    Swadaktaaaaaa,,,nimefurah Sana huo ujasiri ndio unaohitajka,,, kwa Tanzania upo mwenyewe mwenye ujasiri huo,,,, Allah akulipe kila lenye kheriiii,🙏🙏

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 3 года назад +10

    Kajitoa muhanga kusema ukweli Allah amlinde na maadui wa uislamu inshaaAllah ameen

  • @shabanibigo7996
    @shabanibigo7996 Месяц назад

    Allah karimu mashaallah sheikh Muhram Mziwanda upo sahihi kabisa! Allah Akulinde

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 3 года назад +6

    MaashaaAllah sheikh mziwanda Jazaakallahu khaira mwenyezimungu akubaariki kwakuongea ukweli na allah akulinde na hila za wanaafiqi

  • @fadhilshafi2947
    @fadhilshafi2947 3 года назад +5

    Sema kweli japo Chungu ! mafundisho kutoka kwa bwana Mtume Muhammad s.a.w ✅

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 3 года назад +8

    Duuuh wallah nimekupenda we sheikh kwaajili ya Allah Mwenyez Mungu akuifadh zaid.

  • @killarmancity7599
    @killarmancity7599 3 года назад +2

    Watakuchukia machoni mwao ila mioyo inawasuta kwa kweli, Shekhe umejitoa sana tena sana 🙏🙏🙏🙏🙏 , Mungu atazidi kukulinda mkuu

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti7037 3 года назад +3

    Allah akupe muongozo mwema Insha'Allah sheihk wetu ❤️🇨🇩

  • @sharifalienike631
    @sharifalienike631 3 года назад +17

    Mashaallah live long my uncle you are best of my favourite big up

  • @asyahassan1308
    @asyahassan1308 3 года назад +5

    Nimekupenda shekhe.kwa msimamo wako
    Allah akujaalie kher kwa kila hatua

  • @sadikisalumu8668
    @sadikisalumu8668 3 года назад +4

    Allah akulinde leo na kesho Akhera shekh Mziwanda

  • @rashidlikongo5022
    @rashidlikongo5022 3 года назад

    Walay nasema masheikh wote. Wangekuwa kama hivi hakika dini isingekuwa na wababaishaji,kiukweli sheikh mziwanda nakupenda toka moyoni mungu akuhifadhi duniani Hadi kesho ahera

  • @mmadiausiy9810
    @mmadiausiy9810 3 года назад +19

    Mnafiki haingii peponi , kweli waache unafiki ALLAh anawapenda wasio wanafiki, ALLAh akulipe kher hapa duniani na akhera uendako! Mziwanda

  • @roi2553
    @roi2553 3 года назад

    Maashallah shehe
    Shekh ataki dhambi ya kusengenya yaani anawachana live live bila chenga na ukweli umepenya wazi wazi hivi ndivyo Mungu anataka na ndio mana ya uislamu
    Kwa sababu pia hata dini inasema kitu likiwa kibaya basi zuia kwa nguvu yaani mkono wako na kama huwezi basi ata kwa mdomo yaani nena na vyote hivyo vikikushinda basi chukia yaani pingana na mabaya
    Qul haq wainkana murua

  • @seremenikibwene8633
    @seremenikibwene8633 3 года назад +21

    Ama Hakika Binafsi Nakuombea Duaa ! (ALLAH) Azidi kukupa Msimamo Thabiti, Uzidi Kuutetea Uislam, m/mungu akusimamie.

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid mchanganyiko baina yababa namama

    • @hajikakola7242
      @hajikakola7242 3 года назад

      Nakuombea dua (ALLAH) akujalie uwena msmamo huohuo utetee uislam

  • @sidkas2318
    @sidkas2318 3 года назад +43

    Sheikh Allah akuhifadhi..msg SENT...Maneno yako machache na ujumbe unafika..Allah akuhifadhi

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html haya njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa naymama

    • @faridahassan769
      @faridahassan769 3 года назад

      Atali

  • @swahiliforex
    @swahiliforex 3 года назад +7

    Kazi Ya Dini Ngumu Sana - Sheikh Mziwanda

  • @asiakinia9344
    @asiakinia9344 3 года назад +3

    Shukran shekhe wetu muharram mziwanda Allah akupe hitaji LA moyo wako inshaallah

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Месяц назад

    Sema shekh mungu atakulipa wapo wengi wanafiki kama hao

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 3 года назад +3

    Allah azidi kuwadhihirisha wengi wa mfano wa sheikh Mziwanda ameen.

  • @maherzain2555
    @maherzain2555 3 года назад

    Hawa ndo masheikh tunawataka, unafiq utaondoka tukiwa wawazi haina haja ya kuogopana.......mashaallah ...tumuombe Allah amjaalie umri mrefu wenye kheri zaidi......!

  • @allygongoro572
    @allygongoro572 3 года назад +5

    Wallah wamebaki wachache sana hapa kwetu. Allah akulipe kher shekh wetu.

  • @ibinhussein8561
    @ibinhussein8561 3 года назад +5

    Maashaallah Allah atakulinda sheikh Muharami Mziwanda 💥

  • @mpokijackson1421
    @mpokijackson1421 2 года назад

    Mwenyezi Mungu ni wa haki, mwenyezi Mungu ni kweli, wewe umesema kweli na haki, na ukitaka kuwa rafiki na dunia nikutafuta uadui na mwenyezi Mungu, na ukiwa adui na dunia ni kuwa rafiki na mwenyezi Mungu. Ndugu umechagua fungu jema la kuwa rafiki na mwenyezi Mungu. Akupe kheri zaidi .

  • @dr.aboufawzan5215
    @dr.aboufawzan5215 3 года назад +1

    Subhanallah yaani hao waliopewa Mamlaka juu kuwasimamia Waislam wenzao baadhi yao wanayatumia Mamlaka yao kwa Maslahi yao binafsi.
    Jamani tumche Allah siku ya Kiyama ni siku mzito sana .

  • @ummukhadija1551
    @ummukhadija1551 Год назад

    Shekh mziwanda umeongea pointi saana wallah sema Nini kuna wengine wanaogopa kusema ukweli japo wanayaona yanayo tendeka ilaweye umevaa ujasili hasaa Allah akuongoze naa akuepushie yooote mabaya yasasa nayajao

  • @jasminismail7851
    @jasminismail7851 3 года назад +6

    Asante shekhe wangu allah akupe maisha marefu

    • @allykinono2681
      @allykinono2681 3 года назад +1

      Inshallah mungu akupe ujasiri lshaallah

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +2

    Shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi jazaka Allahu kher

  • @ramsofundi2222
    @ramsofundi2222 3 года назад +3

    Swala swala Bob deo
    Shukrani pia Allah ampe afya sheikh

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 3 года назад +1

    MashaaAllah Allah akuhifadhi sheikh mziwanda sema ukweli japo unauma wakuogopewa ni Allah si viumbe .huo ndio uislam sio ubabaishaji.

  • @hassanmpwepwe8258
    @hassanmpwepwe8258 3 года назад +3

    Kwer kabisa shekh wangu ujumbe umefika mashaallah

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi2795 3 года назад +4

    Ustadh Allah atakulinda InshaAllah ww na familia yako Allah akakulipe ujira wako siku yakima InshaAllah

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko bain yababa na mama

  • @rukiawalele6945
    @rukiawalele6945 3 года назад +3

    Maaashaalwa kk ,waislamu tunaongoza kwakweli ,na hawapendi kuambiwa ukweli yaarab tustiri

  • @ashrafchillah9857
    @ashrafchillah9857 3 месяца назад

    Nilitamani Siku Mmoja Nikuone Bayana Ila Leo Alhamdulilaah Nimefanikiwa Kukuona Na Kuongea Na Wewe @Muharaam Mziwanda Allah Akuwekee & Atujaliie Mwisho Mwema Sisi Sote AMIIN Shukran Kaka @Amiri kikwa 🙏

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 3 года назад +3

    Shekhe Mziwanda Umenifurahisha sana

  • @alakhy9448
    @alakhy9448 3 года назад +7

    Mimi sio mtu ninayekubali mawlid,lakini shekhe mziwanda nampenda sana licha ya kuwa napishana nae misimamo.
    Lau kama nitakuwa nipo dar es salaam nitaenda kuhudhuria darsa zake

  • @suleimaniabdallah6742
    @suleimaniabdallah6742 3 года назад +6

    Mashekhe wengi wanafiq sana hongera sana shekhe

  • @joharindaro3075
    @joharindaro3075 3 года назад

    Nyie ndio tuna wategemea mashehe mwenyezi mungu azidi kukupa ujasir shehe wetu

  • @shabanimkuruma4607
    @shabanimkuruma4607 3 года назад

    Yaan tungekuwa na mashekhe kama hawa 10 tu kuna baadhi ya tabia za mashekhe wanafiki zingepungua,wanatia huruma sana mashekhe wanao jifanya wako karibu na serikal wapumbavu sana wanaharibu dini yetu,Asante sana shekhe dawa imewaingia hao wanao jifanya mashekhe pesa

  • @haithamrubea1726
    @haithamrubea1726 3 года назад +15

    Nimeona clip tu status nikaona bora nije nifaid mwenyewe mashaallah shekhe

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 3 года назад +2

    SubhanaAllah. Masheik wote Mola awahifadhi. Ameen!

  • @hamisi_kwichu
    @hamisi_kwichu 2 года назад

    Shekh Allah akuweke uislamu ndivyo unavyotaka tusiwe wanafki"

  • @madjaliwamausse5879
    @madjaliwamausse5879 Год назад

    Allah ukulipe sheikh Kutoka Congo DRC, uyo ndo wislamu,' si kupapasana👏👏👏

  • @fatmasayid8895
    @fatmasayid8895 3 года назад

    Sheikh mziwanda mashalwa M.mungu akubariki na akulinde kina shekh wa mkoa hao wanaotoa duwa zao hatujawahi kuzisikia

  • @mohamedkikunge5417
    @mohamedkikunge5417 3 года назад

    Mashaallah sheikh ALLAH akuifadhi na kila hasad husda chuki na roho mbaya za wanafk leo umezungumza kweli mbele ya jamii sio kona kona akika yakweli huwa aijifichi inshaallah watu kama weye ndio wanastail kuwa ktk hak

  • @abasadidal7
    @abasadidal7 3 года назад +1

    ALHAMDULILLAH, pili shukrani sana mwamba wangu mwenyewe Sheikh Mziwanda. Uislam ni ukweli hivyo wakinuna kwa kuambiwa ukweli waache wanune

  • @mohdsaid5038
    @mohdsaid5038 3 года назад +2

    Mashaallah kama maneno yk yanaendana na moyo wako basi Inshaallah Allah atakulipa kwa msimamo wako huo ndio ukweli

  • @abubakarmalezi6974
    @abubakarmalezi6974 3 года назад +2

    Allah Akbar Allah akuzdishie maalim

  • @tindambaraka2357
    @tindambaraka2357 3 года назад +17

    MAASHAALLAH JAZAAKALLAH UJUMBE MURWA!

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama

  • @kungurukingunge2761
    @kungurukingunge2761 3 года назад

    Kwa hili shekh ujira wako mbele ya Allah ni mkubwa umewapa ukweli roho yako ipo safi mashallah

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +5

    Ahsante shekh mziwanda na ujumbe huu umfikie alhad mussa

  • @Banda1991
    @Banda1991 3 года назад +1

    Naomba msaada wa kumuona sheikhs mziwanda

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 3 года назад +1

    Mashaallah. Shukrn sheikh. Allah akulinde na hasda za viumbe wa ALLAH (s.w)
    Allah Ni shahidi. Umefikisha ujumbe....

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 3 года назад +1

    Mashaallah miakahii pepo itakuwa rahisi sana maana watu wana pendana wanaambiana ukweli waziwazi.🧿🕌

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 2 года назад

    Waambie hao, Allah akupe hekima ktk kufikisha ujumbe kwa waislamu wote Duniani

  • @niite_cousin1362
    @niite_cousin1362 3 года назад +33

    Manshaalllah hivi ndo ulimwengu unahitaji watu kama hawa

  • @FahadHamzaMwadin-ym6gn
    @FahadHamzaMwadin-ym6gn Год назад

    Nakupend sana mziwanda kwa ajili ya Allah ni kweli waliokaribu na viongozi wapunguze unafik

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 3 года назад +13

    Shukran shekhe watu kama wewe ni hazina ya taifa hili ambalo wanafki wengi wamejipenyeza ktk dini ili washibishe matumbo yao

  • @rudhwanjumbe2970
    @rudhwanjumbe2970 3 года назад

    Shukran sana shekh wangu bora umesema kwa uwaz kuliko unafiki

  • @radisafaa6676
    @radisafaa6676 3 года назад +1

    Asante sana sheikh alhamdullillah kwa kusema ukweli hio ndio haki ipiganiwe kwa ukweli km hivo

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 3 года назад +2

    Safi sana shehe wambiye ao mashehuna wasaka tonge mashehe ubwabwa hahahaaa

  • @mshamsan4338
    @mshamsan4338 3 года назад +4

    Mziwanda upo juu wachanee
    Gonga like yako twende naye sawa jamaa kaongea ukwel waislam wanafik hyo lipoo saana tuu

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 3 года назад +34

    Allah atakupa cheo chako peponi in sha Allah

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama

  • @imanisahani2301
    @imanisahani2301 3 года назад +1

    Safi sana kwa ujumbe wako shehe mimi mkristo ila huu ujumbe sawa na Safi sana

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 3 года назад +2

    Umetisha sana Sheikh

  • @saidwambura2461
    @saidwambura2461 3 года назад

    Alhamdulillah! Allah akuhifadhi sheikh amahakika mashekh wetu wangesimama ktk haki uisilam ungekuwa madhubuti,Allah akupe mema ya dunia na aghera

  • @farajimwaipaya8634
    @farajimwaipaya8634 3 года назад

    Mashekh kama hawa adimu sana mungu akusimamie kwenye ukweri unafki ndio unaifanya dini ionekane ngumu wakati nyepes

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 3 года назад

    Mungu akuongezee umri Baba. Wameiga tabia za CCM Bara. Mcha MUNGU akiacha kusema ukweli anaugua.

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Месяц назад

    Safi sana shekhe upo sahihi sana sema ukweli

  • @abdulazizitwalib5859
    @abdulazizitwalib5859 3 года назад +3

    Sema kwely japo kuwa chuguuu. Mashallah mashallah mashallah

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama

  • @nshimirimanadjamilla7270
    @nshimirimanadjamilla7270 3 года назад

    Shukran sheikh umewongeya kweli ndio dini Allah amuhifadhi Allah akulipe kheri

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 3 года назад +1

    Mashallah we ndo shekhe mashehe wengi saivi wapo kimasilahi yao tu

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 3 года назад +2

    ALLAH akulipe kheri shekh na Inshaallah ujumbe umefikia.

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/eTTHNIJH9W0/видео.html tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama

  • @dr.aboufawzan5215
    @dr.aboufawzan5215 3 года назад +6

    Ni kweli kabisa Sheikh mziwanda watu wamezidi utadhani atakaa kwenye iko cheo milele.

  • @aisharamadhaniothumani2071
    @aisharamadhaniothumani2071 3 года назад

    Asante sn ushawafikishia ujumbe wa wanafiki mana kuna watu wambea kweli

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 3 года назад +4

    Naona kama warithi wa shekhe wangu Ilunga wanakuja Sasa, mashaa Allaah

  • @asilclub
    @asilclub 3 года назад +2

    WAPE KAZI ZAO BARAKA ALLAHU FIKI MUNGU ATAKUSAIDIA

  • @boyhamimboy5384
    @boyhamimboy5384 3 года назад +1

    Allah akupandishe daraja hapa duniani na kesho akhellah inshallah

  • @abubakryabdallahally9562
    @abubakryabdallahally9562 3 года назад +1

    Japo ukweli unauma, na utaonekana huna adabu kwa mashekhe, umewavunjia heshma lkn ujumbe umefika na hivi ndivyo inavyotakiwa. Allah akulipe Shekh, uwe na umri mrefu

  • @eddyjustin5890
    @eddyjustin5890 3 года назад +9

    HIKI NI CHUMA CHA RELI 2020
    ALLAH AKULINDE

  • @mudydady9899
    @mudydady9899 3 года назад +1

    Mashallah shekhe msema kweli yupamoja na mola

  • @dullahshaaban9050
    @dullahshaaban9050 3 года назад

    Hayo mashekh tumbo yametoa macho Kama mjusi kabanwa na mlango manafiq makubwa tumbo la njaa linawasumbua wasipo tubu watakiona siku ya qiyama dakika moja tu swalaa swalaaa nyau....✍️✍️✍️✍️

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 3 года назад +21

    Na makanisani yangetamkwa hayo, tungeona aibu, tungejirekebisha. Tuache unafiki jamani penye ukweli tuseme ukweli!!

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 3 года назад

      Makanisani hatuna hayo

    • @ustadhfarouq7729
      @ustadhfarouq7729 2 года назад

      Makanisani hakuna kupingana atakavyosema mchungaji ni yes yes yes hata kama muongo huu utaratibu utaupata kwa waislam mtu haezi ongea mbele ya waislam jambo lakupotosha ama llisilo ushahidi wa vitabu ama fitna lazma utaulizwa ukweli wa maneno yako

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Месяц назад

      ​@ustadhfarouq7729 Waislam ni wanafiki si umemsikia huyo shehe wako,sisi wakristo tuna utaratibu maana Yesu wetu hakuwahi kupigana na mtu yeyote, huwezi kumwambia kiongozi wako hivyo kwa lengo la kumdhalilisha mkubwa wako.Wenye busara wanaitana na kuonyana

  • @hashimuhassani
    @hashimuhassani 2 года назад

    Sheghe Mziwanda Allah Akulipe Akulinde Na Maadau Yani Umesema Kweli Kabisa Viongozi Walio Juu Ndo Wanawaangamiza Waisaala Wenzao

  • @abuubakarkichimbo9957
    @abuubakarkichimbo9957 3 года назад

    Asante sana Allah wajalie wabadilike wanaotugombanisha ila shekhe usije ukabadilika simama kweli ukweli huohuo Allah atakusimamia Inshallah.

  • @rehemamohamed8705
    @rehemamohamed8705 3 года назад

    Allah akupe umri mrefu sheikh wenyr manufaa akuongozee vizazi vyako ktk khery

  • @fikirinijr6807
    @fikirinijr6807 3 года назад +3

    Maa shaa allah... Allah amlinde huyu Shekh

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +26

    Vheo chako utakipata kwa Laillah illah muhamad rasulullah.

    • @dm-rv5mf
      @dm-rv5mf 3 года назад

      Laillah illallah Muhamada rasulullah

    • @osamamoha1003
      @osamamoha1003 3 года назад

      @@dm-rv5mf mulidi bida

  • @castobenjamin4074
    @castobenjamin4074 2 года назад +3

    Nimempenda huyu Sheikh 🔥🔥🔥

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 5 месяцев назад

    Shekhe,Allah akuhifadhi wabainishie hakki hata wakikuchukia potelea mbali utapendwa na allah atae kulipa mazuri allh so mwanadamu

  • @swahibukitabu2308
    @swahibukitabu2308 3 года назад

    Allah AQbar mwenyezimungu ape wepesi shekhe

  • @rahmajuma6112
    @rahmajuma6112 11 месяцев назад

    🤲Allah azid kukuhifadh shekhe wetu..

  • @ShSh-my8cw
    @ShSh-my8cw 3 года назад

    Pasua shekh wangu 🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️gongelea kabsa

  • @athumanimwinyimadi8762
    @athumanimwinyimadi8762 3 года назад

    Mashaallah hawa ndo masheikh achana na wanafki wa bakwata