UKIOTA NYWELE | UNANYOA, UNANYOLEWA SEHEMU YEYOTE KATIKA MWILI WAKO | INAMAANISHA...| SHEIKH KHAMIS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • UKIOTA NYWELE | UNANYOA, UNANYOLEWA SEHEMU YEYOTE KATIKA MWILI WAKO | INAMAANISHA...| SHEIKH KHAMIS
    #MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NdotoTafsiriZake

Комментарии • 38

  • @TwahirKhamis
    @TwahirKhamis 25 дней назад

    Mm nimeota nanyolewa nywele za kwapani na mama yangu mzazi

  • @nurujei7151
    @nurujei7151 3 года назад +3

    Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh nimeota niko na nywele ndefu lakini gafla akatokea mwaume akaanza kuzichana chwele izo kisha akazipunguza kwa makasi nn maana yake shukran

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 года назад +1

    Shukran sana Ustadhi

  • @AuntDotcom-sk5lo
    @AuntDotcom-sk5lo Год назад

    Jazzak Allah khair

  • @faridaismail4041
    @faridaismail4041 Год назад

    Waalaykum salam naje ukaota unamfumua mama mzaz nywele nakumchana hali ya nywele zina uchafu wakiasi nn maana yake

  • @hatimalnaamani876
    @hatimalnaamani876 3 года назад

    Walekhum msalaam warhmatullah wabarakatuh

  • @rizikingua1529
    @rizikingua1529 2 года назад

    Salamu alekom Nime ota nanyolewa nyewele kutahamaki marafiki wote wakanikimbia nini maana yake

  • @ayshaswalekh9197
    @ayshaswalekh9197 Год назад

    Asalamalykum mimi nimeota nimetolewa nywele kisha zikachomwa moto

  • @nasraaliy442
    @nasraaliy442 5 месяцев назад

    Asalam aslaykum ustadh. Mimi nimeota najifumua nywele zangu hii ina maana gani ustadh

  • @DoriesWekesa-i7c
    @DoriesWekesa-i7c 8 месяцев назад

    Asssalam alaikum Mimi nimeota nakata nywele zangu pande zote kando ya jicho la kushoto na kando ya jicho la kulipa Nini maana yake

  • @MaryMuthami-xv9lb
    @MaryMuthami-xv9lb Год назад

    Mm mimeota nikinyoa my siz

  • @ibrahimshaban4437
    @ibrahimshaban4437 2 года назад +1

    Nimeota kwamba nilikuwa nimelala na nikaamka nikajikuta nimenyolewa nywele na nikaaza kulia nikiwaambia watu walioninyoa kwamba mimi nilisha waambia sitaki mninyoe sasa kwa nini mmeninyoa,ndotoni sikujua watu walio ninyoa

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 4 года назад

    Asante

  • @rosemwalyoga
    @rosemwalyoga Год назад

    Mm nimeota nimenyolewa na paka nywele na nyus upande wa kushort

  • @umutetsidayana5770
    @umutetsidayana5770 2 года назад

    Asalam alyikum samahani shehke mimi ni meota nywele zangu ni nyeupe😭

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 4 года назад

    Waghaleikum muslamu warahmatullah wabarakatuh,mm niliotamdogo wangu amenyoleawa the iinamaana gani?

  • @aishasuley8668
    @aishasuley8668 Год назад

    Assalamu alykum,,mm nimeota nafumua nywele zangu ili nisukwe na ilhali cfugi nywele kw sasa

  • @dianamaombi2379
    @dianamaombi2379 2 года назад +1

    Ueleweki jmni

  • @MariyumaHosssam
    @MariyumaHosssam 6 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @MalikiHashim-bb6uh
    @MalikiHashim-bb6uh 11 месяцев назад

    Shekh Mimi niliota ninandevu nyingi aliyakua Sina ndevu nini maana yake nisaidie tafadhar

  • @TheophisterSweetbert
    @TheophisterSweetbert 27 дней назад

    Je ukiota umeshanyoa tu angelic una nywele

  • @mariamhatib3347
    @mariamhatib3347 3 года назад

    Mm nimeota mume wangu ananyolewa manayake nn

  • @Lizmagoma05
    @Lizmagoma05 Год назад

    Mimi nimeota nikimnyoa mdosi wangu

  • @magrethsamwely5058
    @magrethsamwely5058 Год назад

    Mm nimeota nanyoa nywelee za sehem za Siri lakin mm nimefany biashar mdg na sio tajiri Yan no po kweny harakat za utafutaj Yan bado mchanga Sana maan yake nitapoteza au nitapata zaidi

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 Год назад

    Nimeota namnyoa kiongozi mkuu wa mkoa fulani nywele na ndevu je iko na maana gani?

  • @ZiadathJafary
    @ZiadathJafary 2 месяца назад

    Shehe, ukiota mtoto kanyorewa utosini

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 2 года назад

    A aleikum ukiota una nywele ndefu ni nini ?

  • @omanamenmct1600
    @omanamenmct1600 2 года назад

    Mm nilikuwa na ndevu moja ni mwanamke mm ila cjaota ila nimeshangaa leo naiangalia haipo yan

    • @TpPt-do5vg
      @TpPt-do5vg 4 месяца назад

      😅😅😅😅 Hiyo ndevu imeenda wapi

  • @omariddi
    @omariddi День назад

    ata kama mwanamke

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 2 года назад

    A aleikum na ukiota una nywele ndefu ni nini ? Manake

  • @ZawadfredyLaurence-qh5pd
    @ZawadfredyLaurence-qh5pd Год назад

    Nimeota namchana mwanamke nywele

  • @MwanaidRamaha-td1hl
    @MwanaidRamaha-td1hl Год назад

    Nimeota nawanyoa watoto nywere.nin maana yake?

  • @pandusanaa7904
    @pandusanaa7904 3 года назад +1

    Na jee ukiota umejikuta tuu una nywele lakn ujui kama umenyoa mwenyewe Wala umenyolewa

  • @dmshana4242
    @dmshana4242 10 месяцев назад

    Mim nimeot nimenyolewa Kati kat

  • @JasmineDuwe-j9e
    @JasmineDuwe-j9e 9 месяцев назад

    Me nimeota namnyoa mtu wakti nakaribia kumalizia umeme ukakata

  • @pandusanaa7904
    @pandusanaa7904 3 года назад

    Na jee ukiota umejikuta tuu una nywele lakn ujui kama umenyoa mwenyewe Wala umenyolewa