UKIOTA NYWELE | UNANYOA, UNANYOLEWA SEHEMU YEYOTE KATIKA MWILI WAKO | INAMAANISHA...| SHEIKH KHAMIS
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- UKIOTA NYWELE | UNANYOA, UNANYOLEWA SEHEMU YEYOTE KATIKA MWILI WAKO | INAMAANISHA...| SHEIKH KHAMIS
#MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NdotoTafsiriZake
Mm nimeota nanyolewa nywele za kwapani na mama yangu mzazi
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh nimeota niko na nywele ndefu lakini gafla akatokea mwaume akaanza kuzichana chwele izo kisha akazipunguza kwa makasi nn maana yake shukran
Shukran sana Ustadhi
Jazzak Allah khair
Waalaykum salam naje ukaota unamfumua mama mzaz nywele nakumchana hali ya nywele zina uchafu wakiasi nn maana yake
Walekhum msalaam warhmatullah wabarakatuh
Salamu alekom Nime ota nanyolewa nyewele kutahamaki marafiki wote wakanikimbia nini maana yake
Asalamalykum mimi nimeota nimetolewa nywele kisha zikachomwa moto
Asalam aslaykum ustadh. Mimi nimeota najifumua nywele zangu hii ina maana gani ustadh
Asssalam alaikum Mimi nimeota nakata nywele zangu pande zote kando ya jicho la kushoto na kando ya jicho la kulipa Nini maana yake
Mm mimeota nikinyoa my siz
Nimeota kwamba nilikuwa nimelala na nikaamka nikajikuta nimenyolewa nywele na nikaaza kulia nikiwaambia watu walioninyoa kwamba mimi nilisha waambia sitaki mninyoe sasa kwa nini mmeninyoa,ndotoni sikujua watu walio ninyoa
Asante
Mm nimeota nimenyolewa na paka nywele na nyus upande wa kushort
Asalam alyikum samahani shehke mimi ni meota nywele zangu ni nyeupe😭
Utazidishiwa maarifa
Waghaleikum muslamu warahmatullah wabarakatuh,mm niliotamdogo wangu amenyoleawa the iinamaana gani?
Assalamu alykum,,mm nimeota nafumua nywele zangu ili nisukwe na ilhali cfugi nywele kw sasa
Ueleweki jmni
❤❤❤
Shekh Mimi niliota ninandevu nyingi aliyakua Sina ndevu nini maana yake nisaidie tafadhar
Je ukiota umeshanyoa tu angelic una nywele
Mm nimeota mume wangu ananyolewa manayake nn
Mimi nimeota nikimnyoa mdosi wangu
Mm nimeota nanyoa nywelee za sehem za Siri lakin mm nimefany biashar mdg na sio tajiri Yan no po kweny harakat za utafutaj Yan bado mchanga Sana maan yake nitapoteza au nitapata zaidi
Nimeota namnyoa kiongozi mkuu wa mkoa fulani nywele na ndevu je iko na maana gani?
Shehe, ukiota mtoto kanyorewa utosini
A aleikum ukiota una nywele ndefu ni nini ?
Mm nilikuwa na ndevu moja ni mwanamke mm ila cjaota ila nimeshangaa leo naiangalia haipo yan
😅😅😅😅 Hiyo ndevu imeenda wapi
ata kama mwanamke
A aleikum na ukiota una nywele ndefu ni nini ? Manake
Nimeota namchana mwanamke nywele
Nimeota nawanyoa watoto nywere.nin maana yake?
Na jee ukiota umejikuta tuu una nywele lakn ujui kama umenyoa mwenyewe Wala umenyolewa
Mim nimeot nimenyolewa Kati kat
Me nimeota namnyoa mtu wakti nakaribia kumalizia umeme ukakata
Na jee ukiota umejikuta tuu una nywele lakn ujui kama umenyoa mwenyewe Wala umenyolewa